
Discover
4292 storiesFresh stories, deep analysis, and insights from Nukta
Showing stories attributed to Habari Leo in the feed below.

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola

Nishati na Umeme
Fuel Prices
DAR ES SALAAM: MENEJA Mwekezaji wa Bohari ya Mafuta ya MOIL Energies Dk Sajad Habib Rai, amesema Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha mafuta yanaendelea kupatikana nchini huku ikidhibiti makali ya ongezeko la bei linalochochewa na mgogoro wa Mashariki ya Kati unaohusisha Iran, Israel na Marekani.…

Infographics
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
SERIKALI imetaja vipaumbele vitano katika mapendekezo ya mfumo na ukomo wa bajeti kwa mwaka 2026/2027. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar alisema hayo wakati wa kuwasilisha mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2026/2026 katika mkutano wa wabunge wote Dodoma jana. Balozi Omar alisema ser…

Michezo na Burudani
Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…
MWAKA 2022 kwenye fainali za Kombe la Dunia zilizofanyika Qatar, Morocco ilifika nusu fainali na kuwa taifa la kwanza kutoka Afrika kufanya hivyo. Imeweka rekodi inayoweza kudumu vizazi na vizazi na pengine, kama kuna taifa kutoka Afrika itakayoweza kuivunja rekodi hii, basi ni Morocco yenyewe. Rekodi ya kuwa taifa la…

Tanzania
Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…
PWANI: Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma wenye urefu wa kilometa 345 umefikia asilimia 89 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. Kukamilika kwa mradi huo kutaimarisha uwezo wa kusafirisha umeme, kuongeza uthabiti wa Gridi ya Ta…

Michezo na Burudani
Waziri wa tamisemi profesa riziki s…
MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) 2026, yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara pamoja na Zanzibar. Katika mashindano hayo yaliyohitimishwa leo mjini Iringa, Mwa…

Uwekezajia
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo Taifa linapaswa kuyazingatia ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akisisitiza matumizi ya mitaji na teknolojia, ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi, pamoja na kujenga…

Bunge
Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…
WAZIRI Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya shule nchini ili kuhakikisha inakuwa rafiki kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Siasa
Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…
IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katik…

Tanzania
Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…
KIGOMA: MADIWANI katika halmashauri za wilaya, miji na majiji wametakiwa kutokuwa chanzo cha vurugu zinazoweza kuchangia kuzorotesha uhusiano baina ya watendaji na madiwani na kukwamisha shughuli za maendeleo nchini na ukusanyaji mapato. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Sospeter Mtwale amesema hayo aki…

Siasa
Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…
IRINGA: Mkoa wa Iringa umeingia katika mwaka wa kwanza wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025–2030 ukiwa na taswira ya mafanikio yanayoonekana kwa macho: mapato ya Serikali yameongezeka, fedha za maendeleo zimeongezeka, na miradi ya afya, elimu, maji na miundombinu inaendelea kubadili maisha ya wananchi. Taar…

Tanzania
Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…
MAREKANI: Serikali ya Tanzania imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Akihitimisha ushiriki wa Ta…

Afya
Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…
DODOMA: MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa (RMOs) na Waganga Wakuu wa Wilaya (DMOs) kuhakikisha wanaendeleza mafanikio yaliyopatikana kupitia Programu ya Kukuza Huduma za Uzazi wa Mpango (SuFP) hata baada ya kufungwa rasmi kwa mradi huo. Dk Magembe alitoa maelekezo hayo juzi Ji…

Fedha
NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…
SIMIYU: Benki ya NMB kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, imeendelea kutekeleza mfumo mpya wa utolewaji mikopo ya halmashauri asilimia 10 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu katika halmashauri hiyo. Ikiwa ni awamu ya pili benki hiyo kuwezesha kutoa mikopo hiyo ndani ya Halm…

Michezo na Burudani
Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viun…
TETESI za usajili zinadai klabu ya Liverpool inamtafakari nyota wa Bayern Munich, Michael Olise (23), kama mbadala wa Mohamed Salah wa Misri (33), na ipo tayari kutumia kiasi kikubwa cha fedha kumsajili mshambuliaji huyo wa Ufaransa.(Fichajes in Spanish) Arsenal imeingia katika mbio kumsajili Karim Adeyemi, (23) wa Bo…

Kimataifa
Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…
UFARANSA: Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kurejea katika mashambulizi na kuwaua maofisa wa Iran iwapo hawatafuata masharti ya makubaliano hayo ya kumaliza vita yaliyosainiwa jana katika mkutano wa G7 nchini Ufaransa. Makubaliano hayo ya vipengele 14 yanaongeza muda wa kusitishwa kwa mapigano uliotangazwa Apri…

Featured
TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…
GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi sita wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Geita kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh milioni 261.4 za mirathi. Watumishi hao wa mahakama na watumishi wanne wa idara zingine za serikali pamoja na wafanyabiashara wanne wal…

Tanzania
Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…
PWANI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema wakuu wa wilaya, wakurugenzi na watendaji mbalimbali wa serikali wanapaswa kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa wakati na kwa kuzingatia kanuni na taratibu ili kuondoa urasimu unaochelewesha huduma kwa wananchi na kukwamisha wawekezaji. Kunenge ametoa kauli …

Jamii
Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…
JUMUIYA ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali kukuza ari ya mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia kuleta utengamano na mshikamano wa kidugu. Hatua hiyo imekuja wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu alipokutana na Viongozi wa CCT…

Chaguzi
Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…
MGOMBEA urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuomba kura kwa wananchi kisiwani Pemba. Samia tayari ameacha ahadi nane katika Kisiwa cha Unguja. Akiwa Unguja amefanya mikutano miwili ukiwemo uliofanyika Uwanja wa Kajengwa, Jimbo la Makunduchi, Wilaya ya Kusini mkoani Kusini…

Tanzania
Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…
MWANZA: MKUU wa Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Ng’wilabuzu Lúdigija, amesistiza umuhimu wa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali inakamilika kwa wakati uliopangwa. Ludigija alisema hayo jana wakati wa kikao cha baraza la madiwani li…

Tanzania
Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…
JANA Rais Samia Suluhu Hassan aliagiza Mahakama ya Tanzania itekeleze mambo 12 kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Mwaka 2050. Rais Samia aliyasema hayo kupitia hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Rais, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria na uzinduzi wa …

Tanzania
Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) na Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) zimeagizwa kuwa na mkakati wa kuwawezesha wakulima kuanzia uzalishaji ukusanyaji hadi uuzaji ili kuleta tija na bei nzuri ya mazao. Vilevile Serikali imetoa rai kwa wakulima na wafanyabiashara kuwa waaminifu …

Jamii
Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…
KATIKA kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoendelea kuathiri maisha na uchumi, wananchi wametakiwa kuzingatia na kutumia taarifa sahihi za hali ya hewa ili kujikinga na majanga na kufanya maamuzi yenye tija katika shughuli zao za kila siku.

Chakula na Mapishi
Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…
DAR ES SALAAM: WANAWAKE wajasiriamali wameendelea kupatiwa nyenzo muhimu za kuwawezesha kukuza biashara zao na kuimarisha ustawi wao kupitia mafunzo mbalimbali nchini. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Benki ya ABSA wametoa mafunzo maalumu kwa wanawake hao yatakayowapa mustakabali bora wa…

Biashara
Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…
KATIKA siku 100 za mwanzo za uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea na Halmashauri jirani ya Madaba wameanza kushuhudia kile kinachoweza kuitwa mwanzo wa mapinduzi ya kilimo Mkoani Ruvuma. Serikali imepeleka jumla ya matrekta 15 katika mkoa huo, matano yakielekezwa Halmashauri…

Tanzania
Serikali kuwainua vijana kupitia ut…
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kina nafasi ya kipekee katika kujenga na kuendeleza uwezo wa kiutendaji wa watumishi wa umma ambao ndio watekelezaji wa majukumu ya serikali kila siku. Kikwete al…

Wanawake
Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…
ZAIDI ya wanawake 60 waliokumbwa na changamoto mbalimbali, ikiwemo ukatili wa kijinsia, wanatarajiwa kupatiwa mafunzo ya urembo bure ikiwa ni hatua ya kuwainua na kuwawezesha kiuchumi.

Jamii
Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…
DAR ES SALAAM: WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuimarisha usimamizi wa ubora wa miradi ya ujenzi wa miundombinu nchini kupitia maabara zake za kisasa zinazofanya uchunguzi na uhakiki wa vifaa vya ujenzi pamoja na kazi zinazotekelezwa, hatua inayolenga kuhakikisha miundombinu inakuwa imara,…

Featured
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
TABORA; Kamandawa Polisi Mkoa wa Tabora (RPC), Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa kwenye matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amesema Kamanda Abwao alikuwa akipatiwa matibabu kwenye hospitali hiyo, lakini leo wamepokea taarifa hizo za kusikitisha.…

Chakula na Mapishi
Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…
Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ilitenga zaidi ya Sh trilioni 228 kwenye bajeti zake huku Sh trilioni 76.3 zikielekezwa kwenye maendeleo. Je fedha hizo zimeleta matokeo gani katika maisha ya wananchi na uchumi wa Taifa? Ungana na SYLIVESTER DOMASA katika makala haya. Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa…

Tanzania
Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…
TANGA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Tanga, imekuja na mkakati wa kuhifadhi mazingira kwa kuzindua kampeni ya upandaji wa miti 1,000 katika shule mbalimbali za msingi na sekondari jijini hapa. Zoezi hilo, lililolenga kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira dhidi ya athari za mabadiliko y…

Afya
Rais samia azindua kituo cha tiba y…
KATAVI: Zaidi ya wananchi 850 waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali wamepatiwa huduma za matibabu na uchunguzi wa afya bila malipo kupitia kambi maalumu ya afya iliyoendeshwa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Empower Society Build the Nation (ESBN) mkoani Katavi. Kambi hiyo ya siku saba imehitimishwa jana baad…
Tanzania
Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…
KIGOMA: Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa miundombinu ya barabara kushiriki kikamilifu katika kulinda na kutunza miundombinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwa salama kwa watumiaji. Rai hiyo imetolewa na Me…

Featured
WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…
BODI ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza zinapatiwa ufumbuzi bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao. Akitoa taarifa baada…

Afya
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Unguja. Kampuni ya Floton Africa imetoa msaada wa Sh30 milioni kwa ajili ya kusaidia uanzishwaji wa Kituo Maalumu cha Upandikizaji wa uloto na Matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya uchangishaji fedha inayolenga kupanua upatikanaji wa huduma za matibabu bingwa nchin…

Afya
Zanzibar strengthens Ebola prepared…
DAR ES SALAAM: Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma za magonjwa yasiyoambukiza makali kwa kusogeza huduma hizo karibu na wananchi, hususan katika hospitali za wilaya na vituo vya afya vilivyochaguliwa nchini. Hatua hiyo imeelezwa kuwa imewezesha wagonjwa wengi kupata huduma za uchunguzi, matibabu na uf…

Michezo na Burudani
Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…
WAZIRI MKUU, Dk Mwigulu Nchemba, amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika(AFCON)2027 ahakikishe mradi huo unakamilika kwa wakati. Ujenzi wa uwanja huo unaojengwa katika kata ya Olomoti, jijini Arusha ni sehemu ya maandalizi ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, yakayofanyik…

Michezo na Burudani
Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…
DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka walipakodi na wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika matembezi na Mbio za Shukrani kwa Mlipakodi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Tuzo kwa Mlipakodi Bora na maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo. Kwa mujibu wa TRA, tukio hilo linatara…

Tanzania
Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…
Rais Samia aagana na Mkuu wa Majeshi

Featured
Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…
MWANZA; Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB 2026/27 ni kati ya Simba na Azam FC, baada ya Azam FC kuifunga Yanga mabao 3-2 katika mchezo wa nusu fainali uliomalizika muda mfupi uliopita Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ilikuwa mechi yenye kila aina msisimko ambapo hadi dakika 90 zinamalizika miamba hiyo ilikuwa imefu…

Tanzania
Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…
DODOMA: Serikali imesema haijauza wala kukabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni. Akizungumza na waandishi wa habari Juni 26, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, am…

Afya
Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…
MOROGORO: WANANCHI wa Kata ya Kinole, Tarafa ya Mkuyuni, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wameipongeza Serikali kwa ujenzi wa Kituo cha Afya Kinole kitakachotoa huduma bora za afya. Wametoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti baada ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Mwang’onda kuweka Jiwe la Msing…

Infographics
Rc makalla aipongeza halmashauri ya…
MTWARA: HALMASHAURI ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara imepata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Yamejiri hayo wakati wa kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo ya Wilaya ya Tandhahimba kuhusu kujadili hoja za hesabu z…

Biashara
Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…
KAMPUNI ya Mawasiliano ya Halotel imesema hadi kufikia Septemba mwaka huu imefanikiwa kufikia wateja milioni 16.5 kupitia huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo. Akizungumza leo Oktoba 16,2025 katika maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo nchini Tanzania, Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara H…

Asia
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…
ISLAMABAD, Pakistan — Iran imesema haitashiriki mazungumzo na Marekani bila kusitishwa kwa mapigano nchini Lebanon, ikisisitiza kuwa hali ya vita huko ni sehemu ya makubaliano ya sitisho la muda yaliyotangazwa hivi karibuni. Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, alisema Tehran haitakubali kuingia katika maz…

Jamii
Kamati ya bunge ya nishati na madin…
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) wamezindua Nyumba Janja yenye mfumo wa kisasa wa utakaosaidia kuongeza uslaama wa nyumba kwa kupunguza hatari za majanga kama moto na ajali nyingine zinazosababishwa na hitilafu za umeme. Akizungumza katika maonesho ya 50 ya biashara ya kimataifa ya Dar es salaam (sab…

Chakula na Mapishi
Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…
WABUNGE wamepongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya Watanzania kunufaika na huduma za hifadhi ya jamii. Aidha, wamepongeza uwekezaji uliofanywa na Mfu…
Tanzania
Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…
MOROGORO: WANAFUNZI wakike wa shule za msingi na sekondari mkoani Morogoro wameshauriwa kujiepusha na matumizi yasiyo sahihi ya simu kwa vile zimebainika ni vichocheo vya wao kujingiza kwenye uhusiano wa kimapenzi wakiwa kwenye umri mdogo, kufanyiwa ukatili wa kigono na wengi wao kupata mimba. Mwenyekiti wa Kampeni ya…

Afya
Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…
DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, amelitaja Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuwa ni nguzo kuu ya kulinda afya za walaji na kuchochea ustawi wa viwanda nchini. Amebainisha hayo leo jijini Dar es Salaam katika hafla maalumu ya maadhimisho ya Miaka 50 ya TBS pamoja na utoaji wa tuzo kwa …

Featured
Makamu wa rais amwakilisha rais sam…
DAR ES SALAAM; RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu, ikinukuu taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka, imesema, Rais Samia amemteua Dk Eveline Munisi kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri …

Wanawake
Serikali yaendelea kuchukua hatua k…
NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto na kushiriki kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoathiri wanawake na watoto.

Tanzania
Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…
TANGA: Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amefichua namna baadhi ya watendaji wa serikali wanavyotumia ujanja kuhalalisha upotevu wa fedha katika miradi. Dk Mwigulu alieleza hayo jana baada ya kukagua na kufanya uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kilindi ukiwa ni mwendelezo wa ziara yake iliyoanza juzi mkoani Tanga. Alise…

Madini
Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…
TARIME: KIASI cha Sh bilioni 9.4 zimeelekezwa kuboresha shule, makazi ya walimu na kuwawezesha watoto kupata mazingira bora ya kujifunzia Katika vilima vya Tarime ambako dhahabu imekuwa uti wa mgongo wa uchumi wa eneo hilo, hazina nyingine yenye thamani kubwa zaidi inaendelea kung’ara. Hazina hiyo si dhahabu inayochim…

Tanzania
Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…
RAIS wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Francisco Chapo, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Julai 2 hadi 4, 2026.

Michezo na Burudani
Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kimkakati wa Zanzibar Sports City unaoendelea katika eneo la Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya michezo ya AFCON 2027.

Tanzania
Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…
DAR ES SALAAM: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mwanga, Mchome Lemburus, amewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi. Aidha amesisitiza zaidi watu kujiepusha na maandamano yasiyo na tija kwa taifa ambayo yanaweza kuchochea vurugu na kusababisha uharibifu. Akizungum…

Chakula na Mapishi
Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…
Kampuni ya Vodacom imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kinara wa mageuzi ya kidijitali nchini baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo, katika banda la kampuni hiyo wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya 50 ya Kimataif…

Habari Kwa Kina
Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…
Ni alasiri ya Jumamosi katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi pembezoni mwa Jiji la Dodoma. Chini ya kivuli cha mti mkubwa wa mwembe, wanaume wawili wasimama. Mmoja wao ana bahasha ya kaki iliyovimba fedha, na chupa ya maji na mwingine akiwa na karatasi moja iliyokunjwa mara mbili na kijiti mdomoni na fimbo mkononi …

Tanzania
NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …
DAR ES SALAAM: Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza nafuu kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango kwa kuwapatia fursa ya msamaha wa tozo zitokanazo na ucheleweshaji wa michango, huku ukiwataka kuchangamkia fursa hiyo ili kupunguza mzigo wa madeni, kuimarisha uzingatiaji wa sheria na kulinda haki za w…

Dini
Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…
VIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya Serikali na wananchi kwa kuhamasisha umuhimu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa ili kuzuia vitendo vya vurugu vinavyoweza kukwamisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Tanzania
Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …
MOROGORO: WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemuagiza mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa barabara ya Bigwa–Kisaki (km 78) kuhakikisha anafanya matengenezo ya mara kwa mara katika maeneo yanayotumiwa na wananchi wakati ujenzi ukiendelea, ili kuondoa adha ya usafiri na kupunguza gharama za usafirishaji. Ulega alitoa ag…

Kimataifa
Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…
UFARANSA: WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller, ambapo wamejadiliana kuhusu fursa za uwekezaji sekta ya miundombinu ya usafiri Tanzania. Katika mazungumzo hayo, Dk. Mwigulu Nchemba aliikaribisha kampuni hiyo kuwekeza nchini, akieleza kuw…

Tanzania
Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…
DAR ES SALAAM: Waziri wa Ulinzi na JKT, Dk Rhimo Nyansaho amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kupitia Shirika lake la Uzalishaji Mali (SUMAJKT) kwa kuendelea kutoa ajira kwa vijana hapa nchini. Dk Nyansaho ameyasema hayo Julai 06, 2026 alipotembelea banda la JKT kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Sa…

Infographics
Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…
DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amewataka walipakodi ambao bado hawajafanyiwa makadirio ya kodi kwa nchi nzima kutumia siku mbili zilizosalia kufanya makadirio yao kabla ya kufika kwa muda wa mwisho wa kufanya makadirio ambao ni Machi 31, 2026. Akizungumza na baadhi ya wa…

Tanzania
'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameonya watu wanaotumika kuichafua nchi. Katambi amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara aliouandaa kushukuru wananchi kumpa ridhaa ya kuwa mbunge wa Shinyanga Mjini.

Habari Kwa Kina
Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…
SONGWE – Ni saa tatu asubuhi. Malori madogo yanaingia moja baada ya jingine katika Ghala la Kalungu, yakibeba viroba vya ufuta vilivyokusanywa kutoka vijiji mbalimbali kupitia Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS). Hakuna gunia linaloruhusiwa kuingia ghalani bila kufuata utaratibu. Kila kiroba kinapimwa. Kila kilo ina…

Tanzania
Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya Kiswahili inaendelea kukua duniani, ikiwa sasa inazungumzwa na zaidi ya watu milioni 200 katika nchi 14 na kutumika rasmi katika jumuiya mbalimbali za kikanda na kimataifa.

Asia
Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…
TEHRAN — Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anaendelea kupata nafuu baada ya kujeruhiwa vibaya usoni na miguuni, lakini bado anashiriki kikamilifu katika maamuzi makubwa ya kitaifa, vyanzo vimeeleza. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Khamenei, mwenye umri wa miaka 56, hajaonekana hadharani tangu mashambulizi ya a…

Fedha
Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…
MAKAMU wa Rais Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Peter Nalitolela, mazungumzo yaliyofanyika leo Februari 13, 2026, Dodoma. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amewahimiza watendaji DSE kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu…

Chakula na Mapishi
Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…
DAR ES SALAAM: Kampuni ya Tanzania Breweries PLC (TBL) imetangaza kuongezeka kwa mapato yake kwa asilimia 13 mwaka 2025 huku faida ya uendeshaji ikiongezeka kwa asilimia 35. Kampuni ilieleza kuwa matokeo hayo yalitokana na kuongezeka kwa mahitaji ya bidhaa zake, usimamizi wa gharama na maboresho katika mfumo wa usamba…

Afya
Wananchi watembelea banda la tmda s…
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imejadili rasimu ya mpango mkakati mpya wa mamlaka wa miaka mitano unaoakisi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050. Haya yalijiri wakati Menejimenti ya TMDA ilipokutana mkoani Morogoro Februari 2 hadi 3, 2026. Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk Adam Fimbo, aliwaeleza wajumbe…

Afya
Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…
MKURUGENZI wa Sayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI), Dk Ally Olotu, amesema taasisi hiyo imeendelea kushiriki katika tafiti na ubunifu mbalimbali unaolenga kufikia lengo la kutokomeza malaria nchini Tanzania kupitia uzalishaji wa ushahidi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia za afya.

Tanzania
Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewataka Watanzania kuendelea kujifunza kutoka kwa waasisi wa taifa katika kulinda amani, umoja na mshikamano, kikisema misingi iliyowekwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, bado ina umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya nchi.

Tanzania
Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…
SONGEA: Wadau wa mradi wa Dumisha Amani unaotekelezwa na VETA na wamepanga kuanzisha vituo vya vijana (Youth Centres) katika vyuo vya VETA mkoani Mtwara, Lindi, Kigoma na Wilaya ya Songea ili kuwasaidia vijana wenye ujuzi kujiajiri au kuajiriwa. Mradi huo unafadhiliwa na mashirika ya kimataifa ya UNPDF, UNDP-Tanzania,…

Tanzania
Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…
ARUSHA; SERIKALI imeanza rasmi kutoa mikopo kupitia Programu ya Sh bilioni 200 chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, huku Mkoa wa Arusha ukiwa wa kwanza kunufaika kwa kupokea Sh milioni 730 ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango. Mpango wa awamu ya kwanza unalenga kuwawezesha vijana kujiajiri na…

Madini
Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…
MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, yanayotumika katika teknolojia za kisasa na nishati safi.

Jamii
Waandishi wa habari wananufaika na …
DODOMA; Mkurugenzi wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz, ameipongeza Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Habari, huku akiahidi kuwa tayari kufuata matakwa yote ya kisheria yanayohusu sekta ya habari na watumishi wake. Akizun…

Jamii
Tarura yaimarisha mpango wa cbrm ku…
DAR ES SALAAM: KATIKA jitihada za kuzuia uharibifu wa barabara na kuhakikisha zinapitika wakati wote, hususan kipindi cha mvua, Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanzisha mpango wa Vikundi vya Jamii (Community Based Routine Maintenance) unaolenga kutunza na kuboresha zaidi ya kilomita 15,000 za barab…

Tanzania
Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …
RAIS Samia Suluhu Hassan amewahimiza Watanzania kuendelea kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee kudumu nchini.

Tanzania
Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…
DODOMA: VITUO vya Uwezeshaji wananchi kiuchumi nchini vimeendelea kuwa kimbilio la wafanyabiashara, wajasiriamali, wakulima na vijana wanaotaka kuanza biashara wenye mlengo wa kupiga hatua katika shughuli zao za uzalishajimali. Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC), Gwakisa Bapala ames…

Tanzania
Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…
DAR ES SALAAM: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imechukua hatua kubwa ya kuimarisha elimu ya msingi kwa kuboresha mitaala na kuwajengea uwezo wa kutumia mifumo ya kidijiti kupitia ushirikiano na Kampuni Sahara Consult. Hatua hiyo ilifikiwa jana Dar es salaam pande hizo mbili ziliposaini mkataba wa makubaliano (MoU)wa k…

Gesi
Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni, akishiriki katika Kongamano la Siku ya Nishati (Energy Day) linaloendelea katika Ukumbi wa Mwandoro, Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Mhandisi Sangweni ameeleza kuhusu naf…

Tanzania
Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…
MTWARA: BAADHI ya Wakulima wa zao la Korosho katika kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwaletea pembejeo za korosho bure ili kuwapunguzia gharama za uzalishaji. Hayo yamejiri wakati wa zoezi la ugawaji wa pembejeo hizo za korosho lilipofanyika kwa wakulim…

Infographics
Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …
DAR ES SALAAM: SERIKALI imeitaka Tume ya Ushindani (FCC) kuimarisha na kupanua matumizi ya teknolojia za kisasa katika uchunguzi, ufutiliaji wa udhibiti wa bidhaa bandia katika masoko ya kidijitali. Pia FCC imetakiwa kuongeza kasi ya uratibu na ushirikiano wa karibu na taasisi zingine za udhibiti, ikiwemo vyombo ya do…

Michezo na Burudani
Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …
DAR ES SALAAM: MASHINDANO ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF 2026) awamu ya nane yanatarajiwa kuanza Julai 6, mwaka huu. Mechi ya ufunguzi iitachezwa uwanja wa Azam complex,Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo, Brigedia Jenerali Saidi Hamisi Saidi ameeleza hayo kwenye viwanja vya Gofu vya L…

Featured
Simulizi za waraibu wa dawa za kule…
DAR ES SALAAM; MAPAMBANO dhidi ya dawa za kulevya nchini yamepiga hatua kubwa kiasi cha kufan ya dawa hizo kutopati kana kirahisi mitaani. Hata hivyo imeelezwa mafanikio hayo sasa yameambatana na changamoto mpya ya kuongezeka kwa ulevi wa pombe hususani miongoni mwa vijana. Hayo yameelezwa Dar es Salaam na Kamishina J…

Utalii
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema msimu wa 11 wa mashindano ya waongoza watalii ya Safari Field Challenge utakuwa wa kipekee, ukitoa nafasi kwa washiriki kujifunza kwa vitendo utalii wa wanyamapori, historia na urithi wa eneo hilo. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Kamishna …

Ujenzi na Miundombinu
Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…
IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga ameendelea kuunga mkono maendeleo ya wananchi baada ya kukabidhi mifuko 120 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Masaka jimboni humo. Hatua hiyo imekuja baada ya hivikaribuni kukabidhi msaada wa mifuko 200 ya simenti katika Shule ya…

Tahariri
IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…
SERIKALI juzi iliwasilisha bungeni Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2026/2027 –2030/2031 unaotarajiwa kugharimu Sh trilioni 477. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Profesa Kitila Mkumbo pia aliwasilisha Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Muda Mrefu 2026/2027–2050/2051, Mpango wa Nne w…

Tanzania
Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…
ARUSHA: Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewataka Mawakili wa Serikali kuimarisha uwezo wao katika usimamizi wa mikataba mikubwa ya kiuchumi na uwekezaji ili kulinda maslahi ya taifa, huku wakihakikisha Tanzania inaendelea kuwa na mazingira bora yanayovutia wawekezaji. Pia amesema sheria na mikataba bora n…

Afya
BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…
ARUSHA: HOSPITALI ya Karoleni jijini Arusha imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika sekta ya afya na kuibuka kuwa miongoni mwa vituo vinavyochangia ukuaji wa utalii wa afya nchini Tanzania, baada ya kuhudumia wagonjwa wageni zaidi ya 1,110 kutoka nje ya nchi. Hayo yamebainishwa leo Juni 6,2026 Katibu wa NEC, Iti…

Utalii
Kongamano la nishati : etdco yasisi…
ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuwakaribisha wawekezaji wa kimataifa kutokana na uwepo wa fursa nyingi za uwekezaji zinazohitaji nguvu ya wadau na taasisi za nje.

Utalii
GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…
DAR ES SALAAM: Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yamekuwa jukwaa muhimu la kuhamasisha utalii wa ndani, kutangaza vivutio vya utalii na kuwaandaa wadau kunufaika na fursa mbalimbali ikiwemo mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kufanyika mwaka ujao. …

Utalii
Tanzania eyes Russian tourism boom …
DAR ES SALAAM: TANZANIA imeendelea kung’ara katika anga la kimataifa baada ya kuingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua inayoimarisha nafasi yake kama moja ya vinara wa utalii barani Afrika. Akizungumza, leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa…

Biashara
GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …
DAR ES SALAAM; Wafanyabiashara wapatao 500 jijini Dar es Salaam wameshiriki mafunzo maalumu ya ununuzi wa umma yaliyoendeshwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA). Mafunzo hayo ni sehemu ya jitihada za serikali kuwawezesha wazawa kushiriki kikamilifu katika zabuni za miradi ya umma. Akizungumza wakati wa …

Kimataifa
Akili unde iwe mshirika wa vijana, …
GENEVA: Tanzania imetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kimataifa ili kuhakikisha maendeleo ya kasi ya Akili Unde (AI) yanasimamiwa kupitia mifumo ya kimataifa iliyo jumuishi, yenye uwazi na usawa. Pia imeonya kuwa nchi zinazoendelea hazipaswi kuachwa nyuma wakati teknolojia hiyo ikiendelea kubadili uchumi, uto…

Siasa
Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …
MANYARA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wamiliki wa vitalu na kampuni zinazojihusisha na uchimbaji na biashara za madini wanakamilisha kikamilifu dhana ya uwajibikaji kwa jamii(CSR), kikisisitiza fedha hizo si hisani bali ni wajibu wa kisheria kwa wananchi. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa,…

Infographics
Serikali yatenga bilioni 1 ukarabat…
KIGOMA: Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, MaryPrisca Mahundi ameitaka jamii kuwatenga watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, ubakaji na ulawiti. Naibu Waziri Mahundi amesema hayo wakati wa kongamano la wadau wa kupinga ukatili mkoani Kigoma akijibu tuhuma na malalamiko yal…

Chakula na Mapishi
Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…
DAR ES SALAAM: Serikali imewahimiza wafanyabiashara na wawekezaji nchini kuchangamkia fursa za kiuchumi nchini China ili kukuza biashara zao na kuongeza mauzo ya bidhaa za ndani nje ya nchi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo wakati akizindua Siku ya Huduma (Clinic Day) iliyoandali…

Habari Kwa Kina
Homera ataja sababu kutotekelezwa m…
Chini ya kivuli cha miti mikubwa, meza ya plastiki ya buluu iligeuka kuwa ukumbi wa muda wa kusikiliza ushahidi. Juu yake kulikuwa na kompyuta mpakato, mafaili yaliyofungwa kwa utepe, nakala za hati za ardhi na nyaraka za mahakama zilizokusanywa kwa zaidi ya miongo mitatu. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalami…

Amerika
Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa leo Alhamisi, akieleza mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Sayansi & Teknolojia
Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…
KATIBUMkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inaendelea kuimarisha sekta ya elimu nchini kupitia matumizi ya teknolojia za kidijitali.

Amerika
Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataj…
MAPIGANO kati ya Iran na Israel yameendelea huku pande hizo zikishambuliana kwa makombora na droni.

Tanzania
Oryx gasi , skauti tanzania waungan…
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Oryx Tanzania imezindua kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na kusaini mkataba wa ushirikiano wa miaka mitatu na Chama cha Skauti Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha elimu ya matumizi salama ya gesi ya kupikia kwa wananchi kupitia mtandao wa vijana wa skauti nchini. Akizun…

Featured
Serikali yataka wanahabari kuhamasi…
MOROGORO — Serikali imevitaka vyombo vya habari kutumia nafasi yao kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kusaidia kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034. Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema waandishi wa habari wana nafasi muhimu ya kujenga mtazamo …

Tanzania
Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…
TANGA: Ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa za magendo katika mpaka wa Horohoro, Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Serikali imetangaza operesheni kabambe ya kusambaratisha magendo na biashara haramu zinazotishia usalama wa taifa na kupoteza mapato ya Serikali. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa …

Michezo na Burudani
Asas Rally team joins Mkwawa team i…
RWANDA; Dereva wa mbio za magari kutoka Tanzania, Ahmed Huwel, ameshika nafasi ya pili katika mashindano ya Rwanda Mountain Gorilla Rally, ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Afrika ya Mbio za Magari (African Rally Championship – ARC) yaliyofanyika nchini Rwanda mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Rwanda, Huw…

Madini
Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…
MOROGORO: WIZARA ya Madini imesema mapato ya fedha yatokanayo na makusanyo ya madini yamevuka lengo la makadirio yaliyowekwa ya Sh trilioni 1.2 na kufikia Sh trilioni 1.36 katika kipindi cha Januari 2025 hadi Juni 23, 2026 ikiwa sawa na asilimia 113.34. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Yahya Samamba amesema hayo J…

Kimataifa
Tanzania holds preparatory talks he…
TANZANIA imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika Kanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Pongezi hizo zimetolewa Agosti 15, 2025, wakati wa Mkutan…

Chakula na Mapishi
TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…
DAR ES SALAAM: Wakulima na wanachama wa vyama vya ushirika nchini wanatarajiwa kunufaika na ongezeko la upatikanaji wa huduma za kidijitali na kifedha kupitia jukwaa la M-Kulima kufuatia Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC leo kusaini hati ya makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) yenye l…

Featured
WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…
New York, Marekani: Tanzania imesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 utaongeza kasi ya kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa kuyajumuisha kikamilifu katika mipango ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu wa maendeleo ya nchi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na …

Infographics
Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Wagombea wa Nafasi ya Urais na Wagombea Wenza kutoka vyama vya Siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba, 2025. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 31 Machi, 2026.

Afya
Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema njia bora ya kuuenzi urithi wa Hayati Rais Benjamin Mkapa ni kuendelea kuwekeza katika uongozi, kuimarisha sekta ya afya na kuwawezesha vijana kushiriki katika maendeleo ya Afrika.

Michezo
Justin Bieber, Shakira, Madonna na …
DAR ES SALAAM: FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zinatarajiwa kuvunja rekodi mpya duniani baada ya idadi ya timu kuongezeka kutoka 32 hadi 48 huku mechi zikiongezeka kutoka 68 hadi 104 katika mashindano yatakayofanyika kwa mara ya kwanza katika mataifa matatu ya Marekani, Canada na Mexico. Kutokana na ukubwa huo wa mashi…

Featured
Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …
DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa 20 kati ya 22 walioko katika kesi ya uhaini inayomkabili mfanyabiashara Jennifer Jovin(26) na wenzake 21. Hayo yameelezwa Wakili wa Serikali, Titus Aaron leo Novemba 25,2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es…

Tanzania
Teknolojia za tari kifulilo zawavut…
IRINGA: Wakulima waliojitokeza katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwa mara ya kwanza mkoani Iringa wameendelea kuvutiwa na teknolojia bunifu zinazowasilishwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), huku taasisi hiyo ikisisitiza kuwa matumizi ya matokeo ya tafiti ndiyo njia ya kuongeza uzalishaji, thama…

Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka
Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…
BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kinatoa msukumo kwa serikali ili kuhakikisha mradi mradi wa maji kutoka Butiama hadi Nyamuswa unakamilika kwa wakati ili kutimiza azma ya Rais Samia Suluhu Hassan ya Kumtua mama ndoo kichwani. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Magunzo wa CCM, Kihongosi ameeleza h…

Ujenzi na Miundombinu
Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…
MTWARA: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2026, Wazo Mwang’onda ameridhishwa na mradi wa ujenzi wa madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Mbawala iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara uliyogharimu Sh milioni 49.5. Mwenge wa Uhuru umepokelewa jana katika kijiji cha maili kumi kilicho…

Tanzania
Maonesho ya nanenane iringa yalenga…
IRINGA: Wananchi wa Mkoa wa Iringa wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kutembelea Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Utalii Kihesa, mjini Iringa, ili kujifunza teknolojia za kisasa za kilimo, mifugo na uvuvi, kupata taarifa za masoko pamoja na kukutana na wadau mbalimbali wanaoweza kuongeza tija na kip…

Tanzania
TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…
IRINGA: UHUSIANO uliokuwa na uhasama kati ya wananchi na Hifadhi ya Msitu wa Makere Kusini, maarufu Kagera Nkanda, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, umeanza kuimarika kufuatia utekelezaji wa mradi wa uhifadhi shirikishi unaowakutanisha wananchi wa vijiji vinne vinavyozunguka hifadhi hiyo pamoja na mamlaka za usimamizi wa…

Zanzibar
Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) kutumia elimu, maarifa na ubunifu wao kama nyenzo za kutatua changamoto za jamii, kuboresha maisha ya wananchi na kuchangia maendeleo endelevu.

Tanzania
Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…
TANGA: JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga limeendelea kudhibiti vitendo vya uhalifu, baada ya kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa 200 katika operesheni maalumu zilizofanyika kuanzia Juni 1 hadi Julai 16, 2026. Akizungumza leo Julai 17, 2026 Tanga, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, amesema kuwa Katika kipin…

Shughuli za Fedha na Bima
NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…
DAR ES SALAAM: Katika hatua muhimu kwa sekta ya benki nchini na uongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna anatarajiwa kuzungumza katika Jukwaa la Mkutano wa Biashara Afrika 2026 utakaofanyika Mei 30, 2026 nchini Uingereza. Katika jukwaa hil…

Afya
Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…
MAREKANI imewataka raia wake wanaoondoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kukaa nje ya nchi hiyo kwa siku 21 kabla ya kuruhusiwa kuingia nchini. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia tahadhari ya Vituo vya Marekani vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) iliyosema wasafiri wanaotoka DRC, Uganda na Sudan Kusini watafua…

Afya
Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …
ARUSHA: Ongezeko la idadi ya wagonjwa katika kambi ya matibabu iliyoratibiwa na Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda, limeifanya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kuongeza idadi ya madaktari bingwa na wabobezi wanaotoa huduma katika kambi hiyo. Akizungumza …

Diplomasia
Rais samia: tanzania na misri kuung…
SERIKALI ya Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo, hususan kilimo cha umwagiliaji, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

Tanzania
Ras arusha asisitiza ushirikiano ba…
ARUSHA: Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dk, Toba Nguvila, amewasisitiza watendaji wa serikali katika mkoa huo, kuanzia sekretarieti ya mkoa, halmashauri taasisi na mashirika yote ya umma, kufanya kazi kwa ushirikiano kisekta ili kutimiza adhma ya Serikali ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na kwa wakati. Dk …
More stories
FAN PULSE • LIVE
Are you going to AFCON 2027?
Stadiums across Kenya · Tanzania · Uganda
You're going!!
Thanks for letting us know.
Are you going to AFCON 2027?

Diplomasia
Misri kuwekeza kilimo cha umwagiliaji

Afya
Bunifu MUHAS zaanza kutoa majibu changamoto za afya

Tanzania
Mradi SGR Makutopora – Tabora kukamilika 2028

Diplomasia
Tanzania, Misri kuimarisha uchukuzi
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uchukuzi na usaf
Michezo na Burudani
Serikali yaombwa kuimarisha uhusiano taasisi za vijana

Tanzania
Huduma ya mizigo SGR yaanza rasmi Dar -Dodoma

Zanzibar
Mwinyi apewa Tuzo India kutambua mchango elimu

Siasa
CCM Iringa yataja mafaniko ya Ilani

Tanzania
Kasesela: Utu wa watumishi silaha ya ushindi CCM

Tanzania
Mradi waimarisha uhusiano wananchi, Hifadhi ya Makere Kusini

Afya
Ongezeko la wagonjwa, madaktari waongezwa Arusha
ARUSHA: Ongezeko la idadi ya wagonjwa katika kambi ya matibabu iliyoratibiwa na Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mj

Infographics
SUA yaipongeza PPPC ajenda ya ubia seskta ya kilimo

Tanzania
Dk Nguvila asisitiza ushirikiano wa kisekta Arusha

Tanzania
Polisi Tanga yanasa watuhumiwa 200 operesheni maalumu

Tanzania
NSSF yataka waajiri kuchangamkia msamaha wa tozo

Afya
Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu bure Arusha

Chakula na Mapishi
Serikali yakaribisha wawekezaji Kwala

Tanzania
Teknolojia za TARI zavutia wakulima Nanenane Iringa
IRINGA: Wakulima waliojitokeza katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwa mara ya kwanza mkoani Iringa wameendelea kuvutiwa na teknolojia bunifu zinazowasili

Tanzania
Nanenane iringa kufungua fursa za teknolojia, masoko

Afya
Mwinyi: Tuendeleze maono ya Mkapa
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
