
Gundua
1083 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Michuzi chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Spotlight
Tanzania Development Vision 2050
Spotlight
AI
Na Oscar Assenga,TANGASERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa washauri wa wanafunzi, wanasihi na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali nchini.Akizungumza wakati wa k…
.jpeg)
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola
Na Mwandishi Wetu.SERIKALI imeimarisha kwa kiwango kikubwa ufuatiliaji katika mipaka, vituo vya kuingilia nchini na mfumo mzima wa huduma za afya ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini kutoka mataifa jirani.Akizungumza katika semina ya wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ukuzaji wa Afya kutoka …

Spotlight
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
Na Janeth Raphael MichuziTv BungeniSerikali ya Tanzania imetangaza vipaumbele vikuu vya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambao unalenga kuimarisha uchumi, kuboresha maisha ya wananchi na kuongeza ushindani wa taifa katika masoko ya kikanda na kimataifa.Mpango huo umeelezwa kuwa dira muhimu ya m…

Spotlight
Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…
MICHUANO mikubwa Duniani inatarajiwa kuanza Alhamisi ya leo Kule Mexico ambapo waandaaji wa mashindano hayo watakuwa kibaruani dhidi ya timu kutoka Afrika, yaani Afrika Kusini. Nani kuanza vyema leo?Je uanjua kuwa siku zote mechi ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani daima huwa na umuhimu wa kipekee kwa sababu ndiyo…

Spotlight
Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…
Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema serikali imechukua hatua madhubuti kumaliza changamoto za kukatika kwa umeme zilizokuwa zikiathiri baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, hali iliyokuwa ikisababisha wilaya nzima kukosa umeme pindi hitilafu zinapotokea kwenye baad…

Spotlight
Waziri wa tamisemi profesa riziki s…
📍 Bilioni 15 kukamilisha ujenzi akademia ya michezo MalyaNA Mashaka Mhando, IringaSERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 15 katika mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Akademia ya Taifa ya Michezo iliyopo Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya.Hatua hiyo ya kiserikali inalenga kuweka mfumo th…

Spotlight
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
Dar es Salaam, Julai 2026Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo kitafanyika tarehe 3 Julai 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, kuanz…
.png)
Spotlight
Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…
KARIBU kwenye kwenye Zigo la Mizawadi, Meridianbet tumezindua rasmi kampeni mpya na ya kusisimua ya “Mbabe wa Dunia”, ikitoa nafasi kwa wapenzi wa soka kushindania zawadi zenye thamani ya jumla ya TZS 100,000,000 katika kipindi chote cha Kombe la Dunia 2026.Kuanzia leo Juni 12 hadi Julai 19, kila tiketi yenye mechi za…

Spotlight
Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…
Na Paul Kayanda, KahamaMWENYEKITI wa Mtaa wa Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Stella Bhayugile, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan umeendelea kuleta matumaini mapya kwa wananchi. Huku vijana na wanawa…

Spotlight
Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…
Na Janeth Raphael MichuziTv Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema chama hicho kimepokea taarifa zinazoonyesha kuwepo kwa baadhi ya makundi yanayodaiwa kupanga njama za kuvuruga amani na utulivu wa nchi.Akizungumza na…

Spotlight
Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…
Na Victor Masangu, PwaniHatimaye Chama cha wafanyakazi wa serikali na afya (TUGHE) Mkoa wa Pwani kimefanya uchaguzi wake mkuu na kuweza kumchangua kwa kishindo Mwenyekiti aliyekuwa anatetea kiti chake Catherine Katele ambaye ameweza kuibuka na ushindi baada ya kupata kura 33 dhidi ya mpinzani wake ambaye amejinyakulia…

Spotlight
Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Nancy Nyalusi, amesema ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya na unatarajiwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga huku ukiimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa.Nyalusi a…

Spotlight
Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …
KAMA wewe ni shabiki wa michezo ya kasino mtandaoni ambaye hupenda ushindani na zawadi zinazobadilisha siku yako, basi Meridianbet imekuletea fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Expanse Treasure Hunt, kila mzunguko unaoucheza unaweza kuwa hatua mpya kuelekea kwenye hazina ya mamilioni ya shilingi. Hii…

Spotlight
Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…
Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Vedastina Kagombora amesema kuwa Suala la ujumuishaji sio jukumu la Sekta moja bali ni la kila Wizara kushirikiana ili kuweka mazingira rafiki katika upatikanaji wa huduma muhimu ikiwemo …
.jpeg)
Spotlight
Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…
Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

Spotlight
Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco
LEO hii ni zamu ya mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa.Katika Kundi C leo hii kutakuwa na mechi kati ya Brazil dhidi ya Morocco ambapo hii ni moja ya mechi ambazo zitakuwa nzuri kutaza…

Spotlight
Jeshi la magereza lashiriki maadhim…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, Juni 22, 2026 alitembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.Akiwa katika banda hilo, Prof. Kahyarara alipokewa na Mene…

Spotlight
NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…
Na Benny Mwaipaja, LondonTanzania imeandika historia mpya katika masoko ya fedha ya kimataifa baada ya hatifungani ya kwanza inayotolewa nje ya nchi (Tanzania off-shore Bond) yenye thamani ya dola za Marekani milioni 100, sawa na takriban shilingi bilioni 262.5 za Tanzania, iliyotolewa na Shirika la Fedha la Kimataifa…

Spotlight
Singapore sees Tanzania as a major …
Minister of State in the President's Office (Planning and Investment), Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of the State Visit by the President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, to Russia from 2–6 June 2026. The briefing was held at the Juliu…

Spotlight
Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…
MCHEZO wa leo kati ya Iraq na Norway katika Kundi I michuano mikubwa 2026 unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa licha ya Norway kuingia kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kushinda.Huu ni mchezo wa kwanza kwa mataifa yote mawili katika mashindano haya, ambapo Iraq inarejea Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka …

Spotlight
TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…
TAKUKURU Mkoa wa Geita imefikisha mahakamani watumishi 9 wa umma kwa tuhuma za kutumia vibaya na kuiba fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 89,055,107 na senti 50. Watumishi hao walikamatwa baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kubaini walikuwa wakifanya vitendo vya rushwa na ubadhirifu. Kati yao watumishi 3 wa Manispaa …

Spotlight
Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…
Na Mwandishi WetuHALIMASHAURI ya Wilaya ya Kisarawe,Mkoani Pwani imeendelea kung'ara kwa kupata hati safi kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG), kwa kipindi cha miaka minne mfurulizo.Wilaya hiyo imepata hati safi katika mwaka wa fedha 2021/22 , mwaka wa fedha 22/23, mwaka wa fedha 23/24 n…

Spotlight
Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…
Na Mwandishi Wetu, MorogoroWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini.Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Bar…

Spotlight
Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Spotlight
Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…
Na Victor Masangu,KibahaMwenyekiti wa umoja wa wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani Zainabu Vullu amewahimiza wanawake kuweka misingi imara ya kutumia fursa za mikopo ya asilimia 10 ambayo inatolewa na Hamashauri kwa lengo la kuweza kujikwamua kiuchumi na kuondokana na wimbi la umasikini.Vullu ameyabainisha hayo wakati wa zia…

Spotlight
Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…
Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Spotlight
Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitaka Mahakama ya Tanzania kuendelea kuimarisha misingi ya haki, nidhamu, uwajibikaji na maadili katika utoaji wa huduma za haki ili kuhakikisha mfumo imara na wa kuaminika wa utoaji haki nchini.Rais Samia amet…

Spotlight
Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Spotlight
Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…
Na.Mwandishi wetu - Dar es SalaamKamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya maandalizi ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El N…

Spotlight
Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…
Na. Saidina Msangi, WF, Abidjan.Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na kuhakikisha kuwa zinaongeza thamani ya bidhaa na kuimarisha biashara ya ndani ya bara ili kujenga maendeleo jumuishi, endelevu na yenye tija.Hayo yalibainishwa …

Spotlight
Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…
Benki ya NMB imeendelea kuonyesha nafasi yake katika kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha kwa wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo, wakiwemo wakulima, wanunuzi wa mazao, wachakataji, wasafirishaji na waagizaji wa pembejeo.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Bi…

Spotlight
Serikali kuwainua vijana kupitia ut…
Dar es Salaam, Julai 3, 2026 Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua iliyowezesha kuongeza fursa za mafunzo kwa watumishi wa umma na wananchi kupitia ongezeko la kampasi kutoka mbili hadi sita katika kipindi cha miaka 25 iliyopita.Ponge…

Spotlight
Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…
Wananchi nchini wametakiwa kuwa waangalifu na taarifa pamoja na ushauri wanaoupata kupitia mitandao ya kijamii, kwani si kila elimu inayotolewa mtandaoni ni sahihi au inatolewa na wataalamu wenye sifa stahiki.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dkt. Joyce Nyoni, alipokuwa akizungumza na waandishi w…
.jpeg)
Spotlight
Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…
-Yalenga kurejesha mawasiliano ya barabara kwa muda mfupi wakati wa dharuraDar es SalaamWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuimarisha uwezo wa wataalamu wake kwa kuwapatia mafunzo ya matumizi ya teknolojia ya kisasa ya mabomba ya "Weholite" yanayotumika kujenga makalavati ikiwa ni sehemu ya…

Spotlight
Rais wa namibia atembelea kiwanja c…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Spotlight
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Juni 7,2026JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.Akitoa ufafanuzi kuhusu tukio hilo, kam…

Spotlight
Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…
Leo hii mechi za kirafiki zile za kujiandaa na msimu ujao zinakaribia huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja ikiwa inakungoja. Je nani anaweza kuondoka na ushindi siku hii ya leo?Mechi ya Basel dhidi ya Juventus inatarajiwa ya kuvutia kiaina yake na yenye ushindani mkubwa haswa huku huku kila timu ikitumia fursa hii …

Spotlight
Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…
Na Janeth Raphael - MichuziTv -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea msaada wa Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Uboreshaji wa Huduma za Usambazaji Ma…
.jpeg)
Spotlight
Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…
Na Farida Mangube Morogoro Wakazi wa Kitongoji cha Kichangani, Kijiji cha Mamboya katika Kata ya Gairo, Wilaya ya Gairo, wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya mafuriko na kukatika kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja na mtaro wa maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 455.Mra…

Spotlight
Wizara ya maliasili na utalii yaibu…
Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ametoa maagizo ya kuchukuliwa hatua kwa maafisa rasilimali watu watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma, licha ya wahusika hao kutimiza vigezo vyote vinavyohitajika.Prof. Sh…

Spotlight
Play’n GO na Meridianbet Waungana K…
MERIDIANBET inafungua ukurasa mpya wa burudani ya kasino mtandaoni kwa kuwakaribisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa kipekee wa Play’n GO, mmoja wa waandaa michezo wakubwa na wanaoaminika zaidi katika tasnia ya michezo ya kasino ya kidijitali. Hii ni hatua inayolenga kuongeza ladha mpya ya michezo ya kisasa kwa wap…

Spotlight
Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendesha zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Miyuji B, iliyopo eneo la Mpamaa jijini Dodoma Juni 28, 2026, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya TRA pamoja na Tuzo za Rais kwa Walipakodi Bora. Zoezi hilo linalenga kuunga mkono …

Spotlight
Rais samia azindua kituo cha tiba y…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kuwezesha ugunduzi wa mapema wa saratani, akisisitiza kuwa ugonjwa huo si hukumu ya kifo iwapo utabainika mapema na mgonjwa kupata matiba…
.jpeg)
Spotlight
Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…
Vijana wa Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya bahari, huku Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kikieleza kuwa wahitimu wake wanaendelea kupata ajira ndani na nje ya nchi, hususan katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa ubaharia.Akizungumza na waandis…

Spotlight
Algerian firms seek partners for tr…
Balozi Mobhare Matinyi akimwonesha Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Géant Electronics, Abdelkrim Mebarkia, vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye banda la Tanzania katika Maonesho ya 57 ya Biashara ya Kimataifa ya Algiers (FIA) yanayoendelea nchini Algeria.Balozi Mobhare Matinyi akipata maele…

Spotlight
WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Spotlight
Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …
Mechi hii kubwa itachezwa Alhamisi tarehe 9 Julai 2026 katika uwanja wa Gillette Stadium (unaojulikana pia kama Boston Stadium), mjini Foxborough, karibu na Boston, Marekani. Mchezo utaanza saa 20:00 kwa muda wa GMT, sawa na saa 23:00 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki (na saa 22:00 mjini Paris, saa 21:00 Rabat). Huu …
.jpeg)
Spotlight
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

Spotlight
Zanzibar strengthens Ebola prepared…
Na Andrea Kadege, WAF-Dar es SalaamMkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Ukanda wa Afrika Prof. Mohamed Janabi amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji wa haraka wa wagonjwa na uwekezaji katika mifumo ya afya kama nguzo muhimu ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola barani AfrikaProf. Janabi amesema hayo leo Juni 25, 2026 Jijini Dar …

Spotlight
Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…
LEO. Jumapili Julai 19, 2026, dunia nzima itashuhudia fainali ya michuano ya Dunia ikichezwa kati ya Argentina na Spain katika uwanja wa MetLife (unaojulikana pia kama New York New Jersey Stadium), East Rutherford, New Jersey, Marekani.Mchezo utaanza saa 3:00 usiku kwa saa za Marekani (ET), ambayo ni sawa na saa 22:00…
.jpeg)
Spotlight
Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…
Kamati ya Wataalam ya Serikali ya Maandalizi ya Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) imeweka mkazo katika kuhakikisha miradi ya ujenzi na uboreshaji wa barabara inayotekelezwa kuelekea michuano hiyo inakamilika kwa wakati, ili kuboresha usafiri na usafirishaji.Akifungua kikao kazi cha Kamati h…

Spotlight
Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…
Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …
.jpeg)
Spotlight
Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI

Spotlight
Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…
TANZANIA inalenga kuongeza ushiriki wake katika soko la kimataifa la kaboni, huku kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji wa Kaboni (NCMC) kikipewa jukumu la kuimarisha usimamizi, kuvutia uwekezaji wa kijani na kuongeza manufaa ya rasilimali za asili.Katibu Mkuu katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, amesema Ta…

Spotlight
Prediction Afrika Kusini vs Canada …
AFRIKA Kusini wamefuzu kwa mara ya kwanza katika historia yao kufikia hatua ya mtoano wa mashindano ya Dunia, wakimaliza washindi wa pili wa Kundi A nyuma ya Mexico. Hii ni mara yao ya kwanza kuvuka hatua ya makundi katika michuano hii, baada ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 1998, 2002 na kama wenyeji 2010.Kwa upande …

Spotlight
Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…
Na Pamela Mollel,Arusha Maandalizi ya kuupokea Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Arusha yamekamilika kwa asilimia 100, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika shughuli za Mbio za Mwenge, kutembelea miradi ya maendeleo na kuhudhuria mkesha mkubwa wa burudani utakaofanyika Viwanja vya FFU Mworombo…

Spotlight
Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa
KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu matumizi ya dhamana zinazohamishika.Akizungu…

Spotlight
Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…
KATIKA dunia ya leo ya kasi, kijana hahitaji kusubiri miaka mingi kuona mabadiliko. Kila kitu kinataka kuwa cha haraka, cha maana, na cha kuleta matokeo halisi. Ndiyo maana Meridianbet imeleta fursa ambayo inazungumzwa na kila mbashiri, Diamond Jackpot. Hili ni dirisha la ndoto kubwa linaloweza kukubadilisha maisha nd…

Spotlight
Rc makalla aipongeza halmashauri ya…
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe kubuni na kutekeleza miradi mipya ya kuongeza mapato, badala ya kuendelea kutegemea mapato ya madini peke yake.Ametoa maelekezo hayo wakati wa Kikao Maalum cha Baraza cha kusikiliza na kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…

Spotlight
Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…
Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…
Spotlight
Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha wafugaji nchini kupata huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo mikopo, kupitia mfumo wa uuzaji wa mifugo kwa stakabadhi ghalani.Ushirikiano huo unalenga kuongeza upatikanaji wa mitaji …

Spotlight
Kamati ya bunge ya nishati na madin…
*Yawahamasisha Wananchi Kutumia Umeme kwa Ufanisi na gharama nafuuNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zinazolenga kubores…

Spotlight
Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuwa chachu ya mabadiliko kwa kaya maskini, hususan wanawake, kwa kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuanza maisha ya kujitegemea.Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi…

Spotlight
Norway yaiondosha ivory coast kombe…
LEO Julai 5, 2026, saa 23:00, Uwanja wa MetLife, New Jersey, utashuhudia pambano kali la michuano ya Dunia kati ya Brazil na Norway. Hii ni mechi ya Raundi ya 16 ambayo inaahidi burudani na mivutano mikubwa. Brazil, yenye mataji matano ya duniani, inatafuta kuvunja rekodi isiyofurahisha ya kutokuwahi kuishinda Norway …

Spotlight
Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…
MERIDIANBET imethibitisha kuwa mafanikio ya kweli hayaishii kwenye michezo ya kasino mtandaoni au ubashiri wa mechi pekee, bali yanaonekana pia kupitia matendo yenye kugusa maisha ya watu. Safari hii kampuni hiyo imefika Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni iliyopo Mabwepande na kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya us…

Spotlight
Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…
Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) inaendelea kuimarisha uzalishaji na biashara ya zao la kitunguu kwa kukamilisha miongozo ya usimamizi wa zao hilo na kuendeleza miundombinu ya masoko, hatua zinazolenga kuongeza ushindani wa vitunguu vya Tanzania katika masoko ya kikanda na k…

Spotlight
Makamu wa rais amwakilisha rais sam…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili ya kushiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu Afya, tarehe 22 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. …
.jpeg)
Spotlight
Serikali yaendelea kuchukua hatua k…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache barani Afrika zilizofanikiwa kusambaza huduma ya umeme vijijini, hatua ambayo imewezesha wananchi wengi kupata huduma hiyo kutoka ngazi za mikoa, wilaya, kata na vijiji, huku sasa juhudi zikielekezwa katika kufikisha umeme kwenye …
.jpeg)
Spotlight
Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…
Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula amepongeza ushiriki wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, 2026 akieleza kuwa maonesho hayo ni jukwaa muhimu la kulitangaza jiji na fursa zake kwa wananchi na wawekezaji.Alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la Halmas…

Spotlight
Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imezindua Mradi wa Twiga Future Forward Education Program, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Barrick Tanzania, ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini na kuongeza fursa za wanafunzi kupata elimu katika mazingira bora.Akizindua mradi hu…

Spotlight
Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Spotlight
Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…
Na Janeth Raphael MichuziTv Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameelezwa kuwa moja ya majukwaa makubwa yanayochochea ukuaji wa biashara, uwekezaji na ubunifu nchini, huku yakiiunganisha Tanzania na masoko ya kikanda pamoja na ya kimataifa.Akizungumza katika ufunguzi rasmi Maonesho ya 50 ya …
.jpeg)
Spotlight
Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…
Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akipata maelezo kutoka kwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa wakato alipotembelea katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage N…
.jpeg)
Spotlight
Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …
Na. Mwandishi Wetu – Dar es SalaamKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi, amesema michuano ya AFCON ni fursa adhimu ya kuitangaza Tanzani…

Spotlight
Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…
📍Wamwangukia DPP amuachie LissuNa Mashaka Mhando, TangaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya majimbo mkoani Tanga, wamemtaka Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), John Heche, kujiuzulu au kukaa pembeni kupisha uchunguzi kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazomkabili.Sambamba na shin…

Spotlight
Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…
Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji, Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (kulia) na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo Happiness Shuma (kushoto), wakiwa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). M…

Spotlight
Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamJUMLA ya wananchi 1,940 wamepata huduma za uchunguzi wa macho na ushauri wa kitabibu bila malipo katika Banda la MIXX kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika banda hilo, Mta…

Spotlight
NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …
Na MWANDISHI WETUDar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuchangia katika Mfuko huo ili kujihakikishia ulinzi w…

Spotlight
Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…
Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Spotlight
Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …
Na Farida Mangube Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akisema ni muhimu kwa usafirishaji wa mazao ya kilimo na madini katika Wilaya za Ulanga na Malinyi, Mkoa wa Morogoro.Ametoa ombi hilo wakati wa hafla ya kumkabidhi mkandara…

Spotlight
Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…
▪️ Waziri Mavunde akutana na mwekezaji wa kiwanda cha kuzalisha goroli za chuma▪️ Kiwanda hicho kinatarajiwa kujengwa Buzwagi Special Economic Zone, Kahama▪️ Oriental Casting and Forging Ltd ya China yajipanga kuwekeza nchini▪️ Serikali yalenga kupunguza utegemezi wa bidhaa za migodini kutoka nje▪️ Tanzania yajipanga …

Spotlight
Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho, amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa juhudi wanazozifanya za kuimarisha ulinzi na usalama nchini.Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya miak…

Spotlight
Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda, amesema Mamlaka hiyo itaendelea kutekeleza maelekezo ya Rais kuhusu kuimarisha ulipaji wa kodi kwa hiari kwa kuhakikisha kodi inasimamiwa na kukusanywa kwa haki na weledi ili kujenga imani ya walipakodi kwa TRA.Akizungumza katika kikao cha tathm…

Spotlight
'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi baada ya tafiti, kubadilishana uzoefu na stadi mbalimbali kutoka kwa Nchi zenye mbinu bora,teknolojia ya juu pamoja na uzoefu mkubwa wa kukabiliana na uhalifu,Amezindua Programu Maalumu ya Usalama,Maendeleo na Samia ambayo pia itashirikisha hatua za Mafunzo na Vifaa vy…

Spotlight
NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…
Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara …

Spotlight
Prediction Argentina vs Misri FIFA …
Mechi ya leo kati ya Mexico na England ni pambano la kihistoria katika hatua ya 16 Bora, inayochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Ingawa historia inaonyesha ubabe wa England, ambapo wameshinda mara 6 kati ya 9 dhidi ya Mexico, mechi hii ina mazingira tofauti kabisa. England anajua kwamba Mexico katika uwanja wao w…

Spotlight
Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…
Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Spotlight
Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…
Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…
.jpeg)
Spotlight
Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, ameipongeza Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa mageuzi inayoendelea kuyasimamia katika taasisi za umma, huku akiitaka kuendeleza juhudi hizo ili kuongeza tija ya uwekezaji wa Serikali.Msigwa, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, alitoa po…
.jpeg)
Spotlight
Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…
Na Victor Masangu, PwaniSerikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka mazingira rafiki na mazuri ya ukusanyaji wa mapato ambayo yameweza kusaidia kwa kiasi kikubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika kuwezesha utekelezaji wa mirad…
.jpeg)
Spotlight
Wananchi watembelea banda la tmda s…
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Spotlight
Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…
Na Mwandishi wetuSerikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali.Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya…

Spotlight
Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wanahitaji amani, usalama na utulivu badala ya vurugu na mivutano ya kisiasa, akisisitiza kuwa mazingira hayo ndiyo msingi wa Serikali kuendelea kutoa huduma bora za kijamii, kukuza uchumi na kuongeza furs…

Spotlight
NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…
Jane Mwakyoma - Rukwa.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Missana Kwangura amehitimisha mafunzo ya utoaji wa elimu kuhusu fursa za mitaji kupitia mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika wilayani humo mkoani Rukwa.Kwangura aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Nyak…

Spotlight
Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Spotlight
Waandishi wa habari wananufaika na …
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango vya taal…

Spotlight
Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

Spotlight
Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…
- Apokelewa na Mkuu wa Mkoa, Mhe. Makongoro Nyerere pamoja na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jacqueline Mzindakaya Na OWM–TAMISEMI, SumbawangaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Silas Shemdoe, amewasili mjini Sumbawanga kwa ajili ya kumuwakilisha W…
.jpeg)
Spotlight
Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, ArushaSERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha (ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoendelea kufanywa chuoni hapo ikiwemo ujenzi wa karakana ya kisasa kwaajili ya kufundishia na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali.Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu…

Spotlight
Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…
Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Spotlight
Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…
Kwa kizazi kinachopenda burudani yenye msisimko, Meridianbet imeleta promosheni inayobadilisha namna ya kufurahia michezo ya kasino. Golden Goal Rewards ni jukwaa linalokupa nafasi ya kushindania jumla ya TZS milioni 450 huku ukiendelea kufurahia michezo unayoipenda. Kila mzunguko wa mchezo unaweza kuwa hatua ya karib…

Spotlight
Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…
Na Mwandishi WetuRAIS na Mkurugenzi Mkuu wa Octant Energy, Richard Schmitt, amesema Kampuni hiyo bado ina dhamira ya dhati kuendelea kuwekeza nchini kwa kuzingatia sheria viwango vya kitaalamu na maslahi ya wananchi.Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwenye Maonesho ya 50 y…

Spotlight
Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), Samuel A. Mshote, amesema matumizi ya mbolea nchini yameendelea kuongezeka na kuchangia kupungua kwa changamoto kwa wakulima pamoja na kuimarika kwa usalama wa chakula nchini.Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Da…

Spotlight
UN envoy hails Kiswahili’s role in …
By TBN Staff Writer, LondonSwahili Ambassador for Africa and former First Lady of Tanzania, Her Excellency Salma Kikwete, has underscored the vital role of the Kiswahili language in promoting unity, preserving culture and advancing social and economic development across Africa and the wider world.She said Kiswahili ha…

Spotlight
Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …
Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi wa mashauri yanayohusiana na ushindani. Ziara hiyo iliyofa…
.jpeg)
Spotlight
Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …
Na Mwandishi wetuDar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026.Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuon…

Spotlight
Simulizi za waraibu wa dawa za kule…
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imetoa mafunzo ya kuwajengea uelewa waandishi wa habari nchini kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu mapambano dhidi biashara haramu ya dawa za kulevya.Katika mafunzo hayo yaliyofanyika leo Julai 3,2026 jijini Dar es Salaam mada zili…

Spotlight
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
Mwambata wa ubalozi wa Oman nchini Tanzania, Abdulrahman Salim Algaad akiwa na familia yake, ametembelea Hifadhi ya Ngorongoro na kushuhudia maajabu ya utalii yaliyopo katika kivutio namba moja cha utalii barani afrikaAkimpokea mwambata huyo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia Huduma za Utalii na Ma…

Spotlight
Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…
KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

Spotlight
Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…
Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Mixx imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu wamekabidhiwa zawadi za shilingi milioni moja kila mmoja kwa kutumia aprication ya MiXX Super app kufanya malipo ya huduma mbalimbali.Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi zawa…

Spotlight
IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…
Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewakaribisha wawekezaji kutoka jumuiya ya kimataifa, kuchangamia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, viwanda, kilimo, madini na huduma za kifedha.Mhe. Balozi Omar ametoa wito huo jijin…

Spotlight
Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…
Na Vero Ignatus, Michuzi TV-ArushaSerikali imeeleza kuwa ina matarajio makubwa kwa Mawakili wa Serikali katika kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050,Matarajio hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba, wakati akifunga mafunz…

Spotlight
BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…
Na Mwandishi wetuKliniki ya Wateja Maalumu, Wagonjwa wa Kimataifa na Uchunguzi wa Afya wa Kina (Royal, International Patients and Master Health Check-up Clinic) katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake, huku ikijivunia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za kibing…

Spotlight
Kongamano la nishati : etdco yasisi…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai.Mazungumzo hayo yamefanyika leo, tarehe 03 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, alipofika kujitambulisha pamoja na ujumbe alioambatana na…

Spotlight
GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVBODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema moja ya jukumu lake kubwa ni kutangaza utalii wa Tanzania ndani na nje ya nchi, hivyo Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)yanayoendelea ni jukwaa muhimu la kuendelea kutangaza utalii wetu.Aidha imesema kupitia maonesho h…

Spotlight
Tanzania eyes Russian tourism boom …
Na Karama Kenyunko Michuzi TvIDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha mawakala 130 wa safari, waendeshaji wa utalii, mashirika ya ndege na wadau wa sekta ya utalii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na sekta ya usafiri nchi…

Spotlight
Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…
Leo, Jumanne Julai 14, mechi kubwa zaidi ya msimu huu wa michuano ya Dunia inachezwa kati ya France na Spain katika Dallas Stadium, jijini Arlington, Texas. Mechi hii itaanza saa 22:00 iko karibu sana na muda halisi wa mechi kwa saa za Ulaya.Timu hizi mbili ndizo zilizoingia kwenye kombe hili zikiwa vipenzi vikubwa vy…

Spotlight
Manispaa ya ubungo yashiriki maones…
Na Janeth Raphael MichuziTv Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyika nchini kuanzia Mei 11 hadi 15, 2026, huku jumla ya watahiniwa 682 sawa na asilimia 43.7 wakifaulu.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi …

Spotlight
GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …
Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la Taasisi za Udhibiti kutokana na utoaji bora wa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) 2026.Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja wa PPRA Kanda y…

Spotlight
Akili unde iwe mshirika wa vijana, …
Geneva, Julai 2026 Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa miliki bunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya akili mnemba (Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya teknolojia na kujengea watu uwezo.Akiwasilis…

Spotlight
Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …
Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umeweka jiwe la msingi kwenye wodi ya wanawake na watoto katika kituo cha afya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyojengwa na kampuni ya Chusa Mining LTD.Kampuni ya Chusa Mining LTD chini ya Mkurugenzi wake Joseph Damasi Mwakipesile imejenga wodi hiyo ya wanawake…

Spotlight
Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…
Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Spotlight
Homera ataja sababu kutotekelezwa m…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na Waziri", ambapo jumla ya malalamiko 29 yamepokelewa na kuanza kufanyiwa kazi, hatua inayotoa matumaini kwa wananchi wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kisheria.H…
.jpeg)
Spotlight
Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…
Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali wameagizwa kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unakuwa sehemu ya majukumu yao ya kila siku kwa kuoanisha mipango, bajeti na maamuzi ya Taasisi wanazoziongoza na malengo ya maendeleo ya Taifa.Agizo hilo limetolewa Julai 24, 2026 …
.jpeg)
Spotlight
Oryx gasi , skauti tanzania waungan…
Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

Spotlight
Serikali yataka wanahabari kuhamasi…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034.Wito…
Spotlight
Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…
Na Oscar Assenga,MKINGAJUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regime-STR) ili kurahisisha biashara za mipakani, kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda na kupunguz…
.jpeg)
Spotlight
Tanzania holds preparatory talks he…
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Mawaziri wa Utatu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika) uliofanyika kwa njia ya mtandao kujadili hali ya usalama katika ka…

Spotlight
TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…
Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wateja, washirika wa kibiashara …

Spotlight
WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…
Na Mwandishi WetuSERIKALI imesema mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) yameweka msingi mpya wa kuimarisha huduma endelevu za maji, usafi wa mazingira na afya nchini, huku ikiahidi kuyaingiza katika mipango ya maendeleo ya taifa.Hayo yalisemwa mjini Morogoro na Mku…

Spotlight
Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 16 Julai, 2026.

Spotlight
Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…
Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…

Spotlight
Teknolojia za tari kifulilo zawavut…
NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

Spotlight
Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) imeendelea na jitihada zake za kuhakikisha upatikanaji wa maji katika kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro unakuwa ni wa uhakika ambapo wameendelea kuboresha miundombinu kwa kununua mabomba mapya ya kulaza umbali wa kilomita 13.Akizu…

Spotlight
Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…
Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umekagua na kutembelea mradi wa viti 120 na meza 120 za wanafunzi wa shule ya sekondari Tanzanite ya Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.Mkuu wa shule ya sekondari Tanzanite, Jude Samwel Mziray ameeleza hayo wakati akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa …

Spotlight
Maonesho ya nanenane iringa yalenga…
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amesema Mkoa wa Iringa unaendelea kujipambanua kama mkoa wenye fursa ya utalii, kilimo, huku akiwakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kufika mkoani humo kutumia fursa zilizopo.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Juni 3, 2026, mara baada ya kute…

Spotlight
Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…
Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kupitia ujuzi wa kidijitali unaozingatia utunzaji wa mazingira. Hii imefanyika kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki yaliyotolewa wakati wa warsha ya ReFab Dar 2, iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuadhimisha Siku …
.jpeg)
Spotlight
TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema usimamizi endelevu wa misitu na rasilimali za nyuki ni nguzo muhimu katika kuimarisha usalama wa mazingira, kukuza uchumi na kujenga jamii zenye ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi barani Afrika.Kauli hiyo imetolewa J…

Spotlight
Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…
ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

Spotlight
Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…
Na Mwandishi Wetu, MbeyaJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau mbalimbali katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kupitia doria, misako na oparesheni za kuzuia na kubaini uhalifu. Katika kipindi cha mwezi Mei 2026, jumla ya watuhumiwa 871 wa makosa mbalimbali ya jinai…

Spotlight
NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…
Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara.Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel, London, Uin…

Spotlight
Hispania vs Argentina: Tazama Faina…
SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…
.jpeg)
Spotlight
Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …
ZAIDI ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Julai 13, 2026 na itahitimishwa Julai 19, ambapo wananchi wanapatiwa vipimo, ushau…

Spotlight
Rais samia: tanzania na misri kuung…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Tanzania na Misri zimefikia makubaliano ya kuimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na mifugo, hatua inayotarajiwa kufungua ukurasa mpya wa uwekezaji kupitia maendeleo ya Ranchi ya Ruvu na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa chakula.Akizungumza Ikulu jijini Dar es S…
.jpeg)
Spotlight
Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…
Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.Maboresho hayo yanafanyika kwa uwe…

Spotlight
UFC Fight Night Serbia: Meridianbet…
IKIWA ni miaka 25 toka kuanza kufanya kazi kwa kampuni ya ubashiri ya meridianbet, kampuni hiyo imeamua kusherehekea juhudi hizo kwa njia ya kipekee kwa kulidhamini pambano la UFC linalokwenda kwa jina la UFC Fight Night Belgrade ambalo kwa mara ya kwanza linaenda kufanyika nchini Serbia mnamo tarehe 01 mwezi wa 08.Hi…

Spotlight
Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…
NA MWANDISHI WETU – SONGEASerikali inaendelea kuboresha na kujenga Miundombinu ya uvuvi ikiwemo masoko ,maghala ya kuhifadhia mazao ya uvuvi, vichanja vya kukaushia samaki maghala ya kuifadhia mazao ya uvuvi na viwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi na teknolojia rafiki za ukaushaji ili kubadilisha sekta hii kutoka ufug…

Spotlight
Yanga Princess Kukamilisha Usajili …
NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…

Spotlight
Wananchi sale washirikiana na serik…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Mwigulu Nchemba amekagua maandalizi ya siku ya mashujaa yaliyofanyika katika uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoa wa Dodoma.Akizungumza mara maada ya kushuhudia majaribio ambayo yamefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama amesema kuwa mpaka sasa ma…

Spotlight
Fainali Ya Argentina vs Spain: Vita…
LEO, Jumatano Julai 15, uwanja wa Atlanta Stadium (Mercedes-Benz Stadium) utakuwa jukwaa la mtanange wa kihistoria kati ya England na Argentina, mechi ambayo ni ya kwanza kati ya timu hizi mbili kwenye hatua ya mtoano ya michuano ya Dunia tangu mwaka 2002. Mchezo utaanza saa 22:00 usiku.Safari za timu hizi mbili kufik…

Spotlight
Serikali yaimarisha utayari wa kuka…
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuimarisha uwezo wa mfumo wa afya katika kuzuia, kugundua na kutoa mwitikio wa haraka dhidi ya magonjwa ya mlipuko.Hayo yamese…

Spotlight
Mwamnyeto Mguu Nje Mguu Ndani Yanga
NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…
%20PR%201200X1200.png)
Spotlight
Gates of Olympia Yawazawadia Watanz…
Katika kipindi cha tarehe 01 hadi 15 Julai, mchezo wa kasino wa Monopoly Big Baller umeibuka kama mfalme wa malipo kwa wachezaji ndani ya Meridianbet. Zaidi ya Tsh. 11,700,000/= zimetolewa kwa washindi, jambo linalothibitisha kuwa huu si mchezo wa kawaida bali ni chanzo cha furaha na ushindi halisi.Wachezaji wengi wam…

Spotlight
Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro inaendelea kuvitangaza vivutio vya utalii vilivyopo ndani na nje ya Ngorongoro ili kuidhihirishia dunia kuwa eneo hilo ni hazina ya ulimwengu.Akitoa maelezo kwa kaimu mkurugenzi wa idara ya Afrika kutoka wizara ya mambo ya nje ya Sweden bwana Dario Jovic, Afisa Mhifadhi mkuu wa…

Spotlight
Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…
Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha taslim kufuatia uzinduzi rasmi wa mradi wa mabasi yanayotumia umeme (ZanBus), ambapo kampuni ya huduma za kifedha kidijitali Mixx imepewa jukumu la kusimamia mfumo wa malipo kidijitali kupitia kadi janja (Smart Card).Mradi huo ul…

Spotlight
Sporting dhidi ya Strasbourg: Mechi…
Usiku wa leo Sporting CP watakutana na klabu ya Kifaransa RC Strasbourg katika mechi ya kirafiki ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mechi hii itachezwa katika Uwanja wa Estádio do Algarve, na itakuwa ni hatua ya mwisho ya kambi ya mafunzo ya Sporting huko Algarve, ambayo ilianza tarehe 11 Julai. Mechi hii inakami…

Spotlight
Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania(TRAMEPRO Tanzania ) limetoa mwitokwa Watanzania, Waafrika na jumuiya ya kimataifa kuendelea kujenga jamii inayoheshimu utu wa kila mtu, kuwekeza katika elimu, afya, sayansi, mazingira na amani.TRAMEPRO imetoa mwito huo leo Julai 18,2026 katika ku…

Spotlight
Wilson Aanza Kuwa Tishio Huko Vegas
MICHUANO mikubwa Duniani inaendelea kuwaka moto huku mpaka sasa zikiwa zimesalia timu 4 pekee zinawania taji hili akiwemo na bingwa mtetezi wa michuano hii. Je nani kuondoka na Glovu ya Dhahabu?Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanampa nafasi kubwa Mlinda Mlango wa timu ya Taifa ya Ufaransa Mike Maignan kuchuku…

Spotlight
Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linafanya uchunguzi wa tukio la mauaji ya Lea Eliud Mazengo (50), mkazi wa Kijiji cha Lamaiti wilayani Bahi, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefichwa shambani baada ya kutoweka kwa siku kadhaa.Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na familia, Lea aliondoka…

Spotlight
Prof Kabudi aisifu Ubungo kwa kunun…
Dar es SalaamWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inayotekelezwa kupitia mradi wa Uboreshaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) inazingatia ubora, kasi ya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha za umma.Prof. Kabud…

Spotlight
Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…
Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB), ameanza ziara ya kikazi ya siku sita jijini London, Uingereza, ambapo atashiriki katika matukio mbalimbali ikiwemo kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa hatifungani ya kwanza ya nje yenye sarafu ya Shilingi ya Tanzania inayotolewa na Shirika …

Spotlight
Detained Udom lecturer Kaijage gran…
Na Janeth Raphael - MichuziTv Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, imeamuru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, aachiwe kwa dhamana kuanzia Julai 21, 2026, wakati uchunguzi wa tuhuma za uchochezi zinazomkabili ukiendelea.Uamuzi huo umetolewa na Jaji Joachim Tiganga wakati wa usikilizwa…

Spotlight
Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa katika mikutano yake yanatekelezwa kupitia programu zenye manufaa ya moja kwa moja kwa nchi wanachama na wananchi.Rais Dk…

Spotlight
Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …
SERIKALI imewaahidi wakazi wa kijiji cha Endashangwet, Wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha kuwa ujenzi wa soko la vitunguu ukikamilika kwa awamu zote litakuwa soko la kuuza vitunguu masoko ya kimataifa zaidi ya soko la Kenya.Ametoa ahadi hiyo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa ziarani Arusha kukagua u…

Spotlight
Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…
Wananchi wa Kata ya Chang'ombe na Totowe, Wilaya Songwe Mkoa wa Songwe, wametakiwa kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na uhalifu, hususan vitendo vya ukatili dhidi ya watoto, kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa wakati.Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mk…

Spotlight
Tume ya madini yajipanga kuongeza u…
-Dkt. Numbi atoa somo kutoka Ghana kuhusu usimamizi wa ushirikishwaji wa wazawa katika Sekta ya Madini📍MWANZATume ya Madini imejipanga kuimarisha usimamizi wa ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini kwa kuhakikisha watoa huduma na wazalishaji wa bidhaa wanakidhi vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika,…
.jpeg)
Spotlight
President dr. mwinyi: zanzibar and …
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its continued efforts to strengthen cooperation with Tanzania in the sectors of education, health, trade, investment, water, science and technology.President Dr. Mwinyi made the rem…
.jpeg)
Spotlight
Polisi ngara wawafikia watoto yatim…
Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na jamii, kutoa elimu pamoja na kuwajulia hali wananchi wanaolitegemea Jeshi hilo katika ulinzi wao na mali.Katika mwendelezo wa shughuli hizo, Jeshi la P…
.jpeg)
Spotlight
Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…
Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Subira Mgalu akieleza kuwa uamuzi wa Oryx kugawa mitungi hiyo kunakwenda kuondoa kabisa athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu ka…

Spotlight
Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…
DODOMA | 24 Julai 2026Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania Makao Makuu ya CCM, Dodoma, na kuwapongeza kwa dhamana ya kuiwakilisha nchi katika chombo hicho cha kikanda.Katika mazungumzo hayo yaliyofany…
.jpeg)
Spotlight
Wakulima wa kipande-nkoavele kuonge…
WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya umwagiliaji kwa gharama ya Shilingi Milioni 200 ili kuendeleza matumizi ya kilimo cha umwagiliaji cha mazao ya mboga mboga na matunda.Amesema hayo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chon…

Spotlight
Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…
KABLA ya kuanza: Kumbuka kuwa tarehe 25 Julai 2026 ni Jumamosi, si Ijumaa. Mechi hii itapigwa Jumamosi, saa 6:30 mchana (12:30pm) kwa saa za huko.Gateshead FC watawakaribisha Newcastle United katika uwanja wao wa Gateshead International Stadium katika mechi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Hii ni fursa kwa mash…

Spotlight
‘Mende’ wa India wanavyompasua kich…
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, Julai 24, akipata maelezo wakati alipotembelea chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT) jijini Dar es Salaam leo Julai 24, 2026.Na Mwandishi WetuSERIKALI imekitaka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuhakikisha kinakamilisha miradi yote ya maendeleo inayoendelea na kuongeza ju…

Spotlight
Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivikaribuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika IkuluZanzibar.Viongozi waliokula kia…
Spotlight
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, leo ameongoza zaidi ya washiriki 13,000 katika mbio za NBC Dodoma Marathon 2026 zilizofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku akiipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikisha ukusanyaji wa shilingi bilioni 1 zitakazot…

Siku 4 zijazo
TAWA is organizing 'Pande Marathon' on August 1, 2026, aimed at promoting health and connecting citizens with tourism and conservation activities.
Kutoka 1 Ago 2026

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.
Kutoka 27 Jun 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Habari nyingine
FAN PULSE • LIVE
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda
Unaenda!!
Asante — umetujulisha.
Utakuja AFCON 2027?
Dkt. Mwigulu Nchemba Aongoza Washiriki Zaidi ya 13,000 NBC Dodoma Marathon; Shilingi Bilioni 1 Zakusanywa Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto

MAKAMU WA RAIS BALOZI DKT. NCHIMBI, ATEMBELEA UWANJA WA AFCON ARUSHA

DC SAME AGEUKA MBOGO KWA WACHIMBAJI MADINI HARAMU NDANI YA VYANZO VYA MAJI..

MBUNGE NGAJILO AONGOZA WITO WA KUREJESHA TIMU YA LIGI KUU IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ametoa wito kwa wananchi, wadau wa michezo, wafanyabiashara na wazawa wa Iringa waliopo

MUHIMBILI, CAMBRIDGE WAZINDUA UTAFITI WA VINASABA KULETA MAPINDUZI KATIKA TIBA YA SARATANI YA TEZI KWA WATOTO AFRIKA

RAIS SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA
.jpeg)
SERIKALI YAPONGEZA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KWA UJENZI WA KARAKANA YA UZALISHAJI VIPURI

KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE

RAIS IPU DR.TULIA ATEMBELEA KITUO CHA KUMBUKUMBU YA KAPTENI THOMAS SANKARA NCHINI BURKINA FASO
.jpeg)
TOHASA YAJA NA KAMPENI KUWA MAKINI OKOA MAISHA KWA MADEREVA BODABODA

MAWAZIRI AFRIKA WAKUBALIANA KUFANYA MAGEUZI YA KIUCHUMI, VIWANDA NA KUONDOA VIKWAZO VYA BIASHARA.
Na. Saidina Msangi, WF, Abidjan.Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na k

TANZANIA YAANDIKA HISTORIA KWA HATIFUNGANI YA KWANZA NJE YA NCHI KUORODHESHWA KWA SARAFU YA TANZANIA, LONDON STOCK EXCHANGE.
.jpeg)
WAKULIMA WA KIPANDE-NKOAVELE KUONGEZEWA MITA 1000 YA MIFEREJI YA UMWAGILIAJI

CHONGOLO: ARUMERU NAJUA MNACHOKITAKA NI MAENDELEO

UFC Fight Night Belgrade Yapewa Nguvu Na Meridianbet

Gateshead FC dhidi ya Newcastle United Mechi ya Kirafiki

Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar
.jpeg)
RIDHIWANI: DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 IWE AJENDA KUU YA KILA SIKU
Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali wameagizwa kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unakuwa sehemu ya maju
.jpeg)
POLISI NGARA WAWAFIKIA WATOTO YATIMA KUPITIA VITUO VYA MALEZI
.jpeg)
WAJASIRIAMALI 600 WAPATIWA MITUNGI YA GESI YA ORYX BAGAMOYO, MBUNGE ATOA NENO
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.