Gundua

1278 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Nukta chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Teknolojia AI

Afisa Maendeleo ya Biashara wa Nukta Africa, amesema ushirikiano huo utasaidia kampuni kuendeleza bidhaa zake.

Nukta
Kilimo, Misitu na Uvuvi Government Intervenes on Cement Pri…

Serikali ya Tanzania imejipanga kuendelea kuimarisha sekta ya kilimo ili kuongeza mchango wake katika pato la Taifa na tija kwa wakulima wanaotegemea shughuli hiyo kijiingizia kipato

Nukta
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Proposed Reforms to Transform Tanzania’s Business and Investment Climate Ebola

Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Hanta virus

Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Nukta
Nishati na Umeme Fuel Prices

Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

Nukta
Kimataifa Palestine Conflict

Netanyahu amempongeza Trump kwa juhudi zake za kutafuta suluhu za mzozo huo akimuita rafiki mkubwa wa Israel kati ya wote waliowahi kupita Ikulu ya Marekani.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndio kuunga mkono bajeti hiyo

Nukta
Nishati na Umeme Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.

Nukta
Uchumi Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Licha ya Tanzania kuwa na malengo ya uchumi wa Dola za Marekani trilioni moja unaoendeshwa na teknolojia, sekta ya tehama inachangia asilimia 1.5 tu ya GDP

Nukta
Siasa Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

CCM imefanya mabadiliko yanayoiruhusu kamati kuu kupitisha majina zaidi ya matatu, wanaogombea nafasi ya udiwani, ubunge au ujumbe wa baraza la wawakilishi

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Dar es Salaam. Joel Amiri alishangazwa na mabadiliko ya ghafla ya tabia za watu waliomzunguka mwanzoni mwa mwaka 2020 akiwa nyumbani kwao mkoani Tabora. Alianza kuona majirani zake na wanafamilia wakiwa wamevaa barakoa na kila alipojaribu kuwasogelea karibu, walimuonesha ishara ya kumtaka akae mbali nao. Wakati yeye a…

Nukta
Siasa Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Ni pamoja na kuboresha sekta ya elimu, afya, kutoa nafasi za ajira na kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo.

Nukta
Biashara ya Jumla na Rejareja Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Serikali za Tanzania na Msumbiji zimeingia makubaliano ya ushirikiano katika maeneo sita yakiwemo kubadilishana wafungwa na Tanzania.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Msumbiji, ameanza ziara ya kikazi leo nchi Tanzania inayokusudia kudumisha uhusiano wa kihistoria, kindugu na kiuchumi kati ya nchi hizo mbili.

Nukta
Sheria na Mahakama Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuchukua nafasi ya Prof Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu baada ya kuhudumia mhimili huo wa dola kwa miaka minane. Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu…

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.

Nukta
Michezo Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…

Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Wambura, amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwahamisha makamanda watatu wa polisi, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kawaida ndani ya jeshi hilo.

Nukta
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Zaidi ya asilimia 90 ya bajeti kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo miradi 1,544 ya maji itakayotekelezwa nchi nzima na mingine ya mikubwa ya kimkakati.

Nukta
Nishati na Umeme Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Wachambuzi wa masuala ya uchumi wanasema ni muhimu Serikali kuhakikisha inaweka gharama nafuu ili wananchi waweze kumudu huduma hiyo.

Nukta
Siasa Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Kuchukua hatua za kuongeza mitaji kwa ajili ya shughuli za kiuchumi za vijana na wanawake kwa kutenga Sh200 bilioni ni miongonimwa vipaumbele.

Nukta
Uchumi wa Buluu Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Asema maendeleo yanapaswa kuleta manufaa ya moja kwa moja kwa jamii inayokizunguka, hususan kupitia ajira, biashara na shughuli za kijamii zitakazoongeza kipato cha wananchi.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi nchini na Afrika.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Dk. Mpango amesema milipuko ya magonjwa ya kuambukiza, ikiwemo homa ya Marburg, imeonesha umuhimu wa maandalizi ya haraka na mifumo imara ya afya.

Nukta
Ujenzi na Miundombinu Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Jiji la Arusha limejipanga kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwemo barabara ili kuvutia wageni watakaokuja katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, uhamisho wa viongozi mbalimbali Serikalini pamoja na mabadiliko ya muundo katika Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na Wizara ya Nishati.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Mkutano huo unalenga kuhimiza hatua za pamoja za bara na kujadili mustakabali wa rasilimali maji, afya ya jamii na maendeleo endelevu katika bara la Afrika.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

Serikali imepanga kufufua kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Industries (TPI) kilichopo Arusha kwa lengo la kuanza uzalishaji wa ARVs.

Nukta
Chakula na Mapishi Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia K…

Juisi hizi zinaweza kukusaidia kubana bajeti ya vinywaji msimu huu wa sikukuu

Nukta
diplomacy Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais Samia amepokea mialiko rasmi kutoka kwa Marais wa nchi hizo ili awe mgeni katika maadhimisho muhimu ya kitaifa, yakiwemo ya miaka 50 ya uhuru wa Msumbiji.

Nukta
Siasa Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

Miongoni mwa waliofariki ni watoto 21 na maskari wa vyombo vya ulinzi na usalama 16

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Uharibifu uliofanyika Oktoba 29 umehusisha kuharibiwa kwa zaidi ya ofisi 700 za kata nchini, vituo vya polisi, pamoja na nyumba na magari ya watu binafsi.

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Ni pamoja na kuboresha miundombinu ya usafiri wa anga, reli, bandari na barabara.

Nukta
Elimu Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Masaju amesema pamoja na uzalendo, vijana watajifunza stadi za maisha zitakazowawezesha kuwa wabunifu na kupunguza changamoto ya ukosefu wa ajira.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

TRA imeandika rekodi mpya katika historia yake ya ukusanyaji mapato kwa mwaka wa fedha 2024/25 baada ya kukusanya Sh32.3 trilioni.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Mchechu amesema utegemezi wa taasisi zisizo za biashara umeendelea kupungua kwa asilimia 12.8, hatua inayoonyesha kuimarika kwa ufanisi na usimamizi wa taasisi hizo.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Aagiza kuanza kwa mchakato wa ithibati ya kimataifa na matumizi ya teknolojia za kisasa sekta ya afya.

Nukta
Siasa Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa visiwani Zanzibar, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kisiasa visiwani humo. Tamko hilo limesainiwa katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo Julai 9, 2026, ikishuhudiwa na Rais wa Tanzan…

Nukta
media Waandishi wa habari wananufaika na …

Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewafungia watangazaji wanne wa kituo cha redio cha Mjini FM baada ya kubainika kukiuka maadili ya taaluma ya habari na Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229 (Toleo la 2023). Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa JAB Patrick Kipangula, leo Julai 18, …

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Lengo la Serikali kuhamishia utaratibu huo benki lilikuwa ni kupunguza ubadhirifu na tabia ya baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo.

Nukta
Mazingira na Hali ya Hewa Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 imepungua kwa Sh7.2 bilioni, sawa na asilimia 4.13.

Nukta
Utalii na Ukarimu Tanzania eyes Russian tourism boom …

Aidha, mapato ya utalii wa ndani yamepanda kutoka shilingi bilioni 46.3 mwaka 2021 hadi bilioni 209.8 mwaka 2024, sawa na ongezeko la asilimia 353.1.

Nukta
Teknolojia Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Ushiriki wa vijana kujenga miundombinu imara ya kidijitali ya umma kutaboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa nchi.

Nukta
Siasa Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …

Hii ni mara ya kwanza serikali inafungwa tangu mwaka 2018, katika muhula wa kwanza wa Trump, kufungwa kwa Serikali kulidumu kwa siku 34 ambao ni muda mrefu zaidi katika historia hadi mwanzoni mwa mwaka 2019.

Nukta
Chakula na Mapishi Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Ni pamoja na uzalishaji, usambazaji, na biashara ya kaboni.

Nukta
Elimu Hakielimu Launches Safe Learning As…

Students in Dodoma city are expected to see better classrooms, more learning materials, and improved school facilities following the launch of the Sanjeev Mansotra Foundation (SMF) in Tanzania.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Faida baada ya kodi ya Vodacom yafikia Sh107.1 bilioni ikiwa ni kiwango cha juu kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka saba.

Nukta
Siasa Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Rais Mwinyi amesema Hayati Mkapa atabaki kuwa mfano wa kuigwa kutokana na mchango wake katika kujenga Taifa.

Nukta
Michezo Justin Bieber, Shakira, Madonna na …

Ni vipande kutoka uwanja wa New York New Jersey nchini Marekani, kipande kikubwa zaidi kuuzwa Sh8 milioni.

Nukta
Siasa Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …

Hatua hii imekuja baada ya mgombea huyo kushinda kesi aliyofungua kupinga uamuzi wa kuenguliwa kwenye mchakato wa uteuzi.

Nukta
Siasa Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

Dk Mwinyi amesema kuwa uteuzi wa baraza hilo umezingatia vigezo mbalimbali ikiwemo uwiano wa kijinsia, elimu, uzoefu na uwakilishi wa pande zote.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…

Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

Nukta
Biashara ya Jumla na Rejareja Rais samia: tanzania na misri kuung…

Marais hao pia wameshuhudia utiaji saini wa rasimu ya makubaliano kuhusu ushirikiano katika sekta mbalimbali za uchukuzi pamoja na makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma …

Awataka madereva na watumiaji wote wa barabara kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani ili kuzuia ajali na kulinda maisha ya wananchi.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Ni mfumo unaowekwa chini ya godoro kufuatilia viashiria muhimu vya mgonjwa kwa saa 24.

Nukta
Ujenzi na Miundombinu Trc yatoa rai kwa wasafirishaji wa …

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Takwimu za WHO zinakadiria kuwa mwaka 2024 takribani watoto milioni 35 walio chini ya umri wa miaka mitano duniani walikuwa na uzito uliopitiliza.

Nukta
Elimu Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mafunzo kwa wasichana 25 nchini ikiwa ni jitihada za kuongeza ujumuishi wa kijinsia katika tasnia hiyo

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Siku moja tangu kuripotiwa tukio la mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni ya mume wake, Serikali imeunda tume ya wataalamu kuchunguza madai hayo ili haki itendeke.

Nukta
Siasa Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi y…

Hatma ya urushaji wa moja kwa moja wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Lissu, itajulikana Agosti 18, 2025.

Nukta
Elimu Detained Udom lecturer Kaijage gran…

Hii ina maana ya kwamba kwa wale waliokuwa na ndoto za kusoma kozi hizo kupitia chuo cha Udom wanapswa kutafakari upya matamanio yao na kuangalia njia mbadala.

Nukta
Kimataifa Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Rais Samia, Museveni waahidi kuondoa vikwazoo mipakani, kupannua masoko, ujenzi wa miundombinu ya usafiri majini, ardhini.

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Mixx powers cashless payments for Z…

Passengers will no longer need to carry cash when travelling. Instead, they will pay their fares using smart cards integrated with the Mixx digital payments platform.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Baadhi ya mama lishe wanadai kuwa vipato vyao ni vidogo kuwawezesha kununua majiko na gesi huku wengine wakikosa elimu sahihi ya faida za nishati hiyo.

Nukta
Utalii na Ukarimu Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

Amtaka Makalla kutumia uzoefu kuhakikisha Arusha inaendelea kuwa kitovu cha utalii na kuchagiza fursa za kiuchumi na kidiplomasia.

Nukta
Utalii na Ukarimu Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Yaongezeka kwa asilimia 3.4 kulinganisha na Sh348.13 bilioni ya mwaka 2024/25 wakati kamati imeitaka Serikali kuboresha mfumo wa fidia.

Nukta
Matukio Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Msimu wa pili wa Tuzo za Samia Kalamu Awards 2026 umezinduliwa rasmi huku kigezo kikuu kwa washiriki kikiwa ni kuwa na kitambulisho kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB).

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Tanzania envisions healthier nation…

Watoto takribani 14,000 huzaliwa na ugonjwa huo na watu 15 kati ya kila 100 nchini wana vinasaba vya sikoseli hali inayotishia mustakabali wa afya.

Nukta
Uchumi Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Sekta binafsi inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa malengo ya dira hiyo.

Nukta
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

Sekta ya kilimo inaongoza kwa kuchangia kiwango kikubwa cha pato la taifa (GDP) ikichangia kwa asilimia 26 ya Sh156 trilioni zilizoripotiwa mwaka 2024.

Nukta
Sheria na Mahakama Mahakama yamhukumu miaka 30 kwa kus…

Miongoni mwa mali zilizotaifishwa ni pamoja na nyumba, viwanja na magari zinazomilikiwa na watuhumiwa Saleh Khamis Basleman na Gawar Bachi Fakir.

Nukta
Siasa Mjukuu wa Idi Amin na ndoto za ‘kui…

Katika kipindi hicho, pia aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, akihudumu kuanzia Novemba 2010 hadi mwaka 2014.

Nukta
Siasa Nchimbi: Rais Samia analitaka suala…

Tume yapendekeza katiba mpya mapema ili itumike wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2030.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais Samia Akutana na Viongozi wa V…

Ameeleza kuwa lengo la Serikali ni kuona sekta binafsi inachukua sehemu kubwa ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati ili kukuza uchumi wa taifa.

Nukta
Michezo Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili,…

Sambamba na msako mkali wa kumtafuta mtuhumiwa Jeshi la Polisi limetoa wito kwa wananchi kuepuka kujichukulia sheria mkononi.

Nukta
Sheria na Mahakama Kilichompa Lissu ushindi dhidi ya D…

Mwenyekiti wa Chadema,Tundu Lissu ataendelea kusota mahabusu kwa zaidi ya siku 90 sasa, mara baada ya shauri la uhaini kuahirishwa mpaka Julai 30.

Nukta
Biashara ya Jumla na Rejareja Bayport Yatoa Kompyuta na Printa za…

Ni kuanzia Agosti 1, 2026, utatumika kushughulikia mizigo inayoingizwa na kutoka kupitia bandarini na mipakani.

Nukta
Mazingira na Hali ya Hewa Songea yazalisha tani 90 za taka ki…

Watu waliopo kwenye kikundi hiki sasa wana uhakika wa kipato kwa mwezi kutokana na kazi yao ya kugeuza taka taka kuwa nishati safi ya kupikia.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Mwekezaji yeyote asiye mkazi anaweza kushiriki katika dhamana za Serikali za muda mfupi na muda mrefu zinazotolewa na Serikali ya Tanzania.

Nukta
Kilimo, Misitu na Uvuvi Why you should attend the 10th Afri…

If you are yet to register here are some key reasons why you should attend the two events at Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds in Dar es Salaam from 2nd to 3rd September, 2026.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Faida Vodacom Tanzania yapaa mara t…

Ikiwa gawio hilo litapitishwa itakuwa ni sawa na ongezeko la asilimia 23.8 ikilinganishwa na gawio la Sh20.20 lililotangazwa mwaka 2025.

Nukta
Chakula na Mapishi Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Bei ya petroli imepungua kwa Sh92 kwa lita, dizeli kwa Sh204 kwa lita, huku mafuta ya taa yakishuka kwa Sh440 kwa lita ikilinganishwa na viwango vya mwezi uliopita.

Nukta
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Serikali ya Tanzania imejipanga kuhakikisha mbegu na mimea ya asili zinahifadhiwa na kutunzwa kwa matumizi endelevu kwa kizazi cha sasa na cha baadae

Nukta
Siasa Rais Samia na Museveni Washuhudia M…

Rais Museveni na mwenyeji wake, Rais Samia, wanatarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari kuhusu makubaliano na maeneo ya ushirikiano yatakayojadiliwa.

Nukta
Uchumi Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chac…

Pamoja na maboresho hayo, ni muhimu kwa taasisi za kifedha kuwa na mifumo mbadala ya utoaji huduma ili kuhakikisha huduma zinaendelea kutolewa hata pale mfumo mkuu unapokuwa katika matengenezo au unapokumbwa na changamoto za kiufundi.

Nukta
Afya na Huduma za Jamii Tramepro yahimiza ushirikiano kulin…

Wakati mwingine utapiamlo unaweza kusababisha vifo hususani kwa wanawake wajawazito na watoto chini ya miaka mitano.

Nukta
Kilimo, Misitu na Uvuvi Coop bank yajivunia mageuzi, yatoa …

Rais Samia amezindua Benki ya Ushirika Nchini (Coop) huku akiitaka benki hiyo kuwa chachu ya mageuzi ya ushirika na kuwawezesha wakulima nchini.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi Tanzania yang’ara calc: bi. rehema …

Wizara ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajetii ya Sh687.6 bilioni kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele 22.

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Chalamila atoa siku 6 kwa malori, m…

Mabadiliko hayo yanakuja wakati ambao wananchi jijini Dar es Salaam wamekuwa wakilalamikia huduma zisizoridhisha kwenye usafiri wa mabasi ya mwendokasi.

Nukta
Currencies Soko la fedha labaki tulivu Agosti …

Watumiaji wa Dola ya Marekani wataendelea kununua na kuuza Dola kwa bei sawa na jana.

Nukta
Mazingira na Hali ya Hewa Mamilioni Wajitokeza Kushuhudia Maa…

Wananchi wanaoishi katika maeneo tajwa, hususan walioko mabondeni na maeneo hatarishi, kuchukua tahadhari za mapema ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Dar unveils new measures to tackle …

Instead, its remote location has rendered it useless. Travelers and businesses have returned to the unregulated Sokoni bus stop.

Nukta
Utawala wa Umma na Ulinzi 100 Years of Tosa Maganga: Alumni T…

CAG Kichere amebainisha kuwa kwa miaka mingi baadhi ya mapendekezo hayafanyiwi kazi ipasavyo, hali inayochangia hasara na kudhoofisha uwajibikaji

Nukta
Sheria na Mahakama Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaahi…

Mahakama imeeleza wazi kuwa kosa la uhaini ni miongoni mwa makosa yasiyo na dhamana kwa mujibu wa sheria, hivyo ombi la Lissu la kupewa dhamana halikukubalika.

Nukta
Sheria na Mahakama Madeleka Apandishwa Kizimbani Kisut…

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania, Tundu Lissu hadi Juni 16, 2025, uamuzi utakaomfanya endelee kusota rumande kwa zaidi ya miezi miwili tangu ashtakiwe kwa kosa hilo la jinai. Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na…

Nukta
Siasa Hatimaye Lissu akutwa na kesi ya ku…

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu na kesi ya kujibu katika mashtaka ya uhaini yanayomkabili, hatua itakayomfanya aendelee tena kusota mahabusu huku akijitetea kujinasua katika shtaka hilo. Uamuzi huo, uliotolewa na Jaji Dunstan Ndungu…

Nukta
Nishati na Umeme Rais Samia: Bwawa la Julius Nyerere…

Baada ya Ujerumani kushindwa vita na Waingereza kuchukua utawala wa Tanganyika, wazo la kutumia Mto Rufiji kwa maendeleo liliendelea kufanyiwa tafiti

Nukta
Usafiri na Uhifadhi Chalamila aonya mabasi yanayokiuka …

Ahadi hiyo ilipokelewa kwa shangwe na Wananchi waliokuwa katika eneo hilo kuanzia saa nne asubuhi wakisubiri ujio wa mkuu wa mkoa.

Nukta
Elimu Iaa kuboresha mazingira ya kujifunz…

“Tutapata wapi tafiti mpya kama mwanafunzi ametumia AI kuandika tafiti,” amehoji Dk. Amin ambaye hakubaliani na matumizi makubwa wa AI.

Nukta
Siasa Rais Samia aridhia Dk Nchimbi kujiu…

Hatua hiyo inakuja saa chache baada ya Nchimbi kung’atuka na kueleza kuwa Rais Samia anatamani mabadiliko.

Nukta
Habari CCM yampendekeza Ndejembi kumrithi …

Mwenyekiti wa UVCCM, Mohamed Kawaida ameiambia kuwa Dk Nchimbi anaweza kurejea CCM ikiwa ataiomba msamaha NEC.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Serikali: benki zitapanga riba za m…

Agizo hili linaunga mkono kauli ya Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, ambaye awali alionya kuhusu mikopo yenye riba kubwa.

Nukta
Habari CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Maka…

Anasubiri hatua muhimu ya kikatiba ya kupitishwa na Bunge ili ashike nafasi hiyo ya juu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Nukta
Habari Serikali yajipanga kukabiliana na m…

Ni baada ya ya TMA kutangaza ujio wa mvua kubwa za El Niño kuanzia Septemba hadi Januari, 2027.

Nukta
Viwanda na Uzalishaji Mwanasheria mkuu wa serikali awasil…

Serikali ya Tanzania imepanga kukuza na kulinda viwanda vya ndani kwa kupendekeza maboresho ya kodi, tozo na ushuru wa forodha wa bidhaa bajeti 2025/26.

Nukta
News Video: Wabunge 324 Wamthibitisha Nd…

Ndejembi amepata kura 324 kati ya ya kura 324 za wabunge zilizopigwa, sawa na asilimia 100 ya kura zote.

Nukta
Habari Rais Samia na Makamu Wake Ndejembi …

Hatimaye Tanzania imepata Makamu wa Rais mpya, baada ya kuapishwa kwa Deogratius Ndejembi, leo Agosti 29, 2026 ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Nukta
Habari na Mawasiliano Tanzania Digital Economy

High speed and reliable internet is needed in every aspect of human life from education, family growth, governance to business.

Nukta
Shughuli za Fedha na Bima Forex and Dollar Rates

Dola ya Marekani (USD) imeendelea kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 ikiwa ni sawa na kiwango kilichorekodiwa wiki iliyopita.

Nukta
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Serikali yajibu uhaba wa wataalamu wa ganzi, usingizi
News

Serikali yajibu uhaba wa wataalamu wa ganzi, usingizi

Nukta· Saa 16 zilizopita
Shilingi yaimarika dhidi ya sarafu kuu leo Septemba 1,2026
Currencies

Shilingi yaimarika dhidi ya sarafu kuu leo Septemba 1,2026

Nukta· Saa 21 zilizopita
TASAC yasitisha utoaji leseni za bandari kavu
Habari

TASAC yasitisha utoaji leseni za bandari kavu

Nukta· Jana
Serikali yafafanua madai ya kisiwa cha Lupita kuuzwa
News

Serikali yafafanua madai ya kisiwa cha Lupita kuuzwa

Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, inaeleza wawekezaji raia wa kigeni hupata ardhi kwa ajili ya uwekezaji kupitia utaratibu maalumu unaotambuliwa kisheria.

Nukta· Jana
Shilingi yapata nafuu dhidi ya Euro na Pauni, Agosti 31, 2026
Currencies

Shilingi yapata nafuu dhidi ya Euro na Pauni, Agosti 31, 2026

Nukta· Jana
Zigo linalomsubiri Ndejembi Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania
Habari

Zigo linalomsubiri Ndejembi Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania

Nukta· Siku 3 zilizopita
 Huu ndio utamu wa kachumbari ya kabeji 
Chakula na Mapishi

 Huu ndio utamu wa kachumbari ya kabeji 

Nukta· Siku 4 zilizopita
Bunge lampitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais kwa asilimia100
News

Bunge lampitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais kwa asilimia100

Nukta· Siku 4 zilizopita
Dola yabaki tulivu, Euro na Pauni zashuka CRDB
Currencies

Dola yabaki tulivu, Euro na Pauni zashuka CRDB

Nukta· Siku 4 zilizopita
Hatua zinazoweza kumrejesha Dk Nchimbi CCM
Habari

Hatua zinazoweza kumrejesha Dk Nchimbi CCM

Nukta· Siku 5 zilizopita
Serikali yajipanga kukabiliana na mvua za El Niño
Habari

Serikali yajipanga kukabiliana na mvua za El Niño

Ni baada ya ya TMA kutangaza ujio wa mvua kubwa za El Niño kuanzia Septemba hadi Januari, 2027.

Nukta· Siku 5 zilizopita
Ni nani Makamu wa Rais wa Tanzania kwa sasa ?
Habari

Ni nani Makamu wa Rais wa Tanzania kwa sasa ?

Nukta· Siku 5 zilizopita
Hii ndiyo maana ya Nchimbi ‘kufukuzwa’ uanachama CCM
Habari

Hii ndiyo maana ya Nchimbi ‘kufukuzwa’ uanachama CCM

Nukta· Siku 5 zilizopita
Simulizi ya Deogratius Ndejembi: Kada wa CCM aliyepaa kiuongozi
Habari

Simulizi ya Deogratius Ndejembi: Kada wa CCM aliyepaa kiuongozi

Nukta· Siku 5 zilizopita
Shilingi yaimarika dhidi ya Euro, Pound Agosti 27, 2026
Currencies

Shilingi yaimarika dhidi ya Euro, Pound Agosti 27, 2026

Nukta· Siku 5 zilizopita
Deogratius Ndejembi apendekezwa kumrithi Nchimbi
Siasa

Deogratius Ndejembi apendekezwa kumrithi Nchimbi

Nukta· Siku 6 zilizopita
Haya hapa mafao ya Dk Nchimbi aking’atuka madarakani
Siasa

Haya hapa mafao ya Dk Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta· Siku 6 zilizopita
Kinachofuata baada ya Nchimbi kujiuzulu
Siasa

Kinachofuata baada ya Nchimbi kujiuzulu

Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania, Ibara ya 50(4), inasema iwapo nafasi ya Makamu wa Rais itakuwa wazi kwa sababu ya kifo ama kujiuzulu, Rais anatakiwa kumteua m

Nukta· Siku 6 zilizopita
Pauni yapanda, euro yashuka Agosti 26, 2026
Shughuli za Fedha na Bima

Pauni yapanda, euro yashuka Agosti 26, 2026

Nukta· Siku 6 zilizopita
Rais Samia aridhia Makamu wa Rais Dk Nchimbi kujiuzulu
Siasa

Rais Samia aridhia Makamu wa Rais Dk Nchimbi kujiuzulu

Nukta· 25 Ago 2026
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.