
Gundua
2159 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Global Publishers chini (pamoja na mengine ya Gundua).


DAR ES SALAAM — Serikali ya Tanzania imewapa watengenezaji wa saruji siku nane kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa hiyo unaimarika na…

Shirika la Afya Duniani, limetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuwa dharura ya afya…

Wataalamu wa afya duniani wamesema hakuna sababu kubwa ya tahadhari kupita kiasi kuhusu mlipuko wa Hantavirus ulioripotiwa kuhusishwa na meli…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya Iran baada ya nchi hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya…

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema Israel haikubaliani na mpango mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kumaliza…

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema amekuwa na mazungumzo yenye mafanikio na Rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo Marekani imekubali…

Madrid, Hispania – Jiji la Madrid liligeuka kuwa bahari ya furaha baada ya takribani mashabiki milioni 1.8 kujitokeza kusherehekea ushindi…

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha…

Mchezo wa mashindano ya Dunia 2026 kati ya Mexico na South Korea utakaochezwa usiku wa kuamkia Juni 19 saa 04:00…

Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali imependekeza hatua mbalimbali za kikodi zitakazochochea matumizi ya nishati safi…

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) imetangaza rasmi ratiba ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani…

Leo hii tena tutaenda kushuhudia mechi zingine mbili kwenye michuano hii Mikubwa Duniani. Kila timu inataka kupambana kwa hali na…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Iringa kwa kuwataka viongozi na watumishi wa umma kuendelea…

Kuanzia tarehe 11 June tutaenda kushudia vipaji vya maana kwenye michuano hii ya Kombe la Dunia ambapo tayari Meridianbet imeshakupatia…

Meridianbet imewasha moto wa zawadi kupitia Rewards Burst Prize Drops, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kunasa zawadi za papo hapo…

Benki ya Exim Tanzania leo Juni 10, 2026 imeendesha zoezi la la uchangiaji damu wa hiari kitaifa kwa kushirikiana na…

Timu ya taifa ya Morocco imeonyesha uimara mkubwa kwa kuibana Brazil na kulazimisha sare ya mabao 1-1 katika mchezo wa…

BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa…

Timu ya taifa ya Ujerumani imeanza kwa kishindo kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Curaçao mabao…

TEHRAN: Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran siku ya Alhamisi, likisema ni hatua ya kulipiza kisasi kufuatia…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Jamhuri ya Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah aliyewasili nchini…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. John Antony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameshiriki mdahalo maalum wa uzinduzi wa taarifa ya African Economic Outlook 2026 ambapo ametoa taswira…

Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi. Kauli hiyo ilitolewa…

Serikali imesema itaendelea kuimarisha elimu ya ujuzi na umahiri ili kuwajengea vijana uwezo wa kujiajiri na kuhimili ushindani wa soko…

New York – Katika Kombe la Dunia 2026, baadhi ya mashabiki wa soka wamekuwa na msimamo mmoja rahisi: kuishangilia timu…

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule na kumteua…

Leo ni kivumbi na jasho kwenye mechi za kirafiki ambapo wachezaji kutoka timu mbalimbali kutinga uwanjani kupepetana kujiweka sawa kabla…

Babati, Manyara – Kwa miaka mingi wananchi wa Kijiji cha Kiru Six, Kata ya Kiru, Wilaya ya Babati mkoani Manyara…

Ulimwengu wa kasino umeingia kwenye sura mpya ya burudani baada ya kuwasili kwa Meridian Scatter Whale, mchezo unaowapeleka wachezaji kwenye…

Timu za Kiarabu zimekuwa na matokeo tofauti katika Kombe la Dunia 2026, huku Misri ikiandika historia kwa kupata ushindi wake…

Mpaka sasa ni timu 8 ambazo zimebaki kwenye michuano mikubwa Duniani ambapo kila timu inawania nafasi ya kufika Fainali ya…

Hispania imeibuka bingwa wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 baada ya kuifunga Argentina bao 1-0 katika fainali iliyochezwa usiku…

Yanga wameendelea kusogea karibu zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya…

Shirikisho la Soka la Algeria limelalamikia kile lilichokiita dhuluma ya uamuzi wa waamuzi kwa FIFA kufuatia kipigo cha mabao 4-0…

Afrika Kusini walianza Kombe hili wakitazamiwa kuwa chini kabisa katika Kundi A, lakini wamevunja matarajio yote kwa kufuzu kwa mara…

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu…

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo Juni 18, 2026 wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya…

Dar es Salaam, Julai 7, 2026 – Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametembelea banda la Yas…

Rais wa Marekani Donald Trump amepongeza maendeleo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika…

Benki ya NMB imetoa zaidi ya Sh180 bilioni kufadhili wafugaji na biashara katika mnyororo wa thamani wa mifugo, ikiwemo…

Mchezo wa Raundi ya 32 ya michuano ya Dunia 2026 kati ya Ivory Coast na Norway Leo June 28 saa…

Afya njema ni hazina ambayo kila mmoja anatamani kuwa nayo, lakini katika jamii kuna watu wanaohitaji zaidi mkono wa msaada…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imefanikiwa kudhibiti upotevu wa mapato ya zaidi ya shilingi…

Dar es Salaam, Julai 5, 2026 – Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Dkt. Eveline…

EAST RUTHERFORD, New Jersey: Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, aliendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya…

Komamanga ni miongoni mwa matunda yenye virutubisho mbalimbali vinavyoweza kuwa sehemu ya lishe bora. Tunda hili, linalojulikana kwa jina la…

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, akiwasilisha hotuba yake ya ufunguzi wa mafunzo ya usalama na afya kazini…

Morogoro, Juni 2026 –Kampuni ya Mawasiliano ya Yas, imesema inaendelea kujivunia kuwa sehemu ya wadau wanaounga mkono mbio za TCB…

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja…

Ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye sasa…

DAR ES SALAAM: Vodacom Tanzania Plc imehitimisha ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam…

Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube, amekamilisha rasmi uhamisho wake na kujiunga na klabu ya Hardrock FC baada ya kusaini…

Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) limemtangaza rasmi Jurgen Klopp kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo,…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao…

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Munisi, amesema ushirikiano wa karibu kati ya…

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza…

Jeshi la Polisi Tanzania limesema hali ya usalama nchini inaendelea kuwa shwari, huku likiwahakikishia wananchi na wageni waliopo nchini kuwa…

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati), akiwa na Menejimenti Kuu ya benki hiyo…

Wakati Argentina inaingia mechi hii wakiwa na rekodi safi dhidi ya Misri (mabao 8-0 katika mechi mbili zilizopita, za mwaka…

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuna umuhimu wa kubuni mbinu mpya za kukieneza Kiswahili duniani baada ya…

Marekani imefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Iran baada ya shambulio lililolenga kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Jordan…

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika na taasisi za umma kuweka mikakati madhubuti ya kujiendesha kwa ufanisi na kupunguza…

Dar es Salaam: Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL) imeibuka mshindi wa Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta…

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo…

Nyota wa soka wa Brazil, Neymar Jr, ametangaza rasmi kuwa safari yake ya kuitumikia timu ya taifa ya Brazil imefikia…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anatarajiwa kufanya ziara nchini Oman leo Jumamosi kwa ajili ya mazungumzo…

Argentina leo Julai 12, 2026 imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao…

Mashabiki wa kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya Meridianbet kuzindua mashindano ya kusisimua ya Spin for…

Benki ya NMB imetangaza udhamini wa Sh milioni 150 kufanikisha msimu wa nane wa Mashindano ya Kombe la Mkuu wa…

Dar es Salaam, Julai 24, 2026 – Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hajawahi kusaini hati ya kuruhusu utekelezaji wa adhabu…

Dar es Salaam – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea banda la…

Kampuni ya GF Trucks imesema katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) imepata mafanikio…

Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Ufaransa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali…

Meneja Mradi katika Taasisi ya Utamaduni na Maendeleo Afrika Mashariki, Anjela Kilusungu, amesema Mashariki Creative Economy Expo 2026 imekuwa jukwaa…

SERIKALI imesema kuwa imedhamiria kuhakikisha ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Indonesia unaleta matokeo kwa kuongeza thamani ya biashara…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametia saini amri mbili mpya zinazolenga kubadili utekelezaji wa haki ya uraia wa kuzaliwa nchini…

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran na kutangaza kuwa moja ya maeneo yanayolengwa…

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imezindua rasmi Kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na wakati huohuo…

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika…

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema lengo kuu la kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt….

Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuwekeza katika teknolojia na kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali ili…

NEW YORK – Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho…

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Kigoma, imeifuta kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Jimbo la Kigoma Mjini yaliyompa…

Dar es Salaam, Tanzania, 2026. Viongozi wa Serikali, sekta sekta binafsi na wadau wa teknolojia wametoa wito wa kuongeza uwekezaji…

-Mkopo wa dola milioni 100 waimarisha utekelezaji wa Agenda 2030 na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Benki ya…

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza marufuku ya mikusanyiko ya umma katika majimbo manne yaliyotajwa kuwa katika hatari kubwa ya…

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemtangaza mwamuzi kutoka Slovenia, Slavko Vinčić, kuwa ndiye atakayechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2026…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel…

Miili ya Hamza Juma Omary na mdogo wake Ally Juma Omary, wanaodaiwa kuuawa na mtoto wa Hamza, Hosam Hamza, imezikwa…

Kocha mpya wa klabu ya Young Africans (Yanga SC), Manqoba Mngqithi, leo Julai 23, 2026 ameanza rasmi majukumu yake ya…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain itakuwa mtihani mkubwa wa mifumo miwili tofauti ya kimbinu inayofanya vizuri zaidi…

Kylian Mbappe ameandika historia mpya katika Kombe la Dunia baada ya kumpita Lionel Messi na kuwa mfungaji bora wa muda…

Baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia la kwanza lenye timu 48, Rais wa FIFA Gianni Infantino amesema kuna uwezekano…

Mashabiki wa michezo ya mapigano duniani hawana sababu ya kukaa mbali na runinga wala simu zao usiku wa leo, kwani…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 20, 2026, ameweka jiwe la msingi la…

Timu ya taifa ya England imetangaza rasmi namba za wachezaji wake kuelekea Kombe la Dunia 2026, hatua ambayo imeacha dalili…

Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi mipango mikubwa kuelekea msimu mpya, huku ikielezwa kuwa mfadhili wa klabu hiyo,…

Mwekezaji wa Simba na Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohammed Dewji, amewataka Wanasimba kuacha migawanyiko na malumbano, akisisitiza kuwa…

Idadi ya watu waliofariki kutokana na matetemeko mawili makubwa ya ardhi nchini Venezuela imeongezeka na kufikia 3,342, kwa mujibu wa…

Leo usiku, Julai 15, ulimwengu wa soka utashuhudia mojawapo ya mikutano yenye historia nzito zaidi kwenye michuano ya Dunia England…

Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, wamerudi kileleni mwa viwango vya ubora vya FIFA kwa upande wa timu…

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji chipukizi Juma Issa Abushuri, maarufu kama Chuga Boy, kuwa mchezaji mpya wa timu hiyo…

Kama unatafuta kampeni yenye kasi, ushindani na zawadi, Meridianbet imeleta Non-Stop Blasts & Races. Kwa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika…

Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2026/27 imetangazwa rasmi leo Julai 20, 2026, huku msimu…

Zanzibar, Julai 23, 2026 – Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha…

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana….

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema…

Nyota wa Hispania na Barcelona, Lamine Yamal, amekuwa aking’ara duniani akiwa mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake, huku wazazi…

MANCHESTER: Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa Brighton, Carlos Baleba, kwa ada ya jumla ya pauni milioni 70…

Vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kujipanga kuelekea msimu mpya huku tetesi za usajili zikizidi kushika kasi. Arsenal na Liverpool zimeonyesha…

Vita ya kuwania Glovu ya Dhahabu inaendelea kuwa kubwa kati ya walinda milango wanne ambao wanapewa nafasi kubwa kwenye Taji…

Klabu ya Bayern Munich imethibitisha kumsajili beki wa kimataifa wa Ujerumani, Nathaniel Brown, kutoka Eintracht Frankfurt kwa ada ya takriban…

Klabu ya Manchester United imethibitisha rasmi kumsajili kipa wa kimataifa wa Wales, Karl Darlow, kwa uhamisho huru akitokea Leeds United….

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Lameck Jonathan Mlay (30) mfanya usafi na mkazi wa Maji ya…

Baada ya Kombe la Dunia 2026, ushindani wa nafasi ya kiungo bora wa kati duniani umeendelea kuwa mkali, huku mastaa…

Lionel Messi amefunguka kuhusu maumivu aliyopata baada ya Argentina kupoteza fainali ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Hispania, huku…

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu…

Jeshi la Polisi limetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano kati yake na makampuni binafsi ya ulinzi ili kuongeza ufanisi katika…

Kocha mwenye uzoefu, Roberto Mancini, anatarajiwa kurejea kuinoa timu ya taifa ya Italia baada ya kufikia makubaliano ya kuiongoza tena…

Msanii wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu Diamond Platnumz na mkewe Zuchu wamefichua kuwa wanatarajia kupata mtoto wa kike, baada…

KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku…

Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora na Mbunge wa zamani…

Bayern Munich imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Morocco, Ismael Saibari, akitokea PSV Eindhoven kwa ada inayoripotiwa kufikia dola milioni…

Kocha wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema tayari ana maono ya wazi kuhusu nini kifanyike kuirejesha timu hiyo kwenye…

Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa jukwaa la mkutano kati ya…

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itachunguza uwezekano wa kutoa mikopo kwa vijana wanaosoma kozi za muda mfupi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo Julai 24, 2026, amewaapisha viongozi…

Kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran limemkosoa Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, likisema ziara yake nchini Marekani haikufanikisha malengo…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema serikali ya Marekani imeanzisha kampeni ya kupinga Mahakama ya Kimataifa…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha zinazopatikana kupitia NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumia fedha…

Bingwa wa zamani wa dunia mara mbili katika uzani wa juu, Anthony Joshua, alionyesha moyo wa kipekee baada ya kuinuka…

Kikosi cha Simba SC, leo Agosti 5, 2026, kimerejea nchini kikitokea Kigali, Rwanda, kilikoshiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup pamoja…

Washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika wametangazwa rasmi katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam,…

Burudani ya kasino imepata ladha mpya baada ya Wild 4th Fruits kuwasili Meridianbet ukiwa na muonekano unaovutia na mfumo wa…

SAFARI ya mapenzi kati ya watu wawili wanaopendana, huanza kwa mmoja kati yao, hasa mwanaume kumtamkia nia yake yule anayempenda…

Zinedine Zidane ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa akichukua nafasi ya Didier Deschamps ambaye ameondoka…

Kikosi cha Yanga kinaendelea na maandalizi makali ya msimu mpya katika kambi ya Avic Town, Kigamboni, Dar es Salaam, huku…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea salamu maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameahidi kutoa majibu makali baada ya wanajeshi wa Marekani kuzuia shambulio la makombora ya balistiki…

Government Charges Team Tanzania to Make Podium Dreams Reality in Glasgow The road to the 2026 Commonwealth Games officially begins…

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa 83 kwa tuhuma za kuhusika na makosa mbalimbali ya…

Mahakama ya Los Angeles imeendelea kusikiliza ushahidi dhidi ya mwimbaji D4vd, anayefahamika kwa jina halisi David Anthony Burke, anayekabiliwa na…

Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amerudishwa katika Gereza la Luzira kutoka Hospitali ya Taifa ya Rufaa…

Barcelona imewasilisha ofa ya kwanza ya pauni milioni 38.5 (TSh bilioni 137) kwa Manchester City kwa ajili ya kiungo wa…

MANCHESTER, England — Manchester City imeanza kuonyesha nia ya kumsajili kiungo wa AS Roma na timu ya taifa ya Ufaransa,…

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ahadi ya kupatikana kwa Katiba Mpya nchini bado ipo na itaendelea kutekelezwa, kwani ni ahadi…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 30, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na…

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amepata pigo kubwa kisiasa baada ya mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ya kusimamia…

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika…

Dar es Salaam – Mahakama ya Rufani ya Tanzania imetupilia mbali shauri la marejeo Na. 720316/2026 lililowasilishwa na Mkurugenzi wa…

Dar es Salaam: Airtel Money kwa kushirikiana na Buni, Dar Teknohama Business Incubator (DTBI), Vocalize IoT Project na Techstar Innovation…

Dar es Salaam, Tanzania, 31 Julai 2026 – Bayport Financial Services Tanzania imeadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kutoa…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Angola,…

Mabanda ya Benki ya NMB yanaendelea kuwa miongoni mwa vivutio vikuu katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika kanda mbalimbali…

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yatakayofanyika Juni 5 katika ukumbi…

Standard Chartered Foundation kupitia Standard Chartered Tanzania imetoa msaada wa Sh21.46 milioni kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti…

MIAMI, Marekani — Nyota wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuweka historia katika soka baada ya kufikisha jumla ya mabao 922…

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kuwekeza katika utafiti wa kilimo ndiyo njia sahihi ya kuleta mageuzi ya kweli katika…

Ukiwa na Meridianbet ni raha kupitiliza kwani unaweza ukarejesha pesa yako kwa 100% endapo timu moja ikichana leo. Ingia kwenye…

Dar es Salaam, Agosti 4, 2026 – Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania, Manzi Rwegasira, anatarajiwa kuungana na viongozi wa…

Zurich, Uswisi — Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeingia katika kipindi kigumu cha kisiasa baada ya kumaliza uhusiano wa kikazi…

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imezindua rasmi jezi zake mpya zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni…

Dar es Salaam, 20 Agosti 2026: Vodacom Tanzania Plc imeendelea kuonyesha ukuaji imara na kuzalisha thamani kwa wanahisa, wateja na…

Manchester City imefikia makubaliano na Everton kwa ajili ya kumsajili winga wa Senegal, Iliman Ndiaye, katika dili lenye thamani ya…

Winga wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Jr, amekubaliana na klabu ya Real Madrid kuongeza mkataba mpya wa miaka sita utakaomuweka…

Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeeleza kuwa inaendelea kuimarisha huduma zake za maabara kwa kutoa uchunguzi…

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta nchini…

Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto nchini wametakiwa kuwekeza katika mafunzo ya kitaalamu kwa walezi ili kuboresha huduma za malezi…

ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza…

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka nchi za Afrika kuongeza uwekezaji katika elimu na maendeleo…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, leo wameshuhudia…

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mafanikio katika utekelezaji wa miradi…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika sekta ya uvuvi…

Taasisi ya NMB Foundation na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa pamoja wa Mradi wa…

Dar es Salaam, Agosti 4, 2026 – Ndoto ya mkazi wa Vikindu, Mohammed Misanga, ya kuboresha huduma za afya katika…

Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali…

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Nahodha Daraja la II (Skipper) na…

Dodoma, 8 Agosti 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kutafuta…

Klabu ya Simba SC imeendeleza maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya…

Dodoma. Kampuni ya mawasiliano ya Yas imewahimiza wakulima nchini kutumia huduma za kidijitali kupata taarifa muhimu kuhusu masoko, hali ya…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameungana na familia, waumini, viongozi mbalimbali pamoja…

LINDI: Wakulima kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotumia huduma ya Mixx kupokea malipo ya mazao yao wameanza kunufaika na…

Mechi kali zinatarajiwa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku tayari Meridianbet wakiwa wamekuwekea Odds za kuvutia. Je nani unampendelea zaidi kukupatia…

Dar es Salaam, Tanzania: Afrika inapaswa kutumia zaidi mitaji yake ya ndani, kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kukuza masoko ya…

Dar es Salaam. Leo Agosti 9, 2026, Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam unatarajiwa kugeuka kitovu cha burudani na…

WAZAZI na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini humo kwenye…

DAR ES SALAAM: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo Agosti 10, 2026,…

Rais wa Marekani Donald Trump amesema alilazimika kubadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki mwezi uliopita kufuatia maelekezo kutoka kwa Secret…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa siku saba kuanzia leo, Agosti 11, 2026, kwa mabasi yote…

Moto mkubwa umezuka katika Shule ya Sekondari Bigwa Sisters, iliyopo Manispaa ya Morogoro, na kuteketeza baadhi ya madarasa, mabweni pamoja…

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika…

Tetesi zinazomhusisha kiungo wa Azam FC, Feisal Salum “Fei Toto”, na usajili wa Yanga au Simba zimeendelea kutawala mijadala ya…

Inaelezwa kuwa mabosi wa Simba SC wapo kwenye hesabu za kusaka mbadala wa Seleman Mwalimu ambaye ametambulishwa katika kikosi cha…

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amekiri kuwa kuna mambo yaliyohitaji kufanyiwa kazi baada ya kikosi chake kupoteza kwa…

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Cameroon, maarufu kama Indomitable Lionesses, imeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara…

WASHINGTON — Marekani imeiondoa rasmi Syria kwenye orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi, hatua inayowakilisha mabadiliko makubwa katika sera ya Washington…

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka …

Kama unafikiri uvuvi ni wa wavuvi pekee, 3 Fisher Cats kutoka Amigo imekuja kubadilisha mtazamo huo. Meridianbet imeleta mchezo unaowaleta…

DUBAI: Nyota wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, na mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodriguez, wamefunga ndoa baada ya kuwa kwenye…

ZANZIBAR: Young Africans SC (Yanga) wameanza msimu mpya kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya…

DAR ES SALAAM: Azam FC imesisitiza kuwa kiungo wake nyota, Feisal “Fei Toto” Salum, ataendelea kuwa sehemu ya kikosi cha…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

MADRID, Hispania — Mamilioni ya watu katika maeneo mbalimbali ya Dunia walielekeza macho yao angani Jumatano, Agosti 12, 2026, kushuhudia…

KIZIMKAZI, ZANZIBAR — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Mradi wa Maji Kizimkazi, ikiwa…

Dar es Salaam Tanzania, 31 Julai 2026: Benki ya Exim Tanzania na Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi Tanzania (YST) leo wamezindua…

Salzburg, Austria — Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), kesho Jumatano Agosti 12 saa nne usiku watakutana…

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Hawa Chakoma, akifanya majumuisho ya michango…

KUNDI lingine la mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wameondoka nchini Jumamosi kuelekea vyuo vikuu mbalimbali kuanza masomo ya elimu ya…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi,…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza kuwa Maadhimisho ya Wiki ya Taifa ya Elimu, Ujuzi na…

Ligi Kuu ya NBC Premier League msimu wa 2026/27 inaendelea, huku timu zikijiandaa kushuka dimbani katika mzunguko wa tatu kwa…

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutoridhika na matokeo mazuri ya mwanzo…

Hatimaye Yanga SC imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye amerejea Jangwani baada ya…

DAR ES SALAAM: Mwimbaji maarufu wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz, amewasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza…

Je unajua kuwa ukiwa na dau dogo, unaweza ukajipatia ushindi mnono?. Basi karibu ujiunge na mabingwa wa ubashiri Tanzania utengeneze…

DAR ES SALAAM, Tanzania — Benki ya Stanbic Tanzania imekuwa benki ya kwanza nchini kuzindua huduma ya Malipo ya Moja…

Simba SC imekiri kuwa Singida Black Stars ni timu yenye ubora mkubwa kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC…

Wakati mwingine nafasi kubwa huja na muda maalum, na sasa Mzuka wa Mabingwa wa Meridianbet umebakiwa na siku 24 tu….

Kabla ya mchezo wa leo Ijumaa Emirates Stadium, hebu tuangalie undani zaidi wa kile kinachotarajiwa kutokea kimbinu na kikikosi katika…

Je unajua kuwa ukibashiri na Meridianbet ni rahisi sana kwako wewe kutengeneza pesa ya uhakika?. Arsenal, PSG, na wengine kibao…

Zanzibar, Julai 23, 2026 – Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imezindua rasmi msimu wa sita wa mbio za Yas…

ORYX Gas Zanzibar imeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, ambapo kampuni…

Beki wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto, amesema morali ndani ya kikosi hicho ipo juu kuelekea mchezo wao wa kwanza wa…

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Agosti 21, 2026 imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti…

ZANZIBAR: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo…

Wiki ya Ubunifu Tanzania 2026 (IWTz2026) imezinduliwa rasmi, ikiashiria mwanzo wa uhamasishaji wa kitaifa wa wavumbuzi, wajasiriamali, watunga sera, wawekezaji,…

Leo hii unaweza ukatengeneza pesa ndefu kwa kusuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo…

Nyota wa Inter Miami, Lionel Messi, ameadhibiwa kwa faini na Ligi Kuu ya Soka Marekani (MLS) kufuatia tukio la kumpiga…

Mwanza: Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameanza msimu wa NBC Premier League kwa kasi baada ya kuichapa Pamba Jiji FC…

Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, akikabiliwa na mashtaka matano ya…

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni…

Dar es Salaam — Jopo la majaji watatu, likiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru, linatarajiwa kutoa uamuzi leo, Ijumaa Agosti…

Dar es Salaam — Yanga SC imeendelea na mwanzo mzuri wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 baada ya…

Rabat, Morocco — Kiungo mshambuliaji wa Uganda, Allan Okello, ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa AS FAR Rabat baada ya…

Vodacom Tanzania PLC, kupitia programu ya Classroom for Community Impact iliyo chini ya Vodacom Tanzania Foundation, imekabidhi madarasa mawili yaliyokarabatiwa,…

Milan, Italia — Mwanasoka nguli wa Brazil, Ronaldinho Gaúcho, anatarajiwa kurejea rasmi uwanjani akiwa na umri wa miaka 46, miaka…

Wafanyabiashara Tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa…

PWANI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kukamilika kwa Mradi wa Kufua Umeme wa…

Simba SC imeanza msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kasi kubwa baada ya kushinda michezo yake yote mitatu ya…

Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na…

WASHINGTON: Karoline Leavitt, ambaye anatarajiwa kuondoka katika nafasi yake ya Msemaji wa Ikulu ya Marekani, White House Press Secretary, amefichua…

Klabu ya Simba leo Agosti 24, 2026 imetangaza kurejea kutumia Uwanja wa Meja Isamuhyo kama uwanja wake wa nyumbani katika…

Ligi Kuu ya England, Premier League, inaendelea wikiendi hii kwa michezo mbalimbali huku timu kubwa zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi…

Thursday 13 August 2026, Dar es Salaam, Tanzania – Coca-Cola Kwanza has received a United Nations Business Sustainable Development Goals…

Yanga SC leo Agosti 24, 2026 inatarajiwa kushuka dimbani kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania…

Southampton na West Ham United watakutana leo Jumanne, Agosti 25, 2026, katika raundi ya pili ya Carabao Cup (EFL Cup)….

JKT Tanzania imetoa ujumbe kupitia mitandao ya kijamii baada ya kukutana na Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…

Rais Hakainde Hichilema ametangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa kiti cha urais wa Zambia baada ya kupata kura 2,965,326 sawa…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea na kuridhia ombi la kujiuzulu kwa Makamu wa…

Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi…

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na…

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumatano,…

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea leo Agosti 27, 2026 katika…

Pwani. Jeshi la Polisi limewapoteza askari wake wawili katika ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Maili Moja, Wilaya ya Kibaha,…

Ferencváros watawapokea Trabzonspor katika uwanja wa Groupama Arena, jijini Budapest, Hungary, Alhamisi Agosti 27, 2026, saa 21:30, katika mechi ya…

Makamu wa Rais Mteule na Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, leo Agosti 28, 2026, amehudhuria Kikao cha Tatu cha…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imetoa elimu kwa wadau wa Forodha mkoani…

MONACO – Droo ya hatua ya Ligi ya mabingwa (league phase ya UEFA Champions League) msimu wa 2026/27 imefanyika usiku…

Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa…

Wabunge 324 wamepiga kura za “Ndiyo” kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri…

Dar es Salaam, Agosti 27, 2026 — Wafanyabiashara wa Tanzania wanaofanya biashara na China sasa wanaweza kufanya malipo kwa wazabuni…

Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano…

Ulimwengu wa michezo ya kasino umevuka kiwango kingine baada ya kuwasili kwa Thunder Riches: Fortune Eagle, mchezo mpya kabisa unaopatikana…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana…

Tanga. Airtel Tanzania imepanga kuanzisha kituo cha Airtel Fursa Lab katika Shule ya Sekondari Magaoni, mkoani Tanga, ikiwa ni hatua…

Muda unakwenda kwa kasi na mashindano ya Expanse: Big Wins Start Here yanaelekea ukingoni. Ikiwa imesalia takribani wiki moja kabla…

Msimu mpya wa soka nchini Ujerumani unaanza kwa mechi kubwa kabisa “Der Klassiker” ya mapema, ambapo timu mbili kubwa zaidi…

Liverpool imefikia makubaliano ya awali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 418 (£120 milioni) na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili…

Leo usiku, saa 22:00, mashabiki wa mpira wa miguu watashuhudia mechi ya kuvutia kati ya Crystal Palace na Manchester City…

Real Madrid jana usiku Agosti 26, iliibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La…

Ligi Kuu ya England, Premier League, inaendelea wikiendi hii kwa michezo mbalimbali huku timu kubwa zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi…

Chelsea imeendeleza mwanzo wake mzuri katika msimu mpya wa Ligi Kuu England baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-3…

Msanii Juma Jux ametoa tamko kwa umma akikanusha madai yanayosambaa yakimuhusisha kuwa baba wa mtoto wa mtu fulani, akisema taarifa…

Serikali imezitaka shule nchini kuweka kipaumbele kwenye mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA kwa wanafunzi wao ili kwenda…

Dar es Salaam, 28 Agosti 2026 – Wajawazito wanaopata huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam, watanufaika…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma…

Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha umeshuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Fountain Gate FC na…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amewasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, waliokusanyika…

Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliotokea nchini Nepal imefikia 165, huku wengine 1,300 bado hawajulikani…
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

Antonio Rüdiger Afunga Ukurasa wa Ujerumani Baada ya Mechi 86

Ligi ya Mabingwa Kuanza Septemba 4, Simba na Yanga Kuwakilisha Tanzania

Vitu Muhimu 9 vya Kuzingatia Wakati wa Kununua Gari

Ebola Yazidi Kusambaa DRC, Vifo Vyakaribia 3,000 Afrika
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inakabiliwa na ongezeko kubwa la maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, huku idadi ya wagonjwa…

Tanzanite Queens Kukiwasha na Brazil, England na Canada Kombe la Dunia U-20

Haakon Viii Aapa Kiapo Cha Katiba, Aanza Rasmi Utwala Wa Norway

Mwanamke Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Mumewe – Video

Video: Ndejembi Awasalimu Wananchi Moshi, Atoa Ahadi Kwa Rais Samia

Video: Kesi ya Lissu Yaahirishwa, Mnyika Kuendelea Kudodoswa Kesho

Trump Atishia Kuijibu Iran Kwa Nguvu Baada Ya Mashambulizi Mapya

Pitso Mosimane Apewa Tena Usukani wa Bafana Bafana
Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtangaza Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Afrika…

Mnyika Akabiliwa Maswali Mazito Mahakamani Katika Kesi Ya Lissu

Ndejembi Atua Kilimanjaro, Asalimiana Na Viongozi – Picha

Kikosi Cha Man City Cha 2023 Chaanza Kutoweka, Wabaki Wachezaji Wawili

Rais Samia Aondoka Nchini Kwenda Zambia Kwa Uapisho Wa Hichilema

Vodacom Yaja na Ubunifu Mpya Kuelekea Tanzania 2050

Waamuzi Wanne wa Tanzania Wateuliwa Kusimamia Mechi ya CAF

Dortmund Yaanza Safari Ya Dfb Cup Dhidi Ya Hebc Hamburg
Leo Jumanne, tarehe 1 Septemba 2026, saa 21:45, uwanja wa Volksparkstadion jijini Hamburg utakuwa jukwaa la mechi ya raundi ya…

Polisi Arusha Wamkamata Godlisten Malisa, Aachiwa Kwa Dhamana

Mbeto: Jussa Usithubutu Kuwagombanisha Watanzania Kwa Utashi wa Kisiasa
Importance of Peace for National Development
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.
Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.
Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.
He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.
Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.
Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.
Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.
Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.
Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.