Gundua

1754 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Michuzi chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Spotlight Tanzania Development Vision 2050

NMB Bank Plc has advanced its Medium-Term Plan 2026–2030, (Agenda 2030), by committing approximately USD 100 million (TZS 224 billion) to a landmark USD 500 million syndicated financing facility arranged by Nedbank Corporate and Investment Banking for AngloGold Ashanti's Geita Gold Mine. The commitment makes NMB the l…

Michuzi
Elimu AI

Na Oscar Assenga,TANGASERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa washauri wa wanafunzi, wanasihi na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali nchini.Akizungumza wakati wa k…

Michuzi
Elimu Government Intervenes on Cement Pri…

Zaidi ya wanaushirika 2,000 wamepata mafunzo ya ushirika na maendeleo binafsi kupitia Jukwaa la Tano la Maendeleo ya Ushirika Mkoa wa Dodoma lililofanyika Juni 5 hadi 6, 2026 jijini Dodoma, likiwa na lengo la kuwakutanisha wadau wa ushirika kujadili mafanikio, changamoto na fursa za maendeleo katika sekta hiyo.Akizung…

Michuzi
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Proposed Reforms to Transform Tanzania’s Business and Investment Climate Ebola

Na Mwandishi Wetu.SERIKALI imeimarisha kwa kiwango kikubwa ufuatiliaji katika mipaka, vituo vya kuingilia nchini na mfumo mzima wa huduma za afya ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini kutoka mataifa jirani.Akizungumza katika semina ya wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ukuzaji wa Afya kutoka …

Michuzi
Nishati na Umeme Fuel Prices

Meneja wa EWURA Kanda ya Magaharibi, Mha. Karim Ally(kushoto) akitoa maelezo ya majukumu yanayotekelezwa na Mamlaka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Mh. Dkt. Rashid Chuachua(kulia) ikiwemo utoaji wa leseni na vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta, vituo vya CNG, utatuzi wa migogoro na malalamiko na nafasi ya EWURA katika…

Michuzi
Spotlight Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Na Janeth Raphael MichuziTv BungeniSerikali ya Tanzania imetangaza vipaumbele vikuu vya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambao unalenga kuimarisha uchumi, kuboresha maisha ya wananchi na kuongeza ushindani wa taifa katika masoko ya kikanda na kimataifa.Mpango huo umeelezwa kuwa dira muhimu ya m…

Michuzi
Spotlight Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

MICHUANO mikubwa Duniani inatarajiwa kuanza Alhamisi ya leo Kule Mexico ambapo waandaaji wa mashindano hayo watakuwa kibaruani dhidi ya timu kutoka Afrika, yaani Afrika Kusini. Nani kuanza vyema leo?Je uanjua kuwa siku zote mechi ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani daima huwa na umuhimu wa kipekee kwa sababu ndiyo…

Michuzi
Spotlight Tanzania budget 2026/27: Taxes, job…

Tanzania’s 2026/27 Budget is more than the Government’s annual plan for collecting and spending public money. It sets out how national resources will be allocated across development, public services, infrastructure and the economy as a whole, with decisions that reach into almost every part of the country. At TZS 62.3…

Michuzi
Spotlight Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema serikali imechukua hatua madhubuti kumaliza changamoto za kukatika kwa umeme zilizokuwa zikiathiri baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, hali iliyokuwa ikisababisha wilaya nzima kukosa umeme pindi hitilafu zinapotokea kwenye baad…

Michuzi
Michezo Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

Na Farida Saidi MorogoroWanafunzi 6,800 kutoka nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamewasili mkoani Morogoro kushiriki Mashindano ya Michezo ya Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) 2026, yanayotarajiwa kuanza rasmi kesho, Agosti 12, hadi Agosti 23, mwaka huu.Mas…

Michuzi
Teknolojia Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) na Vodacom Tanzania PLC zimesaini makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la kuharakisha mageuzi ya kidijitali katika mfumo wa uwekezaji nchini na kuboresha huduma kwa wawekezaji wa ndani na nje ya Tanzania.Ushirikiano huo wa miaka miw…

Michuzi
Spotlight Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…

KARIBU kwenye kwenye Zigo la Mizawadi, Meridianbet tumezindua rasmi kampeni mpya na ya kusisimua ya “Mbabe wa Dunia”, ikitoa nafasi kwa wapenzi wa soka kushindania zawadi zenye thamani ya jumla ya TZS 100,000,000 katika kipindi chote cha Kombe la Dunia 2026.Kuanzia leo Juni 12 hadi Julai 19, kila tiketi yenye mechi za…

Michuzi
Spotlight Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Na Paul Kayanda, KahamaMWENYEKITI wa Mtaa wa Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Stella Bhayugile, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan umeendelea kuleta matumaini mapya kwa wananchi. Huku vijana na wanawa…

Michuzi
Spotlight Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

Na Janeth Raphael MichuziTv Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema chama hicho kimepokea taarifa zinazoonyesha kuwepo kwa baadhi ya makundi yanayodaiwa kupanga njama za kuvuruga amani na utulivu wa nchi.Akizungumza na…

Michuzi
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Na Victor Masangu,KibitiMwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji ambao unatakelezwa na Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kibiti ambapo amesema kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa katika kuwahudumia kwa kiasi kikubwa wananchi …

Michuzi
Spotlight Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Nancy Nyalusi, amesema ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya na unatarajiwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga huku ukiimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa.Nyalusi a…

Michuzi
Burudani Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …

WAPENZI wa burudani za michezo ya kasino mtandaoni, safari ya kushinda imepata msisimko mpya kupitia Rewards Burst Prize Drops kutoka Meridianbet, ambapo kila raundi inayokidhi vigezo inaweza kukufungulia mlango wa zawadi tamu papo hapo. Hii si nafasi ya kawaida, bali ni promosheni inayowaleta wachezaji karibu na zawa…

Michuzi
Spotlight Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Vedastina Kagombora amesema kuwa Suala la ujumuishaji sio jukumu la Sekta moja bali ni la kila Wizara kushirikiana ili kuweka mazingira rafiki katika upatikanaji wa huduma muhimu ikiwemo …

Michuzi
Spotlight Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

Michuzi
Spotlight Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

LEO hii ni zamu ya mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa.Katika Kundi C leo hii kutakuwa na mechi kati ya Brazil dhidi ya Morocco ambapo hii ni moja ya mechi ambazo zitakuwa nzuri kutaza…

Michuzi
Spotlight Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, Juni 22, 2026 alitembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.Akiwa katika banda hilo, Prof. Kahyarara alipokewa na Mene…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London (LSE). Hatifungani hiyo, yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 (Shilingi bilioni 262.5), itaipatia Benki ya NMB ikiwa…

Michuzi
Biashara ya Jumla na Rejareja Singapore sees Tanzania as a major …

Minister of State in the President's Office (Planning and Investment), Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of the State Visit by the President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, to Russia from 2–6 June 2026. The briefing was held at the Juliu…

Michuzi
Spotlight Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…

MCHEZO wa leo kati ya Iraq na Norway katika Kundi I michuano mikubwa 2026 unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa licha ya Norway kuingia kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kushinda.Huu ni mchezo wa kwanza kwa mataifa yote mawili katika mashindano haya, ambapo Iraq inarejea Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka …

Michuzi
Spotlight TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

TAKUKURU Mkoa wa Geita imefikisha mahakamani watumishi 9 wa umma kwa tuhuma za kutumia vibaya na kuiba fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 89,055,107 na senti 50. Watumishi hao walikamatwa baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kubaini walikuwa wakifanya vitendo vya rushwa na ubadhirifu. Kati yao watumishi 3 wa Manispaa …

Michuzi
Spotlight Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

Na Mwandishi WetuHALIMASHAURI ya Wilaya ya Kisarawe,Mkoani Pwani imeendelea kung'ara kwa kupata hati safi kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG), kwa kipindi cha miaka minne mfurulizo.Wilaya hiyo imepata hati safi katika mwaka wa fedha 2021/22 , mwaka wa fedha 22/23, mwaka wa fedha 23/24 n…

Michuzi
Spotlight Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Na Mwandishi Wetu, MorogoroWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini.Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Bar…

Michuzi
Spotlight Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

Victor Masangu,Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya ya Wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewasa viongozi wa CCM kuhakikisha kwamba wanavalia njuga na kusimamia ipasavyo suala la mikopo ya asilimia kumi ambayo inatolewa na Halmashauri.Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara yake ya kikazi Wilaya ya Bagamoyo yenye lengo la kuo…

Michuzi
Spotlight Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Michuzi
Spotlight Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitaka Mahakama ya Tanzania kuendelea kuimarisha misingi ya haki, nidhamu, uwajibikaji na maadili katika utoaji wa huduma za haki ili kuhakikisha mfumo imara na wa kuaminika wa utoaji haki nchini.Rais Samia amet…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Needpeace Wambuya, amepongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), hususan hatua ya kuanzisha mpango wa kuuza mifugo kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akizungumza alipotembelea banda la WRRB kati…

Michuzi
Spotlight Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Na.Mwandishi wetu - Dar es SalaamKamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya maandalizi ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El N…

Michuzi
Viwanda na Uzalishaji Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Na Benny Mwaipaja, DURBANNchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeazimia kuharakisha mageuzi ya kiviwanda katika kanda, baada ya kuhitimisha Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SIW 2026) iliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Durban, jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini.Zimes…

Michuzi
Spotlight Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Benki ya NMB imeendelea kuonyesha nafasi yake katika kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha kwa wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo, wakiwemo wakulima, wanunuzi wa mazao, wachakataji, wasafirishaji na waagizaji wa pembejeo.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Bi…

Michuzi
Spotlight Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

Dar es Salaam, Julai 3, 2026 Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua iliyowezesha kuongeza fursa za mafunzo kwa watumishi wa umma na wananchi kupitia ongezeko la kampasi kutoka mbili hadi sita katika kipindi cha miaka 25 iliyopita.Ponge…

Michuzi
Elimu Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ameiagiza Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kuongeza elimu kwa umma kuhusu matumizi ya teknolojia ya nyuklia, ili Watanzania waelewe manufaa yake na matumizi chanya katika maisha na maendeleo ya taifa.Prof. Nombo ametoa agizo hilo Agosti 20…

Michuzi
Ujenzi na Miundombinu Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

DodomaRAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuwa ni miongoni mwa taasisi bora za maendeleo ya miundombinu barani Afrika kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake mwaka 2017.Wakili Mwambaj…

Michuzi
Spotlight Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Juni 7,2026JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.Akitoa ufafanuzi kuhusu tukio hilo, kam…

Michuzi
Spotlight Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…

Leo hii mechi za kirafiki zile za kujiandaa na msimu ujao zinakaribia huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja ikiwa inakungoja. Je nani anaweza kuondoka na ushindi siku hii ya leo?Mechi ya Basel dhidi ya Juventus inatarajiwa ya kuvutia kiaina yake na yenye ushindani mkubwa haswa huku huku kila timu ikitumia fursa hii …

Michuzi
Spotlight Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Na Janeth Raphael - MichuziTv -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea msaada wa Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Uboreshaji wa Huduma za Usambazaji Ma…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Na Farida Mangube Morogoro Wakazi wa Kitongoji cha Kichangani, Kijiji cha Mamboya katika Kata ya Gairo, Wilaya ya Gairo, wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya mafuriko na kukatika kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja na mtaro wa maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 455.Mra…

Michuzi
Spotlight Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ametoa maagizo ya kuchukuliwa hatua kwa maafisa rasilimali watu watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma, licha ya wahusika hao kutimiza vigezo vyote vinavyohitajika.Prof. Sh…

Michuzi
Burudani Play’n GO na Meridianbet Waungana K…

MAWIMBI ya burudani yamepanda tena kwenye ulimwengu wa kasino huku Meridian Scatter Whale ikiwasili kwa kishindo ndani ya Meridianbet, mchezo mpya unaowapeleka wachezaji kwenye safari ya kipekee ndani ya kina cha bahari. Ukiwa na mandhari ya kuvutia, alama zenye mvuto na msisimko wa kila mzunguko, mchezo huu unakualik…

Michuzi
Spotlight Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendesha zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Miyuji B, iliyopo eneo la Mpamaa jijini Dodoma Juni 28, 2026, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya TRA pamoja na Tuzo za Rais kwa Walipakodi Bora. Zoezi hilo linalenga kuunga mkono …

Michuzi
Spotlight Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Balozi Dk. Mpoki Ulisubisya (wa pili kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Kitengo cha Uchunguzi wa saratani na elimu kwa umma wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dk. Maguha Stephano, alipotembelea banda la taasisi hiyo katika Maonesho ya Kimat…

Michuzi
Elimu Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimewahimiza vijana, hususan mabinti, kuchangamkia fursa za masomo katika sekta ya bahari, kikieleza kuwa wahitimu wa chuo hicho wana nafasi kubwa ya kupata ajira ndani na nje ya nchi kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa sekta hiyo.Akizungumza na waandishi wa habari katika b…

Michuzi
Spotlight Algerian firms seek partners for tr…

Balozi Mobhare Matinyi akimwonesha Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Géant Electronics, Abdelkrim Mebarkia, vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye banda la Tanzania katika Maonesho ya 57 ya Biashara ya Kimataifa ya Algiers (FIA) yanayoendelea nchini Algeria.Balozi Mobhare Matinyi akipata maele…

Michuzi
Spotlight WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Michuzi
Spotlight Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …

Mechi hii kubwa itachezwa Alhamisi tarehe 9 Julai 2026 katika uwanja wa Gillette Stadium (unaojulikana pia kama Boston Stadium), mjini Foxborough, karibu na Boston, Marekani. Mchezo utaanza saa 20:00 kwa muda wa GMT, sawa na saa 23:00 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki (na saa 22:00 mjini Paris, saa 21:00 Rabat). Huu …

Michuzi
Spotlight Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

Michuzi
Spotlight Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Na Andrea Kadege, WAF-Dar es SalaamMkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Ukanda wa Afrika Prof. Mohamed Janabi amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji wa haraka wa wagonjwa na uwekezaji katika mifumo ya afya kama nguzo muhimu ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola barani AfrikaProf. Janabi amesema hayo leo Juni 25, 2026 Jijini Dar …

Michuzi
Spotlight Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…

LEO. Jumapili Julai 19, 2026, dunia nzima itashuhudia fainali ya michuano ya Dunia ikichezwa kati ya Argentina na Spain katika uwanja wa MetLife (unaojulikana pia kama New York New Jersey Stadium), East Rutherford, New Jersey, Marekani.Mchezo utaanza saa 3:00 usiku kwa saa za Marekani (ET), ambayo ni sawa na saa 22:00…

Michuzi
Spotlight Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Kamati ya Wataalam ya Serikali ya Maandalizi ya Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) imeweka mkazo katika kuhakikisha miradi ya ujenzi na uboreshaji wa barabara inayotekelezwa kuelekea michuano hiyo inakamilika kwa wakati, ili kuboresha usafiri na usafirishaji.Akifungua kikao kazi cha Kamati h…

Michuzi
Spotlight Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Na Mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha Naibu Makatibu Wakuu wawili na kushuhudia viongozi wanne wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma, huku akiwataka kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ushirikiano, uwajibikaji na kuzingatia maslahi ya wananchi.A…

Michuzi
Mazingira na Hali ya Hewa Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

Na Mwandishi WetuTANZANIA imeidhinisha miradi minne ya biashara ya kaboni yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 135.5, ikifungua njia ya mauzo ya kaboni katika soko la kimataifa.Miradi hiyo imeidhinishwa chini ya Kifungu cha 6 cha Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, kinachoruhusu nchi kushiriki biash…

Michuzi
Spotlight Prediction Afrika Kusini vs Canada …

AFRIKA Kusini wamefuzu kwa mara ya kwanza katika historia yao kufikia hatua ya mtoano wa mashindano ya Dunia, wakimaliza washindi wa pili wa Kundi A nyuma ya Mexico. Hii ni mara yao ya kwanza kuvuka hatua ya makundi katika michuano hii, baada ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 1998, 2002 na kama wenyeji 2010.Kwa upande …

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na Pamela Mollel,Arusha Maandalizi ya kuupokea Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Arusha yamekamilika kwa asilimia 100, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika shughuli za Mbio za Mwenge, kutembelea miradi ya maendeleo na kuhudhuria mkesha mkubwa wa burudani utakaofanyika Viwanja vya FFU Mworombo…

Michuzi
Spotlight Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu matumizi ya dhamana zinazohamishika.Akizungu…

Michuzi
Biashara Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…

USHINDI mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi.Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo…

Michuzi
Spotlight Rc makalla aipongeza halmashauri ya…

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe kubuni na kutekeleza miradi mipya ya kuongeza mapato, badala ya kuendelea kutegemea mapato ya madini peke yake.Ametoa maelekezo hayo wakati wa Kikao Maalum cha Baraza cha kusikiliza na kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…

Michuzi
Spotlight Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Michuzi
Spotlight Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha wafugaji nchini kupata huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo mikopo, kupitia mfumo wa uuzaji wa mifugo kwa stakabadhi ghalani.Ushirikiano huo unalenga kuongeza upatikanaji wa mitaji …

Michuzi
Spotlight Kamati ya bunge ya nishati na madin…

*Yawahamasisha Wananchi Kutumia Umeme kwa Ufanisi na gharama nafuuNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zinazolenga kubores…

Michuzi
Spotlight Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuwa chachu ya mabadiliko kwa kaya maskini, hususan wanawake, kwa kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuanza maisha ya kujitegemea.Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi…

Michuzi
Spotlight Norway yaiondosha ivory coast kombe…

LEO Julai 5, 2026, saa 23:00, Uwanja wa MetLife, New Jersey, utashuhudia pambano kali la michuano ya Dunia kati ya Brazil na Norway. Hii ni mechi ya Raundi ya 16 ambayo inaahidi burudani na mivutano mikubwa. Brazil, yenye mataji matano ya duniani, inatafuta kuvunja rekodi isiyofurahisha ya kutokuwahi kuishinda Norway …

Michuzi
Misaada na Hisani Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

AFYA bora ni mtaji wa maisha, lakini kwa baadhi ya makundi katika jamii, kupata mahitaji muhimu ya kila siku bado ni changamoto kubwa. Kwa kutambua hilo, Meridianbet imeendelea kuonyesha kuwa mchezo hauishii uwanjani pekee, bali pia una nafasi kubwa ya kugusa maisha ya watu nje ya uwanja. Safari hii, kampuni hiyo imep…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Na Janeth Raphael - MichuziTv.Serikali imesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya sekta za kilimo, mifugo, uvuvi, viwanda, biashara na taasisi za kifedha ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha uchakataji wa mazao na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa.Msisitizo huo umetolewa leo Agosti 2, 2026 jijini Dodoma na…

Michuzi
Spotlight Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili ya kushiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu Afya, tarehe 22 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. …

Michuzi
Spotlight Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache barani Afrika zilizofanikiwa kusambaza huduma ya umeme vijijini, hatua ambayo imewezesha wananchi wengi kupata huduma hiyo kutoka ngazi za mikoa, wilaya, kata na vijiji, huku sasa juhudi zikielekezwa katika kufikisha umeme kwenye …

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula amepongeza ushiriki wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, 2026 akieleza kuwa maonesho hayo ni jukwaa muhimu la kulitangaza jiji na fursa zake kwa wananchi na wawekezaji.Alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la Halmas…

Michuzi
Spotlight Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imezindua Mradi wa Twiga Future Forward Education Program, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Barrick Tanzania, ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini na kuongeza fursa za wanafunzi kupata elimu katika mazingira bora.Akizindua mradi hu…

Michuzi
Spotlight Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Michuzi
Spotlight Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

Na Janeth Raphael MichuziTv Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameelezwa kuwa moja ya majukwaa makubwa yanayochochea ukuaji wa biashara, uwekezaji na ubunifu nchini, huku yakiiunganisha Tanzania na masoko ya kikanda pamoja na ya kimataifa.Akizungumza katika ufunguzi rasmi Maonesho ya 50 ya …

Michuzi
Spotlight Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akipata maelezo kutoka kwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa wakato alipotembelea katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage N…

Michuzi
Ujenzi na Miundombinu Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

▪️︎ Ataka kazi ifanyike usiku na mchana inapowezekana;▪️︎ Asisitiza mashindano hayo ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Tanzania;▪️︎ Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya wafanyakazi na kushughulikia stahiki zao ndani ya wiki moja.WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazo…

Michuzi
Spotlight Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

📍Wamwangukia DPP amuachie LissuNa Mashaka Mhando, TangaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya majimbo mkoani Tanga, wamemtaka Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), John Heche, kujiuzulu au kukaa pembeni kupisha uchunguzi kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazomkabili.Sambamba na shin…

Michuzi
Spotlight Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji, Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (kulia) na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo Happiness Shuma (kushoto), wakiwa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). M…

Michuzi
Spotlight Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamJUMLA ya wananchi 1,940 wamepata huduma za uchunguzi wa macho na ushauri wa kitabibu bila malipo katika Banda la MIXX kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika banda hilo, Mta…

Michuzi
Spotlight NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Na MWANDISHI WETUDar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuchangia katika Mfuko huo ili kujihakikishia ulinzi w…

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Michuzi
Spotlight Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

Na Farida Mangube Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akisema ni muhimu kwa usafirishaji wa mazao ya kilimo na madini katika Wilaya za Ulanga na Malinyi, Mkoa wa Morogoro.Ametoa ombi hilo wakati wa hafla ya kumkabidhi mkandara…

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imeiagiza Wizara ya Uchukuzi kuharakisha taratibu za kuwasilisha Waraka wa Baraza la Mawaziri ili kuwezesha kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Lojistiki na Usafirishaji, hatua inayolenga kuimarisha ubora, weledi na uwajibikaji wa wataalamu wa sekta hiyo nchini.Akifungua Kongamano …

Michuzi
Spotlight Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho, amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa juhudi wanazozifanya za kuimarisha ulinzi na usalama nchini.Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya miak…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

NA: MWANDISHI WETUKodi ni chanzo muhimu cha mapato kinachoiwezesha serikali kufanikisha mipango na mikakati yake ya kimaendeleo kwa wananchi wake.Wananchi wanahitaji huduma nzuri za kijamii kama elimu, afya, maji, umeme, barabara na masoko. Aidha, wanahitaji pia kuwezeshwa kiuchumi kwa kupatiwa mikopo nafuu ya kuwawez…

Michuzi
Spotlight 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi baada ya tafiti, kubadilishana uzoefu na stadi mbalimbali kutoka kwa Nchi zenye mbinu bora,teknolojia ya juu pamoja na uzoefu mkubwa wa kukabiliana na uhalifu,Amezindua Programu Maalumu ya Usalama,Maendeleo na Samia ambayo pia itashirikisha hatua za Mafunzo na Vifaa vy…

Michuzi
Spotlight NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara …

Michuzi
Spotlight Prediction Argentina vs Misri FIFA …

Mechi ya leo kati ya Mexico na England ni pambano la kihistoria katika hatua ya 16 Bora, inayochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Ingawa historia inaonyesha ubabe wa England, ambapo wameshinda mara 6 kati ya 9 dhidi ya Mexico, mechi hii ina mazingira tofauti kabisa. England anajua kwamba Mexico katika uwanja wao w…

Michuzi
Spotlight Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Michuzi
Spotlight Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Na Mwandishi wa OTR Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings Ltd ikiwa ni sehemu ya mapitio ya pili ya mwaka 2026 ya tathmini ya Fitch Ratings, katika mchakato unaohusisha taasisi mbalimbali za Serikali.Mazungumzo hayo yanalenga kuwapa wachambuzi wa Fit…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Na Victor Masangu, PwaniSerikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka mazingira rafiki na mazuri ya ukusanyaji wa mapato ambayo yameweza kusaidia kwa kiasi kikubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika kuwezesha utekelezaji wa mirad…

Michuzi
Spotlight Wananchi watembelea banda la tmda s…

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Michuzi
Spotlight Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Na Mwandishi wetuSerikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali.Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wanahitaji amani, usalama na utulivu badala ya vurugu na mivutano ya kisiasa, akisisitiza kuwa mazingira hayo ndiyo msingi wa Serikali kuendelea kutoa huduma bora za kijamii, kukuza uchumi na kuongeza furs…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wa kitaalamu hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma.Kauli hiyo imetolewa n…

Michuzi
Spotlight Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Michuzi
Madini na Uchimbaji Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…

Na Pamela Mollel,Mererani SimanjiroSerikali imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika teknolojia za kisasa za utafiti wa madini ili kuongeza uzalishaji, kubaini maeneo mapya yenye rasilimali na kuhakikisha Tanzania inanufaika zaidi na utajiri wake wa madiniWaziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavu…

Michuzi
journalism Waandishi wa habari wananufaika na …

Na Mwandishi Wetu.Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka Waandishi wa Habari wa Crown Media kulinda imani ya umma kwa kuzingatia weledi, maadili, uadilifu na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao.Wito huo umetolewa wakati wa mafunzo ya siku mbili yaliyotolewa na JAB kwa Waandishi wa Habari wa…

Michuzi
Siasa Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndugu Rabia Abdalla Hamid (MCC), amewasisitiza wananchi wa Mkoa wa Pwani kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano wa Taifa, akieleza kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kusimamia jitihada za kuboresha na kusta…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

WADAU wote wa lishe wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wametakiwa kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa elimu ya lishe unaotolewa katika jamii na kuhakikisha ubora wa vyakula vinavyozalishwa unachangia kuboresha afya za watumiaji na kupunguza tatizo la udumavu.Kauli hiyo imetolewa leo Aug 19, 2026 na kaimu …

Michuzi
Elimu Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

Na Mwandishi WetuCHUO cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma VETA Chang’ombe, Dar es Salaam, kimesema mafunzo ya ubunifu wa mavazi na mitindo yanaendelea kuwa chachu ya kuwawezesha vijana kujiajiri, kuajiri wengine na kuchangia katika kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo c…

Michuzi
Spotlight Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Michuzi
Biashara Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…

Leo hii una nafasi kubwa ya kuishia maisha ya ndoto zako ukiweza kubashiri kwa usahihi mechi 13 za Jackpot ya Meridianbet. Hii ni nafasi ya wewe kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwa mshindi kwnai hata bila intaneti unaweza ukabashiri mechi za mpira wa miguu.Kwenye ulimwengu huu wa kizazi kipya fursa ni chache sana a…

Michuzi
Spotlight Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Na Mwandishi WetuRAIS na Mkurugenzi Mkuu wa Octant Energy, Richard Schmitt, amesema Kampuni hiyo bado ina dhamira ya dhati kuendelea kuwekeza nchini kwa kuzingatia sheria viwango vya kitaalamu na maslahi ya wananchi.Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwenye Maonesho ya 50 y…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

Na.Mwandishi wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza tani 200,000 za mbolea kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, sambamba na uwekezaji katika viwanda vya kuchanganya mbolea na uchakataji wa chokaa ili kuongeza tija ya uzalishaji wa ma…

Michuzi
Spotlight UN envoy hails Kiswahili’s role in …

By TBN Staff Writer, LondonSwahili Ambassador for Africa and former First Lady of Tanzania, Her Excellency Salma Kikwete, has underscored the vital role of the Kiswahili language in promoting unity, preserving culture and advancing social and economic development across Africa and the wider world.She said Kiswahili ha…

Michuzi
Spotlight Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi wa mashauri yanayohusiana na ushindani. Ziara hiyo iliyofa…

Michuzi
Spotlight Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

Na Mwandishi wetuDar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026.Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuon…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo, taratibu za udhibiti wa bidhaa za dawa na vifaa tiba, pamoja na kuhamasisha uwekezaji katika viwanda vya kutengeneza dawa za mifugo nchini.Akizungumza …

Michuzi
Utalii na Ukarimu Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Waswahili husema nyumba njema haikosi wageni na hii imedhihirika leo tarehe 4 Agosti, 2026 baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar mhe Zubeir Ali Maulid kutembelea eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.Akiwa katika geti la Loduare Spika Maulid alipata taarifa ya vivutio vya eneo hilo iliiyotolewa na Kamishna Msaidizi…

Michuzi
Spotlight Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake huku ikitangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni 50.Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya tisa ya kampeni …

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Na Benny Mwaipaja, LondonWaziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (MB), amefanya mkutano wa kimkakati jijini London nchini Uingereza na maafisa wakuu wa Citibank chini ya uongozi wa Bwana Akin Dawodu, Afisa Mkuu Mtendaji anayesimamia eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, katika ziara yake rasmi ya ku…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Na Vero Ignatus, Michuzi TV-ArushaSerikali imeeleza kuwa ina matarajio makubwa kwa Mawakili wa Serikali katika kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050,Matarajio hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba, wakati akifunga mafunz…

Michuzi
Spotlight BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…

Na Mwandishi wetuKliniki ya Wateja Maalumu, Wagonjwa wa Kimataifa na Uchunguzi wa Afya wa Kina (Royal, International Patients and Master Health Check-up Clinic) katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake, huku ikijivunia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za kibing…

Michuzi
Utalii na Ukarimu Kongamano la nishati : etdco yasisi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai.Mazungumzo hayo yamefanyika leo, tarehe 03 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, alipofika kujitambulisha pamoja na ujumbe alioambatana na…

Michuzi
Spotlight GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVBODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema moja ya jukumu lake kubwa ni kutangaza utalii wa Tanzania ndani na nje ya nchi, hivyo Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)yanayoendelea ni jukwaa muhimu la kuendelea kutangaza utalii wetu.Aidha imesema kupitia maonesho h…

Michuzi
Spotlight Tanzania eyes Russian tourism boom …

Na Karama Kenyunko Michuzi TvIDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha mawakala 130 wa safari, waendeshaji wa utalii, mashirika ya ndege na wadau wa sekta ya utalii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na sekta ya usafiri nchi…

Michuzi
Spotlight Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Leo, Jumanne Julai 14, mechi kubwa zaidi ya msimu huu wa michuano ya Dunia inachezwa kati ya France na Spain katika Dallas Stadium, jijini Arlington, Texas. Mechi hii itaanza saa 22:00 iko karibu sana na muda halisi wa mechi kwa saa za Ulaya.Timu hizi mbili ndizo zilizoingia kwenye kombe hili zikiwa vipenzi vikubwa vy…

Michuzi
Spotlight Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

Na Janeth Raphael MichuziTv Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyika nchini kuanzia Mei 11 hadi 15, 2026, huku jumla ya watahiniwa 682 sawa na asilimia 43.7 wakifaulu.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi …

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Na Mwandishi Wetu, ArushaMamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewahimiza wazabuni na wadau wa ununuzi wa umma kutumia Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) kuwasilisha malalamiko na rufaa zao PPAA pindi wanapoona hawakutendewa haki katika …

Michuzi
Vijana Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Na Mwandishi Wetu, TangaSERIKALI imesema mashindano ya ujuzi na ubunifu ni sehemu ya mkakati wa kuwaandaa vijana wenye ujuzi unaokidhi mahitaji ya soko la ajira na kuwawezesha kushindana katika majukwaa ya kimataifa.Hayo ameyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo, wakati ak…

Michuzi
Spotlight Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umeweka jiwe la msingi kwenye wodi ya wanawake na watoto katika kituo cha afya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyojengwa na kampuni ya Chusa Mining LTD.Kampuni ya Chusa Mining LTD chini ya Mkurugenzi wake Joseph Damasi Mwakipesile imejenga wodi hiyo ya wanawake…

Michuzi
Spotlight Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Michuzi
Spotlight Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na Waziri", ambapo jumla ya malalamiko 29 yamepokelewa na kuanza kufanyiwa kazi, hatua inayotoa matumaini kwa wananchi wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kisheria.H…

Michuzi
Spotlight Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali wameagizwa kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unakuwa sehemu ya majukumu yao ya kila siku kwa kuoanisha mipango, bajeti na maamuzi ya Taasisi wanazoziongoza na malengo ya maendeleo ya Taifa.Agizo hilo limetolewa Julai 24, 2026 …

Michuzi
Spotlight Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

Michuzi
Spotlight Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034.Wito…

Michuzi
Spotlight Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Na Oscar Assenga,MKINGAJUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regime-STR) ili kurahisisha biashara za mipakani, kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda na kupunguz…

Michuzi
Madini na Uchimbaji Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

Na Mwandishi WetuMWENYEKI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katik…

Michuzi
Spotlight Tanzania holds preparatory talks he…

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Mawaziri wa Utatu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika) uliofanyika kwa njia ya mtandao kujadili hali ya usalama katika ka…

Michuzi
Spotlight TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wateja, washirika wa kibiashara …

Michuzi
Spotlight WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imesema mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) yameweka msingi mpya wa kuimarisha huduma endelevu za maji, usafi wa mazingira na afya nchini, huku ikiahidi kuyaingiza katika mipango ya maendeleo ya taifa.Hayo yalisemwa mjini Morogoro na Mku…

Michuzi
Dini na Imani Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 10 Agosti, 2026.

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…

Michuzi
Spotlight Teknolojia za tari kifulilo zawavut…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

Michuzi
Spotlight Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) imeendelea na jitihada zake za kuhakikisha upatikanaji wa maji katika kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro unakuwa ni wa uhakika ambapo wameendelea kuboresha miundombinu kwa kununua mabomba mapya ya kulaza umbali wa kilomita 13.Akizu…

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umekagua na kutembelea mradi wa viti 120 na meza 120 za wanafunzi wa shule ya sekondari Tanzanite ya Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.Mkuu wa shule ya sekondari Tanzanite, Jude Samwel Mziray ameeleza hayo wakati akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa …

Michuzi
Spotlight Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amesema Mkoa wa Iringa unaendelea kujipambanua kama mkoa wenye fursa ya utalii, kilimo, huku akiwakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kufika mkoani humo kutumia fursa zilizopo.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Juni 3, 2026, mara baada ya kute…

Michuzi
Teknolojia Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Dar es Salaam, Tanzania, 2026.VIONGOZI wa Serikali, sekta sekta binafsi na wadau wa teknolojia wametoa wito wa kuongeza uwekezaji kwa vijana katika ubunifu na ujuzi wa kidijitali ili kuiwezesha Afrika kutoka katika utegemezi wa teknolojia na kuwa mzalishaji wa suluhu za kidijitali zinazoendana na changamoto za maendel…

Michuzi
Spotlight TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema usimamizi endelevu wa misitu na rasilimali za nyuki ni nguzo muhimu katika kuimarisha usalama wa mazingira, kukuza uchumi na kujenga jamii zenye ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi barani Afrika.Kauli hiyo imetolewa J…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Na Mwandishi Wetu, MbeyaJESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 67 wanaotuhumiwa kujihusisha na makosa mbalimbali ya jinai katika kipindi cha mwezi Julai 2026, ikiwa ni sehemu ya jitihada zinazoendelea za kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi na mali zao.Akizungumza na waandishi wa habari, …

Michuzi
Spotlight NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara.Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel, London, Uin…

Michuzi
Spotlight Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

ZAIDI ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Julai 13, 2026 na itahitimishwa Julai 19, ambapo wananchi wanapatiwa vipimo, ushau…

Michuzi
Spotlight Rais samia: tanzania na misri kuung…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Tanzania na Misri zimefikia makubaliano ya kuimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na mifugo, hatua inayotarajiwa kufungua ukurasa mpya wa uwekezaji kupitia maendeleo ya Ranchi ya Ruvu na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa chakula.Akizungumza Ikulu jijini Dar es S…

Michuzi
Spotlight Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.Maboresho hayo yanafanyika kwa uwe…

Michuzi
Michezo UFC Fight Night Serbia: Meridianbet…

Ni suala la muda tu kabla ya Belgrade Arena kufurika shamrashamra za UFC Fight Night Belgrade, moja ya matukio yanayotarajiwa zaidi mwaka huu katika ulimwengu wa michezo ya mapigano. Siku imewadia, na kila saa inayopita inaongeza hamu ya mashabiki kushuhudia mapambano yatakayovuta hisia za dunia nzima. Kwa wapenda uba…

Michuzi
fishing Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…

NA MWANDISHI WETU – SONGEASerikali inaendelea kuboresha na kujenga Miundombinu ya uvuvi ikiwemo masoko ,maghala ya kuhifadhia mazao ya uvuvi, vichanja vya kukaushia samaki maghala ya kuifadhia mazao ya uvuvi na viwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi na teknolojia rafiki za ukaushaji ili kubadilisha sekta hii kutoka ufug…

Michuzi
Spotlight Yanga Princess Kukamilisha Usajili …

NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…

Michuzi
Spotlight Wananchi sale washirikiana na serik…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Mwigulu Nchemba amekagua maandalizi ya siku ya mashujaa yaliyofanyika katika uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoa wa Dodoma.Akizungumza mara maada ya kushuhudia majaribio ambayo yamefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama amesema kuwa mpaka sasa ma…

Michuzi
Spotlight Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Taasisi ya INADES Formation Tanzania imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kupanda miti 200 ya kivuli na matunda katika Shule ya Sekondari Kisima cha Ndege iliyopo Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma.Zoezi hilo ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni ya “Panda Mti Tuilinde Kesho” iliyozinduliwa Januari 2026, yenye lengo la k…

Michuzi
Spotlight Fainali Ya Argentina vs Spain: Vita…

LEO, Jumatano Julai 15, uwanja wa Atlanta Stadium (Mercedes-Benz Stadium) utakuwa jukwaa la mtanange wa kihistoria kati ya England na Argentina, mechi ambayo ni ya kwanza kati ya timu hizi mbili kwenye hatua ya mtoano ya michuano ya Dunia tangu mwaka 2002. Mchezo utaanza saa 22:00 usiku.Safari za timu hizi mbili kufik…

Michuzi
Spotlight Serikali yaimarisha utayari wa kuka…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuimarisha uwezo wa mfumo wa afya katika kuzuia, kugundua na kutoa mwitikio wa haraka dhidi ya magonjwa ya mlipuko.Hayo yamese…

Michuzi
Spotlight Mwamnyeto Mguu Nje Mguu Ndani Yanga

NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…

Michuzi
Burudani Gates of Olympia Yawazawadia Watanz…

MERIDIANBET imeongeza gia nyingine kwenye burudani kwa kuileta Non-Stop Blasts & Races, kampeni yenye zawadi zenye thamani ya hadi TZS 75,000,000,000. Hii ni kampeni inayowaleta pamoja wachezaji, mashindano na zawadi katika safari inayoendelea kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Kama unapenda kuona nafasi mpya …

Michuzi
Mazingira na Hali ya Hewa Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…

Na Mwandishi Wetu, Busan, Korea KusiniKIONGOZI wa jadi wa Kimasai, Isack Lekisongo Meijo, ametoa wito wa kuwepo kwa uwiano endelevu kati ya binadamu, mifugo na wanyamapori katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kulinda urithi huo wa dunia na kuhakikisha maendeleo endelevu ya jamii za wafugaji.Meijo alitoa kauli hiyo…

Michuzi
Spotlight Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha taslim kufuatia uzinduzi rasmi wa mradi wa mabasi yanayotumia umeme (ZanBus), ambapo kampuni ya huduma za kifedha kidijitali Mixx imepewa jukumu la kusimamia mfumo wa malipo kidijitali kupitia kadi janja (Smart Card).Mradi huo ul…

Michuzi
Michezo Sporting dhidi ya Strasbourg: Mechi…

KUELEKEA kuanza kwa ligi mwezi huu, bado timu kutoka ligi mbalimbali zinaendelea kujifua ili kujiweka sawa kabla ya msimu kuanza. Odds kubwa za mechi hizi zipo kwaajili yako. Ingia na ubashiri sasa.AC Milan vs Inter Milan hii ni moja ya mechi kali za kirafiki ambayo itapigwa na yenye ushindani mkubwa kutokana na histo…

Michuzi
Elimu Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imepanga kuwaweka kambini wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 na kuchaguliwa kunufaika na mpango wa Samia Scholarship, ambapo watapatiwa mafunzo maalumu ya kuwaandaa kabla ya kuanza masomo yao ya elimu ya juu.Kambi hiyo itafanyika …

Michuzi
Spotlight Wilson Aanza Kuwa Tishio Huko Vegas

MICHUANO mikubwa Duniani inaendelea kuwaka moto huku mpaka sasa zikiwa zimesalia timu 4 pekee zinawania taji hili akiwemo na bingwa mtetezi wa michuano hii. Je nani kuondoka na Glovu ya Dhahabu?Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanampa nafasi kubwa Mlinda Mlango wa timu ya Taifa ya Ufaransa Mike Maignan kuchuku…

Michuzi
Spotlight Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linafanya uchunguzi wa tukio la mauaji ya Lea Eliud Mazengo (50), mkazi wa Kijiji cha Lamaiti wilayani Bahi, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefichwa shambani baada ya kutoweka kwa siku kadhaa.Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na familia, Lea aliondoka…

Michuzi
Spotlight Prof Kabudi aisifu Ubungo kwa kunun…

Dar es Salaam‎‎Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inayotekelezwa kupitia mradi wa Uboreshaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) inazingatia ubora, kasi ya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha za umma.‎Prof. Kabud…

Michuzi
Spotlight Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB), ameanza ziara ya kikazi ya siku sita jijini London, Uingereza, ambapo atashiriki katika matukio mbalimbali ikiwemo kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa hatifungani ya kwanza ya nje yenye sarafu ya Shilingi ya Tanzania inayotolewa na Shirika …

Michuzi
Spotlight Detained Udom lecturer Kaijage gran…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, imeamuru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, aachiwe kwa dhamana kuanzia Julai 21, 2026, wakati uchunguzi wa tuhuma za uchochezi zinazomkabili ukiendelea.Uamuzi huo umetolewa na Jaji Joachim Tiganga wakati wa usikilizwa…

Michuzi
Spotlight Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa katika mikutano yake yanatekelezwa kupitia programu zenye manufaa ya moja kwa moja kwa nchi wanachama na wananchi.Rais Dk…

Michuzi
Spotlight Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …

SERIKALI imewaahidi wakazi wa kijiji cha Endashangwet, Wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha kuwa ujenzi wa soko la vitunguu ukikamilika kwa awamu zote litakuwa soko la kuuza vitunguu masoko ya kimataifa zaidi ya soko la Kenya.Ametoa ahadi hiyo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa ziarani Arusha kukagua u…

Michuzi
Watoto Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…

SAME.SERIKALI ya wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kumuokoa mtoto mwenye umri wa miaka 10, jina limehifadhiwa, ambaye ni mwanafunzi wa Darasa la Pili katika Shule ya Msingi Jiungeni, iliyopo Kata ya Ruvu wilayani humo baada ya kubainika kuwa familia yake ilimkatisha masomo na kumpeleka kwa mwanaume kwa len…

Michuzi
Spotlight Tume ya madini yajipanga kuongeza u…

-Dkt. Numbi atoa somo kutoka Ghana kuhusu usimamizi wa ushirikishwaji wa wazawa katika Sekta ya Madini📍MWANZATume ya Madini imejipanga kuimarisha usimamizi wa ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini kwa kuhakikisha watoa huduma na wazalishaji wa bidhaa wanakidhi vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika,…

Michuzi
Spotlight President dr. mwinyi: zanzibar and …

The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its continued efforts to strengthen cooperation with Tanzania in the sectors of education, health, trade, investment, water, science and technology.President Dr. Mwinyi made the rem…

Michuzi
Misaada na Hisani Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

Jane Mwakyoma, Aug1,2026, Rukwa.JESHI la Polisi Wilayani Nkasi mkoani Rukwa limetoa misaada ya mahitaji mbalimbali kwa wazee 30 wasiojiweza ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na jamii pamoja na kuendeleza utamaduni wa kuwajali makundi yenye uhitaji maalumu.Akizungumza wakati wa kukabidhi mi…

Michuzi
Spotlight Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Subira Mgalu akieleza kuwa uamuzi wa Oryx kugawa mitungi hiyo kunakwenda kuondoa kabisa athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu ka…

Michuzi
Spotlight Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

DODOMA | 24 Julai 2026Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania Makao Makuu ya CCM, Dodoma, na kuwapongeza kwa dhamana ya kuiwakilisha nchi katika chombo hicho cha kikanda.Katika mazungumzo hayo yaliyofany…

Michuzi
Michezo Tottenham Yakabiliwa na Nia ya Kums…

Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, mabingwa wawili wa jiji la London, Chelsea na Tottenham Hotspur, watakutana katika uwanja wa Accor Stadium, jijini Sydney, Australia, katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya.Mchezo huu utaanza saa 12:45 (saa za Afrika Mashariki), Ingawa ni mchezo wa kirafiki, historia ndefu …

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima wa kipande-nkoavele kuonge…

📍Nzuguni : DodomaWaziri wa Kilimo, Mh.Daniel Chongolo, ameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) na kuitaka kuhakikisha pampu za Umwagiliaji zilizotengwa kwa ajili ya wakulima zinagaiwa kuanzia Agosti 30 kwa wanufaika katika mikoa husika ili ziweze kutumika kuongeza uzalishaji wa mazao.Chongolo ametoa maelekezo …

Michuzi
Michezo Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…

IJUMAA ya leo tarehe 31 Julai 2026, uwanja wa St. Andrew's @ Knighthead Park mjini Birmingham utashuhudia mechi ya kirafiki ya kihistoria kati ya Birmingham City na FC Barcelona. Mechi hiyo itaanza saa 21:45 kwa saa za Ulaya ya Kati (CEST), sawa na saa 19:45 kwa saa za Uingereza (BST).Hii ni mechi ya maandalizi ya msi…

Michuzi
Elimu ‘Mende’ wa India wanavyompasua kich…

Na Janeth Raphael - MichuziTv .WAKATI Tanzania ikiendelea kupanua sekta ya usafiri wa anga kupitia ongezeko la ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimesema kinaandaa mazungumzo na Serikali ili kuwezesha wanafunzi wanaosomea urubani pamoja na kozi nyingine za anga kupata mikopo ya elimu, hatua inayolenga …

Michuzi
Spotlight Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivikaribuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika IkuluZanzibar.Viongozi waliokula kia…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, leo ameongoza zaidi ya washiriki 13,000 katika mbio za NBC Dodoma Marathon 2026 zilizofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku akiipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikisha ukusanyaji wa shilingi bilioni 1 zitakazot…

Michuzi
Utalii na Ukarimu Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati Jijini Dodoma yaliyoanza tarehe 1 Agosti 2026 baada ya yakifunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba yameendelea kuvuta wageni wengi kutembelea banda la wizara ya Maliasili na utalii na kushuhudia vivutio mubashara kutoka Ngorongoro …

Michuzi
Fasihi na Vitabu Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh.Riziki Pembe akikabidhi mfano wa hundi kwa Mshindi wa kwanza katika kipengele cha Riwaya cha Tuzo ya Safal ya Kiswahili ya Fasihi Afrika 2025 , Bw. Salim Hussein Ng’azi huku wageni wengine pamoja na viongozi wa Safal Group wakishuhudia. Hafla hiyo ilifanyika ka…

Michuzi
Burudani Muundo Rahisi na Ubunifu wa Kisasa …

MASHABIKI wa burudani za michezo ya kasino wana sababu nyingine ya kuongeza kasi, baada ya Wild 4th Fruits, mchezo mpya kutoka Xpanse, kuingia kwenye orodha ya michezo inayowapa wachezaji wa Meridianbet burudani yenye ladha ya kipekee. Mchezo huu umejengwa kwa mtindo rahisi, mwepesi na unaovutia, huku ukiunganisha man…

Michuzi
Michezo Mafunzo kuogelea kutolewa bure kwa …

Na Mwandishi Wetu, TANZANIA imepiga hatua nyingine katika juhudi za kuendeleza mchezo wa uogeleaji kufuatia kuwasili kwa kocha wa kimataifa, Ben Lee, ambaye atatoa mafunzo ya kiwango cha kimataifa kwa waogeleaji, makocha na wazazi kupitia programu maalumu iliyoandaliwa na Monti International School.Ujio wa Ben Lee una…

Michuzi
Siasa Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kulinda amani na utulivu wa nchi ni hatua muhimu ya kuhakikisha uwekezaji unaendelea kukua, ajira zinapatikana na uchumi unaimarika.Akizungumza katika Mkutano Maalum wa Serikali na Sekta Binafsi kuhusu utekele…

Michuzi
Elimu Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la chuo hicho akimwakilisha Mkuu wa Chuo, Profesa Eliamani Sedoyeka,wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzu…

Michuzi
Elimu Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

Na. Mwandishi wetu, SumbawangaWADAU wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Rukwa wamehamasishwa kuchangia upatikanaji wa madawati kwa ajili ya kuwezesha watoto kusoma kwenye mazingira wezeshi kwa ustawi wa taaluma.Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri M…

Michuzi
Sheria na Mahakama Mahakama yamhukumu miaka 30 kwa kus…

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemuhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na htia ya kosa la kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi.Hukumu hiyo imesomwa hivi karibuni na Hakimu Mkazi Azizi Khamis, baada ya Mahakama kuridhika na ushahid…

Michuzi
Spotlight Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyum…

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KIJANA,Metson Frank (23) maarufu ‘Mkumbo’ anayeishi Goba Centre wilayani Ubungo amehikumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 10.Hukumu hiyo ya kesi ya jinai namba 28576 ya mwaka 2026 imesomwa Jana ya na Hak…

Michuzi
Spotlight Nchimbi: Rais Samia analitaka suala…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema ikiwa angepewa nafasi ya kutoa ujumbe mmoja wa mwisho kwa Watanzania, basi usingekuwa mwingine zaidi ya kuwahimiza kuendelea kupambana kwa ajili ya kupata Katiba Mpya itakayokuwa na mwafaka wa kitaifa…

Michuzi
Siasa Rais Samia Akutana na Viongozi wa V…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kuimarisha maridhiano ya kisiasa kama msingi wa kuendeleza mchakato wa maboresho ya Katiba, huku akisisitiza kuwa hatua zote zitafanyika kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi kwa mas…

Michuzi
Usafiri na Uhifadhi Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili,…

Na Janeth Raphael – Michuzi TVWatu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya abiria yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rehema Jeremia, amethibitisha kutoke…

Michuzi
Sheria na Mahakama Kilichompa Lissu ushindi dhidi ya D…

MAHAKAMA ya Rufani Tanzania imetupilia mbali ombi la Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) lililotaka kuruhusiwa kuwasilisha ushahidi wa nyongeza katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, na hivyo kuacha uamuzi wa Mahakama Kuu ukiwa palepale.Uamuzi huo ulitolewa …

Michuzi
Ujasiriamali na Ubunifu Bayport Yatoa Kompyuta na Printa za…

Na OSCAR ASSENGA, TangaSERIKALI imezindua programu ya InnoIP Tanzania, inayolenga kuwasaidia zaidi ya wabunifu 5,000 nchini kulinda kazi zao kisheria, kuzigeuza kuwa fursa za biashara na kuchochea uundaji wa ajira.Programu hiyo pia inalenga kukabiliana na changamoto ya wizi wa mawazo na ubunifu inayowakabili wabunifu …

Michuzi
Elimu Bayport backs Kibamba digital educa…

Bayport Financial Services Tanzania imeadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kutoa kompyuta 20 aina ya HP na mashine mbili za kuchapisha na kunakili (All-in-One Printers) zenye thamani ya jumla ya TZS milioni 100 kwa Idara ya Elimu ya Jimbo la Kibamba, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza dhamira yake ya kusaidia sek…

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri mkuu atoa siku 14 kituo cha …

Azindua boti mbili za kisasa kufanya doria baharini, maziwa makuuNa Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi mara moja."Wizara na taasisi zote zinazohusika na utekelezaji…

Michuzi
Misaada na Hisani Sh. bil. 1.5 kukusanywa kuokoa mais…

Na Mwandishi wetu, MireraniWADAU wa madini ya Tanzanite, mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, wamechangia Sh23.6 milioni kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na kuokoa maisha ya watoto wachanga njiti.Lengo ni kuunga mkono mkoa wa Manyara, ambao umeandaa mbio za hisani za kuchangia ujenzi wa jengo…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Rais Samia na Rais Lourenço wa Ango…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe pamoja na Rais wa Jamhuri ya Angola Mheshimiwa João Manuel Gonçalves Lourenço kama ishara ya uzinduzi wa Hospitali Kuu ya Rufaa ya Rais Julius Nyerere (Hospital dos Queimados Presidente Julius Nyerere) iliyopo Kilamba, jijini Lu…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi ‎NMB yaendelea kuimarisha kilimo ku…

Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini.Katika Banda la Vijana lililopo viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma,…

Michuzi
Jinsia na Wanawake Standard Chartered Foundation Yatoa…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo katika mazingira magumu nchini Tanzania.Mc…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Na. Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam.Serikali imezindua Kielelezo cha Viwango vya Faida vya Dhamana za Serikali (Government Securities Yield Curve), hatua inayotarajiwa kuimarisha uwazi wa soko la fedha, kuongeza ufanisi wa maamuzi ya uwekezaji na kuvutia mitaji ya ndani na nje ya nchi.Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dkt. Mwigulu: Uwekezaji wa Utafiti …

▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu waoWAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji wa Serikali kuwahudumia kikamilifu Watanzania ili miradi inayojengwa na Serikali itoe matokeo chanya.“Tunachokijenga hapa, si jengo pekee, bali tunajenga mazingira bora ya utendaji wa mfuko. Kupitia uwekezaji huu tunachochea …

Michuzi
Biashara Meridianbet Yaleta Raha Mpya ya Kub…

Meridianbet inakuletea promosheni ya kipekee inayokuwezesha kushinda simu mpya ya Samsung Galaxy A26. Watumiaji wote wapya na waliopo wanaojisajili kupitia app au tovuti ya Meridianbet wana nafasi ya kuingia kwenye droo na kuondoka na moja ya simu tatu mpya kabisa. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wapenzi wa michezo na ka…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi SUA yazalisha watalamu kilimo biash…

FARIDA SAID, MOROGORO Ng'ombe 56 waliokuwa mali ya mfugaji Clement Bernad sasa wamebaki kuwa sehemu ya historia yake ya ufugaji, ukame unaochochewa na mabadiliko ya tabianchi na kupungua kwa malisho vimemlazimisha kubadili mfumo wa ufugaji, akipunguza idadi ya mifugo na kuanza kuangalia zaidi uwezo wa kuzalisha malish…

Michuzi
Elimu Dr Samia banks on private sector to…

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa kauli mbiu ya hafla hiyo, “The Contribution…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima na wafugaji wakiri kupata …

Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imewataka wakulima nchini kutonunua mbegu yoyote ambayo haina lebo ya utambuzi ya TOSCI, ikieleza kuwa lebo hiyo ndiyo uthibitisho kuwa mbegu imekaguliwa na kuthibitishwa ubora wake.Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TOSCI, Nyasebwa E. Chimagu, alipokuwa akizu…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Makamu wa rais dkt. nchimbi atembel…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuimarisha ukaguzi wa mara kwa mara katika vyama vya ushirika nchini ili kudhibiti ubadhirifu wa mali, kuongeza uwajibikaji na kuhakikisha vyama hivyo vinatoa huduma bora kw…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Nanenane dodoma: mbifacu yanadi fur…

Afisa Masoko wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya ya Mbinga (MBIFACU), Osmund Mbunda, amesema chama hicho kinaendelea kuongeza thamani ya zao la kahawa kwa kusindika na kuuza kahawa iliyotayari kwa matumizi badala ya kutegemea uuzaji wa kahawa ghafi pekee. Mbunda ameyasema hayo Agosti 3, 2026, alipokuwa akizungumza …

Michuzi
Elimu Veta yapongezwa kwa ubunifu wenye k…

Na Mwandishi Wetu, TangaMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amesema mamlaka hiyo imeweka mkakati wa kutoa mafunzo ya ufundi na ujuzi kwa vijana ili kuwafungulia fursa za ajira na kujiajiri katika sekta mbalimbali.CPA Kasore ameyasema hayo alipotembelea Banda la VE…

Michuzi
Siasa Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano m…

Na Mwandishi WetuMARAIS sita wa Afrika wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika utakaofanyika Agosti 5 na 6, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jiji…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Faida Vodacom Tanzania yapaa mara t…

Vodacom Tanzania Plc imeendelea kuonyesha ukuaji imara na kuzalisha thamani kwa wanahisa, wateja na jamii katika mwaka wa fedha uliomalizika Machi 31, 2026, mafanikio yaliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na uwekezaji endelevu katika miundombinu ya mawasiliano, huduma za kidijitali na huduma jumuishi za kifedha.Matokeo hay…

Michuzi
Spotlight Dk Mwigulu avutiwa matumizi ya bund…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha uzalishaji wa mapato ya ndani kwa kuanzisha kampuni ya uwekezaji itakayoratibu na kusimamia vitengo mbalimbali vya uzalishaji visivyo vya kitaaluma, hatua inayolenga kuongeza ufanisi, tija na …

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Psssf kutoa huduma na elimu maonesh…

AFISA Kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko wa PSSSF Bw.Alex Bwanakunu (kulia) akimsikiliza mwananchi aliyetembelea Banda la PSSSF kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Ziwa Magharibi yanayofanyika uwanja wa Nyamhongolo Jijini Mwanza Agosi 2,2026Dodoma, Agosti 2, 2026Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) u…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Serikali yatangaza neema kwa wakuli…

Na Mwandishi Wetu, DodomaTUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imejipanga kutoa fursa za ajira kwa maelfu ya vijana kupitia utekelezaji wa miradi ya uchimbaji wa visima na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchini.Mpango huo unalenga kuongeza ajira kwa vijana wenye ujuzi wa uhandisi na ufundi, sambamba na kuongeza upa…

Michuzi
Michezo Ter Stegen Atua Ajax Kwa Mkopo wa M…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ametoa wito kwa wananchi, wadau wa michezo, wafanyabiashara na wazawa wa Iringa waliopo ndani na nje ya mkoa kushirikiana kuanzisha mfuko maalumu utakaowezesha kurejeshwa kwa timu ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoiwakilisha Iringa.Ngajilo alitoa …

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Matumizi ya mbolea yapanda mara nne…

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza leo Agosti 4,2026 kati…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima kuongeza watarajia uzalish…

NA DENIS MLOWE, IRINGA WAKALA Mkuu wa mbegu za Taasisi ya ASA mkoani Iringa, Kampuni ya Mgongolwa Agrovet & Seeds Company Limited, imewahimiza wakulima kutumia mbegu bora zinazozalishwa na Taasisi ya ASA ili kuongeza uzalishaji wa mazao na kuondokana na changamoto ya kutumia mbegu zisizo na ubora.Akizungumza na waandi…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi e-GA YASHIRIKIANA NA SEKTA YA KILIM…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMAMLAKA ya Serikali Mtandao (e-GA) inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini.Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima ya Kitaifa …

Michuzi
Madini na Uchimbaji Gst yawekeza ujuzi, teknolojia kubo…

DodomaTAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeeleza kuwa inaendelea kuimarisha huduma zake za maabara kwa kutoa uchunguzi wa sampuli mbalimbali za madini, tafiti za uchenjuaji pamoja na ushauri wa kitaalamu unaolenga kuongeza tija katika shughuli za uchimbaji na uwekezaji katika sekta ya madini.Akiz…

Michuzi
infrastructure Rais samia: afrika iharakishe uteke…

Na Janeth Raphael -MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa viongozi wa nchi za Afrika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya miundombinu, akisisitiza kuwa maendeleo ya Bara hilo hayatapimwa kwa mipango na sera pekee, bali kwa matokeo yanayoonekana katika maisha ya wan…

Michuzi
Nishati na Umeme Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia Jumatano, Agosti 5, 2026 zimeshuka kwa shilingi 92 kwa lita ya petroli, shilingi 204 kwa lita ya dizeli na shilingi 440 kwa lita ya mafuta ya taa, hali ambayo itawapa unafuu wa gharama za maisha kwa wananchi, wamiliki wa vyombo vya usafiri, mitambo na viwanda.Taarifa iliyotole…

Michuzi
Spotlight Future world institute yaja na taal…

Na Janeth Raphael - MichuziTv - Bungeni Dodoma.Serikali imesema imeweka mikakati mbalimbali ya kukuza vipaji na ujuzi kwa vijana wenye ulemavu, kuwawezesha kupata ajira zenye staha na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa n…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Chande aipongeza wrrb kwa kuwawezes…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ameipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa mchango wake katika kuwawezesha wakulima kupata masoko yenye ushindani kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Mhe. Chande ameyasema hayo leo Agosti 6, 2026, baada ya kutembelea banda la WRRB katika Ma…

Michuzi
Vijana Kikwete Atoa Tahadhari Afrika, Asem…

Na Avila KakingoRAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema Afrika inaweza kukosa kunufaika na ajira milioni 250 zinazotarajiwa kuzalishwa na uchumi wa kidijitali duniani iwapo haitawekeza katika kuwajengea vijana ujuzi wa teknolojia za kisasa, hususan Akili Mnemba (Artificial Intelligence–AI).Ak…

Michuzi
Nishati na Umeme Mfumo wa m+2 waimarisha uhakika wa …

DODOMA Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya vita na changamoto nyingine zinazoathiri soko la dunia. Hayo yameelezwa na Mhandisi Rehema Mahundi katika siku ya sita ya Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijin…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMSULUHISHI wa Migogoro ya Bima (TIO) amewataka wakulima waliokata bima za kilimo kupitia benki au mawakala wa bima, kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima pale wanapokumbana na migogoro ya fidia ili kupata haki zao badala ya kukimbilia mahakamani.Akizungumza katika Maonesho ya Kilimo …

Michuzi
Nishati na Umeme Rais Samia na Museveni Washuhudia M…

Na Mwandishi WetuRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan na Yoweri Museveni wa Uganda wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) ya kuendeleza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na Kitovu cha Nishati cha Kikanda Jijini Tanga, mradi unaotarajiwa kubadili taswira ya sekta ya nishat…

Michuzi
Utalii na Ukarimu Mambo manne ya kuyaona na kujifunza…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewataka wananchi kutumia Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane 2026 kama fursa ya kujifunza huduma na mipango mbalimbali ya Serikali inayolenga kuboresha maisha yao.Nderiananga ame…

Michuzi
infrastructure Rais samia asisitiza kasi ya utekel…

Na Avila KakingoSERIKALI imesema Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra for Africa Forum) limekamilika kwa mafanikio makubwa, huku sasa ikielekeza nguvu kwenye Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 unaofanyika leo Agosti 6, 2026.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesem…

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Waziri sangu -kauli mbiu ya psssf y…

Dar es Salaam.MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi ya jamii, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuongeza uelewa wa umma na wanachama kuhusu huduma, haki na wajibu unaotolewa na Mfuko huo.Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza Ago…

Michuzi
Teknolojia Pinda aipongeza mati technologies k…

Na Mwandishi Wetu, DodomaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda, ameshangazwa na kiwango cha ubunifu wa teknolojia zinazobuniwa na kuzalishwa na kampuni ya Mati Technologies baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 33 ya Kitaifa ya Kilimo (Nane Nane 2026) yanayoe…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chac…

Na Belinda Joseph-Dodoma.Matumizi ya Mfumo wa Malipo ya Papo kwa Papo Tanzania (TIPS) yameendelea kuleta mageuzi katika sekta ya fedha kwa kurahisisha miamala, kuongeza usalama wa fedha, kupunguza matumizi ya fedha taslimu (cash) na kuimarisha uwazi katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali.Akizungumza na Michuzi TV Ago…

Michuzi
Usafiri na Uhifadhi Naibu Waziri Londo: FCC ni chachu y…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Gidius Kyaharara akipokea zawadi mfuko kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nicholas Kinyariri wakati wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea Banda la TASAC Maonesho ya Kilimo Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela Nzugun…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Serikali yaweka mkazo uendelevu wa …

Na. Mwandishi Wetu – Kazuramimba KigomaKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi, Amewaasa vijana kulinda afya zao na kuepuka tabia hatarishi ili kupunguza maambukizi mapya ya VVU, kwa kuzingatia kuwa ni kundi linaloongoza kuwa hatarini zaidi n…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Tramepro yahimiza ushirikiano kulin…

Dar es Salaam, Agosti 5, 2026 – Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limetoa wito kwa Serikali, wataalamu wa afya, wataalamu wa tiba asili, wakunga, wadau wa mazingira na jamii kwa ujumla kushirikiana katika kulinda afya na uhai wa mama na mtoto, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya U…

Michuzi
Spotlight Brela yatoa elimu ya urasimishaji b…

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Den…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Victoria group kuandaa vg fun run k…

Ndoto ya mkazi wa Vikindu, Mohammed Misanga, ya kuboresha huduma za afya katika jamii yake imepata msukumo mpya baada ya kujishindia shilingi milioni 50 kupitia kampeni ya "Kila Muamala ni Bao la Ushindi" iliyoendeshwa na Mixx kwa ushirikiano na Hisense.Akizungumza wakati wa kuhitimisha kampeni na kukabidhi zawadi kuu…

Michuzi
Biashara ya Jumla na Rejareja T-CAMS Yaandika Historia Mpya Katik…

Na Mwandishi WetuCHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) wamekuja na Mfumo wa Tanzania Customs Agent Management System (T-CAMS) unaoshirikisha TRA ikiwa ni sehemu ya mageuzi ya kidigitali yanayojenga uwazi, ufanisi na ushindani katika sekta ya uwakala wa forodha nchini.Taarifa iliyotolewa na TAFFA kwa vyombo vy…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Tanzania yapaa katika sekta ya mbeg…

Na Janeth Raphael -MichuziTvTanzania imeendelea kuimarisha hadhi yake katika sekta ya mbegu barani Afrika baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55 kwa ubora wa mifumo ya mbegu, huku juhudi za kudhibiti mbegu feki na zisizokidhi viwango zikiongezwa ili kulinda maslahi ya wakulima na kuhakikisha usalama wa chakul…

Michuzi
Shughuli za Majengo Qwaray aagiza mikocheni apartments …

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka Mkandarasi wa mradi wa Mikocheni Apartments kuongeza kasi ya ujenzi ili kuhakikisha mradi huo unakamilika ifikapo Oktoba mwaka huu.Mhe. Qwaray ametoa maelekezo hayo leo, Agosti 7, 2026 alipotembelea na kukagua m…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Coop bank yajivunia mageuzi, yatoa …

Na Janeth Raphael - MichuziTv Benki ya Ushirika Tanzania (COOP BANK) imeweka mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo kwa kuwawezesha wakulima kupata teknolojia za kisasa, zana bora za kilimo pamoja na pembejeo zitakazosaidia kuongeza uzalishaji na kukuza kilimo biashara …

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Rais samia ahutubia kilele cha maad…

Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Jijini DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea banda la Kampuni ya pembejeo za kilimo ya Betaren ya Urusi katika…

Michuzi
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Rais samia aielekeza tamisemi kusim…

Na OWM - TAMISEMI, DodomaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewasisitiza washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Afua ya Uthibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Miji, kuhakikisha suala usafi wa mazingira linakuwa ajenda ya kudumu katika vikao vyote vit…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Fao yabadilisha sekta ya uvuvi tanz…

Na Mwandishi Wetu, DodomaSERIKALI imesema inaendelea kuimarisha sekta za kilimo, ufugaji pamoja na uvuvi kwa kuongeza thamani ya bidhaa ili ziweze kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, wakati akizungumza katika mjadala kuhusu Kilimo, Ufugaj…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Yas yawahimiza wakulima kutumia hud…

Wakulima Kanda ya Kati wamehimizwa kutumia huduma za kifedha kidijitali zinazotolewa na Mixx by Yas ili kurahisisha upokeaji wa malipo ya mazao, kupata mikopo na kufanya miamala kwa usalama.Wito huo umetolewa na Meneja wa Biashara wa Mixx by Yas Kanda ya Kati, Bw. Charles Gasper, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoe…

Michuzi
Elimu Makamu wa rais ashiriki misa takati…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli zote zinakuwa na miundombinu ya kisasa, walimu wenye sifa, na vifaa stahiki vya kufundishia na kujifunzia.Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa hafla ya U…

Michuzi
Elimu Akwilapo atoa wito elimu, amani kup…

Na Munir Shemweta, ItilimaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Mwankola iliyopo Kijiji cha Lagangabilili, Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, huku akisisitiza kuwa elimu ni msingi muhimu wa maisha na maendel…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mi…

Lindi. Wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara waliotumia huduma za Mixx kupokea malipo ya mazao yao wamekabidhiwa zawadi mbalimbali, zikiwemo guta, pikipiki, simu janja na baiskeli kupitia kampeni ya Vuna na Mixx.Zawadi hizo zilikabidhiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Ayoub Mohammed Mohammed, wakati wa Maonesho ya …

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya kilimo na ufugaji kanda…

Na Vero Ignatus, Michuzi TV ArushaMaonesho ya siku kuu ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kaskazini yamehitimishwa mkoani Arusha, yakihudhuriwa na zaidi ya wananchi 100,000 na kushirikisha waonyeshaji 446 kutoka sekta mbalimbali. Maonesho hayo yaliyojikita katika kuonesha fursa, teknolojia na ubunifu katika kilimo, ufugaji…

Michuzi
Habari za Kitaifa Dk Kijaji akagua ujenzi wa soko Mul…

Na Dulla UwezoMbio za Mwenge wa Uhuru 2026 zinatarajia kuingia Mkoani Kagera Agosti 30, Mwaka huu zikitokea Mkoa wa Geita, zikipokelewa rasmi katika Wilaya ya Muleba na Viongozi wa Mkoa huo wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Kanali Yahya Ramadhani Kido.Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa mbele na Wanahabari na Mkuu wa M…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Benki ya Absa Tanzania ilivyoshirik…

- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya UshirikaKufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), kwa ajili ya kuwawezesha wanawake na vijana katika mnyororo wa thamani wa kilimo, benki hiyo imesisitiza utayari wake wa kutekeleza mpango …

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dc simanjiro awasihi wadau kushirik…

Na mwandishi wetu, ArushaMKUU wa wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala amewasihi wakulima, wafugaji na wavuvi kushiriki maonyesho ya kilimo nane nane ili kuongeza ujuzi na kufanya shughuli zao kwa tija.DC Lulandala ameyasema hayo akizungumza baada ya kukagua baadhi ya mabanda ya maonyesho hayo ya kanda y…

Michuzi
Spotlight Nani Kufuzu Kucheza Ligi ya Mabingw…

WAKALI wa ubashiri Tanzania wanazidi kukukumbusha kuwa pesa hapa hazikauki, unachotakiwa kufanya wewe ni kutengeneza jamvi lako la ushindi na ubeti sasa. Arsenal, Barcelona na wengine wapo kwaajili yako.Ligi pendwa Duniani, EPL kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka ambapo mabingwa watetezi wa ligi hiyo Arsenal watak…

Michuzi
Elimu GEL yawafungulia milango fursa za e…

Na Mwandishi Wetu.GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi 387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu nchini China na India, huku wakihimizwa kutumia fursa hiyo kujenga maarifa, ujuzi, teknolojia, mitandao ya kimataifa na uwezo wa kujitengenezea fursa za…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Tanzania, Marekani zajadili biashar…

Na. Josephine Majura na Asia Singano, WF – Dodoma.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya bajeti na usimamizi wa fedha za umma kwa kuzingatia usawa wa kijinsia, hatua inayolenga kuhakikisha rasilimali za Serikali zinatumika kwa ufanisi katika kuchochea maen…

Michuzi
Spotlight WMA yawafundisha watoto vipimo, Nai…

Na WMA - Mwanza Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Mwanza umezitaka kampuni zinazojihusisha na uzalishaji wa mabati kuhakikisha zinazingatia matakwa ya sheria ya vipimo na viwango vya ubora vilivyowekwa, ili kulinda haki na fedha za wananchi.Akizungumza mapema leo Agosti 27, 2026 mara baada ya zoezi la ukaguzi wa kushtuki…

Michuzi
Utalii na Ukarimu Dkt.nchimbi amtembelea dk.jakaya ki…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tamasha la Kizimkazi limeendelea kuwa jukwaa muhimu la kutangaza utamaduni, utalii, biashara na fursa za uwekezaji zilizopo Zanzibar, sambamba na kuchochea maendeleo ya wananchi.Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 12 A…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Madaktari wazawa watenganisha mapac…

Madaktari bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo, Agosti 6, 2026, wamefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa kutenganisha mapacha walioungana aina ya parasitic conjoined twins, ambapo mmoja wa mapacha hakukua kikamilifu na alikuwa akimtegemea mwenzake kwa ukuaji na uhai.Akizungumza mara baada ya upasuaji huo…

Michuzi
Sheria na Mahakama Tanzania yang’ara calc: bi. rehema …

Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imeendelea kuwekeza katika kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapatia fursa za mafunzo ndani na nje ya nchi, hatua inayolenga kuongeza idadi ya wataalamu wenye weledi, utaalamu wa kisekta na uwezo wa kuandaa sheria bora zinazowezesha utekel…

Michuzi
Elimu Dkt. mwinyi: zanzibar kuimarisha bi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa madrasa kuendelea kutoa elimu bora ya dini, sambamba na kuwajengea watoto uelewa wa mafundisho wanayopokea, maadili mema na misingi sahihi ya maisha ya Kiislamu.Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 07 Ag…

Michuzi
Spotlight Naibu waziri maghembe amuaga balozi…

Serikali ya Tanzania na Ujumbe wa Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini.Akiongea baada ya kikao hicho, Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Kitila Mkumbo, amesema pande zote mbili zimejadili hatua zilizofikiwa katika kuboresha masuala …

Michuzi
Spotlight Chalamila atoa siku 6 kwa malori, m…

Na Mwandishi WetuBAADHI ya Wananchi wa Dar es Salaam hususani watumiaji wa usafiri wa Mabasi wametetea utaratibu wa Mabasi hayo kutoa huduma maeneo mengine tofauti na Kituo cha Mabasi cha Magufuli na kuutaka Uongozi wa Mkoa kulitafakari upya suala hilo.Awali mapema wiki hii Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalami…

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Taarifa iliyotufikia muda huu kutok…

HALI YA USALAMA NCHINI NI SHWARI - JESHI LA POLISI

Michuzi
Nishati na Umeme Nyuklia yageuka silaha ya sayansi k…

Tanzania imejipanga kuanza kuzalisha umeme wa nyuklia ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya mpango wa muda mrefu wa kuongeza vyanzo vya nishati na kukidhi mahitaji yanayoongezeka nchini, Mpango huo unalenga kuhakikisha Tanzania inaanza kutumia nishati ya nyuklia katika uzalishaji wa umeme, huku maandalizi na uwekezaj…

Michuzi
Ujasiriamali na Ubunifu Uwt kibaha mji waungana na azania b…

Na Victor Masangu, KibahaJumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Wilaya ya Kibaha mjini kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo wakiwemo Azania bank wameamua kuungana kwa pamoja na kuitoa darasa la mafunzo kwa wajasiriamali kutoka kata zote 14 kwa lengo la kuweza kuwapa ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbali mbali ambazo…

Michuzi
Nishati na Umeme Biteko: tanzania imepiga hatua kubw…

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau mbalimbali katika kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia, kuhifadhi mazingira, kukuza utalii na kuendeleza ubunifu wa vijana, ikieleza kuwa maeneo hayo ni sehemu muhimu ya kujenga uchumi endelevu na weny…

Michuzi
Michezo Simba Wapigwa Bao Mchana Kweupe, Ya…

Hatimaye ile Derby ya kibabe iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya Ngao ya Jamii imefika. Je Ni Simba au Yanga kuondoka na pointi 3?. Tengeneza jamvi lako la uhakika na uwe mshindi sasa.Jumatano tutashuhudia mtanange mkali wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Yanga kule Zanzibar katika Dimba la New Aman Complex huku vi…

Michuzi
Spotlight Rais samia azindua viwanja vya kufu…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza alipotembelea banda la Kampuni ya Mawasiliano Yas katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, Agosti 12, 2026. Yas ni miongoni mwa wadau muhimu wa Uchumi wa Buluu na maendeleo ya utalii Zanzibar, kupitia u…

Michuzi
Spotlight Cheza Bass Cash 1000 Mapema, Furahi…

Meridianbet imefungua mlango wa burudani mpya kupitia 3 Fisher Cats, mchezo kutoka Amigo unaowaweka paka watatu wajanja katikati ya safari ya uvuvi iliyojaa matukio. Badala ya kuvua kwa njia ya kawaida, paka hawa wameingia kwenye mchezo wakiwa na ndoano zao na matumaini ya kupata samaki pamoja na zawadi zinazoweza kuj…

Michuzi
Michezo Kangwanda Afichua Siri ya Bao la Us…

LEO ndiyo leo asemaye kesho muongo, Hatimaye ile Derby ya kibabe iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kwenye Ngao ya Jamii imefika. Je Ni Simba au Yanga kuondoka na pointi 3?Siku ya leo tutashuhudia mtanange mkali wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Yanga kule Zanzibar katika Dimba la New Aman Complex huku vijana wa Man…

Michuzi
Mazingira na Hali ya Hewa Mamilioni Wajitokeza Kushuhudia Maa…

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekanusha taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu hali ya baridi nchini, zikidai kuwa kuanzia kesho saa 11:00 alfajiri kwa muda wa saa 27 kutashuhudiwa tukio la Aphelion litakaloambatana na baridi kali kuliko kawaida.TMA imesema taarifa hiyo ni po…

Michuzi
fishing Serikali yaongeza kasi ya uchumi wa…

Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), imefanya ziara ya ukaguzi katika mradi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, kwa lengo la kujionea hatua ya utekelezaji wa mradi, kukagua miundombinu na maandalizi yaliyofanyika kuelekea kuanza kwa matumizi ya bandari hiyo, pamoja na kutathmini fursa zitakazotokan…

Michuzi
Spotlight Kapinga: serikali yasogeza huduma z…

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), mkoa…

Michuzi
Spotlight Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais …

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) katika Maonesho yanayoambatana na Tamasha la 10 la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.Katika ziara hiyo, Mhe. Rais Samia amepongeza PSSSF kwa kushiriki katika mao…

Michuzi
Spotlight Vichocheo vya kufikia malengo ya Di…

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa Digital Transformation Centre (DTC) Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha matumizi ya teknolojia za kidijitali katika kukuza usawa wa kijinsia na…

Michuzi
Spotlight Serikali yataka mikataba bora ya ka…

Serikali imevitaka vyama vya wafanyakazi nchini, ikiwemo Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kutumia meza ya majadiliano (Social Dialogue) kutatua kero za wafanyakazi badala ya migongano isiyo na tija inayodhoofisha mshikamano na kushusha morali ya kazi.Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira n…

Michuzi
Elimu Veta yapongezwa kwa kuendelea kubor…

Na Belinda Joseph – TangaMamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetajwa kuwa moja ya taasisi muhimu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kutokana na mchango wake katika kuwaandaa Watanzania wenye ujuzi unaohitajika katika uzalishaji na shughuli mbalimbali za kiuchumi.Akizungumza na Michu…

Michuzi
Spotlight Wanafunzi 10 wa Samia Scholarship k…

Na Mwandishi WetuKUNDI lingine la mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wameondoka nchini Jumamosi kuelekea vyuo vikuu mbalimbali kuanza masomo ya elimu ya juu.Wanafunzi hao walioondoka kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Terminal 3, jijini Dar es Salaam, wengi wao wamechagua programu zinazohusiana na s…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. samia aongoza kilele cha …

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa kichocheo muhimu cha maendeleo ya kiuchumi na kijamii, huku eneo hilo likizidi kufunguka kwa fursa za biashara, uwekezaji na utalii kwa wananchi wa Kusini, Zanzibar na maeneo jira…

Michuzi
Spotlight Tanga kuwa kitovu cha elimu, ubunif…

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026, yanayofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.Maadhimisho hayo yameanza leo, Agosti 15, 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa Agosti 24, 2026, yakibeba kaulimbiu isemayo: “Elimu, U…

Michuzi
Habari na Mawasiliano Ttcl yaweka intaneti ya kisasa aman…

Na Mwandishi Wetu - Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, ametoa maelekezo manne kwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), akilitaka kuhakikisha Awamu ya Pili ya Mradi wa Faiba Mlangoni Kwako (Fiber to the Home – FTTH) inawanufaisha wananchi kwa kuwapatia hudum…

Michuzi
Spotlight Usiyoyajua kuhusu Trey Songz aliyet…

DAR ES SALAAM: Usiku wa Tamasha la Imbeju Sauti Moja, lililoandaliwa na CRDB Foundation, umeacha gumzo kubwa kwa mashabiki wa burudani baada ya nyota wa muziki kutoka Marekani, Trey Songz, kuamua kumualika staa wa Tanzania, Diamond Platnumz, jukwaani.Tamasha hilo lililofanyika katika viwanja vya Posta, Kijitonyama jij…

Michuzi
Spotlight 100 Years of Tosa Maganga: Alumni T…

NA DENIS MLOWE IRINGA WANAFUNZI wa zamani (Alumni) wa Shule ya Sekondari Tosa Maganga wameungana kuchangisha Shilingi milioni 250 kwa ajili ya ununuzi wa basi la shule hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 100 tangu kuanzishwa kwa shule hiyo.Akizungumza kuhusu mpango huo, Mhadhiri Mwandamizi wa C…

Michuzi
Spotlight La Liga Yarudi Rasmi: Alavés na Get…

SEVILLA watawakaribisha Rayo Vallecano nyumbani kwao katika uwanja wa Ramón Sánchez-Pizjuán, katika mechi itakayofungua rasmi msimu mpya wa ligi kuu ya Uhispania (LaLiga) 2026/27.Mechi hii inatarajiwa kuanza saa 21:30 usiku na itakuwa fursa ya kwanza kwa mashabiki kuona mabadiliko ambayo timu hizi mbili zimeyafanya wa…

Michuzi
Spotlight Sekta ya madini yavutia uwekezaji w…

• Benki ya Stanbic Tanzania ni benki ya kwanza nchini Tanzania kuwezesha wafanyabiashara kulipa na kupokea malipo kwa Yuan ya China moja kwa moja na wafanyabiashara wa China, bila kubadilisha fedha kwanza kupitia Dola ya Marekani.• Huduma hii inafanya kazi pande zote mbili: kwa waagizaji wa bidhaa kutoka China, na kwa…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Chatanda ampa kongole mbunge viti m…

Na Janeth Raphael MichuziTv Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amewataka watumishi wa Wizara ya Madini na taasisi zake kushiriki kikamilifu katika shughuli za michezo na mazoezi ya mwili, akieleza kuwa michezo ni nyenzo muhimu ya kuimarisha afya ya akili, kujenga mshikamano mahali pa kazi na kuongeza ufanisi…

Michuzi
Spotlight Mzuka wa Mabingwa Washika Kasi Ziki…

MZUKA wa Mabingwa ndani ya Meridianbet unaendelea kwa kasi, lakini muda wa kusaka zawadi kubwa unazidi kupungua. Zikiwa zimebaki siku 24 pekee kabla ya ofa hii maalum kwa watumiaji wa Airtel Money kufungwa, sasa ni wakati wa kuchangamkia nafasi ya kushinda zawadi zinazovutia, ikiwemo Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, …

Michuzi
Spotlight Arsenal vs Man City, PSG vs Lens Ki…

SIKU ya kutengeneza mkwanja na wakali wa ubashiri umefika, mechi mbalimbali zingine zikiwa za ligi zimeanza. Ukiwa na pesa yoyote hata shilingi mia mbili unaweza ukbashiri hapa.Tukianza na kule Uingereza itapigwa mechi ya ufunguzi wa ligi yaani Community Shield kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza…

Michuzi
Spotlight Kenyan athletes conquer CRDB Marath…

Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (wa tatu kushoto), akiongoza washiriki wa Mashindano ya CRDB Bank International Marathon leo katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama, Dar es Salaam. Kijitonyama, Dar es Salaam.Na Mwandishi Wetu.Dar es Salaam. Mashindano ya CRDB Bank Interna…

Michuzi
Spotlight Oryx gas zanzibar yanogesha tamasha…

Na Mwandishi Wetu ,ZanzibarORYX Gas Zanzibar imeeleza hatua mbalimbali inazochukua kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na katika Tamasha la Kizimkazi kampuni hiyo imetoa mitungi ya gesi 200 huku mkakati kwasasa ni kutoa majenerata yanatotumia gesi ya LPG katika hoteli na viwanda visiwani Zanzibar.Imesema Z…

Michuzi
Michezo Karakana shuleni zisisubiri kufungu…

Na Victor Masangu, BagamoyoBaraza la michezo la Taifa (BMT) limeipongeza kwa dhati Taasisi ya Shajar inayomiliki shule ya Baobab kwa kuweza mipango madhubutti katika kukuza sekta ya michezo mbali mbali kwa wanafunzi na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiana na sapoti ya hali na mali katika kuendeleza maono waliyonayo kat…

Michuzi
Elimu Maonesho ya Wiki ya Elimu Tanga kuz…

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.Amepokelewa na M…

Michuzi
Spotlight MUHAS Yaanzisha Huduma Maalumu Ya M…

Na Karama Kenyunko, Michuzi TvCHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinaandaa mpango wa kuanzisha mafunzo ya wahudumu wa huduma za dharura watakaotoa huduma ya kwanza, ikiwemo usimamizi wa ajali, kuhakikisha njia ya hewa inabaki wazi na kumstabilisha mgonjwa kabla ya kufikishwa hospitalini.Makamu…

Michuzi
Madini na Uchimbaji Profesa pallangyo :tia inawajenga v…

Afisa Uratibu wa Ukuzaji Mitaala wa VETA Mhandisi Audiface Tarimo akizungumza na waandishi wa habari katika Banda la VETA kwenye Wiki ya Kitaifa ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu linalofanyika Shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga.Na Mwandishi Wetu, TangaMAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kuzalish…

Michuzi
Spotlight Dcea yateketeza hekari 3,117.9 za m…

Na Mandishi WetuMAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika kati…

Michuzi
Spotlight Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaahi…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Upande wa Jamhuri umefunga ushahidi wake baada ya kuwasilisha ushahidi wa mashahidi 17 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu.Hatua hiyo imefikiwa leo Jumatatu, Agosti 17, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndo…

Michuzi
Spotlight Mkumbo calls for more innovation, e…

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Profesa Kitila Mkumbo, amepongeza ubunifu ulioonyeshwa na wanafunzi wa Chuo cha St Joseph jijini Dar es Salaam, akisema ukiendelezwa unaweza kutatua changamoto nyingi zinazoikabili jamii.Amesema Serikali itashirikiana na vyuo binafsi kuhakikisha ma…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Akutana na Rais wa DRC F…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ulioongozwa na Rais wa Nchi hiyo, Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo katika Ikulu Ndogo ya Zanzibar, tarehe 18 Agosti, 2026.

Michuzi
Spotlight Dk Kida atoa wito ubunifu na teknol…

Na Munir Shemweta, TangaWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kutoa hati miliki za ardhi kwa maeneo yatakayotumika katika shughuli za utafiti, elimu ya ujuzi na ubunifu nchini.Dkt. Akwilapo ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, wakati wa uzinduzi wa W…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Sh Bil 11 kukamilisha ujenzi kituo …

Na Janeth Raphael - MichuziTv Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) inatarajia kuanza kutoa huduma za upasuaji mkubwa wa saratani kuanzia Oktoba mwaka huu, hatua inayolenga kuongeza wigo wa huduma za kibingwa nchini na kupunguza changamoto ya wagonjwa kusafiri kutafuta huduma hizo nje ya nchi.Mkurugenzi Mtendaji OR…

Michuzi
Elimu Vijana wapewa elimu ya fursa za tek…

Na Julitha Mlay ,NATCOMKATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ametembelea Banda la Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maadhimisho ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa yanayoendelea jijini Tanga.Katika ziara hiyo, Prof. Nombo alipata fursa ya ku…

Michuzi
Siasa Dkt. seif: serikali za mitaa ziimar…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ya kujenga Tanzania yenye uchumi wa kisasa, jamii yenye ustawi, huduma bora za kijamii pamoja na matumizi makubwa ya teknolojia na ubunifu, imeelezwa kuwa inahitaji Serikali za Mitaa imara, zenye uwezo na zinazowajibika ili kuhakikisha malengo hayo yanaf…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Sekiboko: serikali iwekeze ubunifu …

Na Mwandishi WetuSERIKALI imetakiwa kuongeza uwekezaji katika tafiti na ubunifu unaofanywa na vyuo vya elimu ya juu nchini ili kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za jamii na kuongeza mapato ya taifa kupitia teknolojia zinazozalishwa na wataalamu wazawa. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge…

Michuzi
Elimu Tuzo ya nyerere yazidi kung’ara, sh…

Na Oscar Assenga,TANGATUZO ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeendelea ,kuonyesha mafanikio makubwa, ambapo tangu kuanzishwa kwake Watanzania 27 wamefanikiwa kushinda katika nyanja mbalimbali za uandishi bunifu.Hayo yamesema leo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda wakati akizung…

Michuzi
Michezo Yanga vs Coastal Union: Mtihani Mwi…

LEO hii unaweza ukatengeneza pesa ndefu kwa kusuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo kwaajili yako, ingia na usuke jamvi siku ya leo.Kama kawaida ligi zinaendelea kuchanganya huku wewe ukichangamkia odds za kibabe, Yanga atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Coastal Union kwenye Ligi…

Michuzi
Siasa Dkt. mwinyi: nina imani na uwezo wa…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Ndg. Abdi Mahamoud Abdi, amewataka watu wote waliojimilikisha maeneo na mali za chama hicho kinyume na taratibu kuzirejesha mara moja, kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.Ndg. Abdi amesema CCM Zanzibar ina maeneo mengi yenye hati miliki ya chama, la…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Serikali kuongeza nguvu mapambano d…

Na Mwandishi Wetu, ShinyangaSERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo imetol…

Michuzi
Michezo Police Tanzania hold Azam FC to dra…

Yanga Day at Uhuru Stadium shows how SportPesa backs football beyond matchdayYanga Day at Uhuru Stadium shows how SportPesa backs football beyond matchdayOn Sunday, August 9, 2026 thousands of Young Africans SC supporters filled Uhuru Stadium as the club marked its 91st anniversary and introduced its squad and technic…

Michuzi
Spotlight Madeleka Apandishwa Kizimbani Kisut…

Na Janeth Raphael MichuziTvVigogo wanane wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wameendelea kushikiliwa rumande baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi na rushwa inayowakabili bado haujakamilika.Shauri hilo lilipotajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma jana, Julai 9, 2026, Wakili w…

Michuzi
Spotlight TBS yapongezwa udhibiti usalama, ub…

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amemkabidhi mfanyabiashara mwenye ulemavu, Bi.Esther Mashaka Msengi, mashine ya kusagia viungo ili kuongeza uzalishaji, kupunguza gharama za biashara na kuboresha kipato chake. Akikabidhi mashine hiyo katika Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar …

Michuzi
Uchumi wa Buluu Kongamano la 5 la kimataifa la uchu…

Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), Prof. Tumaini Gurumo, amesema maandalizi ya Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu yanaendelea vizuri. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika tarehe 7 hadi 9 Septemba 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, huku washiriki…

Michuzi
Ajira na Kazi Veta kuanzisha vituo 15 vya umahiri…

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Husna Sekiboko, ametoa wito wa kuimarishwa kwa elimu na mafunzo ya ufundi na ujasiriamali nchini, akisema ujuzi wa vitendo unaweza kuwa silaha muhimu kwa vijana katika kukabiliana na ukosefu wa ajira kwa kujiajiri na kuunda ajira kwa we…

Michuzi
Biashara ya Jumla na Rejareja MAKUNDI MAALUM YANUFAIKA NA ZABUNI …

Na Janeth Raphael – MichuziTv Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) umeendelea kuimarishwa kwa kuunganishwa na zaidi ya mifumo 30 ya taasisi mbalimbali, hatua inayolenga kurahisisha mchakato wa zabuni za umma, kuongeza ufanisi na kuimarisha uhakiki wa taarifa za wazabuni.Hatua hiyo pia imeongeza uwezo wa Se…

Michuzi
Spotlight Vodacom tanzania yakabidhi madarasa…

Vodacom Tanzania PLC kupitia programu ya Classroom for Community Impact iliyo chini ya Vodacom Tanzania Foundation imekabidhi madarasa mawili yaliyokarabatiwa, madawati 30 pamoja na vifaa muhimu vya shule kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Ihowanja, wilayani Malinyi mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresh…

Michuzi
Viwanda na Uzalishaji Fcc yatoa elimu kwa maafisa biashar…

Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wameagizwa kuhakikisha hakuna bidhaa bandia na duni katika maeneo yao wanayoyasimamia kiutendaji.Maelekezo hayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. …

Michuzi
Michezo Simanjiro wajipanga kushiriki manya…

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI, watumishi na baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashiriki kwa wingi mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026 zinazotarajia kufanyika mjini Babati.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Kaleya Melita Mollel akizun…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa lum…

Wafanyabiashara Tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026. Meneja wa Madai ya Bima wa NMB Bank, Madoro Max, alisema wataalamu…

Michuzi
Majanga na Uokoaji Rais Samia: Bwawa la Julius Nyerere…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi katika ngazi mbalimbali za Serikali kuanza mara moja maandalizi ya kukabiliana na mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha nchini katika kipindi kijacho.Rais Samia amesema utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Ta…

Michuzi
Michezo Hull City vs Manchester United Viko…

LEO Jumamosi, tarehe 22 Agosti 2026, Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) inaanza rasmi msimu wa 2026/27, na mchezo mkubwa wa kufungua msimu ni ule wa Hull City dhidi ya Manchester United. Mchezo huu utachezwa katika uwanja wa MKM Stadium, jijini Hull, ukianza saa 14:30. Hii ni fursa kubwa kwa Hull City kuonyesha uwezo wao mbe…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Manyara tanzanite marathon yalenga …

Manyara Tanzanite Marathon 2026, mbio za hisani zenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi na uwezeshaji wa wodi maalum ya kuwahudumia watoto njiti, zimefanyika leo katika Mji wa Babati, zikiwa na kaulimbiu “Hatua Moja, Okoa Maisha ya Mtoto Njiti.”Mbio hizo za hisani zimeongozwa na Mgeni Rasmi kwa niaba ya W…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Watoto 587,509 chini ya miaka 10 ku…

Na. Mwandishi wetu, DODOMAWizara ya Afya kupitia Idara ya Kinga, Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma, imewataka wananchi wa Jiji la Dodoma kujitokeza na kuwapeleka watoto wenye umri wa chini ya miaka 10 kupata chanjo ya matone ya Polio, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kuongeza kinga dhidi ya ugonjwa huo.Akizungumza kuhusu …

Michuzi
Usafiri na Uhifadhi Chalamila aonya mabasi yanayokiuka …

Na Mwandishi WetuTAKRIBANI wiki moja tangu agizo la kuondoa Stendi za Mabasi mitaani lianze kutekelezwa Jijini Dar es Salaam, wadau mbalimbali wamedai kushangazwa na hatua hiyo na kuiomba Serikali kurejesha huduma hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi.Wamesema hatua hiyo inatokana na ukweli kuwa wananchi wameanza 'ku…

Michuzi
Spotlight Mwongozo wa Serikali kurahisisha ma…

Na: OWM-KAM, Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bw. Rasheed Maftah, amesema Mwongozo wa Uratibu wa Mahusiano baina ya Serikali na Makundi ya Kijamii wa mwaka 2026 utakuwa daraja muhimu la mawasiliano na ushirikishwaji kati ya Serikali na makundi mbali…

Michuzi
Elimu Wanafunzi wa mnma wabuni teknolojia…

Na Mwandishi Wetu, TangaCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimesema kimeweka mfumo wa kuwawezesha wanafunzi kuendeleza mawazo na bunifu zinazolenga kutoa suluhisho kwa changamoto zinazowakabili wananchi.Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa CBE, Georgina Misama, amesema hayo kwenye Banda la chuo hicho katik…

Michuzi
Chakula na Mapishi Coca-Cola targets larger share of y…

A new FANTA® flavour is adding a burst of deliciousness to the brand’s portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry.This bolder, fruitier tasting beverage brings a splash of playfulness, fun, and refreshing enjoyment to fans across the country. Inspired by the vibrant energy of Tanzanian youth culture and the…

Michuzi
Spotlight Nottingham Forest vs Leeds United: …

MSIMU wa 2026/27 wa Ligi ya Championship ya Uingereza unaanza rasmi Ijumaa, Agosti 14, kwa mechi kubwa kati ya Wolverhampton Wanderers na Blackburn Rovers. Mechi hii itachezwa uwanjani Molineux, mji wa Wolverhampton, ikianza saa 21:00 usiku.Wolves wanaingia msimu huu wakiwa wametoka kushuka daraja kutoka Premier Leagu…

Michuzi
Spotlight Rais Samia aridhia Dk Nchimbi kujiu…

DAR ES SALAAM: MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Hamza Johari, amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumpendekeza Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kukubaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kisha kupitishwa na Bunge kabla ya Septemba 4, 2026, haina changamoto yoyote ya k…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Tanzania yaunga mkono mabadiliko ya…

Na Hassan Kimweri, WAF - Addis AbabaTanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, hususan kupitia utekelezaji wa mikakati na hatua madhubuti zinazolenga kuboresha afya na ustawi wa makundi hayo.Hayo yameongelewa leo Agosti…

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Nmb yaongoza kura za superbrands ku…

Benki ya NMB imekamilisha uhamishaji wa shughuli zake kwenda katika Mfumo Mkuu mpya wa Benki, hatua inayolenga kuongeza uwezo wa kushughulikia miamala, kuimarisha usalama wa taarifa na kuwezesha utoaji wa huduma mpya kwa wateja zaidi ya milioni 10.Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna, amesem…

Michuzi
Spotlight Dk.nchimbi atangaza kustaafu siasa,…

NEWZ ALERT: RAIS DKT SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WAMIKOA NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA

Michuzi
Madini na Uchimbaji Tume ya Madini yatoa hati za makosa…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Tume ya Madini imewapa siku 30 wamiliki wa baadhi ya miradi ya msaada wa kiufundi kurekebisha mapungufu yaliyobainika katika utekelezaji wa shughuli zao, huku ikionya kuwa kushindwa kutekeleza matakwa hayo ndani ya muda uliowekwa kunaweza kusababisha kuchukuliwa kwa hatua za kisheria, iki…

Michuzi
Michezo Timiza Ndoto Zako za Muda Mrefu Hapa

ANZA kutimiza ndoto zako na Meridianbet kwa kusuka jamvi lako la ushindi sasa, Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Real Madrid, Fenerbahce wapo dimbani sasa.Mechi za kufuzu michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) inaendelea huku macho yote yakiwa kwenye mechi ya Lyon dhidi ya Fenerbahçe ambapo kila timu …

Michuzi
Shughuli za Fedha na Bima Serikali: benki zitapanga riba za m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv - Bungeni DodomaSerikali imesema haina mamlaka ya kuzipangia benki za biashara viwango vya riba za mikopo, kwa kuwa gharama hizo huamuliwa na mwenendo wa soko pamoja na sababu mbalimbali za kiuchumi na kiutendaji.Kauli hiyo imetolewa leo, Agosti 26, 2026, na Naibu Waziri wa Fedha, Laurent…

Michuzi
Utawala wa Umma na Ulinzi Serikali yafichua mkakati mpya wa k…

Na Janeth Raphael - MichuziTv - Bungeni Serikali imesema haina mpango wa kuunda Tume maalum ya Taifa ya kutatua migogoro ya ardhi nchini, badala yake imeandaa Mkakati wa Kudumu wa Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Nchini utakaotumika na taasisi mbalimbali za Serikali katika kushughulikia migogoro hiyo.Kauli hiyo imetolewa …

Michuzi
Spotlight Ras arusha azindua zoezi la utoaji …

Na MWANDISHI WETUWatoto 1,337,079, wanatarajiwa kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio mkoani Dar es Salaam.Hayo yameelezwa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Abdul Mhite, alipozindua kampeni ya chanjo hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dares Salaam, Albert Chalamila leo.Mhite amesema kampeni hiyo itamalizika Agosti 30 mwa…

Michuzi
Spotlight Mashindano ya ngoma za asili yaingi…

Farida Mangube Morogoro Serikali imewataka watanzania kuitumia vizuri fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027 kwa kutangaza tamaduni za makabila mbalimbali kama sehemu ya vivitio adimu vinavyopatikananchini humo sambamba na kufanya vizuri kwenye michezo hiyo.Kauli hiyo Imetolewa na Mkuu wa Mkoa Mor…

Michuzi
Spotlight CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Maka…

Na Janeth Raphael - Michuzi Tv Bungeni Dodoma Wakati Bunge limepitisha jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, Mbunge wa Nzega Mjini Hussein BASHE amesema Ndejembi ni kiongozi mwenye uzoefu, nidhamu na uwezo wa kuunganisha watu, huku Watanzania wakihimizwa kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu …

Michuzi
Spotlight Wadau ya forodha wapatiwa elimu ya …

Na Mwandishi Wetu, PwaniMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imetoa elimu kwa wadau wa Forodha mkoani Pwani kuhusu mabadiliko ya Sheria ya Fedha ya mwaka 2026, huku wazalishaji wakihimizwa kutumia fursa za unafuu wa ushuru wa forodha katika malighafi za uzalishaji.Elimu hiyo …

Michuzi
Spotlight Serikali yajipanga kukabiliana na m…

Na Karama Kenyunko, Michuzi TVMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua za El Nino zitakazoathiri msimu wa mvua za Vuli unaotarajiwa kuanza mapema Oktoba 2026 na kuendelea hadi Januari 2027.Akizungumza na waandishi wa habari, leo Agosti 18, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Ladislaus C…

Michuzi
Sheria na Mahakama Mwanasheria mkuu wa serikali awasil…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewasilisha Maelezo ya Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2) wa Mwaka 2026 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments ) (No.2) Bill, 2026 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria tarehe 11 Agosti, 2026 Bungeni …

Michuzi
Spotlight Tphpa yadhibiti visumbufu, yaokoa m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Udhibiti wa Visumbufu Tanzania (TPHPA) imesema hatua za kudhibiti visumbufu na magonjwa ya mimea zimewezesha kuokoa mazao kwa kiwango kikubwa na kuimarisha uwezo wa Tanzania kufikia masoko ya kimataifa.Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Prof. Joseph Ndunguru, amesema ha…

Michuzi
Spotlight Rais samia aagana rasmi na balozi w…

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aki…

Michuzi
Spotlight Mbarawa asisitiza matumizi ‎ya tekn…

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. Abdallah Mitawi, ametembelea Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa lengo la kufahamu kwa kina majukumu ya Mamlaka pamoja na utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazolenga kusimamia na kuendeleza sekta ya usafiri wa anga nchini.Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa…

Michuzi
Spotlight Direct shilling-yuan payments resha…

Wafanyabiashara wa Tanzania wanaoagiza bidhaa kutoka China sasa wanaweza kuwalipa wazabuni wao moja kwa moja kwa kutumia Shilingi za Tanzania, bila kulazimika kwanza kubadilisha fedha hizo kuwa Dola za Marekani kabla ya kulipwa kwa Yuan ya China.Huduma hiyo mpya ilikuwa miongoni mwa mada kuu katika Jukwaa la Biashara …

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Nmb bunge bonanza kuhamasisha afya …

Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya.Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka halmashauri 184 nchini, huku NMB ikiendelea kuwa miongoni mwa wadau wanaoya…

Michuzi
Spotlight Thunder Riches: Fortune Eagle, Mche…

UKO tayari kuingia kwenye safari mpya ya burudani yenye msisimko, bahati na nafasi ya ushindi? Thunder Riches: Fortune Eagle imewasili rasmi, ikiwa ni mchezo mpya kabisa kutoka Games Global unaopatikana kwa kipekee kupitia Meridianbet. Hapa si suala la kucheza tu, bali ni kuikaribisha bahati yako na kumruhusu tai wa F…

Michuzi
Afya na Huduma za Jamii Mtaalamu: Elimu zaidi inahitajika u…

Tunapoelekea kuadhimisha Siku ya Tiba Asili ya Mwafrika tarehe 31 Agosti 2026, Afrika inakabiliwa na swali moja kubwa: Je, tutaendelea kutumia urithi wa tiba asilia kama ulivyo, au tutautafiti, kuuthibitisha, kuuboresha na kuugeuza kuwa sehemu ya suluhisho la afya na uchumi wa kizazi kijacho?Na TRAMEPROKuna wakati amb…

Michuzi
Spotlight Rais Samia na Makamu Wake Ndejembi …

Na Janeth Raphael - MichuziTv -Ikulu Chamwino Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uamuzi wa kumteua Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais ulizingatia sifa, uzoefu na uwezo wake wa kubeba dhamana kubwa ya uongozi wa taifa.Rais Samia amesema nafasi hiyo imekabidhiwa tena kwa kija…

Michuzi
Spotlight Airtel Kuanzisha Fursa Lab Tanga Ku…

Tanga.Airtel Tanzania imepanga kuanzisha kituo cha Airtel Fursa Lab katika Shule ya Sekondari Magaoni, Tanga, hatua inayolenga kuwaongezea vijana fursa za kupata ujuzi wa kidijitali, ubunifu na ujasiriamali.Kituo cha Airtel Fursa Lab, ambacho kitakuwa na mfumo wa darasa janja (Smart Class), kilitangazwa na Mkuu wa Maw…

Michuzi
Spotlight Usisubiri Mpaka Mwisho, Milioni 5 I…

MASHINDANO ya Expanse: Big Wins Start Here yanaingia katika hatua za mwisho, huku wachezaji wakibakiza takribani wiki moja tu kabla ya pazia kushuka rasmi. Hii ni nafasi ya wapenzi wa michezo ya sloti kuingia kwenye ushindani na kuwania sehemu ya zawadi nono yenye jumla ya TZS 5,000,000 kupitia Meridianbet. Kama uliku…

Michuzi
Spotlight Fernandes Awaka Kwa Hat-Trick Dhidi…

MSIMU mpya unazidi kunoga huku mechi mbalimbali za pesa zikiendelea, Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Je nani unampa nafasi ya ushindi siku ya leo?. Ingia na ubeti sasa.Meridianbet wanaanza kuiangazia ligi kuu ya Uingereza yaani EPL, ambapo Chelsea atakuwa mwenyeji wa Brighton ambao walishinda kwa kishi…

Michuzi
Spotlight Calvert-Lewin Aiokoa Leeds Mbele Ya…

LEO Liverpool watapambana na Nottingham Forest kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Anfield, katika mechi itakayokuwa ya kwanza ya nyumbani kwa kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola.Hii itakuwa mechi ya kwanza ya msimu wa 2026-27 kwenye dimba la Anfield, huku Liverpool wakitaka kurejea baada ya sare waliyopata siku ya kw…

Michuzi
Spotlight Shule zatakiwa kuweka kipaumbele Te…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imezitaka shule nchini kuweka kipaumbele kwenye mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa wanafunzi wao ili kwenda sanjari na dunia ya sasa ya utandawazi na teknolojia inayokua kwa kasi. Imesema teknolojia inakwenda kwa kasi kubwa hivyo shule zinapaswa kuwa na miundombinu bo…

Michuzi
Spotlight Dc chato: huduma za osha ni muhimu …

Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mhe. Louis Peter Bura, akikabidhi vifaa kinga vilivyogharamiwa na Serikali kwa mafundi wa uchomeleaji vyuma na useremala katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilaya ya Chato. Mafundi hao walipatiwa mafunzo ya usalama na afya kazini na OSHA na kisha kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo ni …

Michuzi
Spotlight Dkt. mwigulu ashiriki ibada kkkt ki…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma za kijamii, maendeleo na ustawi wa wananchi, akisisitiza kuwa mchango wa taasisi za dini ni sehemu muhimu ya safari ya maendeleo ya Tanzania.Dkt. Mwigulu ameyasema ha…

Michuzi
Madini na Uchimbaji Katambi awanyooshea kidole wamiliki…

SAME.ZAIDI ya watu 20 wanahojiwa na Jeshi la Polisi wilayani Same mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kudaiwa kuendesha shughuli za uchimbaji haramu wa madini katika vyanzo vya maji ndani ya mita 60 kinyume cha sheria na kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira.Akizungumza kuhusu hatua zinazochukuliwa jana ofisini kwake…

Michuzi
Spotlight Huna SIM Card? Hakuna Tatizo! Kwetu…

Fikiria unatua katika nchi mpya na intaneti yako tayari inafanya kazi kabla hata hujatoka uwanja wa ndege. Hakuna haja ya kutafuta Wi-Fi. Hakuna kununua SIM card ya ndani. Wala kulipa gharama kubwa za kutumia huduma ya intaneti ukiwa nje ya nchi (roaming). Programu mpya ya Kwetu eSIM inamwezesha mtu yeyote kununua kif…

Michuzi
Spotlight Tanzania, serbia kuimarisha diploma…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasili leo, tarehe 30 Agosti 2026, jijini Belgrade, Jamhuri ya Serbia, kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano Maalum wa Ngazi ya Juu wa Kumbukumbu ya Miaka 65 tangu kufan…

Michuzi
Spotlight Muswada wa Marekebisho Sheria mbali…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira wezeshi ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 1 Septemba, 2026 Bungeni Jijini Dodoma, wakati akiwasilisha Mu…

Michuzi
Spotlight Video: Ndejembi Awasalimu Wananchi …

MOSHI, KILIMANJAROMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasihi wananchi wa Mbuyuni, Wilaya ya Moshi, kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na yeye ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.Makamu wa Rais ametoa …

Michuzi
Spotlight Madereva wa Polisi Pwani wapewa maf…

JESHI la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Kisarika wilayani Moshi, Nelson Mkenda (17), kwa tuhuma za kumjeruhi mwanafunzi mwenzake aitwaye Vicent Mmary, (17) wa shule ya Sekondari Kisarika, kidato cha tatu kwa kitu chenye ncha kali kifuani na kusababisha …

Michuzi
Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kinara wa Umoja wa Afrika wa Afya ya Mama na Mtoto, Arusha.
Afya na Huduma za Jamii Siku 7 zijazo

Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kinara wa Umoja wa Afrika wa Afya ya Mama na Mtoto, Arusha.

Michuzi
Kutoka 9 Sep 2026
Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia ya Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Elimu Siku 15 zijazo

Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia ya Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Michuzi
Kutoka 17 Sep 2026
Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.
Elimu Siku 36 zijazo

Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.

Michuzi
Kutoka 8 Okt 2026 · Hadi 10 Okt 2026
Kumekuwa na wito kwa wamiliki na waendeshaji wa TEHAMA kukamilisha usajili wa miundombinu muhimu hadi Desemba 19, 2026.
Teknolojia Siku 108 zijazo

Kumekuwa na wito kwa wamiliki na waendeshaji wa TEHAMA kukamilisha usajili wa miundombinu muhimu hadi Desemba 19, 2026.

Michuzi
Kutoka 19 Des 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Michuzi
Kutoka 27 Jun 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Dirisha la usajili kuwania The Serengeti Awards 2026 litafunguliwa Agosti 20, 2026, na litabaki wazi hadi Septemba 30, 2026.
Utalii na Ukarimu

Dirisha la usajili kuwania The Serengeti Awards 2026 litafunguliwa Agosti 20, 2026, na litabaki wazi hadi Septemba 30, 2026.

Michuzi
Kutoka 20 Ago 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

YAS YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
MICHEZO

YAS YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026

Michuzi· Saa 9 zilizopita
Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick
HABARI

Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick

Michuzi· Saa 9 zilizopita
DCEA YAZINDUA KLABU KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA VYUO VIKUU,KAMISHINA AFUNGUKA
HABARI

DCEA YAZINDUA KLABU KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA VYUO VIKUU,KAMISHINA AFUNGUKA

Michuzi· Saa 9 zilizopita
WATUMISHI WA ELIMU WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU
ELIMU

WATUMISHI WA ELIMU WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara y

Michuzi· Saa 10 zilizopita
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA  MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050
HABARI

MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050

Michuzi· Saa 13 zilizopita
Royal Queens  Zanzibar wajiwinda na Mapinduzi Cup
MICHEZO

Royal Queens Zanzibar wajiwinda na Mapinduzi Cup

Michuzi· Saa 14 zilizopita
AHMED MISANGA ATOA TAHADHARI YA MAANDALIZI DHIDI YA EL NIÑO TANZANIA

AHMED MISANGA ATOA TAHADHARI YA MAANDALIZI DHIDI YA EL NIÑO TANZANIA

Michuzi· Saa 14 zilizopita
MUSWADA WA SHERIA YA MIKOPO KWA DHAMANA ZA MALI ZINAZOHAMISHIKA WAWASILISHWA BUNGENI
HABARI

MUSWADA WA SHERIA YA MIKOPO KWA DHAMANA ZA MALI ZINAZOHAMISHIKA WAWASILISHWA BUNGENI

Michuzi· Saa 14 zilizopita
TAEC, IAEA WASHIRIKIANA KUIMARISHA USALAMA WA NYUKLIA KUELEKEA AFCON 2027
HABARI

TAEC, IAEA WASHIRIKIANA KUIMARISHA USALAMA WA NYUKLIA KUELEKEA AFCON 2027

Michuzi· Saa 14 zilizopita
NDEJEMBI: SITAWAZINGUA WANA WALA SITAMZINGUA MAMA
HABARI

NDEJEMBI: SITAWAZINGUA WANA WALA SITAMZINGUA MAMA

Michuzi· Saa 16 zilizopita
SERIKALI YAKUBALI MAFUTA NA GESI KUONDOKA KWENYE MASUALA YA MUUNGANO
HABARI

SERIKALI YAKUBALI MAFUTA NA GESI KUONDOKA KWENYE MASUALA YA MUUNGANO

Na Janeth Raphael - MichuziTv Bungeni -DodomaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema Serikali zote mbili zimekubaliana kuondoa suala la mafuta na ge

Michuzi· Saa 16 zilizopita
SportPesa Tanzania sponsorship backs Rugby Union growth at Dar Rugby Saba 2026
HABARI

SportPesa Tanzania sponsorship backs Rugby Union growth at Dar Rugby Saba 2026

Michuzi· Saa 16 zilizopita
RAIS DKT. MWINYI: NCHI ZA NAM ZIUNGANISHE SAUTI KUTETEA MASLAHI YA PAMOJA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI: NCHI ZA NAM ZIUNGANISHE SAUTI KUTETEA MASLAHI YA PAMOJA

Michuzi· Saa 16 zilizopita
MOI YAWEKA NGUVU KUBWA KATIKA MAANDALIZI YA AFCON 2027, YATANGAZA HUDUMA ZA KIMATAIFA KWA WANAMICHEZO
HABARI

MOI YAWEKA NGUVU KUBWA KATIKA MAANDALIZI YA AFCON 2027, YATANGAZA HUDUMA ZA KIMATAIFA KWA WANAMICHEZO

Michuzi· Saa 16 zilizopita
SERIKALI YAWEKA MKAKATI KUINUA HADHI YA TAALUMA YA UDEREVA NCHINI
HABARI

SERIKALI YAWEKA MKAKATI KUINUA HADHI YA TAALUMA YA UDEREVA NCHINI

Michuzi· Saa 20 zilizopita
KAMISHNA MWISHAWA: “ONGEZENI WIGO WA UTOAJI WA ELIMU YA UHIFADHI KWA WANANCHI”.
HABARI

KAMISHNA MWISHAWA: “ONGEZENI WIGO WA UTOAJI WA ELIMU YA UHIFADHI KWA WANANCHI”.

Michuzi· Saa 20 zilizopita
LALJI NA BARAKA FOUNDATION  WAENDESHA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO BURE KOROGWE
HABARI

LALJI NA BARAKA FOUNDATION WAENDESHA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO BURE KOROGWE

Michuzi· Saa 21 zilizopita
DC SIMANJIRO AINGIA KATI MGOGORO WA ARDHI WA SHULE
HABARI

DC SIMANJIRO AINGIA KATI MGOGORO WA ARDHI WA SHULE

Na Mwandishi wetu, SimanjiroMKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala ameingilia kati mgogoro wa ardhi kwa kuagiza waliovamia eneo la

Michuzi· Saa 23 zilizopita
KAMISHNA MWISHAWA: “ONGEZENI WIGO WA UTOAJI WA ELIMU YA UHIFADHI KWA WANANCHI”.
HABARI

KAMISHNA MWISHAWA: “ONGEZENI WIGO WA UTOAJI WA ELIMU YA UHIFADHI KWA WANANCHI”.

Michuzi· Jana
Huna SIM Card? Hakuna Tatizo! Kwetu eSIM Inakuwezesha Kuunganishwa Nchi Zaidi ya 190
HABARI

Huna SIM Card? Hakuna Tatizo! Kwetu eSIM Inakuwezesha Kuunganishwa Nchi Zaidi ya 190

Michuzi· Jana
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.