Gundua

346 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Swahili Times chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Habari Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, na kuimwagia maua yake kwa kukubali kwa dhati kufanyia marekebisho baadhi ya tozo na kodi mbalimbali zilizokuwa zinapendekezwa kufanyiwa marekebisho katika Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/2027. Z…

Swahili Times
Data Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Dar es Salaam. Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests Forum-MIF 2026) utakuwa jukwaa mahususi la kujadili, pamoja na mambo mengine, mikakati ya kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati wa juu ifikapo mwak…

Swahili Times
Ajira Watuhumiwa mauaji ya Mchina wadakwa

https://portal.ajira.go.tz/vacancies

Swahili Times
Habari NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Benki ya NMB imezindua NMB Mkononi Super App, jukwaa linalounganisha mikopo, bima, uwekezaji, malipo, huduma za vikundi na ununuzi wa bando katika mfumo mmoja. Jukwaa hilo linatarajiwa kupunguza ulazima wa wateja kutembelea matawi kwa huduma za kawaida za kibenki. Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank…

Swahili Times
Habari TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za serikali na kuisababishia hasara ya zaidi ya Shilingi milioni 90. Watumishi watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanakabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa TZS 48.1 z…

Swahili Times
Habari Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Namibia, Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah anatarajiwa kuwasili nchini Juni 19, 2026, kwa ajili ya ziara ya kitaifa. Hii ni ziara yake ya pili nchini Tanzania tangu aingie madarakani mwaka 2024. Aidha, Rais Nandi-Ndaitwah atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu masuala mbalimbali ya ush…

Swahili Times
Habari Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna taifa linaloweza kufikia maendeleo endelevu na ustawi wa wananchi wake bila kuwepo kwa usimamizi mzuri wa haki unaosimamiwa na Mahakama huru, yenye uwezo na uadilifu. Ametoa kauli hiyo leo Jumanne Januari 13, 2026 jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha…

Swahili Times
Chakula na Mapishi Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Benki ya Stanbic imepata tuzo tatu za kimataifa ambazo ni Benki Bora ya Kimataifa kwa Wateja Maalum, Benki Bora kwa Kizazi Kijacho, na Benki Bora kwa Huduma kwa Wateja, zikionesha mchango wake katika kusaidia wateja wa Tanzania kujenga, kukuza na kulinda ukwasi wao kwa mtazamo wa muda mrefu na vizazi vijavyo. Tuzo hiz…

Swahili Times
Chakula na Mapishi Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Benki ya NMB imeongeza nguvu katika sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha zinazowawezesha wakulima na wafanyabiashara wa mazao kupata mitaji, kununua mazao, kuyachakata na kuyapeleka katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya SabaSaba, Mkuu wa Idara ya Kilimo kwa …

Swahili Times
Data Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo ya kihistoria inaakisi uhusiano wa karibu, wa muda mrefu na wa kindugu kati ya Tanzania na Namibia, na inatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa manufaa ya mataifa …

Swahili Times
Habari Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amemwelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camillius Wambura asitoe vibali kwa mikutano ya hadhara katika kipindi hiki chenye viashiria vya matishio ya amani. Akizungumza leo bungeni jijini Dodoma, Katambi amesema uamuzi huo umechukuliwa kufuatia kile alichokiita kuongezeka kw…

Swahili Times
Afya na Huduma za Jamii Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Benki ya NMB imeahidi kutoa Sh milioni 500 ndani ya kipindi cha miaka miwili kwa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), kusaidia upanuzi wa huduma za upandikizaji figo na uboho. Hatua hiyo inaonesha dhamira ya benki hiyo katika kuunga mkono juhudi za kuboresha huduma za afya za kibingwa nchini na kuwafikishia Watanzania h…

Swahili Times
Habari Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo itakayofanyika mwaka 2027 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Katika mazungumzo hayo, Waziri Mkuu amepong…

Swahili Times
Uncategorized Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof.Kitila Mkumbo, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji pamoja na wananchi ili kuimarisha na kukuza uchumi wa Taifa, sambamba na kuinua kipato na ustawi wa mwananchi mmoja mmoja. Prof. Mkumbo ametoa kauli hiyo leo, Februari 23.2026, wa…

Swahili Times
Habari Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

Mahakama Kuu Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya kuidharau Mahakama iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Saidi Issa na wenzake dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche na wenzake. Wajibu maombi wengine katika shauri hilo la madai ya kudharau amri ya mahakama h…

Swahili Times
Chakula na Mapishi Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uzinduzi wa Maonesho ya 50 ya Sabasaba 2026*Yatwaa tuzo mbili ikiwemo mshindi wa tatu wa jumla

Swahili Times
Habari Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Migogoro ya ardhi katika Dar es Salaam imeendelea kuibua changamoto kwa wananchi, hali iliyolazimisha Serikali kuchukua hatua za kuimarisha usimamizi na utatuzi wa migogoro hiyo ili kulinda amani na utulivu wa jamii. Akizungumza wakati wa ziara ya kusikiliza kero za wananchi katika Mtaa wa Nyakasangwe, Kata ya Wazo, W…

Swahili Times
Habari Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa elimu ya umoja na amani, kupinga chuki, migawanyiko na vitendo vyovyote vinavyoweza kuvuruga mshikamano waTaifa. Ametoa wito huo leo Desemba 25, 2025 aliposhiriki ibada ya Sikukuu ya Krismasi iliyofanyika…

Swahili Times
Habari Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Uganda zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika matumizi ya bandari, biashara ya gesi asilia na mafuta safi kutoka Uganda pamoja na miradi ya reli ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwa nchi zisizo na bandari. Akizungumza leo Februari 07, 2026, Ikulu Dar es Salaam ba…

Swahili Times
Habari 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema hali ya usalama ni shwari kote nchini Tanzania na shughuli za kiuchumi na kijamii zinaendelea kama kawaida nchi nzima baada ya mapumziko ya sherehe za sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara Desemba 09, 2025. Akitoa taarifa ya hali ya usalama kwa vyombo vya habari, ame…

Swahili Times
Chakula na Mapishi NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi. Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

Swahili Times
Chakula na Mapishi Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Hati Fungani ya Makazi iliyotolewa na First Housing Finance (FHF) Tanzania na kuratibiwa na Stanbic Bank Tanzania imepata usajili wa ziada wa asilimia 661, jambo linaloashiria imani kubwa ya wawekezaji katika sekta ya mikopo ya nyumba nchini pamoja na kuongezeka kwa uaminifu katika bidhaa za uwekezaji kupitia masoko y…

Swahili Times
Habari Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipatia Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL)Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta ya Uzalishaji (Manufacturing), ikiwa ni kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ulipaji sahihi wa kodi, uzal…

Swahili Times
Afya Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuimarisha sera na mifumo inayolenga kuwezesha viwanda vya ndani vinavyotengeneza dawa na vifaa tiba kupata soko la uhakika ndani na nje ya nchi, hatua inayolenga kuijenga Tanzania kuwa mchezaji mkubwa katika soko la afya barani Afrika. Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ames…

Swahili Times
Habari Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya watu wanaojiita wanaharakati lakini wakijihusisha na matendo ya ugaidi na vitendo vinavyolenga kuvuruga amani na utulivu wa nchi, akisema Serikali haitasita kutumia mamlaka yake kulinda raia, mali zao na heshima ya taifa. Akizungumza leo visiwani Zanzibar katika hafla ya kushuhudia T…

Swahili Times
Habari Marekani Yaitaka Iran Kufungua Horm…

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamefikia mwisho, baada ya nchi hizo mbili kuanza kushambuliana. Akizungumza leo katika mkutano wa NATO nchini Uturuki, Trump amesema hataki tena kushughulika na Iran, akidai mazungumzo yanayoendelea ni kupoteza muda. “Si…

Swahili Times
Chakula na Mapishi Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Kampuni ya Mixx imewakabidhi zawadi washindi wa awamu ya kwanza wa kampeni ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi”, hatua inayokuja wakati hamasa ya mashabiki wa soka kuelekea michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea kuongezeka nchini. Kampeni hiyo, inayofanyika kwa ushirikiano na Hisense yenye kauli mbiu ya “Ikiingia Tu Gol…

Swahili Times
Habari Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …

Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuzuia kufunguliwa kwa daraja jipya lililojengwa na Canada linalounganisha Canada na Marekani kupitia Mto Detroit, akitaka Canada ikabidhi angalau nusu ya umiliki wa daraja hilo kwa Marekani pamoja na kutimiza masharti mengine ambayo hayajabainishwa. Kupitia ujumbe aliouchapish…

Swahili Times
Chakula na Mapishi TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Dar es Salaam, Tanzania – 26 Novemba 2025: Vodacom Tanzania PLC leo imezindua msimu wa sikukuu kama kipindi cha kusherehekea na Jamii, huku ikihitimisha sherehe za kumbukumbu ya miaka 25 ya huduma tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo. Kupitia kampeni hii, Vodacom inathibitisha ahadi yake ya Tupo Nawe Tena na Tena kwa kus…

Swahili Times
Sheria na Mahakama Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 37 kwa tuhuma za makosa ya kimtandao ikiwemo kutumia lugha chafu mtandaoni pamoja na vitisho. Watuhumiwa hao wamekamatwa katika eneo la Ubungo kufuatia operesheni maalum iliyotegemea taarifa kutoka kwa wananchi na wadau wa usalama, huku baadhi yao wakib…

Swahili Times
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Uncategorized

Best Non GamStop Casino UK – Reviews and Rankings for 2026

Swahili Times· 10 Jul 2026
Uncategorized

Kent онлайн казино – акции, турниры и программа лояльности

Swahili Times· 10 Jul 2026
Uncategorized

Calificaciones de casinos en línea en México

Swahili Times· 10 Jul 2026
Uncategorized

Casino Handyrechnung – Top Casinos nach Nutzerbewertungen in Österreich

Casino Handyrechnung – Top Casinos nach Nutzerbewertungen in Österreich ▶️ SPIELEN Содержимое Die besten Casinos in Österreich: Eine Auswahl nach Nutzerbewertun

Swahili Times· 10 Jul 2026
Uncategorized

Zonder Cruks Online Casino Beoordeling in Nederland

Swahili Times· 10 Jul 2026
Rais Samia awaonya wanaojiita wanaharakati huku wakijihusisha na vitendo vya kigaidi
Habari

Rais Samia awaonya wanaojiita wanaharakati huku wakijihusisha na vitendo vya kigaidi

Swahili Times· editor swahilitimes· 09 Jul 2026
Miaka 15 ya uhuru wa Sudan Kusini ikiwa kwenye migogoro, nini kinaikwamisha?
Habari

Miaka 15 ya uhuru wa Sudan Kusini ikiwa kwenye migogoro, nini kinaikwamisha?

Swahili Times· editor swahilitimes· 09 Jul 2026
Tanzania Breweries Plc Yatunukiwa Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora
Habari

Tanzania Breweries Plc Yatunukiwa Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora

Swahili Times· editor swahilitimes· 08 Jul 2026
Trump aeleza makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran yamevunjika
Habari

Trump aeleza makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran yamevunjika

Swahili Times· editor swahilitimes· 08 Jul 2026
Chakula na Mapishi

NMB Yawezesha Wakulima Kumiliki Matrekta kwa Malipo ya Awamu

Swahili Times· editor swahilitimes· 08 Jul 2026
NMB yarahisisha usimamizi wa vikundi kupitia Kikundi Mini App
Chakula na Mapishi

NMB yarahisisha usimamizi wa vikundi kupitia Kikundi Mini App

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanacham

Swahili Times· editor swahilitimes· 06 Jul 2026
Uncategorized

Pin Up – Azərbaycanın ən yaxşı kazinosu | Rəsmi sayt

Swahili Times· kaia29209· 06 Jul 2026
Vodacom Tanzania Foundation Yawezesha Wanawake na Vijana Kupitia Mradi wa TELS
Chakula na Mapishi

Vodacom Tanzania Foundation Yawezesha Wanawake na Vijana Kupitia Mradi wa TELS

Swahili Times· editor swahilitimes· 06 Jul 2026
Nafasi 14 za Ajira Serikalini
Ajira

Nafasi 14 za Ajira Serikalini

Swahili Times· editor swahilitimes· 06 Jul 2026
JWTZ: Hatutawalinda wanaopanga kufanya vurugu
Habari

JWTZ: Hatutawalinda wanaopanga kufanya vurugu

Swahili Times· editor swahilitimes· 04 Jul 2026
Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uzinduzi wa Maonesho ya 50 ya Sabasaba 2026*Yatwaa tuzo mbili ikiwemo mshindi wa tatu wa jumla
Chakula na Mapishi

Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uzinduzi wa Maonesho ya 50 ya Sabasaba 2026*Yatwaa tuzo mbili ikiwemo mshindi wa tatu wa jumla

Swahili Times· editor swahilitimes· 04 Jul 2026
NMB yasogeza bima kidijitali kupitia Umebima Mini App
Chakula na Mapishi

NMB yasogeza bima kidijitali kupitia Umebima Mini App

Swahili Times· editor swahilitimes· 04 Jul 2026
Wanahisa wa Tanzania Breweries Plc Wapitisha Hesabu za Mwaka 2025 Baada ya Mwaka wa Ukuaji wenye Faida
Habari

Wanahisa wa Tanzania Breweries Plc Wapitisha Hesabu za Mwaka 2025 Baada ya Mwaka wa Ukuaji wenye Faida

Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL Plc) leo imefanya Mkutano Mkuu wa 53 wa Wanahisa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNIC

Swahili Times· editor swahilitimes· 03 Jul 2026
Yanga yatozwa faini ya milioni 100 kwa kutumia nyumba nje ya uwanja
Habari

Yanga yatozwa faini ya milioni 100 kwa kutumia nyumba nje ya uwanja

Swahili Times· editor swahilitimes· 03 Jul 2026
Vodacom Tanzania yadhihirisha dhamira ya ulinzi wa taarifa binafsi za wateja
Data

Vodacom Tanzania yadhihirisha dhamira ya ulinzi wa taarifa binafsi za wateja

Swahili Times· editor swahilitimes· 02 Jul 2026
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.