Gundua

1380 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Michuzi chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Spotlight Tanzania Development Vision 2050

NMB Bank Plc has advanced its Medium-Term Plan 2026–2030, (Agenda 2030), by committing approximately USD 100 million (TZS 224 billion) to a landmark USD 500 million syndicated financing facility arranged by Nedbank Corporate and Investment Banking for AngloGold Ashanti's Geita Gold Mine. The commitment makes NMB the l…

Michuzi
Spotlight AI

Na Oscar Assenga,TANGASERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa washauri wa wanafunzi, wanasihi na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali nchini.Akizungumza wakati wa k…

Michuzi
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

Na Mwandishi Wetu.SERIKALI imeimarisha kwa kiwango kikubwa ufuatiliaji katika mipaka, vituo vya kuingilia nchini na mfumo mzima wa huduma za afya ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini kutoka mataifa jirani.Akizungumza katika semina ya wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ukuzaji wa Afya kutoka …

Michuzi
Spotlight Fuel Prices

Meneja wa EWURA Kanda ya Magaharibi, Mha. Karim Ally(kushoto) akitoa maelezo ya majukumu yanayotekelezwa na Mamlaka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Mh. Dkt. Rashid Chuachua(kulia) ikiwemo utoaji wa leseni na vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta, vituo vya CNG, utatuzi wa migogoro na malalamiko na nafasi ya EWURA katika…

Michuzi
Spotlight Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Na Janeth Raphael MichuziTv BungeniSerikali ya Tanzania imetangaza vipaumbele vikuu vya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambao unalenga kuimarisha uchumi, kuboresha maisha ya wananchi na kuongeza ushindani wa taifa katika masoko ya kikanda na kimataifa.Mpango huo umeelezwa kuwa dira muhimu ya m…

Michuzi
Spotlight Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

MICHUANO mikubwa Duniani inatarajiwa kuanza Alhamisi ya leo Kule Mexico ambapo waandaaji wa mashindano hayo watakuwa kibaruani dhidi ya timu kutoka Afrika, yaani Afrika Kusini. Nani kuanza vyema leo?Je uanjua kuwa siku zote mechi ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani daima huwa na umuhimu wa kipekee kwa sababu ndiyo…

Michuzi
Spotlight Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema serikali imechukua hatua madhubuti kumaliza changamoto za kukatika kwa umeme zilizokuwa zikiathiri baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, hali iliyokuwa ikisababisha wilaya nzima kukosa umeme pindi hitilafu zinapotokea kwenye baad…

Michuzi
Spotlight Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

📍 Bilioni 15 kukamilisha ujenzi akademia ya michezo MalyaNA Mashaka Mhando, IringaSERIKALI imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 15 katika mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Akademia ya Taifa ya Michezo iliyopo Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya.Hatua hiyo ya kiserikali inalenga kuweka mfumo th…

Michuzi
Spotlight Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Dar es Salaam, Julai 2026Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo kitafanyika tarehe 3 Julai 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, kuanz…

Michuzi
Spotlight Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…

KARIBU kwenye kwenye Zigo la Mizawadi, Meridianbet tumezindua rasmi kampeni mpya na ya kusisimua ya “Mbabe wa Dunia”, ikitoa nafasi kwa wapenzi wa soka kushindania zawadi zenye thamani ya jumla ya TZS 100,000,000 katika kipindi chote cha Kombe la Dunia 2026.Kuanzia leo Juni 12 hadi Julai 19, kila tiketi yenye mechi za…

Michuzi
Spotlight Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Na Paul Kayanda, KahamaMWENYEKITI wa Mtaa wa Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Stella Bhayugile, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan umeendelea kuleta matumaini mapya kwa wananchi. Huku vijana na wanawa…

Michuzi
Spotlight Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

Na Janeth Raphael MichuziTv Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema chama hicho kimepokea taarifa zinazoonyesha kuwepo kwa baadhi ya makundi yanayodaiwa kupanga njama za kuvuruga amani na utulivu wa nchi.Akizungumza na…

Michuzi
Spotlight Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Na Victor Masangu,KibitiMwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji ambao unatakelezwa na Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kibiti ambapo amesema kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa katika kuwahudumia kwa kiasi kikubwa wananchi …

Michuzi
Spotlight Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Nancy Nyalusi, amesema ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya na unatarajiwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga huku ukiimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa.Nyalusi a…

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …

KAMA wewe ni shabiki wa michezo ya kasino mtandaoni ambaye hupenda ushindani na zawadi zinazobadilisha siku yako, basi Meridianbet imekuletea fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Expanse Treasure Hunt, kila mzunguko unaoucheza unaweza kuwa hatua mpya kuelekea kwenye hazina ya mamilioni ya shilingi. Hii…

Michuzi
Spotlight Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Vedastina Kagombora amesema kuwa Suala la ujumuishaji sio jukumu la Sekta moja bali ni la kila Wizara kushirikiana ili kuweka mazingira rafiki katika upatikanaji wa huduma muhimu ikiwemo …

Michuzi
Spotlight Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

Michuzi
Spotlight Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

LEO hii ni zamu ya mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa.Katika Kundi C leo hii kutakuwa na mechi kati ya Brazil dhidi ya Morocco ambapo hii ni moja ya mechi ambazo zitakuwa nzuri kutaza…

Michuzi
Spotlight Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, Juni 22, 2026 alitembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.Akiwa katika banda hilo, Prof. Kahyarara alipokewa na Mene…

Michuzi
Spotlight NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London (LSE). Hatifungani hiyo, yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 (Shilingi bilioni 262.5), itaipatia Benki ya NMB ikiwa…

Michuzi
Spotlight Singapore sees Tanzania as a major …

Minister of State in the President's Office (Planning and Investment), Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of the State Visit by the President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, to Russia from 2–6 June 2026. The briefing was held at the Juliu…

Michuzi
Spotlight Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…

MCHEZO wa leo kati ya Iraq na Norway katika Kundi I michuano mikubwa 2026 unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa licha ya Norway kuingia kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kushinda.Huu ni mchezo wa kwanza kwa mataifa yote mawili katika mashindano haya, ambapo Iraq inarejea Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka …

Michuzi
Spotlight TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

TAKUKURU Mkoa wa Geita imefikisha mahakamani watumishi 9 wa umma kwa tuhuma za kutumia vibaya na kuiba fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 89,055,107 na senti 50. Watumishi hao walikamatwa baada ya uchunguzi wa TAKUKURU kubaini walikuwa wakifanya vitendo vya rushwa na ubadhirifu. Kati yao watumishi 3 wa Manispaa …

Michuzi
Spotlight Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

Na Mwandishi WetuHALIMASHAURI ya Wilaya ya Kisarawe,Mkoani Pwani imeendelea kung'ara kwa kupata hati safi kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG), kwa kipindi cha miaka minne mfurulizo.Wilaya hiyo imepata hati safi katika mwaka wa fedha 2021/22 , mwaka wa fedha 22/23, mwaka wa fedha 23/24 n…

Michuzi
Spotlight Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Na Mwandishi Wetu, MorogoroWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga na mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu katika kuimarisha demokrasia, amani na maendeleo endelevu nchini.Akifungua Warsha ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wajumbe wa Bar…

Michuzi
Spotlight Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Michuzi
Spotlight Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

Victor Masangu,Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya ya Wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewasa viongozi wa CCM kuhakikisha kwamba wanavalia njuga na kusimamia ipasavyo suala la mikopo ya asilimia kumi ambayo inatolewa na Halmashauri.Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara yake ya kikazi Wilaya ya Bagamoyo yenye lengo la kuo…

Michuzi
Spotlight Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Michuzi
Spotlight Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitaka Mahakama ya Tanzania kuendelea kuimarisha misingi ya haki, nidhamu, uwajibikaji na maadili katika utoaji wa huduma za haki ili kuhakikisha mfumo imara na wa kuaminika wa utoaji haki nchini.Rais Samia amet…

Michuzi
Spotlight Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Needpeace Wambuya, amepongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), hususan hatua ya kuanzisha mpango wa kuuza mifugo kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akizungumza alipotembelea banda la WRRB kati…

Michuzi
Spotlight Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Na.Mwandishi wetu - Dar es SalaamKamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya maandalizi ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El N…

Michuzi
Spotlight Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Na Benny Mwaipaja, DURBANNchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeazimia kuharakisha mageuzi ya kiviwanda katika kanda, baada ya kuhitimisha Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SIW 2026) iliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Durban, jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini.Zimes…

Michuzi
Spotlight Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Benki ya NMB imeendelea kuonyesha nafasi yake katika kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha kwa wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo, wakiwemo wakulima, wanunuzi wa mazao, wachakataji, wasafirishaji na waagizaji wa pembejeo.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Bi…

Michuzi
Spotlight Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

Dar es Salaam, Julai 3, 2026 Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua iliyowezesha kuongeza fursa za mafunzo kwa watumishi wa umma na wananchi kupitia ongezeko la kampasi kutoka mbili hadi sita katika kipindi cha miaka 25 iliyopita.Ponge…

Michuzi
Spotlight Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Wananchi nchini wametakiwa kuwa waangalifu na taarifa pamoja na ushauri wanaoupata kupitia mitandao ya kijamii, kwani si kila elimu inayotolewa mtandaoni ni sahihi au inatolewa na wataalamu wenye sifa stahiki.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dkt. Joyce Nyoni, alipokuwa akizungumza na waandishi w…

Michuzi
Spotlight Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

DodomaRAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuwa ni miongoni mwa taasisi bora za maendeleo ya miundombinu barani Afrika kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake mwaka 2017.Wakili Mwambaj…

Michuzi
Spotlight Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Michuzi
Spotlight Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Juni 7,2026JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.Akitoa ufafanuzi kuhusu tukio hilo, kam…

Michuzi
Spotlight Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…

Leo hii mechi za kirafiki zile za kujiandaa na msimu ujao zinakaribia huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja ikiwa inakungoja. Je nani anaweza kuondoka na ushindi siku hii ya leo?Mechi ya Basel dhidi ya Juventus inatarajiwa ya kuvutia kiaina yake na yenye ushindani mkubwa haswa huku huku kila timu ikitumia fursa hii …

Michuzi
Spotlight Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Na Janeth Raphael - MichuziTv -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea msaada wa Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Uboreshaji wa Huduma za Usambazaji Ma…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Na Farida Mangube Morogoro Wakazi wa Kitongoji cha Kichangani, Kijiji cha Mamboya katika Kata ya Gairo, Wilaya ya Gairo, wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya mafuriko na kukatika kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja na mtaro wa maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 455.Mra…

Michuzi
Spotlight Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ametoa maagizo ya kuchukuliwa hatua kwa maafisa rasilimali watu watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma, licha ya wahusika hao kutimiza vigezo vyote vinavyohitajika.Prof. Sh…

Michuzi
Spotlight Play’n GO na Meridianbet Waungana K…

MERIDIANBET inafungua ukurasa mpya wa burudani ya kasino mtandaoni kwa kuwakaribisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa kipekee wa Play’n GO, mmoja wa waandaa michezo wakubwa na wanaoaminika zaidi katika tasnia ya michezo ya kasino ya kidijitali. Hii ni hatua inayolenga kuongeza ladha mpya ya michezo ya kisasa kwa wap…

Michuzi
Spotlight Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendesha zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Miyuji B, iliyopo eneo la Mpamaa jijini Dodoma Juni 28, 2026, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya TRA pamoja na Tuzo za Rais kwa Walipakodi Bora. Zoezi hilo linalenga kuunga mkono …

Michuzi
Spotlight Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kuwezesha ugunduzi wa mapema wa saratani, akisisitiza kuwa ugonjwa huo si hukumu ya kifo iwapo utabainika mapema na mgonjwa kupata matiba…

Michuzi
Spotlight Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Vijana wa Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya bahari, huku Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kikieleza kuwa wahitimu wake wanaendelea kupata ajira ndani na nje ya nchi, hususan katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa ubaharia.Akizungumza na waandis…

Michuzi
Spotlight Algerian firms seek partners for tr…

Balozi Mobhare Matinyi akimwonesha Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Géant Electronics, Abdelkrim Mebarkia, vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji nchini Tanzania kwenye banda la Tanzania katika Maonesho ya 57 ya Biashara ya Kimataifa ya Algiers (FIA) yanayoendelea nchini Algeria.Balozi Mobhare Matinyi akipata maele…

Michuzi
Spotlight WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Michuzi
Spotlight Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …

Mechi hii kubwa itachezwa Alhamisi tarehe 9 Julai 2026 katika uwanja wa Gillette Stadium (unaojulikana pia kama Boston Stadium), mjini Foxborough, karibu na Boston, Marekani. Mchezo utaanza saa 20:00 kwa muda wa GMT, sawa na saa 23:00 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki (na saa 22:00 mjini Paris, saa 21:00 Rabat). Huu …

Michuzi
Spotlight Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

Michuzi
Spotlight Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Na Andrea Kadege, WAF-Dar es SalaamMkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Ukanda wa Afrika Prof. Mohamed Janabi amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji wa haraka wa wagonjwa na uwekezaji katika mifumo ya afya kama nguzo muhimu ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola barani AfrikaProf. Janabi amesema hayo leo Juni 25, 2026 Jijini Dar …

Michuzi
Spotlight Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…

LEO. Jumapili Julai 19, 2026, dunia nzima itashuhudia fainali ya michuano ya Dunia ikichezwa kati ya Argentina na Spain katika uwanja wa MetLife (unaojulikana pia kama New York New Jersey Stadium), East Rutherford, New Jersey, Marekani.Mchezo utaanza saa 3:00 usiku kwa saa za Marekani (ET), ambayo ni sawa na saa 22:00…

Michuzi
Spotlight Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Kamati ya Wataalam ya Serikali ya Maandalizi ya Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) imeweka mkazo katika kuhakikisha miradi ya ujenzi na uboreshaji wa barabara inayotekelezwa kuelekea michuano hiyo inakamilika kwa wakati, ili kuboresha usafiri na usafirishaji.Akifungua kikao kazi cha Kamati h…

Michuzi
Spotlight Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Michuzi
Spotlight Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Na Mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha Naibu Makatibu Wakuu wawili na kushuhudia viongozi wanne wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma, huku akiwataka kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ushirikiano, uwajibikaji na kuzingatia maslahi ya wananchi.A…

Michuzi
Spotlight Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

Na Mwandishi WetuTANZANIA imeidhinisha miradi minne ya biashara ya kaboni yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 135.5, ikifungua njia ya mauzo ya kaboni katika soko la kimataifa.Miradi hiyo imeidhinishwa chini ya Kifungu cha 6 cha Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, kinachoruhusu nchi kushiriki biash…

Michuzi
Spotlight Prediction Afrika Kusini vs Canada …

AFRIKA Kusini wamefuzu kwa mara ya kwanza katika historia yao kufikia hatua ya mtoano wa mashindano ya Dunia, wakimaliza washindi wa pili wa Kundi A nyuma ya Mexico. Hii ni mara yao ya kwanza kuvuka hatua ya makundi katika michuano hii, baada ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 1998, 2002 na kama wenyeji 2010.Kwa upande …

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na Pamela Mollel,Arusha Maandalizi ya kuupokea Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Arusha yamekamilika kwa asilimia 100, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika shughuli za Mbio za Mwenge, kutembelea miradi ya maendeleo na kuhudhuria mkesha mkubwa wa burudani utakaofanyika Viwanja vya FFU Mworombo…

Michuzi
Spotlight Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu matumizi ya dhamana zinazohamishika.Akizungu…

Michuzi
Spotlight Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…

USHINDI mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi.Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo…

Michuzi
Spotlight Rc makalla aipongeza halmashauri ya…

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe kubuni na kutekeleza miradi mipya ya kuongeza mapato, badala ya kuendelea kutegemea mapato ya madini peke yake.Ametoa maelekezo hayo wakati wa Kikao Maalum cha Baraza cha kusikiliza na kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…

Michuzi
Spotlight Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Michuzi
Spotlight Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha wafugaji nchini kupata huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo mikopo, kupitia mfumo wa uuzaji wa mifugo kwa stakabadhi ghalani.Ushirikiano huo unalenga kuongeza upatikanaji wa mitaji …

Michuzi
Spotlight Kamati ya bunge ya nishati na madin…

*Yawahamasisha Wananchi Kutumia Umeme kwa Ufanisi na gharama nafuuNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zinazolenga kubores…

Michuzi
Spotlight Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuwa chachu ya mabadiliko kwa kaya maskini, hususan wanawake, kwa kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuanza maisha ya kujitegemea.Akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi…

Michuzi
Spotlight Norway yaiondosha ivory coast kombe…

LEO Julai 5, 2026, saa 23:00, Uwanja wa MetLife, New Jersey, utashuhudia pambano kali la michuano ya Dunia kati ya Brazil na Norway. Hii ni mechi ya Raundi ya 16 ambayo inaahidi burudani na mivutano mikubwa. Brazil, yenye mataji matano ya duniani, inatafuta kuvunja rekodi isiyofurahisha ya kutokuwahi kuishinda Norway …

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

Katika mtaa wa Mivinjeni kata ya Buguruni, Meridianbet imeendesha kampeni maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio hili lilikuwa ni ushuhuda wa namna kampuni binafsi zinavyoweza kushiriki kikamilifu katika kuboresha maisha ya wananchi kwa vitendo. Wananchi walijionea kwa macho yao kwamba msaada si maneno matupu…

Michuzi
Spotlight Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Na Janeth Raphael - MichuziTv.Serikali imesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya sekta za kilimo, mifugo, uvuvi, viwanda, biashara na taasisi za kifedha ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha uchakataji wa mazao na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa.Msisitizo huo umetolewa leo Agosti 2, 2026 jijini Dodoma na…

Michuzi
Spotlight Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili ya kushiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu Afya, tarehe 22 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. …

Michuzi
Spotlight Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache barani Afrika zilizofanikiwa kusambaza huduma ya umeme vijijini, hatua ambayo imewezesha wananchi wengi kupata huduma hiyo kutoka ngazi za mikoa, wilaya, kata na vijiji, huku sasa juhudi zikielekezwa katika kufikisha umeme kwenye …

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula amepongeza ushiriki wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, 2026 akieleza kuwa maonesho hayo ni jukwaa muhimu la kulitangaza jiji na fursa zake kwa wananchi na wawekezaji.Alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la Halmas…

Michuzi
Spotlight Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imezindua Mradi wa Twiga Future Forward Education Program, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na Barrick Tanzania, ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini na kuongeza fursa za wanafunzi kupata elimu katika mazingira bora.Akizindua mradi hu…

Michuzi
Spotlight Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Michuzi
Spotlight Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

Na Janeth Raphael MichuziTv Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameelezwa kuwa moja ya majukwaa makubwa yanayochochea ukuaji wa biashara, uwekezaji na ubunifu nchini, huku yakiiunganisha Tanzania na masoko ya kikanda pamoja na ya kimataifa.Akizungumza katika ufunguzi rasmi Maonesho ya 50 ya …

Michuzi
Spotlight Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akipata maelezo kutoka kwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa wakato alipotembelea katika Banda la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage N…

Michuzi
Spotlight Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza fursa 12 zitakazotokana na Tanzania kuwa mwenyeji mwenza wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2027 ambazo zitafungua zaidi milango ya maendeleo ya uchumi, ajira, biashara, utalii na uwekezaji nchini.Akizungumza kuhusu fursa hizo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusi…

Michuzi
Spotlight Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

📍Wamwangukia DPP amuachie LissuNa Mashaka Mhando, TangaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya majimbo mkoani Tanga, wamemtaka Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), John Heche, kujiuzulu au kukaa pembeni kupisha uchunguzi kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazomkabili.Sambamba na shin…

Michuzi
Spotlight Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji, Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (kulia) na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo Happiness Shuma (kushoto), wakiwa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). M…

Michuzi
Spotlight Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamJUMLA ya wananchi 1,940 wamepata huduma za uchunguzi wa macho na ushauri wa kitabibu bila malipo katika Banda la MIXX kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es Salaam.Akizungumza katika banda hilo, Mta…

Michuzi
Spotlight NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Na MWANDISHI WETUDar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuchangia katika Mfuko huo ili kujihakikishia ulinzi w…

Michuzi
Spotlight Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Michuzi
Spotlight Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

Na Farida Mangube Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hashim, ameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa kipande cha barabara ya Lupiro–Mahenge, akisema ni muhimu kwa usafirishaji wa mazao ya kilimo na madini katika Wilaya za Ulanga na Malinyi, Mkoa wa Morogoro.Ametoa ombi hilo wakati wa hafla ya kumkabidhi mkandara…

Michuzi
Spotlight Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imeiagiza Wizara ya Uchukuzi kuharakisha taratibu za kuwasilisha Waraka wa Baraza la Mawaziri ili kuwezesha kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Lojistiki na Usafirishaji, hatua inayolenga kuimarisha ubora, weledi na uwajibikaji wa wataalamu wa sekta hiyo nchini.Akifungua Kongamano …

Michuzi
Spotlight Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho, amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa juhudi wanazozifanya za kuimarisha ulinzi na usalama nchini.Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya miak…

Michuzi
Spotlight Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda, amesema Mamlaka hiyo itaendelea kutekeleza maelekezo ya Rais kuhusu kuimarisha ulipaji wa kodi kwa hiari kwa kuhakikisha kodi inasimamiwa na kukusanywa kwa haki na weledi ili kujenga imani ya walipakodi kwa TRA.Akizungumza katika kikao cha tathm…

Michuzi
Spotlight 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi baada ya tafiti, kubadilishana uzoefu na stadi mbalimbali kutoka kwa Nchi zenye mbinu bora,teknolojia ya juu pamoja na uzoefu mkubwa wa kukabiliana na uhalifu,Amezindua Programu Maalumu ya Usalama,Maendeleo na Samia ambayo pia itashirikisha hatua za Mafunzo na Vifaa vy…

Michuzi
Spotlight NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara …

Michuzi
Spotlight Prediction Argentina vs Misri FIFA …

Mechi ya leo kati ya Mexico na England ni pambano la kihistoria katika hatua ya 16 Bora, inayochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca. Ingawa historia inaonyesha ubabe wa England, ambapo wameshinda mara 6 kati ya 9 dhidi ya Mexico, mechi hii ina mazingira tofauti kabisa. England anajua kwamba Mexico katika uwanja wao w…

Michuzi
Spotlight Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Michuzi
Spotlight Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

Michuzi
Spotlight Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, ameipongeza Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa mageuzi inayoendelea kuyasimamia katika taasisi za umma, huku akiitaka kuendeleza juhudi hizo ili kuongeza tija ya uwekezaji wa Serikali.Msigwa, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, alitoa po…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Na Victor Masangu, PwaniSerikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka mazingira rafiki na mazuri ya ukusanyaji wa mapato ambayo yameweza kusaidia kwa kiasi kikubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika kuwezesha utekelezaji wa mirad…

Michuzi
Spotlight Wananchi watembelea banda la tmda s…

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Michuzi
Spotlight Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Na Mwandishi wetuSerikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kuweka msukumo katika kuendeleza sayansi na teknolojia kwani ndiyo msingi wa kukuza uchumi kupitia maarifa na kuboresha huduma katika sekta mbalimbali.Akizungumza Julai 8, 2026, baada ya kutembelea Taasisi ya Afya na Utafiti ya…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wanahitaji amani, usalama na utulivu badala ya vurugu na mivutano ya kisiasa, akisisitiza kuwa mazingira hayo ndiyo msingi wa Serikali kuendelea kutoa huduma bora za kijamii, kukuza uchumi na kuongeza furs…

Michuzi
Spotlight NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wa kitaalamu hata baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma.Kauli hiyo imetolewa n…

Michuzi
Spotlight Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Michuzi
Spotlight Waandishi wa habari wananufaika na …

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Julai 29, 2026Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza rasmi kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini, yakilenga kuimarisha weledi, maadili na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo kwa waandishi wa haba…

Michuzi
Spotlight Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

Michuzi
Spotlight Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Jane Mwakyoma,Rukwa.MAADHIMISHO ya nane nane mwaka 2026 yamefunguliwa leo Aug 1, katika mamlaka ya mji mdogo wa Laela Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa na yatafikia kilele chake Aug 8 mwaka huu,huku maadhimisho hayo yakibeba kauli mbiu ya mwaka huu "Tambua soko,ongeza tija kutekeleza Dira 20250".Halmash…

Michuzi
Spotlight Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

Na Mwandishi WetuCHUO cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma VETA Chang’ombe, Dar es Salaam, kimesema mafunzo ya ubunifu wa mavazi na mitindo yanaendelea kuwa chachu ya kuwawezesha vijana kujiajiri, kuajiri wengine na kuchangia katika kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo c…

Michuzi
Spotlight Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…

Leo hii una nafasi kubwa ya kuishia maisha ya ndoto zako ukiweza kubashiri kwa usahihi mechi 13 za Jackpot ya Meridianbet. Hii ni nafasi ya wewe kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwa mshindi kwnai hata bila intaneti unaweza ukabashiri mechi za mpira wa miguu.Kwenye ulimwengu huu wa kizazi kipya fursa ni chache sana a…

Michuzi
Spotlight Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Na Mwandishi WetuRAIS na Mkurugenzi Mkuu wa Octant Energy, Richard Schmitt, amesema Kampuni hiyo bado ina dhamira ya dhati kuendelea kuwekeza nchini kwa kuzingatia sheria viwango vya kitaalamu na maslahi ya wananchi.Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwenye Maonesho ya 50 y…

Michuzi
Spotlight Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

Na.Mwandishi wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza tani 200,000 za mbolea kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, sambamba na uwekezaji katika viwanda vya kuchanganya mbolea na uchakataji wa chokaa ili kuongeza tija ya uzalishaji wa ma…

Michuzi
Spotlight UN envoy hails Kiswahili’s role in …

By TBN Staff Writer, LondonSwahili Ambassador for Africa and former First Lady of Tanzania, Her Excellency Salma Kikwete, has underscored the vital role of the Kiswahili language in promoting unity, preserving culture and advancing social and economic development across Africa and the wider world.She said Kiswahili ha…

Michuzi
Spotlight Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi wa mashauri yanayohusiana na ushindani. Ziara hiyo iliyofa…

Michuzi
Spotlight Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

Na Mwandishi wetuDar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026.Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuon…

Michuzi
Spotlight Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo, taratibu za udhibiti wa bidhaa za dawa na vifaa tiba, pamoja na kuhamasisha uwekezaji katika viwanda vya kutengeneza dawa za mifugo nchini.Akizungumza …

Michuzi
Spotlight Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Waswahili husema nyumba njema haikosi wageni na hii imedhihirika leo tarehe 4 Agosti, 2026 baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar mhe Zubeir Ali Maulid kutembelea eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.Akiwa katika geti la Loduare Spika Maulid alipata taarifa ya vivutio vya eneo hilo iliiyotolewa na Kamishna Msaidizi…

Michuzi
Spotlight Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

Michuzi
Chakula na Mapishi Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake huku ikitangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni 50.Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya tisa ya kampeni …

Michuzi
Spotlight IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Na Benny Mwaipaja, LondonWaziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (MB), amefanya mkutano wa kimkakati jijini London nchini Uingereza na maafisa wakuu wa Citibank chini ya uongozi wa Bwana Akin Dawodu, Afisa Mkuu Mtendaji anayesimamia eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, katika ziara yake rasmi ya ku…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Na Vero Ignatus, Michuzi TV-ArushaSerikali imeeleza kuwa ina matarajio makubwa kwa Mawakili wa Serikali katika kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050,Matarajio hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba, wakati akifunga mafunz…

Michuzi
Spotlight BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…

Na Mwandishi wetuKliniki ya Wateja Maalumu, Wagonjwa wa Kimataifa na Uchunguzi wa Afya wa Kina (Royal, International Patients and Master Health Check-up Clinic) katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake, huku ikijivunia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za kibing…

Michuzi
Spotlight Kongamano la nishati : etdco yasisi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai.Mazungumzo hayo yamefanyika leo, tarehe 03 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, alipofika kujitambulisha pamoja na ujumbe alioambatana na…

Michuzi
Spotlight GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVBODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema moja ya jukumu lake kubwa ni kutangaza utalii wa Tanzania ndani na nje ya nchi, hivyo Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)yanayoendelea ni jukwaa muhimu la kuendelea kutangaza utalii wetu.Aidha imesema kupitia maonesho h…

Michuzi
Spotlight Tanzania eyes Russian tourism boom …

Na Karama Kenyunko Michuzi TvIDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha mawakala 130 wa safari, waendeshaji wa utalii, mashirika ya ndege na wadau wa sekta ya utalii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na sekta ya usafiri nchi…

Michuzi
Spotlight Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Leo, Jumanne Julai 14, mechi kubwa zaidi ya msimu huu wa michuano ya Dunia inachezwa kati ya France na Spain katika Dallas Stadium, jijini Arlington, Texas. Mechi hii itaanza saa 22:00 iko karibu sana na muda halisi wa mechi kwa saa za Ulaya.Timu hizi mbili ndizo zilizoingia kwenye kombe hili zikiwa vipenzi vikubwa vy…

Michuzi
Spotlight Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

Na Janeth Raphael MichuziTv Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyika nchini kuanzia Mei 11 hadi 15, 2026, huku jumla ya watahiniwa 682 sawa na asilimia 43.7 wakifaulu.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi …

Michuzi
Spotlight GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Na Mwandishi Wetu, ArushaMamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewahimiza wazabuni na wadau wa ununuzi wa umma kutumia Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) kuwasilisha malalamiko na rufaa zao PPAA pindi wanapoona hawakutendewa haki katika …

Michuzi
Spotlight Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Geneva, Julai 2026 Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa miliki bunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya akili mnemba (Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya teknolojia na kujengea watu uwezo.Akiwasilis…

Michuzi
Spotlight Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umeweka jiwe la msingi kwenye wodi ya wanawake na watoto katika kituo cha afya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyojengwa na kampuni ya Chusa Mining LTD.Kampuni ya Chusa Mining LTD chini ya Mkurugenzi wake Joseph Damasi Mwakipesile imejenga wodi hiyo ya wanawake…

Michuzi
Spotlight Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Michuzi
Spotlight Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na Waziri", ambapo jumla ya malalamiko 29 yamepokelewa na kuanza kufanyiwa kazi, hatua inayotoa matumaini kwa wananchi wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kisheria.H…

Michuzi
Spotlight Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali wameagizwa kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unakuwa sehemu ya majukumu yao ya kila siku kwa kuoanisha mipango, bajeti na maamuzi ya Taasisi wanazoziongoza na malengo ya maendeleo ya Taifa.Agizo hilo limetolewa Julai 24, 2026 …

Michuzi
Spotlight Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

Michuzi
Spotlight Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034.Wito…

Michuzi
Spotlight Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Na Oscar Assenga,MKINGAJUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regime-STR) ili kurahisisha biashara za mipakani, kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda na kupunguz…

Michuzi
Spotlight Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

Na Mwandishi WetuMWENYEKI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katik…

Michuzi
Spotlight Tanzania holds preparatory talks he…

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Mawaziri wa Utatu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika) uliofanyika kwa njia ya mtandao kujadili hali ya usalama katika ka…

Michuzi
Spotlight TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wateja, washirika wa kibiashara …

Michuzi
Spotlight WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imesema mafanikio yaliyopatikana kupitia Mradi wa Mifumo ya Maji, Usafi wa Mazingira na Afya (WS4H) yameweka msingi mpya wa kuimarisha huduma endelevu za maji, usafi wa mazingira na afya nchini, huku ikiahidi kuyaingiza katika mipango ya maendeleo ya taifa.Hayo yalisemwa mjini Morogoro na Mku…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 16 Julai, 2026.

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…

Michuzi
Spotlight Teknolojia za tari kifulilo zawavut…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

Michuzi
Spotlight Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) imeendelea na jitihada zake za kuhakikisha upatikanaji wa maji katika kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro unakuwa ni wa uhakika ambapo wameendelea kuboresha miundombinu kwa kununua mabomba mapya ya kulaza umbali wa kilomita 13.Akizu…

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umekagua na kutembelea mradi wa viti 120 na meza 120 za wanafunzi wa shule ya sekondari Tanzanite ya Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.Mkuu wa shule ya sekondari Tanzanite, Jude Samwel Mziray ameeleza hayo wakati akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa …

Michuzi
Spotlight Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amesema Mkoa wa Iringa unaendelea kujipambanua kama mkoa wenye fursa ya utalii, kilimo, huku akiwakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kufika mkoani humo kutumia fursa zilizopo.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Juni 3, 2026, mara baada ya kute…

Michuzi
Spotlight Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kupitia ujuzi wa kidijitali unaozingatia utunzaji wa mazingira. Hii imefanyika kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki yaliyotolewa wakati wa warsha ya ReFab Dar 2, iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuadhimisha Siku …

Michuzi
Spotlight TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema usimamizi endelevu wa misitu na rasilimali za nyuki ni nguzo muhimu katika kuimarisha usalama wa mazingira, kukuza uchumi na kujenga jamii zenye ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi barani Afrika.Kauli hiyo imetolewa J…

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

ELIMU NA MAARIFA NA UBUNIFU VITUMIKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII NA KUBADILISHA MAISHA YA WATU - RAIS MWINYI

Michuzi
Spotlight Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Na Mwandishi Wetu, MbeyaJESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 67 wanaotuhumiwa kujihusisha na makosa mbalimbali ya jinai katika kipindi cha mwezi Julai 2026, ikiwa ni sehemu ya jitihada zinazoendelea za kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi na mali zao.Akizungumza na waandishi wa habari, …

Michuzi
Spotlight NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za Euromoney za Ubora 2026, ikitambuliwa kwa mchango wake katika ufadhili, malipo ya kidijitali, huduma za miamala na ushauri wa kibiashara.Tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel, London, Uin…

Michuzi
Spotlight Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…

Michuzi
Spotlight Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

ZAIDI ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo ya siku saba ilianza Julai 13, 2026 na itahitimishwa Julai 19, ambapo wananchi wanapatiwa vipimo, ushau…

Michuzi
Spotlight Rais samia: tanzania na misri kuung…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Tanzania na Misri zimefikia makubaliano ya kuimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na mifugo, hatua inayotarajiwa kufungua ukurasa mpya wa uwekezaji kupitia maendeleo ya Ranchi ya Ruvu na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa chakula.Akizungumza Ikulu jijini Dar es S…

Michuzi
Spotlight Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.Maboresho hayo yanafanyika kwa uwe…

Michuzi
Spotlight UFC Fight Night Serbia: Meridianbet…

Ni suala la muda tu kabla ya Belgrade Arena kufurika shamrashamra za UFC Fight Night Belgrade, moja ya matukio yanayotarajiwa zaidi mwaka huu katika ulimwengu wa michezo ya mapigano. Siku imewadia, na kila saa inayopita inaongeza hamu ya mashabiki kushuhudia mapambano yatakayovuta hisia za dunia nzima. Kwa wapenda uba…

Michuzi
Spotlight Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…

NA MWANDISHI WETU – SONGEASerikali inaendelea kuboresha na kujenga Miundombinu ya uvuvi ikiwemo masoko ,maghala ya kuhifadhia mazao ya uvuvi, vichanja vya kukaushia samaki maghala ya kuifadhia mazao ya uvuvi na viwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi na teknolojia rafiki za ukaushaji ili kubadilisha sekta hii kutoka ufug…

Michuzi
Spotlight Yanga Princess Kukamilisha Usajili …

NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…

Michuzi
Spotlight Wananchi sale washirikiana na serik…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Mwigulu Nchemba amekagua maandalizi ya siku ya mashujaa yaliyofanyika katika uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoa wa Dodoma.Akizungumza mara maada ya kushuhudia majaribio ambayo yamefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama amesema kuwa mpaka sasa ma…

Michuzi
Spotlight Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Taasisi ya INADES Formation Tanzania imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kupanda miti 200 ya kivuli na matunda katika Shule ya Sekondari Kisima cha Ndege iliyopo Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma.Zoezi hilo ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni ya “Panda Mti Tuilinde Kesho” iliyozinduliwa Januari 2026, yenye lengo la k…

Michuzi
Spotlight Fainali Ya Argentina vs Spain: Vita…

LEO, Jumatano Julai 15, uwanja wa Atlanta Stadium (Mercedes-Benz Stadium) utakuwa jukwaa la mtanange wa kihistoria kati ya England na Argentina, mechi ambayo ni ya kwanza kati ya timu hizi mbili kwenye hatua ya mtoano ya michuano ya Dunia tangu mwaka 2002. Mchezo utaanza saa 22:00 usiku.Safari za timu hizi mbili kufik…

Michuzi
Spotlight Serikali yaimarisha utayari wa kuka…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuimarisha uwezo wa mfumo wa afya katika kuzuia, kugundua na kutoa mwitikio wa haraka dhidi ya magonjwa ya mlipuko.Hayo yamese…

Michuzi
Spotlight Mwamnyeto Mguu Nje Mguu Ndani Yanga

NIC Insurance wakiwa na Makombe ya Yanga kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Meneja Maudhui wa Yanga Priva Shayo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana kuleta makombe ya Yanga ndani ya Banda la NIC Insurance…

Michuzi
Spotlight Gates of Olympia Yawazawadia Watanz…

Mashabiki wa michezo ya kasino, huu ndio wakati wa kupeleka burudani yako katika kiwango kipya kabisa. Meridianbet imeileta Mystery Multiplier Drop, kampeni ambayo imekuja kubadilisha namna unavyocheza na kushinda. Kama wewe ni mpenzi wa sloti za kisasa na unapenda kusaka ushindi mkubwa kwa kila mzunguko wa mchezo, ba…

Michuzi
Spotlight Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…

Na Mwandishi Wetu, Busan, Korea KusiniKIONGOZI wa jadi wa Kimasai, Isack Lekisongo Meijo, ametoa wito wa kuwepo kwa uwiano endelevu kati ya binadamu, mifugo na wanyamapori katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kulinda urithi huo wa dunia na kuhakikisha maendeleo endelevu ya jamii za wafugaji.Meijo alitoa kauli hiyo…

Michuzi
Spotlight Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha taslim kufuatia uzinduzi rasmi wa mradi wa mabasi yanayotumia umeme (ZanBus), ambapo kampuni ya huduma za kifedha kidijitali Mixx imepewa jukumu la kusimamia mfumo wa malipo kidijitali kupitia kadi janja (Smart Card).Mradi huo ul…

Michuzi
Spotlight Sporting dhidi ya Strasbourg: Mechi…

KUELEKEA kuanza kwa ligi mwezi huu, bado timu kutoka ligi mbalimbali zinaendelea kujifua ili kujiweka sawa kabla ya msimu kuanza. Odds kubwa za mechi hizi zipo kwaajili yako. Ingia na ubashiri sasa.AC Milan vs Inter Milan hii ni moja ya mechi kali za kirafiki ambayo itapigwa na yenye ushindani mkubwa kutokana na histo…

Michuzi
Spotlight Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imepanga kuwaweka kambini wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 na kuchaguliwa kunufaika na mpango wa Samia Scholarship, ambapo watapatiwa mafunzo maalumu ya kuwaandaa kabla ya kuanza masomo yao ya elimu ya juu.Kambi hiyo itafanyika …

Michuzi
Spotlight Wilson Aanza Kuwa Tishio Huko Vegas

MICHUANO mikubwa Duniani inaendelea kuwaka moto huku mpaka sasa zikiwa zimesalia timu 4 pekee zinawania taji hili akiwemo na bingwa mtetezi wa michuano hii. Je nani kuondoka na Glovu ya Dhahabu?Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanampa nafasi kubwa Mlinda Mlango wa timu ya Taifa ya Ufaransa Mike Maignan kuchuku…

Michuzi
Spotlight Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linafanya uchunguzi wa tukio la mauaji ya Lea Eliud Mazengo (50), mkazi wa Kijiji cha Lamaiti wilayani Bahi, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefichwa shambani baada ya kutoweka kwa siku kadhaa.Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na familia, Lea aliondoka…

Michuzi
Spotlight Prof Kabudi aisifu Ubungo kwa kunun…

Dar es Salaam‎‎Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inayotekelezwa kupitia mradi wa Uboreshaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) inazingatia ubora, kasi ya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha za umma.‎Prof. Kabud…

Michuzi
Spotlight Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB), ameanza ziara ya kikazi ya siku sita jijini London, Uingereza, ambapo atashiriki katika matukio mbalimbali ikiwemo kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa hatifungani ya kwanza ya nje yenye sarafu ya Shilingi ya Tanzania inayotolewa na Shirika …

Michuzi
Spotlight Detained Udom lecturer Kaijage gran…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, imeamuru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, aachiwe kwa dhamana kuanzia Julai 21, 2026, wakati uchunguzi wa tuhuma za uchochezi zinazomkabili ukiendelea.Uamuzi huo umetolewa na Jaji Joachim Tiganga wakati wa usikilizwa…

Michuzi
Spotlight Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa katika mikutano yake yanatekelezwa kupitia programu zenye manufaa ya moja kwa moja kwa nchi wanachama na wananchi.Rais Dk…

Michuzi
Spotlight Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …

SERIKALI imewaahidi wakazi wa kijiji cha Endashangwet, Wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha kuwa ujenzi wa soko la vitunguu ukikamilika kwa awamu zote litakuwa soko la kuuza vitunguu masoko ya kimataifa zaidi ya soko la Kenya.Ametoa ahadi hiyo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa ziarani Arusha kukagua u…

Michuzi
Spotlight Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…

Wananchi wa Kata ya Chang'ombe na Totowe, Wilaya Songwe Mkoa wa Songwe, wametakiwa kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na uhalifu, hususan vitendo vya ukatili dhidi ya watoto, kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa wakati.Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mk…

Michuzi
Spotlight Tume ya madini yajipanga kuongeza u…

-Dkt. Numbi atoa somo kutoka Ghana kuhusu usimamizi wa ushirikishwaji wa wazawa katika Sekta ya Madini📍MWANZATume ya Madini imejipanga kuimarisha usimamizi wa ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini kwa kuhakikisha watoa huduma na wazalishaji wa bidhaa wanakidhi vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika,…

Michuzi
Spotlight President dr. mwinyi: zanzibar and …

The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its continued efforts to strengthen cooperation with Tanzania in the sectors of education, health, trade, investment, water, science and technology.President Dr. Mwinyi made the rem…

Michuzi
Spotlight Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

Jane Mwakyoma, Aug1,2026, Rukwa.JESHI la Polisi Wilayani Nkasi mkoani Rukwa limetoa misaada ya mahitaji mbalimbali kwa wazee 30 wasiojiweza ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na jamii pamoja na kuendeleza utamaduni wa kuwajali makundi yenye uhitaji maalumu.Akizungumza wakati wa kukabidhi mi…

Michuzi
Spotlight Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Subira Mgalu akieleza kuwa uamuzi wa Oryx kugawa mitungi hiyo kunakwenda kuondoa kabisa athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu ka…

Michuzi
Spotlight Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

DODOMA | 24 Julai 2026Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania Makao Makuu ya CCM, Dodoma, na kuwapongeza kwa dhamana ya kuiwakilisha nchi katika chombo hicho cha kikanda.Katika mazungumzo hayo yaliyofany…

Michuzi
Spotlight Tottenham Yakabiliwa na Nia ya Kums…

Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, mabingwa wawili wa jiji la London, Chelsea na Tottenham Hotspur, watakutana katika uwanja wa Accor Stadium, jijini Sydney, Australia, katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya.Mchezo huu utaanza saa 12:45 (saa za Afrika Mashariki), Ingawa ni mchezo wa kirafiki, historia ndefu …

Michuzi
Spotlight Wakulima wa kipande-nkoavele kuonge…

WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya umwagiliaji kwa gharama ya Shilingi Milioni 200 ili kuendeleza matumizi ya kilimo cha umwagiliaji cha mazao ya mboga mboga na matunda.Amesema hayo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chon…

Michuzi
Spotlight Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…

IJUMAA ya leo tarehe 31 Julai 2026, uwanja wa St. Andrew's @ Knighthead Park mjini Birmingham utashuhudia mechi ya kirafiki ya kihistoria kati ya Birmingham City na FC Barcelona. Mechi hiyo itaanza saa 21:45 kwa saa za Ulaya ya Kati (CEST), sawa na saa 19:45 kwa saa za Uingereza (BST).Hii ni mechi ya maandalizi ya msi…

Michuzi
Spotlight ‘Mende’ wa India wanavyompasua kich…

Na Janeth Raphael - MichuziTv .WAKATI Tanzania ikiendelea kupanua sekta ya usafiri wa anga kupitia ongezeko la ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimesema kinaandaa mazungumzo na Serikali ili kuwezesha wanafunzi wanaosomea urubani pamoja na kozi nyingine za anga kupata mikopo ya elimu, hatua inayolenga …

Michuzi
Spotlight Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivikaribuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika IkuluZanzibar.Viongozi waliokula kia…

Michuzi
Spotlight Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, leo ameongoza zaidi ya washiriki 13,000 katika mbio za NBC Dodoma Marathon 2026 zilizofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku akiipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikisha ukusanyaji wa shilingi bilioni 1 zitakazot…

Michuzi
Spotlight Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati Jijini Dodoma yaliyoanza tarehe 1 Agosti 2026 baada ya yakifunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba yameendelea kuvuta wageni wengi kutembelea banda la wizara ya Maliasili na utalii na kushuhudia vivutio mubashara kutoka Ngorongoro …

Michuzi
Spotlight Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh.Riziki Pembe akikabidhi mfano wa hundi kwa Mshindi wa kwanza katika kipengele cha Riwaya cha Tuzo ya Safal ya Kiswahili ya Fasihi Afrika 2025 , Bw. Salim Hussein Ng’azi huku wageni wengine pamoja na viongozi wa Safal Group wakishuhudia. Hafla hiyo ilifanyika ka…

Michuzi
Spotlight Muundo Rahisi na Ubunifu wa Kisasa …

Meridian Icy Fruits ni mchezo wa sloti wa kidijitali ulioundwa kwa lengo la kutoa muundo rahisi lakini wenye ubunifu wa kisasa. Mchezo huu unapatikana ndani ya jukwaa la Meridianbet kama sehemu ya burudani ya mtandaoni inayotumia teknolojia ya kisasa ya uhuishaji na michoro ya kuvutia.Alama zinazotumika kwenye mchezo …

Michuzi
Spotlight Mafunzo kuogelea kutolewa bure kwa …

Na Mwandishi Wetu, TANZANIA imepiga hatua nyingine katika juhudi za kuendeleza mchezo wa uogeleaji kufuatia kuwasili kwa kocha wa kimataifa, Ben Lee, ambaye atatoa mafunzo ya kiwango cha kimataifa kwa waogeleaji, makocha na wazazi kupitia programu maalumu iliyoandaliwa na Monti International School.Ujio wa Ben Lee una…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kulinda amani na utulivu wa nchi ni hatua muhimu ya kuhakikisha uwekezaji unaendelea kukua, ajira zinapatikana na uchumi unaimarika.Akizungumza katika Mkutano Maalum wa Serikali na Sekta Binafsi kuhusu utekele…

Michuzi
Spotlight Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la chuo hicho akimwakilisha Mkuu wa Chuo, Profesa Eliamani Sedoyeka,wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzu…

Michuzi
Spotlight Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

Na. Mwandishi wetu, SumbawangaWADAU wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Rukwa wamehamasishwa kuchangia upatikanaji wa madawati kwa ajili ya kuwezesha watoto kusoma kwenye mazingira wezeshi kwa ustawi wa taaluma.Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri M…

Michuzi
Spotlight Mahakama yamhukumu miaka 30 kwa kus…

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemuhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na htia ya kosa la kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi.Hukumu hiyo imesomwa hivi karibuni na Hakimu Mkazi Azizi Khamis, baada ya Mahakama kuridhika na ushahid…

Michuzi
Spotlight Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyum…

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KIJANA,Metson Frank (23) maarufu ‘Mkumbo’ anayeishi Goba Centre wilayani Ubungo amehikumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 10.Hukumu hiyo ya kesi ya jinai namba 28576 ya mwaka 2026 imesomwa Jana ya na Hak…

Michuzi
Spotlight Nchimbi: Rais Samia analitaka suala…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema ikiwa angepewa nafasi ya kutoa ujumbe mmoja wa mwisho kwa Watanzania, basi usingekuwa mwingine zaidi ya kuwahimiza kuendelea kupambana kwa ajili ya kupata Katiba Mpya itakayokuwa na mwafaka wa kitaifa…

Michuzi
Spotlight Rais Samia Akutana na Viongozi wa V…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kuimarisha maridhiano ya kisiasa kama msingi wa kuendeleza mchakato wa maboresho ya Katiba, huku akisisitiza kuwa hatua zote zitafanyika kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi kwa mas…

Michuzi
Spotlight Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili,…

Na Janeth Raphael – Michuzi TVWatu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya abiria yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rehema Jeremia, amethibitisha kutoke…

Michuzi
Spotlight Kilichompa Lissu ushindi dhidi ya D…

MAHAKAMA ya Rufani Tanzania imetupilia mbali ombi la Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) lililotaka kuruhusiwa kuwasilisha ushahidi wa nyongeza katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, na hivyo kuacha uamuzi wa Mahakama Kuu ukiwa palepale.Uamuzi huo ulitolewa …

Michuzi
Spotlight Bayport Yatoa Kompyuta na Printa za…

Dar es Salaam, Julai 15, 2026Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kwa kuwajengea ujuzi wa kidijitali na teknolojia unaozingatia utunzaji wa mazingira kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki (e-waste). Mafunzo hayo yalitolewa wakati wa warsha ya ReFab Da…

Michuzi
Spotlight Bayport backs Kibamba digital educa…

Bayport Financial Services Tanzania imeadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kutoa kompyuta 20 aina ya HP na mashine mbili za kuchapisha na kunakili (All-in-One Printers) zenye thamani ya jumla ya TZS milioni 100 kwa Idara ya Elimu ya Jimbo la Kibamba, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza dhamira yake ya kusaidia sek…

Michuzi
Spotlight Waziri mkuu atoa siku 14 kituo cha …

Azindua boti mbili za kisasa kufanya doria baharini, maziwa makuuNa Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi mara moja."Wizara na taasisi zote zinazohusika na utekelezaji…

Michuzi
Spotlight Sh. bil. 1.5 kukusanywa kuokoa mais…

Na Mwandishi wetu, MireraniWADAU wa madini ya Tanzanite, mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, wamechangia Sh23.6 milioni kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na kuokoa maisha ya watoto wachanga njiti.Lengo ni kuunga mkono mkoa wa Manyara, ambao umeandaa mbio za hisani za kuchangia ujenzi wa jengo…

Michuzi
Spotlight Rais Samia na Rais Lourenço wa Ango…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe pamoja na Rais wa Jamhuri ya Angola Mheshimiwa João Manuel Gonçalves Lourenço kama ishara ya uzinduzi wa Hospitali Kuu ya Rufaa ya Rais Julius Nyerere (Hospital dos Queimados Presidente Julius Nyerere) iliyopo Kilamba, jijini Lu…

Michuzi
Spotlight ‎NMB yaendelea kuimarisha kilimo ku…

Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini.Katika Banda la Vijana lililopo viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma,…

Michuzi
Spotlight Standard Chartered Foundation Yatoa…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo katika mazingira magumu nchini Tanzania.Mc…

Michuzi
Spotlight Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Na. Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam.Serikali imezindua Kielelezo cha Viwango vya Faida vya Dhamana za Serikali (Government Securities Yield Curve), hatua inayotarajiwa kuimarisha uwazi wa soko la fedha, kuongeza ufanisi wa maamuzi ya uwekezaji na kuvutia mitaji ya ndani na nje ya nchi.Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania…

Michuzi
Spotlight Dkt. Mwigulu: Uwekezaji wa Utafiti …

▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu waoWAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji wa Serikali kuwahudumia kikamilifu Watanzania ili miradi inayojengwa na Serikali itoe matokeo chanya.“Tunachokijenga hapa, si jengo pekee, bali tunajenga mazingira bora ya utendaji wa mfuko. Kupitia uwekezaji huu tunachochea …

Michuzi
Spotlight Meridianbet Yaleta Raha Mpya ya Kub…

Meridianbet inakuletea promosheni ya kipekee inayokuwezesha kushinda simu mpya ya Samsung Galaxy A26. Watumiaji wote wapya na waliopo wanaojisajili kupitia app au tovuti ya Meridianbet wana nafasi ya kuingia kwenye droo na kuondoka na moja ya simu tatu mpya kabisa. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wapenzi wa michezo na ka…

Michuzi
Spotlight SUA yazalisha watalamu kilimo biash…

Utekelezaji wa elimu ya amali katika Shule ya Sekondari Mafiga umeanza kuzaa matunda, huku wanafunzi wakionesha umahiri wao katika mafunzo ya vitendo mbele ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), alipotembelea Banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mas…

Michuzi
Spotlight Dr Samia banks on private sector to…

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa kauli mbiu ya hafla hiyo, “The Contribution…

Michuzi
Spotlight Wakulima na wafugaji wakiri kupata …

Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imewataka wakulima nchini kutonunua mbegu yoyote ambayo haina lebo ya utambuzi ya TOSCI, ikieleza kuwa lebo hiyo ndiyo uthibitisho kuwa mbegu imekaguliwa na kuthibitishwa ubora wake.Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TOSCI, Nyasebwa E. Chimagu, alipokuwa akizu…

Michuzi
Spotlight Makamu wa rais dkt. nchimbi atembel…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuimarisha ukaguzi wa mara kwa mara katika vyama vya ushirika nchini ili kudhibiti ubadhirifu wa mali, kuongeza uwajibikaji na kuhakikisha vyama hivyo vinatoa huduma bora kw…

Michuzi
Spotlight Nanenane dodoma: mbifacu yanadi fur…

Afisa Masoko wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya ya Mbinga (MBIFACU), Osmund Mbunda, amesema chama hicho kinaendelea kuongeza thamani ya zao la kahawa kwa kusindika na kuuza kahawa iliyotayari kwa matumizi badala ya kutegemea uuzaji wa kahawa ghafi pekee. Mbunda ameyasema hayo Agosti 3, 2026, alipokuwa akizungumza …

Michuzi
Spotlight Veta yapongezwa kwa ubunifu wenye k…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMBUNIFU wa Mashine ya Kuchanganya Chakula cha Mifugo kutoka Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Songea, Mwalimu Sussack Mbulu, amesema mashine hiyo ni mkombozi kwa wafugaji katika kuandaa chakula bora cha mifugo na kuongeza thamani ya mifugo yao sokoni.Mwalimu Mbulu ameyasema hayo…

Michuzi
Spotlight Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano m…

Na Mwandishi WetuMARAIS sita wa Afrika wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika utakaofanyika Agosti 5 na 6, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jiji…

Michuzi
Spotlight Faida Vodacom Tanzania yapaa mara t…

Vodacom Tanzania Plc leo imezindua rasmi kampeni yake ya "Zaidi ya Mtandao" (More Than a Network), hatua inayodhihirisha dhamira ya muda mrefu ya kampuni ya kutoa zaidi ya huduma za mawasiliano kwa kuwezesha fursa kwa watu, biashara na jamii mbalimbali nchini Tanzania.Kwa mujibu wa takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Ta…

Michuzi
Spotlight Dk Mwigulu avutiwa matumizi ya bund…

Farida Mangube Morogoro Katika kukabiliana na ujangili na usafirishaji holela wa nyara za Serikali, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanzisha utafiti wa kutumia panya buku wenye uwezo wa kunusa na kubaini nyara hizo katika maeneo mbalimbali ya usafirishaji.Makamu Mkuu wa SUA, Profesa Raphael Chibunda, amesem…

Michuzi
Spotlight Psssf kutoa huduma na elimu maonesh…

AFISA Kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko wa PSSSF Bw.Alex Bwanakunu (kulia) akimsikiliza mwananchi aliyetembelea Banda la PSSSF kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Ziwa Magharibi yanayofanyika uwanja wa Nyamhongolo Jijini Mwanza Agosi 2,2026Dodoma, Agosti 2, 2026Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) u…

Michuzi
Spotlight Serikali yatangaza neema kwa wakuli…

Na Mwandishi Wetu, DodomaTUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imejipanga kutoa fursa za ajira kwa maelfu ya vijana kupitia utekelezaji wa miradi ya uchimbaji wa visima na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchini.Mpango huo unalenga kuongeza ajira kwa vijana wenye ujuzi wa uhandisi na ufundi, sambamba na kuongeza upa…

Michuzi
Spotlight Ter Stegen Atua Ajax Kwa Mkopo wa M…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ametoa wito kwa wananchi, wadau wa michezo, wafanyabiashara na wazawa wa Iringa waliopo ndani na nje ya mkoa kushirikiana kuanzisha mfuko maalumu utakaowezesha kurejeshwa kwa timu ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoiwakilisha Iringa.Ngajilo alitoa …

Michuzi
Spotlight Matumizi ya mbolea yapanda mara nne…

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza leo Agosti 4,2026 kati…

Michuzi
Spotlight Wakulima kuongeza watarajia uzalish…

NA DENIS MLOWE, IRINGA WAKALA Mkuu wa mbegu za Taasisi ya ASA mkoani Iringa, Kampuni ya Mgongolwa Agrovet & Seeds Company Limited, imewahimiza wakulima kutumia mbegu bora zinazozalishwa na Taasisi ya ASA ili kuongeza uzalishaji wa mazao na kuondokana na changamoto ya kutumia mbegu zisizo na ubora.Akizungumza na waandi…

Michuzi
Spotlight e-GA YASHIRIKIANA NA SEKTA YA KILIM…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMAMLAKA ya Serikali Mtandao (e-GA) inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini.Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima ya Kitaifa …

Michuzi
Spotlight Gst yawekeza ujuzi, teknolojia kubo…

Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST, Neema Mhagama akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea banda la GST katika Maonesho ya Kilimo ya Kimatiafa Nane Nane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela ,Nzuguni jijini Dodoma,Na Mwandishi WetuTAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (G…

Michuzi
Spotlight Rais samia: afrika iharakishe uteke…

Na Janeth Raphael -MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa viongozi wa nchi za Afrika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya miundombinu, akisisitiza kuwa maendeleo ya Bara hilo hayatapimwa kwa mipango na sera pekee, bali kwa matokeo yanayoonekana katika maisha ya wan…

Michuzi
Spotlight Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia Jumatano, Agosti 5, 2026 zimeshuka kwa shilingi 92 kwa lita ya petroli, shilingi 204 kwa lita ya dizeli na shilingi 440 kwa lita ya mafuta ya taa, hali ambayo itawapa unafuu wa gharama za maisha kwa wananchi, wamiliki wa vyombo vya usafiri, mitambo na viwanda.Taarifa iliyotole…

Michuzi
Spotlight Future world institute yaja na taal…

Na Mwandishi WetuWALEZI wa watoto katika vituo vya kulelea watoto nchini wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kitaalamu yatakayotolewa na Chuo cha Future World, hatua inayolenga kupunguza uhaba wa wataalamu wa malezi na makuzi ya awali ya watoto nchini.Mwito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Chuo cha Future World Institu…

Michuzi
Spotlight Chande aipongeza wrrb kwa kuwawezes…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ameipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa mchango wake katika kuwawezesha wakulima kupata masoko yenye ushindani kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Mhe. Chande ameyasema hayo leo Agosti 6, 2026, baada ya kutembelea banda la WRRB katika Ma…

Michuzi
Spotlight Kikwete Atoa Tahadhari Afrika, Asem…

Na Avila KakingoRAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema Afrika inaweza kukosa kunufaika na ajira milioni 250 zinazotarajiwa kuzalishwa na uchumi wa kidijitali duniani iwapo haitawekeza katika kuwajengea vijana ujuzi wa teknolojia za kisasa, hususan Akili Mnemba (Artificial Intelligence–AI).Ak…

Michuzi
Spotlight Mfumo wa m+2 waimarisha uhakika wa …

DODOMA Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya vita na changamoto nyingine zinazoathiri soko la dunia. Hayo yameelezwa na Mhandisi Rehema Mahundi katika siku ya sita ya Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijin…

Michuzi
Spotlight Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMSULUHISHI wa Migogoro ya Bima (TIO) amewataka wakulima waliokata bima za kilimo kupitia benki au mawakala wa bima, kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima pale wanapokumbana na migogoro ya fidia ili kupata haki zao badala ya kukimbilia mahakamani.Akizungumza katika Maonesho ya Kilimo …

Michuzi
Spotlight Rais Samia na Museveni Washuhudia M…

Na Mwandishi WetuRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan na Yoweri Museveni wa Uganda wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) ya kuendeleza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na Kitovu cha Nishati cha Kikanda Jijini Tanga, mradi unaotarajiwa kubadili taswira ya sekta ya nishat…

Michuzi
Spotlight Mambo manne ya kuyaona na kujifunza…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewataka wananchi kutumia Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane 2026 kama fursa ya kujifunza huduma na mipango mbalimbali ya Serikali inayolenga kuboresha maisha yao.Nderiananga ame…

Michuzi
Spotlight Rais samia asisitiza kasi ya utekel…

Na Avila KakingoSERIKALI imesema Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra for Africa Forum) limekamilika kwa mafanikio makubwa, huku sasa ikielekeza nguvu kwenye Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 unaofanyika leo Agosti 6, 2026.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesem…

Michuzi
Spotlight Waziri sangu -kauli mbiu ya psssf y…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (MB) (Mwenye Suti) akisikiliza maelezo ya Huduma zinazopatikana katika banda la Mfuko wa PSSSF katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) Kanda ya Kusini yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi Agosti 5, 2026 Waziri wa Nchi Ofisi…

Michuzi
Spotlight Pinda aipongeza mati technologies k…

Na Mwandishi Wetu, DodomaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda, ameshangazwa na kiwango cha ubunifu wa teknolojia zinazobuniwa na kuzalishwa na kampuni ya Mati Technologies baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 33 ya Kitaifa ya Kilimo (Nane Nane 2026) yanayoe…

Michuzi
Spotlight Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chac…

Na Belinda Joseph-Dodoma.Matumizi ya Mfumo wa Malipo ya Papo kwa Papo Tanzania (TIPS) yameendelea kuleta mageuzi katika sekta ya fedha kwa kurahisisha miamala, kuongeza usalama wa fedha, kupunguza matumizi ya fedha taslimu (cash) na kuimarisha uwazi katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali.Akizungumza na Michuzi TV Ago…

Michuzi
Spotlight Naibu Waziri Londo: FCC ni chachu y…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Gidius Kyaharara akipokea zawadi mfuko kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nicholas Kinyariri wakati wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea Banda la TASAC Maonesho ya Kilimo Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela Nzugun…

Michuzi
Spotlight Tramepro yahimiza ushirikiano kulin…

Dar es Salaam, Agosti 5, 2026 – Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limetoa wito kwa Serikali, wataalamu wa afya, wataalamu wa tiba asili, wakunga, wadau wa mazingira na jamii kwa ujumla kushirikiana katika kulinda afya na uhai wa mama na mtoto, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya U…

Michuzi
Spotlight Brela yatoa elimu ya urasimishaji b…

Na Vero Ignatus, ArushaMkutano Mkuu wa Tano wa Chama cha Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi Tanzania (APSP) umefanyika jijini Arusha ukiwa na lengo la kupokea taarifa za uongozi, kujadili utekelezaji wa maazimio, fedha na bajeti, pamoja na kuweka mikakati ya kuongeza ushiriki wa makundi maalum na biashara ndogo na za kati …

Michuzi
Spotlight Victoria group kuandaa vg fun run k…

Ndoto ya mkazi wa Vikindu, Mohammed Misanga, ya kuboresha huduma za afya katika jamii yake imepata msukumo mpya baada ya kujishindia shilingi milioni 50 kupitia kampeni ya "Kila Muamala ni Bao la Ushindi" iliyoendeshwa na Mixx kwa ushirikiano na Hisense.Akizungumza wakati wa kuhitimisha kampeni na kukabidhi zawadi kuu…

Michuzi
Spotlight T-CAMS Yaandika Historia Mpya Katik…

Na Mwandishi WetuCHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) wamekuja na Mfumo wa Tanzania Customs Agent Management System (T-CAMS) unaoshirikisha TRA ikiwa ni sehemu ya mageuzi ya kidigitali yanayojenga uwazi, ufanisi na ushindani katika sekta ya uwakala wa forodha nchini.Taarifa iliyotolewa na TAFFA kwa vyombo vy…

Michuzi
Spotlight Tanzania yapaa katika sekta ya mbeg…

Na Janeth Raphael -MichuziTvTanzania imeendelea kuimarisha hadhi yake katika sekta ya mbegu barani Afrika baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55 kwa ubora wa mifumo ya mbegu, huku juhudi za kudhibiti mbegu feki na zisizokidhi viwango zikiongezwa ili kulinda maslahi ya wakulima na kuhakikisha usalama wa chakul…

Michuzi
Spotlight Qwaray aagiza mikocheni apartments …

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka Mkandarasi wa mradi wa Mikocheni Apartments kuongeza kasi ya ujenzi ili kuhakikisha mradi huo unakamilika ifikapo Oktoba mwaka huu.Mhe. Qwaray ametoa maelekezo hayo leo, Agosti 7, 2026 alipotembelea na kukagua m…

Michuzi
Spotlight Coop bank yajivunia mageuzi, yatoa …

Na Janeth Raphael - MichuziTv Benki ya Ushirika Tanzania (COOP BANK) imeweka mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo kwa kuwawezesha wakulima kupata teknolojia za kisasa, zana bora za kilimo pamoja na pembejeo zitakazosaidia kuongeza uzalishaji na kukuza kilimo biashara …

Michuzi
Spotlight Rais samia ahutubia kilele cha maad…

Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Jijini DodomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea banda la Kampuni ya pembejeo za kilimo ya Betaren ya Urusi katika…

Michuzi
Spotlight Fao yabadilisha sekta ya uvuvi tanz…

Na Mwandishi Wetu, DodomaSERIKALI imesema inaendelea kuimarisha sekta za kilimo, ufugaji pamoja na uvuvi kwa kuongeza thamani ya bidhaa ili ziweze kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, wakati akizungumza katika mjadala kuhusu Kilimo, Ufugaj…

Michuzi
Spotlight Yas yawahimiza wakulima kutumia hud…

Wakulima Kanda ya Kati wamehimizwa kutumia huduma za kifedha kidijitali zinazotolewa na Mixx by Yas ili kurahisisha upokeaji wa malipo ya mazao, kupata mikopo na kufanya miamala kwa usalama.Wito huo umetolewa na Meneja wa Biashara wa Mixx by Yas Kanda ya Kati, Bw. Charles Gasper, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoe…

Michuzi
Spotlight Makamu wa rais ashiriki misa takati…

-ASISITIZA SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA HUSUSANI SEKTA YA AFYA NA ELIMUMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kuthamini mchango wa Taasisi za Dini ambazo kwa namna ya pekee zimekuwa zikishiriki katika k…

Michuzi
Spotlight Akwilapo atoa wito elimu, amani kup…

Na Munir Shemweta, ItilimaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Mwankola iliyopo Kijiji cha Lagangabilili, Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, huku akisisitiza kuwa elimu ni msingi muhimu wa maisha na maendel…

Michuzi
Spotlight Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mi…

Zaidi ya wakulima 2,000 wa kahawa, mbaazi na mazao mengine katika mikoa ya Arusha na Manyara wamenufaika na huduma za kifedha kidijitali za Mixx, zinazowawezesha kupokea malipo ya mazao, kupata mikopo na huduma za bima bila kulazimika kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za kifedha.Meneja wa Biashara wa Mixx by Yas K…

Michuzi
Kilimo, Misitu na Uvuvi Maonesho ya kilimo na ufugaji kanda…

Na Vero Ignatus, Michuzi TV ArushaMaonesho ya siku kuu ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kaskazini yamehitimishwa mkoani Arusha, yakihudhuriwa na zaidi ya wananchi 100,000 na kushirikisha waonyeshaji 446 kutoka sekta mbalimbali. Maonesho hayo yaliyojikita katika kuonesha fursa, teknolojia na ubunifu katika kilimo, ufugaji…

Michuzi
Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia ya Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Siku 38 zijazo

Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia ya Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Michuzi
Kutoka 17 Sep 2026
Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.
Siku 59 zijazo

Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.

Michuzi
Kutoka 8 Okt 2026 · Hadi 10 Okt 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Michuzi
Kutoka 27 Jun 2026 · Hadi 30 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI KANDA YA KASKAZINI YAONGEZA UBORA, WAKULIMA WAHIMIZWA KUTUMIA TEKNOLOJIA
Kilimo, Misitu na Uvuvi

MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI KANDA YA KASKAZINI YAONGEZA UBORA, WAKULIMA WAHIMIZWA KUTUMIA TEKNOLOJIA

Michuzi· Saa 7 zilizopita
Enzi ya Mafarao Yafufuka, Ingia Katika Ufalme wa Dhahabu wa Throne of Ra
BURUDANI

Enzi ya Mafarao Yafufuka, Ingia Katika Ufalme wa Dhahabu wa Throne of Ra

Michuzi· Saa 16 zilizopita
Mansfield Town dhidi ya Sheffield United Raundi ya Kwanza Carabao Cup
BURUDANI

Mansfield Town dhidi ya Sheffield United Raundi ya Kwanza Carabao Cup

Michuzi· Saa 16 zilizopita
GST YAZIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAABARA, YALENGA KUONGEZA TIJA KWA WACHIMBAJI NA WAWEKEZAJI
HABARI

GST YAZIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAABARA, YALENGA KUONGEZA TIJA KWA WACHIMBAJI NA WAWEKEZAJI

DodomaTAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeeleza kuwa inaendelea kuimarisha huduma zake za maabara kwa kutoa uchunguzi wa sampuli mbalimba

Michuzi· Saa 16 zilizopita
NIDHAMU YA KIFEDHA YAWALIPA WAKULIMA; EFTA YAREJESHA TAKRIBANI SHILINGI MILIONI 100, YAFIKIA NPL YA ASILIMIA MOJA
HABARI

NIDHAMU YA KIFEDHA YAWALIPA WAKULIMA; EFTA YAREJESHA TAKRIBANI SHILINGI MILIONI 100, YAFIKIA NPL YA ASILIMIA MOJA

Michuzi· Saa 16 zilizopita
Zaidi ya wakulima 2,000 Kanda ya Kaskazini wanufaika na huduma za Mixx
HABARI

Zaidi ya wakulima 2,000 Kanda ya Kaskazini wanufaika na huduma za Mixx

Michuzi· Saa 19 zilizopita
Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mixx
HABARI

Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mixx

Michuzi· Saa 19 zilizopita
NBC Yathibitisha Dhamira Utekelezaji wa Mpango wa Rais Samia, Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
HABARI

NBC Yathibitisha Dhamira Utekelezaji wa Mpango wa Rais Samia, Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57

Michuzi· Saa 19 zilizopita
WAZIRI SANGU AZITAKA PSSSF,NSSF,WCF NA OSHA KUONGEZA MATUMIZI YA TEHAMA
HABARI

WAZIRI SANGU AZITAKA PSSSF,NSSF,WCF NA OSHA KUONGEZA MATUMIZI YA TEHAMA

Michuzi· Saa 21 zilizopita
Benki ya Absa Tanzania ilivyoshiriki Maonesho ya Wakulima Nane Nane Mkoani Dodoma
HABARI

Benki ya Absa Tanzania ilivyoshiriki Maonesho ya Wakulima Nane Nane Mkoani Dodoma

Michuzi· Saa 21 zilizopita
IFM YAENDELEA KUTOA ELIMU INAYOENDANA NA MAHITAJI YA TEKNOLOJIA
HABARI

IFM YAENDELEA KUTOA ELIMU INAYOENDANA NA MAHITAJI YA TEKNOLOJIA

Na Mwandishi Wetu, DodomaCHUO cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimesema kimejipanga kuendelea kutoa elimu inayokwenda sambamba na mahitaji ya sasa ya teknolojia, ik

Michuzi· Jana
JAMII YA WANDONDI NA WANDWEWE WAANDAA DUA MAALUM KUOMBE AMANI,UMOJA, MARIDHIANO

JAMII YA WANDONDI NA WANDWEWE WAANDAA DUA MAALUM KUOMBE AMANI,UMOJA, MARIDHIANO

Michuzi· Jana
NAIBU WAZIRI LONDO:SERIKALI IMEWEKA MKAZO KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
HABARI

NAIBU WAZIRI LONDO:SERIKALI IMEWEKA MKAZO KUONGEZA THAMANI YA MAZAO

Michuzi· Jana
UTAFITI NDIYO ROHO YA DIRA 2050:TARI
HABARI

UTAFITI NDIYO ROHO YA DIRA 2050:TARI

Michuzi· Jana
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA GAMIS KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA.
HABARI

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA GAMIS KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA.

Michuzi· Jana
MAZAO YA TANZANIA YAFUNGUA SOKO SUDAN KUSINI KUPITIA NANENANE
HABARI

MAZAO YA TANZANIA YAFUNGUA SOKO SUDAN KUSINI KUPITIA NANENANE

Michuzi· Jana
Rais  Samia ahutubia Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa Jijini Dodoma
HABARI

Rais Samia ahutubia Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane Kitaifa Jijini Dodoma

Michuzi· Jana
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA MISA TAKATIFU YA JUMUIYA YA URU SEMINARI
HABARI

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA MISA TAKATIFU YA JUMUIYA YA URU SEMINARI

-ASISITIZA SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA HUSUSANI SEKTA YA AFYA NA ELIMUMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz

Michuzi· Jana
AKWILAPO ATOA WITO ELIMU, AMANI KUPEWA KIPAUMBELE ITILIMA

AKWILAPO ATOA WITO ELIMU, AMANI KUPEWA KIPAUMBELE ITILIMA

Michuzi· Jana
WAKULIMA KANDA YA KATI  WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA KIDIGITALI KUTOKA MIXX
HABARI

WAKULIMA KANDA YA KATI WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA KIDIGITALI KUTOKA MIXX

Michuzi· Jana
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

mzalendo.co.tzRead more

Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.

tanzaniainvest.comRead more

Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.

thecitizen.co.tzRead more

Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.

tanzlite.comRead more

Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'

mwananchi.co.tzRead more

Lead generation: 90 qualified inquiries per year.

bongo5.comRead more

Retention: 70% repeat business.

Target ARPU of TZS 5 million.

CAC under TZS 300k.

Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.

Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.