Gundua

807 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Mzalendo chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Proposed Reforms to Transform Tanzania’s Business and Investment Climate Ebola

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa,akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 18,2026 jijini Dodoma kuhusu mwenendo wa tishio la ugonjwa wa Ebola na hatua zinazochukuliwa kuimarisha utayari wa taifa. ‎ ‎Na Edward Winchislaus ‎ Serikali imeendelea kuimarisha hatua za kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini huku ikithib…

Mzalendo
Featured Fuel Prices

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba,akipata maelezo mara baada ya kutembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) katika Maonesho ya Kizimkazi yanayoendelea katika Viwanja vya Dimbani, Kizimkazi, Zanzibar. Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza…

Mzalendo
Featured Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/27 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kur…

Mzalendo
Nishati na Umeme Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kitongoji…

Mzalendo
Featured Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

Mashindano ya 23 ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA) yamepata msukumo mkubwa baada ya Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kutoa udhamini wa Dola za Marekani 90,000, (takribani mil 240) katika kuunga mkono maandalizi na uendeshaji wa mashindano ya shirikisho hilo yanayoend…

Mzalendo
Featured Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Dar es Salaam Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeitaka Serikali kuhakikisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 inatekelezwa kwa ufanisi ili kufanikisha malengo ya maendeleo ya taifa yaliyowekwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa mjadala na uchambuzi wa Bajeti ya Taifa …

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda na kuendeleza urithi wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kuimarisha miundombinu na huduma za kijamii katika Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Amesema hayo leo (Ijumaa, Julai 3, 2026) alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyi…

Mzalendo
Featured Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amedai kuwa chama hicho kimepata taarifa zinazoonyesha kuwapo kwa vikao vya siri vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kwa lengo la kuh…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia utoaji wa haki kwa wananchi na kuimarisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma ili kuhakikisha huduma za Serikali zinatolewa kwa ufanisi, kwa wakati na kwa kuzingatia maslahi ya wananchi. Amesema hayo leo Ijumaa, Juni 5, 2026 alipokuwa akizungumza na …

Mzalendo
Elimu Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la Wanawake wenye Ulemavu, Nassriya Nassir Ali,ameomba Serikali kujenga shule jumuishi katika kila Mkoa ili kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu kulazimika kusafiri umbali mrefu kufuata elimu maalumu. Akichangia mjadala wa bajeti ya…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa,akiwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo Mei 11,2026 bungeni Dodoma. Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali imejipanga kuendelea kuboresha Sekta ya Afya nchini kupitia utekelezaji wa vipaumbele mbalimbali vitakavyoonge…

Mzalendo
Featured Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb), akiipongeza Benki ya NMB katika kuisaidia Serikali kupitia ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa huduma mbalimbali za kifedha zinazowanufaisha wananchi, wakati wa mkutano na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna, Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Da…

Mzalendo
Uncategorized TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.5. Mradi huo unahusisha ujenzi wa kituo cha k…

Mzalendo
Featured Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini. Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Baraz…

Mzalendo
Utalii na Ukarimu Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo Mei 15, 2026 bungeni Dodoma. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali imeeleza dhamira yake ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii wa mikutano na matukio ya kimataifa barani Afrika kupitia mikakati…

Mzalendo
Uncategorized Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 21 Juni 2026, kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam…

Mzalendo
Featured Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 08 Juni, 2026.

Mzalendo
Featured Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Mzalendo
Majanga na Uokoaji Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Na, mwandishi wetu – Mwanza SERIKALI imezindua rasmi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura cha Mkoa wa Mwanza, hatua inayolenga kuimarisha uratibu wa shughuli za usimamizi wa maafa na majanga katika mkoa huo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo tarehe 05 Juni, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Said …

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), akizungumza na wadau wakati wa Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SADC Industrialisation Week 2026), inayoadhimishwa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (ICC), jijini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo unawakutanisha viongozi wa serikali, sekta binafsi na wadau wa ma…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akibonyeza kitufe wakati akizindua tafiti tumizi sita wakati wa hafla ya kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) zitakazokifanya Chuo hicho kuwa kitovu cha maarifa na ushahidi …

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

‎Dodoma ‎ ‎Waziri Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa utekelezaji wa Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Kutumia Vikundi vya Kijamii (CBRM) akieleza kuwa ni fursa muhimu ya kuwawezesha wananchi hususan vijana kushiriki katika shughul…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Kungu John Malulu Julai 28,2026 katika Kata ya Kilungule iliyopo Mbagala Dar es Salaam amemtembelea Ndugu Mustafa aliepoteza watoto watatu kwenye ajali ya Moto iliyotokea Aprili 7,2026 Kabla ya hapo Kamanda Malulu alimshika mkono Mwa…

Mzalendo
Featured Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wenye thamani ya Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW),kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa kuboresh…

Mzalendo
Featured Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe,akizungumza leo Juni 23, 2026 jijini Dodoma wakati akimwakilisha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park. Na.Alex Sonna,Mzalendo blo…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kuwekeza zaidi katika huduma za matibabu ya Saratani katika Mfumo wa Fahamu (neuro-oncology) na kuimarisha mfumo wa afya kwa ujumla. Makamu wa Rais amesema…

Mzalendo
Featured WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS), kuongeza tija kwa wakulima na kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mk…

Mzalendo
Featured Zambia Rea Team Visits Chamwino to …

Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu wa REA Zambia, Mhandisi Alex Mbumba wakati wa ziara y…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

RAIS SAMIA AIVUNJA BODI YA WADHAMINI PSSSF

Mzalendo
Featured Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na kampuni mbili kutoka Japan kwa ajili ya kufungua fursa za soko la biashara ya kaboni kupitia mpango wa Uratibu wa Pamoja wa Mikopo (JCM), hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta binafsi katika kufanikisha dira ya taifa ya maendeleo ya mwaka 2050. Akizungumza katika warsh…

Mzalendo
Featured Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na Mwandishi Wetu, KILINDI MWENGE wa Uhuru 2926 umewasili katika Mkoa wa Tanga na kuanza kukagua kukagua miradi 73 ya maendeleo na huduma yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 27, ukianzia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi. Ukiwa wilayani huo, Mwenge wa Uhuru wenye kauli mbiu inayosema ”Tanzania ni yetu sot…

Mzalendo
Uchumi Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha wanaoshiriki katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam, wakati alipotembelea ban…

Mzalendo
Featured Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo. Akizungumza baada ya kutembelea banda la Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) katika Maonesho ya Mi…

Mzalendo
Featured Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Maafisa wa Wizara ya Fedha, wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yenye Kaulimbiu kuu “Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba ni Fahari ya Tanzania”, yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, …

Mzalendo
Featured Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi wa viwanda nchini. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga mara b…

Mzalendo
Featured Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Grace Elias Magembe akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Ndugu Charles Ngeleja Kandonya pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Ndugu Nolasco Jacob, wakiapa Kiapo cha Maadili, Ikulu Jijini …

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

Na Jackline Minja, WMJJWM – Kakonko Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma kuendelea kushirikiana na Maafisa Maendeleo ya Jamii, kusimamia na kuendeleza miradi ya kiuchumi inayotekelezwa katika maen…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

Na Benny Mwaipaja, Tanga SERIKALI imeahidi kutoa shilingi Milioni 750 ili kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, kilichopo katika kata ya Maweni, jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi katika kata hiyo. Ahadi hiyo imetolewa le…

Mzalendo
Viwanda na Uzalishaji Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa teknolojia na ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini…

Mzalendo
Elimu Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-KIBAIGWA DODOMA SERIKALI imezindua rasmi Mradi wa Twiga Future Forward Education Program unaotekelezwa kwa ushirikiano na Barrick Tanzania, huku ikisisitiza kuwa uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa katika sekta ya elimu ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wenye ushindani, kuandaa rasilimali…

Mzalendo
Uchumi Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema Tanzania itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuhakikisha sekta binafsi, hususan wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wanakuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa taifa. Waziri Kapinga aliyasema hayo Mei 7, 2026, wakati wa maadhimisho ya …

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara hiyo walioshiriki kutoa elimu kwa umma, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yenye Kaulimbiu ya “Maonesho ya Biashara ya Kimataifa…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza nafuu kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango kwa kuwapatia fursa ya msamaha wa tozo zitokanazo na ucheleweshaji wa michango, huku ukiwataka kuchangamkia fursa hiyo ili kupunguza mzigo wa madeni, kuimarisha uzingatiaji wa sheria na kulinda haki za wa…

Mzalendo
Usafiri na Uhifadhi Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

▪️Yaonesha nia ya kushirikiana na Serikali katika usafiri ya Mijini. ▪️Dkt. Mwigulu awahakikishia mazingira bora ya uwekezaji WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo wamejadiliana kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya miundombin…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho (Mb), amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kupitia Shirika lake la Uzalishaji Mali (SUMAJKT) kwa kuendelea kutoa ajira kwa vijana hapa nchini. Mhe. Nyansaho ameyasema hayo Julai 06, 2026 alipotembelea banda la JKT kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimatai…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akipokea tuzo maalumu ya kutambua mchango wake katika Sekta ya Fedha, kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam, Bw. Peter Nalitolela (kushoto), katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 30 ya Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) yenye […]

Mzalendo
Sayansi Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali. Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya Ifakara (Ifakar…

Mzalendo
Siasa Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uwasilishaji wa Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, katika viwanja vya Ikulu Zanzibar tarehe 09 Julai, 2026. …..…

Mzalendo
Featured NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Mkuu wa Tawi la Operation na Mafunzo wa JKT, Brigedia Jenerali Peter Mnyani,akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 12,2026 katika Mako Makuu ya JKT Chamwino Mkoani Dodoma kuhusu wito wa kuripoti makambini vijana waliochaguliwa kujiunga na mafaunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria 2026. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-CHAM…

Mzalendo
Featured Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe…

Na Mwandishi Wetu Kikosi cha taifa cha Brazil kimepata nafuu ya moyo baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kuwa nyota wake Neymar Jr. anaendelea vizuri na mchakato wa kupona jeraha la nyama ya ndama (calf), hatua inayoongeza matumaini ya kurejea kwake uwanjani mapema. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikish…

Mzalendo
Elimu Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amewaambia wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora kuishi katika maadili wawapo shuleni na hata baada ya kumaliza shule ili wajiepusha na tabia ambazo zitawafanya wajiingize kat…

Mzalendo
Madini na Uchimbaji Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…

Na Mwandishi Wetu Ruangwa, Lindi Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kwamba Tanzania inajipanga kuwa mmoja ya wazalishaji wakubwa Duniani wa madini kinywe(𝙂𝙧𝙖𝙥𝙝𝙞𝙩𝙚) kupitia Kampuni 30 zinazomiliki Leseni za kati na kubwa za uchimbaji wa madini hayo na hivyo kutoa ushindani wa kiuzalishaji kwa nchi ya China …

Mzalendo
media Waandishi wa habari wananufaika na …

Na Mwandishi Wetu,DAR ES SALAAM Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa uhariri ni nguzo muhimu katika taaluma ya habari na unapaswa kulindwa ili vyombo vya habari viweze kutekeleza majukumu yake kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi ya umma. …

Mzalendo
Ujenzi na Miundombinu Tarura yaimarisha mpango wa cbrm ku…

Mwanza Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Kutumia Vikundi vya Kijamii (Community Based Routine Maintenance – CBRM) unaotekelezwa na Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) utasaidia kuondoa hoja mbalimbali na kuimarisha upatikanaji wa vikundi vya kijamii katika matengenezo ya kawaida ya barabara nchini. Hayo…

Mzalendo
Ajira na Kazi Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akifuatilia maelezo ya Kijana Mnufaika wa Mafunzo ya Uanagenzi Fani ya Ufundi Bomba, Ismail Mbogo alipotembea Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), kampasi ya Rukwa. Na OWM (KAM), Sumbawanga Serikali ya Awamu ya Sita imeendele…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Dar es Salaam, Julai 10, 2026 Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili kujijengea akiba, kupata kinga ya kijamii na kuwa na uhakika wa maisha ya sasa na baadaye. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utaw…

Mzalendo
Biashara Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa bandia na kukuza ushindani wa haki katika soko. Katika ziara hiyo, iliyofanyika leo Agosti 12, 2026, Bi. Ngasongwa amekutana na Katibu Tawala wa Mk…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Benezeth Lutege, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agness K. Meena. Warsha […]

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya Lengatei- Songe inatengenezwa kwa kiwango cha changarawe na kupitika kwa mwaka mzima. Mbali ya kushirikiana kusimamia Ujenzi wa barabara hiyo pia Wabunge hao wameshiriki sh…

Mzalendo
Uchumi IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini za mwisho chini ya programu za Extended Credit Facility (ECF) inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uch…

Mzalendo
Sheria na Mahakama Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefungua mafunzo ya tatu ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali, yalioandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo yameanza tarehe 15 Julai, 2026 na yatahimishwa tarehe 17 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC) Jijini A…

Mzalendo
urban-development GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Na OWM- TAMISEMI, New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kusimamia ukuaji wa miji nchini sambamba na kutenga fedha ili kuimarisha utoaji wa huduma za jamii, Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI…

Mzalendo
Featured Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Tathmini ya Mwaka 2025/26 cha Utendaji wa Wazabuni na Watoa Huduma kwa Wizara ya Fedha kilichofanyika katika Ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imepata Tuzo ya Mshindi wa Pili wa Mtoa Huduma Bora katika kategoria ya Mamlaka za Udhibiti, kwenye hafla ya kufunga Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, maarufu kama Sabasaba, iliyofanyika leo, Julai 13, 2026, jijini Dar es Salaam mbele ya Mgeni Rasmi, Rais wa Serikali ya […

Mzalendo
Biashara Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na Watanzania haziishii kuonyeshwa kwenye maonesho, bali zinaendelezwa, zinalindwa na kupelekwa sokoni ili zitoe suluhisho kwa changamoto mbalimbali na kuchangia ukuaji wa uchumi w…

Mzalendo
Featured Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi Wetu, HANDENI SEKTA ndogo ya madini kinywe (graphite) imezidi kuimarika kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua na kusindika madini hayo katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Juni 19, mwaka huu, Mwenge wa Uhuru wenye kaulimbiu inayosema “Tanzania ni yetu tushikamane kwa pamoja kuleta maendeleo”, uliweka…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Serikali yatenga bilioni 1 ukarabat…

Na Jackline Minja WMJWM Bukoba, Kagera Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha wazee nchini wanapata huduma bora na stahiki kwa kuimarisha makazi ya wazee, huduma za afya pamoja na mazingira salama yanayolinda utu na heshima yao. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wana…

Mzalendo
Elimu Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa mageuzi ya elimu nchini lazima yaendane na mahitaji ya uchumi wa taifa kwa kutoa ujuzi unaohitajika kwa vijana. Akizungumza Julai 14, 2026 jijini Dodoma katika kikao na Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu na Wakuu wa Vyuo, Prof. Mkenda amesema Vyuo Vi…

Mzalendo
Biashara ya Jumla na Rejareja Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Na Benny Mwaipaja, Horohoro, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji nchini kuongeza uzalishaji wenye tija na kuimarisha mauzo ya bidhaa katika masoko ya kimataifa ili kupunguza nakisi ya biashara (trade deficit) na kuongeza mchango wa sekta…

Mzalendo
Madini na Uchimbaji Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), hatua hiyo inakwenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utoaji wa huduma za maabara ya madini kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa leo tarehe 15 Julai, 2026 na Wazir…

Mzalendo
Siasa Tanzania holds preparatory talks he…

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri Julai 16, 2026 mjini Salima, Malawi wakat…

Mzalendo
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

Naibu Waziri wa Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb), (kushoto), akiagana na Mkurugenzi wa Idara ya Maji, Benki ya Dunia (WB), Afrika, Bw. Saroj Kumar, baada ya kuzungumza kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), kwanye Jukwaa la Maji baran…

Mzalendo
Siasa Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipoongoza Kikao Maalumu cha Halmashauri Kuu (CCM) kilichofanyika Visiwani Zanzibar Leo Julai 29, 2026. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungan…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema njia bora ya kuuenzi urithi wa Hayati Rais Benjamin William Mkapa ni kuendelea kuwekeza katika uongozi, kuimarisha mifumo ya afya na kuwawezesha vijana kuw…

Mzalendo
Nishati na Umeme Teknolojia za tari kifulilo zawavut…

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam. Kadri Maonesho ya 56 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanavyoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeendelea kuthibitisha kuwa teknolojia ya nyuklia siyo teknolojia ya kutumika kwenye uzalishaji wa nishati pekee…

Mzalendo
Ujenzi na Miundombinu Uwanja wa ndege wa msalato wabadili…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu *Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO* Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone” unaendelea kupata uhalisia kupitia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, mradi mkubwa unaotekelezwa na Serikali jijini Dodoma. Mbali na ku…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano na mawasiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ili kuimarisha na kuendeleza maslahi ya wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo …

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Butiama Kizurira Nyerere wilayani Butiama, mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hospitali hiyo imejengwa kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wa Wilaya ya…

Mzalendo
Kimataifa Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa ushirikiano wake wa muda mrefu katika kuchangia maendeleo ya Zanzibar, huku akisisitiza umuhimu wa kuimarisha zaidi uhusiano wa pande hizo mbili kupitia biashara na uwekezaji. Rais Dkt. Mwinyi ameyas…

Mzalendo
Elimu Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari jana Julai 27,2026 jijini Dodoma kuhusu uteuzi wa wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita 2026, kunufaika na ufadhili wa masomo kupitia programu ya Samia Scholarship. Na.Alex Sonna,D…

Mzalendo
Uchumi Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa Kikao chake na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani), wakati alipotembelea Ofisi za Mkoa za Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Mbeya, wakati wa ziara yake Mkoani humo. Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (…

Mzalendo
Madini na Uchimbaji Tume ya madini yajipanga kuongeza u…

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya madini kupitia majukwaa ya majadiliano kwa lengo la kujenga sekta yenye ushindani, inayovutia uwekezaji na kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa Taifa. Mhe. Mavunde ameyasema hayo katika kikao cha Mining Bre…

Mzalendo
Watoto Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

Wazazi wametakiwa kutimiza wajibu wao katika malezi na ulinzi wa mtoto ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama yasiyo na vitendo vya ukatili. Wito huo umetolewa na Mkaguzi Msaidizi Emmanuel Kisiri, ambaye ni Polisi wa Kata ya Ikoma, Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara,alipokuwa akitoa elimu ya Polisi Jamii …

Mzalendo
Siasa Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Ndugu Xu Sujiang, huku akisisitiza dhamira ya CCM ya kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria na wa kimkakati kati ya vyama hivyo viwili. …

Mzalendo
Michezo Mafunzo kuogelea kutolewa bure kwa …

Mkurugenzi wa Ufundi kutoka Chama cha kuogelea Tanzania, Amina Mfaume (kushoto); Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shule ya Kimataifa ya Monti, Fatma Fernandes (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Kocha mashuhuri wa kimataifa wa uogeleaji, Ben Lee (wa pili kushoto) ambaye aliwasili jijini Dar es Salaam…

Mzalendo
Siasa Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Semina Elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusu Umuhimu wa Mawasiliano Serikalini, tarehe 28 Julai, 2026, Ikulu ya Tungu…

Mzalendo
Nishati na Umeme Mradi wa Umeme Chalinze-Dodoma wafi…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma uko kwenye hatua za mwisho za utekelezaji wake, huku ujenzi ukiwa umekamilika kwa asilimia 94 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari leo …

Mzalendo
Ujasiriamali na Ubunifu Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus C. Sangu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, leo Julai 23, 2026,kuhusu Tanzania kushiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo (Juakali) ya Afrika Mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Oktoba mwaka hu…

Mzalendo
Sheria na Mahakama Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Viongozi na Wananchi mara baada ya kukagua mradi wa Shule ya Msingi Mfinga iliyopo Sumbawanga, Mkoani Rukwa tarehe 19 Julai, 2026. Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni […]

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais Samia na Rais Lourenço wa Ango…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli, ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt.…

Mzalendo
Mazingira na Hali ya Hewa Songea yazalisha tani 90 za taka ki…

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amehimiza wananchi hususan vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana kutokana na uhifadhi wa mazingira ili kujipatia kipato. Dkt. Muyungi ametoa msisitizo huo alipofanya ziara katika Kituo cha Kuendeleza Ukuzaji Viumbe Maji cha Ruhila kilichopo Manispaa ya Songea…

Mzalendo
Featured Standard Chartered Foundation Yatoa…

Kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi wa mazingira, Standard Chartered Tanzania imeongoza shughuli ya upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nianjema, Wilaya ya Bagamoyo. Shughuli hiyo inaakisi juhudi zinazoendelea za benki katika kuunga mkono hatua za kukabiliana na mabadiliko ya t…

Mzalendo
Utawala na Huduma za Usaidizi Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Watumishi wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bw. Simbani Liganga, wakati akizungumza alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha, kuona namna Watumishi hao wanavyoendelea kutoa huduma kwa wananchi wanaotembelea Banda hilo wakati wa Maon…

Mzalendo
Elimu SUA yazalisha watalamu kilimo biash…

Na Jackline Minja, WMJJWM Mafinga – Iringa Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake, kujitegemea kiuchumi, kujiajiri na kuchangia maendeleo ya Taifa. Naibu Waziri Mahundi ameyasema hayo Julai 12, 2026 alipozungumza na wanafunzi wa mafunzo…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Makamu wa rais dkt. nchimbi atembel…

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, akizungumza wakati akifunga Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani 2026 leo Julai 6,2026 jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Na Alex Sonna, Mzalendo Blog –DODOMA SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya ushirika nchini kuendesha taasisi hizo kwa …

Mzalendo
Featured Veta yapongezwa kwa ubunifu wenye k…

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika sekta ya taka na kuongeza thamani ya taka zinazoweza kurejelewa. Hayo yameelezwa Agosti 15, 2026 jijini Dodoma na Naibu Kat…

Mzalendo
Michezo Wenger Ampinga Infantino Waziwazi, …

Mvutano mkubwa umeanza kushika kasi katika ulimwengu wa soka baada ya kuibuka kwa taarifa kwamba Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anafikiria kuleta mfumo mpya wa kibiashara utakaowaruhusu wawekezaji binafsi kumiliki sehemu ya thamani ya Kombe la Dunia. Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA inapanga kuanzisha kampuni maalum …

Mzalendo
Michezo Mkutano mkuu Yanga SC 2026: Hersi a…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog Klabu ya Yanga imetangaza kuwa Tamasha la Yanga Day 2026 litakuwa la kipekee, likiwa na burudani, maonesho ya kikosi kipya na mchezo maalumu wa Siku ya Mwananchi, huku mashabiki wakitarajiwa kushuhudia kwa mara ya kwanza nyota wapya waliosajiliwa kuelekea msimu wa 2026/27. Akizungumza na wa…

Mzalendo
Featured Elimu ya vipimo yawavuta wadau mbal…

*Mwanafunzi Ibrahim Omary, kutoka Shule ya Msingi Ghana jijini Mwanza, akipokea zawadi kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bi. Veronica Simba baada ya kutoa elimu ya vipimo kwa ustadi kwa wananchi waliotembelea banda la WMA katika siku ya pili ya Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoende…

Mzalendo
Michezo Ter Stegen Atua Ajax Kwa Mkopo wa M…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog Klabu ya Yanga SC imeweka wazi ukubwa wa maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kutangaza kuwa mfadhili wake mkuu, Ghalib Said Mohamed (GSM), ametenga takribani Sh bilioni 15 kwa ajili ya usajili wa wachezaji, hatua inayodhihirisha dhamira ya klabu hiyo ya kuendelea kutawala sok…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Matumizi ya mbolea yapanda mara nne…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam.…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima kuongeza watarajia uzalish…

Na Mwandishi wetu,Dodoma Kampuni ya Rijk Zwaan Tanzania imetumia Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma kuwahamasisha wakulima na vijana kutumia mbegu bora pamoja na teknolojia za kisasa za uzalishaji wa mboga mboga, ikieleza kuwa hatua hiyo ndiyo njia ya kuongeza tija, kipato na ushindani wa mazao …

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi e-GA YASHIRIKIANA NA SEKTA YA KILIM…

Meneja wa Mawasiliano wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Subira Kaswaga,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la e-GA wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzuguni jijini Dodoma. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA M…

Mzalendo
Ujenzi na Miundombinu Rais samia: afrika iharakishe uteke…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting-GSM) uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam, ambapo pia alikuwa Mwenyekiti Mwenza wa mkutano huo.…

Mzalendo
Featured Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), katika kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, imesema kutokana na…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Chande aipongeza wrrb kwa kuwawezes…

Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 4,2026 katika Banda la WMA wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Wa…

Mzalendo
Siasa Kikwete Atoa Tahadhari Afrika, Asem…

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jinsia,Wanawake na Makundi Maalumu Eng. Maryprisca Mahundi amewataka vijana kusimama kusimama imara kukemea Uchochezi na upotoshwaji unaoenezwa mitandaoni dhidi ya Serikali na kusimama imara kuitetea Serikali kwa hoja zenye nguvu. Eng.Mahundi ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vijana …

Mzalendo
Nishati na Umeme Mfumo wa m+2 waimarisha uhakika wa …

Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili kuhakikisha usalama na uzingatiaji wa viwango vya ubora vinavyotakiwa. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane jijini Dodoma, Afisa Ubora wa Mafuta wa PBPA…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Udhibiti wa Mbegu za Kilimo Tanzania (TOSCI), Nyasebwa E. Chimagu,akizungumza katika Mkutano wa wadau wa kilimo ikolojia uliofanyika ndani ya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Kitaifa jijini Dodoma, …. Taasisi ya Udhibiti wa Mbegu za Kilimo Tanzania (TOSCI) imeeleza kuwa ulinzi na usimamizi …

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Naibu waziri chande aridhishwa na h…

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akimueleza Meneja wa Mikopo Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Bw. Amani Shabani (kushoto), kuhusu umuhimu wa Benki hiyo kuendelea kuinua wakulima nchini, wakati alipotembelea katika Viwanja vya Dk. John Samwel Malecelaa kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za …

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Rais samia asisitiza kasi ya utekel…

Rais wa Benki ya Maendeleo ya AfriKa (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah, akiagana na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb) (kushoto), katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 Gen…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Waziri sangu -kauli mbiu ya psssf y…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (MB) (Mwenye Suti) akisikiliza maelezo ya Huduma zinazopatikana katika banda la Mfuko wa PSSSF katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) Kanda ya Kusini yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi Agosti 5, 2026

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Pinda aipongeza mati technologies k…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeeleza kuwa litaendelea kuwafikia wananchi kwa kutoa elimu ya kilimo cha kisasa, ufugaji na uvuvi hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane, likisisitiza kuwa jukumu lake ni kujenga jamii yenye maarifa, uzalishaji mkub…

Mzalendo
Viwanda na Uzalishaji Naibu Waziri Londo: FCC ni chachu y…

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 7,2026 mara baada ya kutembelea mabanda ya Taasisi zilizochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara wakati wa Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Malecela Nzuguni Jijini Dodoma. Na Alex Sonna…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Serikali yaweka mkazo uendelevu wa …

Na Edward Winchislaus-DODOMA WAKATI Serikali ikiendelea kuhimiza ongezeko la uzalishaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imesema mafanikio ya sekta hizo yanategemea pia uwepo wa nguvu kazi yenye afya, hivyo imeendelea kusisitiza umuhimu wa kinga dhidi ya maambukizi y…

Mzalendo
Featured Brela yatoa elimu ya urasimishaji b…

Na Joyce Kasiki, Timesmajira Online, Tanga WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewataka wabunifu, wavumbuzi na wataalamu mbalimbali nchini kusajili ubunifu na kazi zao ili kupata haki ya kipekee ya kuzitumia na kulinda dhidi ya matumizi yasiyoidhinishwa. Wito huo umetolewa na Afisa Usajili kutoka BRELA, B…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Tanzania yapaa katika sekta ya mbeg…

Na.Alex Sonna-DODOMA Tanzania imeendelea kujijengea heshima katika sekta ya mbegu barani Afrika baada ya Waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Clement Juma Mbugoniwia, kutembelea banda la Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea Nzuguni, mko…

Mzalendo
Featured Qwaray aagiza mikocheni apartments …

Na Antonia Mbwambo – Dodoma Timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Rais–UTUMISHI kwa kushirikiana na Watumishi Housing Investment imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa nyumba za watumishi awamu ya pili katika Wilaya ya Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa kuzingatia ubora, thamani …

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Coop bank yajivunia mageuzi, yatoa …

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA BENKI ya Ushirika Tanzania (Cooperative Bank Tanzania Plc) imeendelea kuonyesha kasi ya ukuaji baada ya kuongeza mikopo kutoka Shilingi bilioni 14 mwaka 2024 hadi kufikia Shilingi bilioni 102 mwaka 2025, huku amana zikipanda kutoka Shilingi bilioni 15 hadi Shilingi bilioni 114, hatua…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Rais samia ahutubia kilele cha maad…

Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Jijini Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea banda la Kampuni ya pembejeo za kilimo ya Betaren ya Urusi katik…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia aielekeza tamisemi kusim…

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaasa viongozi katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuepuka migogoro miongoni mwao na baina yao na watumishi wanaowaongoza, akisisitiza kuwa migogo…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Makamu wa rais ashiriki misa takati…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini kuimarisha maadili kwa jamii na kukuza maemdeleo. Mhe. Sangu amesema hayo alipomwakilisha Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba katika hafla ya kumsimika uaskofu mchungaji D…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya kilimo na ufugaji kanda…

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo, Mifugo na Sherehe za Nanenane Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika Viwanja vya Themi Njiro, Arusha. Akizungumzia ushindi huo, Prof. Maulilio Kipanyula, Makamu Mkuu wa…

Mzalendo
Nishati na Umeme Waziri ndejembi “kasi ya utekelezaj…

SHINYANGA Waziri wa Ni-shati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji la msingi kwa Watanzania na nyenzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika kitongoji hicho,…

Mzalendo
Kilimo, Misitu na Uvuvi Benki ya Absa Tanzania ilivyoshirik…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameshiriki kilele cha Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane, yaliyofanyika katika viwanja vya Dkt.John Malecela Nzunguni Jijini Dodoma yakilenga kuimarisha tija, uzalishaji na upatikanaji wa masoko kwa wakul…

Mzalendo
Watoto Tanzania, Marekani zajadili biashar…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF), nchini Tanzania Bi. Elke Wisch, mara baada ya kikao chao kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili masuala…

Mzalendo
Featured WMA yawafundisha watoto vipimo, Nai…

*Na WMA – Mwanza* Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) limeendelea kuvutia makundi mbalimbali ya wananchi katika Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoendelea katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, ikiwa ni siku ya tatu, Agosti 30, 2026. Makundi hayo yameonesha kuvutiwa na elimu ya vipimo tofauti tofauti. Wak…

Mzalendo
Siasa Dkt.nchimbi amtembelea dk.jakaya ki…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, katika makazi yake, Kawe Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 10 Agosti 2026.

Mzalendo
Featured Dkt. mwinyi: zanzibar kuimarisha bi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemwapisha Ndg. Mansura Mosi Kassim kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kufuatia uteuzi wake wa hivi karibuni. Hafla hiyo ya uapisho imefanyika leo, tarehe 24 Juni 2026, Ik…

Mzalendo
Biashara ya Jumla na Rejareja Naibu waziri maghembe amuaga balozi…

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi ikiwemo biashara na uwekezaji.. Hayo yameelezwa wakati wa mkutano kati ya Waziri wa Fedha, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), na B…

Mzalendo
Usafiri na Uhifadhi Chalamila atoa siku 6 kwa malori, m…

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imechukua hatua mpya za kupunguza msongamano wa magari katikati ya Jiji la Dar es Salaam kwa kuelekeza mabasi makubwa ya masafa marefu kutumia Stendi ya Magufuli kama kituo kikuu cha kuanzia na kumalizia safari zao. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alber…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Taarifa iliyotufikia muda huu kutok…

UFAFANUZI WA NOTISI ZILIZOTOLEWA KWA VIJIJI VYA OLOLOSOKWAN,SOITSAMBU,ENGUSEROSAMBU,ARASH NA LOSOITO

Mzalendo
Featured Nyuklia yageuka silaha ya sayansi k…

Na TAEC Dodoma Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Tests), ikiwa ni fursa ya kutafakari madhara yaliyosababishwa na majaribio ya silaha za nyuklia na kuendelea kuhimiza juhudi za kujenga dunia yenye amani na usalama. Siku h…

Mzalendo
Featured Biteko: tanzania imepiga hatua kubw…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umekabidhi majiko janja 10 katika Tamasha la Kizimkazi lililofanyika Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja, kuunga mkono ajenda ya Serikali ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini. Majiko hayo yanalenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, kulinda mazingir…

Mzalendo
Michezo TFF Yathibitisha FVS Kutumika Dabi …

Na Mwandishi Wetu, Mzalendo blog-Dar es Salaam SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka kanuni mpya itakayozitaka klabu zote kutumia vyumba vya kubadilishia nguo vilivyotengwa katika viwanja vya mechi, huku timu yoyote itakayobainika kukiuka utaratibu huo bila sababu za msingi itakabiliwa na adhabu ya kupo…

Mzalendo
Uchumi wa Buluu Serikali yaongeza kasi ya uchumi wa…

UWEKEZAJI mkubwa unaoendelea kufanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika sekta ya uvuvi umeanza kuzaa matunda kwa kuiwezesha Tanzania kuingia kikamilifu katika uvuvi wa bahari kuu, hatua inayotarajiwa kuongeza ajira, mapato ya Serikali na kukuza uchumi wa buluu. Hayo yamesemwa leo Agosti 1,2026 na Waziri Mkuu, Dk. Mw…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Kapinga: serikali yasogeza huduma z…

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), mkoa…

Mzalendo
Featured Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais …

Kizimkazi, Zanzibar. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Tamasha la Kizimkazi, ambapo alipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba. Pamoja na kutembelea banda la Mfuko, Mhe. Rais alitembelea mabanda m…

Mzalendo
Elimu Vichocheo vya kufikia malengo ya Di…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga. ……. Waziri wa Elimu, Sayans…

Mzalendo
Featured Kairuki: serikali kuyafanyia kazi m…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali imeeleza kuwa bado kuna changamoto kubwa ya wanawake kukosa nguvu ya kufanya maamuzi ya kiuchumi, kijamii na kimazingira licha ya jitihada mbalimbali zinazoendelea za kuwawezesha wanawake nchini. Hayo yameelezwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Ma…

Mzalendo
Featured Serikali yataka mikataba bora ya ka…

Na: OWM – KAM, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu amewataka waajiri nchini kuzingatia viwango vya kima cha chini cha mshahara vilivyowekwa na Serikali ili kuhakikisha wafanyakazi katika sekta binafsi wanapata stahiki zao kwa mujibu wa sheria hatua itakayosaidia…

Mzalendo
Featured Wanafunzi 10 wa Samia Scholarship k…

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesaini hati tatu za makubaliano ya ushirikiano wa kielimu na Urusi zitakazowezesha kubadilishana wataalamu, kuendeleza tafiti za pamoja na kuongeza fursa za elimu ya juu kwa wanafunzi wa nchi hizo mbili. Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa Habari Juni 10, 2026…

Mzalendo
Featured SAMIA SCHOLARSHIP: 10 more students…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetangaza fursa mpya ya ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 10 wa Kitanzania kwenda kusoma nchini Urusi kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Agosti 13, 2026, Waziri wa …

Mzalendo
Featured Rais dkt. samia aongoza kilele cha …

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo ya Kusini Unguja kutunza na kudumisha miradi ya maendeleo, ikiwemo maji, afya na barabara, ili iendelee kutoa huduma bora kwa wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 14 Agosti 20…

Mzalendo
Featured Tanga kuwa kitovu cha elimu, ubunif…

Wananchi wa Mkoa wa Tanga na mikoa jirani wanahamasishwa kushiriki katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 – 24 Agosti 2026 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga, ili kujifunza, kubadilishana maarifa na kutumia fursa mbalimbali za elimu, ujuzi na ubunif…

Mzalendo
Teknolojia Ttcl yaweka intaneti ya kisasa aman…

Na Mwandishi Wetu – DAR ES SALAAM, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, ameitaka TTCL kuhakikisha wazabuni na wakandarasi wanaotekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Faiba Mlangoni Kwako wanasimamiwa kwa ufanisi ili kazi zikamilike kwa wakati, kwa ubora na kwa kuzingatia tha…

Mzalendo
Madini na Uchimbaji Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2…

Na Mwandishi Wetu – DODOMA Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet R. Lekashingo, amewataka watendaji wa Tume kuongeza kasi katika kuweka mazingira wezeshi, shindani na yenye kuvutia uwekezaji wa ndani na nje katika Sekta ya Madini, ili sekta hiyo iweze kutekeleza kikamilifu nafasi yake ya kimkakati katika kufanikish…

Mzalendo
Featured Chatanda ampa kongole mbunge viti m…

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka amewataka vijana kutumia michezo kama fursa ya kujipatia ajira na kujenga maisha yao, huku wakiepuka vitendo vya uhalifu ikiwemo wizi na ukatili wa kijinsia. Naibu Waziri Mahundi ameyasema hayo wakayi akikabi…

Mzalendo
Featured Rais Samia Akutana na Rais wa DRC F…

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ampokea Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, Ikulu Ndogo ya Zanzibar.

Mzalendo
Elimu Dk Kida atoa wito ubunifu na teknol…

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa kauli mbiu ya hafla hiyo, “The Contribution…

Mzalendo
Elimu Vijana wapewa elimu ya fursa za tek…

Na Mwandishi Wetu – Tanga Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inaendelea kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya Usagara jijini Tanga, ikitumia jukwaa hilo kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi salama ya mionzi na fursa zinazotokana na teknolojia y…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Dkt. seif: serikali za mitaa ziimar…

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwekeza katika miradi ya maendeleo yenye tija na manufaa kwa wananchi, hususan katika kuimarisha utoaji wa huduma bora za ki…

Mzalendo
Elimu Tuzo ya nyerere yazidi kung’ara, sh…

Na.Mwandishi Wetu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa, ambapo tangu kuanzishwa kwake Watanzania 27 wamefanikiwa kushinda katika nyanja mbalimbali za uandishi bunifu. Amesema mafanikio hayo yanaony…

Mzalendo
Siasa Dkt. mwinyi: nina imani na uwezo wa…

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,akiwahutubia wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba katika mwendelezo wa ziara zake za kuimarisha chama na kuwashukru wanachama wa chama hicho baa…

Mzalendo
Featured Serikali kuongeza nguvu mapambano d…

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ashauri kikundi cha Paza Sauti cha WAVIU kutumia mitandao ya kijamii kutangaza na kuuza bidhaa zao ili kuweza kufikia wateja wengi Zaidi huku akiwapongeza kwajuhudi na umoja wao katika shughuli zao za uzalishaji. Ametoa ushauri …

Mzalendo
Viwanda na Uzalishaji TBS yapongezwa udhibiti usalama, ub…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Deogratias Mwanyika kwaniaba ya kamati wakati wa kikao cha Kamati cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu,katika, of…

Mzalendo
Featured Veta kuanzisha vituo 15 vya umahiri…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema ujenzi wa vyuo vya VETA na utoaji wa ujuzi ni ajenda ya kitaifa inayogusa moja kwa moja vijana, ajira na kuchochea maendeleo ya nchi na kwamba ni vigumu kuzungumzia ajira za vijana bila kuzungumzia ujuzi. Waziri Mkenda amesema hayo Agosti 15, 2026 wakati…

Mzalendo
Zabuni na Minada MAKUNDI MAALUM YANUFAIKA NA ZABUNI …

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Dennis Simba, akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 20,2026 jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa mamlaka hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/26 na mwelekeo wa 2026/27. Na Dotto Kwilasa Dodoma JUMLA ya zabuni 397,395 zenye thamani ya Sh40.…

Mzalendo
Biashara Fcc yatoa elimu kwa maafisa biashar…

Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao cha Tatu cha Wizara ya Viwanda na Biashara na Maafisa Biashara, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani (FCC) imeto…

Mzalendo
Elimu Nm-aist kutekeleza dira 2050 kupiti…

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi na washiriki wa Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayofanyika jijini Tanga kuhusu bunifu mbalimbali zinazozalishwa na watafiti na wabunifu wanaoshirikiana na taasisi hiyo. Katika maadhimisho hayo, NM-AI…

Mzalendo
Utawala wa Umma na Ulinzi Ushetu yatoa zabuni za sh. milioni …

Halmashauri ya Manispaa ya Kahama imetenga bajeti ya ununuzi ya shilingi bilioni 1.9 kwa ajili ya makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu. Hatua hiyo ni utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya Ununuzi wa Umma inayozitaka taasisi za umma kutenga asilimia 30 ya bajeti zao za ununuzi kwa ajili ya makundi […]

Mzalendo
Elimu Iaa kuboresha mazingira ya kujifunz…

Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amesema IAA itaendelea kuimarisha miundombinu na mazingira ya kujifunzia ili kandaa watalaam mahiri na kuendana na mahitaji ya programu za kisasa hususani programu zinazohusisha matumizi makubwa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Prof. Sedoyeka amesem…

Mzalendo
Afya na Huduma za Jamii Tanzania yaunga mkono mabadiliko ya…

Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imesisitiza umuhimu wa Afrika kuwa na sauti moja, uongozi madhubuti na uwakilishi wenye nguvu katika maamuzi ya afya duniani ili kuhakikisha maslahi na vipaumbele vya Bara hilo vinapewa uzito katika mchakato wa mageuzi ya Muundo wa Mfumo wa Afya Duniani (Global Health Arch…

Mzalendo
Featured Dk.nchimbi atangaza kustaafu siasa,…

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA

Mzalendo
Madini na Uchimbaji Tume ya Madini yatoa hati za makosa…

DODOMA, Tume ya Madini imetoa muda wa siku 30 kwa wamiliki na wawezeshaji wa miradi ya uchimbaji mdogo yenye Mikataba ya Msaada wa Kiufundi kurekebisha mapungufu yaliyobainika wakati wa ukaguzi, ikionya kuwa itachukua hatua za kisheria, ikiwemo kufuta ridhaa za Msaada wa Kiufundi, kwa watakaoshindwa kutekeleza matakwa…

Mzalendo
Shughuli za Fedha na Bima Serikali: benki zitapanga riba za m…

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akijibu maswali bungeni jijini Dodoma, likiwemo swali la Mheshimiwa Haidary Hemed Sumry, Mbunge wa Mpanda mjini aliyetaka kujua mpango wa Serikali kupunguza riba za mikopo ya biashara katika benki ili kuwawezesha wafanyabiashara kulipa mikopo kwa wakati. (Picha na Ki…

Mzalendo
Featured CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Maka…

N.Mwandishi Wetu- DODOMA UMOJA wa Wanawake Tanzania (UWT) imeunga mkono uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa wa kumfuta uanachama aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Chama hicho, Dk. Emmanuel Nchimbi huku ukisisitiza uamuzi huo umelenga kuimarisha misingi ya nidhamu, uwajibikaj…

Mzalendo
Featured Tphpa yadhibiti visumbufu, yaokoa m…

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 27,2026 jijini Dodoma wakati akiwasilisha taarifa ya mafanikio ya mwaka wa fedha 2025/2026 pamoja na mwelekeo wa mamlaka hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na.Alex Sonna,Mzale…

Mzalendo
Featured Video: Wabunge 324 Wamthibitisha Nd…

DODOMA BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempitisha Mheshimiwa Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupata kura zote 324 zilizopigwa, sawa na asilimia 100. Uamuzi huo umefanyika baada ya jina la Ndejembi kuwasilishwa Bungeni kwa ajili ya kupata ridhaa ya Wa…

Mzalendo
Featured Rais Samia na Makamu Wake Ndejembi …

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidizi namba moja na kuahidi utii, uadilifu, uzalendo na uchapaji kazi. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati akiwasalimu wananchi wa J…

Mzalendo
Featured Wananchi wafurahishwa na elimu ya p…

Na Mwandishi Wetu, MOROGORO WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya Wakala katika kuratibu uagizaji wa mafuta kwa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini. Wananchi hao wamesema ma…

Mzalendo
Featured Wataalamu tiba asili watakiwa kwend…

Na Atley Kuni, WAF-Mbeya Mkuu wa Mkoa Mteule wa Mbeya, Mhe. Jumanne Sagini, amewaagiza waganga, wauzaji na wazalishaji wa dawa za Tiba Asili nchini kuhakikisha vituo vyao vyote vinasajiliwa kwa mujibu wa sheria, akisisitiza kuwa maendeleo ya sekta hiyo lazima yaambatane na weledi, usalama, ubora, uadilifu na ushahidi …

Mzalendo
Featured Tanzania, serbia kuimarisha diploma…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasili leo, tarehe 30 Agosti 2026, jijini Belgrade, Jamhuri ya Serbia, kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano Maalum wa Ngazi ya Juu wa Kumbukumbu ya Miaka 65 tangu kufan…

Mzalendo
Featured Muswada wa Marekebisho Sheria mbali…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira wezeshi ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 1 Septemba, 2026 Bungeni Jijini Dodoma, wakati akiwasilisha Mu…

Mzalendo
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

BEI ZA MAFUTA SEPTEMBA ZASHUKA NCHINI
Featured

BEI ZA MAFUTA SEPTEMBA ZASHUKA NCHINI

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 10 zilizopita
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO SEPTEMBA 2,2026
Featured

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO SEPTEMBA 2,2026

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 11 zilizopita
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050
Featured

MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 13 zilizopita
PROF.NOMBO AWAPONGEZA WATUMISHI WA ELIMU KWA MAFANIKIO
Featured

PROF.NOMBO AWAPONGEZA WATUMISHI WA ELIMU KWA MAFANIKIO

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 14 zilizopita
BALOZI OMAR: UWEZO WA KITAALUMA UAMBATANE NA MAADILI
Featured

BALOZI OMAR: UWEZO WA KITAALUMA UAMBATANE NA MAADILI

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 16 zilizopita
SERIKALI, KPMG KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MABORESHO YA MFUMO WA KODI
Featured

SERIKALI, KPMG KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MABORESHO YA MFUMO WA KODI

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 16 zilizopita
MAFUTA NA GESI ASILIA HUSIMAMIWA NA KILA UPANDE WA MUUNGANO
Featured

MAFUTA NA GESI ASILIA HUSIMAMIWA NA KILA UPANDE WA MUUNGANO

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 18 zilizopita
MOI YAOKOA SH121.9 BILIONI KWA MATIBABU YA UBINGWA
Featured

MOI YAOKOA SH121.9 BILIONI KWA MATIBABU YA UBINGWA

Mzalendo· Alex Sonna· Saa 18 zilizopita
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE SEPTEMBA 1,2026
Featured

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE SEPTEMBA 1,2026

Mzalendo· Alex Sonna· Jana
RC MBEYA AHIMIZA WATAALAM TIBA ASILI KUJISAJILI
Featured

RC MBEYA AHIMIZA WATAALAM TIBA ASILI KUJISAJILI

Mzalendo· Alex Sonna· Jana
AFCON 2027: TAEC YAJENGA MFUMO MADHUBUTI WA USALAMA WA NYUKLIA
Featured

AFCON 2027: TAEC YAJENGA MFUMO MADHUBUTI WA USALAMA WA NYUKLIA

  Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), kwa kushirikiana na Wakala wa Kimataifa wa Nguvu za Atomu (IAEA), imeanza kuimarisha maandalizi ya usalama wa nyuklia

Mzalendo· Alex Sonna· Jana
WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA
Featured

WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA

Mzalendo· Alex Sonna· Jana
SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA WATOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI
Featured

SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA WATOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI

Mzalendo· Alex Sonna· Jana
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 31,2026
Featured

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 31,2026

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 2 zilizopita
ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTA WENGI KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI
Featured

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTA WENGI KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 2 zilizopita
RAIS DKT. MWINYI AWASILI SERBIA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA  MKUTANO WA KUMBUKUMBU YA MIAKA 65 YA NAM
Featured

RAIS DKT. MWINYI AWASILI SERBIA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA  MKUTANO WA KUMBUKUMBU YA MIAKA 65 YA NAM

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 2 zilizopita
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MISA TAKATIFU KANISA KATOLIKI DODOMA
Featured

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MISA TAKATIFU KANISA KATOLIKI DODOMA

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 2 zilizopita
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 30,2026
Featured

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 30,2026

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 3 zilizopita
CHAMA CHA WAZEE NGUZO YA MALEZI, UPATANISHI, UTUNZAJI MAADILI YA KIJAMII
Featured

CHAMA CHA WAZEE NGUZO YA MALEZI, UPATANISHI, UTUNZAJI MAADILI YA KIJAMII

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 3 zilizopita
WANANCHI WAFURAHISHWA NA ELIMU YA PBPA KATIKA MAONESHO YA UTAMADUNI
Featured

WANANCHI WAFURAHISHWA NA ELIMU YA PBPA KATIKA MAONESHO YA UTAMADUNI

Mzalendo· Alex Sonna· Siku 3 zilizopita
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.