🤾
Inafanyika sasa Mpira wa Mikono Tanzania

UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono

UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono ni nini? UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — tukio la UMITASHUMTA (Mpira wa Mikono). Kategoria: Wavulana, Wasichana.

UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — Habari.

UMITASHUMTA
Nipashe Jun 18, 2026

UMITASHUMTA kuinua uchumi bodaboda, mamalishe iringa

UJIO wa zaidi ya wageni 7,000 mkoani Iringa kwa ajili ya mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA), umeleta neema kubwa kwa wafanyabiashara wadogo, hususan waendesha bodaboda…

Michuzi Jun 18, 2026

MWANAFA AFUNGA UMITASHUMTA, AELEZA MKAKATI WA SERIKALI

📍 Bilioni 15 kukamilisha ujenzi akademia ya michezo MalyaNA Mashaka Mhando, IringaSERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 15 katika mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Akademia ya Taifa ya…

Mzalendo Jun 11, 2026

MANYARA,ARUSHA ZAANZA VIZURI WAVU UMITASHUMTA 2026

  Na.OWM- TAMISEMI, Iringa Mikoa ya Manyara na Arusha imeanza vizuri Mashindano ya UMITASHUMTA baada ya timu zao kupata ushindi katika michezo iliyochezwa leo tarehe 11 Juni 2026. Kwa upande wa Wasichana, timu ya Mkoa…

Mkoa wa Iringa Jun 10, 2026

IRINGA YAJIPANGA KUHUDUMIA WAGENI 10,000, UMITASHUMTA KUCHOCHEA UCHUMI WA MKOA.

Full Shangwe Blog Jun 09, 2026

MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISETA NI MKAKATI WA KUJENGA VIJANA WENYE AFYA BORA – PROF. SHEMDOE

Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…

Full Shangwe Blog Jun 09, 2026

WAZIRI WA TAMISEMI PROFESA RIZIKI SHEMDOE AZINDUA RASMI UMITASHUMTA NA UMISSETA 2026 MKOANI IRINGA 

NA DENIS MLOWE IRINGA  SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha michezo na sanaa shuleni kwa lengo la kuibua vipaji, kukuza ajira na kuandaa…

Habari Leo Jun 09, 2026

Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA

IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA, hatua inayolenga kuhakikisha hakuna kipaji kinachopotea na kw…

Mkoa wa Iringa Jun 09, 2026

UFUNGUZI WA MICHEZO YA UMITASHUMTA KITAIFA 2026 MKOA WA IRINGA

Mzalendo Jun 08, 2026

MIKOA YAANZA KUSHINDANA UMITASHUMTA 2026 IRINGA

  OWM-TAMISEMI, Iringa Wanafunzi kutoka Mikoa 28 ya Tanzania Bara na Zanzibar wameanza kushindana katika Mashindano ya Umoja na Michezo na Taaluma Tanzania kwa Shule za Msingi (UMITASHUMTA) yanayofanyika Kitaifa Mkoan…

Daily News Jun 08, 2026

Sports talent hunt gains momentum as UMITASHUMTA opens

IRINGA: IN a bold push to unearth the next generation of sporting stars, the government has vowed to scout raw young talent across the nation, sharpen their skills like diamonds in the rough, and catapult them onto th…

Mkoa wa Tabora Jun 06, 2026

MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA YAFIKIA TAMATI TABORA; DKT. MBOYA AITAKA TIMU YA MKOA KUNG'ARA KITAIFA IRINGA

Mkoa wa Tabora May 24, 2026

TABORA YAHITIMISHA MASHINDANO YA UMITASHUMTA 2026, WILAYA YA KALIUA YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA.

UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono ni nini?

UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — tukio la UMITASHUMTA (Mpira wa Mikono). Kategoria: Wavulana, Wasichana.

Hakuna matukio yaliyopangwa au viungo vya ziada hapa kwa sasa.