Discover

299 stories
Nukta Publish

Fresh stories, deep analysis, and insights from Nukta

Showing stories attributed to Bongo5 in the feed below.

Habari Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 18, 2026. Akizungumza Mei 20, 2026 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma, Twange a…

Bongo5
Habari Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimesema kitaendelea kuimarisha juhudi za kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na kuwapatia elimu ya sheria ili kuhakikisha wanapata haki zao na kuzitumia kwa manufaa yao na jamii kwa ujumla. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 36 wa Mwaka …

Bongo5
Habari Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Barabara na Uwanja wa Ndege wa kuupaisha mkoa kiuchumi Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa Serikali itaendelea kujenga na kukamilisha barabara zilizopo Mkoa wa Mara kwa kiwango cha lami, ili kufungua fursa za kiuchumi na kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji ndani ya mkoa huo na mikoa jirani. Ulega …

Bongo5
Habari Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezielekeza wizara tano muhimu kuchukua hatua za haraka kuimarisha ustawi wa mama na baba lishe, akiwatambua kama mhimili muhimu wa uchumi. Akizungumza leo Aprili 21, 2026 katika Kongamano la Kitaifa la Mama na Baba lishe lililofanyika Dar es Salaam, Rais …

Bongo5
Biashara NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, anatarajiwa kuiweka hadithi ya mageuzi ya sekta ya benki nchini Tanzania katika jukwaa la kimataifa baada ya kualikwa kuzungumza katika Cambridge Africa Business Conference 2026, litakalofanyika Mei 30, 2026 katika University of Cambridge. Zaipu…

Bongo5
Nishati na Umeme TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…

📌Aelekeza kuondolewa mara moja kwa meneja wa mradi upande wa mkandarasi Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya Mto Malagarasi mkoani Kigoma unaotekelezwa na Kampuni ya Dongfang Electric kutokana na kuchel…

Bongo5
Siasa Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa onyo kali kwa viongozi wapya walioapishwa, akisisitiza kuwa madaraka waliyopewa si ya kujinufaisha wala kujiona bora, bali ni dhamana ya kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na uwajibikaji. Akizungumza leo katika hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu ya C…

Bongo5
Habari Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Bodi ya Stakabadhi za Ghala ni taasisi iliyochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Kazi ya taasisi hiyo ni kusimamia na kuhamasisha matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani unaohakikisha usawa na uendelevu wa upatikanaji wa mikopo na mifumo ya masoko. David Sukali ni Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi kutoka Bodi ya Usimamiz…

Bongo5
Habari Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Baraza kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) limekutana kujadili na kuweka mwelekeo wa vipaumbele vya Mamlaka kuelekea mwaka wa fedha 2026/2027, likilenga kuimarisha utoaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi. Akizungumza katik kikao kazi hicho, Katibu Mkuu Wiz…

Bongo5
Habari Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameendelea kunufaika na maboresho ya miundombinu ya barabara na madaraja yanayotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), huku Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma akieleza kuwa juhudi kubwa zinaendelea kuhakikisha mtandao wa barabara unakuwa imara katika kipindi hiki cha mv…

Bongo5
Habari Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM– TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa OWM- TAMISEMI kufanya kazi kwa bidii, upendo, ushirikiano, pamoja na ubunifu katika utendaji wao ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Prof. Shemdoe ametoa wito huo jana Machi …

Bongo5
Afya na Huduma za Jamii Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

MSANII maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platnumz, amesema ameshangazwa na ukubwa pamoja na huduma za kibingwa na ubingwa bobezi zinazotolewa katika Hospitali ya Rufani ya Kanda ya Benjamin Mkapa (BMH). Amesema hakuwahi kujua kuwa jijini Dodoma kuna hospitali yenye uwezo mkubwa kiasi hicho ambayo inato…

Bongo5
Habari Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

‎Songea DC imeanza kushuhudia ongezeko la kasi ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo huku viongozi wakisisitiza ubora na tija kabla ya uzinduzi rasmi kupitia Mbio za Mwenge wa Uhuru Mei 14, 2026. ‎ ‎Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Ruvuma, Joel Mbewa, amengoza timu ya wataalamu kufanya ukaguzi wa kina wa miradi mbalimbal…

Bongo5
Habari Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

Serikali imewahimiza vijana kote nchini kujitokeza na kushiriki kikamilifu katika shindano jipya la kitaifa la “Vijana Uchumi Challenge,” likilenga kuimarisha ushiriki wao katika maendeleo ya uchumi wa taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, …

Bongo5
Habari Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

Tukio la kusikitisha limeutikisa wakazi wa eneo la Magugu, wilayani Babati mkoani Manyara, baada ya mwili wa mwanaume ambaye bado hajatambulika kukutwa umetupwa pembeni mwa barabara kuu ya Babati–Arusha. Kwa mujibu wa taarifa za awali, marehemu ana dalili za kuuawa kikatili, huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado haki…

Bongo5
Habari Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amesema kuwa suala la amani nchini halinufaishi Serikali au Rais pekee, bali mnufaika mkuu ni kila Mtanzania mmoja mmoja. Akizungumza katika tamasha la Pasaka la “Mtoko na Christina Shusho” lililofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Dk. Nchemba alisisitiz…

Bongo5
Habari Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameipa siku 14 Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kukamilisha taratibu zote za kisheria za manunuzi, ikiwemo kumpata mkandarasi, ili kuruhusu kuanza kwa ujenzi wa barabara ya Kisarawe hadi Maneromango. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Masaki, Wilayani Kis…

Bongo5
Biashara Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amepiga marufuku kwa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuwaambia wafanyabiashara kuwa hawana vigezo vya kufanya biashara, akisisitiza kuwa jukumu lao ni kuwasaidia kufikia vigezo hivyo ili waweze kushiriki kikamilifu katika biashara na kuchangia ukuaji wa uchumi. Kapinga…

Bongo5
Habari Waandishi wa habari wananufaika na …

SERIKALI imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na kupatiwa ithibati ndani ya kipindi cha chini ya mwaka mmoja kupitia mfumo wa kisasa wa TAI HABARI. Mafanikio hayo ni hatua kubwa katika kuimarisha weledi, uwajibikaji na usimamizi wa taal…

Bongo5
Habari Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia fedha nyingi kupelekwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imepeleka tabasamu k…

Bongo5
Biashara ya Jumla na Rejareja Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…

Serikali imewahimiza wafanyabiashara na wazalishaji nchini kutumia kikamilifu fursa za masoko ya kikanda na kimataifa ili kuongeza mauzo ya nje, kuvutia wawekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi wakat…

Bongo5
Siasa Tanzania holds preparatory talks he…

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi, na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-MCO), uliofanyika jana Mei 10, 2026, Jijini Nairobi, Kenya. Mkutano huo uliolenga kuimaris…

Bongo5
Habari Justin Bieber, Shakira, Madonna na …

Kwa mara ya kwanza katika historia, mashindano haya yatapatikana kwa ukamilifu kwa wateja wote wa DStv kuanzia kifurushi cha DStv Access hadi DStv Premium, yakijumuisha mechi zote 104 mubashara, matangazo ya muhtasari na marudio. Hili linaifanya FIFA World Cup 2026™️ kuwa Kombe la Dunia linalofikika zaidi kuwahi kutok…

Bongo5
Elimu Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Veta wameingia makubaliano ya kimkakati ya miaka mitatu ya kuimarisha na kupanua jukwaa la mafunzo ya ufundi linalotegemea simu za mkononi, likilenga kuongeza upatikanaji wa elimu ya ujuzi kwa Watanzania kote nchini. Makubaliano hayo kuwa jukwaa rasmi la taifa la mafunzo ya …

Bongo5
Sheria na Mahakama Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma …

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya James Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha IFM Dar es Salaam. Marehemu Temba mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika mto Msimbazi eneo la Kipawa Ilala Aprili 30, 2026 huku ukiwa hauna …

Bongo5
Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.
Nishati na Umeme

Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.

Bongo5
From 10 May 2026 · To 30 Oct 2027
Articles on past events

More stories

POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Habari

Tucta yawataka wanahabari kujiunga na vyama vya wafanyakazi kulinda maslahi yao

Bongo5· 30 Mei 2026
Mstaa wafunguka kuhusu Wantashi wafurika kwa Wingi
Burudani

Mstaa wafunguka kuhusu Wantashi wafurika kwa Wingi

Bongo5· 28 Mei 2026
Usiku wa Dhahabu Miaka 50 ya Mageuzi
Habari

Usiku wa Dhahabu Miaka 50 ya Mageuzi

Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), mwaka huu kupitia @ta

Bongo5· 25 Mei 2026
Zayrah afunguka ubaguzi aliofanyiwa na wasanii wa Bongofleva Rwanda (Video)
Burudani

Zayrah afunguka ubaguzi aliofanyiwa na wasanii wa Bongofleva Rwanda (Video)

Bongo5· 25 Mei 2026
Matukio ya kusikitisha yaliyotokea kwenye msiba wa Mchina (Video)
Habari

Matukio ya kusikitisha yaliyotokea kwenye msiba wa Mchina (Video)

Bongo5· 25 Mei 2026
Majonzi mazito msibani kwa mchina aliyeuwawa na walinzi wake (Video)
Habari

Majonzi mazito msibani kwa mchina aliyeuwawa na walinzi wake (Video)

Bongo5· 25 Mei 2026
RECAP: Whozu ameimarika kiuandishi baada ya Collabo na Alikiba – (Video)
Burudani

RECAP: Whozu ameimarika kiuandishi baada ya Collabo na Alikiba – (Video)

Bongo5· 25 Mei 2026
RECAP: EP ya Marioo standard za Kimataifa – El Mando
Burudani

RECAP: EP ya Marioo standard za Kimataifa – El Mando

Bongo5· 25 Mei 2026
RECAP: Harmonize kufanya show Mwenge anajishusha? – El Mando
Burudani

RECAP: Harmonize kufanya show Mwenge anajishusha? – El Mando

Bongo5· 25 Mei 2026
Bingwa wa Masumbwi Duniani Terence akaribishwa kwa Kishindo Ziara ya Utalii
Habari

Bingwa wa Masumbwi Duniani Terence akaribishwa kwa Kishindo Ziara ya Utalii

Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika

Bongo5· 24 Mei 2026
Twange aeleza kutoridhishwa na kasi ya Mkandarasi mradi wa kituoa cha Kufua Umem
Habari

Twange aeleza kutoridhishwa na kasi ya Mkandarasi mradi wa kituoa cha Kufua Umem

Bongo5· 24 Mei 2026
TAWLA yaweka mkazo uwezeshaji wa Wanawake kiuchumi kupitia elimu ya sheria na fedha
Habari

TAWLA yaweka mkazo uwezeshaji wa Wanawake kiuchumi kupitia elimu ya sheria na fedha

Bongo5· 24 Mei 2026
Juma Lokole: Ujauzito wa Zuchu ni uongo (Video)
Burudani

Juma Lokole: Ujauzito wa Zuchu ni uongo (Video)

Bongo5· 24 Mei 2026
Fahamu kuhusu Program yenye uwezo wa kufanya kazi Kwenye Changamoto
Habari

Fahamu kuhusu Program yenye uwezo wa kufanya kazi Kwenye Changamoto

Bongo5· 23 Mei 2026
Jemedari Saidi aumizwa sana na Metacha atoa Povu hili
Michezo

Jemedari Saidi aumizwa sana na Metacha atoa Povu hili

Bongo5· 23 Mei 2026
MAJONZI: Stori nzima mchina aliyeuwawa na walinzi wake hii hapa (Video)
Habari

MAJONZI: Stori nzima mchina aliyeuwawa na walinzi wake hii hapa (Video)

Bongo5· 23 Mei 2026
Msiba wa Mchina aliyeuwawa na walinzi wake kisa mil 10 ni huzuni (Video)
Habari

Msiba wa Mchina aliyeuwawa na walinzi wake kisa mil 10 ni huzuni (Video)

Hivi ndivyo Mke wa Marehemu Baozhang Pamoja na Mtoto wake walivyofika Kiwandani ambapo ndo taratibu zote zinaendelea hapa. Video Nzima ipo katika Akaunti yetu y

Bongo5· 23 Mei 2026
RECAP: Wakongwe wa Bongofleva wamepania kurudisha muziki mikononi mwao
Burudani

RECAP: Wakongwe wa Bongofleva wamepania kurudisha muziki mikononi mwao

Bongo5· 23 Mei 2026
RECAP: Fid Q awachana mazima wasanii wa kisasa (Video)
Burudani

RECAP: Fid Q awachana mazima wasanii wa kisasa (Video)

Bongo5· 23 Mei 2026
Zamani tulikuwa tunaimba kwa njaa – Chid Benz
Burudani

Zamani tulikuwa tunaimba kwa njaa – Chid Benz

Bongo5· 22 Mei 2026
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.