Gundua

940 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Michuzi chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Spotlight Tanzania Development Vision 2050

A nation’s place in the world is determined not only by economic strength or diplomatic presence but by the vision of its leadership at decisive moments. President Samia Suluhu Hassan’s State Visit to the Russian Federation represented such a moment for Tanzania, demonstrating a commitment to increasing international …

Michuzi
Spotlight AI

Na Oscar Assenga,TANGASERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa washauri wa wanafunzi, wanasihi na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali nchini.Akizungumza wakati wa k…

Michuzi
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

Na Mwandishi Wetu.SERIKALI imeimarisha kwa kiwango kikubwa ufuatiliaji katika mipaka, vituo vya kuingilia nchini na mfumo mzima wa huduma za afya ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini kutoka mataifa jirani.Akizungumza katika semina ya wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ukuzaji wa Afya kutoka …

Michuzi
Spotlight Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Na Janeth Raphael MichuziTv BungeniSerikali ya Tanzania imetangaza vipaumbele vikuu vya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambao unalenga kuimarisha uchumi, kuboresha maisha ya wananchi na kuongeza ushindani wa taifa katika masoko ya kikanda na kimataifa.Mpango huo umeelezwa kuwa dira muhimu ya m…

Michuzi
Spotlight Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

MICHUANO mikubwa Duniani inatarajiwa kuanza Alhamisi ya leo Kule Mexico ambapo waandaaji wa mashindano hayo watakuwa kibaruani dhidi ya timu kutoka Afrika, yaani Afrika Kusini. Nani kuanza vyema leo?Je uanjua kuwa siku zote mechi ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani daima huwa na umuhimu wa kipekee kwa sababu ndiyo…

Michuzi
Spotlight Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Na Janeth Raphael MichuziTv Serikali imezindua rasmi mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kwa wateja wa TANESCO pamoja na mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi, kupunguza gharama za maisha kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi w…

Michuzi
Spotlight Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

📍 Bilioni 15 kukamilisha ujenzi akademia ya michezo MalyaNA Mashaka Mhando, IringaSERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 15 katika mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Akademia ya Taifa ya Michezo iliyopo Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya.Hatua hiyo ya kiserikali inalenga kuweka mfumo th…

Michuzi
Spotlight Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Dar es Salaam, Julai 2026Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo kitafanyika tarehe 3 Julai 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, kuanz…

Michuzi
Spotlight Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…

KARIBU kwenye kwenye Zigo la Mizawadi, Meridianbet tumezindua rasmi kampeni mpya na ya kusisimua ya “Mbabe wa Dunia”, ikitoa nafasi kwa wapenzi wa soka kushindania zawadi zenye thamani ya jumla ya TZS 100,000,000 katika kipindi chote cha Kombe la Dunia 2026.Kuanzia leo Juni 12 hadi Julai 19, kila tiketi yenye mechi za…

Michuzi
Spotlight Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Na Paul Kayanda, KahamaMWENYEKITI wa Mtaa wa Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Stella Bhayugile, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan umeendelea kuleta matumaini mapya kwa wananchi. Huku vijana na wanawa…

Michuzi
Spotlight Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

Na Janeth Raphael MichuziTv Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema chama hicho kimepokea taarifa zinazoonyesha kuwepo kwa baadhi ya makundi yanayodaiwa kupanga njama za kuvuruga amani na utulivu wa nchi.Akizungumza na…

Michuzi
Spotlight Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Na Victor Masangu, Pwani Katibu wa siasa,uenezi na Mafunzi wa chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. David Mramba amewaasa wananchi hususan vijana kuwa wazalendo na nchi yao na kuachana kabisa na vitendo vya kutumika kwa maslahi ya makundi ya watu wengine na badala yake kuhakikisha wanaweka misingi ya kuwa walinzi na kudumish…

Michuzi
Spotlight Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Iringa kwa kuwataka viongozi na watumishi wa umma kuendelea kusimamia haki, uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi pamoja na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yote yaliyotolewa katika kutatua kero za wananchi.Ametoa maelekezo hayo l…

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …

KAMA wewe ni shabiki wa michezo ya kasino mtandaoni ambaye hupenda ushindani na zawadi zinazobadilisha siku yako, basi Meridianbet imekuletea fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Expanse Treasure Hunt, kila mzunguko unaoucheza unaweza kuwa hatua mpya kuelekea kwenye hazina ya mamilioni ya shilingi. Hii…

Michuzi
Spotlight Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Vedastina Kagombora amesema kuwa Suala la ujumuishaji sio jukumu la Sekta moja bali ni la kila Wizara kushirikiana ili kuweka mazingira rafiki katika upatikanaji wa huduma muhimu ikiwemo …

Michuzi
Spotlight Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Na Karama Kenyunko, Michuzi TVMKURUGENZI Muendeshaji wa shirika lisilo la kiserikali (MSI) Tanzania, Dkt. Stephen Mutegeki, amesema utekelezaji wa Programu ya Scaling Up Family Planning (SuFP) kwa kipindi cha miaka tisa umechangia kwa kiasi kikubwa kusogeza huduma za afya ya uzazi na uzazi wa mpango karibu na wananchi…

Michuzi
Spotlight Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

LEO hii ni zamu ya mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa.Katika Kundi C leo hii kutakuwa na mechi kati ya Brazil dhidi ya Morocco ambapo hii ni moja ya mechi ambazo zitakuwa nzuri kutaza…

Michuzi
Spotlight Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, Juni 22, 2026 alitembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.Akiwa katika banda hilo, Prof. Kahyarara alipokewa na Mene…

Michuzi
Spotlight NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati), akiwa na Menejimenti Kuu ya benki hiyo wakionyesha ishara ya furaha mara baada ya uzinduzi wa NMB Mkononi Super App jijini Dar es Salaam, Jumanne, Juni 16, 2026.Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna …

Michuzi
Spotlight Singapore sees Tanzania as a major …

Minister of State in the President's Office (Planning and Investment), Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of the State Visit by the President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, to Russia from 2–6 June 2026. The briefing was held at the Juliu…

Michuzi
Spotlight Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…

MCHEZO wa leo kati ya Iraq na Norway katika Kundi I michuano mikubwa 2026 unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa licha ya Norway kuingia kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kushinda.Huu ni mchezo wa kwanza kwa mataifa yote mawili katika mashindano haya, ambapo Iraq inarejea Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka …

Michuzi
Spotlight TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

TAKUKURU Mkoa wa Geita imefikisha mahakamani watumishi 9 wa umma kwa tuhuma za kutumia vibaya na kuiba fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 89,055,107 na senti 50. Watumishi hao walikamatwa baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kubaini walikuwa wakifanya vitendo vya rushwa na ubadhirifu. Kati yao watumishi 3 wa Manispaa …

Michuzi
Spotlight Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

Na Mwandishi WetuHALIMASHAURI ya Wilaya ya Kisarawe,Mkoani Pwani imeendelea kung'ara kwa kupata hati safi kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG), kwa kipindi cha miaka minne mfurulizo.Wilaya hiyo imepata hati safi katika mwaka wa fedha 2021/22 , mwaka wa fedha 22/23, mwaka wa fedha 23/24 n…

Michuzi
Spotlight Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Na Mwandishi Wetu, MorogoroWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini.Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Bar…

Michuzi
Spotlight Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Michuzi
Spotlight Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

Na Victor Masangu,KibahaMwenyekiti wa umoja wa wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani Zainabu Vullu amewahimiza wanawake kuweka misingi imara ya kutumia fursa za mikopo ya asilimia 10 ambayo inatolewa na Hamashauri kwa lengo la kuweza kujikwamua kiuchumi na kuondokana na wimbi la umasikini.Vullu ameyabainisha hayo wakati wa zia…

Michuzi
Spotlight Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Michuzi
Spotlight Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitaka Mahakama ya Tanzania kuendelea kuimarisha misingi ya haki, nidhamu, uwajibikaji na maadili katika utoaji wa huduma za haki ili kuhakikisha mfumo imara na wa kuaminika wa utoaji haki nchini.Rais Samia amet…

Michuzi
Spotlight Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Michuzi
Spotlight Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau wa maafa nchini katika Kikao cha Jukwaa la Taifa la Wadau wa Usimamizi wa Maafa kilicholenga kupitia na kuthibitisha Mwongozo wa Urejeshaji Hali Baada ya Maafa, Mwongozo wa Uendeshaji na Uratibu wa Uhawilishaji Fedha kwa Walioathirika wa Maafa, pamoja na Mfumo wa Usimamizi wa Taari…

Michuzi
Spotlight Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiteta jambo na Waziri wa Rasilimali Madini, Nishati, Viwanda, Biashara na Utalii wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Hassan Kibeya, baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofa…

Michuzi
Spotlight Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Benki ya NMB imeendelea kuonyesha nafasi yake katika kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha kwa wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo, wakiwemo wakulima, wanunuzi wa mazao, wachakataji, wasafirishaji na waagizaji wa pembejeo.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Bi…

Michuzi
Spotlight Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

Dar es Salaam, Julai 3, 2026 Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua iliyowezesha kuongeza fursa za mafunzo kwa watumishi wa umma na wananchi kupitia ongezeko la kampasi kutoka mbili hadi sita katika kipindi cha miaka 25 iliyopita.Ponge…

Michuzi
Spotlight Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Wananchi nchini wametakiwa kuwa waangalifu na taarifa pamoja na ushauri wanaoupata kupitia mitandao ya kijamii, kwani si kila elimu inayotolewa mtandaoni ni sahihi au inatolewa na wataalamu wenye sifa stahiki.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dkt. Joyce Nyoni, alipokuwa akizungumza na waandishi w…

Michuzi
Spotlight Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

NA FARIDA MANGUBEWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mheshimiwa Prof. Riziki Silas Shemdoe (Mb), ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi kubwa ya kuunganisha mawasiliano ya barabara kutoka kijiji hadi kijiji na wilaya hadi wilaya, akise…

Michuzi
Spotlight Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Michuzi
Spotlight Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Juni 7,2026JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.Akitoa ufafanuzi kuhusu tukio hilo, kam…

Michuzi
Spotlight Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…

SASA unaweza ukatengeneza pesa zako mara moja kwa dau lolote unalolitaka ukiwa na wakali wa ubashiri kwenye mechi hizi za michuano mikubwa Duniani. Weka jamvi lako la ushindi na ubeti hapa.Baada ya kushuhudia mechi za kwanza za michuano hii mikubwa Duniani, sasa ni mechi za pili ambapo katika Kundi J, kutakuwa na mtan…

Michuzi
Spotlight Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Na Janeth Raphael - MichuziTv -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea msaada wa Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Uboreshaji wa Huduma za Usambazaji Ma…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Na Farida Mangube Morogoro Wakazi wa Kitongoji cha Kichangani, Kijiji cha Mamboya katika Kata ya Gairo, Wilaya ya Gairo, wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya mafuriko na kukatika kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja na mtaro wa maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 455.Mra…

Michuzi
Spotlight Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ametoa maagizo ya kuchukuliwa hatua kwa maafisa rasilimali watu watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma, licha ya wahusika hao kutimiza vigezo vyote vinavyohitajika.Prof. Sh…

Michuzi
Spotlight Play’n GO na Meridianbet Waungana K…

MERIDIANBET inafungua ukurasa mpya wa burudani ya kasino mtandaoni kwa kuwakaribisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa kipekee wa Play’n GO, mmoja wa waandaa michezo wakubwa na wanaoaminika zaidi katika tasnia ya michezo ya kasino ya kidijitali. Hii ni hatua inayolenga kuongeza ladha mpya ya michezo ya kisasa kwa wap…

Michuzi
Spotlight Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendesha zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Miyuji B, iliyopo eneo la Mpamaa jijini Dodoma Juni 28, 2026, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya TRA pamoja na Tuzo za Rais kwa Walipakodi Bora. Zoezi hilo linalenga kuunga mkono …

Michuzi
Spotlight Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kuwezesha ugunduzi wa mapema wa saratani, akisisitiza kuwa ugonjwa huo si hukumu ya kifo iwapo utabainika mapema na mgonjwa kupata matiba…

Michuzi
Spotlight Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Vijana wa Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya bahari, huku Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kikieleza kuwa wahitimu wake wanaendelea kupata ajira ndani na nje ya nchi, hususan katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa ubaharia.Akizungumza na waandis…

Michuzi
Spotlight Algerian firms seek partners for tr…

Balozi Mobhare Matinyi akimwonesha Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Géant Electronics, Abdelkrim Mebarkia, vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye banda la Tanzania katika Maonesho ya 57 ya Biashara ya Kimataifa ya Algiers (FIA) yanayoendelea nchini Algeria.Balozi Mobhare Matinyi akipata maele…

Michuzi
Spotlight WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Michuzi
Spotlight Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …

NYASI zinaenda kuwaka leo kwenye mechi hii ya kibabe sana kati ya Canada dhidi ya Morocco ambapo wote wanatafuta nafasi ya kwenda hatua ya Robo Fainali. Odds kubwa zinakusubiri kwenye mechi hii ingia na ubeti sasa.Hayawi hayawi sasa yamekuwa na leo hii tutaenda kushuhudia mechi ya kwanza ya hatuia ya 16 bora kwenye Ta…

Michuzi
Spotlight Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

Michuzi
Spotlight Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Na Andrea Kadege, WAF-Dar es SalaamMkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Ukanda wa Afrika Prof. Mohamed Janabi amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji wa haraka wa wagonjwa na uwekezaji katika mifumo ya afya kama nguzo muhimu ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola barani AfrikaProf. Janabi amesema hayo leo Juni 25, 2026 Jijini Dar …

Michuzi
Spotlight Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Kamati ya Wataalam ya Serikali ya Maandalizi ya Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) imeweka mkazo katika kuhakikisha miradi ya ujenzi na uboreshaji wa barabara inayotekelezwa kuelekea michuano hiyo inakamilika kwa wakati, ili kuboresha usafiri na usafirishaji.Akifungua kikao kazi cha Kamati h…

Michuzi
Spotlight Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Michuzi
Spotlight Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

DKT JOSEPHINE ATEULIWA KATIBU MTENDAJI TUME YA MIPANGO ZANZIBAR

Michuzi
Spotlight Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

DODOMA: Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi.Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Michuzi
Spotlight Prediction Afrika Kusini vs Canada …

AFRIKA Kusini wamefuzu kwa mara ya kwanza katika historia yao kufikia hatua ya mtoano wa mashindano ya Dunia, wakimaliza washindi wa pili wa Kundi A nyuma ya Mexico. Hii ni mara yao ya kwanza kuvuka hatua ya makundi katika michuano hii, baada ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 1998, 2002 na kama wenyeji 2010.Kwa upande …

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na Pamela Mollel,Arusha Maandalizi ya kuupokea Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Arusha yamekamilika kwa asilimia 100, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika shughuli za Mbio za Mwenge, kutembelea miradi ya maendeleo na kuhudhuria mkesha mkubwa wa burudani utakaofanyika Viwanja vya FFU Mworombo…

Michuzi
Spotlight Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu matumizi ya dhamana zinazohamishika.Akizungu…

Michuzi
Spotlight Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…

KATIKA dunia ya leo ya kasi, kijana hahitaji kusubiri miaka mingi kuona mabadiliko. Kila kitu kinataka kuwa cha haraka, cha maana, na cha kuleta matokeo halisi. Ndiyo maana Meridianbet imeleta fursa ambayo inazungumzwa na kila mbashiri, Diamond Jackpot. Hili ni dirisha la ndoto kubwa linaloweza kukubadilisha maisha nd…

Michuzi
Spotlight Rc makalla aipongeza halmashauri ya…

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe kubuni na kutekeleza miradi mipya ya kuongeza mapato, badala ya kuendelea kutegemea mapato ya madini peke yake.Ametoa maelekezo hayo wakati wa Kikao Maalum cha Baraza cha kusikiliza na kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…

Michuzi
Spotlight Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Michuzi
Spotlight Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha wafugaji nchini kupata huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo mikopo, kupitia mfumo wa uuzaji wa mifugo kwa stakabadhi ghalani.Ushirikiano huo unalenga kuongeza upatikanaji wa mitaji …

Michuzi
Spotlight Kamati ya bunge ya nishati na madin…

*Yawahamasisha Wananchi Kutumia Umeme kwa Ufanisi na gharama nafuuNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zinazolenga kubores…

Michuzi
Spotlight Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuwa chachu ya mabadiliko kwa kaya maskini, hususan wanawake, kwa kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuanza maisha ya kujitegemea.Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi…

Michuzi
Spotlight Norway yaiondosha ivory coast kombe…

LEO Julai 5, 2026, saa 23:00, Uwanja wa MetLife, New Jersey, utashuhudia pambano kali la michuano ya Dunia kati ya Brazil na Norway. Hii ni mechi ya Raundi ya 16 ambayo inaahidi burudani na mivutano mikubwa. Brazil, yenye mataji matano ya duniani, inatafuta kuvunja rekodi isiyofurahisha ya kutokuwahi kuishinda Norway …

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

MERIDIANBET imethibitisha kuwa mafanikio ya kweli hayaishii kwenye michezo ya kasino mtandaoni au ubashiri wa mechi pekee, bali yanaonekana pia kupitia matendo yenye kugusa maisha ya watu. Safari hii kampuni hiyo imefika Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni iliyopo Mabwepande na kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya us…

Michuzi
Spotlight Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kaping…

Michuzi
Spotlight Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 01 Julai 2026.Mazungumzo hayo ni kufuatia, Mhe. Bal…

Michuzi
Spotlight Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache barani Afrika zilizofanikiwa kusambaza huduma ya umeme vijijini, hatua ambayo imewezesha wananchi wengi kupata huduma hiyo kutoka ngazi za mikoa, wilaya, kata na vijiji, huku sasa juhudi zikielekezwa katika kufikisha umeme kwenye …

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula amepongeza ushiriki wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, 2026 akieleza kuwa maonesho hayo ni jukwaa muhimu la kulitangaza jiji na fursa zake kwa wananchi na wawekezaji.Alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la Halmas…

Michuzi
Spotlight Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imezindua Mradi wa Twiga Future Forward Education Program, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Barrick Tanzania, ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini na kuongeza fursa za wanafunzi kupata elimu katika mazingira bora.Akizindua mradi hu…

Michuzi
Spotlight Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Michuzi
Spotlight Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

Na Janeth Raphael MichuziTv Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameelezwa kuwa moja ya majukwaa makubwa yanayochochea ukuaji wa biashara, uwekezaji na ubunifu nchini, huku yakiiunganisha Tanzania na masoko ya kikanda pamoja na ya kimataifa.Akizungumza katika ufunguzi rasmi Maonesho ya 50 ya …

Michuzi
Spotlight Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akipata maelezo kutoka kwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa wakato alipotembelea katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage N…

Michuzi
Spotlight Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

Na. Mwandishi Wetu – Dar es SalaamKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi, amesema michuano ya AFCON ni fursa adhimu ya kuitangaza Tanzani…

Michuzi
Spotlight Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji, Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (kulia) na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo Happiness Shuma (kushoto), wakiwa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). M…

Michuzi
Spotlight Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamJUMLA ya wananchi 1,940 wamepata huduma za uchunguzi wa macho na ushauri wa kitabibu bila malipo katika Banda la MIXX kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika banda hilo, Mta…

Michuzi
Spotlight NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Na MWANDISHI WETUDar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuchangia katika Mfuko huo ili kujihakikishia ulinzi w…

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Michuzi
Spotlight Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

Na Farida Mangube Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akisema ni muhimu kwa usafirishaji wa mazao ya kilimo na madini katika Wilaya za Ulanga na Malinyi, Mkoa wa Morogoro.Ametoa ombi hilo wakati wa hafla ya kumkabidhi mkandara…

Michuzi
Spotlight Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

▪️ Waziri Mavunde akutana na mwekezaji wa kiwanda cha kuzalisha goroli za chuma▪️ Kiwanda hicho kinatarajiwa kujengwa Buzwagi Special Economic Zone, Kahama▪️ Oriental Casting and Forging Ltd ya China yajipanga kuwekeza nchini▪️ Serikali yalenga kupunguza utegemezi wa bidhaa za migodini kutoka nje▪️ Tanzania yajipanga …

Michuzi
Spotlight Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho, amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa juhudi wanazozifanya za kuimarisha ulinzi na usalama nchini.Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya miak…

Michuzi
Spotlight Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda, amesema Mamlaka hiyo itaendelea kutekeleza maelekezo ya Rais kuhusu kuimarisha ulipaji wa kodi kwa hiari kwa kuhakikisha kodi inasimamiwa na kukusanywa kwa haki na weledi ili kujenga imani ya walipakodi kwa TRA.Akizungumza katika kikao cha tathm…

Michuzi
Spotlight 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi baada ya tafiti, kubadilishana uzoefu na stadi mbalimbali kutoka kwa Nchi zenye mbinu bora,teknolojia ya juu pamoja na uzoefu mkubwa wa kukabiliana na uhalifu,Amezindua Programu Maalumu ya Usalama,Maendeleo na Samia ambayo pia itashirikisha hatua za Mafunzo na Vifaa vy…

Michuzi
Spotlight NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara …

Michuzi
Spotlight Prediction Argentina vs Misri FIFA …

Mechi ya leo kati ya Mexico na England ni pambano la kihistoria katika hatua ya 16 Bora, inayochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Ingawa historia inaonyesha ubabe wa England, ambapo wameshinda mara 6 kati ya 9 dhidi ya Mexico, mechi hii ina mazingira tofauti kabisa. England anajua kwamba Mexico katika uwanja wao w…

Michuzi
Spotlight Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Michuzi
Spotlight Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

Michuzi
Spotlight Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, ameipongeza Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa mageuzi inayoendelea kuyasimamia katika taasisi za umma, huku akiitaka kuendeleza juhudi hizo ili kuongeza tija ya uwekezaji wa Serikali.Msigwa, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, alitoa po…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Na Victor Masangu, PwaniSerikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka mazingira rafiki na mazuri ya ukusanyaji wa mapato ambayo yameweza kusaidia kwa kiasi kikubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika kuwezesha utekelezaji wa mirad…

Michuzi
Spotlight Wananchi watembelea banda la tmda s…

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Michuzi
Spotlight Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Na Mwandishi wetuSerikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali.Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wanahitaji amani, usalama na utulivu badala ya vurugu na mivutano ya kisiasa, akisisitiza kuwa mazingira hayo ndiyo msingi wa Serikali kuendelea kutoa huduma bora za kijamii, kukuza uchumi na kuongeza furs…

Michuzi
Spotlight NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Jane Mwakyoma - Rukwa.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Missana Kwangura amehitimisha mafunzo ya utoaji wa elimu kuhusu fursa za mitaji kupitia mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika wilayani humo mkoani Rukwa.Kwangura aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Nyak…

Michuzi
Spotlight Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Michuzi
Spotlight Waandishi wa habari wananufaika na …

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango vya taal…

Michuzi
Spotlight Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

Michuzi
Spotlight Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

- Apokelewa na Mkuu wa Mkoa, Mhe. Makongoro Nyerere pamoja na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jacqueline Mzindakaya Na OWM–TAMISEMI, SumbawangaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Silas Shemdoe, amewasili mjini Sumbawanga kwa ajili ya kumuwakilisha W…

Michuzi
Spotlight Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

Na. Mwandishi Wetu, Dar.MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mitaala ya Elimu nchini yenye lengo la kumfanya muhitimu kuweza kujiajiri au kuajiriwa mara anapomaliza masomo yake.Mhe. Magoti ameyasema hayo leo tarehe 12/7/2026 katika …

Michuzi
Spotlight Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…

Kwa kizazi kinachopenda burudani yenye msisimko, Meridianbet imeleta promosheni inayobadilisha namna ya kufurahia michezo ya kasino. Golden Goal Rewards ni jukwaa linalokupa nafasi ya kushindania jumla ya TZS milioni 450 huku ukiendelea kufurahia michezo unayoipenda. Kila mzunguko wa mchezo unaweza kuwa hatua ya karib…

Michuzi
Spotlight Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Na Mwandishi WetuRAIS na Mkurugenzi Mkuu wa Octant Energy, Richard Schmitt, amesema Kampuni hiyo bado ina dhamira ya dhati kuendelea kuwekeza nchini kwa kuzingatia sheria viwango vya kitaalamu na maslahi ya wananchi.Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwenye Maonesho ya 50 y…

Michuzi
Spotlight Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), Samuel A. Mshote, amesema matumizi ya mbolea nchini yameendelea kuongezeka na kuchangia kupungua kwa changamoto kwa wakulima pamoja na kuimarika kwa usalama wa chakula nchini.Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Da…

Michuzi
Spotlight UN envoy hails Kiswahili’s role in …

By TBN Staff Writer, LondonSwahili Ambassador for Africa and former First Lady of Tanzania, Her Excellency Salma Kikwete, has underscored the vital role of the Kiswahili language in promoting unity, preserving culture and advancing social and economic development across Africa and the wider world.She said Kiswahili ha…

Michuzi
Spotlight Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi wa mashauri yanayohusiana na ushindani. Ziara hiyo iliyofa…

Michuzi
Spotlight Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

Na Mwandishi wetuDar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026.Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuon…

Michuzi
Spotlight Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imetoa mafunzo ya kuwajengea uelewa waandishi wa habari nchini kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu mapambano dhidi biashara haramu ya dawa za kulevya.Katika mafunzo hayo yaliyofanyika leo Julai 3,2026 jijini Dar es Salaam mada zili…

Michuzi
Spotlight Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Tukio la Ngorongoro kuonesha vivutio vya utalii mubashara kupitia runings kubwa iliyofungwa katika banda la Wizara ya Maliasili na Utaliilimevutia wananchi wengi wanaotembelea maonesho ya 50 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam kwa kuoneshwa maajabu yaliyopo Ngorongoro hususan Kreta ya Ngorongoro, makundi ya …

Michuzi
Spotlight Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

Mbunge wa jimbo la Kilindi mkoani Tanga Salehe Mbwana Mhando akiendelea kuwafikia Wananchi wa maeneo mbalimbali moja kwa moja hivi karibuni, pichani (mwenye koti) Mhe.Salehe akiwa katika kata ya Mkindi ndani ya jimbo hilo akijumuika na Wananchi kwa mazungumzo ikiwemo kusikiliza changamoto zao na kuzitafutia ufumbuzi.

Michuzi
Spotlight Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Mixx imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu wamekabidhiwa zawadi za shilingi milioni moja kila mmoja kwa kutumia aprication ya MiXX Super app kufanya malipo ya huduma mbalimbali.Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi zawa…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Na Vero Ignatus, Michuzi TV-ArushaSerikali imeeleza kuwa ina matarajio makubwa kwa Mawakili wa Serikali katika kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050,Matarajio hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba, wakati akifunga mafunz…

Michuzi
Spotlight BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…

Na Mwandishi wetuKliniki ya Wateja Maalumu, Wagonjwa wa Kimataifa na Uchunguzi wa Afya wa Kina (Royal, International Patients and Master Health Check-up Clinic) katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake, huku ikijivunia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za kibing…

Michuzi
Spotlight Kongamano la nishati : etdco yasisi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai.Mazungumzo hayo yamefanyika leo, tarehe 03 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, alipofika kujitambulisha pamoja na ujumbe alioambatana na…

Michuzi
Spotlight GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVBODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema moja ya jukumu lake kubwa ni kutangaza utalii wa Tanzania ndani na nje ya nchi, hivyo Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)yanayoendelea ni jukwaa muhimu la kuendelea kutangaza utalii wetu.Aidha imesema kupitia maonesho h…

Michuzi
Spotlight Tanzania eyes Russian tourism boom …

Na Karama Kenyunko Michuzi TvIDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha mawakala 130 wa safari, waendeshaji wa utalii, mashirika ya ndege na wadau wa sekta ya utalii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na sekta ya usafiri nchi…

Michuzi
Spotlight Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Leo, Jumanne Julai 14, mechi kubwa zaidi ya msimu huu wa michuano ya Dunia inachezwa kati ya France na Spain katika Dallas Stadium, jijini Arlington, Texas. Mechi hii itaanza saa 22:00 iko karibu sana na muda halisi wa mechi kwa saa za Ulaya.Timu hizi mbili ndizo zilizoingia kwenye kombe hili zikiwa vipenzi vikubwa vy…

Michuzi
Spotlight Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

Na Janeth Raphael MichuziTv Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyika nchini kuanzia Mei 11 hadi 15, 2026, huku jumla ya watahiniwa 682 sawa na asilimia 43.7 wakifaulu.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi …

Michuzi
Spotlight GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la Taasisi za Udhibiti kutokana na utoaji bora wa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) 2026.Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja wa PPRA Kanda y…

Michuzi
Spotlight Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Geneva, Julai 2026 Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa miliki bunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya akili mnemba (Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya teknolojia na kujengea watu uwezo.Akiwasilis…

Michuzi
Spotlight Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umeweka jiwe la msingi kwenye wodi ya wanawake na watoto katika kituo cha afya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyojengwa na kampuni ya Chusa Mining LTD.Kampuni ya Chusa Mining LTD chini ya Mkurugenzi wake Joseph Damasi Mwakipesile imejenga wodi hiyo ya wanawake…

Michuzi
Spotlight Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Michuzi
Spotlight Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na Waziri", ambapo jumla ya malalamiko 29 yamepokelewa na kuanza kufanyiwa kazi, hatua inayotoa matumaini kwa wananchi wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kisheria.H…

Michuzi
Spotlight Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo, ametoa maagizo matano kwa viongozi na watumishi wa sekta ya elimu nchini yenye lengo la kuimarisha ubora wa elimu na kuhakikisha sekta hiyo inaendana na mahitaji ya maendeleo ya taifa pamoja na mabadiliko ya du…

Michuzi
Spotlight Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

Skauti Mkuu wa Tanzania, Lt. Rashid Mchata, amesema ushirikiano kati ya Chama cha Skauti Tanzania (Tanzania Scouts Association-TSA) na Oryx Gas Tanzania Limited ni hatua ya kimkakati itakayowawezesha maelfu ya vijana wa Skauti na Watanzania kwa ujumla kupata maarifa, ujuzi na fursa za kushiriki katika maendeleo ya Tai…

Michuzi
Spotlight Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034.Wito…

Michuzi
Spotlight Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Na Oscar Assenga,MKINGAJUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regime-STR) ili kurahisisha biashara za mipakani, kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda na kupunguz…

Michuzi
Spotlight Tanzania holds preparatory talks he…

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Mawaziri wa Utatu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika) uliofanyika kwa njia ya mtandao kujadili hali ya usalama katika ka…

Michuzi
Spotlight TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wateja, washirika wa kibiashara …

Michuzi
Spotlight WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imesema mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) yameweka msingi mpya wa kuimarisha huduma endelevu za maji, usafi wa mazingira na afya nchini, huku ikiahidi kuyaingiza katika mipango ya maendeleo ya taifa.Hayo yalisemwa mjini Morogoro na Mku…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 16 Julai, 2026.

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…

Michuzi
Spotlight Teknolojia za tari kifulilo zawavut…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

Michuzi
Spotlight Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) imeendelea na jitihada zake za kuhakikisha upatikanaji wa maji katika kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro unakuwa ni wa uhakika ambapo wameendelea kuboresha miundombinu kwa kununua mabomba mapya ya kulaza umbali wa kilomita 13.Akizu…

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umekagua na kutembelea mradi wa viti 120 na meza 120 za wanafunzi wa shule ya sekondari Tanzanite ya Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.Mkuu wa shule ya sekondari Tanzanite, Jude Samwel Mziray ameeleza hayo wakati akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa …

Michuzi
Spotlight Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amesema Mkoa wa Iringa unaendelea kujipambanua kama mkoa wenye fursa ya utalii, kilimo, huku akiwakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kufika mkoani humo kutumia fursa zilizopo.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Juni 3, 2026, mara baada ya kute…

Michuzi
Spotlight Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kupitia ujuzi wa kidijitali unaozingatia utunzaji wa mazingira. Hii imefanyika kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki yaliyotolewa wakati wa warsha ya ReFab Dar 2, iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuadhimisha Siku …

Michuzi
Spotlight TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Na Mwandishi Wetu, TaboraWananchi wa mikoa ya Tabora na Katavi wameanza kushuhudia matokeo ya Mradi Shirikishi wa Uhifadhi wa Misitu ya Miombo ya Nyanda Kame, huku shughuli za uhifadhi zikigeuka kuwa chanzo cha kipato, ajira na matumizi endelevu ya rasilimali za misitu.Mafanikio hayo yamebainika wakati Kamati ya Wataa…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

Michuzi
Spotlight Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Na Mwandishi Wetu, MbeyaJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau mbalimbali katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kupitia doria, misako na oparesheni za kuzuia na kubaini uhalifu. Katika kipindi cha mwezi Mei 2026, jumla ya watuhumiwa 871 wa makosa mbalimbali ya jinai…

Michuzi
Spotlight NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara.Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel, London, Uin…

Michuzi
Spotlight Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

ZAIDI ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Julai 13, 2026 na itahitimishwa Julai 19, ambapo wananchi wanapatiwa vipimo, ushau…

Michuzi
Benki ya NBC imezindua mbio za NBC Dodoma Marathon zitakazofanyika Julai 26, 2026, jijini Dodoma, zikiwa na lengo la kuvutia washiriki 15,000.
Michezo Siku 7 zijazo

Benki ya NBC imezindua mbio za NBC Dodoma Marathon zitakazofanyika Julai 26, 2026, jijini Dodoma, zikiwa na lengo la kuvutia washiriki 15,000.

Michuzi
Kutoka 26 Jul 2026
TAWA is organizing 'Pande Marathon' on August 1, 2026, aimed at promoting health and connecting citizens with tourism and conservation activities.
Siku 13 zijazo

TAWA is organizing 'Pande Marathon' on August 1, 2026, aimed at promoting health and connecting citizens with tourism and conservation activities.

Michuzi
Kutoka 1 Ago 2026
Kombe la Dunia la FIFA 2026, kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, litarushwa mubashara na TBC bila malipo.

Kombe la Dunia la FIFA 2026, kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, litarushwa mubashara na TBC bila malipo.

Michuzi
Kutoka 11 Jun 2026 · Hadi 19 Jul 2026
SportPesa Tanzania hosts 'Twenzetu Duniani' campaign, offering fans chances to win during the World Cup from June 16 to July 20, 2026.

SportPesa Tanzania hosts 'Twenzetu Duniani' campaign, offering fans chances to win during the World Cup from June 16 to July 20, 2026.

Michuzi
Kutoka 16 Jun 2026 · Hadi 20 Jul 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Michuzi
Kutoka 27 Jun 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Salma Kikwete Hails Kiswahili as a Global Bridge for Unity, Culture and Development

Salma Kikwete Hails Kiswahili as a Global Bridge for Unity, Culture and Development

Michuzi· Jana
Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe!

Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe!

Michuzi· Jana
MAFUNZO YA BESPOKE YAONGEZA UWEZO KWA MAWAKILI WA SEIKALI KUELEKEA DIRA 2050

MAFUNZO YA BESPOKE YAONGEZA UWEZO KWA MAWAKILI WA SEIKALI KUELEKEA DIRA 2050

Michuzi· Jana
ZANZIBAR KULETA MADEREVA WAKE CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

ZANZIBAR KULETA MADEREVA WAKE CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV ArushaSERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema ina mikakati ya kuleta madereva kutoka visiwani humo kuja katika chuo cha ufundi Arus

Michuzi· Jana
SGT NOELA ATUNUKIWA BARUA YA PONGEZI NA UNMISS.

SGT NOELA ATUNUKIWA BARUA YA PONGEZI NA UNMISS.

Michuzi· Jana
HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAWEKA HISTORIA, WATOTO WA BURUNDI WAFANIKIWA UPASUAJI WA MOYO

HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAWEKA HISTORIA, WATOTO WA BURUNDI WAFANIKIWA UPASUAJI WA MOYO

Michuzi· Jana
WAZIRI MKUU ARIDHISHWA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA DODOMA

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA DODOMA

Michuzi· Jana
Mradi wa TFS, FAO na GEF waanza kuzaa matunda Tabora, Katavi

Mradi wa TFS, FAO na GEF waanza kuzaa matunda Tabora, Katavi

Michuzi· Jana
ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

Michuzi· Jana
Twenzetu Duniani na SportPesa passes 200 winners as World Cup excitement builds

Twenzetu Duniani na SportPesa passes 200 winners as World Cup excitement builds

Michuzi· Jana
How SportPesa Tanzania’s SP Score is changing the way fans follow every match

How SportPesa Tanzania’s SP Score is changing the way fans follow every match

 How SportPesa Tanzania’s SP Score is changing the way fans follow every matchHow SportPesa Tanzania’s SP Score is changing the way fans follow every match

Michuzi· Jana
Airtel Tanzania yawajengea vijana ujuzi wa kidigitali wa namna ya kubadili taka za kielektroniki kuwa fursa za biashara

Airtel Tanzania yawajengea vijana ujuzi wa kidigitali wa namna ya kubadili taka za kielektroniki kuwa fursa za biashara

Michuzi· Jana
YAS YAENZI URITHI WA MKAPA KWA KUWEKEZA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA AFYA

YAS YAENZI URITHI WA MKAPA KWA KUWEKEZA TEKNOLOJIA KATIKA HUDUMA ZA AFYA

Michuzi· Jana
Euromoney Yaitaja NMB Benki Bora Zaidi Tanzania kwa Wafanyabiashara

Euromoney Yaitaja NMB Benki Bora Zaidi Tanzania kwa Wafanyabiashara

Michuzi· Jana
DED KWANGURA AHITIMISHA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI, AHIMIZA MATUMIZI YA FURSA ZA MITAJI KUCHOCHEA MAENDELEO.

DED KWANGURA AHITIMISHA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI, AHIMIZA MATUMIZI YA FURSA ZA MITAJI KUCHOCHEA MAENDELEO.

Michuzi· Jana
EWURA YAFANYA MKUTANO WA WADAU KUJADILI BEI ZINAZOPENDEKEZWA ZA MAMLAKA YA MAJI SONGEA

EWURA YAFANYA MKUTANO WA WADAU KUJADILI BEI ZINAZOPENDEKEZWA ZA MAMLAKA YA MAJI SONGEA

Michuzi· Jana
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI  BUNGE LA UINGEREZA

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI BUNGE LA UINGEREZA

Michuzi· Jana
HOSPITALI YA BMH YAPIGWA JEKI NA UWT.  WAZIRI MKUU AONGOZA HARAMBEE. BILIONI 5.5 ZAPATIKANA

HOSPITALI YA BMH YAPIGWA JEKI NA UWT. WAZIRI MKUU AONGOZA HARAMBEE. BILIONI 5.5 ZAPATIKANA

Na Janeth Raphael - MichuziTvWaziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa ili kubore

Michuzi· Jana
Milu Kipimo Ateuliwa Kuongoza Bolt for Business Barani Afrika

Milu Kipimo Ateuliwa Kuongoza Bolt for Business Barani Afrika

Michuzi· Jana
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA KIDIJITALI

TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA KIDIJITALI

Michuzi· Jana
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.