Gundua

190 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Tanzania Judiciary chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Spotlight Jaji mfawidhi songwe azindua mahaka…

Na. MUKSINI NAKUVAMBA - Mahakama, Mbeya Mahakama ya Wilaya ya Mbeya imefanya kikao kazi kilichowakutanisha Mahakimu wa Mahakama za Mwanzo zilizopo jijini Mbeya kwa lengo la kusisitiza uimarishaji wa maadili, uwajibikaji na kuzingatia ubora wa utoaji wa huduma za Mahakama sambamba na kujadili changamoto zinazojitokeza …

Tanzania Judiciary
Spotlight Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Na. SHARIFU MOKIWA – Mahakama, Sumbawanga Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Sumbawanga Mhe. Frederick Kapela Manyanda amefanya ziara ya kutembelea Gereza la Mahabusu Sumbawanga na Gereza la Mollo la Kilimo kwa ajili ya kusikiliza changamoto mbalimbali za wafungwa na Mahabusu wa magereza hayo,…

Tanzania Judiciary
Spotlight TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Na DOTTO NKAJA, Mahakama - Geita Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, Mhe. Projestus Kahyoza, Julai 28, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mawakili wa Serikali na wa kujitegemea mkoani Geita katika kikao kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mafunzo wa Mahakama Kuu Geita kwa lengo la kujengeana uwezo…

Tanzania Judiciary
Spotlight Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

· Awataka pia wazingatie matakwa ya Kifungu cha 134 cha Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai na Kanuni za Jaji Mkuu· Asisitiza Polisi kutoa dhamana kwa watuhumiwa kwa mujibu wa sheria· Amtaka kila mdau kusimama ipasavyo katika eneo lake kuboresha Haki Jinai Na MARY GWERA, Mahakama-

Tanzania Judiciary
Spotlight Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 15 Julai, 2026 amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe, aliyefika ofisini kwake Makao Makuu ya Mahakama jijini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha.Dkt. Shekalaghe amesema kuwa lengo la kukutan…

Tanzania Judiciary
Spotlight Jaji mfawidhi mpya dodoma atambulis…

Awataka Watumishi kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu, kuwajibika na kwa weledi Na FAUSTINE KAPAMA na Noel Daud-Mahakama, Songea Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, amewataka Watumishi wa Mahakama ya Tanzania kutoa huduma zinazoendana na ubora wa miundombinu ambayo imejengwa …

Tanzania Judiciary
Spotlight Jaji mkuu amuapisha dkt. jingu kuwa…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…

Tanzania Judiciary
Spotlight Jaji mtulya ateta na wadau wa mahak…

Na. MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za usikilizaji wa mashauri ya Rufaa za madai katika Masjala Ndogo ya Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuhitimisha rasmi kikao cha Mahakama hiyo kilichoanza Juni 18, 2026 na kinachotaraji…

Tanzania Judiciary
Spotlight Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. JINGU; ASISITIZA NIDHAMU, MAADILI KATIKA UTOAJI HAKI

Tanzania Judiciary
Spotlight Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Matukio katika picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) AICC- Arusha, Tarehe 13 Julai, 2026. Mkutano huo umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz…

Tanzania Judiciary
Spotlight ‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…

Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania inayoketi Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya imeanza kuendesha Kikao chake cha kusikiliza mashauri 38 ya rufaa za madai na jinai ambacho kimeanza jana tarehe 03 Agosti, 2026 na kinatarajiwa kuhitimishwa mnamo tarehe 29 Agosti, 2026. Kikao hicho kin…

Tanzania Judiciary
Spotlight Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Na. ELIUD KIWANGA – Mahakama, Songwe Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Songwe, hivi karibuni ilifanya kikao cha kusukuma Mashauri ya Jinai, kikilenga kutathimni na kuimarisha usimamizi na ufanisi wa utoaji wa haki katika Masjala ya Songwe. Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi So…

Tanzania Judiciary
Spotlight Serikali yatenga bilioni 1 ukarabat…

Aahidi kudumisha ushirikiano na Mahakama mkoani humoNa AIDAN ROBERT, Mahakama-Kigoma Mwanasheria wa Serikali Mfawidhi wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Said Seni amefanya ziara ya heshima ya kumtembelea Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Kigoma, Mhe. Augustine Karichuba Rwizile lengo likiwa ni kujitambulisha…

Tanzania Judiciary
Spotlight Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Na ARAPHA RUSHEKE, Mahakama-Dodoma Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) Tawi la Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Faisal Kahamba hivi karibuni walifanya kikao cha wanachama wote kilicholenga kujadili maendeleo ya tawi hilo, kuimarisha mshikamano wa wanachama pamoja na kujengeana uwezo katika utekelezaji wa…

Tanzania Judiciary
Utawala wa Umma na Ulinzi Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …

Na ABDALLAH SALUM, Mahakama-Njombe Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Njombe, Mhe, Victoria Nongwa amewataka Mahakimu wa Mahakama za Wilaya pamoja na za Mwanzo kutokukaa na mashauri Mahakamani kwa muda Mrefu. Mhe. Nongwa aliyasema hayo akiwa kwenye ziara ya kikazi aliyoianza tarehe 28 Aprili ,2…

Tanzania Judiciary
Spotlight Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa…

Na MARY GWERA, Mahakama - Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 25 Julai, 2026 ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda, Viongozi wa Serikali na Watanzania wote …

Tanzania Judiciary
Spotlight Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Apokea Nyenzo za Utekelezaji Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa niaba ya Jaji MkuuMtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Antony Jingu leo tarehe 03 Agosti, 2026 ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk…

Tanzania Judiciary
Kikao cha Menejimenti cha Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kilichojadili mbinu za kuboresha huduma za utoaji haki.
Siku 51 zijazo

Kikao cha Menejimenti cha Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kilichojadili mbinu za kuboresha huduma za utoaji haki.

Tanzania Judiciary
Kutoka 30 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

MAZOEZI YA KUJENGA AFYA YA MWILI NA AKILI YASHIKA KASI MBEYA

MAZOEZI YA KUJENGA AFYA YA MWILI NA AKILI YASHIKA KASI MBEYA

Tanzania Judiciary· Siku 2 zilizopita
JAJI MAMBI ATETA NA KATIBU MKUU WA TUGHE TAIFA

JAJI MAMBI ATETA NA KATIBU MKUU WA TUGHE TAIFA

Tanzania Judiciary· Siku 3 zilizopita
WANA 'TMJA' TAWI LA NJOMBE WAKUTANA

WANA 'TMJA' TAWI LA NJOMBE WAKUTANA

Tanzania Judiciary· Siku 3 zilizopita
MAHAKAMA YA RUFANI KUENDESHA MASHAURI 38 YA MADAI, JINAI MASJALA NDOGO MBEYA

MAHAKAMA YA RUFANI KUENDESHA MASHAURI 38 YA MADAI, JINAI MASJALA NDOGO MBEYA

Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania inayoketi Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya imeanza kuendesha Kikao chake cha kusikiliz

Tanzania Judiciary· Siku 5 zilizopita
JAJI MFAWIDHI NJOMBE AZINDUA JENGO LA MAHAKAMA YA MWANZO LUPEMBE

JAJI MFAWIDHI NJOMBE AZINDUA JENGO LA MAHAKAMA YA MWANZO LUPEMBE

Tanzania Judiciary· Siku 5 zilizopita
MTENDAJI MKUU MAHAKAMA ASHIRIKI MKUTANO WA MAZUNGUMZO MAALUM KUHUSU UTEKELEZAJI DIRA 2050

MTENDAJI MKUU MAHAKAMA ASHIRIKI MKUTANO WA MAZUNGUMZO MAALUM KUHUSU UTEKELEZAJI DIRA 2050

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
MWANASHERIA WA SERIKALI MFAWIDHI KIGOMA AJITAMBULISHA RASMI KWA JAJI MFAWIDHI, MHE. RWIZILE

MWANASHERIA WA SERIKALI MFAWIDHI KIGOMA AJITAMBULISHA RASMI KWA JAJI MFAWIDHI, MHE. RWIZILE

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
WANANCHI KATA YA LENGATEI WATOA KIWANJA CHA UJENZI WA MAHAKAMA

WANANCHI KATA YA LENGATEI WATOA KIWANJA CHA UJENZI WA MAHAKAMA

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
JAJI KAHYOZA ATETA NA MAWAKILI MASJALA NDOGO GEITA

JAJI KAHYOZA ATETA NA MAWAKILI MASJALA NDOGO GEITA

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI IBADA YA MAZISHI YA KUMUAGA JAJI MSTAAFU SAMBO

JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI IBADA YA MAZISHI YA KUMUAGA JAJI MSTAAFU SAMBO

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
MAHAKAMA YA RUFANI KUENDESHA MASHAURI 38 YA RUFAA SUMBAWANGA

MAHAKAMA YA RUFANI KUENDESHA MASHAURI 38 YA RUFAA SUMBAWANGA

Na SHARIFU MOKIWA-Mahakama, Sumbawanga Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania wamewasili mkoani Rukwa kwa ajili ya kusikiliza mashauri ya rufaa katika

Tanzania Judiciary· Siku 6 zilizopita
TMJA DODOMA YAKUTANA, YASISITIZA UMOJA, KUSHIRIKI MAFUNZO NA KUJIBIDIISHA KIELIMU

TMJA DODOMA YAKUTANA, YASISITIZA UMOJA, KUSHIRIKI MAFUNZO NA KUJIBIDIISHA KIELIMU

Tanzania Judiciary· 29 Jul 2026
MAHAKAMA KUU DODOMA YAWAKARIBISHA MAJAJI NA WATUMISHI WALIOHAMISHIWA KITUO HICHO; YAWAAGA WALIOHAMA

MAHAKAMA KUU DODOMA YAWAKARIBISHA MAJAJI NA WATUMISHI WALIOHAMISHIWA KITUO HICHO; YAWAAGA WALIOHAMA

Tanzania Judiciary· 29 Jul 2026
UONGOZI WA MAHAKAMA KUU KIGOMA WATEMBELEA KIWANDA CHA CHUMVI UVINZA

UONGOZI WA MAHAKAMA KUU KIGOMA WATEMBELEA KIWANDA CHA CHUMVI UVINZA

Tanzania Judiciary· 29 Jul 2026
TANZIA: JAJI MSTAAFU KAKUSULO SAMBO AFARIKI DUNIA

TANZIA: JAJI MSTAAFU KAKUSULO SAMBO AFARIKI DUNIA

Tanzania Judiciary· 29 Jul 2026
MAHAKIMU MBEYA WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI KATIKA UTOAJI HAKI

MAHAKIMU MBEYA WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI KATIKA UTOAJI HAKI

Tanzania Judiciary· 28 Jul 2026
MAHAKIMU SUMBAWANGA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA USHAHIDI WA KIELEKTRONIKI, MAADILI

MAHAKIMU SUMBAWANGA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA USHAHIDI WA KIELEKTRONIKI, MAADILI

Tanzania Judiciary· 28 Jul 2026
WATUMISHI MBEYA WANOLEWA NAMNA BORA YA UANDAAJI KUMBUKUMBU ZA RUFAA MASHAURI YA JINAI

WATUMISHI MBEYA WANOLEWA NAMNA BORA YA UANDAAJI KUMBUKUMBU ZA RUFAA MASHAURI YA JINAI

Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Mbeya wamehitimisha mafunzo ya siku mbili ya namna bora ya kuandaa kumbukumb

Tanzania Judiciary· 28 Jul 2026
TIMU ZA MAHAKAMA SPORTS KIGOMA, HALMASHAURI YA WILAYA UVINZA ZASAKATA KABUMBU

TIMU ZA MAHAKAMA SPORTS KIGOMA, HALMASHAURI YA WILAYA UVINZA ZASAKATA KABUMBU

Tanzania Judiciary· 27 Jul 2026
JAJI MKUU MASAJU ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA TANZANIA

JAJI MKUU MASAJU ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA TANZANIA

Tanzania Judiciary· 25 Jul 2026
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

mzalendo.co.tzRead more

Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.

tanzaniainvest.comRead more

Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.

thecitizen.co.tzRead more

Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.

tanzlite.comRead more

Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'

mwananchi.co.tzRead more

Lead generation: 90 qualified inquiries per year.

bongo5.comRead more

Retention: 70% repeat business.

Target ARPU of TZS 5 million.

CAC under TZS 300k.

Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.

Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.