Mada zilizoorodheshwa
POLITICS Jun 15, 2026 4 nukuu ยท 4 makala ยท 2 vyanzo

Warning Against Prostitution and Brothel Activities in Tanzania

Vyanzo: dailynews.co.tz, michuzi.co.tz

Maelezo na vyanzo

Katambi also issued a warning to individuals who operate or benefit from prostitution and brothel-related activities, noting that Tanzanian law prohibits such practices and imposes strict penalties on those found responsible.
dailynews.co.tz โ†—
Waziri Katambi ametoa onyo kwa watu wanaojihusisha na uendeshaji wa madanguro na shughuli za ukahaba, akibainisha kuwa sheria inakataza kumiliki au kunufaika na mapato yatokanayo na biashara hiyo pamoja na kushiriki kwa namna yoyote ile.
michuzi.co.tz โ†—
Amesema sheria inakataza kumiliki au kunufaika na mapato yatokanayo na biashara hiyo pamoja na kushiriki kwa namna yoyote ile.
michuzi.co.tz โ†—
Katambi said Gender Desks within law enforcement agencies should take firm action against anyone found engaging in such activities in order to safeguard the moral and social foundations of Tanzanian society.
dailynews.co.tz โ†—
Uliza chochote kuhusu mada hii โ€” mfululizo, athari, wahusika, au uhusiano na Tanzania.