Gundua

1167 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Nipashe chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Nipashe Tanzania Development Vision 2050

Mbunge wa Singida Mjini, Yagi Kiaratu, amewataka wananchi kujipanga na kutoa ushirikiano wa kutosha katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akisema Serikali tayari imeweka mazingira na miundombinu muhimu itakayowezesha kufikiwa kwa malengo ya dira hiyo. Akizungumza…

Nipashe
Ujenzi na Miundombinu Government Intervenes on Cement Pri…

BEI ya simenti nchini imepanda. Uchunguzi uliofanywa na waandishi wetu katika mikoa mbalimbali wiki iliyopita umebaini ongezeko la hadi Sh. 3,000 kwa mfuko mmoja. Katika baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa, bidhaa hiyo imeongezeka bei na kuuzwa hadi Sh. 26,000 kwa mfuko wa kilo 50 k…

Nipashe
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Proposed Reforms to Transform Tanzania’s Business and Investment Climate Ebola

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh2.63 bilioni ili kusaidia kuimarisha maandalizi na utayari wa Tanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 15, 2026 na Ubalozi wa Marekani nchini Ta…

Nipashe
Nishati na Umeme Fuel Prices

Wakuu wa Wilaya za Tabora, Upendo Wella, na Kigoma, Dk. Rashid Chuachua, wameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa usimamizi mzuri wa huduma za nishati na maji nchini. Viongozi hao walitoa pongezi hizo walipotembelea banda la EWURA katika Maonesho …

Nipashe
Kimataifa Iran Conflict

FOLENI ndefu zimeshuhudiwa katika vituo vya mafuta mjini Tehran, baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya vinavyolenga kuongeza shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran. Washington imegeukia matumizi ya nguvu za kiuchumi baada ya miezi sita ya vita ambavyo havijazaa mshindi wa wazi. …

Nipashe
Siasa Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

Nipashe
Nipashe Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha ili kuhakikisha vitongoji vyote vya Mkoa wa Mtwara vinafikishiwa huduma ya umeme. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kitongoji cha Maendeleo, iliyof…

Nipashe
Michezo Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAI…

Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa wadau mbalimbali wa michezo kupanga ratiba yake mapema ya wapi atakapokwenda kuangalia mechi hasa kipindi hiki cha mashindano makubwa ya Kombe la Dunia inayoanza leo. Kuna ambao wanasema wanapenda kuangalizia nyumbani kwakuwa mechi nyingi zitao…

Nipashe
Nipashe Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

WAKATI Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo akitarajia kufungua rasmi mashindano ya michezo ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA), michuano hiyo imeendelea kushika kasi mkoani Morogoro. Mashindano hayo yaliyoanza Agosti…

Nipashe
Uchumi Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Tanzania imesema itaendelea kujiimarisha katika safari ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kuhakikisha Dira Taifa ya Maendeleo 2050 inasaidia kufikisha uchumi huo katika thamani ya dola za Marekani trilioni moja kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, akili unde (AI) na uwekeza…

Nipashe
Ujenzi na Miundombinu Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

Chama Cha Mapindizi (CCM) kimesema kipande Cha barabara la vumbi kutoka Kilolo hadi Kidabaga chenye urefu wa km 17 kitajengwa kwa kiwango cha lami ili kuwaondolea wanakilolo adha wakati wa mvua. Hayo yamesemwa leo na Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa chama hicho, Kenani …

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Viongozi mkoani Pwani wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa, Abubakar Kunenge, wamekubaliana kuweka mikakati ya kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kushirikisha kamati za ujenzi ili kuhakikisha miradi ya Serikali inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Akizungumza mjini…

Nipashe
Siasa Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa maendeleo yanahitaji gharama kubwa, hivyo wananchi wana haki na wajibu wa kuchangia maendeleo hayo kwa kulipa kodi stahiki, kwani kufanya hivyo ni kuiunga mkono Serikali katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maend…

Nipashe
Haki za Binadamu Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Serikali ya Tanzania imesema imepiga hatua kubwa katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Akihitimis…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Takwimu za kitaifa za mahitaji ya damu salama kwa mwaka wa fedha 2024/25 zimeonesha kuwa Tanzania imekumbwa na upungufu wa asilimia 29 ya damu inayohitajika, kutokana na kutofikiwa kwa lengo la makusanyo ya damu nchini. Akizungumza na Nipashe Digital Juni 12, 2026 jijini Dar es S…

Nipashe
Michezo Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

Mshambuliaji wa Chelsea, Estêvão atakosa Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuachwa katika orodha ya awali ya wachezaji 55 ya Kocha Mkuu wa Brazil, Carlo Ancelotti, huku Neymar akijumuishwa, kwa mujibu wa ESPN. Hali ya Estêvão katika mashindano hayo ilikuwa katika shaka kubw…

Nipashe
Usafiri na Uhifadhi Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Serikali itaendelea kuwekeza katika kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini kwa kuboresha miundombinu, kuimarisha usalama wa safari za anga na kuhimiza matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uch…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Benki ya NMB imetangaza kuingia katika awamu mpya ya ukuaji baada ya kukamilisha mpango wake wa muda wa kati wa mwaka 2021 hadi 2025, uliowezesha taasisi hiyo kufikia rekodi ya faida kabla ya kodi ya zaidi ya Sh.trilioni moja. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam wakati …

Nipashe
Nipashe TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…

Wananchi wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika kwa miradi ya kuimarisha mfumo wa usambazaji wa umeme iliyotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa gharama ya zaidi ya Shil…

Nipashe
Kimataifa Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…

Iran imesema kilichothibitika hadi sasa ni kushindwa kwa ubabe wa Washington, huku Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) likishikilia kupatiwa fursa ya kuendeleza ukaguzi kwenye vinu vya nyuklia vya Iran. Mkuu wa timu ya upatanishi ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, ameyataja…

Nipashe
Nipashe TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi saba wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zinazokadiriwa kufikia zaidi ya Sh. milioni 89. Kati ya hao watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanadaiwa kufanya ubadh…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema endapo halmashauri zitajiimarisha katika ukusanyaji wa mapato, zitasaidia kwa kiasi kikubwa Serikali kupunguza utegemezi wa mikopo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema ili kufanikisha hilo, halmashauri zinapaswa kujik…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Serikali imesema itaendelea kuthamini na kushirikiana na taasisi za kidini kutokana na mchango wake mkubwa katika kuimarisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema hayo jijini Mwanza akimwakilis…

Nipashe
Nipashe Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Jamhuri ya Korea, Noel Kaganda, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Visiwa ya Yeosu, Jong Ki Kim, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Mazungumzo…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya, amepongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kwa utekelezaji mzuri wa mpango wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Maganya amesema ameridhis…

Nipashe
Nipashe Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini Juni 19, 2026 kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania tangu aingie madarakani, inaendelea kudhihirisha uhusiano wa kindugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko, kuongeza ushindani wa bei na kuwainua wafugaji kiuchumi kupitia upatikanaji wa huduma za kifedha. Akizungumza Juni 19, 2026, katika Maonesh…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa tuzo na vyeti kwa Shule za Msingi zinazofanya vizuri kwenye uhifadhi wa mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam. Utoaji wa tuzo hizo umefanyika wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duni…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

BENKI ya NMB imepata ufadhili wa jumla ya Dola za Marekani milioni 180, sawa na takribani Sh. bilioni 468.1 za Kitanzania, kutoka taasisi za fedha za kimataifa za IFC, British International Investment na Norfund, kwa ajili ya kuongeza mikopo kwa biashara ndogo na za kati, sekta y…

Nipashe
Nipashe Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…

CRISTIANO Ronaldo ametoa kauli nzito kuhusu mustakabali wake wa soka, akisema msimu huu huenda ukawa mwaka wake wa mwisho kucheza soka la ushindani baada ya zaidi ya miaka 25 ya safari yenye mafanikio makubwa. Ronaldo mwenye umri wa miaka 41 amesema anataka kuhitimisha kazi yake …

Nipashe
Nipashe Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Ayoub Kibao, amewataka washiriki wa mafunzo ya ukusanyaji, uhifadhi na usimamizi wa taarifa za watu wenye ulemavu kutekeleza jukumu hilo kwa weledi na umakini ili kuiwezesha Serikali kupanga na kutekeleza kwa ufanisi huduma zinazo…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Maelfu ya Wananchi wa Mikoa mbalimbali ikiwemo Mara, Tabora, Shinyanga, Morogoro, Dar es salaam, Mwanza na Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Obhoke-Shirati wilaya ya Rorya Mkoani Mara kwaajili ya Maziko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP Richard George Abwao aliy…

Nipashe
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Serikali imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 (sawa na shilingi bilioni 60.7) kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW), kwa ajili ya kufadhili mradi wa uboreshaji wa huduma za maji safi na usafi wa mazingira kati…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Nipashe
Sheria na Mahakama Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani ni kati ya taasisi zilizopo mkoa wa Pwani ambazo zimekuwa na mafanikio katika kutimiza majukumu yake ya kukusanya mapato ya serikali. TRA Mkoa wa Pwani inajivunia kukua kwa mapato ya serikali kutokana na usimamizi madhubuti wa sheria…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wanaume nchini kuondoa hofu ya kupima saratani ya tezi dume, akisisitiza kuwa ugonjwa huo unaweza kutibika iwapo utagundulika mapema na mgonjwa kuanza matibabu kwa wakati. Rais Samia ametoa wito huo leo, Juni 24, 2026, wakati wa uzinduzi …

Nipashe
Usafiri na Uhifadhi Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Mabaharia nchini wanatarajia kukutana mkoani Kigoma katika maadhimisho ya kimataifa yatakayolenga kutafakari utendaji na mchango wao katika sekta ya usafiri na usafirishaji, huku yakisisitiza kuchochea uchumi wa kijani kwa maendeleo ya taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Ju…

Nipashe
Biashara ya Jumla na Rejareja Algerian firms seek partners for tr…

KAMPUNI za Algeria zinazojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za viwandani na kilimo zinatafuta wabia wa kufanya nazo biashara ya mazao na uwekezaji katika sekta ya viwanda nchini Tanzania. Kampuni hizo zilizovutiwa kushirikiana na Tanzania zinashiriki katika…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, yanayolenga kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zilizopo zinatatuliwa bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao. Akitoa taarif…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa (BMH) imewaomba waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhamasisha wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia mfuko wa matibabu ya upandikizaji wa uloto na figo unaohitaji zaidi ya Sh bilioni saba ili kuwasaidia wagonjwa wengi wanaohitaji huduma hi…

Nipashe
Michezo Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…

Hali mbaya ya hewa iliyoambatana na mvua kubwa ililazimisha mechi kati ya Ufaransa na Iraq iliyopigwa usiku wa kuamkia leo kusitishwa kwa muda wakati wa mapumziko kutokana na hofu ya kutokea kwa dhoruba na radi. Licha ya yote hayo, mashabiki wa Iraq walionyesha matumaini wakiamin…

Nipashe
Michezo Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wameanza kikao kazi cha siku mbili jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha uratibu na ushirikiano katika maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Kikao hicho, kilichoanza Julai 23, 2026 katika Ukumbi wa…

Nipashe
Biashara Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameipongeza Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani humo kwa kuendelea kutekeleza wajibu wao wa kulipa kodi, akisema hatua hiyo imechangia kuongezeka kwa mapato ya serikali na kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema kaulimbiu ya maad…

Nipashe
Nipashe Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi ambako amemteua Ephraim Mafuru kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), kabla ya uteuzi huo Mafuru alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). Hayo ni Kwa mujibu w…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi. ‎Akizu…

Nipashe
Nipashe Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

WAKAZI wa Kata ya Zombo Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameishukuru serikali kwa kuwajengea daraja lenye thamani ya Sh. milioni 800 katika Mto Zombo linalowasaidia wajawazito kuepukana na adha ya kujifungilia njiani baada ya kushindwa kuvuka. Mbali na hilo pia imeelezwa kuwa dar…

Nipashe
Vijana Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

Vijana 100 waliofuzu katika shindano la Vijana Uchumi Challenge wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani, kwa ajili ya mchujo wa awamu ya pili utakaowachuja washiriki hadi kufikia vijana 10 watakaoshiriki fainali za shindano hilo. Katika k…

Nipashe
Nipashe Rc makalla aipongeza halmashauri ya…

Madai ya kutokuwepo kwa taarifa sahihi za mapato na ulipaji wa baadhi ya madeni bila kufuata utaratibu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita yameagizwa kuchunguzwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ambaye pia ameipongeza halmashauri hiyo kwa kuvuka lengo la ukusanyaj…

Nipashe
Biashara ya Jumla na Rejareja Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Ulinzi na usalama unatarajiwa kuimarishwa zaidi katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu ili kuhakikisha usalama wa wafanyabiashara, washiriki na wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema…

Nipashe
Kimataifa Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kusitishwa kwa vikwazo vya mafuta na kuondolewa kwa mzingiro wa majini. Aidha, Araghchi amesema baadhi ya mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa nje ya nchi zimeachiwa, na kwamba mpango mkubwa wa Iran wa ujenzi upya wa uchumi …

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Nipashe
Nishati na Umeme Kamati ya bunge ya nishati na madin…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), ambacho kwa sasa kinachangia takribani asilimia 45 ya umeme unaoingia katika Gridi ya Taifa. Akizungumza leo Juni 29, 2…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Nipashe
Elimu Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

WANAFUNZI zaidi ya 5,000 wa shule za msingi na sekondari katika mikoa ya Dodoma, Manyara, Njombe, Tabora na Tanga, wanatajia kunufaika na mradi wa kupatiwa taulo za like zipatazo 40,000. Mpango huo unaotekelezwa kupitia mradi wa "Dignity Hamper – Keep a Girl in School", unalenga …

Nipashe
Nipashe Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

SERIKALI imeahidi kutoa Sh. milioni 750 kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, Kata ya Maweni, jijini Tanga. Hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi.Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Fedha, Balozi Khamis M…

Nipashe
Nipashe Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba kama jukwaa la kutangaza bidhaa na huduma zao kwa kujenga ushirikiano wa kibiashara na kuvutia wawekezaji kutoka nje ya nchi. Kapinga ameyasema hayo leo baaa…

Nipashe
Sheria na Mahakama ‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo majengo ya Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Sur…

Nipashe
Kimataifa Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

Katika dunia ya sasa, mafanikio ya taifa hayapimwi tena kwa ukubwa wa rasilimali zake pekee, bali pia kwa uwezo wa viongozi wake kujenga mahusiano ya kimataifa yanayozalisha matokeo chanya kwa wananchi. Diplomasia imekuwa nyenzo muhimu ya kukuza uchumi, kuvutia uwekezaji, kuimari…

Nipashe
Sheria na Mahakama Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Wizara ya Katiba na Sheria imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la wizara hiyo ili kupata huduma ya msaada wa kisheria bila malipo. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab K…

Nipashe
Michezo Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, ametetea uwekezaji unaoendelea katika ujenzi wa Mji wa Michezo wa AFCON unaojengwa Fumba. Amesema mradi huo ni uwekezaji wa kimkakati unaolenga kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha michezo, utalii na uwekezaji, badala ya kuwa maandalizi ya mashi…

Nipashe
Siasa Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

BAADHI ya viongozi wa chama cha Chadema mkoani Katavi, wamesema wapo tayari kwa maridhiano kwa faida ya taifa lakini hatua hiyo ifanyike baada ya mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu akiwa nje. Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa Baraza la Wazee mkoani humo, Ant…

Nipashe
Nipashe Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kinara wa mageuzi ya kidijitali nchini baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo, katika banda la kampuni hiyo wakati…

Nipashe
Biashara ya Jumla na Rejareja Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewahamasisha wananchi kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho hayo yameendelea kuvutia idadi kubwa ya watu wanaokwenda kujifunza, kununua bidhaa na kupata huduma mb…

Nipashe
Nipashe NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Nipashe
Nipashe Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemtaka mkandarasi anayejenga barabara mkoani Morogoro kufuata masharti ya mkataba la sivyo utavunjwa na kampuni hiyo kupigwa marufuku kupewa kazi yoyote nchini. Mkandarasi huyo ni kampuni ya Henan Railway kutoka China anayejenga barabara ya Ifa…

Nipashe
Nipashe Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanueli Nchimbi amesema serikali ina mpango wa kuboresha zaidi maonesho ya Biashara ya Kimatafaya Dar es Salaam(DITF), ifikapo mwaka 2050. Amesema maboresho wanayotarajia kufanya ni kuyaweka maonesho hayo yasiwe tu mahala pa kuonyesha biashara pekee, …

Nipashe
Ajira na Kazi Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuahidi kuendeleza ushirikiano katika kuwezesha biashara, uwekezaji na utawala wa kodi. Vilevile, IMF imeipongeza TRA kwa kuendelea kufanya usimamizi mzuri wa kodi na kuwezesha bi…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Jeshi la Polisi limesema hali ya usalama nchini ni shwari hadi kufikia mchana wa leo, huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kudumisha amani na utulivu. Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime…

Nipashe
Michezo Prediction Argentina vs Misri FIFA …

Timu ya England imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mexico katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Licha ya kucheza pungufu baada ya beki Jarell Quansah kupewa kadi nyekundu, England ilionyesha u…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai ili kuongeza ufanisi wa biashara ya zao hilo. Mkurugenz…

Nipashe
Utamaduni Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Zaidi ya watu milioni 200 duniani, wakiwamo wanaozungumza na wasiozungumza Kiswahili, wanatarajiwa kufikiwa na matumizi ya lugha hiyo kupitia mpango wa kurusha filamu za Kiswahili katika jukwaa la kimataifa la TV5MONDE lenye makao makuu nchini Ufaransa. Akizungumza na waandishi w…

Nipashe
Nipashe Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…

Katika tukio lenye uzito wa kihisia, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika mashambulizi ya Marekani, anatarajiwa kuzikwa leo katika mji wake wa Mashhad. Mazishi yake yamehudhuriwa na mamilioni ya Wairan na waumini kutoka nchi jirani, huku misiba mikubwa ikiwa…

Nipashe
Nipashe Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Serikali imewataka wanasayansi na wataalamu wa afya kufanya tafiti za kina ili kuthibitisha usalama na ufanisi wa tiba asilia kabla ya kuziingiza katika mfumo rasmi wa huduma za afya. Akifungua Mkutano wa 14 wa Kisayansi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUH…

Nipashe
Nipashe Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…

Timu nane pekee ndizo zimesalia kwenye mbio za kuwania taji la Kombe la Dunia, huku robo fainali zikitarajiwa kuanza kesho nchini Marekani. Mechi ya kwanza inayotarajiwa kuchezwa kesho ni kati ya Ufaransa dhidi ya MoroccoUfaransa imeonesha ubora mkubwa na kupewa sifa zote kuwa mi…

Nipashe
Siasa Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Zanzibar inatarajiwa kuandika ukurasa mpya katika historia ya siasa zake baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kutarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji wa Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CC…

Nipashe
Elimu Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…

Vijana 240 kutoka wilaya za Mtwara, Lindi, Songea na Kigoma watanufaika na mafunzo ya ufundi stadi ikiwemo umeme, upishi,maabara na upambaji kupitia mradi wa Dumisha Amani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo kwenye Chuo cha VETA Mtwara, Ofisa Mkuza Mitaala Mwandamizi wa …

Nipashe
Nipashe NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Bernadetta Ndunguru, amesema utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 toleo la mwaka 2023 unaendelea kuzaa matunda, jambo linalodhihirishwa na umahiri na ubunifu unaoon…

Nipashe
Nipashe Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kuhakikisha wanarejesha fedha hizo kwa wakati ili kuwezesha wananchi wengine kunufaika na …

Nipashe
Nipashe Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wanaendelea kukabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma katika baadhi ya sekta kutokana na upungufu wa watumishi 11,338, huku Serikali ikiahidi kuupa kipaumbele mkoa huo katika mgawanyo wa ajira mpya 45,000 zilizopata kibali cha kuajiriwa. Taarifa…

Nipashe
Nipashe Waandishi wa habari wananufaika na …

Wadau wa sekta ya habari wameeleza kuwa ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kumekuwa na mabadiliko makubwa yaliyorejesha heshima ya taaluma ya uandishi wa habari, kuongeza uwajibikaji na kupunguza uholela uliokuwa ukijitokeza k…

Nipashe
Siasa Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Siasa na Mahusiano ya Kimataifa wa CCM, Rabia Hamid, amefanya ziara leo 2 Julai katika Mikoa ya Manyara na Kilimanjaro. Akiwa mkoani Manyara, Rabia alipokelewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Ndugu Petter Toima, kabla ya kushiriki k…

Nipashe
Elimu Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

VIJANA 60 wamehitimu mafunzo ya fani mbalimbali, ili kuwawezesha kufanya kazi kwa viwango vya kisasa, kujiajiri na hata kuajiri wengine Mafunzo hayo yanatajwa ni hitaji kwa sasa hasa katika ujuzi wa kazi nchini, hivyo muhimu kuwekeza zaidi katika elimu na mafunzo ya ufundi stadi.…

Nipashe
social-services Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya jamii nchini kwa kuwahamasisha wananchi waliojiajiri kujiunga na Hifadhi Skimu, huku ikiwahimiza waajiri wenye malimbikizo ya michango kunufaika na msamaha wa tozo uliotolewa na m…

Nipashe
Nipashe Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Nipashe
Nipashe Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

Serikali imewaonya wafanyabiashara wanaouza pembejeo zisizokidhi viwango (feki) na wanaojihusisha na utoroshaji wa mbolea ya ruzuku kwenda nchi jirani, ikisema vitendo hivyo ni hujuma kwa taifa na wanaofanya hivyo hawana tofauti na wauaji kutokana na athari zake kwa uzalishaji wa…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) imewahimiza wafugaji nchini kupeleka sampuli za mifugo katika vituo vyake vya kanda kwa ajili ya uchunguzi wa magonjwa kabla ya kutumia dawa, ili kubaini chanzo halisi cha ugonjwa na kuhakikisha mifugo inapatiwa tiba sahihi. Rai hiy…

Nipashe
Nipashe Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

‎ ‎MAMLAKA ya Hifadhi eneo la Ngorongoro (NCAA) imesema inajivunia urithi wa utamaduni wa makabila manne ya Wahadzabe, Wairaq, Wamasai na Wanatoga ambao wanachochea utalii katika maeneo hayo. ‎Akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara (sabasaba), …

Nipashe
Nipashe Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

Wabunge wa Majimbo ya Vunjo na Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, wamechukua hatua ya moja kwa moja kukabiliana na changamoto ya ubovu wa barabara baada ya kununua mitambo miwili ya kisasa ya kutengeneza barabara hatua inayotarajiwa kuboresha usafiri, usafirishaji na shughuli za…

Nipashe
Nipashe IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 (Sh. trilioni 1.2) kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini ya programu mbili za kifedha zinazotekelezwa nchini. Programu hizo ni ‘Extended Credit Facility’ (ECF), u…

Nipashe
Nishati na Umeme Kongamano la nishati : etdco yasisi…

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote na changamoto ya wizi wa miundombinu ya umeme, ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali ya mikoa wanayoisimamia. T…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ametoa wito wa kuimarisha juhudi za pamoja katika kulinda afya ya udongo, kurejesha maeneo ya malisho na kukabiliana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame. Masauni ameyasema hayo Agost…

Nipashe
Usafiri na Uhifadhi Tanzania eyes Russian tourism boom …

Sekta ya anga nchini imeendelea kutangua wigo wake katika kuimarisha huduma kimataifa baada ya kuongeza miruko ya kwenda nchi mbalimbali ikilenga kuiunganisha Tanzania na mataifa mengine duniani kibiashara, elimu, utalii na afya. Imeelezwa kuwa abiria wengi wanaotumia usafiri wa …

Nipashe
Nipashe Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Kocha wa Hispania, Luis de la Fuente, amesema anajivunia mafanikio ya kikosi chake baada ya kutwaa taji la pili la Kombe la Dunia kwa kuichapa Argentina katika mchezo wa fainali. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo huo, De la Fuente alisema mafanikio hayo yametokan…

Nipashe
Ujasiriamali na Ubunifu GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewahimiza wazabuni na wadau wa ununuzi wa umma kutumia Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) kuwasilisha malalamiko na rufaa zao PPAA pindi wanapoona hawakutendew…

Nipashe
Teknolojia Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

KATIKA mazingira ambayo teknolojia na ubunifu vinazidi kuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, Francis Madanganya, mkufunzi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Chang’ombe jijini Dar es Salaam, ameonyesha kuwa ujuzi unaweza kubadili changamoto kuwa fursa. Madang…

Nipashe
Sheria na Mahakama Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.Juma Homera, amesema wamejipanga kutumia sheria kushughulika na wale wote watakaovunja sheria za nchi kwa namna yoyote ile. Dk.Homera amesema hayo leo kwenye banda la Wizara hiyo kwenye maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DITF),…

Nipashe
Kimataifa Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …

RAIS wa Marekani Donald Trump, amesitisha kwa muda, utoaji wa viza, kwa wanaotaka kusafiri nchini humo kutoka maeneo tofauti duniani. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa Marekani, amesema kuwa wizara hiyo imeanzisha mpango wa kutoa mafunzo katika balozi zake kote duniani na w…

Nipashe
Nipashe Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataj…

Matumaini ya dunia kuanza kurejea katika utulivu wa upatikanaji wa mafuta na kushuka kwa bei zake yanaelekea kuyeyuka baada ya kuanza upya kwa mashambulizi makali kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, huku bei ya mafuta ghafi aina ya Brent ikipanda hadi zaidi ya dola 84 kwa p…

Nipashe
Nipashe Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

‎Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha wananchi wanaondokana na matumizi ya majiko ya mkaa, wadau wa nishati safi wamezindua kitabu maalum cha mwongozo wa matumizi salama ya gesi ya kupikia (LPG). Uzinduzi wa kitabu hicho umefanyika jana jijini Dar es Salaam kweny…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

SAA nne asubuhi mwandishi wa habari hii, anawaona Mamalishe na Babalishe wa Mkuranga, mkoani Pwani wanatumia mkaa kuandaa chakula. Anaposogea kuangalia mkaa wa aina gani, anagundua si ule unaotokana na kuni, jambo linalompa kazi ya kuanza kujua umetokana na nini.Katika uchunguzi …

Nipashe
Nipashe Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imeahidi kuendelea kurahisisha taratibu za biashara za mipakani kupitia Mfumo Rahisi wa Biashara hatua inayolenga kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda huo na kupunguza gha…

Nipashe
Nipashe Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

Waziri wa Madini, Antony Mavunde, amewataka wakandarasi wanaojenga maabara mpya ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa. Amesema serikali itaendelea kuwekeza katika mi…

Nipashe
Nipashe Tanzania holds preparatory talks he…

NCHI wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri le…

Nipashe
Nipashe TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye ti…

Nipashe
Nipashe WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

Serikali imesema itatumia uzoefu na mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) ili kuboresha na kueneza huduma hizo nchini kwa kuwa umeweka msingi imara wa utoaji wa huduma endelevu na zinazostahimili athari za mabadiliko ya tabian…

Nipashe
Nipashe Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). ​Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

Nipashe
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

Utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa chanzo cha maji katika Kata ya Mawenzi, Manispaa ya Moshi, unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji na kunufaisha wakazi zaidi ya 42,000 wa kata za Kaloleni, Njoro na Miembe, huku viongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 wakisisitiza kukamilishwa…

Nipashe
Nipashe Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…

Mwenge wa Uhuru 2026 umeingia siku ya tano ya mbio zake mkoani Singida ambapo unatarajiwa kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 9.683 katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida. Mkuu wa Wilaya ya Singida, Godwin Gondwe…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) ya Mkoa wa Iringa yamebeba ujumbe mmoja mkubwa kwa wakulima na wafugaji wakati wa kilimo cha kujikimu unafikia mwisho, sasa ni wakati wa kuwekeza katika kilimo cha biashara kinachozingatia teknolojia, masoko na uongezaji thamani wa m…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeeleza kuridhishwa na utendaji wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na kuwataka kufanya maboresho katika matumizi ya mifumo ya ukusanyaji wa mapato ili kuzuia mianya ya upotevu wa mapato. Akizungumza baada ya Kamat…

Nipashe
Nipashe Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Mapambano dhidi ya uhalifu mkubwa mkoani Tabora yamechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kuwahukumu watu sita kunyongwa hadi kufa kwa makosa ya mauaji, huku Jeshi la Polisi likisema hukumu hizo zinaakisi mafanikio ya uchunguzi na usimamizi wa kesi za jinai. Kama…

Nipashe
Nipashe NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara. Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla i…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…

Visa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) vimefikia 4,200, huku vifo vikifikia zaidi ya 1,900, wakati mlipuko huo ukiendelea kuenea kwa kasi na kuongeza changamoto kwa juhudi za kukabiliana nao. Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) barani Afrika…

Nipashe
Nipashe Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Jumatatu, Julai 13, 2026, na inatarajiwa ku…

Nipashe
Nipashe Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma …

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Hosamu Juma, mkazi wa mtaa wa Sindano, Mwananyamala kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo na kuwafukia karibu na eneo la makazi yao. Kwa mujibu wa taarifa ya Kaimu Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum y…

Nipashe
Nipashe Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha. M…

Nipashe
Nipashe Bunifu MUHAS zaanza kutoa majibu ch…

Jukwaa la Win & Learn Academic Event la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) limeendelea kuwa chachu ya kuibua watafiti, wabunifu na viongozi wa sekta ya afya, huku likitimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006. Jukwaa hilo, linaloandaliwa na wanafu…

Nipashe
Nipashe Trump kuhudhuria fainali ya kombe l…

Rais wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuhudhuria fainali ya Kombe la Dunia kati ya Hispania na Argentina itakayochezwa leo Jumapili. Katibu wa Habari wa Ikulu, Karoline Leavitt, alisema huo utakuwa mwonekano wa kwanza wa Trump kwenye mashindano hayo. Aliongeza kuwa uwepo wa …

Nipashe
Nipashe Trc yatoa rai kwa wasafirishaji wa …

Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma, yenye urefu wa kilomita 506. Mradi huo, utagharimu Sh6.23 trilioni kwa kipande cha Tabora-Kigoma, kipande cha Uvinza-Msongati kikigharimu Sh3.17 trilioni na vyote…

Nipashe
Nipashe Pochettino Afurahia Balogun Kuruhus…

KOCHA wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wiki ijayo huku akifanya mazungumzo na Shirikisho la Soka la Marekani kwa uwezekano wa kuongeza mkataba wake hadi Kombe la Dunia 2030. Akizungumza na redio ya Cadena Cope nchi…

Nipashe
Michezo Yanga Princess Kukamilisha Usajili …

KLABU ya Yanga juzi usiku iliwatambulisha wachezaji watatu wa kigeni kwa mpigo wakitokea mataifa tofauti ambao watakuwa sehemu ya kikosi kwa msimu ujao wa mashindano. Wachezaji hao ni Cheikh Ibrahim Toure, Houssein Zakouani na Albert Kangwanda, ambao wanaungana na wachezaji watan…

Nipashe
Nipashe Simba Yashinda Vita Ya Mwalimu, Aza…

KLABU ya Azam FC imechafukwa, kwani juzi usiku imemtambulisha beki wa kati, Lupini Dieumerci akitokea AS Maniema ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Azam imemtambulisha beki huyo siku mbili tu baada ya kumleta beki mwingine wa kati, raia wa Ubelgiji, Henri Stanic kutoka Stellenbo…

Nipashe
Majanga na Uokoaji Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Mama mmoja alietambulika kwa jina la Dayana Patino ameokolewa kutoka chini ya vifusi vya nyumba yake iliyobomolewa nchini Venezuela akiwa na mtoto wake wa siku 18, huku akieleza jinsi kichanga hicho kilivyomsaidia kuendelea kuishi. Dayana amesema mtoto wake Juan David alimpa hama…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Serikali yaimarisha utayari wa kuka…

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetoa mafunzo ya utayari wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa wahudumu wa afya 104 wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mkufunzi kutoka MSF, Oveness Isojic, amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza uwezo wa w…

Nipashe
Nipashe Ratiba ya Simba SC mechi 10 za msim…

Msimu mpya wa mwaka 2026/2027 utaanza rasmi Agosti 12, mwaka huu kwa mechi ya Ngao ya Jamii. Mechi hiyo ya Ngao ya Jamii itawahusisha vigogo wa Kariakoo, Simba na Yanga.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia, amesema msimu mpya wa Ligi Kuu Bara utaanza rasmi…

Nipashe
Nipashe Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Swahiba Mndeme, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kutumia lugha ya Kiswahili kama fursa ya kiuchumi, akisema lugha hiyo imeendelea kuenea na kutumika katika mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahili …

Nipashe
Nipashe Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Zanzibar imefungua ukurasa mpya katika historia ya usafiri wa umma baada ya kuzindua rasmi huduma ya mabasi yanayotumia nishati ya umeme, hatua inayotarajiwa kubadilisha sura ya usafiri visiwani humo na kuiweka Zanzibar katika ramani ya matumizi ya teknolojia safi barani Afrika. …

Nipashe
Michezo Real Madrid Wajiondoa Kwenye Mbio z…

XABI Alonso Amesema 'kovu' alilopata kutokana na muda wake mfupi Real Madrid limepona, na kumruhusu kuzingatia kikamilifu kuipeleka Chelsea katika msimu mpya wa Ligi Kuu England. Raia huyo wa Hispania alichukua usukani huko Bernabéu baada ya kipindi kizuri sana kule Bayer Leverku…

Nipashe
Sheria na Mahakama Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamsaka Emmanuel Elisante Mariki, mkazi wa Kijiji cha Lyasongoro, Kitongoji cha Rongi, Kata ya Marangu Mashariki, Wilaya ya Moshi, kwa tuhuma za kuwajeruhi mama na mtoto wake kwa kutumia kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilima…

Nipashe
Ujenzi na Miundombinu Prof Kabudi aisifu Ubungo kwa kunun…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa ubunifu wa kununua mitambo ya ujenzi na matengenezo ya barabara, akisema hatua hiyo itasaidia kuimarisha miun…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesema ongezeko la uzalishaji wa mazao halitakuwa na manufaa kwa nchi endapo bidhaa hizo hazitapata masoko na kushindwa kukidhi viwango vinavyohitajika katika biashara ya ndani na kimataifa. Akizungumza alipotembelea Maonesho ya 33 ya K…

Nipashe
Nipashe Aston Villa Yaanza Mazungumzo Kumsa…

CHELSEA inavutiwa kumsajili mlinzi wa England, John Stones, kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Manchester City, kwa mujibu wa ESPN. Timu hiyo ya magharibi mwa London imejiunga na Inter Milan katika kuwania saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32, ambaye amekuwa mchezaj…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …

Serikali imeanza mpango wa kujenga soko la kisasa la kimataifa la nafaka katika eneo la Lokolova, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hatua inayotarajiwa kuongeza ushindani wa bei za mazao. Pia imeelezwa kuwa hatua hiyo itaondoa unyonyaji kwa wakulima na kuifanya Kilimanjaro kuw…

Nipashe
Nipashe Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…

Kifo cha mwanafunzi wa darasa la kwanza, Prosper Msafiri (7), baada ya kugongwa na lori katika eneo la Kisesa, Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, kimezua vurugu baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya Mwanza–Musoma wakitaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya dereva. Ajali hiyo ime…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

JESHI la Polisi Mkoa wa Ruvuma, kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani na Kitengo cha Polisi Jamii, limetembela Hospitali Mkoa wa Ruvuma na kukabidhi mahitaji mbalimbali kwa wazazi waliolazwa. Hatua hiyo ni sehemu ya kuendeleza kutoa matendo ya huruma na kuimarisha mshikamano kat…

Nipashe
Michezo Italia Yapambana Kufanya Mapinduzi …

Roberto Mancini amerejea kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia, miaka minne baada ya kuondoka kwenye nafasi hiyo. Rais wa Shirikisho la Soka la Italia (FIGC), Giovanni Malagò, alitangaza rasmi uteuzi huo jana, akisema Mancini ndiye chaguo bora zaidi kwa wakati huu."Muda ulik…

Nipashe
Burudani Mbosso, Bonge La Dada Kazi Inaongea!

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Zuchu amevunja rekodi kwa kutembelewa hospitali na idadi kubwa ya watu mashuhuri nchini baada ya kujifungua mtoto wake na Nasib Abdul baarufu kama Diamond Platnumz. Zuchu alijifungua mtoto wa kike Agosti 2, Jumapili ya wiki iliyopita na kusababisha wat…

Nipashe
Nipashe Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, amesema matumizi ya nishati safi ua kupikia inapunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa. ‎ Mgalu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Nishati na Madini ameyasema hayo leo ka…

Nipashe
Siasa Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko katika baadhi ya nafasi zake za juu za uongozi wa kitaifa, hatua inayotafsiriwa kama sehemu ya kujiimarisha na kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu wa chama wa mwaka 2027. Akizungumziamabadiliko hayo leo visiwani Zanzibar, Katibu wa Idar…

Nipashe
Michezo PSG Yamfuata Ferran Torres Huku Bar…

BARCELONA lazima watafute fedha kwa kuuza wachezaji muhimu kama vile, Ferran Torres, Jules Koundé au hata Raphinha ili kuwekeza kwa usajili wa wachezaji wapya, kocha Mkuu, Hansi Flick ameliomba hilo kipindi cha majira ya joto, kwa mujibu wa ESPN. Barça ipo kwenye nafasi ya kushin…

Nipashe
Michezo Tottenham Yakabiliwa na Nia ya Kums…

KOCHA wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi, amesema wazi kuwa mchezaji yeyote ambaye hafurahii kubaki katika klabu hiyo anapaswa kutafuta timu nyingine, akisisitiza kuwa anataka kuwa na kikosi chenye wachezaji wenye ari na fahari ya kuivaa jezi ya Spurs. De Zerbi alitoa kauli h…

Nipashe
Nipashe Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi…

KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema kuongezeka kwa makocha wapya katika Ligi Kuu ya England, EPL, msimu wa 2026/27 kunaweza kuongeza ushindani na kuifanya timu yake kuwa bora zaidi. Arteta jana alikutana kwa mara ya kwanza na kocha mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, katik…

Nipashe
Nipashe Rubio azindua kampeni ya kupinga Ma…

Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina mamlaka kuhusu wananchi wala mfumo wa sheria wa nchi hiyo. Rubio amesema Serikali ya Marekani imeanzisha kampeni ya kitaifa inayoshi…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…

WAZIRI Mkuu Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha, ili malengo yaliyokusudiwa yaweze kuleta matokeo yanayopimika. Aidha, amesisitiza kuwa kila shilingi inayowek…

Nipashe
Michezo Joshua Arejea Ulingoni ‘Kumvaa’ Pre…

BONDIA wa uzito wa juu duniani kutoka England, Anthony Joshua, alionesha ustahimilivu wa kipekee baada ya kuangushwa mara mbili kabla ya kurejea kwa nguvu na kumchapa Kristian Prenga kwa TKO katika raundi ya pili kwenye pambano lake la kurejea lililofanyika Jeddah, nchini Saudi A…

Nipashe
Michezo Chelsea yashusha kiungo, asaini min…

MABINGWA wa Ligi Kuu England, Arsenal wamefikia makubaliano na Newcastle United ya kumsajili kiungo na nahodha wa klabu hiyo, Bruno Guimarães, kwa ada ya pauni milioni 75. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Guimarães amepewa ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya kabl…

Nipashe
Michezo Barker Aizidi Kete Yanga Kwa Makgal…

LICHA ya kulazimishwa suluhu dhidi ya Mogadishu City Club ya Somalia, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker amesema ana imani kikosi chake kitatwaa ubingwa wa Kombe la Kagame linaloendelea nchini Rwanda. Akizungumza mara baada ya mchezo huo wa Kundi B uliochezwa, Uwanja wa Kigali Pel…

Nipashe
land-justice Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Wawakilishi wa jamii ya Kimaasai kutoka Tarafa za Ngorongoro, Loliondo na Sale wameiomba Serikali kusitisha mchakato wanaodai unahusu mabadiliko ya umiliki wa ardhi za vijiji vyao, wakisema hatua hiyo inaweza kuathiri haki za ardhi na ustawi wa wananchi. Katika tamko walilolitoa …

Nipashe
Michezo Mafunzo kuogelea kutolewa bure kwa …

Wadau wa mchezo wa kuogelea Tanzania wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kiwango cha kimataifa kupitia programu ya wiki tatu iliyolenga kukuza vipaji vya waogeleaji vijana, kuimarisha uwezo wa makocha wazawa pamoja na kuwaelimisha wazazi kuhusu namna bora ya kuwaunga mkono wanam…

Nipashe
Huduma za Binafsi na Maisha Mbinu za Kumfunga Breki Mwanaume An…

Msomaji wangu, tunaendelea na mada zetu za Maisha Ndivyo Yalivyo tukiwamulika wakwe zetu. Lakini kabla ya yote, hebu kwanza nikumegee umuhimu wa mke, aina za wake na tabia zao. Pengine mtu atajiuliza mke ni mtu gani? Ni mwanamke aliyeolewa. Leo kuna aina mbalimbali ya wanawake wa…

Nipashe
Nishati na Umeme Mradi wa Umeme Chalinze-Dodoma wafi…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewatangazia wananchi kuwa kuanzia Agosti 11 hadi 17, 2026, kutakuwa na ratiba maalumu ya upatikanaji wa umeme katika baadhi ya mikoa kutokana na kuendelea kwa zoezi la uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

Nchi 14 zinatarajiwa kushiriki katika Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nanenane 2026 yanayofanyika jijini Dodoma, huku washiriki 24 wa kimataifa wakitarajiwa kuonesha bidhaa, teknolojia na huduma mbalimbali zinazolenga kukuza sekta za kilimo, mifugo na uvuvi. Maonesho hayo amb…

Nipashe
Siasa Marekani Yazima Shambulio la Kombor…

VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameahirisha mpango wa kupanua mashambulizi dhidi ya Iran. Hiyo inatokea, huku mjadala ukishika kasi jijini Washington kuhusu kiwango cha akiba ya makombora ya kuzuia mashambulizi ya anga na risasi za m…

Nipashe
Elimu Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

Kila siku anapopita katika maeneo ya Kata ya Konde, Tarafa ya Matombo, Inspekta Edith Msafiri wa Jeshi la Polisi, alikuwa akikutana na jambo moja lililomsumbua moyoni, watoto wa Shule ya Msingi Matombo walioonekana kusoma wakiwa wamekaa chini shuleni kwa sababu ya ukosefu wa mada…

Nipashe
Sheria na Mahakama Mahakama yamhukumu miaka 30 kwa kus…

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Hukumu hiyo iliyotolewa Julai 22, 2026 na Hakimu Mkazi Azizi Khamis, imekuja baa…

Nipashe
Burudani Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyum…

KESI ya Jinai inayomkabili Mwanamziki na Rapa maarufu wa Marekani Sean John Combs maarufu kama P-Diddy inatarajiwa kusikilizwa Manhattan mjini New York Marekani, Mei 5, 2025. Tarehe hiyo imepangwa jana Alhamis Oktoba 10, 2024 na Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Marekani Arun Subrama…

Nipashe
Michezo Twiga Stars yajaribu mitambo Morocco

WAKATI Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Bakari Shime, amewaomba radhi kwa kikosi chake kushindwa kufikia malengo, ameahidi watarejea wakiwa imara zaidi katika fainali zijazo za Kombe la Mataifa Afrika (WAFCON). Twiga Stars imemaliza katika nafasi ya tatu huk…

Nipashe
Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Kidini Mjukuu wa Idi Amin na ndoto za ‘kui…

KATIKA bara la Afrika, si rahisi kumpata mwanamke ambaye ameacha alama kwenye nyanja mbalimbali kwa wakati mmoja. Lakini, kwa Winifred au maarufu "Winnie" Byanyima, hilo kwake limewezekana. Yeye ni msomi Mhandisi wa Anga, sasa aking’ara ng’ambo ya pili kwenye diplomasia, mwanasia…

Nipashe
Michezo Man City Yakaribia Kumnasa Nyota Ki…

MANCHESTER City imethibitisha kuwa kiungo wake tegemeo, Rodri, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mgongo baada ya kusumbuliwa na maumivu kwa mud ana atakuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa. Klabu hiyo ilieleza kuwa Rodri alifanyiwa upasuaji huo Jumatatu na sasa ataanza kipindi kifupi cha…

Nipashe
Michezo Savinho yuko tayari kuondoka Man ci…

KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema atasubiri hadi mwisho wa dirisha la usajili kabla ya kuteua nahodha na wasaidizi wake msimu wa 2026/27. Msimu uliopita, Man City ilikuwa ikiongozwa na Bernardo Silva, lakini kiungo huyo tayari ameondoka klabuni. Pia kuna uwezekano w…

Nipashe
Nipashe Nchimbi: Rais Samia analitaka suala…

MAKAMU wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anataka suala la katiba mpya litekelezwe. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dk Nchimbi amesema suala la katiba mpya liliibuka hata katika mchakato wa kuandaa ilani ya uchaguzi ya CCM katika uchaguzi ulio…

Nipashe
Siasa Rais Samia Akutana na Viongozi wa V…

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendeleza maridhiano ya kisiasa nchini kuelekea hatua za maboresho ya Katiba kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi. Katika kuyatimiza hayo, ameahidi kuendeleza majadiliano na vyama vya siasa ili kujenga mwafaka kuhusu masua…

Nipashe
Michezo Mshauri Mkuu wa Infantino Ajiuzulu,…

Shirikisho la vyama vya soka Ulaya, UEFA, pamoja na Waziri Mkuu wa England, Andy Burnham wamekosoa vikali mpango wa FIFA wa kuruhusu uwekezaji kutoka sekta binafsi katika mashindano yake, ikiwemo Kombe la Dunia. FIFA imetangaza kuwa inapanga kuongeza fedha za maendeleo ya soka du…

Nipashe
Usafiri na Uhifadhi Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili,…

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Kandahari na malori mawili eneo la Makuyuni, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha. Ajali hiyo ilitokea usiku wa Julai 30, 2026, wakati basi lenye namba T 732 DRL, lililokuwa likitoka K…

Nipashe
Sheria na Mahakama Kilichompa Lissu ushindi dhidi ya D…

Mahakama ya Rufani imekataa ombi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, la kuitaka serikali imlipe fidia kwa madai kuwa maombi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) yalichelewesha kwa makusudi mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili na kumfanya aendelee kushikiliwa mahabusu kwa muda mr…

Nipashe
Nishati na Umeme Bayport Yatoa Kompyuta na Printa za…

Vikundi vitatu vya wabunifu vinavyoshughulikia changamoto ya upotevu wa nishati na maji vimepata Sh. Milioni 30 katika mashindano ya kitaifa ya Ubunifu wa Ufanisi wa Nishati 2026, yanayolenga kuongeza ufanisi wa matumizi sahihi ya nishati nchini. Mashindano hayo yanatekelezwa chi…

Nipashe
Nipashe Sh. bil. 1.5 kukusanywa kuokoa mais…

MKOA wa Manyara unatarajia kukusanya Sh. bil. 1.5 katika mbio za hisani Manyara Tanzanite Marathon, ili kusaidia kununua vifaatiba na kujenga jengo la watoto njiti kuokoa maisha yao. Akisoma taarifa ya maandalizi ya mbio hizo, Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Andrew Method, amesema m…

Nipashe
Nipashe Rais Samia na Rais Lourenço wa Ango…

Huduma za afya ya mama na mtoto katika ngazi ya Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa zimeendelea kuimarika ikiwa ni pamoja na kuwekeza katika ununuzi wa vifaa tiba na kutoa mafunzo kwa watoa huduma ikiwemo madaktari na wauguzi. Kauli hiyo imetolewa Julai 22,2026 na Waziri wa Nchi Ofisi ya…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima ‎NMB yaendelea kuimarisha kilimo ku…

Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba ameipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kusogeza huduma za kifedha karibu na wananchi kupitia matumizi ya teknolojia na mkakati wa Rural Banking, akisema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara na kupunguza gharama za miamala ya kifedha.…

Nipashe
Nipashe Songea yazalisha tani 90 za taka ki…

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, amewataka madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,mkoani Kilimanjaro, kuacha kutegeana na badala yake kufanya kazi kwa ushirikiano, akisisitiza kuwa hatua hiyo ndiyo msingi wa kuendelea kupata hati safi za ukaguzi na kuim…

Nipashe
Jinsia na Wanawake Standard Chartered Foundation Yatoa…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo kat…

Nipashe
Nipashe Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa hatadhari kwa wananchi kutokubali akaunti zao za benki au huduma za fedha, kutumiwa vibaya kwa kupokea au kupitisha fedha ambazo hawajui zimetoka wapi, wakisisitizwa kwamba kufanya hivyo kunaweza kuwahusisha na vitendo vya utakatishaji fedha. K…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima na wafugaji wakiri kupata …

Wataalamu wa sekta ya kilimo wameeleza kuwa matumizi ya mbegu bora zilizothibitishwa na mamlaka husika ndiyo njia muhimu ya kuongeza uzalishaji wa mazao na kuwaepusha wakulima na hasara zinazotokana na mbegu zisizo na ubora. Akizungumza kuhusu suala hilo, Mkaguzi wa Mbegu kutoka …

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Veta yapongezwa kwa ubunifu wenye k…

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Singida, Dk. Fatuma Mganga, ameipongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kubuni teknolojia na bidhaa zinazolenga kuongeza tija kwa wakulima na wafugaji nchini. Dk Mganga ametoa pongezi hizo leo, tarehe 4 Agasti, 2026 alipotembelea ba…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano m…

Tanzania inatarajiwa kunufaika na fursa mpya za uwekezaji na maendeleo ya miundombinu baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 pamoja na Jukwaa la Miundombinu Afrika. Akizungumza na waandishi wa habari leo mkoani Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, B…

Nipashe
Michezo Wenger Ampinga Infantino Waziwazi, …

HADI katikati ya Julai mwaka huu, Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, alionekana kuwa na uhakika mkubwa wa kuchaguliwa tena kuongoza taasisi hiyo kwa muhula wa nne katika uchaguzi utakaofanyika Machi mwakani. Wakati huo, karibu vyama vyote kati ya 210 vya…

Nipashe
Habari na Mawasiliano Faida Vodacom Tanzania yapaa mara t…

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua rasmi kampeni mpya ya "Zaidi ya Mtandao", ikisisitiza dhamira yake ya kutumia teknolojia kuleta fursa zaidi za kiuchumi na kijamii kwa Watanzania, badala ya kutoa huduma za mawasiliano pekee. Uzinduzi wa kampeni hiyo ulifanyika…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa Dk Mwigulu avutiwa matumizi ya bund…

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utafiti na majaribio ya kutumia panya buku kubaini nyara za serikali katika juhudi za kukabiliana na ujangili nchini. Makamu Mkuu wa SUA, Prof. Raphael Chibunda, amesema hayo leo wakati Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, alipotembelea b…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Psssf kutoa huduma na elimu maonesh…

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Suleiman Misango, ameshangazwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa. ‎Ameyasema hayo, Agosti 4, 2026 wakati akito…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima kuongeza watarajia uzalish…

WAKULIMA nchini wanatarajiwa kuongeza uzalishaji, kupata mavuno yenye ubora na kuuza mazao yao katika masoko ya uhakika baada ya Kampuni ya RIJK ZWAAN Tanzania kuimarisha mpango wa kuwapatia mbegu bora za mboga, mafunzo ya kilimo cha kisasa na ushauri wa kitaalamu. Hatua hiyo ina…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Gst yawekeza ujuzi, teknolojia kubo…

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wa kitaalamu hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Mkuu wa JKT, …

Nipashe
Siasa Rais samia: afrika iharakishe uteke…

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kipimo kikuu cha viongozi Afrika si idadi ya matamko yanayotolewa, bali ni uwezo wa kuleta matokeo yanayoboresha maisha ya wananchi kupitia utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uwekezaji wenye tija. Akizungumza leo Agosti 5, 2026 katika ufunguzi …

Nipashe
Nishati na Umeme Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Mwezi Agosti 2026, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta, ambapo kwa Dar es Salaam bei ya Petroli (PMS) imewekwa kuwa TSh 3,898 kwa lita, Dizeli (AGO) TSh 3,978 kwa lita, na Mafuta ya Taa (IK) TSh 4,003 kwa lita. Hii ni sawa na pun…

Nipashe
Nipashe Future world institute yaja na taal…

SERIKALI imesema zaidi ya ajira 61,000 zimezalishwa kupitia miradi sita mikubwa ya maendeleo. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Asha Feruzi, kuhusu namna Serikali ina…

Nipashe
Elimu Wanafunzi 573 Pwani wakwama shuleni…

Wanafunzi 573 kutoka shule za msingi na sekondari katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani wamebainika kutoripoti shuleni baada ya kufunguliwa kwa shule kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ujauzito wa utotoni, hali duni ya kiuchumi katika familia na kukosa mahitaji ya msingi. Kam…

Nipashe
Michezo Salah Kutua Uturuki leo Kukamilisha…

MSHAMBULIAJI nyota wa Misri, Mohamed Salah, tayari amekamilisha dili la kujiunga na klabu ya Trabzonspor baada ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita. Klabu hiyo ya Uturuki imethibitisha kuwa mazungumzo yanaendelea na nyota huyo ambaye anatarajiwa kutua Istanbul kabla …

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Chande aipongeza wrrb kwa kuwawezes…

Wakulima na wananchi wanaotembelea Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane 2026, wamepewa fursa ya kujifunza mambo manne muhimu yanayoweza kubadili namna ya kufanya kilimo, ikiwemo matumizi ya teknolojia, upatikanaji wa masoko, huduma za kitaalamu na mikopo kwa ajili ya kuongeza…

Nipashe
Teknolojia Kikwete Atoa Tahadhari Afrika, Asem…

MWAKA 2025, mwezi Mei, akaunti ya kwenye wa mamlaka ya usalama iliripotiwa kudukuliwa, hata kuchukuliwa, hata kuchukuliwa hatua za usalama wake. Si muda mrefu nako hivi karibuni nchini Kenya, kukasika, wadukuzi kuvamia tovuti rasmi ya Rais nakubadilisha ukurasa wake mkuu kwa ujum…

Nipashe
Nishati na Umeme Mfumo wa m+2 waimarisha uhakika wa …

Mfumo wa kufuatilia, kudhibiti na kukusanya taarifa za mafuta yanayoingia nchini kwa wakati halisi (Supervisory Control and Data Acquisition - SCADA) umeendelea kuwa nyenzo muhimu katika kuimarisha usimamizi wa mafuta nchini kwa kuongeza uwazi, usahihi wa taarifa na ufanisi katik…

Nipashe
Nipashe Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, amebainisha hatua mpya za kudhibiti migogoro ya wakulima na wafugaji wilayani humo, akisisitiza kuwa kuanzia sasa hakuna mifugo itakayohamishwa kutoka kijiji kimoja kwenda kingine bila kibali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Imeelezwa kuwa …

Nipashe
Nishati na Umeme Rais Samia na Museveni Washuhudia M…

Tanzania imepiga hatua muhimu katika sekta ya nishati baada ya Kampuni ya Vitol Bahrain E.C., kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Uganda National Oil Company (UNOC), kuingia makubaliano ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafu…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri sangu -kauli mbiu ya psssf y…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano),Deus Sangu leo (Jumamosi, Agosti 8, 2026) amefanya vikao kazi jijini Dar es salaam na Menejimenti za taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji. Katika vikao kazi hivyo, Waziri …

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chac…

Serikali imeweka mikakati mipya ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu na kuziba mianya inayoweza kutumika katika utakatishaji wa fedha haramu kwa kuanzisha utaratibu wa lazima wa matumizi ya mifumo ya malipo ya kidijitali katika miamala mbalimbali nchini. Hatua hiyo imewekwa kup…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Tramepro yahimiza ushirikiano kulin…

ALHAMISI wiki iliyopita, kulikuwapo makala yenye mazungumzo maalum na tabibu bingwa wa watoto na mtaalam wa unyonyeshaji, Prof. Mariam Noorani. Keshokutwa ikiwa wiki ya unyoyeshaji kimataifa inaanza, ipo nadharia inayogusa namna mtoto anatumia maziwa. Inatajwa umuhimu katika saa …

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Brela yatoa elimu ya urasimishaji b…

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), umewataka vijana kurasimisha biashara ili kuongeza thamani ya shughuli zao za kilimo na ufugaji, hatua itakayowawezesha kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi. Wito huo umetolewa kwa vijana wanaoshiriki mpango wa Kujenga …

Nipashe
Biashara ya Jumla na Rejareja T-CAMS Yaandika Historia Mpya Katik…

Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetangaza kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa kielektroniki wa kurahisisha shughuli za uingizaji na usafirishaji wa bidhaa kuanzia Agosti 1, 2026. Mfumo huo umeunganishwa na Tanzania Electronic Single Window (TANESW) kwa lengo la kuo…

Nipashe
Kilimo, Misitu na Uvuvi Makala awataka wakulima kutumia tek…

Madiwani Manispaa ya Kibaha wamepata fursa ya kujifunza shughuli na mbinu mbalimbali za kilimo hususan teknolojia na njia za kisasa zinazolenga kuongeza tija katika kilimo. Wamepata elimu hiyo walipotembelea Banda la Manispaa ya Kibaha lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Makamu wa rais ashiriki misa takati…

Makamu wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini katika kutoa huduma za elimu na afya, akisema mchango wao ni wa kipekee katika ujenzi wa taifa. Nchimbi ameyasema hayo leo Agosti 8,2026 aliposhiriki adhimisho la misa takatifu ya sh…

Nipashe
Mazingira na Hali ya Hewa Dk Kijaji akagua ujenzi wa soko Mul…

Wananchi wa Kijiji cha Kyamyorwa Wilayani Muleba Mkoani Kagera wameiomba serikali kubuni mbinu za kuwapunguza wanyamapori aina ya nyani katika eneo lao kutokana na kugeuka kero na kusababishia adha mbalimbali ikiwemo kuiba vyakula majumbani. Ombi hilo limetolewa na Peter Reekiza …

Nipashe
Nishati na Umeme Waziri ndejembi “kasi ya utekelezaj…

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema umeme siyo anasa kwa Watanzania, bali ni hitaji la msingi linalohitajika katika shughuli mbalimbali za maendeleo, ikiwamo kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amebainisha hayo leo Agosti 10, 2026, wakati wa hafla ya kuwasha umeme ka…

Nipashe
Elimu GEL yawafungulia milango fursa za e…

Wazazi na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini humo kwenye maonesho yaliyofanyika jana. Akizungumza kwenye maonesho hayo, Mratibu wa maonesho, ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Elimu Vyuo Vikuu,…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Tanzania, Marekani zajadili biashar…

‎ ‎Serikali imeanza rasmi hatua za utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia (Gender Responsive Budgeting-GRB) kwa kuandaa Tamko la Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia kwa mwaka wa fedha 2026/27, hatua inayolenga kuhakikisha mipango na matumizi ya rasilimali za umma yanazingatia…

Nipashe
Nipashe Madaktari wazawa watenganisha mapac…

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH)-Mloganzila, imefanya upandikizaji wa meno kwa kutumia wataalamu wazawa, baada ya kujengewa uwezo kwa vipindi tofauti na wenzao kutoka nchini India. Bingwa wa Upasuaji wa Uso, Mataya, Kinywa na Meno kutoka hospitali hiyo, Dk. Dominicus Kabogo, al…

Nipashe
Siasa Trump aliondoka kwa siri mkutano wa…

Rais wa Marekani, Donald Trump, aliondoka kwa siri katika mkutano wa NATO uliofanyika Ankara, Uturuki, mwezi uliopita, akitumia ndege nyingine ya kijeshi badala ya Air Force One, katika hatua iliyoripotiwa kuchukuliwa kutokana na tishio la kuuawa lililohusishwa na Iran. Kwa mujib…

Nipashe
Nipashe Naibu waziri maghembe amuaga balozi…

TANZANIA imepongeza hatua kubwa iliyopigwa katika kuimarisha uhusiano wake na India, ikieleza kuwa urafiki wa kihistoria kati ya mataifa hayo umeendelea kubadilika na kuwa ushirikiano wa kimkakati unaozalisha matokeo katika biashara, uwekezaji, elimu, afya, maji, ujenzi wa uwezo …

Nipashe
Nipashe Chalamila atoa siku 6 kwa malori, m…

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeanza kuchukua hatua kuhakikisha mabasi ya mikoani yanarejea katika stendi rasmi zilizopangwa na Serikali, kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Kaimu wa Udhibiti wa Magari ya Abiria na Ofisa wa LATRA Mkoa…

Nipashe
Elimu Moto Wateketeza Madarasa na Mabweni…

Ripoti ya uchunguzi kuhusu moto ulioteketeza mabweni ya Shule ya Sekondari Bigwa Sisters imebaini kuwa chanzo chake si hitilafu ya umeme bali ulisababishwa kwa makusudi, huku faili la uchunguzi likikabidhiwa Jeshi la Polisi kwa hatua za kuwabaini na kuwachukulia hatua waliohusika…

Nipashe
Michezo Yanga SC vs Simba SC Ngao ya Jamii:…

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchezo wa dabi kati ya Simba na Yanga utakaochezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, utaongeza hamasa na mvuto wa Tamasha la Kizimkazi linalotarajiwa kuanza kesho. Simba na Yanga zitakutana Agosti 12, 2026 katika mchezo wa Ngao ya Jamii, siku amba…

Nipashe
Nipashe Biteko: tanzania imepiga hatua kubw…

Serikali imesema matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini yameongezeka kwa kasi, yakipanda kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025, sawa na ongezeko la zaidi ya mara nne ndani ya kipindi cha miaka minne. Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nis…

Nipashe
Nishati na Umeme Rais samia azindua viwanja vya kufu…

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ameutunuku Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) tuzo ya kutambua mchango wake katika kuwezesha kufanyika kwa Mdahalo wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, usiku wa kuamkia leo, Agosti …

Nipashe
Kimataifa Mahakama Ya Syria Yamuhukumu Kifo R…

MAREKANI imeiondoa rasmi Syria kwenye orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi, hatua inayomaliza vikwazo vikali vya kiuchumi vilivyokuwa vikiikabili kwa zaidi ya miongo minne. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani pia imeliondoa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham au HTS, kutoka kwenye orodh…

Nipashe
Nipashe Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais …

Mbio za ngalawa zimegeuza bahari ya Kizimkazi kuwa uwanja wa burudani na ushindani, huku washiriki wakionyesha umahiri wa kutumia upepo na mawimbi katika kuwania ushindi kwenye mashindano yaliyofanyika ndani ya Tamasha la Kizimkazi Festival. Mashindano hayo yameibua shangwe kubwa…

Nipashe
Nipashe Luis Enrique Atoa Tahadhari Kabla y…

KOCHA wa PSG, Luis Enrique, amesema hajui kama winga, Bradley Barcola ataendelea kuitumikia klabu hiyo, huku kukiwa na taarifa za Liverpool na Arsenal kumuwania mchezaji huyo. Barcola amesafiri na kikosi cha PSG kwenda Salzburg kwa ajili ya mchezo wa Super Cup dhidi ya Aston Vill…

Nipashe
Nipashe Serikali yataka mikataba bora ya ka…

​Serikali imesema kuimarishwa kwa misingi ya utawala bora, uwezo wa viongozi na tija mahali pa kazi ndiyo nguzo kuu itakayowesha kufikiwa kwa malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hatua hii inalenga kuhakikisha kuwa vyama vya wafanyakazi na waajiri vinakuwa na mchango wa mo…

Nipashe
Elimu Wanafunzi 10 wa Samia Scholarship k…

Zaidi ya wanafunzi 95 wa Kitanzania wameondoka nchini kuelekea India kuanza masomo ya elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, ikiwa ni kundi la kwanza kati ya wanafunzi 198 wanaotarajiwa kwenda kusoma nchini humo kupitia Global Education Link katika mwaka 2026. Wanafunzi hao walioon…

Nipashe
Nipashe Msimu Mpya wa Ligi Waanza kwa Sare!…

‎ ‎LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2026/2027 imefunguliwa rasmi leo huku ikianza kwa sare. ‎Mchezo wa ufunguzi wa Ligi hiyo umezikutanisha timu za Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo ambao umepigwa kuanzia saa 8:00 mchana katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.‎‎Mta…

Nipashe
Michezo Yanga Yaandaa Usiku wa Kihistoria K…

KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amekuwa akiwafua wachezaji wake kwa saa nane kila siku tangu alipoanza kibarua chake cha kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano, akitokea Golden Arrows ya Afrika Kusini. Kocha huyo pia ameuambia uongozi wa klabu hiyo kuwa atahakikisha…

Nipashe
Nipashe Bunge committee offers advice for h…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuongeza wataalamu katika Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili kuimarisha usalama, afya na ustawi wa wafanyakazi nchini. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hawa Chakoma, …

Nipashe
Nipashe 100 Years of Tosa Maganga: Alumni T…

Madiwani wa Halmashauri ya Chalinze Wilaya ya Bagamoyo wameomba wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) kuwatengwnezea barabara ambazo zimeharibiwa na mvua ili maeneo hayo yaweze kupitika. Wakizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Halmashauri…

Nipashe
Nipashe Sekta ya madini yavutia uwekezaji w…

SERIKALI imesema imejidhatiti kulinda soko la ajira nchini na kuhakikisha Watanzania wananufaika na uwekezaji unaokua kutoka nje ya nchi, wakati zaidi ya makampuni 100 ya Kichina yakifungua milango kwa zaidi ya ajira 1,000 katika Maonesho ya Tano ya Ajira ya China na Tanzania. Ma…

Nipashe
Nipashe Chatanda ampa kongole mbunge viti m…

MDHAMINI na mwandaaji wa michuano ya Misungwi Cup, ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Ludete, Jumanne Misungwi, amesema furaha yake kubwa ni kuona wananchi wake wakifurahia matunda ya uongozi wake, jambo lililomsukuma kuanzisha michuano hiyo. Akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimis…

Nipashe
Michezo Kenyan athletes conquer CRDB Marath…

Benki ya CRDB leo imekabidhi vifaa vya michezo pamoja na zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa CRDB Bank Bunge Grand Bonanza litakalofanyika tarehe 20 Juni 2026 katika Uwanja Jamhuri mkoani Dodoma ambako mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzan…

Nipashe
Michezo Mngqithi Afichua Mtego wa Peter Sha…

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Peter Shalulile, ameahidi kwa kushirikiana na wachezaji wengine wataifanya Yanga kuwa tishio si Tanzania tu bali hata kwa timu zingine barani Afrika. Akizungumza juzi usiku alipotua nchini kujiunga na kikosi hicho baada ya kusajiliwa mwishoni mwa mwezi…

Nipashe
Nipashe MUHAS Yaanzisha Huduma Maalumu Ya M…

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimeimarisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Ankara pamoja na Shirika la Ushirikiano na Uratibu la Türkiye (TİKA), kwa lengo la kuendeleza huduma za afya za kibingwa, mafunzo, utafiti na ubunifu nchini Tanzania. Makamu Mku…

Nipashe
Nipashe Juventus Wanalenga Kumsajili Kipa w…

JUVENTUS imewasilisha ofa ya awali ya pauni milioni 8.5 kwa ajili ya kumsajili kipa wa Aston Villa, Emiliano Martínez. Ofa hiyo inatajwa kuwa na pauni milioni 6 kama malipo ya moja kwa moja, huku kiasi kingine cha pauni milioni 2.5 kikitokana na bonasi.Ingawa ofa hiyo iko karibu …

Nipashe
Nipashe Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2…

SERIKALI imesisitiza umuhimu wa ubunifu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ikisema ubunifu na mbinu mpya zitakuwa muhimu katika kuongeza uzalishaji na kufikia azma ya Tanzania kuwa na uchumi wa dola trilioni moja. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais–Mipango na Katibu…

Nipashe
Nipashe Dcea yateketeza hekari 3,117.9 za m…

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Operesheni hiyo iliyofanyika katika vijiji vya Misengele, Lugenge, Kisa…

Nipashe
Elimu Batilda: Ubunifu wanafunzi MUHAS ku…

Bunifu mbalimbali zinazotengenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) zimeendelea kuwavutia wanafunzi na wananchi wanaotembelea banda la chuo hicho katika Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Shule…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Sh Bil 11 kukamilisha ujenzi kituo …

Wagonjwa wa saratani wanaohitaji huduma za tiba ya mionzi wanatarajiwa kuanza matibabu ndani ya wastani wa wiki mbili badala ya kusubiri zaidi ya mwezi mmoja, kufuatia uwekezaji wa zaidi ya Sh bilioni 61 uliofanywa na Serikali katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI). Mkuruge…

Nipashe
Michezo Lionel Messi Afikisha Mabao 922: Aw…

Nyota wa soka Lionel Messi amepoteza baba yake mzazi, Jorge Messi, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 68 mjini Rosario, Argentina, leo. Jorge, ambaye pia alikuwa meneja wa muda mrefu wa mwanaye, alifariki baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa na kupata matibabu kat…

Nipashe
Ujenzi na Miundombinu Madiwani Manispaa waomba michoro ku…

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha limewaagiza wakala wa Barabara (TANROADS)na Wakala wa Barabara Vijijini na Mjini (TARURA) kuandaa michoro ya Barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ambazo zinarahisisha usafiri kwa wananchi. Michoro hiyo inaelezwa kwam…

Nipashe
Sheria na Mahakama Madeleka Apandishwa Kizimbani Kisut…

Wakili wa Kujitegemea, Peter Madeleka, amefikishwa katika Mahakama ya Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, akikabiliwa na mashtaka matano ya kuidharau Mahakama. Madeleka amefikishwa mahakamani leo jioni mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Hassan Makube, ambapo Jamhuri imewakilishwa na Wakili wa S…

Nipashe
Uchumi wa Buluu Kongamano la 5 la kimataifa la uchu…

Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu linatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 7 hadi 9, 2026, likiwa na kaulimbiu “Kuwezesha Shughuli za Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu Afrika.” Akizungumza na waandishi wa habari, Mkuu wa Chuo cha Bahari, P…

Nipashe
Nipashe Dk.Samia kuzindua rasmi Mradi wa JN…

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, Mkoa wa Pwani. A…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa lum…

‎ ‎Wafanyabiashara tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026. ‎ ‎Meneja wa Madai ya Bi…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Mwongozo wa Serikali kurahisisha ma…

Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Ajira na Mahusiano, Rasheed Maftah, amesema Mwongozo wa Uratibu wa Mahusiano baina ya Serikali na Makundi ya Kijamii wa mwaka 2026 ni nyenzo muhimu kufanikisha utekelezaji wa dira ya mwaka 2025-2050. Maftah ameyase…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Makete yapokea Sh. bilioni 7.7 mira…

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Makete mkoani Njombe imesema imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Sh2.5 bilioni inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya hiyo. Kauli hiyo imetolewa baada ya kamati hiyo kutembelea na kuk…

Nipashe
Siasa Karoline Leavitt Afichua Kazi Yake …

WANANDOA hao wanatarajiwa kuondoka Marekani baadaye mwezi huu na kuhamia katika makazi binafsi, yasiyo rasmi ya kifalme, nje ya mji wa London. Taarifa hiyo imeripotiwa na gazeti la Daily Telegraph na The Sun.Watoto wao, Archie mwenye umri wa miaka saba na Lilibet mwenye miaka mit…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Kunenge atoa wito kwa wazazi kuwape…

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amesema yeyote atakayehusika na upotoshaji wa kampeni ya chanjo ya polio atachukuliwa hatua. Amesema chanjo hiyo ambayo itatolewa kuanzia Agost 27 hadi 30 katika mkoa wa Pwani itawahusisha watoto wenye umri chini ya miaka kumi.Kunenge aliyas…

Nipashe
Michezo Yanga Yaichapa JKT Tanzania 4-0, Ya…

Licha ya kusuasua katika michezo mitatu mfululizo, Yanga imesema inajivunia rekodi ya kumaliza mzunguko wa kwanza ikiwa haijapoteza mechi hata moja, huku pia ikiwa kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Kuu Tanzania Bara msimu huu. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 38 ikifuatiwa …

Nipashe
Elimu Iaa kuboresha mazingira ya kujifunz…

Mkutano Mkuu wa 42 Chama cha Tathmini ya Elimu Afrika (AEAA), kimemthibitisha rasmi Prof. Said Mohamed, ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), kuwa Rais mpya wa chama hicho Barani Afrika. Prof. Said, anarithi mikoba ya Rais aliyemaliza muda wake, Dk. As…

Nipashe
Siasa Utata wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Z…

ALIYEKUWA waziri wa Zambia amesemekana aliuawa katika uvamizi uliofanywa na vikosi vya usalama katika nyumba inayosemekana kuwa ya kiongozi wa upinzani Brian Mundubile, siku moja baada ya uchaguzi wa urais Zambia. Msemaji wa polisi amesema Mutotwe Kafwaya alijeruhiwa vibaya na ku…

Nipashe
Nipashe Rais Samia aridhia Dk Nchimbi kujiu…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ufafanuzi kuhusu hali ya kikatiba ya nafasi ya Makamu wa Rais baada ya aliyekuwa Makamu wa Rais Emanuel Nchimbi kuwasilisha barua ya kujiuzulu na baadaye kupoteza uanachama wa chama cha siasa. Johari amesema suala hilo limeibua h…

Nipashe
Afya na Huduma za Jamii Tanzania yaunga mkono mabadiliko ya…

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo, asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesajiliwa katika Mpango wa Huduma ya Bima ya Afya kwa Wote. Amesema ili kufikia ndoto hiyo, Serikali imeanza kuwekeza katika rasilimali watu, kuimar…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Msiba Kibaha: Polisi Wawili Wapotez…

Askari wawili wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka katika kivuko cha waenda kwa miguu (Zebra) eneo la Mailimoja, Kibaha. Tukio hilo lilitokea Agosti 25, 2026, majira ya saa moja usiku katika Barabara Kuu ya Dar es Salaam–Moro…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Serikali: benki zitapanga riba za m…

Serikali imesema haina mamlaka ya kuzipangia benki za biashara viwango vya riba za mikopo, ikieleza kuwa gharama hizo huamuliwa kwa kuzingatia hali ya soko, mfumuko wa bei, vihatarishi vya mikopo na gharama za uendeshaji wa benki. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri …

Nipashe
Nipashe Ras arusha azindua zoezi la utoaji …

ZAIDI ya watoto milioni 1.337 walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kufikiwa na Kampeni ya Chanjo ya Polio ya Matone, inayotekelezwa katika Mkoa wa Dar es Salaam. Hatua hiyo ni juhudi za serikali kupitia Wizara ya Afya, kuongeza kinga dhidi ya ugonjwa huo.Kampeni hiyo inal…

Nipashe
Nipashe CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Maka…

Bunge la Tanzania limemthibitisha Deogratius Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais mteule kwa asilimia 100, akisema dhamana aliyopewa haitapimwa kwa ujana wake, bali utii kwa Rais Samia Suluhu Hassan na uadilifu kwa Watanzania. Ndejembi, amethibitishwa na Bunge, kwa kupigiwa kura za ndiy…

Nipashe
Shughuli za Fedha na Bima Wadau ya forodha wapatiwa elimu ya …

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kutoa elimu kuhusu mabadiliko ya Sheria na Taratibu za Forodha yaliyotokana na Sheria ya Fedha ya mwaka 2026, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuwawezesha wadau wa forodha kuelewa na kutekeleza ipasavyo mabadiliko hayo. Mafunzo hayo yamefa…

Nipashe
Nipashe Reli sasa yawa kimbilio kupunguza f…

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Mamlaka ya Barabara Tanzania (TANROADS) ijenge barabara za mzunguko katika maeneo ya bandari na Bandari Kavu, huku akitaka vituo hivyo kuunganishwa na reli, ili kupunguza foleni ya malori katika jiji hilo. Chalamila ametoa …

Nipashe
Usafiri na Uhifadhi Mbarawa asisitiza matumizi ‎ya tekn…

Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameipa kongole Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa kuendelea kusimamia sekta ya usafiri wa anga kwa ufanisi na kuimarisha utoaji wa huduma kupitia mifumo ya kisasa ya kidijitali. ‎Akizungumza leo katika Kongamano la Nne la Kimata…

Nipashe
Nipashe Mtaalamu: Elimu zaidi inahitajika u…

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Afya na taasisi zake kuhakikisha dawa zinazobuniwa na kufanyiwa utafiti nchini zinapitia taratibu zote za kisayansi na kusajiliwa ili ziweze kutumika kutibu wagonjwa ndani na nje ya Tanzania. Nchemba amesema baadhi ya dawa hizo zime…

Nipashe
Nipashe Rais Samia na Makamu Wake Ndejembi …

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ameapishwa kushika wadhifa huo rasmi, siku tatu baada ya jina lake kupendekezwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Jina la Ndejembi, lilipendelezwa Agosti 26, 2026 na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), kuziba nafasi il…

Nipashe
Nipashe Wananchi wafurahishwa na elimu ya p…

Serikali imeweka mkakati wa kupunguza muda ambao meli za mafuta hutumia bandarini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza ufanisi katika upokeaji, uhifadhi na usambazaji wa bidhaa za mafuta nchini. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, anayeshughulikia Mafuta na Gesi Dk. James Matarag…

Nipashe
Michezo Bundesliga Kufunguliwa Rasmi Agosti…

NAHODHA wa England, Harry Kane, amethibitisha kwamba mazungumzo kati yake na Bayern Munich kuhusu kuongeza mkataba wake yataanza ndani ya wiki mbili zijazo. Kane, mwenye umri wa miaka 33, ameingia katika mwaka wa mwisho wa mkataba wake na mabingwa hao wa Ujerumani.Kwa sababu hiyo…

Nipashe
Nipashe Katambi awanyooshea kidole wamiliki…

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwanyang’anya silaha wamiliki wanaozionesha ovyo hadharani, akisisitiza kuwa silaha si mapambo wala nyenzo ya kujitafutia sifa. Katambi amesema baadhi ya wamiliki wa silaha wamekuwa na tabia ya kuzion…

Nipashe
Nipashe Huna SIM Card? Hakuna Tatizo! Kwetu…

Wasafiri wanaokwenda nje ya nchi sasa wanaweza kupata huduma ya intaneti bila kubadilisha laini zao za simu au kununua SIM kadi wanapowasili, kufuatia kuzinduliwa kwa jukwaa la Kwetu eSIM linalopatikana katika zaidi ya nchi 190. Huduma hiyo inawawezesha watumiaji kununua vifurush…

Nipashe
Nipashe Ruksa kukopea mali zinazohamishika,…

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Mikopo kwa Dhamana za Mali Zinazohamishika wa Mwaka 2026, unaolenga kuweka mfumo bora wa usimamizi wa mikopo inayotolewa kwa kutumia mali zinazohamishika kama dhamana. Akiwasilisha Muswada huo bu…

Nipashe
Nipashe Vifo vyafikia 469 mafuriko Nepal, T…

JUHUDI za uokoaji zinaendelea nchini Nepal na China, baada ya mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea wiki iliyopita, kusababisha vifo vya watu zaidi ya 1,000 huku wengine 4,800 wakiwa hawajulikani walipo. Aidha, mtoto wa miaka sita ameokolewa akiwa hai siku nne baad…

Nipashe
Nipashe Madereva wa Polisi Pwani wapewa maf…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia Jackline Peter, mkazi wa Mji Mdogo wa Katoro, Wilaya ya Geita, kwa tuhuma za kumshambulia kwa fimbo Rahel Jumanne, akimtuhumu kumuibia Shilingi 60,000. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Sophia Jongo, …

Nipashe
Serengeti Awards 2026 allows stakeholders to showcase contributions in conservation and tourism, with applications open until September 30.
Utalii na Ukarimu

Serengeti Awards 2026 allows stakeholders to showcase contributions in conservation and tourism, with applications open until September 30.

Nipashe
Kutoka 20 Ago 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Kuharakisha ukuaji wa biashara kwaipa tuzo Agricom Africa
Nipashe

Kuharakisha ukuaji wa biashara kwaipa tuzo Agricom Africa

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 13 zilizopita
Serikali, KPMG kuweka mkazo  mageuzi ya mfumo wa kodi
Nipashe

Serikali, KPMG kuweka mkazo mageuzi ya mfumo wa kodi

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 13 zilizopita
Mtoto wa miaka sita apatikana akiwa hai, vifo vyafikia 1,000 mafuriko Nepal
Nipashe

Mtoto wa miaka sita apatikana akiwa hai, vifo vyafikia 1,000 mafuriko Nepal

Nipashe· ITV· Saa 14 zilizopita
Kenya yakumbwa na uhaba wa maziwa
Nipashe

Kenya yakumbwa na uhaba wa maziwa

Baadhi ya wananchi katika mikoa mbalimbali nchini Kenya hususani Nairobi, wanalalamikia uhaba wa maziwa kwenye maduka mengi, wengine wakisema kwamba aina kadhaa

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 14 zilizopita
Mabasi yote sasa kuanzia, kuishia stendi ya Kange
Nipashe

Mabasi yote sasa kuanzia, kuishia stendi ya Kange

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 15 zilizopita
Uwezo kutafsiri ubunifu kuwa mitaji, ajira bado changamoto
Nipashe

Uwezo kutafsiri ubunifu kuwa mitaji, ajira bado changamoto

Nipashe· Christina Mwakangale· Saa 16 zilizopita
Rais Samia kukabidhi tuzo za wazalishaji bora viwandani kesho
Nipashe

Rais Samia kukabidhi tuzo za wazalishaji bora viwandani kesho

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 17 zilizopita
Keef D akutwa na hatia mauaji ya Tupac
Nipashe

Keef D akutwa na hatia mauaji ya Tupac

Nipashe· Moshi Lusonzo· Saa 17 zilizopita
Mtoto wa miaka miwili afanyiwa upasuaji wa moyo wa kipekee
Nipashe

Mtoto wa miaka miwili afanyiwa upasuaji wa moyo wa kipekee

Nipashe· Christina Mwakangale· Saa 18 zilizopita
Lionel Richie alazwa ICU
Nipashe

Lionel Richie alazwa ICU

Nipashe· Moshi Lusonzo· Saa 18 zilizopita
Rais Samia kushiriki sherehe uapisho Hakainde
Nipashe

Rais Samia kushiriki sherehe uapisho Hakainde

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Zambia kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Zambia, Hakainde Hichilema. Rais Samia

Nipashe· Mwandishi Wetu· Saa 19 zilizopita
Kuendesha kwa kasi, hatari  ‘inayokuna’ Wajerumani
Nipashe

Kuendesha kwa kasi, hatari ‘inayokuna’ Wajerumani

Nipashe· Christina Mwakangale· Saa 20 zilizopita
Wezi waiba jeneza, walitelekeza karibu na kanisa
Nipashe

Wezi waiba jeneza, walitelekeza karibu na kanisa

Nipashe· Mary Mosha· Saa 20 zilizopita
Katambi aagiza wanaoozionyesha silaha ovyo wapokonywe
Nipashe

Katambi aagiza wanaoozionyesha silaha ovyo wapokonywe

Nipashe· Paul Mabeja· Jana
Masoko Dar sasa kuwekwa  vituo vya kuchakata taka
Nipashe

Masoko Dar sasa kuwekwa vituo vya kuchakata taka

Nipashe· Halfan Chusi· Jana
Katambi awanyooshea kidole wamiliki wa silaha
Nipashe

Katambi awanyooshea kidole wamiliki wa silaha

Nipashe· Paul Mabeja· Jana
Bandari, SGR kubadili sura ya usafirishaji Kanda ya Ziwa
Nipashe

Bandari, SGR kubadili sura ya usafirishaji Kanda ya Ziwa

Nipashe· Neema Emmanuel· Jana
Muswada mikopo kwa mali zinazohamishika wafika bungeni
Nipashe

Muswada mikopo kwa mali zinazohamishika wafika bungeni

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Mikopo kwa Dhamana za Mali Zinazohamishika wa Mwaka 2026, unaolenga kuweka

Nipashe· Mwandishi Wetu· Jana
Mwanafunzi mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwenzake
Nipashe

Mwanafunzi mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwenzake

Nipashe· Mary Mosha· Jana
Laini moja ya simu kutumika nchi 190
Nipashe

Laini moja ya simu kutumika nchi 190

Nipashe· Mwandishi Wetu· Jana
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.