Gundua
235 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Tanzania Judiciary chini (pamoja na mengine ya Gundua).
.jpg)
Na. SHARIFU MOKIWA – Mahakama, Sumbawanga Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Sumbawanga Mhe. Frederick Kapela Manyanda amefanya ziara ya kutembelea Gereza la Mahabusu Sumbawanga na Gereza la Mollo la Kilimo kwa ajili ya kusikiliza changamoto mbalimbali za wafungwa na Mahabusu wa magereza hayo,…
.png)
Na DOTTO NKAJA, Mahakama - Geita Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, Mhe. Projestus Kahyoza, Julai 28, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mawakili wa Serikali na wa kujitegemea mkoani Geita katika kikao kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mafunzo wa Mahakama Kuu Geita kwa lengo la kujengeana uwezo…

· Awataka pia wazingatie matakwa ya Kifungu cha 134 cha Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai na Kanuni za Jaji Mkuu· Asisitiza Polisi kutoa dhamana kwa watuhumiwa kwa mujibu wa sheria· Amtaka kila mdau kusimama ipasavyo katika eneo lake kuboresha Haki Jinai Na MARY GWERA, Mahakama-
Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 15 Julai, 2026 amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe, aliyefika ofisini kwake Makao Makuu ya Mahakama jijini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha.Dkt. Shekalaghe amesema kuwa lengo la kukutan…
Na ARAPHA RUSHEKE -Mahakama, Dodoma Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, jana tarehe 10 Agosti, 2026, alifanya ziara katika jengo la zamani la Mahakama Kuu Dodoma, linalotarajiwa kutumika kwa ajili ya Mahakama inayoshughulikia masuala ya familia. Akiwa ameambatana na Viongozi …

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Majaji, Naibu Wasajili na Mahakimu wa Mahakama Masjala Ndogo ya Mbeya wametakiwa kutambua, kudhibiti na kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wakati, wakizingatia kuwa afya njema ya akili ni msingi muhimu wa kufanya maamuzi yenye umakini, weledi na ya haki katika utekelezaji wa maj…

RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. JINGU; ASISITIZA NIDHAMU, MAADILI KATIKA UTOAJI HAKI

Matukio katika picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) AICC- Arusha, Tarehe 13 Julai, 2026. Mkutano huo umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania hivi karibuni imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za usikilizaji wa mashauri ya rufaa za madai na jinai katika Masjala Ndogo ya Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuhitimisha rasmi kikao cha Mahakama hiyo kilichoanza tarehe 3…
Na. ELIUD KIWANGA – Mahakama, Songwe Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Songwe, hivi karibuni ilifanya kikao cha kusukuma Mashauri ya Jinai, kikilenga kutathimni na kuimarisha usimamizi na ufanisi wa utoaji wa haki katika Masjala ya Songwe. Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi So…

Aahidi kudumisha ushirikiano na Mahakama mkoani humoNa AIDAN ROBERT, Mahakama-Kigoma Mwanasheria wa Serikali Mfawidhi wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Said Seni amefanya ziara ya heshima ya kumtembelea Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Kigoma, Mhe. Augustine Karichuba Rwizile lengo likiwa ni kujitambulisha…

Na ABDALLAH SALUM, Mahakama-Njombe Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Njombe wameanza kufanya mazoezi ya pamoja ikiwa ni programu maalum ya kuimarisha afya ya mwili, kuimarisha mahusiano na kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwa watumishi wa kada zote.Programu hiyo ilianza tarehe 11 Agosti, 2026…
Na ABDALLAH SALUM, Mahakama-Njombe Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Njombe, Mhe, Victoria Nongwa amewataka Mahakimu wa Mahakama za Wilaya pamoja na za Mwanzo kutokukaa na mashauri Mahakamani kwa muda Mrefu. Mhe. Nongwa aliyasema hayo akiwa kwenye ziara ya kikazi aliyoianza tarehe 28 Aprili ,2…

Na MARY GWERA, Mahakama - Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 25 Julai, 2026 ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda, Viongozi wa Serikali na Watanzania wote …
Na ARAPHA RUSHEKE – Mahakama, Dodoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo Doodoma, Mhe. Joachim Tiganga, hivi karibuni aliwaongoza watumishi kufanya ziara ya mafunzo katika Hifadhi ya Ngorongoro. Lengo la ziara hiyo lilikuwa kujifunza kuhusu uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, historia, utamaduni…

Apokea Nyenzo za Utekelezaji Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa niaba ya Jaji MkuuMtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Antony Jingu leo tarehe 03 Agosti, 2026 ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk…

Na EUNICE LUGIANA, Mahakama-Dar es Salaam Haki miliki imekuwa nguzo ya msingi katika kukuza uchumi, maendeleo ya teknolojia, uvumbuzi, biashara na msingi wa maendeleo ya viwanda katika nchi. Hayo yamebainishwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Biashara, Mhe. Cyprian Mkeha tarehe 12 Mei, 2026 kw…

Zaibuka kwa sare ya goli mbili kwa mbiliMahakama Sports Kigoma azindua Jezi mpyaNa AIDAN ROBERT, Mahakama-Kigoma Kapteni wa Timu ya Mahakama Sports Kigoma, Bw. Omary Magege ameongoza Kikosi cha Mpira wa Miguu kilichochuana vikali na Timu ya Redio Joy ya Mkoani humo katika Mechi ya kirafiki baina ya timu hizo iliyoleng…
.jpeg)
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya, Mhe. Fahamu Mtulya amewaongoza Watumishi wa Masjala hiyo kufanya ziara ya kujifunza katika Kituo cha kupooza na kusambaza umeme cha Mtera, kilichopo Bwawa la Mtera mkoani Iringa kwa lengo kuwajengea watumishi uelewa wa masuala ya…

Na MUKSINI NAKUVAMBA - Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Mbeya wamefanya ziara ya kikazi ya kuzuru Makao Makuu ya Mahakama na Tume ya Utumishi wa Mahakama jijini Dodoma, kwa lengo la kuongeza uelewa wa masuala ya kiutumishi, kujifunza mifumo ya uendeshaji wa shughuli Mahakama na ku…

Rais, Mhe. Dkt. Samia ampongeza Mhe. Ndejembi kwa kushika wadhifa huo Amtaka Makamu wa Rais huyo kuwa tayari kujifunza Asema bidii, nidhamu, weledi na utayari vitamsaidia kutekeleza majukumu yake ipasavyo Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 29 Agos…

Kikao cha Menejimenti cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita kinajadili maboresho ya utoaji huduma za haki, kikiweka malengo ya kumaliza taratibu za umiliki wa viwanja.
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda
JAJI MWENDA ANGOZA ZOEZI LA USAFI SINGIDA

MWAKA MMOJA WA MAHAKAMA YA MWANZO TERRAT; WAJA NA MAFANIKIO KIUTENDAJI

TEKELEZENI MAJUKUMU YENU IPASAVYO KWA KULINDA MASLAHI YA HAKI; JAJI MKUU

MAFUNZO ELEKEZI NI MUHIMU KWA UENDESHAJI WA KAZI YA UTOAJI HAKI; JAJI KIHWELO
Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania na Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA), Mhe. Dkt. Paul Faustine Kihwelo amese
.jpeg)
WATUMISHI MBEYA WAZURU HIFADHI YA NGORONGORO

JAJI MKUU MASAJU AMUAPISHA MHE. DEOGRATIUS NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA

MTENDAJI MKUU AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA MAHAKAMA ZA CHINI DAR ES SALAAM
.jpeg)
WATUMISHI MBEYA WATEMBELEA KITUO CHA KUFUA UMEME MTERA

WATUMISHI WA MAHAKAMA ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA NAMNA YA KUPAMBANA NA MAJANGA YA MOTO

WATUMISHI MBEYA WAZURU MAKAO MAKUU, TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

MTENDAJI MKUU ATEMBELEA KITUO CHA USULUHISHI, MAHAKAMA YA ARDHI
Na MWANDISHI WETU-Mahakama, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Jingu, tarehe 26 Agosti, 2026 alifanya ziara katika Mahakama Kuu ya
MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA ATEMBELEA MAHAKAMA KUU DIVISHENI YA KAZI

TRAB YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MAHAKAMA YA TANZANIA

WATUMISHI WANAOFANYA MAJUKUMU YA ZIADA SINGIDA WAJENGEWA UWEZO

JAJI MAGHIMBI AWASIHI WATUMISHI, WADAU WA MAHAKAMA KUENDELEA KUFANYA MAZOEZI

MAOFISA MAGEREZA MKOA WA NJOMBE WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA e-CMS

TLS DODOMA YAIMARISHA USHIRIKIANO NA MAHAKAMA

TUGHE TAWI LA MAHAKAMA KUU DODOMA LAKUTANA
Na ARAPHA RUSHEKE -Mahakama Kuu Dodoma. Tawi la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) la Mahakama Kuu Dodoma limefanya mkutano wa wanachama uli
WATUMISHI MBEYA WAPITISHWA KWENYE RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA MAHAKAMA 2026/27–2030/31
VIONGOZI WA MAHAKAMA CHINA WATEMBELEA MAHAKAMA KUU DIVISHENI YA KAZI, KISUTU
Importance of Peace for National Development
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.
Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.
Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.
He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.
Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.
Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.
Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.
Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.
Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.