๐Ÿซ
Off-Season Michezo ya Mashule Tanzania

UMISETA

1

What is UMISETA? Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania. Tanuru la kuibua vipaji vipya kitaifa.

UMISETA โ€” News.

All sports
Mkoa wa Mwanza Jul 08, 2026

MWANZA MABINGWA WA UMISETA MARA TANO MFULULIZO, RC MTANDA ATOA PONGEZI

Habari Leo Jun 28, 2026

Mwanza yangโ€™ara UMISETA 2026, yatwaa ubingwa wa jumla

MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) 2026, yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka mikoa yoteโ€ฆ

Full Shangwe Blog Jun 09, 2026

MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISETA NI MKAKATI WA KUJENGA VIJANA WENYE AFYA BORA โ€“ PROF. SHEMDOE

Na OWM โ€“ TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoeโ€ฆ

Habari Leo Jun 09, 2026

Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA

IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA, hatua inayolenga kuhakikisha hakuna kipaji kinachopotea na kwโ€ฆ

Mkoa wa Singida Jun 04, 2026

MKOA WA SINGIDA UMEPOKEA VIFAA VYA MICHEZO YA UMISETA, NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO KWA VIJANA 14 WATAJWA

What is UMISETA?

Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania. Tanuru la kuibua vipaji vipya kitaifa.

No scheduled events or extra links here yet.