
Gundua
965 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Nipashe chini (pamoja na mengine ya Gundua).


Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh2.63 bilioni ili kusaidia kuimarisha maandalizi na utayari wa Tanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 15, 2026 na Ubalozi wa Marekani nchini Ta…

Wakuu wa Wilaya za Tabora, Upendo Wella, na Kigoma, Dk. Rashid Chuachua, wameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa usimamizi mzuri wa huduma za nishati na maji nchini. Viongozi hao walitoa pongezi hizo walipotembelea banda la EWURA katika Maonesho …

Iran imesema itaacha kufanya mashambulizi yake pale ambako mahasimu wao Marekani nawao watakapofanya hivyo, kauli inayojiri wakati Washington ikisimamisha mashambulizi yake ya anga baada ya washauri wa Rais Donald Trump kumwambia kwamba wana wasiwasi kwamba silaha zao zinaweza ku…

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha ili kuhakikisha vitongoji vyote vya Mkoa wa Mtwara vinafikishiwa huduma ya umeme. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kitongoji cha Maendeleo, iliyof…

Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa wadau mbalimbali wa michezo kupanga ratiba yake mapema ya wapi atakapokwenda kuangalia mechi hasa kipindi hiki cha mashindano makubwa ya Kombe la Dunia inayoanza leo. Kuna ambao wanasema wanapenda kuangalizia nyumbani kwakuwa mechi nyingi zitao…

Tanzania imesema itaendelea kujiimarisha katika safari ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kuhakikisha Dira Taifa ya Maendeleo 2050 inasaidia kufikisha uchumi huo katika thamani ya dola za Marekani trilioni moja kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, akili unde (AI) na uwekeza…

Chama Cha Mapindizi (CCM) kimesema kipande Cha barabara la vumbi kutoka Kilolo hadi Kidabaga chenye urefu wa km 17 kitajengwa kwa kiwango cha lami ili kuwaondolea wanakilolo adha wakati wa mvua. Hayo yamesemwa leo na Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa chama hicho, Kenani …

Viongozi mkoani Pwani wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa, Abubakar Kunenge, wamekubaliana kuweka mikakati ya kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kushirikisha kamati za ujenzi ili kuhakikisha miradi ya Serikali inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Akizungumza mjini…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa maendeleo yanahitaji gharama kubwa, hivyo wananchi wana haki na wajibu wa kuchangia maendeleo hayo kwa kulipa kodi stahiki, kwani kufanya hivyo ni kuiunga mkono Serikali katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maend…
Serikali ya Tanzania imesema imepiga hatua kubwa katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Akihitimis…

Takwimu za kitaifa za mahitaji ya damu salama kwa mwaka wa fedha 2024/25 zimeonesha kuwa Tanzania imekumbwa na upungufu wa asilimia 29 ya damu inayohitajika, kutokana na kutofikiwa kwa lengo la makusanyo ya damu nchini. Akizungumza na Nipashe Digital Juni 12, 2026 jijini Dar es S…

Mshambuliaji wa Chelsea, Estêvão atakosa Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuachwa katika orodha ya awali ya wachezaji 55 ya Kocha Mkuu wa Brazil, Carlo Ancelotti, huku Neymar akijumuishwa, kwa mujibu wa ESPN. Hali ya Estêvão katika mashindano hayo ilikuwa katika shaka kubw…

Serikali itaendelea kuwekeza katika kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini kwa kuboresha miundombinu, kuimarisha usalama wa safari za anga na kuhimiza matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uch…

Benki ya NMB imetangaza kuingia katika awamu mpya ya ukuaji baada ya kukamilisha mpango wake wa muda wa kati wa mwaka 2021 hadi 2025, uliowezesha taasisi hiyo kufikia rekodi ya faida kabla ya kodi ya zaidi ya Sh.trilioni moja. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam wakati …

Wananchi wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika kwa miradi ya kuimarisha mfumo wa usambazaji wa umeme iliyotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa gharama ya zaidi ya Shil…

Iran imesema kilichothibitika hadi sasa ni kushindwa kwa ubabe wa Washington, huku Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) likishikilia kupatiwa fursa ya kuendeleza ukaguzi kwenye vinu vya nyuklia vya Iran. Mkuu wa timu ya upatanishi ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, ameyataja…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi saba wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zinazokadiriwa kufikia zaidi ya Sh. milioni 89. Kati ya hao watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanadaiwa kufanya ubadh…

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema endapo halmashauri zitajiimarisha katika ukusanyaji wa mapato, zitasaidia kwa kiasi kikubwa Serikali kupunguza utegemezi wa mikopo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema ili kufanikisha hilo, halmashauri zinapaswa kujik…

Serikali imesema itaendelea kuthamini na kushirikiana na taasisi za kidini kutokana na mchango wake mkubwa katika kuimarisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema hayo jijini Mwanza akimwakilis…

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Jamhuri ya Korea, Noel Kaganda, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Visiwa ya Yeosu, Jong Ki Kim, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Mazungumzo…

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya, amepongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kwa utekelezaji mzuri wa mpango wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Maganya amesema ameridhis…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini Juni 19, 2026 kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania tangu aingie madarakani, inaendelea kudhihirisha uhusiano wa kindugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko, kuongeza ushindani wa bei na kuwainua wafugaji kiuchumi kupitia upatikanaji wa huduma za kifedha. Akizungumza Juni 19, 2026, katika Maonesh…

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa tuzo na vyeti kwa Shule za Msingi zinazofanya vizuri kwenye uhifadhi wa mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam. Utoaji wa tuzo hizo umefanyika wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duni…

BENKI ya NMB imepata ufadhili wa jumla ya Dola za Marekani milioni 180, sawa na takribani Sh. bilioni 468.1 za Kitanzania, kutoka taasisi za fedha za kimataifa za IFC, British International Investment na Norfund, kwa ajili ya kuongeza mikopo kwa biashara ndogo na za kati, sekta y…

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Ayoub Kibao, amewataka washiriki wa mafunzo ya ukusanyaji, uhifadhi na usimamizi wa taarifa za watu wenye ulemavu kutekeleza jukumu hilo kwa weledi na umakini ili kuiwezesha Serikali kupanga na kutekeleza kwa ufanisi huduma zinazo…

Maelfu ya Wananchi wa Mikoa mbalimbali ikiwemo Mara, Tabora, Shinyanga, Morogoro, Dar es salaam, Mwanza na Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Obhoke-Shirati wilaya ya Rorya Mkoani Mara kwaajili ya Maziko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP Richard George Abwao aliy…

Serikali imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 (sawa na shilingi bilioni 60.7) kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW), kwa ajili ya kufadhili mradi wa uboreshaji wa huduma za maji safi na usafi wa mazingira kati…

HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani ni kati ya taasisi zilizopo mkoa wa Pwani ambazo zimekuwa na mafanikio katika kutimiza majukumu yake ya kukusanya mapato ya serikali. TRA Mkoa wa Pwani inajivunia kukua kwa mapato ya serikali kutokana na usimamizi madhubuti wa sheria…

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wanaume nchini kuondoa hofu ya kupima saratani ya tezi dume, akisisitiza kuwa ugonjwa huo unaweza kutibika iwapo utagundulika mapema na mgonjwa kuanza matibabu kwa wakati. Rais Samia ametoa wito huo leo, Juni 24, 2026, wakati wa uzinduzi …

Mabaharia nchini wanatarajia kukutana mkoani Kigoma katika maadhimisho ya kimataifa yatakayolenga kutafakari utendaji na mchango wao katika sekta ya usafiri na usafirishaji, huku yakisisitiza kuchochea uchumi wa kijani kwa maendeleo ya taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Ju…

KAMPUNI za Algeria zinazojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za viwandani na kilimo zinatafuta wabia wa kufanya nazo biashara ya mazao na uwekezaji katika sekta ya viwanda nchini Tanzania. Kampuni hizo zilizovutiwa kushirikiana na Tanzania zinashiriki katika…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, yanayolenga kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zilizopo zinatatuliwa bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao. Akitoa taarif…

Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa (BMH) imewaomba waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhamasisha wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia mfuko wa matibabu ya upandikizaji wa uloto na figo unaohitaji zaidi ya Sh bilioni saba ili kuwasaidia wagonjwa wengi wanaohitaji huduma hi…

Hali mbaya ya hewa iliyoambatana na mvua kubwa ililazimisha mechi kati ya Ufaransa na Iraq iliyopigwa usiku wa kuamkia leo kusitishwa kwa muda wakati wa mapumziko kutokana na hofu ya kutokea kwa dhoruba na radi. Licha ya yote hayo, mashabiki wa Iraq walionyesha matumaini wakiamin…

Wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wameanza kikao kazi cha siku mbili jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha uratibu na ushirikiano katika maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Kikao hicho, kilichoanza Julai 23, 2026 katika Ukumbi wa…

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameipongeza Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani humo kwa kuendelea kutekeleza wajibu wao wa kulipa kodi, akisema hatua hiyo imechangia kuongezeka kwa mapato ya serikali na kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema kaulimbiu ya maad…

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi ambako amemteua Ephraim Mafuru kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), kabla ya uteuzi huo Mafuru alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). Hayo ni Kwa mujibu w…

Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi. Akizu…

WAKAZI wa Kata ya Zombo Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameishukuru serikali kwa kuwajengea daraja lenye thamani ya Sh. milioni 800 katika Mto Zombo linalowasaidia wajawazito kuepukana na adha ya kujifungilia njiani baada ya kushindwa kuvuka. Mbali na hilo pia imeelezwa kuwa dar…

Vijana 100 waliofuzu katika shindano la Vijana Uchumi Challenge wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani, kwa ajili ya mchujo wa awamu ya pili utakaowachuja washiriki hadi kufikia vijana 10 watakaoshiriki fainali za shindano hilo. Katika k…

Madai ya kutokuwepo kwa taarifa sahihi za mapato na ulipaji wa baadhi ya madeni bila kufuata utaratibu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita yameagizwa kuchunguzwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ambaye pia ameipongeza halmashauri hiyo kwa kuvuka lengo la ukusanyaj…

Ulinzi na usalama unatarajiwa kuimarishwa zaidi katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu ili kuhakikisha usalama wa wafanyabiashara, washiriki na wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kusitishwa kwa vikwazo vya mafuta na kuondolewa kwa mzingiro wa majini. Aidha, Araghchi amesema baadhi ya mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa nje ya nchi zimeachiwa, na kwamba mpango mkubwa wa Iran wa ujenzi upya wa uchumi …

Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), ambacho kwa sasa kinachangia takribani asilimia 45 ya umeme unaoingia katika Gridi ya Taifa. Akizungumza leo Juni 29, 2…

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

WANAFUNZI zaidi ya 5,000 wa shule za msingi na sekondari katika mikoa ya Dodoma, Manyara, Njombe, Tabora na Tanga, wanatajia kunufaika na mradi wa kupatiwa taulo za like zipatazo 40,000. Mpango huo unaotekelezwa kupitia mradi wa "Dignity Hamper – Keep a Girl in School", unalenga …

SERIKALI imeahidi kutoa Sh. milioni 750 kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, Kata ya Maweni, jijini Tanga. Hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi.Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Fedha, Balozi Khamis M…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba kama jukwaa la kutangaza bidhaa na huduma zao kwa kujenga ushirikiano wa kibiashara na kuvutia wawekezaji kutoka nje ya nchi. Kapinga ameyasema hayo leo baaa…

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo majengo ya Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Sur…

Katika dunia ya sasa, mafanikio ya taifa hayapimwi tena kwa ukubwa wa rasilimali zake pekee, bali pia kwa uwezo wa viongozi wake kujenga mahusiano ya kimataifa yanayozalisha matokeo chanya kwa wananchi. Diplomasia imekuwa nyenzo muhimu ya kukuza uchumi, kuvutia uwekezaji, kuimari…

Wizara ya Katiba na Sheria imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la wizara hiyo ili kupata huduma ya msaada wa kisheria bila malipo. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab K…

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, ametetea uwekezaji unaoendelea katika ujenzi wa Mji wa Michezo wa AFCON unaojengwa Fumba. Amesema mradi huo ni uwekezaji wa kimkakati unaolenga kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha michezo, utalii na uwekezaji, badala ya kuwa maandalizi ya mashi…

BAADHI ya viongozi wa chama cha Chadema mkoani Katavi, wamesema wapo tayari kwa maridhiano kwa faida ya taifa lakini hatua hiyo ifanyike baada ya mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu akiwa nje. Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa Baraza la Wazee mkoani humo, Ant…

Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kinara wa mageuzi ya kidijitali nchini baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo, katika banda la kampuni hiyo wakati…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewahamasisha wananchi kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho hayo yameendelea kuvutia idadi kubwa ya watu wanaokwenda kujifunza, kununua bidhaa na kupata huduma mb…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemtaka mkandarasi anayejenga barabara mkoani Morogoro kufuata masharti ya mkataba la sivyo utavunjwa na kampuni hiyo kupigwa marufuku kupewa kazi yoyote nchini. Mkandarasi huyo ni kampuni ya Henan Railway kutoka China anayejenga barabara ya Ifa…

Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanueli Nchimbi amesema serikali ina mpango wa kuboresha zaidi maonesho ya Biashara ya Kimatafaya Dar es Salaam(DITF), ifikapo mwaka 2050. Amesema maboresho wanayotarajia kufanya ni kuyaweka maonesho hayo yasiwe tu mahala pa kuonyesha biashara pekee, …

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuahidi kuendeleza ushirikiano katika kuwezesha biashara, uwekezaji na utawala wa kodi. Vilevile, IMF imeipongeza TRA kwa kuendelea kufanya usimamizi mzuri wa kodi na kuwezesha bi…

Jeshi la Polisi limesema hali ya usalama nchini ni shwari hadi kufikia mchana wa leo, huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kudumisha amani na utulivu. Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime…

Timu ya England imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mexico katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Licha ya kucheza pungufu baada ya beki Jarell Quansah kupewa kadi nyekundu, England ilionyesha u…

Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo wa kisasa wa biashara ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, hatua itakayowezesha biashara kufanyika kwa uwazi na ushindani kupitia Soko la Bidh…

Zaidi ya watu milioni 200 duniani, wakiwamo wanaozungumza na wasiozungumza Kiswahili, wanatarajiwa kufikiwa na matumizi ya lugha hiyo kupitia mpango wa kurusha filamu za Kiswahili katika jukwaa la kimataifa la TV5MONDE lenye makao makuu nchini Ufaransa. Akizungumza na waandishi w…

Katika tukio lenye uzito wa kihisia, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika mashambulizi ya Marekani, anatarajiwa kuzikwa leo katika mji wake wa Mashhad. Mazishi yake yamehudhuriwa na mamilioni ya Wairan na waumini kutoka nchi jirani, huku misiba mikubwa ikiwa…

Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Serikali imewataka wanasayansi na wataalamu wa afya kufanya tafiti za kina ili kuthibitisha usalama na ufanisi wa tiba asilia kabla ya kuziingiza katika mfumo rasmi wa huduma za afya. Akifungua Mkutano wa 14 wa Kisayansi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUH…

Timu nane pekee ndizo zimesalia kwenye mbio za kuwania taji la Kombe la Dunia, huku robo fainali zikitarajiwa kuanza kesho nchini Marekani. Mechi ya kwanza inayotarajiwa kuchezwa kesho ni kati ya Ufaransa dhidi ya MoroccoUfaransa imeonesha ubora mkubwa na kupewa sifa zote kuwa mi…

Zanzibar inatarajiwa kuandika ukurasa mpya katika historia ya siasa zake baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kutarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji wa Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CC…

Vijana 240 kutoka wilaya za Mtwara, Lindi, Songea na Kigoma watanufaika na mafunzo ya ufundi stadi ikiwemo umeme, upishi,maabara na upambaji kupitia mradi wa Dumisha Amani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo kwenye Chuo cha VETA Mtwara, Ofisa Mkuza Mitaala Mwandamizi wa …

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Bernadetta Ndunguru, amesema utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 toleo la mwaka 2023 unaendelea kuzaa matunda, jambo linalodhihirishwa na umahiri na ubunifu unaoon…

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kuhakikisha wanarejesha fedha hizo kwa wakati ili kuwezesha wananchi wengine kunufaika na …

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wanaendelea kukabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma katika baadhi ya sekta kutokana na upungufu wa watumishi 11,338, huku Serikali ikiahidi kuupa kipaumbele mkoa huo katika mgawanyo wa ajira mpya 45,000 zilizopata kibali cha kuajiriwa. Taarifa…

Wadau wa sekta ya habari wameeleza kuwa ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kumekuwa na mabadiliko makubwa yaliyorejesha heshima ya taaluma ya uandishi wa habari, kuongeza uwajibikaji na kupunguza uholela uliokuwa ukijitokeza k…

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Siasa na Mahusiano ya Kimataifa wa CCM, Rabia Hamid, amefanya ziara leo 2 Julai katika Mikoa ya Manyara na Kilimanjaro. Akiwa mkoani Manyara, Rabia alipokelewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Ndugu Petter Toima, kabla ya kushiriki k…

VIJANA 60 wamehitimu mafunzo ya fani mbalimbali, ili kuwawezesha kufanya kazi kwa viwango vya kisasa, kujiajiri na hata kuajiri wengine Mafunzo hayo yanatajwa ni hitaji kwa sasa hasa katika ujuzi wa kazi nchini, hivyo muhimu kuwekeza zaidi katika elimu na mafunzo ya ufundi stadi.…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya jamii nchini kwa kuwahamasisha wananchi waliojiajiri kujiunga na Hifadhi Skimu, huku ikiwahimiza waajiri wenye malimbikizo ya michango kunufaika na msamaha wa tozo uliotolewa na m…

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Serikali imewaonya wafanyabiashara wanaouza pembejeo zisizokidhi viwango (feki) na wanaojihusisha na utoroshaji wa mbolea ya ruzuku kwenda nchi jirani, ikisema vitendo hivyo ni hujuma kwa taifa na wanaofanya hivyo hawana tofauti na wauaji kutokana na athari zake kwa uzalishaji wa…

Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ikiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Dk. Emanuel Nuwas, na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Yeconia Deles wametembelea banda la Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biash…

MAMLAKA ya Hifadhi eneo la Ngorongoro (NCAA) imesema inajivunia urithi wa utamaduni wa makabila manne ya Wahadzabe, Wairaq, Wamasai na Wanatoga ambao wanachochea utalii katika maeneo hayo. Akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara (sabasaba), …

Wabunge wa Majimbo ya Vunjo na Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, wamechukua hatua ya moja kwa moja kukabiliana na changamoto ya ubovu wa barabara baada ya kununua mitambo miwili ya kisasa ya kutengeneza barabara hatua inayotarajiwa kuboresha usafiri, usafirishaji na shughuli za…

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 (Sh. trilioni 1.2) kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini ya programu mbili za kifedha zinazotekelezwa nchini. Programu hizo ni ‘Extended Credit Facility’ (ECF), u…

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote na changamoto ya wizi wa miundombinu ya umeme, ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali ya mikoa wanayoisimamia. T…

Sekta ya anga nchini imeendelea kutangua wigo wake katika kuimarisha huduma kimataifa baada ya kuongeza miruko ya kwenda nchi mbalimbali ikilenga kuiunganisha Tanzania na mataifa mengine duniani kibiashara, elimu, utalii na afya. Imeelezwa kuwa abiria wengi wanaotumia usafiri wa …

Kocha wa Hispania, Luis de la Fuente, amesema anajivunia mafanikio ya kikosi chake baada ya kutwaa taji la pili la Kombe la Dunia kwa kuichapa Argentina katika mchezo wa fainali. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo huo, De la Fuente alisema mafanikio hayo yametokan…

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewahimiza wazabuni na wadau wa ununuzi wa umma kutumia Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) kuwasilisha malalamiko na rufaa zao PPAA pindi wanapoona hawakutendew…

Tanzania imeitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kuendelea kujenga mfumo wa kimataifa wa haki miliki unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya akili mnemba (Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhamishaji wa teknolojia, kuje…

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.Juma Homera, amesema wamejipanga kutumia sheria kushughulika na wale wote watakaovunja sheria za nchi kwa namna yoyote ile. Dk.Homera amesema hayo leo kwenye banda la Wizara hiyo kwenye maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DITF),…

Rais wa Marekani Donald Trump amebariki uteuzi wa Darline Graham Nordone, dada wa aliyekuwa Seneta wa Marekani Lindsey Graham, kuchukua nafasi yake baada ya mwanasiasa huyo wa jimbo la South Carolina kufariki dunia Julai 11, 2026. Gavana wa South Carolina, Henry McMaster, alitang…

Matumaini ya dunia kuanza kurejea katika utulivu wa upatikanaji wa mafuta na kushuka kwa bei zake yanaelekea kuyeyuka baada ya kuanza upya kwa mashambulizi makali kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, huku bei ya mafuta ghafi aina ya Brent ikipanda hadi zaidi ya dola 84 kwa p…

Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha wananchi wanaondokana na matumizi ya majiko ya mkaa, wadau wa nishati safi wamezindua kitabu maalum cha mwongozo wa matumizi salama ya gesi ya kupikia (LPG). Uzinduzi wa kitabu hicho umefanyika jana jijini Dar es Salaam kweny…

SAA nne asubuhi mwandishi wa habari hii, anawaona Mamalishe na Babalishe wa Mkuranga, mkoani Pwani wanatumia mkaa kuandaa chakula. Anaposogea kuangalia mkaa wa aina gani, anagundua si ule unaotokana na kuni, jambo linalompa kazi ya kuanza kujua umetokana na nini.Katika uchunguzi …

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imeahidi kuendelea kurahisisha taratibu za biashara za mipakani kupitia Mfumo Rahisi wa Biashara hatua inayolenga kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda huo na kupunguza gha…

Waziri wa Madini, Antony Mavunde, amewataka wakandarasi wanaojenga maabara mpya ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa. Amesema serikali itaendelea kuwekeza katika mi…

NCHI wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri le…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye ti…

Serikali imesema itatumia uzoefu na mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) ili kuboresha na kueneza huduma hizo nchini kwa kuwa umeweka msingi imara wa utoaji wa huduma endelevu na zinazostahimili athari za mabadiliko ya tabian…

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

Utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa chanzo cha maji katika Kata ya Mawenzi, Manispaa ya Moshi, unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji na kunufaisha wakazi zaidi ya 42,000 wa kata za Kaloleni, Njoro na Miembe, huku viongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 wakisisitiza kukamilishwa…

Mwenge wa Uhuru 2026 umeingia siku ya tano ya mbio zake mkoani Singida ambapo unatarajiwa kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 9.683 katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida. Mkuu wa Wilaya ya Singida, Godwin Gondwe…

Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) ya Mkoa wa Iringa yamebeba ujumbe mmoja mkubwa kwa wakulima na wafugaji wakati wa kilimo cha kujikimu unafikia mwisho, sasa ni wakati wa kuwekeza katika kilimo cha biashara kinachozingatia teknolojia, masoko na uongezaji thamani wa m…

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Daniel Pancrasi, ameutaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuendelea kuwekeza katika matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuimarisha uhifadhi wa misitu, kuongeza ufanisi wa utoaji huduma na kuvutia uwekezaji katika sekta ya m…

Mapambano dhidi ya uhalifu mkubwa mkoani Tabora yamechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kuwahukumu watu sita kunyongwa hadi kufa kwa makosa ya mauaji, huku Jeshi la Polisi likisema hukumu hizo zinaakisi mafanikio ya uchunguzi na usimamizi wa kesi za jinai. Kama…

Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara. Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla i…

Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Jumatatu, Julai 13, 2026, na inatarajiwa ku…

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Hosamu Juma, mkazi wa mtaa wa Sindano, Mwananyamala kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo na kuwafukia karibu na eneo la makazi yao. Kwa mujibu wa taarifa ya Kaimu Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum y…

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha. M…

Jukwaa la Win & Learn Academic Event la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) limeendelea kuwa chachu ya kuibua watafiti, wabunifu na viongozi wa sekta ya afya, huku likitimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006. Jukwaa hilo, linaloandaliwa na wanafu…

Rais wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuhudhuria fainali ya Kombe la Dunia kati ya Hispania na Argentina itakayochezwa leo Jumapili. Katibu wa Habari wa Ikulu, Karoline Leavitt, alisema huo utakuwa mwonekano wa kwanza wa Trump kwenye mashindano hayo. Aliongeza kuwa uwepo wa …

Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma, yenye urefu wa kilomita 506. Mradi huo, utagharimu Sh6.23 trilioni kwa kipande cha Tabora-Kigoma, kipande cha Uvinza-Msongati kikigharimu Sh3.17 trilioni na vyote…

KOCHA wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wiki ijayo huku akifanya mazungumzo na Shirikisho la Soka la Marekani kwa uwezekano wa kuongeza mkataba wake hadi Kombe la Dunia 2030. Akizungumza na redio ya Cadena Cope nchi…

KLABU ya Yanga juzi usiku iliwatambulisha wachezaji watatu wa kigeni kwa mpigo wakitokea mataifa tofauti ambao watakuwa sehemu ya kikosi kwa msimu ujao wa mashindano. Wachezaji hao ni Cheikh Ibrahim Toure, Houssein Zakouani na Albert Kangwanda, ambao wanaungana na wachezaji watan…

KLABU ya Azam FC imechafukwa, kwani juzi usiku imemtambulisha beki wa kati, Lupini Dieumerci akitokea AS Maniema ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Azam imemtambulisha beki huyo siku mbili tu baada ya kumleta beki mwingine wa kati, raia wa Ubelgiji, Henri Stanic kutoka Stellenbo…

Mama mmoja alietambulika kwa jina la Dayana Patino ameokolewa kutoka chini ya vifusi vya nyumba yake iliyobomolewa nchini Venezuela akiwa na mtoto wake wa siku 18, huku akieleza jinsi kichanga hicho kilivyomsaidia kuendelea kuishi. Dayana amesema mtoto wake Juan David alimpa hama…

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetoa mafunzo ya utayari wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa wahudumu wa afya 104 wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mkufunzi kutoka MSF, Oveness Isojic, amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza uwezo wa w…

Msimu mpya wa mwaka 2026/2027 utaanza rasmi Agosti 12, mwaka huu kwa mechi ya Ngao ya Jamii. Mechi hiyo ya Ngao ya Jamii itawahusisha vigogo wa Kariakoo, Simba na Yanga.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia, amesema msimu mpya wa Ligi Kuu Bara utaanza rasmi…

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Swahiba Mndeme, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kutumia lugha ya Kiswahili kama fursa ya kiuchumi, akisema lugha hiyo imeendelea kuenea na kutumika katika mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahili …

Zanzibar imefungua ukurasa mpya katika historia ya usafiri wa umma baada ya kuzindua rasmi huduma ya mabasi yanayotumia nishati ya umeme, hatua inayotarajiwa kubadilisha sura ya usafiri visiwani humo na kuiweka Zanzibar katika ramani ya matumizi ya teknolojia safi barani Afrika. …

XABI Alonso Amesema 'kovu' alilopata kutokana na muda wake mfupi Real Madrid limepona, na kumruhusu kuzingatia kikamilifu kuipeleka Chelsea katika msimu mpya wa Ligi Kuu England. Raia huyo wa Hispania alichukua usukani huko Bernabéu baada ya kipindi kizuri sana kule Bayer Leverku…

Majonzi yamegubika Kijiji cha Chemchem, Kata ya Arusha Chini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya watu watano wa familia moja kufariki dunia kufuatia ajali ya mtumbwi katika Bwawa la Nyumba ya Mungu. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jere…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa ubunifu wa kununua mitambo ya ujenzi na matengenezo ya barabara, akisema hatua hiyo itasaidia kuimarisha miun…

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesema ongezeko la uzalishaji wa mazao halitakuwa na manufaa kwa nchi endapo bidhaa hizo hazitapata masoko na kushindwa kukidhi viwango vinavyohitajika katika biashara ya ndani na kimataifa. Akizungumza alipotembelea Maonesho ya 33 ya K…

CHELSEA inavutiwa kumsajili mlinzi wa England, John Stones, kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Manchester City, kwa mujibu wa ESPN. Timu hiyo ya magharibi mwa London imejiunga na Inter Milan katika kuwania saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32, ambaye amekuwa mchezaj…

Serikali imeanza mpango wa kujenga soko la kisasa la kimataifa la nafaka katika eneo la Lokolova, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hatua inayotarajiwa kuongeza ushindani wa bei za mazao. Pia imeelezwa kuwa hatua hiyo itaondoa unyonyaji kwa wakulima na kuifanya Kilimanjaro kuw…

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametangaza msako mkali dhidi ya madanguro na vitendo vya ukiukwaji wa maadili, akisisitiza kuwa Serikali haitamvumilia mtu yeyote anayehusika na biashara hizo au kuwatumia watoto katika vitendo vya unyanyasaji. Akizungumza na wananchi jiji…

JESHI la Polisi Mkoa wa Ruvuma, kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani na Kitengo cha Polisi Jamii, limetembela Hospitali Mkoa wa Ruvuma na kukabidhi mahitaji mbalimbali kwa wazazi waliolazwa. Hatua hiyo ni sehemu ya kuendeleza kutoa matendo ya huruma na kuimarisha mshikamano kat…

Roberto Mancini amerejea kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia, miaka minne baada ya kuondoka kwenye nafasi hiyo. Rais wa Shirikisho la Soka la Italia (FIGC), Giovanni Malagò, alitangaza rasmi uteuzi huo jana, akisema Mancini ndiye chaguo bora zaidi kwa wakati huu."Muda ulik…

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Zuchu amevunja rekodi kwa kutembelewa hospitali na idadi kubwa ya watu mashuhuri nchini baada ya kujifungua mtoto wake na Nasib Abdul baarufu kama Diamond Platnumz. Zuchu alijifungua mtoto wa kike Agosti 2, Jumapili ya wiki iliyopita na kusababisha wat…

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, amesema matumizi ya nishati safi ua kupikia inapunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa. Mgalu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Nishati na Madini ameyasema hayo leo ka…

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko katika baadhi ya nafasi zake za juu za uongozi wa kitaifa, hatua inayotafsiriwa kama sehemu ya kujiimarisha na kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu wa chama wa mwaka 2027. Akizungumziamabadiliko hayo leo visiwani Zanzibar, Katibu wa Idar…

BARCELONA lazima watafute fedha kwa kuuza wachezaji muhimu kama vile, Ferran Torres, Jules Koundé au hata Raphinha ili kuwekeza kwa usajili wa wachezaji wapya, kocha Mkuu, Hansi Flick ameliomba hilo kipindi cha majira ya joto, kwa mujibu wa ESPN. Barça ipo kwenye nafasi ya kushin…

KOCHA wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi, amesema wazi kuwa mchezaji yeyote ambaye hafurahii kubaki katika klabu hiyo anapaswa kutafuta timu nyingine, akisisitiza kuwa anataka kuwa na kikosi chenye wachezaji wenye ari na fahari ya kuivaa jezi ya Spurs. De Zerbi alitoa kauli h…

Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina mamlaka kuhusu wananchi wala mfumo wa sheria wa nchi hiyo. Rubio amesema Serikali ya Marekani imeanzisha kampeni ya kitaifa inayoshi…

WAZIRI Mkuu Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha, ili malengo yaliyokusudiwa yaweze kuleta matokeo yanayopimika. Aidha, amesisitiza kuwa kila shilingi inayowek…

BONDIA wa uzito wa juu duniani kutoka England, Anthony Joshua, alionesha ustahimilivu wa kipekee baada ya kuangushwa mara mbili kabla ya kurejea kwa nguvu na kumchapa Kristian Prenga kwa TKO katika raundi ya pili kwenye pambano lake la kurejea lililofanyika Jeddah, nchini Saudi A…

MABINGWA wa Ligi Kuu England, Arsenal wamefikia makubaliano na Newcastle United ya kumsajili kiungo na nahodha wa klabu hiyo, Bruno Guimarães, kwa ada ya pauni milioni 75. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Guimarães amepewa ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya kabl…

LICHA ya kulazimishwa suluhu dhidi ya Mogadishu City Club ya Somalia, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker amesema ana imani kikosi chake kitatwaa ubingwa wa Kombe la Kagame linaloendelea nchini Rwanda. Akizungumza mara baada ya mchezo huo wa Kundi B uliochezwa, Uwanja wa Kigali Pel…

Tanzania imesisitiza mbele ya Kamati ya Urithi wa Dunia ya UNESCO kuwa mpango wa wananchi kuhama kwa hiari kutoka Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro unalenga kulinda utu, haki za binadamu na wakati huo huo kuhakikisha uendelevu wa uhifadhi. Kauli hiyo imetolewa katika kikao cha 48 cha…

Wadau wa mchezo wa kuogelea Tanzania wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kiwango cha kimataifa kupitia programu ya wiki tatu iliyolenga kukuza vipaji vya waogeleaji vijana, kuimarisha uwezo wa makocha wazawa pamoja na kuwaelimisha wazazi kuhusu namna bora ya kuwaunga mkono wanam…

Msomaji wangu, tunaendelea na mada zetu za Maisha Ndivyo Yalivyo tukiwamulika wakwe zetu. Lakini kabla ya yote, hebu kwanza nikumegee umuhimu wa mke, aina za wake na tabia zao. Pengine mtu atajiuliza mke ni mtu gani? Ni mwanamke aliyeolewa. Leo kuna aina mbalimbali ya wanawake wa…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma uko kwenye hatua za mwisho za utekelezaji wake, huku ujenzi ukiwa umekamilika kwa asilimia 94 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. …

Nchi 14 zinatarajiwa kushiriki katika Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nanenane 2026 yanayofanyika jijini Dodoma, huku washiriki 24 wa kimataifa wakitarajiwa kuonesha bidhaa, teknolojia na huduma mbalimbali zinazolenga kukuza sekta za kilimo, mifugo na uvuvi. Maonesho hayo amb…

VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameahirisha mpango wa kupanua mashambulizi dhidi ya Iran. Hiyo inatokea, huku mjadala ukishika kasi jijini Washington kuhusu kiwango cha akiba ya makombora ya kuzuia mashambulizi ya anga na risasi za m…

Kila siku anapopita katika maeneo ya Kata ya Konde, Tarafa ya Matombo, Inspekta Edith Msafiri wa Jeshi la Polisi, alikuwa akikutana na jambo moja lililomsumbua moyoni, watoto wa Shule ya Msingi Matombo walioonekana kusoma wakiwa wamekaa chini shuleni kwa sababu ya ukosefu wa mada…

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Hukumu hiyo iliyotolewa Julai 22, 2026 na Hakimu Mkazi Azizi Khamis, imekuja baa…

KESI ya Jinai inayomkabili Mwanamziki na Rapa maarufu wa Marekani Sean John Combs maarufu kama P-Diddy inatarajiwa kusikilizwa Manhattan mjini New York Marekani, Mei 5, 2025. Tarehe hiyo imepangwa jana Alhamis Oktoba 10, 2024 na Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Marekani Arun Subrama…

WAKATI Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Bakari Shime, amewaomba radhi kwa kikosi chake kushindwa kufikia malengo, ameahidi watarejea wakiwa imara zaidi katika fainali zijazo za Kombe la Mataifa Afrika (WAFCON). Twiga Stars imemaliza katika nafasi ya tatu huk…

KATIKA bara la Afrika, si rahisi kumpata mwanamke ambaye ameacha alama kwenye nyanja mbalimbali kwa wakati mmoja. Lakini, kwa Winifred au maarufu "Winnie" Byanyima, hilo kwake limewezekana. Yeye ni msomi Mhandisi wa Anga, sasa aking’ara ng’ambo ya pili kwenye diplomasia, mwanasia…

MANCHESTER City imethibitisha kuwa kiungo wake tegemeo, Rodri, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mgongo baada ya kusumbuliwa na maumivu kwa mud ana atakuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa. Klabu hiyo ilieleza kuwa Rodri alifanyiwa upasuaji huo Jumatatu na sasa ataanza kipindi kifupi cha…

Savinho yuko tayari kuondoka Manchester City katika dirisha hili la usajili huku akivutiwa na uwezekano wa kujiunga na Tottenham Hotspur, kwa mujibu wa ESPN. Nyota huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 22 ni mmoja wa malengo makuu ya kocha wa Tottenham, Roberto De Zerbi, na Manc Ci…

MAKAMU wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anataka suala la katiba mpya litekelezwe. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dk Nchimbi amesema suala la katiba mpya liliibuka hata katika mchakato wa kuandaa ilani ya uchaguzi ya CCM katika uchaguzi ulio…

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendeleza maridhiano ya kisiasa nchini kuelekea hatua za maboresho ya Katiba kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi. Katika kuyatimiza hayo, ameahidi kuendeleza majadiliano na vyama vya siasa ili kujenga mwafaka kuhusu masua…

Shirikisho la vyama vya soka Ulaya, UEFA, pamoja na Waziri Mkuu wa England, Andy Burnham wamekosoa vikali mpango wa FIFA wa kuruhusu uwekezaji kutoka sekta binafsi katika mashindano yake, ikiwemo Kombe la Dunia. FIFA imetangaza kuwa inapanga kuongeza fedha za maendeleo ya soka du…

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Kandahari na malori mawili eneo la Makuyuni, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha. Ajali hiyo ilitokea usiku wa Julai 30, 2026, wakati basi lenye namba T 732 DRL, lililokuwa likitoka K…

Mahakama ya Rufani imekataa ombi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, la kuitaka serikali imlipe fidia kwa madai kuwa maombi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) yalichelewesha kwa makusudi mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili na kumfanya aendelee kushikiliwa mahabusu kwa muda mr…

MKOA wa Manyara unatarajia kukusanya Sh. bil. 1.5 katika mbio za hisani Manyara Tanzanite Marathon, ili kusaidia kununua vifaatiba na kujenga jengo la watoto njiti kuokoa maisha yao. Akisoma taarifa ya maandalizi ya mbio hizo, Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Andrew Method, amesema m…

Huduma za afya ya mama na mtoto katika ngazi ya Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa zimeendelea kuimarika ikiwa ni pamoja na kuwekeza katika ununuzi wa vifaa tiba na kutoa mafunzo kwa watoa huduma ikiwemo madaktari na wauguzi. Kauli hiyo imetolewa Julai 22,2026 na Waziri wa Nchi Ofisi ya…

Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba ameipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kusogeza huduma za kifedha karibu na wananchi kupitia matumizi ya teknolojia na mkakati wa Rural Banking, akisema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara na kupunguza gharama za miamala ya kifedha.…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo kat…

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa hatadhari kwa wananchi kutokubali akaunti zao za benki au huduma za fedha, kutumiwa vibaya kwa kupokea au kupitisha fedha ambazo hawajui zimetoka wapi, wakisisitizwa kwamba kufanya hivyo kunaweza kuwahusisha na vitendo vya utakatishaji fedha. K…

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Singida, Dk. Fatuma Mganga, ameipongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kubuni teknolojia na bidhaa zinazolenga kuongeza tija kwa wakulima na wafugaji nchini. Dk Mganga ametoa pongezi hizo leo, tarehe 4 Agasti, 2026 alipotembelea ba…

Tanzania inatarajiwa kunufaika na fursa mpya za uwekezaji na maendeleo ya miundombinu baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 pamoja na Jukwaa la Miundombinu Afrika. Akizungumza na waandishi wa habari leo mkoani Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, B…

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua rasmi kampeni mpya ya "Zaidi ya Mtandao", ikisisitiza dhamira yake ya kutumia teknolojia kuleta fursa zaidi za kiuchumi na kijamii kwa Watanzania, badala ya kutoa huduma za mawasiliano pekee. Uzinduzi wa kampeni hiyo ulifanyika…

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utafiti na majaribio ya kutumia panya buku kubaini nyara za serikali katika juhudi za kukabiliana na ujangili nchini. Makamu Mkuu wa SUA, Prof. Raphael Chibunda, amesema hayo leo wakati Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, alipotembelea b…

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Suleiman Misango, ameshangazwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa. Ameyasema hayo, Agosti 4, 2026 wakati akito…

WAKULIMA nchini wanatarajiwa kuongeza uzalishaji, kupata mavuno yenye ubora na kuuza mazao yao katika masoko ya uhakika baada ya Kampuni ya RIJK ZWAAN Tanzania kuimarisha mpango wa kuwapatia mbegu bora za mboga, mafunzo ya kilimo cha kisasa na ushauri wa kitaalamu. Hatua hiyo ina…

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wa kitaalamu hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Mkuu wa JKT, …

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kipimo kikuu cha viongozi Afrika si idadi ya matamko yanayotolewa, bali ni uwezo wa kuleta matokeo yanayoboresha maisha ya wananchi kupitia utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uwekezaji wenye tija. Akizungumza leo Agosti 5, 2026 katika ufunguzi …

Mwezi Agosti 2026, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta, ambapo kwa Dar es Salaam bei ya Petroli (PMS) imewekwa kuwa TSh 3,898 kwa lita, Dizeli (AGO) TSh 3,978 kwa lita, na Mafuta ya Taa (IK) TSh 4,003 kwa lita. Hii ni sawa na pun…

Zaidi ya robo ya matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayoripotiwa katika Mkoa wa Iringa yanahusishwa na baadhi ya wazazi kushindwa kutimiza wajibu wao wa malezi, huku watoto wa kiume wakitajwa kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa. Wataalamu wanasema hali hiyo inachangiwa na baad…

Wanafunzi 573 kutoka shule za msingi na sekondari katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani wamebainika kutoripoti shuleni baada ya kufunguliwa kwa shule kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ujauzito wa utotoni, hali duni ya kiuchumi katika familia na kukosa mahitaji ya msingi. Kam…

MSHAMBULIAJI nyota wa Misri, Mohamed Salah, tayari amekamilisha dili la kujiunga na klabu ya Trabzonspor baada ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita. Klabu hiyo ya Uturuki imethibitisha kuwa mazungumzo yanaendelea na nyota huyo ambaye anatarajiwa kutua Istanbul kabla …

Wakulima na wananchi wanaotembelea Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane 2026, wamepewa fursa ya kujifunza mambo manne muhimu yanayoweza kubadili namna ya kufanya kilimo, ikiwemo matumizi ya teknolojia, upatikanaji wa masoko, huduma za kitaalamu na mikopo kwa ajili ya kuongeza…

MWAKA 2025, mwezi Mei, akaunti ya kwenye wa mamlaka ya usalama iliripotiwa kudukuliwa, hata kuchukuliwa, hata kuchukuliwa hatua za usalama wake. Si muda mrefu nako hivi karibuni nchini Kenya, kukasika, wadukuzi kuvamia tovuti rasmi ya Rais nakubadilisha ukurasa wake mkuu kwa ujum…

Mfumo wa kufuatilia, kudhibiti na kukusanya taarifa za mafuta yanayoingia nchini kwa wakati halisi (Supervisory Control and Data Acquisition - SCADA) umeendelea kuwa nyenzo muhimu katika kuimarisha usimamizi wa mafuta nchini kwa kuongeza uwazi, usahihi wa taarifa na ufanisi katik…

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, amebainisha hatua mpya za kudhibiti migogoro ya wakulima na wafugaji wilayani humo, akisisitiza kuwa kuanzia sasa hakuna mifugo itakayohamishwa kutoka kijiji kimoja kwenda kingine bila kibali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Imeelezwa kuwa …

Wakurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wameungana na watumishi wa Mfuko kutoa huduma kwa wanachama na wananchi wanaotembelea banda la PSSSF katika Maonesho ya Kilimo na Uvuvi (Nanenane) yanayoendelea kitaifa katika Viwanja vya Dkt. John Malecela, N…

Serikali imeweka mikakati mipya ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu na kuziba mianya inayoweza kutumika katika utakatishaji wa fedha haramu kwa kuanzisha utaratibu wa lazima wa matumizi ya mifumo ya malipo ya kidijitali katika miamala mbalimbali nchini. Hatua hiyo imewekwa kup…

ALHAMISI wiki iliyopita, kulikuwapo makala yenye mazungumzo maalum na tabibu bingwa wa watoto na mtaalam wa unyonyeshaji, Prof. Mariam Noorani. Keshokutwa ikiwa wiki ya unyoyeshaji kimataifa inaanza, ipo nadharia inayogusa namna mtoto anatumia maziwa. Inatajwa umuhimu katika saa …

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), umewataka vijana kurasimisha biashara ili kuongeza thamani ya shughuli zao za kilimo na ufugaji, hatua itakayowawezesha kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi. Wito huo umetolewa kwa vijana wanaoshiriki mpango wa Kujenga …

Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetangaza kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa kielektroniki wa kurahisisha shughuli za uingizaji na usafirishaji wa bidhaa kuanzia Agosti 1, 2026. Mfumo huo umeunganishwa na Tanzania Electronic Single Window (TANESW) kwa lengo la kuo…

Madiwani Manispaa ya Kibaha wamepata fursa ya kujifunza shughuli na mbinu mbalimbali za kilimo hususan teknolojia na njia za kisasa zinazolenga kuongeza tija katika kilimo. Wamepata elimu hiyo walipotembelea Banda la Manispaa ya Kibaha lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K…

Makamu wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini katika kutoa huduma za elimu na afya, akisema mchango wao ni wa kipekee katika ujenzi wa taifa. Nchimbi ameyasema hayo leo Agosti 8,2026 aliposhiriki adhimisho la misa takatifu ya sh…

Wananchi wa Kijiji cha Kyamyorwa Wilayani Muleba Mkoani Kagera wameiomba serikali kubuni mbinu za kuwapunguza wanyamapori aina ya nyani katika eneo lao kutokana na kugeuka kero na kusababishia adha mbalimbali ikiwemo kuiba vyakula majumbani. Ombi hilo limetolewa na Peter Reekiza …
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

Jinsi vyama vya ushirika Tanzania vinavyobadili maisha, kukuza ustawi

Wakulima wapewa mbinu kukabiliana na Sumukuvu

Madiwani Manispaa wajifunza teknolojia mpya kilimo cha mjini

Wafugaji 700,000 kunufaika na mageuzi tasnia ya maziwa
Wafugaji zaidi ya 700,000 kutoka kata 140,000 nchini wanatarajiwa kunufaika na mradi wa miaka 10 wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabianchi (C-SD

Bil 1.15/- zawezesha wakulima Geita kuondokana na utegemezi wa mvua

Mradi wa EACOP wachochea ajira kwa wananchi

Waziri Sangu azitaka PSSSF, NSSF, WCF na OSHA kuongeza matumizi ya TEHAMA

Aliyebuni mashine ya umwagiliaji kupawa hati miliki

Makala awataka wakulima kutumia teknolojia kuongeza tija na kipato

Waiomba serikali kuruhusu biashara ya nyani Muleba

ACT Wazalendo yatoa neno ume ya rais, yataka uchunguzi wa kimataifa
Chama cha ACT Wazalendo kimepinga uamuzi wa Serikali kuunda Tume ya Rais ya kuchunguza matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikisema

Baba wa Messi afariki dunia

"Kukamilika daraja la Nyameni kutaondolea adha wananchi"

Kamishna feki wa polisi akamatwa na vyeti na CV za waliotapeliwa

Bima ya Afya yasisitizwa kwa wananchi kuepuka kuuza mali wanapougua

Nchimbi: Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini kuhudumia wananchi

Kaya 252 vitongoji vya Kihongwe na Mizanza kufikishiwa umeme

TVLA: Wafugaji pelekeni sampuli maabara kabla ya kutibu mifugo
Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) imewahimiza wafugaji nchini kupeleka sampuli za mifugo katika vituo vyake vya kanda kwa ajili ya uchunguzi wa ma

Wanafunzi wa teknolojia Tanzania waahidiwa nafasi maalum Belarus

Kikwete ataka maonesho ya kilimo kuboreshwa
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
Retention: 70% repeat business.
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.