
Gundua
647 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Gazetini chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola

Featured
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku ikiweka mkazo katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato hayo ili kuharakisha maendeleo ya taifa. Ak…

Featured
Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…
MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua kigumu mbele ya vigogo wa soka la Afrika, Morocco. Uholanzi imetinga 32 Bora ikiwa imemaliza kileleni mwa Kundi F baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Tunisia. Kwa upande […]

Featured
Canada Kuwa na Kibarua Kigumu Dhidi…
TORONTO, Canada HAKUNA mbabe. Ni dakika 90 za mchezo wa Kundi B uliochezwa Juni 12, 2026, ambapo wenyeji wa michuano ya mwaka huu ya Kombe la Dunia, Canada, wametoka sare ya bao 1-1 na Bosnia. Bosnia walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 21 kupitia kwa Jovo Lukic aliyeunganisha kwa kichwa mpira wa kona, kabla […]

Featured
Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAI…
TORONTO, Canada KIUNGO Thomas Partey atakosekana wakati timu ya Taifa ya Ghana itakapocheza mechi ya kwanza ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni baada ya mamlaka za Canada, moja ya wenyeji watatu wa michuano hiyo, kumnyima kibali cha kuingia nchini humo. Hatua hiyo imetokana na kesi tano za ubakaji zinazomkabili nyota h…

Bungeni
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imepanga kuondoa matumizi ya vocha za kukwangua za muda wa maongezi katika maeneo ya mijini kuanzia Julai 1, 2026, hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika sekta ya mawasiliano na huduma za kifedha. hayo yamebainishwa na Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Oma…

Michezo
Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…
SEOUL, Korea Kusini MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 – Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano hiyo, hawa ndiyo wachezaji 26 walioitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Korea ya Kusini. Makipa: Hyeon-Woo Jo (Ulsan), Seung-Gyu Kim (FC Tokyo), na Bu…

Featured
Saudi Arabia vs Uruguay Kombe la Du…
Berlin, Ujerumani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 – Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano hiyo, hawa ndiyo wachezaji 26 walioitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Ujerumani. Makipa: Oliver Baumann (Hoffenheim), Manuel Neuer (Bayern Munich), na…

Featured
Ghana vs Panama FIFA Kombe la Dunia…
BAGHDAD, Iraq MOJA ya vivutio vya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza Juni 11, 2026 ni uwepo wa timu ya soka ya Taifa ya Iraq iliyofuzu kwa kuifunga Bolivia. Hii inakuwa mara ya pili kwao kushiriki baada ya mwaka 1986. Katika mashindano hayo, Iraq iliishia hatua ya makundi kwa kupoteza mechi zote […]

Featured
Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco
MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika mchezo wa Jumatano ya wiki ijayo. Neymar anayekipiga Santos ya Ligi Kuu ya Brazil, alikosekana katika mechi zote mbili za awali msimu huu wa Kombe la Dun…

Featured
Jeshi la magereza lashiriki maadhim…
Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo vya usafiri, akisema kuwa Tanesco imejipanga kujenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima. Mkurugenzi huyo amesema hayo Juni 19, 2026, …

Featured
TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…
Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika kwa miradi ya kuimarisha mfumo wa usambazaji wa umeme iliyotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa gharama ya zaidi ya Sh bilioni 10.5…

Featured
Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viun…
LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya msimu ujao, 2026-27. Kujipanga huko ni pamoja na kutumia usajili wa dirisha kubwa majira haya ya kiangazi ili kuimarisha vikosi vyao. ELLIOT ANDERSON (MAN UNITED) Kla…

Featured
Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…
LOS ANGELES, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Marekani imeanza na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay katika mechi ya Kundi D msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Wakati huo huo, bao la dakika ya saba walilopata Marekani ni la mapema zaidi kwa timu mwenyeji tangu Ujerumani ilipofunga mwaka 2006. Mechi […]

Featured
Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…
TEHRAN, Iran Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya jeshi la Marekani kushambulia meli ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi, huku Washington ikitangaza kurejesha kizuizi cha meli zinazoingia na kutoka katika bandari za Iran. Kwa mujibu wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani (CENTCOM), meli hiyo ya mafu…

Featured
Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…
Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) imechukua hatua mpya za kuimarisha utayari wa jamii kukabiliana na mafuriko katika Jiji la Dar es Salaam kwa kuthibitisha mipango ya kujiandaa na kukabiliana na maafa katika kata tano z…

Featured
Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…
MIAMI, Marekani AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia, matokeo yaliyowapeleka hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia. Huyo si Cristiano Ronaldo wala Bruno Fernandes, bali ni Goncalo Ramos, akifanya hi…

AFYA
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kifo cha ofisa huyo kimethibitishwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini,…

AFYA
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua inayoimarisha nafasi ya Tanzania kama kitovu cha huduma za kibingwa na ubingw…

Featured
Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…
MIAMI, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, Julai 19, 2026, nyasi za Uwanja wa MetLife nchini Marekani zitawaka moto kwa mchezo wa fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Argentina dhidi ya Hispania. Ni fainali ya wababe tupu. Argentina ni bingwa mtetezi wa Kombe la Dunia na Copa America, wakati Hispania wanashikilia taji l…

Featured
Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…
Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

Featured
Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia…
MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

Featured
Prediction Afrika Kusini vs Canada …
MIAMI, Marekani MECHI za hatua ya 32 Bora msimu huu wa Kombe la Dunia zitaanza kuchezwa usiku wa leo Juni 28, 2026. Colombia baada ya kulazimisha suluhu dhidi ya Ureno, imetinga hatua hiyo ikitokea Kundi K. DRC nayo imeingia baada ya ushindi wake dhidi ya Uzbekistan, kama ilivyo kwa Croatia iliyoifunga Ghana mabao 2-1…

Featured
TRA, JKT wana vita yao wenyewe Ligi…
Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa Ligi Kuu Bara. Kwa sasa, Yanga iko kileleni mwa msimamo lakini imekusanya pointi 72, wakati Simba wao wana pointi 70, huku kila timu ikiwa imebakiza mechi moja ba…

Bussiness
Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…
Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), akijionea huduma mbalimbali za kisasa na suluhisho za kidijitali zinazotolewa kwa Watanzania. Katika ziara hiyo iliyofanyik…

Featured
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…
WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano mkubwa katika hatua za sasa za majadiliano, huku akionya kuwa Washington iko tayari kuchukua hatua nyingine endapo makubaliano hayatatekele…

Featured
Prediction Paraguay vs Australia FI…
MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata ya 16 Bora. Canada chini ya ocha Jesse Marsch, walivuka hatua iliyopita (32 Bora) kwa kuitoa timu nyingine ya Afrika, Afrika Kusini. Bao pekee la mchezo hu…

AFYA
‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…
Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo majengo ya Mahakama kwa mujibu wa Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Sura Na. 297, …

Afcon
Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …
Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027 yanapaswa kuangaliwa zaidi ya mpira wa miguu, akieleza kuwa ni fursa ya kipekee ya kuitangaza Tanzania kimataifa, kukuza utalii, …

Featured
Yanga Yatwaa Ubingwa wa 32 Ligi Kuu…
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo. Amerudi nyumbani. Kwamba nyota huyo amehitimisha safari ya miaka sita ya kucheza Ligi Kuu Bara, tangu aliposajiliwa na Azam mwaka 2020 akitokea Highlanders…

Featured
Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kusis…
MIAMI, Ujerumani NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora. Ni kwa msimu wa tatu mfululizo, Ujerumani imeshindwa kuingia hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Mara yao ya mwisho kuvuka hatua ya …

Featured
Prediction Argentina vs Misri FIFA …
MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

Featured
Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…
TEHRAN, Iran TANGU Iran ilipomzika Ayatollah Ali Khamenei siku chache zilizopita, mamlaka za nchi hiyo zimeahidi kulipiza kisasi kwa wahusika wa mauaji ya kiongozi wao huyo. Mtoto wake, Mojtaba Khamenei, ambaye ndiye kiongozi aliyechukua nafasi ya baba yake, alisema: “Tunaapa kulipiza kisasi kwa ajili ya damu yako saf…

Featured
Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…
MIAMI, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Ni katika mchezo wa hatua ya 32 Bora, ambapo bao pekee la Ufaransa lilifungwa na Kylian Mbappe kwa mkwaju wa penalti. Kwa matokeo hayo, Ufaransa sasa itakwaana na vigogo wa […]

Featured
Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe…
BOSTON, Marekani NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Wakati timu kama Cape Verde, Jordan na Uzbekistan zikifurahia kushiriki tu, zipo zilizokuwa na matumaini ya kufanya vizuri lakini zili…

Uncategorized
Waandishi wa habari wananufaika na …
Na mwandishi wetu, Gazetini Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanzisha utaratibu wa kutoa ithibati ya uanachama wa maisha kwa waandishi wa habari waliokuwa na umri wa miaka 50 au zaidi mwaka 2016, hatua inayolenga kutambua mchango wa wanahabari wakongwe waliotumikia taaluma hiyo kwa muda mrefu na wanaoki…

Featured
Marekani Yaitaka Iran Kufungua Horm…
TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta, kama ilivyo wakati ule Iran ilipoifunga njia hiyo inayotumika kusafirisha asilimia 20 ya mafuta na gesi duniani. Tangazo la Iran linaku…

DIRA
Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…
Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo na kutumia fursa zinazotengenezwa kupitia mipango ya maendeleo ya Serikali. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya Mipango, Alpha Temu, ameiambia Gazeti…

Featured
Prediction Ufaransa vs Hispania FIF…
MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa mara ya kwanza na ‘Three Lions’ katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Argentina ya Messi imeingia nusu fainali baada ya ushindi wake …

Africa
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
Na Hassan Mwasha, Gazetini BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka Mpya wa Fedha 2026-27 Bungeni mjini Dodoma iliyowasilishwa Ijumaa Mei 15, 2026 na Waziri wa wizara hiyo, Dk. Ashatu Kijaji, Mei 15, 2026, amewasilisha Katika hotuba y…

Featured
Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…
TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi itachezwa Julai 14, 2026 mjini Texas. Ufaransa ‘Les Bleus’ ni mabingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2018, wakati Hispania ni mabingwa wa fainali za EURO za mwaka 2024. Patamu hapo! […]

Featured
GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …
-Yaiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha-Wadau ununuzi wa umma 2,600 wafikiwa mafunzo matumizi ya moduli Na Mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kushughulikia rufaa 58 kati ya rufaa 60 zilizowasilishwa katika mwaka wa fedha 2025/26 na kuzitolea uamuzi kwa wakati na…

Featured
Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …
WASHINGTON DC, Marekani JULAI 4, 2026, Marekani itasherehekea miaka 250 tangu ilipopata uhuru wake mwaka 1776 kutoka kwa Uingereza. Hata hivyo, ‘birthday’ inakuja wakati Taifa hilo likiwa limegawanyika kutokana na sera za Rais aliyeko madarakani, Donald Trump. Wapo wanaomuunga mkono na wengine kumpinga. Betsy Halsey (…

Elimu
Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi katika sekta ya elimu nchini. Prof. Mkenda amet…

Featured
Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataj…
WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita zilikuwa na athari kubwa. Akizungumza na wanahabari alipokuwa akihudhuria mkutano wa NATO, Trump amesema: “Tuliwashambulia s…

Bungeni
Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …
Na Hassan Mwasha, Gazetini NI mwanamuziki? Ndiyo. Hiyo ndiyo sura yake ya kwanza iliyomtambulisha Baba Levo mbele ya walio wengi. Achana na maisha binafsi, ambayo ndugu, jamaa na marafiki zake wanaweza kuwa na simulizi yake nyingine. Kwa walio wengi, Clayton Revocatus Chipando aliwahi kuingia na kuishi kwenye orodha y…

Featured
Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa hadi kufa na mwingine akipewa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya mauaji. Hatua hiyo imefikiwa kufuatia operesheni mbalimbali za kiu…

AFYA
Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…
KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11, 2026, safari hii ikifunga katika mataifa matatu ya Marekani, Mexico na Canada. Kufikia Juni 4, 2…

Featured
Mchezo wa ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia 2026 utafanyika Mexico, wenyeji wakivaana na Afrika Kusini.
Kutoka 11 Jun 2026 · Hadi 19 Jul 2026
Habari nyingine
FAN PULSE • LIVE
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda
Unaenda!!
Asante — umetujulisha.
Utakuja AFCON 2027?

DIRA
Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Elimu
BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

AFYA
Kakurwa: OSHA ni taasisi muhimu katika kuchochea maendeleo ya Taifa

Featured
Hezbollah waionya Serikali ya Lebanon
BEIRUT, Lebanon KUNDI linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah limeionya Serikali ya Lebanon, likisema inaipeleka pabaya nchi hiyo ya Mashariki ya Kati. Mbunge mwa

Featured
Rais Trump ailipua China kisa Uchaguzi 2020

Featured
Guardiola humwambii kitu kwa Neymar

Featured
Zidane apigiwa chapuo kuinoa Ufaransa

Africa
Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule

Burudani
‘Usikimbilie kuoa kama huna pesa’

Burudani
Davido afichua kuhusu watoto wake

Burudani
Video ya Diamond yazua gumzo hatima ya Zuchu
Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache tu baada ya taarifa za Diamond Platnumz kuachana na Zuchu, imeibuka video ya bosi huyo wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (W

Featured
Mwandishi mkongwe zaidi Kombe la Dunia 2026

Featured
England ya makocha 15 ‘haijatoboa’ Kombe la Dunia

Featured
Iran inatishia au italipiza kisasi kifo cha Khamenei?

Featured
Argentina v Hispania: Messi dhidi ya kivuli cha Yamal

Featured
Mkeka wa ratiba Ligi Kuu ya England 2026-27

Featured
Waziri aagiza uchunguzi vurugu za uchaguzi

Featured
Polisi Kilimanjaro wakamata watuhumiwa 188, mmoja ahukumiwa kifo
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmo

Featured
Marekani yashambulia tena meli ya mafuta

AFYA
Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.