Gundua

39 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Mkoa wa Kilimanjaro chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

SERIKALI KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI HOLILI NA TARAKEA KUDHIBITI TISHIO LA EBOLA

Mkoa wa Kilimanjaro
Afya na Huduma za Jamii Rais samia azindua kituo cha tiba y…

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TIBA YA MIONZI KCMC

Mkoa wa Kilimanjaro
Utawala wa Umma na Ulinzi Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

OFISI MPYA YA KIJIJI CHA SANGO YAZINDULIWA NA MWENGE MOSHI VIJIJINI, IMEGHARIMU SH MILIONI 50.8

Mkoa wa Kilimanjaro
Afya na Huduma za Jamii Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MIUNDOMBINU YA KITUO KIPYA CHA AFYA CD MSUYA

Mkoa wa Kilimanjaro
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

MUWASA YAAGIZWA KUKAMILISHA KWA HARAKA MABORESHO CHANZO CHA MAJI COFFEE CURING

Mkoa wa Kilimanjaro
Afya na Huduma za Jamii Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…

MWENGE WA UHURU UMEWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO LA HUDUMA ZA UPASUAJI WA KISASA HOSPITALI YA KCMC

Mkoa wa Kilimanjaro
Spotlight Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

RAS NZOWA AWAITA WANANCHI KUNUFAIKA NA FURSA ZA MAONYESHO YA NANE NANE

Mkoa wa Kilimanjaro
Spotlight Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

WAZIRI MCHENGERWA ATOA SIKU KUMI NA NNE (14) KWA UONGOZI WA HALMASHAURI YA SAME KUWEKA MADAWATI KATIKA MADARASA MATATU

Mkoa wa Kilimanjaro
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dc mkude awahakikishia usalama wash…

WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA KASKAZINI WAWAALIKA WANANCHI MAONESHO YA NANENANE 2026

Mkoa wa Kilimanjaro
Spotlight Nanenane dodoma: mbifacu yanadi fur…

SERIKALI YAANZA MKAKATI WA KUFUFUA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO

Mkoa wa Kilimanjaro
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA KASKAZINI WAWAALIKA WANANCHI MAONESHO YA NANENANE 2026
Kilimo, Misitu na Uvuvi

WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA KASKAZINI WAWAALIKA WANANCHI MAONESHO YA NANENANE 2026

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 31 Jul 2026
RC BABU APOKEA TUZO YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KWA KUIMARISHA UTAWALA WA SHERIA KILIMANJARO.
Sheria na Mahakama

RC BABU APOKEA TUZO YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KWA KUIMARISHA UTAWALA WA SHERIA KILIMANJARO.

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 30 Jul 2026
SERIKALI KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI HOLILI NA TARAKEA KUDHIBITI TISHIO LA EBOLA
Afya

SERIKALI KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI HOLILI NA TARAKEA KUDHIBITI TISHIO LA EBOLA

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 24 Jul 2026
WAZIRI MCHENGERWA ATOA SIKU KUMI NA NNE (14) KWA UONGOZI WA HALMASHAURI YA SAME KUWEKA MADAWATI KATIKA MADARASA MATATU
Miundombinu

WAZIRI MCHENGERWA ATOA SIKU KUMI NA NNE (14) KWA UONGOZI WA HALMASHAURI YA SAME KUWEKA MADAWATI KATIKA MADARASA MATATU

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 23 Jul 2026
KILIMANJARO YANG'ARA MAONYESHO YA SABASABA.
Uchumi

KILIMANJARO YANG'ARA MAONYESHO YA SABASABA.

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 22 Jul 2026
RAS NZOWA APONGEZA KILIMANJARO KUTWAA TUZO MAONYESHO YA SABASABA
Uchumi

RAS NZOWA APONGEZA KILIMANJARO KUTWAA TUZO MAONYESHO YA SABASABA

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 22 Jul 2026
RAS NZOWA AWAITA WANANCHI KUNUFAIKA NA FURSA ZA MAONYESHO YA NANE NANE
Uchumi

RAS NZOWA AWAITA WANANCHI KUNUFAIKA NA FURSA ZA MAONYESHO YA NANE NANE

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 21 Jul 2026
RC BABU AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUSIMAMIA MIRADI KWA UADILIFU.
Habari

RC BABU AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUSIMAMIA MIRADI KWA UADILIFU.

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 20 Jul 2026
MANISPAA YA MOSHI YAPOKEA MAGARI MAPYA YA ZIMAMOTO KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI.
Matukio

MANISPAA YA MOSHI YAPOKEA MAGARI MAPYA YA ZIMAMOTO KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI.

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 10 Jul 2026
MUWASA YAAGIZWA KUKAMILISHA KWA HARAKA MABORESHO CHANZO CHA MAJI COFFEE CURING
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka

MUWASA YAAGIZWA KUKAMILISHA KWA HARAKA MABORESHO CHANZO CHA MAJI COFFEE CURING

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 03 Jul 2026
MWENGE WA UHURU UMEWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO LA HUDUMA ZA UPASUAJI WA KISASA HOSPITALI YA KCMC
Afya na Huduma za Jamii

MWENGE WA UHURU UMEWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO LA HUDUMA ZA UPASUAJI WA KISASA HOSPITALI YA KCMC

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 03 Jul 2026
OFISI MPYA YA KIJIJI CHA SANGO YAZINDULIWA NA MWENGE MOSHI VIJIJINI, IMEGHARIMU SH MILIONI 50.8
Utawala wa Umma na Ulinzi

OFISI MPYA YA KIJIJI CHA SANGO YAZINDULIWA NA MWENGE MOSHI VIJIJINI, IMEGHARIMU SH MILIONI 50.8

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 02 Jul 2026
WAFUGAJI NA WAZALISHAJI KOKOTO: MKAPO WA MILIONI 36 WAGEUZA MAISHA YA VIJANA MOSHI, MWENGE WAONGEZA CHECHEO
Vijana

WAFUGAJI NA WAZALISHAJI KOKOTO: MKAPO WA MILIONI 36 WAGEUZA MAISHA YA VIJANA MOSHI, MWENGE WAONGEZA CHECHEO

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 01 Jul 2026
JENGO LA OPD ZAHANATI YA GHONA LAZINDULIWA KWA SH MILIONI 153 MOSHI, YAOKOA WANANCHI ZAIDI YA 3,000 KUTEMBEA KM 16
Afya na Huduma za Jamii

JENGO LA OPD ZAHANATI YA GHONA LAZINDULIWA KWA SH MILIONI 153 MOSHI, YAOKOA WANANCHI ZAIDI YA 3,000 KUTEMBEA KM 16

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 01 Jul 2026
DARAJA LA MILIONI 43 LAZINDULIWA ROMBO, WANANCHI WAPUMUA BAADA YA ADHA YA MUDA MREFU
Ujenzi na Miundombinu

DARAJA LA MILIONI 43 LAZINDULIWA ROMBO, WANANCHI WAPUMUA BAADA YA ADHA YA MUDA MREFU

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 01 Jul 2026
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MIUNDOMBINU YA KITUO KIPYA CHA AFYA CD MSUYA
Afya na Huduma za Jamii

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MIUNDOMBINU YA KITUO KIPYA CHA AFYA CD MSUYA

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 30 Jun 2026
KIONGOZI WA MWENGE ARIDHISHWA NA UBORA WA OFISI MPYA YA KIJIJI CHA KILAWEWENI, MWANGA
Ujenzi na Miundombinu

KIONGOZI WA MWENGE ARIDHISHWA NA UBORA WA OFISI MPYA YA KIJIJI CHA KILAWEWENI, MWANGA

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 30 Jun 2026
MWENGE UMEWASILI KILIMANJARO
Matukio

MWENGE UMEWASILI KILIMANJARO

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 28 Jun 2026
HAFLA YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU
Matukio

HAFLA YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 28 Jun 2026
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TIBA YA MIONZI KCMC
Afya na Huduma za Jamii

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TIBA YA MIONZI KCMC

Mkoa wa Kilimanjaro· Jesse Mwakisyala· 24 Jun 2026
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

mzalendo.co.tzRead more

Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.

tanzaniainvest.comRead more

Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.

thecitizen.co.tzRead more

Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.

tanzlite.comRead more

Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'

mwananchi.co.tzRead more

Lead generation: 90 qualified inquiries per year.

bongo5.comRead more

Retention: 70% repeat business.

Target ARPU of TZS 5 million.

CAC under TZS 300k.

Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.

Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.