
Gundua
1878 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na Full Shangwe Blog chini (pamoja na mengine ya Gundua).


Meneja wa EWURA Kanda ya Ziwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya Nanenane Nyamhongoro Jijini Mwanza ikiwa imesalia siku moja maonesho hayo…

Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…

Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayotumika…

Timu ya Taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa Kundi A uliochezwa nchini Mexico.…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetambulisha rasmi mfumo mpya wa kufunga nyaya za umeme majumbani utakaowezesha wateja kufuatilia matumizi ya umeme kupitia simu ya…

NA DENIS MLOWE,IRINGA WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema serikali imejipanga kuhakikisha michezo na sanaa zinaendelea kupewa nafasi kubwa katika…

Afisa Mwandamizi wa Idara ya Usimamizi wa Sera za Ununuzi wa Umma, Wizara ya Fedha, Bi. Anne Swila, akitoa elimu kwa wananchi kuhusu Sera…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameizindua Shule ya Msingi Kasoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara na kuipongeza halmashauri hiyo kwa kusimamia…

NA DENIS MLOWE, IRINGA KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka wananchi…

TAARIFA ILIYOTUFIKIA MUDA HUU

Na Victor Masangu, Pwani Hatimaye Chama cha wafanyakazi wa serikali na afya (TUGHE) Mkoa wa Pwani kimefanya uchaguzi wake mkuu na kuweza kumchangua kwa…

NA DENIS MLOWE, IRINGA. MKOA wa Iringa umeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka…

Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Balozi Stephen Mbundi akizungumza kwenye hafla hiyo jijini Arusha . ……… Na Happy Lazaro,Arusha . SERIKALI ya Ujerumani imeendelea…

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam SERIKALI imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha Watu Wenye Ulemavu wanapata nafasi sawa katika nyanja zote za…

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza na baadhi ya watumishi wa kituo kipya cha afya Langiro baada ya kukagua…

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha…

Morocco imeanza Fainali za Kombe la Dunia kibabe baada ya kuikalia kooni Brazil,ikilazimisha sare ya bao 1-1. Mara ya mwisho kwa Brazil kuanza kwa…

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amelipongeza Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA…

Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb), akiipongeza Benki ya NMB katika kuisaidia Serikali kupitia ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa huduma…

Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amezindua Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja…

Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Hispania imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Cape Verde…

Na Mwandishi wetu, Mwanza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imetoa hukumu katika shauri la jinai Na. ECC 13121/2026 linalowakabili viongozi wa Chama…

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Juni 6, 2026 Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo…

Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga…

Jamhuri ya Slovakia imeandika ukurasa mpya katika uhusiano wake na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuzindua rasmi Ofisi ya Ubalozi wake jijini…

Na Victor Masangu, Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya ya Wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amekemea vikali baadhi viongozi wa CCM wakiwemo madiwani na wabunge…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa harakati za ukombozi wa Namibia…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,…

Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na…

Na, Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali ambayo yamekuwa…

Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

DURBAN – AFRIKA KUSINI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa…

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (kulia), na Mkurugenzi wa Biashara na Uendeshaji wa Mantrac Kanda ya Afrika Mashariki,…

Na Sophia Kingimali. Chuo cha Ufundi cha Furaika Education College kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kimezindua mpango maalum wa kutoa…

Na Oscar Assenga,TANGA SERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma…

NA MWANDISHI WETU, NOEL RUKANUGA Katika michuano ya Kombe la Dunia 2026, huenda hakuna kundi lililoibua mvuto mkubwa kama Kundi C. Baada ya kila…

*Barabara ni kichocheo muhimu cha maendeleo Dodoma Naibu Katibu Mkuu OWM-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila amewataka viongozi wa Wakala ya Barabara za Vijijini…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameondoka nchini baada ya kukamilisha Ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini iliyofanyika kuanzia tarehe…

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili Segerea Jijini Dar es salaam, nyumbani…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya…

Na Hassan Kimweri, WAF – Tabora Jumla ya macho 996 yamefanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa 823 wanaotarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi…

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imehitimisha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa kuendelea kutoa huduma mbalimbali za kisheria kwa wananchi waliotembelea…

Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira…

📌 Kamera Kufungwa Kudhibiti Uharibifu Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha…

Na. Fullshangwe Blog, Dodoma Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Gelasius Byakanwa, amesema kuwa amefurahishwa na mafanikio ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) katika…

Na Hassan Kimweri, WAF – Kagera Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amewataka watumishi wa afya nchini kuwa makini zaidi katika kipindi hiki…

Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…

▪️Aipongeza Wizara ya Habari Maandalizi AFCON 2027. Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, ameipongeza Ofisi ya…

DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…

RAIS WA ZANZIBAR DKT. HUSSEIN MWINYI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI INDIA

Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC imerejesha kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa viwanda, sekta binafsi pamoja na…

Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Austria katika mchezo wake wa pili wa hatua ya makundi…

𝐉𝐔𝐍𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…

Na John Walter -Mbulu Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara imeupokea rasmi Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 katika Kata ya Gehandu, ukitokea Halmashauri ya Mji…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kilele cha Shindano la Vijana Uchumi Challenge kwenye Kituo cha Mikutano…

Maafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar…

Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa…

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amesema shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati itakayoongeza…

Wawakilishi wa Afrika katika Kombe la Dunia 2026, Ivory Coast, wameaga mashindano baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika hatua ya 32 bora.…

Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za…

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi…

Na Mwandishi Wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioamini kuwa uhuru wa Tanzania usingekuwa na maana ikiwa mataifa mengine…

Na Jackline Minja, WMJJWM – Kakonko Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wananchi wa…

NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa vijiji vya Mwambao, Welu, Lupalama na Kibebe katika Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wamemweleza Mbunge wao, Jackson…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…

• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya…

ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwasilikiliza watumishi wa Mamlaka ya Rufani alipotembelea banda la PPAA kwenye kwenye Maonesho ya 50…

Na. Mwandishi Wetu – Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mhandisi Felchesmi Mramba (wa kwanza kulia) akisaini kitabu Cha wageni leo, Julai 13, 2026,…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makakazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akiakabidhi hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Misungwi mkoani Mwanza…

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amesema kuwa hesabu za awali…

Katibu Mkuu wa Taasisi ya Twariqa, Sheikh Haruna Husein akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya taasisi hiyo jijini Arusha Julai 13,…

📌Ulega atoa hakikisho la Utekelezaji wa mradi huo Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Makamu wa Rais Mwandamizi wa Kampuni ya Alstom, Philippe Delleur katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye hotel ya Intercontinental jijini…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 27 Juni, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo ya mwaka mmoja ya Kozi…

Na Happy Lazaro, Arusha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa tathmini ya utendaji kwa mwaka wa fedha 2025/2026 mkoani…

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa onyo kwa wamiliki wa vyombo vya habari, waandishi…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha…

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Argentina imeendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipofunga Maadhimisho ya Tano ya Wiki ya Kiswahili Duniani kwenye ukumbi wa Makao Mkuu ya Shirika la Umoja wa…

Na Mwandishi wa OTR Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika…

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imeibuka mshindi wa People Category Award katika Tuzo za Business SDG…

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) katika Maonesho…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma za Next Generation Sequencing (NGS), hatua inayofungua enzi…

Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Morocco mabao 2-0 katika mchezo…

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema kuna watu wamejipanga kuhakikisha makubaliano yaliyofikiwa kati ya chama chake na Chama Cha…

Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Nyanda za Juu Suzan Magani kushoto, akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Veta Songea fani ya umeme wa…

Mkuu wa Idara ya Fedha na Uhasibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Deo Fazah akipokea zawadi alipotembelea banda la TET ndani ya Maonesho…

Na Happy Lazaro, Arusha . Vijana nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kukaa vijiweni na badala yake kujiunga katika vikundi, kuanzisha miradi yenye tija…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Tarehe 11 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…

📍Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana…

Waandishi wa Habari wa redio ya vijana Bongo FM wameishukuru Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kuwajengea uwezo na kuwakumbusha masuala…

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Rajabu Abdulrahman akizungumza kwenye kikao hicho jijini…

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi Gwakisa Bapala wakati akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika…

Na. Mwandishi Wetu, Dar. MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mitaala…

Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuongoza orodha ya wafungaji bora katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufikisha…

Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Nishati, Bw. Petro Lyatuu akizungumza katika Kongamano la Siku ya Nishati (Energy Day) lililofanyika wakati wa…

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB), Frank Nyabundege, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 30, 2026, katika…

Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa…

Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…

Happy Lazaro,Arusha . Arusha .MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kukamata watuhumiwa 550 wa makosa mbalimbali…

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa uhifadhi anayesimamia huduma za Utalii na Masoko, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mariam Chuma Kobelo, ametunukiwa tuzo ya _Iconic Woman…

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, *Mhe. Godfrey Mnzava*, amezindua rasmi mitambo miwili ya ukarabati wa barabara yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600,…

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB) (wa pili kushoto), akiwa katika mkutano wa kimkakati jijini London Uingereza na maafisa wakuu wa…

Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Serikali imeweka bayana kuwa mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa mchango wa…

Na Jeremia Mwakyoma na Jeremiah Mbwambo Picha na Gladys Lukindo DODOMA – JULAI 10, 2026 Kliniki ya Wateja Maalumu, wa Kimataifa na uchunguzi wa…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akiwa katika katika Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Shirika la…

Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu…

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 15, 2026

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiielekeza Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma…

Geneva, Julai 2026 Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa miliki bunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umetembelea na kukagua mradi wa maji wa thamani ya shilingi bilioni 4.3 utakaonufaisha watu 57000 wa Tarafa…

Na Jackline Minja, Kigoma Serikali imeendelea kuweka mazingira bora ya kuishi kwa wazee nchini kupitia uboreshaji wa Sera, huduma za afya na ukarabati wa…

Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na…

Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Gas Tanzania Benoite Araman(kulia) Meneja miradi nishati safi ya kupikia Jennifer Mosha, Skauti Mkuu Tanzania Rashid Mchata(wa pili kushoto) pamoja…

Wananchi wa Kata ya Mambamiamba, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, leo Julai 30, 2026, wamejengewa uelewa kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia wakati…

Mawaziri wanaosimamia sekta za Uchukuzi, Mawasiliano na Hali ya Hewa kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameazimia kuongeza kasi ya utekelezaji…

* Mhandisi Samaje azindua Ukumbi wa Mikutano wa Prof. Abdulkarim Mruma * Watumishi GST watakiwa kuzingatia maadili, ubunifu na utoaji wa huduma bora Dodoma…

Mkutano wa 28 wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa leo…

Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business wa kampuni hiyo Nguvu Kamando (kulia), pamoja na…

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Maji safi na salama ni hitaji muhimu la wananchi waishio mijini na vijijini. Serikali inalo jukumu la kuhakikisha wananchi wake…

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema unapotafakariwa mustakabali wa utoaji huduma za afya nchini, hakuna…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone”…

NA DENIS MLOWE,IRINGA MKUU.wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwa mara ya kwanza ndani ya Mkoa wa Iringa yanalenga…

Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejeshaji wa hekta milioni 3.3 za…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria…

Na Oscar Assenga, Tanga Operesheni zilizoendeshwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kwa kipindi cha Juni 1 hadi Julai 16, 2026 zimewezesha…

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kulia), Mkuu wa Idara ya Biashara NMB, Deogratias Shirima (kushoto) wakifurahia…

Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026* Tunayo…

Mbunge wa Arusha ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya…

Asema umoja, ushirikiano, upendo na uelewa wa pamoja utatimiza adhma ya Serikali na maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Na Mwandishi Maalumu Arusha Katibu…

Arusha 9 Juni, 2026 Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Omary Mchengerwa, ameitaka Bodi mpya ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mt. Meru…

Mhadhiri Msaidizi wa Shule ya Uuguzi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Hamza Lilenga, akionesha namna ya kutatua tatizo la kupumua…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Kigoma baada ya kuzindua meli 4 za mizigo na…

Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa SACP Shadrack Masija wakati akizungumza na wananchi wa Korongwe Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa. Baadhi ya wananchi walioshiriki katika…

Na Mwandishi Wetu Julai 25, 2026, dunia itaadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwa Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo vya Kuzama Maji Duniani, ikiwa…

Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa…

Bendi ya muziki ya Tongolanga iliwahi kuimba “kila munu ave na kwao ”ikimaanisha kila mtu awe na kwao, ujumbe kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa ndani ya basi jipya la umeme (ZAN BUS). Pichani…

Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 watakaonufaika na mpango wa Samia Scholarship, ambapo…

Honoured to chair the 9th Meeting of the African Group of World Heritage Committee Members in Dakar, Senegal, bringing together delegates from Senegal, Angola,…

Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma WAZIRI wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameipa mwelekeo mpya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za…

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kukuza uchumi wa viwanda na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo,…

Wananchi wa Kata ya Mbuyuni, Wilaya na Mkoa wa Songwe, wametakiwa kujihepusha na matukio ya mauaji katika jamii na kutakiwa kuachana na tabia zinazochochea…

▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka Watanzania kuanza ujenzi wa…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya laiomba jamii kusaidia malezi na makuzi ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata mahitaji…

…………… KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, akiwa ameambatana na wajumbe wengine wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, amepokelewa…

NA MWANAMICHEZO WETU, NOEL RUKANUGA Simba SC imeendeleza ubabe wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya leo, Jumatano, Juni 17, 2026, kuichapa Mbeya…

Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kimetajwa kuwa kinara katika mafunzo ya anga ndani na nje ya Tanzania katika…

*Serikali kuendelea kuboresha miundombinu wezeshi Mkoani Dodoma. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika…

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro Abdul-Razaq Badru ameuambia mkutano wa 48 wa kamati ya Urithi wa Dunia kuwa…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikabidhiwa nyenzo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo…

Na Mwandishi Wetu, Chalinze Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa…

Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa wazalishaji nchini wanapaswa kuboresha ubora wa bidhaa zao ili ziweze…

Na Mwandishi wetu, Lushoto Wananchi wa Jimbo la Lushoto Julai 16, 2026 wamemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kwa kufanya…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati), akishiriki matembezi yaliyolenga kuhamashisha jamii katika Uhifadhi…

TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa taarifa kuhusiana na ajali iliyotokea mnamo tarehe 09 Julai, 2026 saa 1:45 usiku huko…

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 ambao utachagiza uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa kizimba cha ufugaji wa samaki kilichopo katika Kijiji…

Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining & Gem LTD imenufaisha jamii mbalimbali Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kupitia miradi tofauti ya maendeleo ikiwemo…

DODOMA: Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali…

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akijibu maswali bungeni jijini Dodoma wakati wa Kikao cha 46 cha…

Dar es Salaam, 27 Juni 2026 – Wafanyakazi wa Standard Chartered Bank Tanzania kwa kushirikiana na Nipe Fagio wameadhimisha miaka 20 ya mpango wa…

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya Nanenane kutembelea banda la DIB ili kupata elimu kuhusu ulinzi wa…

Na Mwandi Maalumu RS Arusha Vijana wanaojishughulisha na shughuli za ufugaji mkoani Arusha wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kunufaika na fursa ya mikopo inayotolewa na…

Na Farida Mangube, Morogoro Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika tafiti, ubunifu na teknolojia za uzalishaji wa mbegu…

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ANGOLA

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta…

mzalishaji wa miche ya kisasa ya kahawa aina ya Arabika kompacti wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Mussa Mdaka kulia na mkulima wa kahawa Frank…

📍 DODOMA Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga, ameipongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kubuni teknolojia…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza jambo wakati wa alipofanya Mkutano na Wanahabari, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha…

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro,Brigedia Jenerali Wilson Sakulo akizungumza mara baada ya kutembelea banda hiloAfisa Mahusiano kutoka kampuni hiyo ,Lee Mamasita akizungumza na waandishi…

Na WMA – Dodoma Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, amesema kuwa Wakala hiyo inaendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda…

Na Mwandishi Wetu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imesema inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha kilimo cha umwagiliaji nchini, ikiwemo uchimbaji wa visima…

Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeeleza kuwa matumizi ya mifumo ya kidijitali katika vyama vya ushirika yameleta mapinduzi makubwa…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kupitia usindikaji kunaweza kupunguza…

📍DODOMA Vijana nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia fursa zinazotolewa na Sekta ya Madini badala ya kusubiri misaada au mitaji…

By Staff Writers Kenya is executing what tourism experts are calling the most aggressive infrastructure play in East Africa in the last decade. At…

Naibu Waziri wa Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akifuatilia mada zilizokuwa zikijadiliwa katika Mkutano wa…

Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unashiriki Maonesho ya Nanenane 2026 yaliyozinduliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…

Mbegu za wakulima zinazochangia zaidi ya asilimia 60 ya mbegu zinazotumiwa nchini bado hazina utaratibu rasmi wa kuhakikisha ubora wake, hali inayozuia kutambuliwa rasmi…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Malecela,…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuimarisha nafasi ya Tanzania katika kuchochea mageuzi ya kiuchumi barani Afrika baada…
ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TARI NA SIKU MAALUM YA USHIRIKA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kumpangia kituo Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Tume ya Ushindani (FCC) imetajwa kuwa mdau muhimu katika kuongeza thamani ya mazao ya Watanzania kupitia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa…

Serikali imeweka mkazo katika kuhakikisha huduma za VVU/UKIMWI, Kifua Kikuu (TB) na Malaria zinaendelea kutolewa kwa ufanisi, bila kuathiriwa na mabadiliko ya ufadhili wa…

NA DENIS MLOWE- DAR ES SALAAM VICTORIA Group ambao ni waandaaji wa mbio za VG Fun Run 2026 wamesema maandalizi ya tukio hilo yamekamilika…

Na Mwandishi Wetu WANASIMBA wamehitimisha hamasa ya Wiki ya Simba 2026 kwa kushiriki kuitandika ya Biryani (Ubwawa) ya nguvu iliyoandaliwa kwa ajili yao ,…

Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali kwa ubora wa mifumo…

Na Scolastica Sambi – MAELEZO Tanzania imeendelea kuthibitisha mafanikio yake katika tasnia ya mbegu baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55…

NAIBU WAZIRI wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka mkandarasi wa mradi wa Mikocheni…

Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Benki ya Ushirika Tanzania (Cooperative Bank Tanzania Plc) imefanya Mkutano Mkuu wa Pili wa Wanahisa jijini Dodoma,…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la vijana katika kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima…

Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa maelekezo kwa Wizara ya…

Mkuu wa kanda wa COPRA,Fahmia Selemani akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya nanenane Njiro …………. Na Happy Lazaro, Arusha Mamlaka ya Udhibiti…

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police katika mchezo wa Simba Day uliopigwa leo, Agosti 8, 2026,…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa…
Dodoma. Kampuni ya mawasiliano ya Yas imewahimiza wakulima kutumia huduma za kidijitali kupata taarifa za masoko, hali ya hewa na fursa za biashara, ikiwa…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akilakiwa na wananchi wa Itilima alipowasili Kijiji cha Simiyu kata ya Migato…

Meneja wa Biashara wa Mixx – Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. ………….. Mbeya. Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wameendelea kunufaika…

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo,…

A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 10, 2026

YANGA DAY : YANGA SC YAPOTEZA 2-1 DHIDI YA AIGLES DU CONGO

NM-AIST KINARA WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI 2026

NDEJEMBI: BILIONI 6.7 ZIKAMILISHE JENGO LA MAMA NA MTOTO KWA WAKATI KAHAMA
KAHAMA, SHINYANGA Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameitaka Manispaa ya Kahama kuongeza kasi ya ujenzi wa…

TMA YAKANUSHA TAARIFA POTOFU KUHUSU BARIDI NCHINI

SERIKALI KUIMARISHA MIUNDOMBINU KUCHOCHEA UZALISHAJI NA UKUAJI WA UCHUMI

TANZANIA, UNEP MGUU SAWA KUIMARISHA USHIRIKIANO HIFADHI YA MAZINGIRA

NDEJEMBI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA- BULYANHULU JCT-KAKOLA

SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM

STANBIC YAHIMIZA UFADHILI UNAONGOZWA NA WAAFRIKA ILI KUFUNGUA FURSA ZA MIUNDOMBINU BARANI AFRIKA

DKT. AKWILAPO: WIZARA YA ARDHI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA KUTAYARISHA RAMANI YA UWANJA WA NYAKABINDI- BARIADI
Na Munir Shemweta, Bariadi, Simiyu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kushirikiana na…

WAZIRI NDEJEMBI AANZA ZIARA MAALUM MKOANI SHINYANGA

MIXX BY YAS YARAHISISHA MALIPO KWA WAKULIMA NYANDA ZA JUU KUSINI

ZAIDI YA WAKULIMA 2,000 KANDA YA KASKAZINI WANUFAIKA NA HUDUMA ZA MIXX

WAKULIMA KANDA YA KATI WAVUNA NA MIXX

NANENANE 2026: ASTERIA AGROVET YAWAPA WAKULIMA SULUHISHO LA MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU

NGORONGORO NA SIMBA DAY NI BAO LA KISIGINO

TANZANIA, WADAU WAIMARISHA USHIRIKIANO UTEKELEZAJI WA MALENGO YA HIFADHI YA BIOANUWAI
Tanzania, wadau waimarisha ushirikiano utekelezaji wa malengo ya hifadhi ya bioanuwai Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itanufaika na Ushirika wa Wada

WANANCHI ARUSHA WAASWA KUKATA BIMA YA MAZAO, MIFUGO NA MALI ZAO

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA GAMIS KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA.
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
Retention: 70% repeat business.
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.