134 Billion Investment in Tarime/Rorya Water Project
Habari mpya za water sanitation Tanzania · maelezo ya 134 Billion Investment in Tarime/Rorya Water Project · imesasishwa 5 Aug 2026 · habari mpya · masasisho · maelezo
Muhtasari
- Mkurugenzi huyo amesema mradi huo pia umeshajenga matenki matatu yenye uwezo wa lita milioni 10 yaliyojengwa katika eneo la Sirari lita milioni moja, mogabiri lita milioni 3 na kilele cha mlima Rorya lita milioni 6.Bibi.
- Kiongozi huyo ameeleza kuwa hadi sasa, tayari matenki matatu yenye ujazo wa lita 6,000 yamejengwa moja katika Wilaya ya Rorya na mawili katika Wilaya ya Tarime huku tenki lililotembelewa likiwa na ujazo wa lita 3,000.
- Mbio za Mwenge wa Uhuru leo zimeingia katika Halmashauri ya Mji wa Tarime ambapo pamoja na mambo mengine umetembelea tenki la Mogabiri katika mradi wa maji wa Tarime/ Rorya unaotekelezwa na Serikali katika Wilaya za.