
Gundua
658 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Nipashe chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola

Siasa
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

Uchumi
Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…
Zilongwa mbali, zitendwa mbali.” Kauli hii maarufu ukiisikia, bila shaka unajua uko mkoani Pwani, mkoa unaokusanya makabila mbalimbali yakiwemo Wazaramo, Wakwere, Wangindo, Wandengereko na Wamatumbi. Kwa miaka ya nyuma, wengi walikuwa na mtazamo kwamba mtu akitoka Pwani anatoka k…

Michezo
Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAI…
Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa wadau mbalimbali wa michezo kupanga ratiba yake mapema ya wapi atakapokwenda kuangalia mechi hasa kipindi hiki cha mashindano makubwa ya Kombe la Dunia inayoanza leo. Kuna ambao wanasema wanapenda kuangalizia nyumbani kwakuwa mechi nyingi zitao…

Uchumi
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
Tanzania imesema itaendelea kujiimarisha katika safari ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kuhakikisha Dira Taifa ya Maendeleo 2050 inasaidia kufikisha uchumi huo katika thamani ya dola za Marekani trilioni moja kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, akili unde (AI) na uwekeza…

Ujenzi na Miundombinu
Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…
Chama Cha Mapindizi (CCM) kimesema kipande Cha barabara la vumbi kutoka Kilolo hadi Kidabaga chenye urefu wa km 17 kitajengwa kwa kiwango cha lami ili kuwaondolea wanakilolo adha wakati wa mvua. Hayo yamesemwa leo na Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa chama hicho, Kenani …

Utawala wa Umma na Ulinzi
Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…
Viongozi mkoani Pwani wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa, Abubakar Kunenge, wamekubaliana kuweka mikakati ya kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kushirikisha kamati za ujenzi ili kuhakikisha miradi ya Serikali inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Akizungumza mjini…

Siasa
Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa maendeleo yanahitaji gharama kubwa, hivyo wananchi wana haki na wajibu wa kuchangia maendeleo hayo kwa kulipa kodi stahiki, kwani kufanya hivyo ni kuiunga mkono Serikali katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maend…
Haki za Binadamu
Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…
Serikali ya Tanzania imesema imepiga hatua kubwa katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Akihitimis…

Afya na Huduma za Jamii
Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…
Takwimu za kitaifa za mahitaji ya damu salama kwa mwaka wa fedha 2024/25 zimeonesha kuwa Tanzania imekumbwa na upungufu wa asilimia 29 ya damu inayohitajika, kutokana na kutofikiwa kwa lengo la makusanyo ya damu nchini. Akizungumza na Nipashe Digital Juni 12, 2026 jijini Dar es S…

Usafiri na Uhifadhi
Jeshi la magereza lashiriki maadhim…
Serikali itaendelea kuwekeza katika kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini kwa kuboresha miundombinu, kuimarisha usalama wa safari za anga na kuhimiza matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uch…

Shughuli za Fedha na Bima
NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…
Benki ya NMB imetangaza kuingia katika awamu mpya ya ukuaji baada ya kukamilisha mpango wake wa muda wa kati wa mwaka 2021 hadi 2025, uliowezesha taasisi hiyo kufikia rekodi ya faida kabla ya kodi ya zaidi ya Sh.trilioni moja. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam wakati …

Nipashe
TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…
Wananchi wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika kwa miradi ya kuimarisha mfumo wa usambazaji wa umeme iliyotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa gharama ya zaidi ya Shil…

Kimataifa
Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…
Iran imesema kilichothibitika hadi sasa ni kushindwa kwa ubabe wa Washington, huku Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) likishikilia kupatiwa fursa ya kuendeleza ukaguzi kwenye vinu vya nyuklia vya Iran. Mkuu wa timu ya upatanishi ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, ameyataja…

Nipashe
TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi saba wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zinazokadiriwa kufikia zaidi ya Sh. milioni 89. Kati ya hao watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanadaiwa kufanya ubadh…

Shughuli za Fedha na Bima
Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema endapo halmashauri zitajiimarisha katika ukusanyaji wa mapato, zitasaidia kwa kiasi kikubwa Serikali kupunguza utegemezi wa mikopo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema ili kufanikisha hilo, halmashauri zinapaswa kujik…

Utawala wa Umma na Ulinzi
Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…
Serikali imesema itaendelea kuthamini na kushirikiana na taasisi za kidini kutokana na mchango wake mkubwa katika kuimarisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema hayo jijini Mwanza akimwakilis…

Nipashe
Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…
Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Jamhuri ya Korea, Noel Kaganda, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Visiwa ya Yeosu, Jong Ki Kim, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Mazungumzo…

Nipashe
Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Lulanzi, Dk. Abdulkadri Sultan, amesema uwepo wa hospitali hiyo katika Manispaa ya Kibaha umepunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa wagonjwa katika Kituo cha Afya Mkoani na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi. Akizungumza na Nipashe Digital…

Nipashe
Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini Juni 19, 2026 kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania tangu aingie madarakani, inaendelea kudhihirisha uhusiano wa kindugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko, kuongeza ushindani wa bei na kuwainua wafugaji kiuchumi kupitia upatikanaji wa huduma za kifedha. Akizungumza Juni 19, 2026, katika Maonesh…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…
BENKI ya NMB imepata ufadhili wa jumla ya Dola za Marekani milioni 180, sawa na takribani Sh. bilioni 468.1 za Kitanzania, kutoka taasisi za fedha za kimataifa za IFC, British International Investment na Norfund, kwa ajili ya kuongeza mikopo kwa biashara ndogo na za kati, sekta y…

Nipashe
Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Ayoub Kibao, amewataka washiriki wa mafunzo ya ukusanyaji, uhifadhi na usimamizi wa taarifa za watu wenye ulemavu kutekeleza jukumu hilo kwa weledi na umakini ili kuiwezesha Serikali kupanga na kutekeleza kwa ufanisi huduma zinazo…

Utawala wa Umma na Ulinzi
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
Maelfu ya Wananchi wa Mikoa mbalimbali ikiwemo Mara, Tabora, Shinyanga, Morogoro, Dar es salaam, Mwanza na Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Obhoke-Shirati wilaya ya Rorya Mkoani Mara kwaajili ya Maziko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP Richard George Abwao aliy…

Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka
Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…
Serikali imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 (sawa na shilingi bilioni 60.7) kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW), kwa ajili ya kufadhili mradi wa uboreshaji wa huduma za maji safi na usafi wa mazingira kati…

Afya na Huduma za Jamii
Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…
HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Sheria na Mahakama
Wizara ya maliasili na utalii yaibu…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Shughuli za Fedha na Bima
Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani ni kati ya taasisi zilizopo mkoa wa Pwani ambazo zimekuwa na mafanikio katika kutimiza majukumu yake ya kukusanya mapato ya serikali. TRA Mkoa wa Pwani inajivunia kukua kwa mapato ya serikali kutokana na usimamizi madhubuti wa sheria…

Afya na Huduma za Jamii
Rais samia azindua kituo cha tiba y…
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wanaume nchini kuondoa hofu ya kupima saratani ya tezi dume, akisisitiza kuwa ugonjwa huo unaweza kutibika iwapo utagundulika mapema na mgonjwa kuanza matibabu kwa wakati. Rais Samia ametoa wito huo leo, Juni 24, 2026, wakati wa uzinduzi …

Usafiri na Uhifadhi
Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…
Mabaharia nchini wanatarajia kukutana mkoani Kigoma katika maadhimisho ya kimataifa yatakayolenga kutafakari utendaji na mchango wao katika sekta ya usafiri na usafirishaji, huku yakisisitiza kuchochea uchumi wa kijani kwa maendeleo ya taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Ju…

Biashara ya Jumla na Rejareja
Algerian firms seek partners for tr…
KAMPUNI za Algeria zinazojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za viwandani na kilimo zinatafuta wabia wa kufanya nazo biashara ya mazao na uwekezaji katika sekta ya viwanda nchini Tanzania. Kampuni hizo zilizovutiwa kushirikiana na Tanzania zinashiriki katika…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, yanayolenga kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zilizopo zinatatuliwa bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao. Akitoa taarif…

Afya na Huduma za Jamii
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Hospitali ya Rufaa ya Benjamin Mkapa (BMH) imewaomba waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhamasisha wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia mfuko wa matibabu ya upandikizaji wa uloto na figo unaohitaji zaidi ya Sh bilioni saba ili kuwasaidia wagonjwa wengi wanaohitaji huduma hi…

Michezo
Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…
Hali mbaya ya hewa iliyoambatana na mvua kubwa ililazimisha mechi kati ya Ufaransa na Iraq iliyopigwa usiku wa kuamkia leo kusitishwa kwa muda wakati wa mapumziko kutokana na hofu ya kutokea kwa dhoruba na radi. Licha ya yote hayo, mashabiki wa Iraq walionyesha matumaini wakiamin…

Biashara
Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameipongeza Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani humo kwa kuendelea kutekeleza wajibu wao wa kulipa kodi, akisema hatua hiyo imechangia kuongezeka kwa mapato ya serikali na kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema kaulimbiu ya maad…

Mazingira na Hali ya Hewa
Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…
Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi. Akizu…

Nipashe
Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…
WAKAZI wa Kata ya Zombo Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameishukuru serikali kwa kuwajengea daraja lenye thamani ya Sh. milioni 800 katika Mto Zombo linalowasaidia wajawazito kuepukana na adha ya kujifungilia njiani baada ya kushindwa kuvuka. Mbali na hilo pia imeelezwa kuwa dar…

Vijana
Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa
Vijana 100 waliofuzu katika shindano la Vijana Uchumi Challenge wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani, kwa ajili ya mchujo wa awamu ya pili utakaowachuja washiriki hadi kufikia vijana 10 watakaoshiriki fainali za shindano hilo. Katika k…

Nipashe
Rc makalla aipongeza halmashauri ya…
Madai ya kutokuwepo kwa taarifa sahihi za mapato na ulipaji wa baadhi ya madeni bila kufuata utaratibu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita yameagizwa kuchunguzwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ambaye pia ameipongeza halmashauri hiyo kwa kuvuka lengo la ukusanyaj…

Biashara ya Jumla na Rejareja
Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…
Ulinzi na usalama unatarajiwa kuimarishwa zaidi katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu ili kuhakikisha usalama wa wafanyabiashara, washiriki na wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema…

Kimataifa
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kusitishwa kwa vikwazo vya mafuta na kuondolewa kwa mzingiro wa majini. Aidha, Araghchi amesema baadhi ya mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa nje ya nchi zimeachiwa, na kwamba mpango mkubwa wa Iran wa ujenzi upya wa uchumi …

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…
Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Nishati na Umeme
Kamati ya bunge ya nishati na madin…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), ambacho kwa sasa kinachangia takribani asilimia 45 ya umeme unaoingia katika Gridi ya Taifa. Akizungumza leo Juni 29, 2…

Shughuli za Fedha na Bima
Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Elimu
Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…
WANAFUNZI zaidi ya 5,000 wa shule za msingi na sekondari katika mikoa ya Dodoma, Manyara, Njombe, Tabora na Tanga, wanatajia kunufaika na mradi wa kupatiwa taulo za like zipatazo 40,000. Mpango huo unaotekelezwa kupitia mradi wa "Dignity Hamper – Keep a Girl in School", unalenga …

Nipashe
Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…
SERIKALI imeahidi kutoa Sh. milioni 750 kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, Kata ya Maweni, jijini Tanga. Hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi.Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Fedha, Balozi Khamis M…

Nipashe
Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba kama jukwaa la kutangaza bidhaa na huduma zao kwa kujenga ushirikiano wa kibiashara na kuvutia wawekezaji kutoka nje ya nchi. Kapinga ameyasema hayo leo baaa…

Sheria na Mahakama
‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo majengo ya Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Sur…

Kimataifa
Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…
Katika dunia ya sasa, mafanikio ya taifa hayapimwi tena kwa ukubwa wa rasilimali zake pekee, bali pia kwa uwezo wa viongozi wake kujenga mahusiano ya kimataifa yanayozalisha matokeo chanya kwa wananchi. Diplomasia imekuwa nyenzo muhimu ya kukuza uchumi, kuvutia uwekezaji, kuimari…

Sheria na Mahakama
Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…
Wizara ya Katiba na Sheria imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la wizara hiyo ili kupata huduma ya msaada wa kisheria bila malipo. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab K…

Utalii na Ukarimu
Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …
Zanzibar imeanza rasmi maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027, huku Serikali ikieleza dhamira ya kutumia tukio hilo kuimarisha uchumi, utalii, miundombinu na huduma za nishati visiwani humo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Wawakilishi Chukwani, Kaimu Waziri wa Utalii na Ma…

Nipashe
Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha CHADEMA jimbo la Kibaha ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya humo, Shaaban Mchezo, amemtaka Makamu mwenyekiti taifa wa chama hicho, John Heche, kukubali kukaa pembeni ili ufanyike uchunguzi juu ya tuhuma anazohusishwa nazo z…

Nipashe
Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…
Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kinara wa mageuzi ya kidijitali nchini baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo, katika banda la kampuni hiyo wakati…

Biashara ya Jumla na Rejareja
Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewahamasisha wananchi kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho hayo yameendelea kuvutia idadi kubwa ya watu wanaokwenda kujifunza, kununua bidhaa na kupata huduma mb…

Nipashe
NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Nipashe
Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemtaka mkandarasi anayejenga barabara mkoani Morogoro kufuata masharti ya mkataba la sivyo utavunjwa na kampuni hiyo kupigwa marufuku kupewa kazi yoyote nchini. Mkandarasi huyo ni kampuni ya Henan Railway kutoka China anayejenga barabara ya Ifa…

Nipashe
Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…
Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanueli Nchimbi amesema serikali ina mpango wa kuboresha zaidi maonesho ya Biashara ya Kimatafaya Dar es Salaam(DITF), ifikapo mwaka 2050. Amesema maboresho wanayotarajia kufanya ni kuyaweka maonesho hayo yasiwe tu mahala pa kuonyesha biashara pekee, …

Ajira na Kazi
Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Nipashe
Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), imeanza mafunzo maalumu kwa wahasibu, wakaguzi, washauri wa kodi na wataalamu wa fedha kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi yaliyomo katika Sheria ya Fedha ya mwa…

Utawala wa Umma na Ulinzi
'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…
Jeshi la Polisi limesema hali ya usalama nchini ni shwari hadi kufikia mchana wa leo, huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kudumisha amani na utulivu. Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime…

Michezo
Prediction Argentina vs Misri FIFA …
Timu ya England imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mexico katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Licha ya kucheza pungufu baada ya beki Jarell Quansah kupewa kadi nyekundu, England ilionyesha u…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…
Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo wa kisasa wa biashara ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, hatua itakayowezesha biashara kufanyika kwa uwazi na ushindani kupitia Soko la Bidh…

Utamaduni
Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…
Zaidi ya watu milioni 200 duniani, wakiwamo wanaozungumza na wasiozungumza Kiswahili, wanatarajiwa kufikiwa na matumizi ya lugha hiyo kupitia mpango wa kurusha filamu za Kiswahili katika jukwaa la kimataifa la TV5MONDE lenye makao makuu nchini Ufaransa. Akizungumza na waandishi w…

Nipashe
Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…
Katika tukio lenye uzito wa kihisia, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika mashambulizi ya Marekani, anatarajiwa kuzikwa leo katika mji wake wa Mashhad. Mazishi yake yamehudhuriwa na mamilioni ya Wairan na waumini kutoka nchi jirani, huku misiba mikubwa ikiwa…

Nipashe
Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…
Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Afya na Huduma za Jamii
Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…
Serikali imewataka wanasayansi na wataalamu wa afya kufanya tafiti za kina ili kuthibitisha usalama na ufanisi wa tiba asilia kabla ya kuziingiza katika mfumo rasmi wa huduma za afya. Akifungua Mkutano wa 14 wa Kisayansi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUH…

Nipashe
Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…
Timu nane pekee ndizo zimesalia kwenye mbio za kuwania taji la Kombe la Dunia, huku robo fainali zikitarajiwa kuanza kesho nchini Marekani. Mechi ya kwanza inayotarajiwa kuchezwa kesho ni kati ya Ufaransa dhidi ya MoroccoUfaransa imeonesha ubora mkubwa na kupewa sifa zote kuwa mi…

Siasa
Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…
Zanzibar inatarajiwa kuandika ukurasa mpya katika historia ya siasa zake baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kutarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji wa Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CC…

Elimu
Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…
Vijana 240 kutoka wilaya za Mtwara, Lindi, Songea na Kigoma watanufaika na mafunzo ya ufundi stadi ikiwemo umeme, upishi,maabara na upambaji kupitia mradi wa Dumisha Amani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo kwenye Chuo cha VETA Mtwara, Ofisa Mkuza Mitaala Mwandamizi wa …

Nipashe
NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…
Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Bernadetta Ndunguru, amesema utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 toleo la mwaka 2023 unaendelea kuzaa matunda, jambo linalodhihirishwa na umahiri na ubunifu unaoon…

Nipashe
Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kuhakikisha wanarejesha fedha hizo kwa wakati ili kuwezesha wananchi wengine kunufaika na …

Nipashe
Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…
Wananchi wa Mkoa wa Tabora wanaendelea kukabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma katika baadhi ya sekta kutokana na upungufu wa watumishi 11,338, huku Serikali ikiahidi kuupa kipaumbele mkoa huo katika mgawanyo wa ajira mpya 45,000 zilizopata kibali cha kuajiriwa. Taarifa…

Nipashe
Waandishi wa habari wananufaika na …
Wadau wa sekta ya habari wameeleza kuwa ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kumekuwa na mabadiliko makubwa yaliyorejesha heshima ya taaluma ya uandishi wa habari, kuongeza uwajibikaji na kupunguza uholela uliokuwa ukijitokeza k…

Siasa
Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Siasa na Mahusiano ya Kimataifa wa CCM, Rabia Hamid, amefanya ziara leo 2 Julai katika Mikoa ya Manyara na Kilimanjaro. Akiwa mkoani Manyara, Rabia alipokelewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Ndugu Petter Toima, kabla ya kushiriki k…

Nipashe
Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…
Licha ya Tanzania kuwa na maelfu ya watu wenye ujuzi wa kazi mbalimbali za mikono wanaochangia uzalishaji na uchumi wa nchi, wengi wao bado hawajatambulika rasmi kupitia mfumo wa kitaifa wa uthibitishaji wa ujuzi, hali inayowanyima fursa za ajira, mikopo na kushiriki kikamilifu k…

social-services
Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya jamii nchini kwa kuwahamasisha wananchi waliojiajiri kujiunga na Hifadhi Skimu, huku ikiwahimiza waajiri wenye malimbikizo ya michango kunufaika na msamaha wa tozo uliotolewa na m…

Nipashe
Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Nipashe
Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…
Serikali imewaonya wafanyabiashara wanaouza pembejeo zisizokidhi viwango (feki) na wanaojihusisha na utoroshaji wa mbolea ya ruzuku kwenda nchi jirani, ikisema vitendo hivyo ni hujuma kwa taifa na wanaofanya hivyo hawana tofauti na wauaji kutokana na athari zake kwa uzalishaji wa…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Simulizi za waraibu wa dawa za kule…
Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ikiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Dk. Emanuel Nuwas, na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Yeconia Deles wametembelea banda la Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biash…

Nipashe
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
MAMLAKA ya Hifadhi eneo la Ngorongoro (NCAA) imesema inajivunia urithi wa utamaduni wa makabila manne ya Wahadzabe, Wairaq, Wamasai na Wanatoga ambao wanachochea utalii katika maeneo hayo. Akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara (sabasaba), …

Nipashe
IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 (Sh. trilioni 1.2) kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini ya programu mbili za kifedha zinazotekelezwa nchini. Programu hizo ni ‘Extended Credit Facility’ (ECF), u…

Nishati na Umeme
Kongamano la nishati : etdco yasisi…
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote na changamoto ya wizi wa miundombinu ya umeme, ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali ya mikoa wanayoisimamia. T…

Usafiri na Uhifadhi
Tanzania eyes Russian tourism boom …
Sekta ya anga nchini imeendelea kutangua wigo wake katika kuimarisha huduma kimataifa baada ya kuongeza miruko ya kwenda nchi mbalimbali ikilenga kuiunganisha Tanzania na mataifa mengine duniani kibiashara, elimu, utalii na afya. Imeelezwa kuwa abiria wengi wanaotumia usafiri wa …

Nipashe
Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…
Kocha wa Hispania, Luis de la Fuente, aliwapongeza wachezaji wake kama "timu bora duniani" baada ya ushindi wa kushangaza wa mabao 2-0 dhidi ya Ufaransa katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026. De la Fuente, ambaye mara kwa mara alisema Hispania ndio timu bora katika …

Utawala wa Umma na Ulinzi
GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kushughulikia rufaa 58 kati ya rufaa 60 zilizowasilishwa katika mwaka wa fedha 2025/26 na kuzitolea uamuzi kwa wakati na kuiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya Fedha. Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa Sehemu ya Sheria …

Nipashe
Akili unde iwe mshirika wa vijana, …
Tanzania imeitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kuendelea kujenga mfumo wa kimataifa wa haki miliki unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya akili mnemba (Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhamishaji wa teknolojia, kuje…

Sheria na Mahakama
Homera ataja sababu kutotekelezwa m…
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.Juma Homera, amesema wamejipanga kutumia sheria kushughulika na wale wote watakaovunja sheria za nchi kwa namna yoyote ile. Dk.Homera amesema hayo leo kwenye banda la Wizara hiyo kwenye maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DITF),…

Nipashe
Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …
Rais wa Marekani Donald Trump amebariki uteuzi wa Darline Graham Nordone, dada wa aliyekuwa Seneta wa Marekani Lindsey Graham, kuchukua nafasi yake baada ya mwanasiasa huyo wa jimbo la South Carolina kufariki dunia Julai 11, 2026. Gavana wa South Carolina, Henry McMaster, alitang…

Nipashe
Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataj…
Matumaini ya dunia kuanza kurejea katika utulivu wa upatikanaji wa mafuta na kushuka kwa bei zake yanaelekea kuyeyuka baada ya kuanza upya kwa mashambulizi makali kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, huku bei ya mafuta ghafi aina ya Brent ikipanda hadi zaidi ya dola 84 kwa p…

Nipashe
Oryx gasi , skauti tanzania waungan…
Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha wananchi wanaondokana na matumizi ya majiko ya mkaa, wadau wa nishati safi wamezindua kitabu maalum cha mwongozo wa matumizi salama ya gesi ya kupikia (LPG). Uzinduzi wa kitabu hicho umefanyika jana jijini Dar es Salaam kweny…

Nipashe
Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imeahidi kuendelea kurahisisha taratibu za biashara za mipakani kupitia Mfumo Rahisi wa Biashara hatua inayolenga kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda huo na kupunguza gha…

Nipashe
Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…
Waziri wa Madini, Antony Mavunde, amewataka wakandarasi wanaojenga maabara mpya ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa. Amesema serikali itaendelea kuwekeza katika mi…

Nipashe
Tanzania holds preparatory talks he…
NCHI wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri le…

Nipashe
TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…
Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye ti…

Nipashe
WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…
Serikali imesema itatumia uzoefu na mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) ili kuboresha na kueneza huduma hizo nchini kwa kuwa umeweka msingi imara wa utoaji wa huduma endelevu na zinazostahimili athari za mabadiliko ya tabian…

Nipashe
Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka
Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…
Utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa chanzo cha maji katika Kata ya Mawenzi, Manispaa ya Moshi, unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji na kunufaisha wakazi zaidi ya 42,000 wa kata za Kaloleni, Njoro na Miembe, huku viongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 wakisisitiza kukamilishwa…

Nipashe
Maonesho ya nanenane iringa yalenga…
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, anawataka wananchi wanaoishi katika maeneo ya mijini kuachana na kilimo cha mazao marefu, hususan mahindi, na badala yake wajikite katika kilimo cha bustani za mboga mboga, matunda na mazao mengine mafupi yanayoendana na mipango ya matumizi ya…

Nipashe
TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Daniel Pancrasi, ameutaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuendelea kuwekeza katika matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuimarisha uhifadhi wa misitu, kuongeza ufanisi wa utoaji huduma na kuvutia uwekezaji katika sekta ya m…

Nipashe
Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…
Mapambano dhidi ya uhalifu mkubwa mkoani Tabora yamechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kuwahukumu watu sita kunyongwa hadi kufa kwa makosa ya mauaji, huku Jeshi la Polisi likisema hukumu hizo zinaakisi mafanikio ya uchunguzi na usimamizi wa kesi za jinai. Kama…

Nipashe
NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…
Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara. Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla i…

Nipashe
Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …
Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Jumatatu, Julai 13, 2026, na inatarajiwa ku…
Habari nyingine
FAN PULSE • LIVE
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda
Unaenda!!
Asante — umetujulisha.
Utakuja AFCON 2027?

Nipashe
Mzee wa miaka 90 aweka rekodi kilele Mlima Kilimanjaro

Nipashe
Wakulima 215 Ushetu wapatiwa mafunzo ya ubanguaji korosho

Nipashe
Watu sita wahukumiwa kunyongwa hadi kufa, wanne wakamatwa na silaha Tabora

Nipashe
RC Kheri awataka wakazi wa mjini kuachana na mahindi wakijite kwenye mboga
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, anawataka wananchi wanaoishi katika maeneo ya mijini kuachana na kilimo cha mazao marefu, hususan mahindi, na badala yake w

Nipashe
DED Manispaa Kibaha awashukuru wafanyabiashara ukuaji wa mapato

Nipashe
TaTEDO-SESO yapata ruzuku ya Sh bilioni 8 kukuza nishati safi

Nipashe
NSSF yatoa msamaha wa tozo kwa waajiri

Nipashe
NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya Benki Bora zaidi kwa SMEs

Nipashe
Fisi aua mtoto, amjeruhi mama Manyara

Nipashe
Kingu awataka wakandarasi wazawa kujenga ushindani kimataifa

Nipashe
Makonda: Uwekezaji wa teknolojia za afya ni utekelezaji wa Dira 2050
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imezindua mfumo wa kidijitali wa usajili wa wagonjwa na teknolojia mpya ya kisasa ya Dozee ya kufuatilia hali ya mgonj

Nipashe
Watu 11 wafariki ajali ya moto kituo cha watoto Algeria

Nipashe
Vodacom Tanzania PLC yazindua mashindano ya golf, kuimarisha biashara

Nipashe
Marekani yaipa Tanzania bilioni 2.6 za Ebola

Nipashe
'Heche akae pembeni kupisha uchunguzi'

Nipashe
Umoja wenye malengo kukabili changamoto zinazoibuka (SADC)

Nipashe
Serikali yapongeza mafanikio ya mradi wa WS4H, kuyaeneza nchini

Nipashe
Mwalimu aliyefukuzwa kazi aomba serikali imsaidie kupata stahiki zake
Aliyekuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kenton, Abdullah Mpaka, iliyoko Tabata Bima, ameiomba Serikali kuingilia kati ili aweze kupata stahiki zake baad

Nipashe
DC Nkinda: Elimu iendelee kukabiliana na utapiamlo

Nipashe
Askofu awaonya wanawake kushawishi mapadri kuingia kwenye mahusiano
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
