
Gundua
860 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Gazetini chini (pamoja na mengine ya Gundua).


KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa kuongoza. M23 wanashikilia maeneo mengi ya Kaskazini na Kusini mwa majimbo ya Kivu, pia operesheni yao ya mwaka 2025 ikiwapatia miji mikubwa miwili ya Mashariki, …

WASHINGTON DC, Marekani BEI ya mafuta katika soko la dunia imeshuka kwa asilimia 9, yakiwa ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Iran kusimamia kwa siku mbili. Kwa sasa, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imefikia Dola za Marekani 88, tofauti na zaidi ya Dola 100 wiki iliyopita. Hatua hiyo inakuja baada ya balozi […]

RIYADH, Saudi Arabia SAUDI Arabia imebaki njiapanda. Tangu Marekani na Israel zilipoungana kuishambulia Iran, Saudia ilijiweka mbali na mgogoro huo. Haikutaka kujihusisha wala kuhusishwa. Hata hivyo, ukaribu wake na Marekani umeiponza na kujikuta ikishambuliwa na Iran, pamoja na washirika wake kutoka Ukanda wa Mashari…

WASHINGTON DC, Marekani WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alikuwa nchini Marekani kwa ziara ya kikazi, ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump. Kwa upande mwingine, ziara hiyo imetafsiriwa kuwa ni jitihada zake za ‘kufufua’ uhusiano ulioyumba kwa sasa kati yake na Marekani. Utafiti wa hivi…

LONDON, Uingereza RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewasili nchini Uingereza, ambako atakutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mpya, Andy Burnham. Zelensky atakuwa mgeni wa kwanza wa nje kufika Uingereza tangu Burnham alipoingia madarakani siku chache zilizopita. Burnham ameahidi kuwa Uingereza itaendelea ku…

NYON, Uswis WACHEZAJI wapatao sita wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina huenda wakafungiwa kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwaka 2030. Kwa mujibu wa Gazeti la Sun, nyota walio hatarini kushukiwa na rungu hilo ni Nahuel Molina, Leandro Paredes, Thiago Almada, Cristian Romero, Lisandro Martinez na Giovani…

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku ikiweka mkazo katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato hayo ili kuharakisha maendeleo ya taifa. Ak…

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi ya mechi kali za hatua hiyo ni ile itakayozikutanisha England ‘Three Lions’ na Mexico ‘El Tri’, ambao ni wenyeji wa michuano kwa kushirikiana na Marekani na Can…

TORONTO, Canada HAKUNA mbabe. Ni dakika 90 za mchezo wa Kundi B uliochezwa Juni 12, 2026, ambapo wenyeji wa michuano ya mwaka huu ya Kombe la Dunia, Canada, wametoka sare ya bao 1-1 na Bosnia. Bosnia walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 21 kupitia kwa Jovo Lukic aliyeunganisha kwa kichwa mpira wa kona, kabla […]

TORONTO, Canada KIUNGO Thomas Partey atakosekana wakati timu ya Taifa ya Ghana itakapocheza mechi ya kwanza ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni baada ya mamlaka za Canada, moja ya wenyeji watatu wa michuano hiyo, kumnyima kibali cha kuingia nchini humo. Hatua hiyo imetokana na kesi tano za ubakaji zinazomkabili nyota h…

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imepanga kuondoa matumizi ya vocha za kukwangua za muda wa maongezi katika maeneo ya mijini kuanzia Julai 1, 2026, hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika sekta ya mawasiliano na huduma za kifedha. hayo yamebainishwa na Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Oma…

SEOUL, Korea Kusini MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 – Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano hiyo, hawa ndiyo wachezaji 26 walioitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Korea ya Kusini. Makipa: Hyeon-Woo Jo (Ulsan), Seung-Gyu Kim (FC Tokyo), na Bu…

Berlin, Ujerumani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 – Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano hiyo, hawa ndiyo wachezaji 26 walioitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Ujerumani. Makipa: Oliver Baumann (Hoffenheim), Manuel Neuer (Bayern Munich), na…

BAGHDAD, Iraq MOJA ya vivutio vya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza Juni 11, 2026 ni uwepo wa timu ya soka ya Taifa ya Iraq iliyofuzu kwa kuifunga Bolivia. Hii inakuwa mara ya pili kwao kushiriki baada ya mwaka 1986. Katika mashindano hayo, Iraq iliishia hatua ya makundi kwa kupoteza mechi zote […]

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika mchezo wa Jumatano ya wiki ijayo. Neymar anayekipiga Santos ya Ligi Kuu ya Brazil, alikosekana katika mechi zote mbili za awali msimu huu wa Kombe la Dun…

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo vya usafiri, akisema kuwa Tanesco imejipanga kujenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima. Mkurugenzi huyo amesema hayo Juni 19, 2026, …

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika kwa miradi ya kuimarisha mfumo wa usambazaji wa umeme iliyotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa gharama ya zaidi ya Sh bilioni 10.5…

LONDON, Uingereza KAMA ilivyo kawaida, katika kila msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL), huwa kuna timu tatu zilizopanda daraja. Safari hii (2026-27), ni Coventry City, Hull City na Ipswich Town. Je, zitakaza na kufanya maajabu EPL msimu ujao wa 2026-27 au zitarudi zilikotoka, kwa maana ya Daraja la Kwanza (Champio…

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Marekani imeanza na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay katika mechi ya Kundi D msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Wakati huo huo, bao la dakika ya saba walilopata Marekani ni la mapema zaidi kwa timu mwenyeji tangu Ujerumani ilipofunga mwaka 2006. Mechi […]

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI dunia ikiwa kwenye sintofahamu juu ya mustakabali wa vita vya Marekani na Iran, Kundi la kigaidi la Houthi nchini Yemen limeendelea kufanya mambo yawe mengi na magumu zaidi. Iko hivi; Marekani na Iran zinaendelea kushambuliana na mgogoro wao juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz imesababish…

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) imechukua hatua mpya za kuimarisha utayari wa jamii kukabiliana na mafuriko katika Jiji la Dar es Salaam kwa kuthibitisha mipango ya kujiandaa na kukabiliana na maafa katika kata tano z…

Na Ramadhan Hassan, Gazetini NAIBU Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde, kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Pamoja wa 9 wa Kamati Maalum ya Mawaziri wa Umoja wa Afrika (STC) unaojadili masuala ya Fedha, Uchumi, Mipango na Mtangamano pamoja na Mkutano …

MIAMI, Marekani AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia, matokeo yaliyowapeleka hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia. Huyo si Cristiano Ronaldo wala Bruno Fernandes, bali ni Goncalo Ramos, akifanya hi…

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuwa ni miongoni mwa taasisi bora za maendeleo ya miundombinu barani Afrika kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake mwa…

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kifo cha ofisa huyo kimethibitishwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini,…

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua inayoimarisha nafasi ya Tanzania kama kitovu cha huduma za kibingwa na ubingw…

MIAMI, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, Julai 19, 2026, nyasi za Uwanja wa MetLife nchini Marekani zitawaka moto kwa mchezo wa fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Argentina dhidi ya Hispania. Ni fainali ya wababe tupu. Argentina ni bingwa mtetezi wa Kombe la Dunia na Copa America, wakati Hispania wanashikilia taji l…

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

MIAMI, Marekani MECHI za hatua ya 32 Bora msimu huu wa Kombe la Dunia zitaanza kuchezwa usiku wa leo Juni 28, 2026. Colombia baada ya kulazimisha suluhu dhidi ya Ureno, imetinga hatua hiyo ikitokea Kundi K. DRC nayo imeingia baada ya ushindi wake dhidi ya Uzbekistan, kama ilivyo kwa Croatia iliyoifunga Ghana mabao 2-1…

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa Ligi Kuu Bara. Kwa sasa, Yanga iko kileleni mwa msimamo lakini imekusanya pointi 72, wakati Simba wao wana pointi 70, huku kila timu ikiwa imebakiza mechi moja ba…

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), akijionea huduma mbalimbali za kisasa na suluhisho za kidijitali zinazotolewa kwa Watanzania. Katika ziara hiyo iliyofanyik…

WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano mkubwa katika hatua za sasa za majadiliano, huku akionya kuwa Washington iko tayari kuchukua hatua nyingine endapo makubaliano hayatatekele…

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata ya 16 Bora. Canada chini ya ocha Jesse Marsch, walivuka hatua iliyopita (32 Bora) kwa kuitoa timu nyingine ya Afrika, Afrika Kusini. Bao pekee la mchezo hu…

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo majengo ya Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Sura Na. 297, …

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027 yanapaswa kuangaliwa zaidi ya mpira wa miguu, akieleza kuwa ni fursa ya kipekee ya kuitangaza Tanzania kimataifa, kukuza utalii, …

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo. Amerudi nyumbani. Kwamba nyota huyo amehitimisha safari ya miaka sita ya kucheza Ligi Kuu Bara, tangu aliposajiliwa na Azam mwaka 2020 akitokea Highlanders…

MUNICH, Ujerumani WIKI chache zilizopita, alikuwa kwenye meza ya uchambuzi wa mechi za Kombe la Dunia akiishuhudia timu yake ya Taifa ya Ujerumani ikiondoshwa na Paraguay katika hatua ya 32 Bora. Safari hii, Jurgen Klopp amepewa jukumu la kuliongoza benchi la ufundi, akichukua nafasi ya Julian Nagelsmann aliyetimuliwa…

Na mwandishi wetu, Gazetini BANDARI ya Dar es Salaam imeibuka kinara wa ufanisi wa huduma za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kupanda kwa nafasi 105 katika Ripoti ya Ufanisi wa Bandari Duniani (Container Port Performance Index – CPPI) ya mwaka 2025, hatua inayodhihirisha mafanikio ya mageuzi makubwa …

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

TEHRAN, Iran JESHI la Marekani limetibitisha kufanya shambulizi la usiku kwa mara ya saba mfululizo nchini Iran. Huo ni mwendelezo wa Iran kushambuliwa usiku tangu Rais Donald Trump alipotangaza kuwa hakuna tena usitishaji wa vita. Katika taarifa yake baada ya shambulizi la usiku wa kuamkia leo Julai 18, 2026, Marekan…

MIAMI, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Ni katika mchezo wa hatua ya 32 Bora, ambapo bao pekee la Ufaransa lilifungwa na Kylian Mbappe kwa mkwaju wa penalti. Kwa matokeo hayo, Ufaransa sasa itakwaana na vigogo wa […]

BOSTON, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizochezwa kwa siku 39, kwenye viwanja 16, zikishirikisha wachezaji 1,039 kutoka timu 48, zilishuhudia mabao 308 yakifungwa katika mechi 104. Je, ni nani aliyeongoza kwa mabao, asisti? Ni timu zipo zilizofunga na kuruhusu mabao mengi? Makala fupi haya ya…

Na mwandishi wetu, Gazetini Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanzisha utaratibu wa kutoa ithibati ya uanachama wa maisha kwa waandishi wa habari waliokuwa na umri wa miaka 50 au zaidi mwaka 2016, hatua inayolenga kutambua mchango wa wanahabari wakongwe waliotumikia taaluma hiyo kwa muda mrefu na wanaoki…

TEHRAN, Iran Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Mlango Bahari wa Hormuz hautafunguliwa kikamilifu ikiwa vitisho vya kijeshi na kauli za uchokozi kutoka Marekani vitaendelea, likionya kuwa hali ya usalama katika eneo hilo bado ni tete. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali y…

Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo na kutumia fursa zinazotengenezwa kupitia mipango ya maendeleo ya Serikali. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya Mipango, Alpha Temu, ameiambia Gazeti…

MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa mara ya kwanza na ‘Three Lions’ katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Argentina ya Messi imeingia nusu fainali baada ya ushindi wake …

Na Hassan Mwasha, Gazetini BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka Mpya wa Fedha 2026-27 Bungeni mjini Dodoma iliyowasilishwa Ijumaa Mei 15, 2026 na Waziri wa wizara hiyo, Dk. Ashatu Kijaji, Mei 15, 2026, amewasilisha Katika hotuba y…

MIAMI, Marekani SAHAU kabisa kuhusu matokeo. Fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana iliwakutanisha makocha wawili, Luis de la Fuente wa Hispania na Lionel Scaloni anayeinoa Argentina. Ukiweka kando ubora wa mbinu na mafanikio yao, kuna stori nyingine ya kufurahisha kuhusu wawili hao. Stori yao hiyo inaanzia mwaka …

-Yaiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha-Wadau ununuzi wa umma 2,600 wafikiwa mafunzo matumizi ya moduli Na Mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kushughulikia rufaa 58 kati ya rufaa 60 zilizowasilishwa katika mwaka wa fedha 2025/26 na kuzitolea uamuzi kwa wakati na…

WASHINGTON DC, Marekani JULAI 4, 2026, Marekani itasherehekea miaka 250 tangu ilipopata uhuru wake mwaka 1776 kutoka kwa Uingereza. Hata hivyo, ‘birthday’ inakuja wakati Taifa hilo likiwa limegawanyika kutokana na sera za Rais aliyeko madarakani, Donald Trump. Wapo wanaomuunga mkono na wengine kumpinga. Betsy Halsey (…

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi katika sekta ya elimu nchini. Prof. Mkenda amet…

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita zilikuwa na athari kubwa. Akizungumza na wanahabari alipokuwa akihudhuria mkutano wa NATO, Trump amesema: “Tuliwashambulia s…

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI mwanamuziki? Ndiyo. Hiyo ndiyo sura yake ya kwanza iliyomtambulisha Baba Levo mbele ya walio wengi. Achana na maisha binafsi, ambayo ndugu, jamaa na marafiki zake wanaweza kuwa na simulizi yake nyingine. Kwa walio wengi, Clayton Revocatus Chipando aliwahi kuingia na kuishi kwenye orodha y…

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa hadi kufa na mwingine akipewa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya mauaji. Hatua hiyo imefikiwa kufuatia operesheni mbalimbali za kiu…

KINSHASA, DRC WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa mwaka 2014 na 2016. Katika ripoti ya Wizara ya Afya ya DRC, visa 2,536 na vifo 1,033 vimejitokeza tangu maambukizi ya Ebola y’all kuripotiwa Mei 15, 2026. Ni tofa…

MIAMI, Marekani ANAITWA Slavko Vincic, mwamuzi wa kati aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kucheza mechi ya fainali msimu huu wa Kombe la Dunia (2026). Mchezo wa Julai 19, 2026, utakaozikutanisha Argentina na Hispania katika Uwanja wa MetLife nchini Marekani. Vincic (46), anakuwa mwamuzi wa kati wa …

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU Nasreddine Nabi alipoondoka mwaka 2023, kibarua cha benchi la ufundi la Yanga kimekuwa kigumu kwa kila kocha aliyeingia klabuni hapo. Kwa ufupi, makocha sita wameingia na kutoka Jangwani tangu Nabi alipoiachia Yanga mafanikio makubwa ya kufika fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afr…

MIAMI, Argentina ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne iliyopita nchini Qatar. Vijana hao wa Kusini mwa Amerika wanasaka rekodi ya kuwa timu ya pili kutetea ubingwa wa Kombe la Dunia baada ya Brazil kufanya hivyo mwak…

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe. Si tu Ufaransa yake imetinga hatua ya nusu fainali, bali pia ameshafunga mabao nane kati ya 16 ya timu hiyo. Wakati huo huo, nyota huyo wa Real Madrid ameweka […]

OSLO, Norway SHIRIKISHO la Soka la Norway (NFF) limetangaza nia yake ya kumshitaki Rais Donald Trump kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Norway wanapeleka barua yao kwa FIFA wakilalamikia Rais Trump kuingilia adhabu ya kadi nyekundu ya mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Folarin Balogun, wakati …

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya ‘kizazi cha dhahabu’ cha timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji kwenye michuano hiyo. Thibaut Courtois, Romelu Lukaku, Kevin de Bruyne na Axel Witsel ndiyo wachezaji pekee waliokuwa wamebaki kw…

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga SC, wamekamilisha usajili wa winga wa kimataifa kutoka Zambia, Albert Kangwanda, kwa mkataba wa miaka miwili ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Kangwanda (27) ambaye amesaini mkataba usiku wa saa tano, Julai 24, 2026 mbele ya Rais wa …

Na mwandishi wetu, Gazetini NDANI ya muda wake mfupi ndani ya soka la Tanzania, Steve Barker ‘amesepa na kijiji’, akithibitisha kuwa ni kocha wa daraja la juu kwa namna alivyoibadilisha Simba. Katika nusu msimu aliokaa kwenye benchi tangu alipoajiriwa Desemba 19, 2025, raia huyo wa Afrika Kusini amefanikiwa kwenye mam…

RIO, Brazil KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya ugonjwa huo kufikia mwaka 2030. Katika ripoti yake ya hivi karibuni, watu milioni 1.2 walipata maambukizi mwaka 2025, huku wengine 570, 000 wakipoteza maisha. UNAIDS imee…

MIAMI, Marekani HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi ya Afrika Kusini. Msimu huu, chini ya kocha De la Fuente, mabingwa hao wa EURO 2024 walianza safari yao kwa suluhu (0-0) dhidi ya timu mpya kwenye historia …

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa, hasa kwa mapambano na ushindi wake dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini kwake, Afrika Kusini. Umoja wa Mataifa (UN) uliitangaza Julai 18 kuwa maalumu kwa Mandela, ikizin…

MIAMI, Marekani KWA kipindi cha mwezi mmoja wa michuano ya Kombe la Dunia msimu huu wa 2026, Erling Haaland ameongeza wafuasi milioni 29 katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram. Kwamba kwa sasa ana wafuasi zaidi ya milioni 70, akitarajiwa kufikisha milioni 322 kufikia mwishoni mwa mwaka 2026. Wakati huo…

LONDON, Uingereza KOCHA wa Chelsea, Xabi Alonso, amezipotezea taarifa zinazoihusisha klabu hiyo na usajili wa straika wa zamani wa Arsenal, Danny Welbeck. Wakati huo huo, Mhispania huyo ameziita kuwa ni tetesi za usajili taarifa zinazodai kwamba wanamtaka kiungo wa zamani wa Liverpool, Jordan Henderson. Kwa sasa, Welb…

LONDON, Uingereza WAKATI huu Real Madrid ikijaribu kumshawishi Vinicius JR kusaini mkataba mpya, Arsenal wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Brazil. Huu ni mwaka wa mwisho katika mkataba wa Vinicius Jr, hivyo endapo Madrid hawatomuongeza au kumuuza kipindi hiki, ataondoka bure (akiwa m…

LOS ANGELES, Marekani TAARIFA ya Serena Williams kutaka kurejea katika tenesi imeshangaza wapenzi wa tenesi duniani kutokana na umri mkubwa wa staa huyo. Licha ya umri wake wa miaka 44, Serena ameweka wazi kuwa anataka kurudi katika mechi za ushindani kwa kushiriki michuano ya Queen’s Club itakayoanza Juni 8, 2026 mji…

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Christos Tzolis, amekabidhiwa jezi namba 17 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) na michuano mingine. Arsenal imetangaza usajili wa mchezaji huyo baada ya kukamilisha dili la kumng’oa katika kikosi cha Club Brugge ya Ubelgiji. Tzolis mwenye umri wa miaka …

MANCHESTER, Uingereza USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos. Man United imeachana na usajili wa Pauni milioni 35 wa ‘mido’ wa Atalanta ya Serie A baada ya vipimo kuonesha ana changamoto ya majeraha. Santos (23), ametua Old Tr…

LONDON, Uingereza SHIRIKISHO la Soka la Italia (FIGC) limeanza mazungumzo na kocha aliyeondoka Manchester City, Pep Guardiola, likijaribu kumshawishi kuchukua nafasi ya Gennaro Gattuso aliyeondoka kwenye benchi la ufundi la timu ya taifa. Gattuso aliachia ngazi Aprili, 2026, baada ya Italia kufungwa na Bosnia katika m…

BUENOS AIRES, Argentina HIVI unafahamu kuwa marais wa Argentina wamekuwa makini kuhudhuria viwanjani na wengine hubaki nyumbani pindi timu yao ya soka ya Taifa inapocheza mechi muhimu? Ndiyo, kwa utamaduni wa muda mrefu nchini humo, rais anaweza kuipa ‘gundu’ timu ya taifa endapo atakuwa jukwaani. Hii ilianzia wakati …

LONDON, Uingereza MIONGONI mwa nyota wapya waliotua Chelsea majira haya ya kiangazi ni Geovany Quenda, ambaye amekiri kuwa ni shabiki mkubwa wa Cristiano Ronaldo. Quenda alizaliwa barani Afrika katika nchi ya Guinea-Bissau lakini familia yake ilihamia Ureno akiwa na umri wa miaka saba. Ametua Stamford Bridge akitokea …

MILAN, Italia ROBERTO Mancini ameajiriwa na kuikuta timu ya soka ya Taifa ya Italia ikiwa kwenye hali mbaya. Haijafuzu Kombe la Dunia kwa misimu yote mitatu ya hivi karibuni (2018, 2022 na 2026). Mbali na Mancini mwenye umri wa miaka 61, pia Shirikisho la Soka la Italia (FIGC) limemtangaza kocha aliyewahi kuipa Leices…

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache tu baada ya taarifa za Diamond Platnumz kuachana na Zuchu, imeibuka video ya bosi huyo wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) na kuzua taharuki. Iko hivi; Zuchu ndiye aliyekuwa wa kwanza kutangaza mitandaoni kuwa ameachana na Diamond baada ya kipindi kisichozidi cha mwaka mmoja wa…

LONDON, Uingereza STRAIKA wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, ameweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi. Wakati Barcelona wakiwa wanapewa nafasi kubwa, zipo sababu 4 zinazowapa matumaini makubwa mashabiki wa Arsenal. ATLETICO HAITAKI KUWAUZIA BARCA Katika taarifa yake ya hivi karibuni, uo…

LONDON, Uingereza BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine. Chini ya kocha aliyeajiriwa dakika za mwisho na kuiokoa isishuke daraja, Roberto Derbi, Tottenham iko bize kwenye soko la usajili majira haya ya kiang…

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL 2026-27) nao uko njiani. Kama ilivyo kawaida, msimu hutanguliwa na maandalizi (pre-season), ambapo huwa klabu mbalimbali huwa na ratiba za mechi za kujiweka sawa. ARSENAL Agosti 1, 2026: Girona v Arsenal (Uwanja …

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amewaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo, akisema watarajie tena ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Arsenal walimaliza msimu uliopita (2025-26) wakiwa mabingwa baada ya kuizidi pointi saba Manchester City iliyoshika nafasi ya pili. “Lengo langu ni kuhakikisha tunae…

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana wa Gen-Z nchini India yamemlazimisha Waziri wa Elimu, Dharmendra Pradhan, kuachia ngazi. Hatua ya vijana, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, kuingia barabarani ilikuja baada ya Wizara ya Elimu kufuta mitihani kwa kigezo cha maswali kuvuja. Katika ujumbe wao kwa Serikali, vijan…

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Lebanon, Joseph Aoun, alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake nchini Marekani, Donald Trump, mapema wiki hii. Ziara ya Rais Aoun ilikuja wakati huu Lebanon ikiishinikiza Israel kuondosha vikosi vyake vya kijeshi Kusini mwa nchi hiyo. Pia, ni ziara ilikuja katikati ya vita kati …

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imewasilisha ofa yake ya Pauni milioni 85 kwa RB Leipzig wakiitaka saini ya winga wa klabu hiyo ya Bundesliga, Yan Diomande. Hatua hiyo ya Madrid imekuja wakati tayari RB Leipzig ikiwa imekataa ofa kama hiyo kutoka kwa Liverpool. Kwa upande mwingine, PSG haijapeleka ofa rasmi laki…

CARACAS, Venezuela SIKU chache zilizopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela, Felix Plasencia, alitangaza uamuzi wa nchi hiyo kuondosha uanachama wake katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kwa mujibu wa Plasencia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X, zamani ukifahamika kwa jina la Twitter, hatua …

RIYADH, Saudi Arabia BONDIA wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, amempiga kwa KO ya raundi ya pili Kristian Prenga, pambano lililopigwa mjini Jeddah, Saudi Arabia, usiku wa jana Julai 25, 2026. Hayo ni maandalizi ya Joshua kumvaa mpinzani wake mkubwa, Tyson Fury, katika pambano linalotarajiwa kupigwa kabla ya mwa…

LONDON, Uingereza ARSENAL hawajarudi nyuma katika mpango wao wa kumsajili nahodha wa kikosi cha Newcastle United, Bruno Guimaraes. Taarifa zinaeleza kuwa Washika Bunduki wako kwenye meza ya mazungumzo na mabosi wa Newcastle, wakijaribu kuishawishi imwachie Mbrazil huyo. Arsenal walishaweka mezani ofa yao ya Pauni mili…

Na mwandishi wetu, Gazetini BAO la kisigino! Ndivyo unavyoweza kuita baada ya Simba kumtambulisha winga wa kimataifa wa Afrika Kusini, Keletso Makgalwa. Nyota huyo aliyecheza Sekhukhune United msimu uliopita, alikuwa kwenye rada za mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kabla ya Simba kukatiza mbele na kupita naye. Keletso…

Na mwandishi wetu, Gazetini WADAU wa mchezo wa uogeleaji Tanzania wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kiwango cha kimataifa kupitia programu ya wiki tatu iliyolenga kukuza vipaji vya waogeleaji vijana, kuimarisha uwezo wa makocha wa wazawa, pamoja na kuwaelimisha wazazi kuhusu namna bora ya kuwaunga mkono wanamichezo…

PARIS, Ufaransa KOCHA wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane, amesaini mkataba wa kuliongoza benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa. Zidane anatua kwenye benchi kuchukua nafasi ya Didier Deschamps aliyeachia ngazi baada ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Deschamps alisimamia mechi yake ya mwi…

Na Hassan Mwasha KATIKATI ya ushindani wa Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Scottland FC na Pyramids, Yanga imeweza kumnyakua straika aliyeondoka Mamelodi Sundowns, Peter Shalulile. Yanga wameishitua Tanzania kwa usajili wa straika huyo, ikielezwa kuwa wametumia Dola za Marekani 700,000 (zaidi ya Sh bil. 1.8 za Tanzania…

Na Faraja Mulungu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuwa ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma umefikia asilimia 94, hatua inayokaribisha kukamilika kwa miundombinu muhimu itakayobeba umeme unaozalishwa na Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu…

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis ‘Keffe D’ yawasilishwe kama ushahidi wakati kesi hiyo itakaposikilizwa tena. ‘Keffe D’ (63), anashitakiwa kwa kumuua Tupac katika tukio la kummiminia risasi jijini Las Vegas mwaka 1996 na e…

CAIRO, Misri BAADA ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia, sasa macho na masikio ya mashabiki ya wapenzi wa soka yataelekezwa katika michuano ya WAFCON 2026. Tofauti na AFCON, WAFCON hushirikisha timu za wanawake kutoka mataifa mbalimbali na msimu huu mashindano hayo yatafanyika nchini Morocco. . Safari hii, timu…

KAMPALA, Uganda NDOTO kubwa aliyonayo Aziz Abdul, ambaye ni mjukuu wa Rais wa zamani wa Uganda, Idi Amin, ni kuiteka dunia kupitia mchezo wa ngumi. Anapigana uzito wa juu. Aziz alikuwa ukingoni jana Julai 29, 2026 mjini Glasgow, Scotland, ambapo alimvaa Damar Thomas wa Uingereza katika pambano la michuano ya Jumuhiya …

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City inakazania mpango wa kumsajili mshambuliaji anayetaka kuondoka PSG, Ibrahim Mbaye. Kwa sasa, taarifa zinaeleza kuwa Man City imeanza mazungumzo na wakala wa mchezaji huyo, Jorge Mendes. Baada ya kiwango kizuri msimu uliopita, Msenegal huyo mwenye umri wa miaka 18 ana tham…

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuendelea kudai kupatikana kwa Katiba mpya yenye maridhiano ya kitaifa, akisema ndiyo msingi wa kuimarisha haki za binadamu, utawala bora na demokrasia nchini. Akizungumza wakati wa kufungua Mkutan…

NYON, Uswis MAMBO hayuko vizuri kwa Rais Gianni Infantino. Ameachana na mpango wake wa kuuza hisa za michuano ya FIFA, ikiwamo Kombe la Dunia, baada ya kukosolewa vikali. Kwa mtazamo wa wachambuzi wengi wa mchezo wa soka, ni mpango uliomchafua na hata kuiweka pabaya nafasi yake ya kushinda Uchaguzi ujao wa Machi, 2027…

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameibuka mshindi tena dhidi ya Jamhuri katika hatua nyingine ya kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi ya upande wa mashtaka yaliyolenga kuruhusiwa kuwasilisha ushahidi wa nyonge…

Na Faraja Mulungu, Gazetini WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zote zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha Pamoja cha Oparesheni kupeleka wawakilishi wake ili kituo hicho kianze kufanya kazi mara moja, akisema hatua hiyo ni muhimu katika kuimarisha …

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imekamata dhahabu yenye uzito wa gramu 4,402.20 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.2 katika eneo la Kiluvya, Mkoa wa Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya operesheni zinazoendelea za kudhibiti utoroshaji wa madini na kulinda mapato ya taifa. Akizungumza na waa…

Na Malima Lubasha, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Angelina Lubela, amezindua Jukwaa la Vijana (Youth Platform) ikiwa ni hatua ya kuimarisha ushiriki wa vijana katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Lubela alitoa wito huo wakati akizindua jukwaa hilo jana katika Ukumbi wa Chuo cha Ukunga na Uuguzi …

LONDON, Uingereza LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Angel Di Maria, amemtaka Lionel Messi kuachana na wazo la kutundika daluga. Di Maria amekuja na ushauri huo zikiwa ni siku chache tu zimepita tangu Messi na Argentina walipopoteza Kombe la Dunia kwa kufungwa na Hispania katika mechi ya fainali. Tangu k…

2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania Africa’s agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new era of growth and this September, the industry’s biggest players will gather under one roof in Dar es Salaam. The 10th Africa Agri Expo (AAE 2026), held …

NYON, Uswis MKONGWE wa Arsenal, Arsene Wenger, amekana kuhusika katika uliokuwa mpango wa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, kuuza hisa za michuano yote ya Taasisi hiyo, ikiwamo Kombe la Dunia. Infantino alilazimika kuachana na mpango huo baada ya kukosolewa vikali na wadau wa FIFA, liki…

CATALUNYA, Hispania NI ushauri wa mkongwe Andres Iniesta, akiitaka klabu yake ya zamani ya Barcelona kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen. Kwa mujibu wa Iniesta, nyota huyo wa kimataifa wa Nigeria ni mtu sahihi wa kuvaa viatu vya Robert Lewandowski aliyeondoka Camp Nou na kutua Chicago Fire ya Marekani. Wa…

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu kujiunga na Kidato cha Tano, lakini akawa ameozeshwa kabla ya kuanza masomo. Operesheni hiyo ilifanyika usiku wa kuamkia Julai 29, 2026 katika K…

MERSEYSIDE, Uingereza WAKALA wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa, ameibuka na kukanusha taarifa zinazodai kuwa mshambuliaji huyo amekubali kujiunga na Besiktas ya Ligi Kuu nchini Uturuki. Abbas Issa amesema si kweli na mpaka sasa hakuna mwafaka waliofikia juu ya klabu atakayocheza Salah msimu ujao. Kupitia ukurasa wake …

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali ili kuwawezesha vijana kuwa wabunifu, wavumbuzi na wazalishaji wa suluhisho, badala ya kubaki watumiaji wa teknolojia zinazobuniwa na wengine. Akizindua Mkuta…

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta ya petroli, zinapatikana nchini kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Mwanasheria wa PBPA, Khadija Zuberi, amesema hayo wakati akitoa…

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (TNCM) imeidhinisha rasmi ombi la Tanzania la ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko wa Dunia (Global Fund Grant Cycle 8 – GC8) lenye thamani ya dola za Marekani milioni 538.6 (takribani Sh trilioni 1.5), kwa …

Na Hassan Mwasha MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara utaanzia Agosti 14, 2026. Ni msimu wa 2026-27, ambao utakuja na sura mpya kabisa katika historia ya soka la Tanzania. Kwa mara ya kwanza, michuano hiyo ya ndani itashuhudia matumizi ya teknolojia ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) ikitumika. Je, maboresho hayo …
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

Maresca kuchagua nahodha mpya Man City

Jembe jipya Arsenal lachimba mkwara

‘180 bure’ ilivyobadili sura ya Kitengo cha Miito ya Simu TANESCO

Paul Biya: Rais aliyewaacha njiapanda wananchi Cameroon
YOUNDE, Cameroon HAJAONEKANA hadharani kwa miezi miwili sasa na wananchi wa Cameroon wanahoji; itachukua muda gani Rais Paul Biya kurudi nchini akitokea mjini G

Miaka minne baada ya mapinduzi, Traore amefanikiwa?

Kampuni za mafuta zinazonufaika vita vya Iran, Marekani

FIFA yalaani mpango wa kumng’oa Infantino

MO Dewji: Simba ni kubwa kuliko changamoto tunazopitia

Baba wa Lionel Messi, Jorge Messi, afariki dunia akiwa na miaka 68

UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA
Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo y

Rais Samia azindua tume ya uchunguzi wa ghasia za uchaguzi 2025

TARURA yatajwa miongoni mwa taasisi bora za miundombinu Afrika

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

Heche: Bila kujitoa hata Lissu atakata tamaa

Prof. Kabudi ahimiza amani Kilosa, atangaza mikakati kuimarisha kilimo

Awamu ya I uvutaji nyaya Chalinze-Dodoma yakamilika

Rais Samia: Vijana wa Afrika wasiwe watumiaji wa teknolojia pekee
Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Netanyahu kurejesha uhusiano wake na Marekani?
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
Retention: 70% repeat business.
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.