UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono
UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono ni nini? UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — tukio la UMITASHUMTA (Mpira wa Mikono). Kategoria: Wavulana, Wasichana.
UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — Habari.
UMITASHUMTA kuinua uchumi bodaboda, mamalishe iringa
UJIO wa zaidi ya wageni 7,000 mkoani Iringa kwa ajili ya mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA), umeleta neema kubwa kwa wafanyabiashara wadogo, hususan waendesha bodaboda…
MWANAFA AFUNGA UMITASHUMTA, AELEZA MKAKATI WA SERIKALI
📍 Bilioni 15 kukamilisha ujenzi akademia ya michezo MalyaNA Mashaka Mhando, IringaSERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 15 katika mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Akademia ya Taifa ya…
MANYARA,ARUSHA ZAANZA VIZURI WAVU UMITASHUMTA 2026
Na.OWM- TAMISEMI, Iringa Mikoa ya Manyara na Arusha imeanza vizuri Mashindano ya UMITASHUMTA baada ya timu zao kupata ushindi katika michezo iliyochezwa leo tarehe 11 Juni 2026. Kwa upande wa Wasichana, timu ya Mkoa…
IRINGA YAJIPANGA KUHUDUMIA WAGENI 10,000, UMITASHUMTA KUCHOCHEA UCHUMI WA MKOA.
MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISETA NI MKAKATI WA KUJENGA VIJANA WENYE AFYA BORA – PROF. SHEMDOE
Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
WAZIRI WA TAMISEMI PROFESA RIZIKI SHEMDOE AZINDUA RASMI UMITASHUMTA NA UMISSETA 2026 MKOANI IRINGA
NA DENIS MLOWE IRINGA SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha michezo na sanaa shuleni kwa lengo la kuibua vipaji, kukuza ajira na kuandaa…
Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA
IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA, hatua inayolenga kuhakikisha hakuna kipaji kinachopotea na kw…
UFUNGUZI WA MICHEZO YA UMITASHUMTA KITAIFA 2026 MKOA WA IRINGA
MIKOA YAANZA KUSHINDANA UMITASHUMTA 2026 IRINGA
OWM-TAMISEMI, Iringa Wanafunzi kutoka Mikoa 28 ya Tanzania Bara na Zanzibar wameanza kushindana katika Mashindano ya Umoja na Michezo na Taaluma Tanzania kwa Shule za Msingi (UMITASHUMTA) yanayofanyika Kitaifa Mkoan…
Sports talent hunt gains momentum as UMITASHUMTA opens
IRINGA: IN a bold push to unearth the next generation of sporting stars, the government has vowed to scout raw young talent across the nation, sharpen their skills like diamonds in the rough, and catapult them onto th…
MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA YAFIKIA TAMATI TABORA; DKT. MBOYA AITAKA TIMU YA MKOA KUNG'ARA KITAIFA IRINGA
TABORA YAHITIMISHA MASHINDANO YA UMITASHUMTA 2026, WILAYA YA KALIUA YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA.
UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono ni nini?
UMITASHUMTA — Mpira wa Mikono — tukio la UMITASHUMTA (Mpira wa Mikono). Kategoria: Wavulana, Wasichana.