
Gundua
662 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Mzalendo chini (pamoja na mengine ya Gundua).


Meneja wa EWURA Kanda ya Ziwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya Nanenane Nyamhongoro Jijini Mwanza ikiwa imesalia siku moja maonesho hayo kutamatika. Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wananchi kuhakikisha wanatumia watoa huduma wenye leseni…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/27 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kur…

📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kitongoji…

Na.OWM- TAMISEMI, Iringa Mikoa ya Manyara na Arusha imeanza vizuri Mashindano ya UMITASHUMTA baada ya timu zao kupata ushindi katika michezo iliyochezwa leo tarehe 11 Juni 2026. Kwa upande wa Wasichana, timu ya Mkoa wa Manyara imeifunga Morogoro kwa Seti 3-0 katika mchezo uliochezwa viwanja vya chuo cha ualimu Kleruu …

Dar es Salaam Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeitaka Serikali kuhakikisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 inatekelezwa kwa ufanisi ili kufanikisha malengo ya maendeleo ya taifa yaliyowekwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa mjadala na uchambuzi wa Bajeti ya Taifa …

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda na kuendeleza urithi wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kuimarisha miundombinu na huduma za kijamii katika Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Amesema hayo leo (Ijumaa, Julai 3, 2026) alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyi…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amedai kuwa chama hicho kimepata taarifa zinazoonyesha kuwapo kwa vikao vya siri vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kwa lengo la kuh…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia utoaji wa haki kwa wananchi na kuimarisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma ili kuhakikisha huduma za Serikali zinatolewa kwa ufanisi, kwa wakati na kwa kuzingatia maslahi ya wananchi. Amesema hayo leo Ijumaa, Juni 5, 2026 alipokuwa akizungumza na …

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la Wanawake wenye Ulemavu, Nassriya Nassir Ali,ameomba Serikali kujenga shule jumuishi katika kila Mkoa ili kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu kulazimika kusafiri umbali mrefu kufuata elimu maalumu. Akichangia mjadala wa bajeti ya…

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa,akiwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo Mei 11,2026 bungeni Dodoma. Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali imejipanga kuendelea kuboresha Sekta ya Afya nchini kupitia utekelezaji wa vipaumbele mbalimbali vitakavyoonge…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb), akiipongeza Benki ya NMB katika kuisaidia Serikali kupitia ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa huduma mbalimbali za kifedha zinazowanufaisha wananchi, wakati wa mkutano na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna, Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Da…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.5. Mradi huo unahusisha ujenzi wa kituo cha k…

Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini. Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Baraz…

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo Mei 15, 2026 bungeni Dodoma. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali imeeleza dhamira yake ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii wa mikutano na matukio ya kimataifa barani Afrika kupitia mikakati…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 21 Juni 2026, kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 08 Juni, 2026.

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Na, mwandishi wetu – Mwanza SERIKALI imezindua rasmi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura cha Mkoa wa Mwanza, hatua inayolenga kuimarisha uratibu wa shughuli za usimamizi wa maafa na majanga katika mkoa huo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo tarehe 05 Juni, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Said …

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), akizungumza na wadau wakati wa Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SADC Industrialisation Week 2026), inayoadhimishwa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (ICC), jijini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo unawakutanisha viongozi wa serikali, sekta binafsi na wadau wa ma…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akibonyeza kitufe wakati akizindua tafiti tumizi sita wakati wa hafla ya kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) zitakazokifanya Chuo hicho kuwa kitovu cha maarifa na ushahidi …

Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuimarisha usimamizi wa ubora wa miradi ya ujenzi wa miundombinu nchini kupitia maabara zake za kisasa zinazofanya uchunguzi na uhakiki wa vifaa vya ujenzi pamoja na kazi zinazotekelezwa hatua inayochangia kujenga miundombinu imara, salama …

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Kungu John Malulu Julai 28,2026 katika Kata ya Kilungule iliyopo Mbagala Dar es Salaam amemtembelea Ndugu Mustafa aliepoteza watoto watatu kwenye ajali ya Moto iliyotokea Aprili 7,2026 Kabla ya hapo Kamanda Malulu alimshika mkono Mwa…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wenye thamani ya Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW),kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa kuboresh…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe,akizungumza leo Juni 23, 2026 jijini Dodoma wakati akimwakilisha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park. Na.Alex Sonna,Mzalendo blo…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kuwekeza zaidi katika huduma za matibabu ya Saratani katika Mfumo wa Fahamu (neuro-oncology) na kuimarisha mfumo wa afya kwa ujumla. Makamu wa Rais amesema…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu wa REA Zambia, Mhandisi Alex Mbumba wakati wa ziara y…

RAIS SAMIA AIVUNJA BODI YA WADHAMINI PSSSF

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na kampuni mbili kutoka Japan kwa ajili ya kufungua fursa za soko la biashara ya kaboni kupitia mpango wa Uratibu wa Pamoja wa Mikopo (JCM), hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta binafsi katika kufanikisha dira ya taifa ya maendeleo ya mwaka 2050. Akizungumza katika warsh…

Na Mwandishi Wetu, KILINDI MWENGE wa Uhuru 2926 umewasili katika Mkoa wa Tanga na kuanza kukagua kukagua miradi 73 ya maendeleo na huduma yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 27, ukianzia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi. Ukiwa wilayani huo, Mwenge wa Uhuru wenye kauli mbiu inayosema ”Tanzania ni yetu sot…

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha wanaoshiriki katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam, wakati alipotembelea ban…

Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo. Akizungumza baada ya kutembelea banda la Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) katika Maonesho ya Mi…

Maafisa wa Wizara ya Fedha, wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yenye Kaulimbiu kuu “Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba ni Fahari ya Tanzania”, yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, …

Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kaping…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Grace Elias Magembe akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Ndugu Charles Ngeleja Kandonya pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Ndugu Nolasco Jacob, wakiapa Kiapo cha Maadili, Ikulu Jijini …

Na Jackline Minja, WMJJWM – Kakonko Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma kuendelea kushirikiana na Maafisa Maendeleo ya Jamii, kusimamia na kuendeleza miradi ya kiuchumi inayotekelezwa katika maen…

Na Benny Mwaipaja, Tanga SERIKALI imeahidi kutoa shilingi Milioni 750 ili kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, kilichopo katika kata ya Maweni, jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi katika kata hiyo. Ahadi hiyo imetolewa le…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa teknolojia na ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-KIBAIGWA DODOMA SERIKALI imezindua rasmi Mradi wa Twiga Future Forward Education Program unaotekelezwa kwa ushirikiano na Barrick Tanzania, huku ikisisitiza kuwa uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa katika sekta ya elimu ni nguzo muhimu ya kujenga uchumi wenye ushindani, kuandaa rasilimali…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema Tanzania itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuhakikisha sekta binafsi, hususan wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wanakuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa taifa. Waziri Kapinga aliyasema hayo Mei 7, 2026, wakati wa maadhimisho ya …

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara hiyo walioshiriki kutoa elimu kwa umma, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yenye Kaulimbiu ya “Maonesho ya Biashara ya Kimataifa…

Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza nafuu kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango kwa kuwapatia fursa ya msamaha wa tozo zitokanazo na ucheleweshaji wa michango, huku ukiwataka kuchangamkia fursa hiyo ili kupunguza mzigo wa madeni, kuimarisha uzingatiaji wa sheria na kulinda haki za wa…

▪️Yaonesha nia ya kushirikiana na Serikali katika usafiri ya Mijini. ▪️Dkt. Mwigulu awahakikishia mazingira bora ya uwekezaji WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo wamejadiliana kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya miundombin…

Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho (Mb), amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kupitia Shirika lake la Uzalishaji Mali (SUMAJKT) kwa kuendelea kutoa ajira kwa vijana hapa nchini. Mhe. Nyansaho ameyasema hayo Julai 06, 2026 alipotembelea banda la JKT kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimatai…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akipokea tuzo maalumu ya kutambua mchango wake katika Sekta ya Fedha, kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam, Bw. Peter Nalitolela (kushoto), katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 30 ya Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) yenye […]

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali. Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya Ifakara (Ifakar…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uwasilishaji wa Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa baina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, katika viwanja vya Ikulu Zanzibar tarehe 09 Julai, 2026. …..…

Mkuu wa Tawi la Operation na Mafunzo wa JKT, Brigedia Jenerali Peter Mnyani,akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 12,2026 katika Mako Makuu ya JKT Chamwino Mkoani Dodoma kuhusu wito wa kuripoti makambini vijana waliochaguliwa kujiunga na mafaunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria 2026. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-CHAM…

Na Mwandishi Wetu Kikosi cha taifa cha Brazil kimepata nafuu ya moyo baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kuwa nyota wake Neymar Jr. anaendelea vizuri na mchakato wa kupona jeraha la nyama ya ndama (calf), hatua inayoongeza matumaini ya kurejea kwake uwanjani mapema. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikish…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amewaambia wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora kuishi katika maadili wawapo shuleni na hata baada ya kumaliza shule ili wajiepusha na tabia ambazo zitawafanya wajiingize kat…

Na Mwandishi Wetu Ruangwa, Lindi Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kwamba Tanzania inajipanga kuwa mmoja ya wazalishaji wakubwa Duniani wa madini kinywe(𝙂𝙧𝙖𝙥𝙝𝙞𝙩𝙚) kupitia Kampuni 30 zinazomiliki Leseni za kati na kubwa za uchimbaji wa madini hayo na hivyo kutoa ushindani wa kiuzalishaji kwa nchi ya China …

Na Mwandishi Wetu,DAR ES SALAAM Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa uhariri ni nguzo muhimu katika taaluma ya habari na unapaswa kulindwa ili vyombo vya habari viweze kutekeleza majukumu yake kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi ya umma. …

Mwanza Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Kutumia Vikundi vya Kijamii (Community Based Routine Maintenance – CBRM) unaotekelezwa na Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) utasaidia kuondoa hoja mbalimbali na kuimarisha upatikanaji wa vikundi vya kijamii katika matengenezo ya kawaida ya barabara nchini. Hayo…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akifuatilia maelezo ya Kijana Mnufaika wa Mafunzo ya Uanagenzi Fani ya Ufundi Bomba, Ismail Mbogo alipotembea Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), kampasi ya Rukwa. Na OWM (KAM), Sumbawanga Serikali ya Awamu ya Sita imeendele…

Dar es Salaam, Julai 10, 2026 Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili kujijengea akiba, kupata kinga ya kijamii na kuwa na uhakika wa maisha ya sasa na baadaye. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utaw…

Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa wajasiriamali kutoka Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kuhusu namna ya kutambua bidhaa bandia, kulinda haki za walaji na biashara ili kuimarisha ushindani w…

Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Benezeth Lutege, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agness K. Meena. Warsha […]

Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya Lengatei- Songe inatengenezwa kwa kiwango cha changarawe na kupitika kwa mwaka mzima. Mbali ya kushirikiana kusimamia Ujenzi wa barabara hiyo pia Wabunge hao wameshiriki sh…

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini za mwisho chini ya programu za Extended Credit Facility (ECF) inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uch…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefungua mafunzo ya tatu ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali, yalioandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo yameanza tarehe 15 Julai, 2026 na yatahimishwa tarehe 17 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC) Jijini A…

Na OWM- TAMISEMI, New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kusimamia ukuaji wa miji nchini sambamba na kutenga fedha ili kuimarisha utoaji wa huduma za jamii, Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI…

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Tathmini ya Mwaka 2025/26 cha Utendaji wa Wazabuni na Watoa Huduma kwa Wizara ya Fedha kilichofanyika katika Ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi…

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imepata Tuzo ya Mshindi wa Pili wa Mtoa Huduma Bora katika kategoria ya Mamlaka za Udhibiti, kwenye hafla ya kufunga Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, maarufu kama Sabasaba, iliyofanyika leo, Julai 13, 2026, jijini Dar es Salaam mbele ya Mgeni Rasmi, Rais wa Serikali ya […

Na.Mwandishi Wetu-Geneva Tanzania imetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kimataifa ili kuhakikisha maendeleo ya kasi ya Akili Unde (AI) yanasimamiwa kupitia mifumo ya kimataifa iliyo jumuishi, yenye uwazi na usawa, ikitahadharisha kuwa nchi zinazoendelea hazipaswi kuachwa nyuma wakati teknolojia hiyo ikiendelea…

Na Mwandishi Wetu, HANDENI SEKTA ndogo ya madini kinywe (graphite) imezidi kuimarika kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua na kusindika madini hayo katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Juni 19, mwaka huu, Mwenge wa Uhuru wenye kaulimbiu inayosema “Tanzania ni yetu tushikamane kwa pamoja kuleta maendeleo”, uliweka…

Na Jackline Minja WMJWM Bukoba, Kagera Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha wazee nchini wanapata huduma bora na stahiki kwa kuimarisha makazi ya wazee, huduma za afya pamoja na mazingira salama yanayolinda utu na heshima yao. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wana…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa mageuzi ya elimu nchini lazima yaendane na mahitaji ya uchumi wa taifa kwa kutoa ujuzi unaohitajika kwa vijana. Akizungumza Julai 14, 2026 jijini Dodoma katika kikao na Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu na Wakuu wa Vyuo, Prof. Mkenda amesema Vyuo Vi…

Na Benny Mwaipaja, Horohoro, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji nchini kuongeza uzalishaji wenye tija na kuimarisha mauzo ya bidhaa katika masoko ya kimataifa ili kupunguza nakisi ya biashara (trade deficit) na kuongeza mchango wa sekta…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), hatua hiyo inakwenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utoaji wa huduma za maabara ya madini kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa leo tarehe 15 Julai, 2026 na Wazir…

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri Julai 16, 2026 mjini Salima, Malawi wakat…

Naibu Waziri wa Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb), (kushoto), akiagana na Mkurugenzi wa Idara ya Maji, Benki ya Dunia (WB), Afrika, Bw. Saroj Kumar, baada ya kuzungumza kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), kwanye Jukwaa la Maji baran…

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipoongoza Kikao Maalumu cha Halmashauri Kuu (CCM) kilichofanyika Visiwani Zanzibar Leo Julai 29, 2026. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungan…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema njia bora ya kuuenzi urithi wa Hayati Rais Benjamin William Mkapa ni kuendelea kuwekeza katika uongozi, kuimarisha mifumo ya afya na kuwawezesha vijana kuw…

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam. Kadri Maonesho ya 56 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanavyoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeendelea kuthibitisha kuwa teknolojia ya nyuklia siyo teknolojia ya kutumika kwenye uzalishaji wa nishati pekee…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu *Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO* Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone” unaendelea kupata uhalisia kupitia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, mradi mkubwa unaotekelezwa na Serikali jijini Dodoma. Mbali na ku…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano na mawasiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ili kuimarisha na kuendeleza maslahi ya wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo …

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Butiama Kizurira Nyerere wilayani Butiama, mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hospitali hiyo imejengwa kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wa Wilaya ya…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa ushirikiano wake wa muda mrefu katika kuchangia maendeleo ya Zanzibar, huku akisisitiza umuhimu wa kuimarisha zaidi uhusiano wa pande hizo mbili kupitia biashara na uwekezaji. Rais Dkt. Mwinyi ameyas…

Na.Mwandishi Wetu Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ( NM- AIST) inatumia mbio za marathon kama moja ya mikakati ya kupata fedha za kutoa ufadhili wa masomo kwa wanawake na wasichana ili kuongeza ushiriki wao katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Hisabati na Ubunifu (STEM). Hayo yamebainishwa…

Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa akishiriki mjadala kuhusu nafasi ya sekta ya viwanda inavyoweza kuchangia ukuaji wa uchumi katika nchi Afrika, mjadala uliofanyika pembezoni mwa Mkutano wa African Caucus wa Mwaka 2026, unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano …

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya madini kupitia majukwaa ya majadiliano kwa lengo la kujenga sekta yenye ushindani, inayovutia uwekezaji na kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa Taifa. Mhe. Mavunde ameyasema hayo katika kikao cha Mining Bre…

Wazazi wametakiwa kutimiza wajibu wao katika malezi na ulinzi wa mtoto ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama yasiyo na vitendo vya ukatili. Wito huo umetolewa na Mkaguzi Msaidizi Emmanuel Kisiri, ambaye ni Polisi wa Kata ya Ikoma, Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara,alipokuwa akitoa elimu ya Polisi Jamii …

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, akiwa ameambatana na wajumbe wengine wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, amepokelewa Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, leo tarehe 6 Agosti 2026. Mapokezi hayo yaliyoandaliwa na CCM Mkoa wa Dodoma, yamehudhuriwa na wanachama, makada na viongozi mba…

Mkurugenzi wa Ufundi kutoka Chama cha kuogelea Tanzania, Amina Mfaume (kushoto); Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shule ya Kimataifa ya Monti, Fatma Fernandes (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Kocha mashuhuri wa kimataifa wa uogeleaji, Ben Lee (wa pili kushoto) ambaye aliwasili jijini Dar es Salaam…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Semina Elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusu Umuhimu wa Mawasiliano Serikalini, tarehe 28 Julai, 2026, Ikulu ya Tungu…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma uko kwenye hatua za mwisho za utekelezaji wake, huku ujenzi ukiwa umekamilika kwa asilimia 94 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari leo …

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus C. Sangu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, leo Julai 23, 2026,kuhusu Tanzania kushiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo (Juakali) ya Afrika Mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Oktoba mwaka hu…

Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Viongozi na Wananchi mara baada ya kukagua mradi wa Shule ya Msingi Mfinga iliyopo Sumbawanga, Mkoani Rukwa tarehe 19 Julai, 2026. Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni […]

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli, ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt.…

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amehimiza wananchi hususan vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana kutokana na uhifadhi wa mazingira ili kujipatia kipato. Dkt. Muyungi ametoa msisitizo huo alipofanya ziara katika Kituo cha Kuendeleza Ukuzaji Viumbe Maji cha Ruhila kilichopo Manispaa ya Songea…

Kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi wa mazingira, Standard Chartered Tanzania imeongoza shughuli ya upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nianjema, Wilaya ya Bagamoyo. Shughuli hiyo inaakisi juhudi zinazoendelea za benki katika kuunga mkono hatua za kukabiliana na mabadiliko ya t…

Watumishi wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bw. Simbani Liganga, wakati akizungumza alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha, kuona namna Watumishi hao wanavyoendelea kutoa huduma kwa wananchi wanaotembelea Banda hilo wakati wa Maon…

Na Jackline Minja, WMJJWM Mafinga – Iringa Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake, kujitegemea kiuchumi, kujiajiri na kuchangia maendeleo ya Taifa. Naibu Waziri Mahundi ameyasema hayo Julai 12, 2026 alipozungumza na wanafunzi wa mafunzo…

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, akizungumza wakati akifunga Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani 2026 leo Julai 6,2026 jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Na Alex Sonna, Mzalendo Blog –DODOMA SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya ushirika nchini kuendesha taasisi hizo kwa …

Mvutano mkubwa umeanza kushika kasi katika ulimwengu wa soka baada ya kuibuka kwa taarifa kwamba Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anafikiria kuleta mfumo mpya wa kibiashara utakaowaruhusu wawekezaji binafsi kumiliki sehemu ya thamani ya Kombe la Dunia. Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA inapanga kuanzisha kampuni maalum …

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog Klabu ya Yanga imetangaza kuwa Tamasha la Yanga Day 2026 litakuwa la kipekee, likiwa na burudani, maonesho ya kikosi kipya na mchezo maalumu wa Siku ya Mwananchi, huku mashabiki wakitarajiwa kushuhudia kwa mara ya kwanza nyota wapya waliosajiliwa kuelekea msimu wa 2026/27. Akizungumza na wa…

Na WMA – DODOMA. Wanafunzi wa Klabu ya Vipimo (Vipimo Club) kutoka Shule ya Msingi Mtemi Mazengo ya jijini Dodoma, wamegeuka walimu kwa siku moja baada ya kumpa elimu ya vipimo Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo, katika banda la Wakala wa Vipimo (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane […]

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog Klabu ya Yanga SC imeweka wazi ukubwa wa maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kutangaza kuwa mfadhili wake mkuu, Ghalib Said Mohamed (GSM), ametenga takribani Sh bilioni 15 kwa ajili ya usajili wa wachezaji, hatua inayodhihirisha dhamira ya klabu hiyo ya kuendelea kutawala sok…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam.…

Na Mwandishi wetu,Dodoma Kampuni ya Rijk Zwaan Tanzania imetumia Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma kuwahamasisha wakulima na vijana kutumia mbegu bora pamoja na teknolojia za kisasa za uzalishaji wa mboga mboga, ikieleza kuwa hatua hiyo ndiyo njia ya kuongeza tija, kipato na ushindani wa mazao …

Meneja wa Mawasiliano wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bi. Subira Kaswaga,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la e-GA wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzuguni jijini Dodoma. Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA M…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting-GSM) uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam, ambapo pia alikuwa Mwenyekiti Mwenza wa mkutano huo.…

Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), katika kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, imesema kutokana na…

Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 4,2026 katika Banda la WMA wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Wa…

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jinsia,Wanawake na Makundi Maalumu Eng. Maryprisca Mahundi amewataka vijana kusimama kusimama imara kukemea Uchochezi na upotoshwaji unaoenezwa mitandaoni dhidi ya Serikali na kusimama imara kuitetea Serikali kwa hoja zenye nguvu. Eng.Mahundi ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vijana …

Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili kuhakikisha usalama na uzingatiaji wa viwango vya ubora vinavyotakiwa. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane jijini Dodoma, Afisa Ubora wa Mafuta wa PBPA…

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Udhibiti wa Mbegu za Kilimo Tanzania (TOSCI), Nyasebwa E. Chimagu,akizungumza katika Mkutano wa wadau wa kilimo ikolojia uliofanyika ndani ya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Kitaifa jijini Dodoma, …. Taasisi ya Udhibiti wa Mbegu za Kilimo Tanzania (TOSCI) imeeleza kuwa ulinzi na usimamizi …

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akimueleza Meneja wa Mikopo Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Bw. Amani Shabani (kushoto), kuhusu umuhimu wa Benki hiyo kuendelea kuinua wakulima nchini, wakati alipotembelea katika Viwanja vya Dk. John Samwel Malecelaa kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za …

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (MB) (Mwenye Suti) akisikiliza maelezo ya Huduma zinazopatikana katika banda la Mfuko wa PSSSF katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) Kanda ya Kusini yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi Agosti 5, 2026

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeeleza kuwa litaendelea kuwafikia wananchi kwa kutoa elimu ya kilimo cha kisasa, ufugaji na uvuvi hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane, likisisitiza kuwa jukumu lake ni kujenga jamii yenye maarifa, uzalishaji mkub…

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 7,2026 mara baada ya kutembelea mabanda ya Taasisi zilizochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara wakati wa Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Malecela Nzuguni Jijini Dodoma. Na Alex Sonna…

Na Edward Winchislaus-DODOMA WAKATI Serikali ikiendelea kuhimiza ongezeko la uzalishaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imesema mafanikio ya sekta hizo yanategemea pia uwepo wa nguvu kazi yenye afya, hivyo imeendelea kusisitiza umuhimu wa kinga dhidi ya maambukizi y…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewataka vijana wanaoshiriki mpango wa Kujenga kesho bora (Building a Better Tomorrow (BBT) kutumia fursa ya urasimishaji wa biashara ili kuongeza thamani ya shughuli zao za kilimo na ufugaji, hatua itakayowawezesha kushindana katika masoko ya …

Na.Alex Sonna-DODOMA Tanzania imeendelea kujijengea heshima katika sekta ya mbegu barani Afrika baada ya Waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Clement Juma Mbugoniwia, kutembelea banda la Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea Nzuguni, mko…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA BENKI ya Ushirika Tanzania (Cooperative Bank Tanzania Plc) imeendelea kuonyesha kasi ya ukuaji baada ya kuongeza mikopo kutoka Shilingi bilioni 14 mwaka 2024 hadi kufikia Shilingi bilioni 102 mwaka 2025, huku amana zikipanda kutoka Shilingi bilioni 15 hadi Shilingi bilioni 114, hatua…

Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Jijini Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea banda la Kampuni ya pembejeo za kilimo ya Betaren ya Urusi katik…

Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Prof. Tumaini Nagu ameitaka Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuongeza kasi ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya barabara hususan kuepuka kutupa ta…

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo, Mifugo na Sherehe za Nanenane Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika Viwanja vya Themi Njiro, Arusha. Akizungumzia ushindi huo, Prof. Maulilio Kipanyula, Makamu Mkuu wa…
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

EWURA YAWAASA WANANCHI KUNUNUA BIDHAA KWA WATOA HUDUMA WENYE LESENI

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 10,2026

NM-AIST KINARA WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI 2026

RC MAKALLA AIPONGEZA NM-AIST KWA UBUNIFU NA TAFITI ZINAZOCHOCHEA MAPINDUZI KATIKA KILIMO NA MIFUGO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Makalla, ameipongeza Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kwa tafiti na bunifu mbalimb

BARAZA LA USHINDANI LAJA NA MFUMO WA KIDIJITALI KURAHISISHA RUFAA ZA WANANCHI

KILA KILO INAYOPOTEA NI SHILINGI INAYOPOTEA – MENEJA FEDHA WA WMA ATOA SOMO NANE NANE

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 9,2026

BI. NGASONGWA ASHIRIKI KILELE CHA MAONESHO YA NANENANE, ATOA ELIMU YA USHINDANI NA BIDHAA BANDIA

RAIS SAMIA AHUTUBIA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANENANE KITAIFA JIJINI DODOMA

RAIS WA AFDB AHITIMISHA ZIARA TANZANIA BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA WANAHISA WA AFRICA50.

PROF. NAGU: TARURA ONGEZENI ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Prof. Tumaini Nagu ameitaka Wakala

MTWALE AITAKA TARURA IENDELEE KUTOA TABASAMU KWA WANANCHI KUPITIA BARABARA BORA

MTENDAJI MKUU WMA AHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MIZANI ILIYOHAKIKIWA

NYUKLIA YAGEUKA SILAHA YA SAYANSI KUPANDISHA TIJA YA KILIMO NA MIFUGO

REA YAPELEKA FURSA YA MKOPO NAFUU WA UJENZI WA VITUO VIDOGO VYA MAFUTA VIJIJINI KWA WANAUSHIRIKA WOTE TANZANIA

WMA YAPONGEZWA KWA KUANZISHA KLABU ZA VIPIMO SHULENI

WAZIRI NANAUKA AIPONGEZA TARURA KWA MPANGO WA CBRM

WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfum

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 8,2026

TACAIDS: NGUVU KAZI YENYE AFYA NDIYO MSINGI WA UCHUMI IMARA
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
Retention: 70% repeat business.
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.