
Discover
1185 storiesFresh stories, deep analysis, and insights from Nukta
Showing stories attributed to Nukta in the feed below.

Teknolojia
AI

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola
Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.
Afya na Huduma za Jamii
Hanta virus
Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Biashara
Fuel Prices
Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

News
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndio kuunga mkono bajeti hiyo

Habari
Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…
Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.

Teknolojia
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
Licha ya Tanzania kuwa na malengo ya uchumi wa Dola za Marekani trilioni moja unaoendeshwa na teknolojia, sekta ya tehama inachangia asilimia 1.5 tu ya GDP

News
Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…
CCM imefanya mabadiliko yanayoiruhusu kamati kuu kupitisha majina zaidi ya matatu, wanaogombea nafasi ya udiwani, ubunge au ujumbe wa baraza la wawakilishi

Ripoti Maalum
Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…
Dar es Salaam. Joel Amiri alishangazwa na mabadiliko ya ghafla ya tabia za watu waliomzunguka mwanzoni mwa mwaka 2020 akiwa nyumbani kwao mkoani Tabora. Alianza kuona majirani zake na wanafamilia wakiwa wamevaa barakoa na kila alipojaribu kuwasogelea karibu, walimuonesha ishara ya kumtaka akae mbali nao. Wakati yeye a…

News
Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…
Ni pamoja na kuboresha sekta ya elimu, afya, kutoa nafasi za ajira na kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya.

Biashara
NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…
Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo.

News
Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…
Serikali za Tanzania na Msumbiji zimeingia makubaliano ya ushirikiano katika maeneo sita yakiwemo kubadilishana wafungwa na Tanzania.

News
Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…
Rais wa Msumbiji, ameanza ziara ya kikazi leo nchi Tanzania inayokusudia kudumisha uhusiano wa kihistoria, kindugu na kiuchumi kati ya nchi hizo mbili.

News
Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuchukua nafasi ya Prof Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu baada ya kuhudumia mhimili huo wa dola kwa miaka minane. Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu…

Biashara
Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…
Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.

Biashara
Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…
Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.

News
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
Wambura, amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwahamisha makamanda watatu wa polisi, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kawaida ndani ya jeshi hilo.

News
Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…
Zaidi ya asilimia 90 ya bajeti kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo miradi 1,544 ya maji itakayotekelezwa nchi nzima na mingine ya mikubwa ya kimkakati.

News
Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…
Wachambuzi wa masuala ya uchumi wanasema ni muhimu Serikali kuhakikisha inaweka gharama nafuu ili wananchi waweze kumudu huduma hiyo.

News
Rais samia azindua kituo cha tiba y…
Kuchukua hatua za kuongeza mitaji kwa ajili ya shughuli za kiuchumi za vijana na wanawake kwa kutenga Sh200 bilioni ni miongonimwa vipaumbele.

News
Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…
Asema maendeleo yanapaswa kuleta manufaa ya moja kwa moja kwa jamii inayokizunguka, hususan kupitia ajira, biashara na shughuli za kijamii zitakazoongeza kipato cha wananchi.

News
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi nchini na Afrika.

News
Zanzibar strengthens Ebola prepared…
Dk. Mpango amesema milipuko ya magonjwa ya kuambukiza, ikiwemo homa ya Marburg, imeonesha umuhimu wa maandalizi ya haraka na mifumo imara ya afya.

News
Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…
Jiji la Arusha limejipanga kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwemo barabara ili kuvutia wageni watakaokuja katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

News
Makamu wa rais amwakilisha rais sam…
Mkutano huo unalenga kuhimiza hatua za pamoja za bara na kujadili mustakabali wa rasilimali maji, afya ya jamii na maendeleo endelevu katika bara la Afrika.

News
Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…
Serikali imepanga kufufua kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Industries (TPI) kilichopo Arusha kwa lengo la kuanza uzalishaji wa ARVs.

Chakula na Mapishi
Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia K…
Ukiachana na ladha ya kinywaji hiki kinachofurahisha koo hutumiwa pia kuondoa sumu mwilini (detox).

News
Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…
Rais Samia amepokea mialiko rasmi kutoka kwa Marais wa nchi hizo ili awe mgeni katika maadhimisho muhimu ya kitaifa, yakiwemo ya miaka 50 ya uhuru wa Msumbiji.

Siasa
Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…
Miongoni mwa waliofariki ni watoto 21 na maskari wa vyombo vya ulinzi na usalama 16

News
Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…
Uharibifu uliofanyika Oktoba 29 umehusisha kuharibiwa kwa zaidi ya ofisi 700 za kata nchini, vituo vya polisi, pamoja na nyumba na magari ya watu binafsi.

News
Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…
Uamuzi huo umetokana na maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

News
Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…
Masaju amesema pamoja na uzalendo, vijana watajifunza stadi za maisha zitakazowawezesha kuwa wabunifu na kupunguza changamoto ya ukosefu wa ajira.
Biashara
Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…
TRA imeandika rekodi mpya katika historia yake ya ukusanyaji mapato kwa mwaka wa fedha 2024/25 baada ya kukusanya Sh32.3 trilioni.

News
'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…
Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

News
Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…
Mchechu amesema utegemezi wa taasisi zisizo za biashara umeendelea kupungua kwa asilimia 12.8, hatua inayoonyesha kuimarika kwa ufanisi na usimamizi wa taasisi hizo.

News
Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…
Aagiza kuanza kwa mchakato wa ithibati ya kimataifa na matumizi ya teknolojia za kisasa sekta ya afya.

Uncategorized
Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…
Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa visiwani Zanzibar, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kisiasa visiwani humo. Tamko hilo limesainiwa katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo Julai 9, 2026, ikishuhudiwa na Rais wa Tanzan…

News
Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…
Lengo la Serikali kuhamishia utaratibu huo benki lilikuwa ni kupunguza ubadhirifu na tabia ya baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo.

Utawala wa Umma na Ulinzi
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo

Biashara
IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…
Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.

News
Tanzania eyes Russian tourism boom …
Aidha, mapato ya utalii wa ndani yamepanda kutoka shilingi bilioni 46.3 mwaka 2021 hadi bilioni 209.8 mwaka 2024, sawa na ongezeko la asilimia 353.1.

Teknolojia
Akili unde iwe mshirika wa vijana, …
Ushiriki wa vijana kujenga miundombinu imara ya kidijitali ya umma kutaboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa nchi.

News
Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …
Hii ni mara ya kwanza serikali inafungwa tangu mwaka 2018, katika muhula wa kwanza wa Trump, kufungwa kwa Serikali kulidumu kwa siku 34 ambao ni muda mrefu zaidi katika historia hadi mwanzoni mwa mwaka 2019.
Habari
Serikali yataka wanahabari kuhamasi…
Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.

Education
Hakielimu Launches Safe Learning As…
Students in Dodoma city are expected to see better classrooms, more learning materials, and improved school facilities following the launch of the Sanjeev Mansotra Foundation (SMF) in Tanzania.

Shughuli za Fedha na Bima
TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…
Faida baada ya kodi ya Vodacom yafikia Sh107.1 bilioni ikiwa ni kiwango cha juu kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka saba.

News
Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…
Rais Mwinyi amesema Hayati Mkapa atabaki kuwa mfano wa kuigwa kutokana na mchango wake katika kujenga Taifa.

Biashara
Justin Bieber, Shakira, Madonna na …
Ni vipande kutoka uwanja wa New York New Jersey nchini Marekani, kipande kikubwa zaidi kuuzwa Sh8 milioni.

Siasa
Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …
Hatua hii imekuja baada ya mgombea huyo kushinda kesi aliyofungua kupinga uamuzi wa kuenguliwa kwenye mchakato wa uteuzi.

News
Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…
Dk Mwinyi amesema kuwa uteuzi wa baraza hilo umezingatia vigezo mbalimbali ikiwemo uwiano wa kijinsia, elimu, uzoefu na uwakilishi wa pande zote.
Afya & Maisha
Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…
Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

News
Rais samia: tanzania na misri kuung…
Marais hao pia wameshuhudia utiaji saini wa rasimu ya makubaliano kuhusu ushirikiano katika sekta mbalimbali za uchukuzi pamoja na makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi.

Habari na Mawasiliano
Tanzania Digital Economy
High speed and reliable internet is needed in every aspect of human life from education, family growth, governance to business.

Shughuli za Fedha na Bima
Forex and Dollar Rates
Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika viwango vilevile vya kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 katika benki zote mbili.
More stories
FAN PULSE • LIVE
Are you going to AFCON 2027?
Stadiums across Kenya · Tanzania · Uganda
You're going!!
Thanks for letting us know.
Are you going to AFCON 2027?

News
Serikali ya Misri kutengewa eneo bandari ya Bagamoyo, Kwala

Biashara
Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani
Afya & Maisha
Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafikia 2,073, vifo 796 ndani ya miezi miwili DRC.

Habari
UDSM yaingia 10 bora wahitimu kuajirika Afrika, yaiweka Tanzania kwenye ramani ya vyuo duniani
Yashika nafasi ya tatu Afrika Mashariki, yaiweka Tanzania nafasi ya 131 kwenye ramani ya vyuo vikuu duniani.

Safari
Watalii waongezeka Tanzania, mapato yavunja rekodi mwaka 2025
Afya & Maisha
Spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Biashara
FIFA kuuza kipande cha nyasi uwanja wa fainali Kombe la Dunia kwa Sh1 milioni

Currencies
Euro yaendelea kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania

Currencies
Dola ya Marekani yaendelea kuwa tulivu dhidi ya shilingi ya Tanzania

Afya & Maisha
‘Dozee’ inavyoleta mapinduzi sekta ya afya

Biashara
Mfahamu ‘African Goose’ bata mwenye kilo 14 anayeuzwa Sh2 milioni
Shirika la chakula duniani (FAO) linaeleza kuwa nyama ya bukini ina kiwango kikubwa cha protini pamoja na madini muhimu kama chuma na zinki.
Currencies
Yuani yaendelea kuimarika taratibu dhidi ya Shilingi ya Tanzania
Habari
Wanahabari watwishwa zigo kuhamasisha matumizi ya nishati safi Tanzania

News
Mfahamu mwanamke aliyeaminiwa kuandika historia mpya ya TBC
Biashara
Ifahamu mashine inayonyoyoa kuku watatu kwa dakika moja

Currencies
Euro, Pauni zaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
Afya & Maisha
Fahamu magonjwa matano yanayoua wengi duniani

Biashara
Soko la fedha za kigeni tulivu Julai 14
Dola ya Marekani imeendelea kuuzwa na kununuliwa kwa bei sawa na jana huku sarafu nyingine zikionyesha mabadadiliko madogo.

Currencies
Dola ya Marekani tulivu kwa miezi mitatu Tanzania

Habari
TCU yafungua dirisha udahili vyuo vikuu 2026/27, yaonya matapeli
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.