
Gundua
471 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na The Chanzo Initiative chini (pamoja na mengine ya Gundua).


Tanzania’s new AI education guidelines stand at a crossroads between transformative potential and digital colonialism.

Tanzania’s Ebola outbreak announcement highlights the gap between political slogans and true readiness, which demands transparency, resources, and community engagement.

The announcement marks a continuation of the crisis that has gripped the country since late February, when the Middle East conflict began disrupting global oil supplies.

The IMF has approved a US$443.9 million disbursement to Tanzania after reviews of its economic reform program, while urging faster implementation of reforms amid global risks.

Far from being a diplomatic shift, the visit signals a continuation of Tanzania’s long-standing tradition of non-alignment and strategic engagement with global powers.

Tanzania’s 2026/27 budget introduces and extends tax incentives for electric and CNG vehicles to reduce fuel imports, lower costs, and accelerate the transition to cleaner transport.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar amesema bajeti hiyo ni ya kipekee kwani ndiyo bajeti ya kwanza katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025-2030.

A dam Julius Nyerere dreamt of fifty years ago now supplies half the nation’s electricity — and Tanzania paid for it alone.

Malipo ya madai hayo yamefanyika kufuata Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Mwanza kufanya uchambuzi wa mfumo na halmashauri kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa.

Tanzania’s 2026/27 budget proposes mandatory digital payments and bank account requirements across key sectors to accelerate the country’s transition to a cash-lite economy.

The commitment was made during official talks at State House in Dar es Salaam between Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and Namibia’s President Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, who is on a three-day state visit to Tanzania after arriving on June 19, 2026.

A massive cloned-card scheme involving 11 countries and 82 tourism firms siphoned billions from Tanzanian banks, as the anti-graft agency boosts convictions and recoveries.

Katika mradi na mpango huu “mpya” unaoelezwa na Serikali ni muhimu kujiuliza kuwa hizi bilioni 200 ni kwa ajili ya nani haswa?

Kisheria alichoandika Msajili sio moja ya sababu inayoweza kufanya chama cha siasa kufutwa au usajili kusitishwa

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

Efficiency reforms transform state firms from subsidy drains into revenue engines, driving a 30 per cent surge in national dividends.

Kiswahili, being one of the top ten most spoken languages globally, has unique features and stands out as one of Africa’s languages that can bridge the tech gap

The agreement aims to end the political impasse following the disputed 2025 elections and establish a framework for comprehensive institutional reforms in the archipelago.

Tume imependekeza mabadiliko ya sheria ya hifadhi ya Ngorongoro ikiwemo kufanya uhamaji kuwa endelevu

Tanzania and the United States have signed a five-year health partnership as Dodoma steps up engagement with Washington amid diplomatic pressure following the 2025 election.

Motorists and households will experience slight relief in July as fuel prices drop following a Middle East ceasefire, though costs remain significantly higher than pre-crisis levels.

China’s Zijin Mining launches four ships on Lake Tanganyika to route DR Congo minerals through Tanzania, intensifying the contest with the US-EU-backed Lobito Corridor.

For decades, the grounds have served as a football pitch, a public playground and a workplace for hundreds of mechanics, garage operators, food vendors and other informal traders. Residents say the space has gradually shrunk as portions of the land have been allocated for commercial development.

Criminalised for their street trades, young entrepreneurs from Tanzania’s tourism hub are forging their own economy from scratch.

Nearly two million years ago, a fossil tells the story of why strength alone doesn’t guarantee survival.

The WHO has endorsed precision medicine as the future of global healthcare, making it crucial for Africa to act now and shape this future instead of merely adapting to systems designed elsewhere.

Official port statistics show that cargo destined for or originating from the DRC through the Port of Dar es Salaam and Tanga increased from 4,180,902 tonnes in 2024 to 7,239,741 tonnes in 2025, representing a 73.2 percent increase.

Experts say Tanzania must reform digital policies and empower the private sector to unlock a trillion-dollar economy.

The scheme aims to address systemic unemployment while correcting the failures of past financial initiatives.

Katika taarifa ya Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Polisi wameeleza kuwa walimkamata Damour siku ya Jumamosi, Mei 2, 2026 majira ya saa tatu asubuhi maeneo ya Mburahati kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uhalifu.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Government reports signal Tanzania’s firm pivot to strict conservation, rejecting the prior policy that balanced environmental and local economic needs.

Rwanda’s digital government platform is revolutionising public service access, yet success hinges on boosting citizens’ digital skills and streamlining bureaucratic processes.

Lissu amehoji juu ya mawakili wake na viongozi wenzake wa CHADEMA kuwekewa vikwazo kumuona, hoja ambazo Mkuu wa Gereza amezikanusha

Lissu accused police of decades-long political persecution and exposed procedural gaps in the treason case against him during cross-examination on August 11, 2026.

Some stakeholders who attended meetings with the envoy during the visit described them as receptive, noting that the envoy listened attentively to their concerns and perspectives.

In this interview, Judge Joseph Sinde Warioba calls for national reflection and a return to the foundations that built Tanzania as a peaceful country.

According to the governor, the central bank had accumulated the 27.5 tonnes of gold by June 10, 2026.

The campaign, organized by HakiElimu in partnership with Child Support Tanzania (CST), aims to encourage local government authorities and the central government to invest more resources in early identification services for children facing learning and developmental challenges.

After nine successful editions, the event has grown into one of the continent’s leading agricultural trade and investment platforms, showcasing opportunities across the entire food and agriculture value chain.

He was a sociologist, Pan-Africanist, public intellectual and writer whose influence extended well beyond the boundaries of the university.

Tanzania calls on its diaspora to boost health services through specialised care, training, and investment.

Tanzania has unveiled an ambitious plan to increase its national airline’s fleet to 24 aircraft by 2030, a move designed to strengthen regional connectivity and boost the country’s tourism sector.

A road accident in Tanzania that injured six doctors and cost a paediatrician her leg has ignited outrage over systemic failures in healthcare worker support amid the country’s worsening road safety crisis.

State House convenes a meeting to address months of strained government-Church relations over the latter’s demands for accountability for the October 2025 election killings.

The new mobile facility aims to bridge the healthcare gap in Tanzania by bringing specialized surgical care to remote and underserved communities.

The 10th Africa Agri Expo will be held alongside the third Future Food, Livestock and Poultry Expo at the Mwalimu Julius Nyerere Trade Fair Grounds on September 2 and 3, 2026.

Government and businesses sign compact outlining shared responsibilities, as local contractors call for fairer access to public projects.

Tanzania is poised to end decades of sugar shortages and become a net exporter, as a surge in foreign and domestic investment fuels a rapid expansion of its production capacity.

Tanzanian lawyer Joseph Oleshangay rejects the two presidential reports on Ngorongoro as neither independent nor credible.

Bila kuondokana na maamuzi ya mtu katika hatua ya muamala, mifumo ya kidijitali itaendelea kuwa kama nyongeza tu juu ya mfumo wa zamani wa fedha taslimu.

Wakati wengi wakiona makapi na maganda ya ‘ngazi’ kama takataka zinazopaswa kutupwa, kwa Hassan Kilanoza, hayo ni malighafi inayobadilisha maisha ya mamia ya vijana na baadhi ya wanawake mkoani hapo.

Sote tukubali ukweli na madhara yake, kisha, labda maridhiano yanaweza kufikiriwa.

The clash over service-road parking puts Tanzania’s growing port economy up against a city still struggling to provide the space and coordination that modern logistics requires.

A large share of this debt is concentrated in government securities, particularly Treasury bonds, which account for the bulk of domestic borrowing instruments.

Mahakama imeeleza kuwa katika hatua ya sasa haiangaalii kiundani uzito wa ushahidi au kuaminika kwa ushahidi bali uhusiano uliyopo kati ya ushahidi uliotolewa na shtaka lililopo na mshtakiwa

President Samia launches a tri-national judicial panel with a five-month mandate to identify the planners and financiers of the October 2025 unrest.

The agreement was reached on August 18, 2026, in Zanzibar during talks between President Samia Suluhu Hassan and her DRC counterpart, Félix Tshisekedi.

The Tanzania Economic Survey 2025 shows that hydropower generated 63.85 percent of electricity from the National Grid in 2025, while natural gas accounted for 31.48 percent. Hydropower had an installed capacity of 2,718.27 megawatts (MW), compared with 1,140.72 MW for natural gas.

Pressed by prosecutors, the CHADEMA chairperson defended his April 2025 speech urging ‘No Reforms, No Election, ‘kukinukisha,’ and democratic mass resistance

Tanzania forecasts above-normal, prolonged rains peaking in November, though its national contingency plan remains pending approval.

When citizens boo the mention of government at a celebration of national culture, something has broken. But it can be repaired.

Nchimbi announced the resignation publicly through his dormant Instagram account

Good intentions can still deny disabled people the ordinary respect of choice.

New October election violence probe chair vows to summon all implicated as 150-day evidence deadline begins.

There is something increasingly curious about the way Tanzania’s senior political figures leave office. They resign. They retire. They withdraw. They announce that they have chosen to step aside. Formally, these are voluntary acts. Politically, however, the circumstances surrounding some of these departures raise a mo…

The concerns were raised in Parliament during the question-and-answer session, following the Bank of Tanzania’s decision to increase the CBR from 5.75 percent to 6.25 percent for the quarter ending September 2026.

In his first full day of testimony, CHADEMA’s chairperson recounted his activism, prosecutions, and 2017 shooting, then detailed his version of his April 3, 2025, remarks to aspirants.

Tanzania’s startup scene isn’t lagging behind—it’s building its own unique foundation, and judging it by mature-market standards is comparing apples to saplings.

In an interview with The Chanzo, Swedish officials outline a new strategic focus on export finance for infrastructure while maintaining diplomatic engagement on governance concerns.

Domestic debt has more than doubled from TZS 14.73 trillion in 2020, while its share of total government debt has risen from 26.7 percent to 33.6 percent over the same period.
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

Mnyika Rejects Bid to Link CHADEMA’s Reform Campaign to Election Violence

Arusha Police Confirm Activist’s Detention as Malisa’s Account Clashes with Official Version

Mwanaharakati Godlisten Malisa Aachiliwa kwa Dhamana, Asema Hajachunguzwa kwa Tuhuma Zozote

Lawyer Says Activist Godlisten Malisa Was Taken From Namanga Border Post
The prominent online rights campaigner was removed by immigration officers who said his passport was unreadable, with no official statement from the Police or I

The Behavioural Problem With Clean Energy in Tanzania — And the Nudge It Needs

Mnyika Tells High Court Lissu’s Speech Carried CHADEMA Policy, Not a Private Plot

Mwita Mecky Milumbe: Questions Follow Death of Police Corporal in Tanga Cell

The Wrong Test for Power, and Why Parentage and Faith Shouldn’t Define a Leader

Mange Kimambi Takes Meta to California Court Over Account Removals

New Constitution by 2030 Unlikely, Forum Proposes Amendments to Current Constitution for Transition Period

CCM Officials Cite Ethics Committee No-Show as Reason for Former Vice President’s Expulsion
CCM expelled former VP Emmanuel Nchimbi for defying an Ethics Committee summons over his public statements.

Four Feared Dead After MV Pacific Explodes and Sinks in Lake Tanganyika

Elder Statesman Warioba Concerned After Failing to Reach Former VP Nchimbi, Who Resigned and Was Later Expelled from the Party

Ndejembi Sworn In as Tanzania’s New Vice President

Court Allows Lissu to Re-examine Himself as Mnyika Opens Defence Case

When Resignation Becomes Dismissal: The Politics of Constitutional Offices in Tanzania

From Jumbe to Nchimbi: The High Price of Dissent in Tanzania’s Ruling Party

Lissu Tells Treason Court He Has No Faith in Judges on Election Disputes
Pressed by prosecutors, the CHADEMA chairperson defended his April 2025 speech urging ‘No Reforms, No Election, ‘kukinukisha,’ and democratic mass resistance

Tanzanian Energy Officials Meet ARA Petroleum Tanzania (APT) and Ndovu Resources Amid Notice of Dispute Over Ntorya Gas Development

MPs Warn of Higher Borrowing Costs After Central Bank Rate Hike
Importance of Peace for National Development
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.
Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.
Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.
He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.
Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.
Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.
Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.
Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.
Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.