Mada zilizoorodheshwa
FINANCE Jun 30, 2026 3 nukuu ยท 3 makala ยท 3 vyanzo

Tanzania's Vision 2050 for a $1 Trillion Economy

Vyanzo: dailynews.co.tz, mzalendo.co.tz, thecitizen.co.tz

Maelezo na vyanzo

Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya nchi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano imara, mitaji ya muda mrefu na mbinu bunifu za ufadhili ili kufikia azma ya kuwa uchumi wa dola trilioni moja ifikapo mwaka 2050.
mzalendo.co.tz โ†—
The blueprint positions efficient SOEs as strategic catalysts for economic expansion, supporting Tanzania's ambition to quadruple its Gross Domestic Product (GDP) to one trillion US dollars by 2050.
dailynews.co.tz โ†—
Tanzania's ambition to build a $1 trillion economy by 2050 will depend not only on expanding digital technologies but also on strengthening personal data protection to build public trust in the country's rapidly growing digital economy, experts have said.
thecitizen.co.tz โ†—
Uliza chochote kuhusu mada hii โ€” mfululizo, athari, wahusika, au uhusiano na Tanzania.