Gundua

1200 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Nukta chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Teknolojia AI

Hadi kufikia Januari, 2024 ikiwa ni mwezi mmoja tangu kuzinduliwa kwa model mpya Deep Seek AI imepakuliwa na watumiaji zaidi ya milioni 10 katika App store.

Nukta
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Hanta virus

Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Nukta
Biashara Fuel Prices

Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

Nukta
News Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndio kuunga mkono bajeti hiyo

Nukta
Habari Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.

Nukta
Teknolojia Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Licha ya Tanzania kuwa na malengo ya uchumi wa Dola za Marekani trilioni moja unaoendeshwa na teknolojia, sekta ya tehama inachangia asilimia 1.5 tu ya GDP

Nukta
News Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

CCM imefanya mabadiliko yanayoiruhusu kamati kuu kupitisha majina zaidi ya matatu, wanaogombea nafasi ya udiwani, ubunge au ujumbe wa baraza la wawakilishi

Nukta
Ripoti Maalum Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Dar es Salaam. Joel Amiri alishangazwa na mabadiliko ya ghafla ya tabia za watu waliomzunguka mwanzoni mwa mwaka 2020 akiwa nyumbani kwao mkoani Tabora. Alianza kuona majirani zake na wanafamilia wakiwa wamevaa barakoa na kila alipojaribu kuwasogelea karibu, walimuonesha ishara ya kumtaka akae mbali nao. Wakati yeye a…

Nukta
News Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Ni pamoja na kuboresha sekta ya elimu, afya, kutoa nafasi za ajira na kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya.

Nukta
Biashara NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo.

Nukta
News Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Serikali za Tanzania na Msumbiji zimeingia makubaliano ya ushirikiano katika maeneo sita yakiwemo kubadilishana wafungwa na Tanzania.

Nukta
News Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Msumbiji, ameanza ziara ya kikazi leo nchi Tanzania inayokusudia kudumisha uhusiano wa kihistoria, kindugu na kiuchumi kati ya nchi hizo mbili.

Nukta
News Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuchukua nafasi ya Prof Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu baada ya kuhudumia mhimili huo wa dola kwa miaka minane. Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu…

Nukta
Biashara Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.

Nukta
Biashara Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…

Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.

Nukta
News Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Wambura, amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwahamisha makamanda watatu wa polisi, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kawaida ndani ya jeshi hilo.

Nukta
News Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Zaidi ya asilimia 90 ya bajeti kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo miradi 1,544 ya maji itakayotekelezwa nchi nzima na mingine ya mikubwa ya kimkakati.

Nukta
News Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Wachambuzi wa masuala ya uchumi wanasema ni muhimu Serikali kuhakikisha inaweka gharama nafuu ili wananchi waweze kumudu huduma hiyo.

Nukta
News Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Kuchukua hatua za kuongeza mitaji kwa ajili ya shughuli za kiuchumi za vijana na wanawake kwa kutenga Sh200 bilioni ni miongonimwa vipaumbele.

Nukta
News Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Asema maendeleo yanapaswa kuleta manufaa ya moja kwa moja kwa jamii inayokizunguka, hususan kupitia ajira, biashara na shughuli za kijamii zitakazoongeza kipato cha wananchi.

Nukta
News Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi nchini na Afrika.

Nukta
News Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Dk. Mpango amesema milipuko ya magonjwa ya kuambukiza, ikiwemo homa ya Marburg, imeonesha umuhimu wa maandalizi ya haraka na mifumo imara ya afya.

Nukta
News Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Jiji la Arusha limejipanga kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwemo barabara ili kuvutia wageni watakaokuja katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

Nukta
News Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, uhamisho wa viongozi mbalimbali Serikalini pamoja na mabadiliko ya muundo katika Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na Wizara ya Nishati.

Nukta
News Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Mkutano huo unalenga kuhimiza hatua za pamoja za bara na kujadili mustakabali wa rasilimali maji, afya ya jamii na maendeleo endelevu katika bara la Afrika.

Nukta
News Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

Serikali imepanga kufufua kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Industries (TPI) kilichopo Arusha kwa lengo la kuanza uzalishaji wa ARVs.

Nukta
Chakula na Mapishi Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia K…

Juisi hizi zinaweza kukusaidia kubana bajeti ya vinywaji msimu huu wa sikukuu

Nukta
News Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais Samia amepokea mialiko rasmi kutoka kwa Marais wa nchi hizo ili awe mgeni katika maadhimisho muhimu ya kitaifa, yakiwemo ya miaka 50 ya uhuru wa Msumbiji.

Nukta
Siasa Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

Miongoni mwa waliofariki ni watoto 21 na maskari wa vyombo vya ulinzi na usalama 16

Nukta
Biashara Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Nukta
News Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Uharibifu uliofanyika Oktoba 29 umehusisha kuharibiwa kwa zaidi ya ofisi 700 za kata nchini, vituo vya polisi, pamoja na nyumba na magari ya watu binafsi.

Nukta
News Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Uamuzi huo umetokana na maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Nukta
News Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Masaju amesema pamoja na uzalendo, vijana watajifunza stadi za maisha zitakazowawezesha kuwa wabunifu na kupunguza changamoto ya ukosefu wa ajira.

Nukta
Biashara Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

TRA imeandika rekodi mpya katika historia yake ya ukusanyaji mapato kwa mwaka wa fedha 2024/25 baada ya kukusanya Sh32.3 trilioni.

Nukta
News 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Nukta
News Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Mchechu amesema utegemezi wa taasisi zisizo za biashara umeendelea kupungua kwa asilimia 12.8, hatua inayoonyesha kuimarika kwa ufanisi na usimamizi wa taasisi hizo.

Nukta
News Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Aagiza kuanza kwa mchakato wa ithibati ya kimataifa na matumizi ya teknolojia za kisasa sekta ya afya.

Nukta
Uncategorized Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa visiwani Zanzibar, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kisiasa visiwani humo. Tamko hilo limesainiwa katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo Julai 9, 2026, ikishuhudiwa na Rais wa Tanzan…

Nukta
News Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Lengo la Serikali kuhamishia utaratibu huo benki lilikuwa ni kupunguza ubadhirifu na tabia ya baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo

Nukta
Biashara IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.

Nukta
News GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 imepungua kwa Sh7.2 bilioni, sawa na asilimia 4.13.

Nukta
News Tanzania eyes Russian tourism boom …

Aidha, mapato ya utalii wa ndani yamepanda kutoka shilingi bilioni 46.3 mwaka 2021 hadi bilioni 209.8 mwaka 2024, sawa na ongezeko la asilimia 353.1.

Nukta
Teknolojia Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Ushiriki wa vijana kujenga miundombinu imara ya kidijitali ya umma kutaboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa nchi.

Nukta
News Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …

Hii ni mara ya kwanza serikali inafungwa tangu mwaka 2018, katika muhula wa kwanza wa Trump, kufungwa kwa Serikali kulidumu kwa siku 34 ambao ni muda mrefu zaidi katika historia hadi mwanzoni mwa mwaka 2019.

Nukta
Habari Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.

Nukta
Maoni & Uchambuzi Free Health Services Today, Stronge…

Nowadays, artificial intelligence (AI) offers numerous capabilities that can assist farmers in enhancing their productivity.

Nukta
Education Hakielimu Launches Safe Learning As…

Students in Dodoma city are expected to see better classrooms, more learning materials, and improved school facilities following the launch of the Sanjeev Mansotra Foundation (SMF) in Tanzania.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Faida baada ya kodi ya Vodacom yafikia Sh107.1 bilioni ikiwa ni kiwango cha juu kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka saba.

Nukta
News Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Rais Mwinyi amesema Hayati Mkapa atabaki kuwa mfano wa kuigwa kutokana na mchango wake katika kujenga Taifa.

Nukta
Biashara Justin Bieber, Shakira, Madonna na …

Ni vipande kutoka uwanja wa New York New Jersey nchini Marekani, kipande kikubwa zaidi kuuzwa Sh8 milioni.

Nukta
Siasa Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …

Hatua hii imekuja baada ya mgombea huyo kushinda kesi aliyofungua kupinga uamuzi wa kuenguliwa kwenye mchakato wa uteuzi.

Nukta
News Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

Dk Mwinyi amesema kuwa uteuzi wa baraza hilo umezingatia vigezo mbalimbali ikiwemo uwiano wa kijinsia, elimu, uzoefu na uwakilishi wa pande zote.

Nukta
Afya & Maisha Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…

Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

Nukta
News Rais samia: tanzania na misri kuung…

Marais hao pia wameshuhudia utiaji saini wa rasimu ya makubaliano kuhusu ushirikiano katika sekta mbalimbali za uchukuzi pamoja na makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi.

Nukta
News Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma …

Awataka madereva na watumiaji wote wa barabara kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani ili kuzuia ajali na kulinda maisha ya wananchi.

Nukta
Afya & Maisha Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Ni mfumo unaowekwa chini ya godoro kufuatilia viashiria muhimu vya mgonjwa kwa saa 24.

Nukta
News Trc yatoa rai kwa wasafirishaji wa …

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

Nukta
News Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Siku moja tangu kuripotiwa tukio la mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni ya mume wake, Serikali imeunda tume ya wataalamu kuchunguza madai hayo ili haki itendeke.

Nukta
News Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi y…

Hatma ya urushaji wa moja kwa moja wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Lissu, itajulikana Agosti 18, 2025.

Nukta
News Detained Udom lecturer Kaijage gran…

Hii ina maana ya kwamba kwa wale waliokuwa na ndoto za kusoma kozi hizo kupitia chuo cha Udom wanapswa kutafakari upya matamanio yao na kuangalia njia mbadala.

Nukta
News Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Rais Samia, Museveni waahidi kuondoa vikwazoo mipakani, kupannua masoko, ujenzi wa miundombinu ya usafiri majini, ardhini.

Nukta
Biashara Mixx powers cashless payments for Z…

Passengers will no longer need to carry cash when travelling. Instead, they will pay their fares using smart cards integrated with the Mixx digital payments platform.

Nukta
Chakula na Mapishi Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Baadhi ya mama lishe wanadai kuwa vipato vyao ni vidogo kuwawezesha kununua majiko na gesi huku wengine wakikosa elimu sahihi ya faida za nishati hiyo.

Nukta
News Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

Amtaka Makalla kutumia uzoefu kuhakikisha Arusha inaendelea kuwa kitovu cha utalii na kuchagiza fursa za kiuchumi na kidiplomasia.

Nukta
News Rubio azindua kampeni ya kupinga Ma…

Netanyahu amempongeza Trump kwa juhudi zake za kutafuta suluhu za mzozo huo akimuita rafiki mkubwa wa Israel kati ya wote waliowahi kupita Ikulu ya Marekani.

Nukta
News Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Msimu wa pili wa Tuzo za Samia Kalamu Awards 2026 umezinduliwa rasmi huku kigezo kikuu kwa washiriki kikiwa ni kuwa na kitambulisho kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB).

Nukta
Habari na Mawasiliano Tanzania Digital Economy

High speed and reliable internet is needed in every aspect of human life from education, family growth, governance to business.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Forex and Dollar Rates

Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika viwango vilevile vya kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 katika benki zote mbili.

Nukta
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Mapinduzi sekta ya benki Tanzania, kutoka ATM hadi mawakala
Infographics

Mapinduzi sekta ya benki Tanzania, kutoka ATM hadi mawakala

Nukta· Saa 20 zilizopita
Kwanini ATM zinapungua Tanzania? 
Biashara

Kwanini ATM zinapungua Tanzania? 

Nukta· Jana
Dola ya Marekani yaongezeka kwa Sh5 NMB, CRDB ikiwa tulivu
Currencies

Dola ya Marekani yaongezeka kwa Sh5 NMB, CRDB ikiwa tulivu

Nukta· Jana
Faida Vodacom Tanzania yapaa mara tano, yafikia Sh47 bilioni
Biashara

Faida Vodacom Tanzania yapaa mara tano, yafikia Sh47 bilioni

Faida hiyo ni mara tano zaidi kulinganisha na faida ya Sh8.5 bilioni iliyokusanywa katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.

Nukta· Siku 3 zilizopita
Mixx powers cashless payments for Zanzibar’s electric bus project
Biashara

Mixx powers cashless payments for Zanzibar’s electric bus project

Nukta· Siku 4 zilizopita
Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni, yabaki tulivu dhidi ya Dola
Currencies

Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni, yabaki tulivu dhidi ya Dola

Nukta· Siku 4 zilizopita
Dola yatulia, Euro yapanda kidogo Julai 23, 2026
Currencies

Dola yatulia, Euro yapanda kidogo Julai 23, 2026

Nukta· Siku 5 zilizopita
Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara
Habari

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta· Siku 5 zilizopita
Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi Duniani
Afya & Maisha

Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi Duniani

Nukta· Siku 5 zilizopita
Shilingi yaendelea kuimarika dhidi ya Euro na Pauni, Dola yabaki tulivu
Currencies

Shilingi yaendelea kuimarika dhidi ya Euro na Pauni, Dola yabaki tulivu

Nukta· Siku 6 zilizopita
Brenda Msangi kung’atuka CCBRT Machi 2027
Afya & Maisha

Brenda Msangi kung’atuka CCBRT Machi 2027

Brenda aliyeitumikia CCBRT kwa zaidi ya miaka 17 alikuwa Mtanzania na mwanamke wa kwanza kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Desemba 2018

Nukta· Siku 6 zilizopita
Soko la fedha labaki tulivu Julai 21, 2026
Currencies

Soko la fedha labaki tulivu Julai 21, 2026

Nukta· 21 Jul 2026
Watakaohujumu SGR, bandari, meli Kigoma kumulikwa
News

Watakaohujumu SGR, bandari, meli Kigoma kumulikwa

Nukta· 20 Jul 2026
Zaidi ya mawasiliano: Vodacom inavyochochea mustakabali wa kidijitali Tanzania
Biashara

Zaidi ya mawasiliano: Vodacom inavyochochea mustakabali wa kidijitali Tanzania

Nukta· 20 Jul 2026
Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni yabaki tulivu dhidi ya Dola
Currencies

Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni yabaki tulivu dhidi ya Dola

Nukta· 20 Jul 2026
Serikali ya Misri kutengewa eneo bandari ya Bagamoyo, Kwala
News

Serikali ya Misri kutengewa eneo bandari ya Bagamoyo, Kwala

Nukta· 18 Jul 2026
Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani
Biashara

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Nukta· 18 Jul 2026
Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafikia 2,073, vifo 796 ndani ya miezi miwili DRC
Afya & Maisha

Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafikia 2,073, vifo 796 ndani ya miezi miwili DRC

Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

Nukta· 17 Jul 2026
UDSM yaingia 10 bora wahitimu kuajirika Afrika, yaiweka Tanzania kwenye ramani ya vyuo duniani 
Habari

UDSM yaingia 10 bora wahitimu kuajirika Afrika, yaiweka Tanzania kwenye ramani ya vyuo duniani 

Nukta· 17 Jul 2026
Watalii waongezeka Tanzania, mapato yavunja rekodi mwaka 2025
Safari

Watalii waongezeka Tanzania, mapato yavunja rekodi mwaka 2025

Nukta· 17 Jul 2026
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.