Gundua

797 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Soka La Bongo chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Habari za michezo Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

MEXICO CITY, MEXICO: WENYEJI wenza wa michuano ya Kombe la Dunia, Mexico imefuzu hatua ya 16 bora baada ya kuichapa Ecuador mabao 2-0, katika mechi kali na ya kuvutia ya hatua ya 32 bora. Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azteca, jijini, ilichelewa kuanza kwa zaidi ya saa moja tofauti na muda uliopangwa kutokana…

Soka La Bongo
Habari za michezo Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…

KUNA mengi yanaendelea katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ambako kuna rekodi kibao zinavunjwa na zingine hazijavunja hadi sasa. Lakini, wakati nchi zilizofuzu mtoano wa hatua ya 32 bora zikijifua kwa ajili ya michuano hiyo, kuna jambo jingine limeibuka. Nalo ni namna mpira unavyochezwa sasa licha ya maendeleo makub…

Soka La Bongo
Michezo Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …

Mchezo unapokuwa na sapraizi, kila mzunguko huwa na maana yake. Meridianbet imeleta Rewards Burst Prize Drops, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kupata zawadi za papo hapo wanapocheza michezo inayostahili. Kuanzia fedha taslimu hadi vizidishi vya ubashiri, kuna mengi ya kutazamia kila unapocheza. Na jambo kubwa…

Soka La Bongo
Habari za michezo Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viun…

LONDON, ENGLAND: KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca ameshaanza kazi, akiweka sawa mambo kabla ya kuanza na mechi ya ufunguzi wa msimu wa 2026/27 ambayo itakuwa Ngao ya Jamii itakayopigwa Agosti 18, mwaka huu katika Uwanja wa Wembley jijini London. Hata hivyo, kuna mambo ambayo yanamsubiri anayopaswa kuhakikis…

Soka La Bongo
gambling Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…

Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako dogo tuu kisha ubashiri mechi za leo. Tukianza na Uholanzi Ligi kuu (Eredivisie) inaanza kwa mechi ambayo inawapa mabingwa watetezi PSV Eindhoven nafasi za kuanza kutetea taji lao …

Soka La Bongo
Burudani Play’n GO na Meridianbet Waungana K…

Tahadhari kwa wapenzi wa burudani za kasino, kuna mchezo mpya unaokuja na ladha tofauti kabisa. Mystic Guardians, mchezo mpya kutoka Expanse, umeingia Meridianbet ukiwa umebeba ulimwengu wa walinzi wa kale, nguvu za ajabu na mafumbo yanayoweza kufanya kila raundi kuwa tukio la kusubiriwa. Hii ni safari inayokualika ku…

Soka La Bongo
Meridianbet Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …

Mashindano ya michuano mikubwa Duniani imeendelea kushika hatamu huku sasa ni hatua za mtoano. Timu zimebaki 8 hadi sasa huku wachezaji mbalimbali wakiwania tuzo ya mchezaji bora. Je nani kuondoka na tuzo hiyo? Nafasi ya kwanza ya kuchukua tuzo hii kule Meridianbet anapewa mshambualiaji wa Real Madrid na timu ya Taifa…

Soka La Bongo
Yanga SC Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…

Mbio za kuelekea taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Bara kwa mabingwa watetezi, Yanga SC, sasa zimefikia hatua ya kukatwa shingo. Jana pale kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, Wananchi walishusha kandanda safi na kuichapa TRA United mabao 3-0, huku wakituma salamu za wazi kwa mahasimu wao kwamba taji linarudi…

Soka La Bongo
Habari za michezo Prediction Afrika Kusini vs Canada …

ATLANTA, MAREKANI: KATIKA matukio yaliyotikisa mashabiki wa soka duniani, timu tatu za Afrika zimeondolewa kwa maumivu makubwa katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuruhusu mabao ya ushindi katika dakika ya 86. Timu hizo ni Ivory Coast, DR Congo na Senegal, ambazo zote ziliondolewa katika mechi tofa…

Soka La Bongo
Meridianbet Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako sasa na ubashiri ndani ya Meridianbet. Meridianbet, inaendelea kutoa huduma mpya ya Early Payout, inayolenga kuboresha uzoefu wa wateja wake na kuhakikisha ushindi unapatikana haraka zaidi. Hudu…

Soka La Bongo
Habari za michezo Norway yaiondosha ivory coast kombe…

Brazil imeaga fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa New York/New Jersey, Marekani. Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila kufungana, straika wa Norway, Erling Haaland aliibuka shujaa wa mchezo kwa kufunga mabao mawili kat…

Soka La Bongo
Misaada na Hisani Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

Meridianbet imeendelea kupanua wigo wa matendo yake ya kijamii baada ya kushuka Tabata Kisukuru, Dar es Salaam, na kuitembelea The Community Centre for Preventive Medicine. Safari hii, kampuni hiyo ilifika katika kituo hicho ikiwa na lengo la kuwasaidia wazee wanaoishi hapo kwa kuwapatia mahitaji muhimu ya kila siku. …

Soka La Bongo
Ujenzi na Miundombinu Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

ZANZIBAR: Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imethibitisha kuwa ujenzi wa mradi mkubwa wa Uwanja wa Michezo wa Zanzibar (Fumba Stadium) unakwenda kwa kasi ya kuridhisha, huku ukiwa tayari umekamilika kwa asilimia 65 na hakuna hatua yoyote iliyosimama. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michez…

Soka La Bongo
Biashara Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kusis…

MUNICH, UJERUMANI: RB Leipzig ilianzishwa mwaka 2009—wakati huo, mmoja wa wachezaji wake wa hivi karibuni kuuzwa kwa mamilioni ya fedha, Yan Diomande, akiwa na umri wa miaka mitatu tu! Hivi sasa, mfumo wa klabu hiyo wa kusaka vipaji vidogo, kuvilea, na kisha kuviuza kwa pesa ndefu umegeuka kuwa karata ya kipekee ya ku…

Soka La Bongo
Habari za michezo Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe…

LOS ANGELES, MAREKANI: NYOTA wa Brazil, Neymar, ametangaza kustaafu soka la kimataifa baada ya Brazil kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Norway. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 34 anaondoka akiwa ndiye kinara wa mabao wa muda wote wa timu ya taifa ya Brazil…

Soka La Bongo
Burudani Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…

Kuna ushindi ambao huanza kwa uamuzi mmoja tu wa kucheza mchezo fulani. Meridianbet imeamua kuufanya uamuzi huo uwe na thamani zaidi kupitia mashindano ya Spin for Glory, yanayowapa mashabiki wa Endorphina na Games Global nafasi ya kushindania kitita cha TSh 3,000,000. Katika mashindano haya, kila raundi inayokidhi ma…

Soka La Bongo
Michezo Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

DAR ES SALAAM: Klabu ya Simba SC imeendelea kukisuka kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa 2026/27 baada ya kukamilisha usajili wa kiungo mzawa, Kelvin Nashon, akitokea Pamba Jiji FC ya jijini Mwanza. Nashon ametua Msimbazi akisaini mkataba wa miaka miwili ambao utamshuhudia akivaa uzi mwekundu na mweupe. Simba wame…

Soka La Bongo
Biashara Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Kombe la Dunia 2026: Mixx Super App Kumtangaza Mshindi wa Sh50 Milioni Kampeni Ikielekea Tamati WAKATI michuano ya Kombe la Dunia ikifikia tamati Jumapili ya Julai 19, 2026, Watanzania wameendelea kunufaika nje ya uwanja kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi” ambapo washindi 80 tayari wa…

Soka La Bongo
Meridianbet Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Leo, Julai 14, soka la dunia linasimamisha pumzi. Katika uwanja wa Dallas Stadium, Texas, mabingwa wawili wa Ulaya France na Spain wanakutana kwenye nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Dunia 2026. Mchezo utaanza saa 22:00 usiku. Njia zao za kufika hapa zimekuwa tofauti kabisa lakini zote zenye mafanikio. France wali…

Soka La Bongo
Burudani Justin Bieber, Shakira, Madonna na …

Wimbo maalum wa Kombe la Dunia 2026 uitwao ‘Dai Dai’ ulioimbwa na mwanamuziki Shakira kutokea Colombia pamoja na Burna Boy wa Nigeria, unaendelea kufanya vizuri na sasa ukiweka rekodi chati ya Billboard Hot 100. Dai Dai ni wimbo unaohimiza umoja dunia kote kupitia michuano hiyo ya juu zaidi katika soka inayofanyika ka…

Soka La Bongo
Michezo Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

Fainali ya Kombe la Dunia 2026: Hispania vs Argentina Kutimua Vumbi Atlanta Pazia la Kombe la Dunia 2026 linatarajiwa kushushwa kwa pambano la kukata na shoka mjini Atlanta, Marekani. Mabingwa wa Ulaya, Hispania, watashuka uwanjani kumenyana na mabingwa watetezi wa dunia na Amerika Kusini, Argentina, katika fainali in…

Soka La Bongo
Michezo Yanga Waanze Kujipanga, Beki Simba …

UONGOZI wa Yanga umeendelea kuwapa hamasa kubwa mashabiki wake kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2026/27, huku ukiweka wazi mpango wa kuendelea kukisuka kikosi hicho kwa kufanya usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza kuelekea msimu mpya, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kuwa usajili w…

Soka La Bongo
Michezo Kocha Mngqithi Ndiye Aliyesuka Kiko…

Klabu ya Yanga ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa nyota wawili wa kimataifa kutoka Afrika Kusini, Justice Figueiredo na Thalani Gumede. Wachezaji hawa wote wametua klabuni hapo chini ya mapendekezo ya moja kwa moja ya Kocha Mkuu mpya, Manqoba Mngqithi, kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2026/27. Ta…

Soka La Bongo
Michezo Baada Ya kuwindwa Na Simba, Yona Ac…

Siku za utambulisho wa nyota wapya katika matukio ya Simba Day na Wiki ya Wananchi zilibeba msisimko mkubwa msimu huu. Hata hivyo, kilichobadili kabisa upepo wa soka nchini ni usajili wa mshambuliaji Selemani Mwalimu, aliyetajwa kujiunga na Simba lakini mwishowe akatua Yanga kwa mkopo. Uhamisho huu kutoka klabu ya Wyd…

Soka La Bongo
Habari za michezo Messi Afunguka Baada ya Argentina K…

ATLANTA, MAREKANI: POLISI nchini Marekani wameweka tahadhari ya kiwango cha juu kuelekea mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya England na Argentina utakaochezwa Jumatano kwenye Uwanja wa Mercedes-Benz mjini Atlanta, kufuatia hofu ya kutokea kwa vurugu kati ya mashabiki wa mataifa hayo mawili. Mchezo hu…

Soka La Bongo
Habari za michezo Mbappe Ampita Messi Kuwa Mfungaji B…

ATLANTA, MAREKANI: BEKI wa kushoto wa England, Nico O’Reilly, amesema anaiona mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Argentina kama fursa ya kipekee ya kumkabili Lionel Messi, ambaye anaamini ni mchezaji bora zaidi kuwahi kucheza soka. England inahitaji kuichapa Argentina ili kufuzu fainali ya Kombe la Dunia…

Soka La Bongo
Michezo Trump kuhudhuria fainali ya kombe l…

Donald Trump Kuhudhuria Fainali ya Kombe la Dunia 2026: Kukabidhi Kombe na Infantino Ikulu ya Marekani (White House) imethibitisha kuwa Rais Donald Trump atakuwa miongoni mwa wageni mashuhuri watakaoshuhudia fainali ya Kombe la Dunia 2026. Fainali hiyo ya kukata na shoka kati ya Argentina na Hispania inatarajiwa kupig…

Soka La Bongo
Michezo UFC Fight Night Serbia: Meridianbet…

Leo ni siku ambayo mashabiki wa UFC wamekuwa wakiisubiri kwa hamu kubwa. Belgrade Arena nchini Serbia itakuwa mwenyeji wa UFC Fight Night Belgrade, tukio litakalokusanya wapiganaji mahiri tayari kutoa burudani ya hali ya juu mbele ya dunia nzima. Lakini kwa mashabiki wa Meridianbet, usiku huu una maana nyingine kubwa …

Soka La Bongo
Michezo Yanga Princess Kukamilisha Usajili …

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wameonyesha nia ya dhati ya kuendeleza utawala wao nchini na barani Afrika kuelekea msimu mpya wa 2026/27, baada ya kukamilisha awamu ya kwanza ya usajili wa wachezaji wazawa na sasa kugeukia ‘shoti za kimataifa’. Afisa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe…

Soka La Bongo
Michezo Simba Day 2026: Simba SC Kuvaana Na…

RAIS wa Simba SC, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’, ameweka mezani pendekezo kubwa la uwekezaji wa Shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ya klabu hiyo, huku akisisitiza yuko tayari kuanza kazi mara moja ikiwa Bodi ya Wadhamini itatoa ruhusa. Mo Dewji aliyabainisha hayo wakati wa kilel…

Soka La Bongo
Michezo Simba Yashinda Vita Ya Mwalimu, Aza…

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameanza kusuka kikosi chake cha mauaji kuelekea msimu wa 2026-2027, huku kipaumbele chake cha kwanza kikiwa ni kubakisha nyota muhimu walioipa mafanikio timu hiyo. Barker, ambaye ameiongoza Simba kutwaa Kombe la Shirikisho la CRDB na Kombe la Muungano tangu akabidhiwe mikoba Desem…

Soka La Bongo
Michezo Fainali Ya Argentina vs Spain: Vita…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain si mchezo wa kawaida wa soka ni mkutano wa vizazi viwili tofauti vya mpira wa miguu. Upande mmoja kuna Lionel Messi, mwenye umri wa miaka 38, akicheza huenda michuano ya Dunia yake ya mwisho, akitafuta kuweka muhuri wa mwisho kwenye urithi wake kwa kuwa nahodha wa kwanza […]

Soka La Bongo
Michezo Hispania yatwaa kombe la dunia 2026

Wakati timu ya taifa ya Hispania ikijiandaa kushuka uwanjani kusaka taji lao la pili la Kombe la Dunia, kumbukumbu za safari yao ya kihistoria ya mwaka 2010 zinasalia kuwa moja ya mafanikio makubwa zaidi katika soka la kimataifa. Ni katika ardhi ya Afrika Kusini ambapo kizazi cha dhahabu cha La Roja—kikiwa na mastaa k…

Soka La Bongo
Geita Gold FC Yanga Yamtambulisha Chuga Boy Kutok…

MABOSI wa Geita Gold wamefungua mazungumzo na mabingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2025-2026, Klabu ya Yanga kwa lengo la kumrejesha aliyekuwa winga nyota wa kikosi hicho, Edmund John kutokana na kutopata nafasi ya kucheza mara kwa mara. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, umeliambia Mwanaspoti Edmund ni m…

Soka La Bongo
Yanga SC Mwamnyeto Mguu Nje Mguu Ndani Yanga

Kiungo mshambuliaji na nyota wa kimataifa wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki, ameanza rasmi mazoezi na kikosi hicho katika Uwanja wa Avic Town, Kigamboni, tayari kwa maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2026/27. Aziz Ki, ambaye alitambulishwa rasmi Jumamosi ya Agosti 15, 2026, alionekana leo akifanya mazoezi ya pamoja…

Soka La Bongo
Burudani Gates of Olympia Yawazawadia Watanz…

TZS 75,000,000,000 ziko mezani, na safari ya kusisimua inaanza. Meridianbet imeleta Non-Stop Blasts & Races, kampeni inayochanganya mashindano ya kasi, zawadi na nafasi nyingi za kushinda kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Kwa wachezaji wanaopenda burudani yenye ushindani, hii ni fursa ya kuingia kwenye mchezo…

Soka La Bongo
Meridianbet Sporting dhidi ya Strasbourg: Mechi…

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana. Usisubiri kuhadithiwa kwani mabingwa wote wanapatikana hapa. Michuano ya COPPA ITALIA ya Raundi ya kwanza kupigwa ambapo Pisa ataumana vikali dhidi ya Empoli. Hii ni mechi yenye mvuto kwa sabab…

Soka La Bongo
Burudani Mastaa 5 wa Kombe la Dunia Waliooa …

Kipa wa Arsenal na timu ya taifa ya Hispania, David Raya (30), anaendelea kufurahia maisha ya ndoa na mwanamitindo Tatiana Trouboul (27). Ndoa yao, iliyofungwa mwaka uliopita, imebeba kumbukumbu za kipekee zaidi kwao, hususan kutokana na ziara yao ya fungate nchini Tanzania. Tatiana, aliyetoka kuwa mpenzi aliyekuwa ak…

Soka La Bongo
Biashara Real Madrid Wajiondoa Kwenye Mbio z…

MANCHESTER, Uingereza – Kiungo machachari wa Atalanta, Ederson, amefichua kuwa mpaka sasa hajui sababu halisi iliyofanya uhamisho wake wa kujiunga na Manchester United uvunjike mapema katika dirisha hili la usajili. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 alikuwa kwenye rada za Mashetani Wekundu, huku makubaliano ya ada…

Soka La Bongo
Habari za michezo Aston Villa Yamnasa Johan Manzambi,…

SAN ANTONIO, MAREKANI: KLABU ya San Antonio Spurs imeonyesha wazi imejipanga kujenga timu yake kwa muda mrefu baada ya kumfunga nyota wake Victor Wembanyama mkataba mpya wa miaka mitano wenye thamani ya dola milioni 252 (zaidi ya Sh670 bilioni). Kwa mujibu wa ESPN, makubaliano hayo yalifikiwa jana, huku mkataba huo uk…

Soka La Bongo
Michezo Wilson Aanza Kuwa Tishio Huko Vegas

ushuka Daraja kwa Tanzania Prisons Kuwe Funzo la Kujipanga Upya LICHA ya maumivu makali ya kushuka daraja, hatua hii inaweza kuwa msaada mkubwa kwa Tanzania Prisons kujitathmini na kujipanga upya. Baada ya msoto wa muda mrefu uliomalizika kwa kipigo cha jumla ya mabao 4-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mechi za mtoan…

Soka La Bongo
Habari za michezo Barcelona Iko Tayari Kumuuza Jules …

BARCELONA, HISPANIA: MANCHESTER United imepata majibu kuhusu uwezekano wa kiungo chipukizi wa Barcelona, Marc Bernal, kujiunga nayo katika dirisha hili la usajili, baada ya kuikataa timu hiyo. Barcelona ina kizazi bora cha wachezaji vijana akiwemo Bernal, Lamine Yamal, Pau CubarsI, Gavi na Alejandro Balde ambapo kutok…

Soka La Bongo
Habari za michezo Marcus Rashford Ajiunga na Kambi ya…

MANCHESTER, ENGLAND: NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, ameripotiwa kufanya uamuzi wa mwisho kuhusu mustakabali wake kwa kuamua kubaki Old Trafford kwa angalau msimu mmoja zaidi licha ya kuendelea kuwindwa na klabu kadhaa za Saudi Arabia. Kiungo huyo wa kimataifa wa Ureno amekuwa akihusishwa na uwezekano w…

Soka La Bongo
Habari za michezo Argentina Yarejea Nyumbani Bila Mes…

MABINGWA watetezi, Argentina wameendeleza ubabe wao kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Jordan mabao 3–1 katika mchezo wa mwisho wa Kundi J uliochezwa alfajiri ya Juni 28, 2026, huku nahodha wa kikosi hicho, Lionel Messi akiendeleza makali yake ya kucheka na nyavu. Licha ya Argentina kufanya mabadiliko makubw…

Soka La Bongo
Habari za michezo Aston Villa Yaanza Mazungumzo Kumsa…

LONDON, ENGLAND: ASTON Villa yaifikisha FIFA Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) baada ya kuzuiwa kumsajili chipukizi Brian Madjo. Klabu ya Aston Villa imewasilisha rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kupinga uamuzi wa FIFA wa kuzuia usajili wa mshambuliaji chipukizi Brian Madjo, mwenye umri wa mi…

Soka La Bongo
Habari za michezo Italia Yapambana Kufanya Mapinduzi …

RABAT, MOROCCO: KLABU ya AS FAR ya Morocco imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Yanga, Mreno, Pedro Goncalves, kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Alexandre Santos aliyeondolewa mwishoni mwa msimu uliopita. AS FAR imefikia uamuzi huo baada ya kutoridhishwa na matokeo ya msimu wa 2025/26, ambapo Sant…

Soka La Bongo
Burudani Mbosso, Bonge La Dada Kazi Inaongea!

Familia ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, na mpenzi wake, Zuchu, ipo kwenye furaha kubwa baada ya msanii huyo kujifungua mtoto wao wa kike. Mtoto huyo amepewa jina la Sanura, jina halisi la mama mzazi wa Diamond Platnumz, maarufu kama Mama Dangote au Bi Sandra. Akizungumza na chombo cha habari cha Soka la Bong…

Soka La Bongo
Michezo Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…

Ijumaa, 31 Julai 2026 Uwanja: St. Andrew’s @ Knighthead Park, Birmingham | Aina ya Mechi: Kirafiki (Pre-Season) Birmingham City na FC Barcelona watakutana rasmi Ijumaa hii katika mechi ya kirafiki inayofunga msimu wa maandalizi kwa upande wa wenyeji, na kuashiria mwanzo wa kambi ya pre-season kwa upande wa wageni. Mec…

Soka La Bongo
Habari za michezo Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi…

LONDON, England: KLABU ya Fulham imemtangaza rasmi Alvaro Arbeloa kuwa kocha wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu, akichukua nafasi ya Marco Silva ambaye ameondoka kujiunga na Benfica ya Ureno. Arbeloa, mwenye umri wa miaka 43 na aliyekuwa kocha wa Real Madrid, alisema anajivunia kupewa nafasi ya kuiongoza Fulham, ak…

Soka La Bongo
Michezo Madrid, PSG, Liver kazi ipo kwa Dio…

Dirisha la usajili barani Ulaya limezidi kupata moto huku vilabu mbalimbali vikipambana kukamilisha usajili wa nyota wanaowazawadia matokeo uwanjani. Hizi hapa ndizo taarifa kuu na za hivi karibuni za usajili zinazobamba zaidi: Marcus Rashford Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ipo tayari kutumia fedha nyingi kumshawishi …

Soka La Bongo
Habari za michezo Joshua Arejea Ulingoni ‘Kumvaa’ Pre…

LONDON, ENGLAND: BONDIA nyota wa Uingereza, Anthony Joshua atarejea rasmi ulingoni Julai 25 nchini Saudi Arabia kupambana na Kristian Prenga katika pambano linalotajwa kuwa hatua ya mwisho kabla ya kukutana na Tyson Fury baadaye mwaka huu. Waandaaji wa pambano hilo sasa wamethibitisha ratiba kamili ya mapambano ya uta…

Soka La Bongo
Michezo Barker Aizidi Kete Yanga Kwa Makgal…

KIGALI, Rwanda — Licha ya safari ya Simba SC kwenye Mashindano ya Kombe la CECAFA Kagame Cup 2026 kufikia tamati mapema, kikosi hicho kimeamua kutosafiri mara moja na badala yake kitasalia mjini Kigali, Rwanda, kuendelea na kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mabingwa hao wa zamani walihitimisha mechi zao za…

Soka La Bongo
Burudani Muundo Rahisi na Ubunifu wa Kisasa …

Kuna michezo inayohitaji maelezo mengi kabla hujaanza kuielewa, lakini Wild 4th Fruits si mmoja wao. Mchezo huu mpya kutoka Xpanse umeingia Meridianbet ukiwa na lengo la kutoa burudani rahisi, nyepesi na yenye mvuto wa kipekee. Ukiwa umejengwa kwenye mandhari ya matunda yenye rangi mbalimbali, Wild 4th Fruits unakupa …

Soka La Bongo
Elimu Mafunzo kuogelea kutolewa bure kwa …

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesema ujio wa kocha wa kimataifa wa mchezo wa kuogelea kutoka Marekani, Ben Lee, ni fursa ya dhahabu kwa makocha na waogeleaji wazawa kujifunza mbinu za kisasa za viwango vya kimataifa. Kocha Lee, ambaye ana uzoefu mkubwa wa kufundisha katika ngazi za NCAA na Michezo ya Olimpiki, at…

Soka La Bongo
Michezo Zidane apigiwa chapuo kuinoa Ufaran…

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Ufaransa (FFF) leo, Jumanne, Julai 28, 2026, limemtambulisha rasmi gwiji wa soka Zinedine Zidane kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu yao ya taifa. Zidane (54) amesaini mkataba wa miaka minne wa kuifundisha Ufaransa, akichukua nafasi ya mchezaji mwenzake wa zamani wa Juventus na timu ya tai…

Soka La Bongo
Michezo Fahamu Safari ya Peter Shalulile wa…

Baada ya Yanga SC kumtambulisha rasmi mshambuliaji Selemani Mwalimu, ushindani wa namba katika safu ya ushambuliaji unatarajiwa kushika kasi mpya kuelekea msimu wa 2026/27. Usajili huu unampa Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi, wigo mpana zaidi wa kuchagua kikosi chake cha kwanza. Kuingia kwa Mwalimu kunaifanya Yanga kuwa n…

Soka La Bongo
Burudani Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyum…

Uhusiano wa msanii Harmonize na mwigizaji Kajala Masanja umeingia tena kwenye vichwa vya habari, huku maswali mengi yakikosa majibu kuhusu hatma ya penzi lao linaloendelea kuzua gumzo. Mjadala huu mpya umeibuka mara baada ya baadhi ya mashabiki kuanza kuhoji iwapo wawili hao bado wako pamoja au wameingia tena kwenye m…

Soka La Bongo
Michezo Twiga Stars yajaribu mitambo Morocco

DAR ES SALAAM, Tanzania — Licha ya timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania (Twiga Stars) kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Burkina Faso katika mchezo wao wa pili wa Kundi B wa WAFCON 2026, matumaini ya kutinga hatua ya robo fainali bado yapo mikononi mwao. Hivi sasa, Tanzania inashika nafasi ya tatu ikiwa na […]

Soka La Bongo
Yanga SC Mjukuu wa Idi Amin na ndoto za ‘kui…

YANGA inajua msimu huu imekwamishwa na wachezaji wake wapya kushindwa kuonyesha ubora, sasa kuna hesabu kali zinapigwa juu ya kuboresha eneo la kiungo zikimuhusisha kiungo wao wa zamani Stephanie Aziz KI iwapo dili hilo likikwama tu kuna mashine inatua kutoka Uganda. Mabosi wa Yanga wanapiga hesabu za kumrudisha staa …

Soka La Bongo
Huduma za Binafsi na Maisha Meridianbet Yaleta Raha Mpya ya Kub…

Fursa inakuja mara chache, na hii ni moja ya hizo. Meridianbet, kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri, inawapa wapenzi wa michezo na kasino nafasi ya kushinda moja kati ya simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy A26. Jisajili sasa kupitia app au tovuti, weka dau, na uwe miongoni mwa wale watakaochaguliwa. Hii sio…

Soka La Bongo
Michezo Faida Vodacom Tanzania yapaa mara t…

Dar es Salaam, 16 Julai 2026. Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wa…

Soka La Bongo
Meridianbet Nani Kufuzu Kucheza Ligi ya Mabingw…

Mechi kali zinatarajiwa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku tayari Meridianbet wakiwa wamekuwekea Odds za kuvutia. Je nani unampendelea zaidi kukupatia matokeo?. Jisajili hapa. Ligi kuu kule Hispania yaani LALIGA itaendelea ambapo Barcelona atakipiga dhidi ya Rayo Vallecano ambapo mabingwa hao watetezi wanataka kua…

Soka La Bongo
Michezo Mnyama Kunguruma Leo! Simba Kufanya…

DAR ES SALAAM, Tanzania — KILELE cha tamasha kubwa la Yanga Day 2026 kinatarajiwa kutimua vumbi leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, kikihitimishwa kwa mechi kabambe ya kirafiki ya kimataifa kati ya mabingwa hao wa nchi, Yanga SC, dhidi ya Les Aigles Du Congo. Tamasha la mwaka huu linawandikisha h…

Soka La Bongo
Michezo Yanga SC vs Simba SC Ngao ya Jamii:…

KIKOSI cha Simba SC kimeanza safari ya kuelekea visiwani Zanzibar leo Jumatatu alfajiri, huku benchi la ufundi likikamilisha mipango ya mwisho kuelekea pambano kubwa la Ngao ya Jamii dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC. Simba inatarajiwa kushuka dimbani siku ya Jumatano, Agosti 12, 2026, katika Uwanja wa New Amaan C…

Soka La Bongo
Michezo Simba Wapigwa Bao Mchana Kweupe, Ya…

DAR ES SALAAM – Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ameweka nukta kwenye mijadala inayoendelea akisisitiza kuwa klabu hiyo haihusiki kwa namna yoyote na sakata linalomkabili mshambuliaji Selemani Mwalimu Yanga. Kauli hiyo imekuja kufuatia uvumi uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukidai…

Soka La Bongo
Michezo Barker, Mngqithi Uso kwa Uso Dabi y…

Hatimaye ile Derby ya kibabe iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya Ngao ya Jamii imefika. Je Ni Simba au Yanga kuondoka na pointi 3?. Tengeneza jamvi lako la uhakika na uwe mshindi sasa. Jumatano ya leo tutashuhudia mtanange mkali wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Yanga kule Zanzibar katika Dimba la New Aman Complex…

Soka La Bongo
Michezo Morocco Wajiweka Tayari Kwa Nusu Fa…

Nahodha wa timu ya taifa ya wanawake ya Malawi (Scorchers), Tabitha Chawinga, ameeleza imani yake kubwa kuwa mshambuliaji wa Kansas City Current, Temwa Chawinga, ana nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Ballon d’Or ya Wanawake mwaka huu. Kauli hiyo inajiri baada ya Temwa kuwa na msimu wa ajabu, uliotawaliwa na mafanikio mak…

Soka La Bongo
Michezo TFF Yathibitisha FVS Kutumika Dabi …

Nchi inasimama! Itakapotimia saa 2:30 usiku wa leo, macho na masikio ya wapenda soka wote yatakuwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Bongo, Yanga SC na Simba SC, itazipiga katika Mchezo wa Dabi ya Kariakoo kuwania taji la Ngao ya Jamii 2026. Mchezo huu wa ufunguzi wa pazia la msimu mpya […]

Soka La Bongo
Michezo Ukweli WKuhusu Hatima ya Depu Yanga…

Mshambuliaji wa Yanga, Laurindo Depu, anaonekana kuingia kwenye sintofahamu kubwa kuhusu hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya jina lake kutotajwa wakati wa utambulisho wa kikosi cha msimu wa 2026/27. Tukio hilo lilijiri katika kilele cha Tamasha la Wiki ya Mwananchi lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es…

Soka La Bongo
Meridianbet Cheza Bass Cash 1000 Mapema, Furahi…

Meridianbet imeleta burudani mpya kwa wapenzi wa michezo ya kasino kupitia 3 Fisher Cats, mchezo mpya kutoka Amigo unaowapa wachezaji nafasi ya kuufurahia mapema. Safari hii inawaleta paka watatu wajanja wanaoingia kwenye maji wakiwa na lengo moja tu, kuvua samaki na kugundua hazina zinazoweza kujificha kwenye kila mz…

Soka La Bongo
Habari za michezo Cristiano Ronaldo Amuoa Georgina Ro…

Msimu wa kwanza wa Bernardo Silva (31) ndani ya klabu ya Real Madrid unagusa pia maisha yake ya familia. Bernardo na mkewe Ines Tomaz (28), mwanamitindo mwenye ndoto kubwa, wameingia mwaka wa tatu wa ndoa yao huku wakianza maisha mapya nchini Hispania. Kiungo huyo wa kimataifa wa Ureno alijiunga na Real Madrid kama mc…

Soka La Bongo
Michezo Kangwanda Afichua Siri ya Bao la Us…

DAR ES SALAAM: Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Albert Kangwanda, ameweka wazi siri iliyomfanya afunge bao la ushindi lililowapa ubingwa wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC. Mzaliwa huyo wa Luanshya nchini Zambia, alipachika goli hilo pekee la ushindi kwa kichwa katika dakika ya 31 ya mchezo, a…

Soka La Bongo
Azam FC Azam FC Yajibu Tetesi za Fei Toto K…

Kikosi cha Azam FC kimeanza msimu huu wa Ligi Kuu Bara kwa kasi ya tofauti na mwamko mpya, huku safu yao ya ushambuliaji ikiongozwa na nyota wawili hatari, Abdul Suleiman ‘Sopu’ na Idd Seleman ‘Nado’. Wawili hawa wamekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki kutokana na viwango vyao vya juu uwanjani. Sopu amejipambanua kama …

Soka La Bongo
Habari za michezo Desiree Ellis Aweka Wazi Vita ya Ba…

Leo saa 2:00 usiku, macho na masikio ya wapenda soka barani Afrika yatakuwa katika Dimba la Moulay El Hassan mjini Rabat, Morocco. Ni hitimisho la siku 21 za msisimko wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), ambapo Cameroon (‘Indomitable Lionesses’) itachuana vikali dhidi ya miamba wapya, Malawi. Huu si mc…

Soka La Bongo
Habari za michezo Chipukizi FC Yafanya Kufuru: Yashus…

BAADA ya kufanya usafi wa kikosi kwa kuachana na wachezaji 15, klabu ya Mlandege imeanza rasmi mchakato wa kusajili mitambo mipya kuelekea msimu wa 2026/2027, ikilenga kujenga timu yenye mchanganyiko wa damu changa na ushindani wa muda mrefu. Katika usajili wa msimu huu, Mlandege imeweka nguvu kubwa kwa wachezaji weny…

Soka La Bongo
Habari za michezo Luis Enrique Atoa Tahadhari Kabla y…

Klabu ya Napoli inadaiwa kuongeza dau ili kufanikisha usajili wa beki wa kati wa Chelsea, Benoit Badiashile. Mazungumzo kati ya pande zote mbili pamoja na wawakilishi wa mchezaji huyo yameripotiwa kufikia hatua za mwisho. Chelsea ipo kwenye mpango wa kufanya mabadiliko makubwa katika safu yake ya ulinzi. Beki Trevoh C…

Soka La Bongo
Michezo Bongo Msimu Mpya wa Ligi Waanza kwa Sare!…

Pamba Jiji vs Dodoma Jiji (Saa 8:00 Mchana – CCM Kirumba) Kibarua cha kwanza kitakuwa jijini Mwanza, ambapo Pamba Jiji watakuwa wenyeji wa Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa CCM Kirumba. Mchezo huu unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ukizingatia historia ya timu hizi: Msimu uliopita: Dodoma Jiji inaingia uwanjani ikiwa na …

Soka La Bongo
Michezo Yanga Yaandaa Usiku wa Kihistoria K…

OFISA Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, amefichua kinachoendelea kwa nyota wawili wanaosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa klabu hiyo, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ na Stephane Aziz Ki, akibainisha kuwa kwa sasa wanaendelea ‘kupikwa’ kikamilifu na Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi. Wachezaji hao wawili bado hawajapata nafasi y…

Soka La Bongo
Yanga SC Mabilioni ya Allan Okello yamrudish…

Klabu ya Yanga SC imetimiza ahadi yake ya kumrudisha mchezaji wake wa zamani na kipenzi cha mashabiki, Stephane Aziz Ki, baada ya kukamilisha mazungumzo marefu na ya kina yaliyowezeshwa na uwekezaji mkubwa kutoka kwa mfadhili mkuu wa klabu hiyo, GSM. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye sifa ya “X-Factor” amerudi rasmi mit…

Soka La Bongo
Burudani Usiyoyajua kuhusu Trey Songz aliyet…

Hakuna ubishi kuwa rapa Billnass ni miongoni mwa wasanii wa rap waliokuwa na mwendelezo mzuri wa kufanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Mbali na kazi ya muziki, uhusiano na ndoa yake na msanii Nandy ni kati ya mambo yanayofanya jina la Billnass kuendelea kutajwa na kuzungumzwa kil…

Soka La Bongo
Meridianbet La Liga Yarudi Rasmi: Alavés na Get…

Leo Sevilla FC watawakaribisha mabingwa wa zamani Atletico Madrid kwenye uwanja wao wa Ramón Sánchez Pizjuán, katika mechi ya tatu ya msimu wa La Liga 2026-27. Kwa mshangao mkubwa, Sevilla wanaingia mechi hii wakiwa juu ya msimamo wa ligi wakiwa na ushindi wa mechi mbili kati ya mbili walizocheza, huku wakitafuta kupa…

Soka La Bongo
Simba SC Kagera Sugar vs Simba SC Leo: Mtiha…

KIKOSI cha Simba SC, kinachonolewa na Kocha Mkuu Steve Barker, kimeanza msimu wa 2026/27 wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar. Simba ilipata ushindi huo muhimu ugenini katika Uwanja wa Kaitaba, mkoani Kagera, ikionyesha umakini, nidhamu na mbinu za hali …

Soka La Bongo
Meridianbet Mzuka wa Mabingwa Washika Kasi Ziki…

Mchezo wa kusaka zawadi unaendelea Meridianbet, lakini saa ya mwisho inaanza kuonekana. Siku 24 pekee ndizo zimebaki kwenye Mzuka wa Mabingwa, ofa maalum inayowalenga watumiaji wa Airtel Money wanaopenda kuchanganya burudani ya michezo na kasino mtandaoni na nafasi ya kusaka zawadi kubwa. Ili kushiriki, unahitaji kuwe…

Soka La Bongo
Meridianbet Arsenal vs Man City, PSG vs Lens Ki…

Ni rahisi sana kwako wewe kutengeneza pesa ya ndoto zako na Meridianbet leo?. Arsenal, PSG, na wengine kibao wanakungoja wewe tuu. Suka jamvi lako la ushindi hapa. Trophee des Champions itapigwa siku hii ambapo RC Lens atamenyana dhidi ya PSG ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1, timu hii imeendeleza ubab…

Soka La Bongo
Yanga SC Mngqithi Afichua Mtego wa Peter Sha…

KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ameanza rasmi maandalizi ya kikosi chake kuelekea mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisisitiza umuhimu wa kila mshambuliaji kutumia vyema nafasi anazopata ili kupunguza presha na kuongeza ushindani wa namba ndani ya timu. Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamb…

Soka La Bongo
Habari za michezo Napoli Wanamtaka Kiungo wa Zamani w…

Klabu ya Manchester United haijaondoa uwezekano wa mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford (28), kuondoka klabuni hapo. Hali hii inajiri huku miamba ya soka Arsenal na Barcelona zikiendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya nyota huyo. Inaarifiwa kuwa Rashford—ambaye katika misimu miwili iliyopita alich…

Soka La Bongo
Michezo Yanga vs Coastal Union: Mtihani Mwi…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, leo wanashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kuwakabili Coastal Union ya Tanga, katika mchezo wa raundi ya pili wa msimu wa 2026/27. Baada ya kuanza msimu kwa kishindo kwa kuichapa Namungo FC mabao 3-1, Yanga inasaka ushindi wa pili mful…

Soka La Bongo
Michezo Steve Barker Aitahadharisha Simba S…

KIUNGO machachari wa Simba SC, Ibrahim Jabaar, ameonyesha kiwango cha juu cha ukomavu na profeshenali baada ya kukubali kuwajibika kikamilifu kufuatia kadi nyekundu aliyoonyeshwa katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Pamba Jiji. Jabaar alionyeshwa kadi hiyo nyekundu katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Uwan…

Soka La Bongo
Michezo Lionel Messi Afikisha Mabao 922: Aw…

MIAMI, MAREKANI – Mshambuliaji mahiri Lionel Messi amezidi kuandika historia kwenye ulimwengu wa soka baada ya kufikisha rasmi mabao 922 katika maisha yake ya soka la kulipwa. Messi alifikia mafanikio hayo kufuatia bao la ufundi alilofunga katika dakika ya 26 kwa mguu wake wa kushoto, wakati klabu yake ya Inter Miami …

Soka La Bongo
Michezo Pamba Jiji FC vs Simba SC NBC Premi…

Kikosi cha Simba SC kinashuka dimbani kesho kikiwa na kibarua kizito cha kusaka alama tatu muhimu katika mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Pamba Jiji FC. Mchezo huo utakaopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, unampa Mnyama nafasi kubwa ya kuendeleza mwanzo mzuri wa msimu baada ya kuibuka n…

Soka La Bongo
Michezo Singida Black Stars vs Simba SC: Re…

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi kuwa kikosi chake kipo kwenye hali nzuri ya kimwili na kisaikolojia kuelekea pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Singida Black Stars kwenye Uwanja wa Airtel, Singida. Mchezo huo unakuwa wa tatu kwa Wekundu wa Msimbazi ndani ya wiki moja tangu kufunguliwa kwa ms…

Soka La Bongo
Michezo Yanga SC Yoikandamiza Coastal Union…

Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametoa onyo kali kwa watu wanaotafuta madhaifu ya timu hiyo, akisisitiza kuwa wataishia kuvuna majuto kutokana na mafanikio ambayo kikosi chake kimejipanga kuyapata msimu huu. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Yanga kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union, kat…

Soka La Bongo
Michezo Yanga Yaendeleza Moto! Coastal Unio…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza kasi yao ya ushindi baada ya kuipa kipigo kizito Coastal Union cha mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Ushindi huo mnono unaifanya Yanga SC kufikisha pointi sita na kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ndani…

Soka La Bongo
Michezo Simba Queens Yaelekea Kenya Kujiand…

Kipenga cha kuanza kwa Mashindano ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kinapulizwa rasmi leo Ijumaa, Agosti 21, jijini Kigali, Rwanda. Miamba ya soka la wanawake kutoka ukanda huu inaanza vita ya kusaka tiketi moja pekee ya kuwakilisha Afrika Mashariki kwenye michu…

Soka La Bongo
Michezo Allan Okello Atambulishwa AS FAR Ra…

Uongozi wa Yanga SC umeeleza kuwa kurejea kwa kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki klabuni hapo ndiko kulikofungua milango ya Allan Okello kuondoka. Uamuzi huo ulifikiwa baada ya benchi la ufundi, chini ya Kocha Mkuu Manqoba Mngqithi, kuhitaji mchezaji mwenye uzoefu mkubwa zaidi kwa ajili ya kampeni zao za Ligi ya Mab…

Soka La Bongo
Michezo Ronaldinho arudi uwanjani, atua Ita…

GAMOND ATAHARUKI: Wazawa Benchi Yanga na Simba Yaibua Hofu Taifa Stars Elekeo AFCON 2027 Kengele ya hatari imealia kwenye benchi la ufundi la Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)! Kocha Mkuu wa timu hiyo, Gamond, ameeleza wasiwasi mkubwa alionao kutokana na idadi ndogo ya wachezaji wazawa wanaopata nafasi ya kuchez…

Soka La Bongo
Michezo Arsenal Yamsajili Ezri Konsa Kutoka…

LONDON, England — Mabingwa wa Ligi Kuu ya England, Arsenal, wamekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa England, Ezri Konsa, kutoka Aston Villa kwa ada ya jumla ya pauni milioni 55. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, ametia saini mkataba wa miaka minne kuwatumikia Wanakhasho hao wa London, kukiwa na kipengele cha kuong…

Soka La Bongo
Michezo Simba sc yavuna pointi 3 mbele ya s…

Kikosi cha Simba SC kinatarajia kushuka dimbani leo kumenyana na Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League), huku Wekundu wa Msimbazi wakipokea taarifa njema ya kurejea kwa mlinda mlango wao, Djibrila Kasali. Simba iliwasili mkoani Singida juzi na kufanya mazoezi katika Uwanja wa …

Soka La Bongo
Michezo Simba Queens open CAF Women’s Champ…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania, Simba Queens, wameanza vyema kampeni yao ya kusaka ubingwa wa CECAFA Women’s Champions League baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Top Girls Academy ya Burundi, katika mchezo uliochezwa nchini Rwanda. Kikosi hicho cha Simba Queens kilionyesha kiwan…

Soka La Bongo
Michezo Man United Wamethibitisha Namba Mpy…

MANCHESTER, England — Kocha wa Manchester United, Michael Carrick, ameingia kwenye shinikizo kubwa baada ya kuongopea masoko ya ubashiri kuwa kocha aliye hatarini zaidi kutimuliwa kazi kwenye Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu. Shinikizo hilo limeongezeka kufuatia kipigo cha kusikitisha cha mabao 2-0 walichokipata Ma…

Soka La Bongo
Michezo Arsenal Yaanza Kutetea Ubingwa kwa …

Msimu mpya wa Ligi Kuu England (EPL) 2026/27 umeanza rasmi kwa msisimko mkubwa, huku mabingwa watetezi Arsenal wakifungua dimba dhidi ya mabingwa wa Championship, Coventry City, katika Uwanja wa Emirates. Katika mechi 38 za msimu mzima, mpangilio wa mechi 5 za kwanza unashikilia hatima ya timu nyingi. Takwimu zinaonye…

Soka La Bongo
Michezo Rekodi Mbaya! Simba Yafikisha Kadi …

Kiungo mchezaji wa Simba SC, Neo Maema, amefunguka kuhusu roho ya kupambana iliyopo ndani ya kikosi hicho, akieleza kuwa wachezaji wamekuwa wakijitoa kwa hali na mali uwanjani licha ya changamoto za majeruhi na kadi nyekundu mfululizo. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Simba kuondoka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Si…

Soka La Bongo
Habari za michezo Ligi ya Europa 2026/27: Matokeo ya …

MADRID, HISPANIA – Msimu mpya wa La Liga 2026/27 rasmi umeanza, lakini macho yote yapo Santiago Bernabeu. Baada ya kumaliza nyuma ya wapinzani wao wakubwa Barcelona kwa misimu miwili mfululizo, Real Madrid wamemrejesha kocha wa zamani Jose Mourinho kwenye kiti cha ukocha. Akiwa na usajili mpya wa mabilioni kama Yan Di…

Soka La Bongo
Michezo Simba SC Kutua Malawi: Ratiba ya Li…

Klabu ya Simba SC imeanza rasmi maandalizi ya safari yake ya kimataifa kwa kutangaza ratiba kamili ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo inatarajiwa kukutana na Mighty Wanderers ya nchini Malawi mwezi ujao. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amethibitisha kuwa mchezo wa kwanza utapigw…

Soka La Bongo
Michezo Szoboszlai Aiokoa Liverpool kwa Pen…

Anza safari ya kutengeneza utajiri na Meridianbet kwenye huu msimu mpya, ligi mbalimbali za maana zimerudi. Je hutaki kuwa moja ya washindi?. Ingia kwenye akaunti yako na uberti sasa. LALIGA kuendelea leo ambapo bingwa mtetezi FC Barcelona atakuwa ugenini dhidi ya Elche wakiwa ni timu sumbufu sana kukabiliana nao waki…

Soka La Bongo
Simba SC Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitand…

Yanga SC leo inashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam, ikiwa na azma moja pekee—kuendeleza utawala na ubabe wake dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mchezo huu unatarajiwa kuwa kipimo kingine kizito kwa kikosi cha mabingwa hao watetezi chini ya Kocha Manqoba Mngqithi, huku …

Soka La Bongo
Meridianbet Amorim: “Tatizo la Milan Halikuwa K…

Leo Ijumaa, Agosti 28, 2026, saa 21:45 usiku, AC Milan watawakaribisha Venezia katika uwanja wa San Siro (Giuseppe Meazza) kwa mechi ya pili ya msimu wa Serie A. Hii itakuwa mechi ya kwanza ya Milan nyumbani msimu huu, na wanatarajia kujenga kasi zaidi baada ya kuanza msimu vizuri. Milan wanaingia mechi hii wakiwa na …

Soka La Bongo
Michezo Nottingham Forest vs Leeds United: …

Birmingham City na Brentford watakutana leo Jumanne, Agosti 25, 2026, katika raundi ya pili ya Carabao Cup (EFL Cup). Mechi hii itachezwa uwanjani St Andrew’s @ Knighthead Park, na itaanza saa 22:00 usiku. Mechi hii ina umuhimu wa kihistoria kwani ni mara ya kwanza timu hizi mbili kukutana katika Kombe la EFL tangu mw…

Soka La Bongo
Yanga SC Yanga Yaichapa JKT Tanzania 4-0, Ya…

Kiwango cha kuvutia ambacho kikosi cha Young Africans (Yanga SC) kimeanza kukionyesha msimu huu hakiwafurahishi mashabiki pekee, bali kinawapa furaha kubwa viongozi wa klabu hiyo, huku mmoja wa viongozi wa juu akituma onyo kali kwa wapinzani. Katika dirisha la usajili lililopita, Yanga ilifanya maboresho makubwa kwa k…

Soka La Bongo
Simba SC Kocha wa Mashujaa FC Afunguka Maand…

MSHIKEMSHIKE wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaingia raundi ya nne leo kwa mechi mbili za kukata na shoka, huku macho na masikio ya mashabiki wa soka yakielekezwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni jijini Dar es Salaam. Simba SC itakuwa nyumbani kwa mara ya kwanza msimu huu kumenyana na Coastal Union kuanzia s…

Soka La Bongo
Michezo Carragher Amchoma Neville LIVE Kisa…

BRIGHTON, ENGLAND – Kocha mkuu wa Aston Villa, Unai Emery, ametoa kauli iliyoibua mshtuko mkubwa baada ya kudokeza kuwa mshambuliaji wake nyota, Ollie Watkins, huenda hataki tena kuichezea klabu hiyo. Kauli hii imekuja mara baada ya Villa kupokea kichapo kizito cha mabao 4-0 kutoka kwa Brighton katika mchezo wa Ligi K…

Soka La Bongo
Michezo Timiza Ndoto Zako za Muda Mrefu Hapa

Je unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na kitita cha mkwanja wa maana ukibashiri mechi zako sasa. Mechi nyingi kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku wewe kwa dau dogo tuu unaibuka bingwa. Tukianza na kule Hispania, LALIGA itaendelea kwa mchezo mmoja kati ya Real madrid dhidi ya Real Sociedad ambapo hii ni mechi…

Soka La Bongo
Simba SC Mabadiliko Simba SC: Serikali Yashu…

Klabu ya Wekundu wa Msimbazi ipo katika mapambazuko ya ukurasa mpya kufuatia mabadiliko Simba SC yaliyoagizwa na Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Ni ishara ya moshi mweupe unaofuka kutoka makao makuu ya klabu hiyo, ukiashiria mabadiliko makubwa ya kiuendeshaji ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu kuan…

Soka La Bongo
Michezo Bongo Chivu: “Inter ni Timu Bora Inayopas…

Kiungo mchezeshaji, Suleiman Juma Kidawa, amewatoa hofu mashabiki na kuweka wazi kuwa kurejea kwake kucheza Ligi Kuu ya Zanzibar si ishara ya kufeli ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, bali ni uamuzi uliozingatia maslahi yake binafsi na mipango ya kimaisha. Kidawa amejiunga na mabingwa watetezi KVZ akitokea KMC FC ya Dar…

Soka La Bongo
Michezo Bongo Kocha Black Sailors Aweka Wazi Mkak…

KOCHA Mkuu wa Black Sailors, Mohammed Ali Hilal ‘Tedy’, ameweka wazi kuwa lengo lao kuu kwa sasa ni kuanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar 2026-2027 kwa kuhakikisha wanavuna matokeo chanya katika michezo yao minne ya kwanza. Tedy ameeleza kuwa maandalizi ya kikosi hicho yanakwenda vizuri na yanaimarika si…

Soka La Bongo
Simba SC Simba SC Yafunguka Hali ya Majeruhi…

SIMBA imeweka wazi hali ya wachezaji wake majeruhi, huku ikithibitisha kuwa Yusuf Kagoma na Nickson Kibabage ni miongoni mwa wachezaji ambao hawakuweza kuwa sehemu ya kikosi katika mchezo wa jana. Akizungumza kuhusu hali ya kikosi hicho, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, alisema bado anasu…

Soka La Bongo
Meridianbet Thunder Riches: Fortune Eagle, Mche…

Wapenzi wa burudani za kasino wana sababu mpya ya kutabasamu. Thunder Riches: Fortune Eagle imeingia Meridianbet, ukileta uzoefu mpya kabisa kutoka Games Global. Mchezo huu unakuja na wazo la Fortune Eagle, tai anayetanua mabawa yake na kukuongoza kwenye safari yenye msisimko, burudani na fursa ya kugundua ushindi. Th…

Soka La Bongo
Meridianbet Usisubiri Mpaka Mwisho, Milioni 5 I…

Kama ulikuwa unasubiri ishara ya kuingia kwenye mchuano wa Expanse: Big Wins Start Here, hii ndiyo wiki ya kufanya hivyo. Mashindano yanaelekea kwenye siku zake za mwisho, huku TSh 5,000,000 zikiwa bado kwenye dimba kwa washiriki wanaowania nafasi za juu. Muda uliobaki si mrefu, kwa hiyo kila siku inayopita inafanya m…

Soka La Bongo
Habari za michezo Bundesliga Kufunguliwa Rasmi Agosti…

LONDON, ENGLAND: Maisha katika ligi kuu za soka barani Ulaya yameshaanza upya, na kila timu ipo kwenye vita kali ya kuwania ufalme. Baada ya kupitia kipindi kigumu msimu uliopita kutokana na majeraha, kuporomoka kwa viwango au changamoto za kiumri, baadhi ya wachezaji mafundi wa Ligi Kuu England (EPL) wameanza msimu w…

Soka La Bongo
Yanga SC Baraza Afunguka Baada ya Kipigo cha…

Kocha Mkuu wa Pamba Jiji FC, Francis Baraza, amekiri kuwa kikosi chake kinakabiliwa na changamoto kubwa ya kutumia nafasi na ufungaji wa mabao, huku akiahidi kufanya marekebisho ya haraka baada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga SC. Pamba Jiji ilikubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi K…

Soka La Bongo
Meridianbet Chelsea Yaichapa Brighton 4-3 Kweny…

Je unajua kuwa ukiwa na dau dogo pia unaweza ukatengeneza jamvi na ukaweza ukajishindia pesa zaidi ya Milioni?. Basi Meridianbet wanasema kuwa nafasi ndio hii, ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. Kule Italia, SERIE A itaendelea ambapo Napoli atamenyana dhidi Como 1907 ambao kwenye mechi yao kwanza walitoa sare hi…

Soka La Bongo
Burudani Sura ya Mtoto wa Jux na Priscilla Y…

Siku tatu tangu mwanamuziki wa Bongo Flava, Juma Jux, na mkewe Priscilla Ojo (Priscy) waweke wazi sura ya mtoto wao, Prince Rakeem Mkambala, mjadala mpya umezuka kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii. Safari hii, mashabiki na wafuasi wao wanahoji: Mtoto huyo amefanana na nani zaidi? Mjadala huo umeanza baada ya wazazi h…

Soka La Bongo
Yanga SC Matokeo Yanga vs Fountain Gate 2-0:…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza wimbi lao la matokeo chanya baada ya kuondoka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC, katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Ushindi huo umeifanya Yanga kufikisha alama 15 kamili katika michezo mitan…

Soka La Bongo
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Kawempe Muslim Ladies Mabingwa CECAFA: Watavunja Mwiko Ligi ya Mabingwa Afrika?
Habari za michezo

Kawempe Muslim Ladies Mabingwa CECAFA: Watavunja Mwiko Ligi ya Mabingwa Afrika?

Soka La Bongo· Vardo· Saa 23 zilizopita
Ukaribu wa Wifi na Shemeji: Fatma Mkambala Aweka Wazi Uhusiano Wake na Mke wa Jux, Priscilla Ojo
Burudani

Ukaribu wa Wifi na Shemeji: Fatma Mkambala Aweka Wazi Uhusiano Wake na Mke wa Jux, Priscilla Ojo

Soka La Bongo· Vardo· Saa 23 zilizopita
BARKER AKANYAGA BREKI SIMBA: Azungumzia Safari ya Malawi, Majeruhi Kurejea na Rekodi ya Ushindi 15
Simba SC

BARKER AKANYAGA BREKI SIMBA: Azungumzia Safari ya Malawi, Majeruhi Kurejea na Rekodi ya Ushindi 15

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Katwila Aweka Wazi Kilichoigharimu Geita Gold Mbele ya Simba SC
Michezo Bongo

Katwila Aweka Wazi Kilichoigharimu Geita Gold Mbele ya Simba SC

KOCHA Mkuu wa Geita Gold FC, Zuber Katwila, amefunguka sababu zilizosababisha timu yake kupoteza pointi tatu muhimu dhidi ya Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Kuu

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Steve Barker Afichua Ufundi wa Nathaniel Chilambo Simba SC
Simba SC

Steve Barker Afichua Ufundi wa Nathaniel Chilambo Simba SC

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Bonasi, Tumble Na X100, Meridian Bonanza Yazidi Kupandisha Joto
Meridianbet

Bonasi, Tumble Na X100, Meridian Bonanza Yazidi Kupandisha Joto

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Birmingham City dhidi ya Southampton Uso kwa uso Championship
Meridianbet

Birmingham City dhidi ya Southampton Uso kwa uso Championship

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Barker Afichua Sababu ya Kumtoa Libasse Gueye Dhidi ya Geita Gold
Simba SC

Barker Afichua Sababu ya Kumtoa Libasse Gueye Dhidi ya Geita Gold

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Farouk Komara Aangaza Yanga: “Sitaki Maslahi Binafsi, Ni Timu Kwanza!”
Yanga SC

Farouk Komara Aangaza Yanga: “Sitaki Maslahi Binafsi, Ni Timu Kwanza!”

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Ukweli Kuhusu Kasi ya Shekhan Khamis Singida Black Stars: Yanga Walifanya Makosa?
Habari za michezo

Ukweli Kuhusu Kasi ya Shekhan Khamis Singida Black Stars: Yanga Walifanya Makosa?

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Kocha Josiah Anena Baada ya Mashujaa FC Kurejea Kwenye Ushindi Ligi Kuu
Habari za michezo

Kocha Josiah Anena Baada ya Mashujaa FC Kurejea Kwenye Ushindi Ligi Kuu

BAADA ya kupata ushindi wa kwanza kwenye uwanja wa nyumbani kufuatia vipigo viwili mfululizo ugenini, Kocha Mkuu wa Mashujaa FC, Amani Josiah, amebainisha kuwa

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Rekodi ya Edgar William: Kiboko ya TRA United Ligi Kuu Bara
Michezo Bongo

Rekodi ya Edgar William: Kiboko ya TRA United Ligi Kuu Bara

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Kocha JKT Tanzania Afunguka Sababu za Mwanzo Mbaya Ligi Kuu Bara
Michezo Bongo

Kocha JKT Tanzania Afunguka Sababu za Mwanzo Mbaya Ligi Kuu Bara

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Matokeo Yanga vs Fountain Gate 2-0: Yanga Yaendeleza Ubabe Ligi Kuu
Yanga SC

Matokeo Yanga vs Fountain Gate 2-0: Yanga Yaendeleza Ubabe Ligi Kuu

Soka La Bongo· Vardo· Jana
Man United 5-2 Ipswich Town: Mainoo, Rashford na Bruno Wateka Shoo Old Trafford!
Habari za michezo

Man United 5-2 Ipswich Town: Mainoo, Rashford na Bruno Wateka Shoo Old Trafford!

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
Stephen Curry Kutimkia Dallas Mavericks? Tetesi za Uhamisho wa NBA Zasisimua
Habari za michezo

Stephen Curry Kutimkia Dallas Mavericks? Tetesi za Uhamisho wa NBA Zasisimua

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
Kiungo wa Tanzania Alphonce Mabula Kutua JS Kabylie ya Algeria Kwa Mkataba Mnene!
Michezo Bongo

Kiungo wa Tanzania Alphonce Mabula Kutua JS Kabylie ya Algeria Kwa Mkataba Mnene!

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
Patrick Mabedi Ajiunga na Wanderers Kuikabili Simba CAFCL
Michezo Bongo

Patrick Mabedi Ajiunga na Wanderers Kuikabili Simba CAFCL

Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Patrick Mabedi, ametajwa kujiunga na benchi la ufundi la klabu ya Mighty Wanderers ya Malawi kama Mshauri wa Benchi la Ufundi. Ut

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
Katavi Yapokea Nguvu Mpya ya Soka, Meridianbet Yawafuata Vijana
Meridianbet

Katavi Yapokea Nguvu Mpya ya Soka, Meridianbet Yawafuata Vijana

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
Mechi Kali, Odds za Kuvutia Hizi Hapa
Meridianbet

Mechi Kali, Odds za Kuvutia Hizi Hapa

Soka La Bongo· Vardo· Siku 2 zilizopita
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.