Gundua

2336 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Full Shangwe Blog chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Proposed Reforms to Transform Tanzania’s Business and Investment Climate Ebola

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa Ebola na hali ya usalama…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Fuel Prices

Meneja wa EWURA Kanda ya Ziwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya Nanenane Nyamhongoro Jijini Mwanza ikiwa imesalia siku moja maonesho hayo…

Full Shangwe Blog
Michezo FIFA World Cup 2026

Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayotumika…

Full Shangwe Blog
Michezo Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

Timu ya Taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa Kundi A uliochezwa nchini Mexico.…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetambulisha rasmi mfumo mpya wa kufunga nyaya za umeme majumbani utakaowezesha wateja kufuatilia matumizi ya umeme kupitia simu ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

Na OWM-TAMISEMI,Morogoro Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema michezo ni nyenzo muhimu ya kujenga amani, umoja na mshikamano, kwa kuwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali imesisitiza dhamira yake ya kuhakikisha Watanzania wote wanapata huduma za intaneti ya kasi ifikapo mwaka 2030, hatua inayolenga…

Full Shangwe Blog
Biashara ya Jumla na Rejareja Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni…

Full Shangwe Blog
Siasa Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

NA DENIS MLOWE, IRINGA KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka wananchi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Watuhumiwa mauaji ya Mchina wadakwa

TAARIFA ILIYOTUFIKIA MUDA HUU

Full Shangwe Blog
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Na Victor Masangu,Kibiti Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji ambao unatakelezwa na Wakala wa…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema miradi ya maendeleo inayotekelezwa kote nchini ni mali ya wananchi na hivyo wana wajibu wa kuitunza kwa faida…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanzania calls for stronger regiona…

Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Balozi Stephen Mbundi akizungumza kwenye hafla hiyo jijini Arusha . ……… Na Happy Lazaro,Arusha . SERIKALI ya Ujerumani imeendelea…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam SERIKALI imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha Watu Wenye Ulemavu wanapata nafasi sawa katika nyanja zote za…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza na baadhi ya watumishi wa kituo kipya cha afya Langiro baada ya kukagua…

Full Shangwe Blog
Chakula na Mapishi Private sector takes driver’s seat:…

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha…

Full Shangwe Blog
Michezo Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

Morocco imeanza Fainali za Kombe la Dunia kibabe baada ya kuikalia kooni Brazil,ikilazimisha sare ya bao 1-1. Mara ya mwisho kwa Brazil kuanza kwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amelipongeza Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb), akiipongeza Benki ya NMB katika kuisaidia Serikali kupitia ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa huduma…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…

Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amezindua Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja…

Full Shangwe Blog
Michezo Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…

Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Hispania imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Cape Verde…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Na Mwandishi wetu, Mwanza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imetoa hukumu katika shauri la jinai Na. ECC 13121/2026 linalowakabili viongozi wa Chama…

Full Shangwe Blog
Habari za Kitaifa Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Juni 6, 2026 Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Mkurugenzi mwanzilishi wa kampuni ya Conserve Safari Camps & Lodges, Simon Mossi, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa sekta ya utalii na…

Full Shangwe Blog
Siasa Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

Na Victor Masangu, Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya ya Wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amekemea vikali baadhi viongozi wa CCM wakiwemo madiwani na wabunge…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa harakati za ukombozi wa Namibia…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Na, Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali ambayo yamekuwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Nilivyorejesha bahati yangu baada y…

Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

Full Shangwe Blog
Viwanda na Uzalishaji Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

DURBAN – AFRIKA KUSINI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa…

Full Shangwe Blog
Chakula na Mapishi Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (kulia), na Mkurugenzi wa Biashara na Uendeshaji wa Mantrac Kanda ya Afrika Mashariki,…

Full Shangwe Blog
Elimu Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

Na Sophia Kingimali. Chuo cha Ufundi cha Furaika Education College kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kimezindua mpango maalum wa kutoa…

Full Shangwe Blog
Elimu Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Mkuu wa Utawala Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kampasi ya Mwanza, Dr. Lawrance Sunda, akionesha baadhi ya bidhaa zilizobuniwa na kutengenezwa na wanafunzi…

Full Shangwe Blog
Michezo Scotland vs Brazil FIFA Kombe la Du…

NA MWANDISHI WETU, NOEL RUKANUGA Katika michuano ya Kombe la Dunia 2026, huenda hakuna kundi lililoibua mvuto mkubwa kama Kundi C. Baada ya kila…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza mradi wa (RISE) kwa kutumia vikundi vya kijamii kufanya matengenezo ya kawaida ya barabara,…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameondoka nchini baada ya kukamilisha Ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini iliyofanyika kuanzia tarehe…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili Segerea Jijini Dar es salaam, nyumbani…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

Na Hassan Kimweri, WAF – Tabora Jumla ya macho 996 yamefanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa 823 wanaotarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imehitimisha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa kuendelea kutoa huduma mbalimbali za kisheria kwa wananchi waliotembelea…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

📌 Kamera Kufungwa Kudhibiti Uharibifu Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Na. Fullshangwe Blog, Dodoma Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Gelasius Byakanwa, amesema kuwa amefurahishwa na mafanikio ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) katika…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Zanzibar strengthens Ebola prepared…

Na Hassan Kimweri, WAF – Kagera Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amewataka watumishi wa afya nchini kuwa makini zaidi katika kipindi hiki…

Full Shangwe Blog
Michezo Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…

Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

▪️Aipongeza Wizara ya Habari Maandalizi AFCON 2027. Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, ameipongeza Ofisi ya…

Full Shangwe Blog
Michezo Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

RAIS WA ZANZIBAR DKT. HUSSEIN MWINYI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI INDIA

Full Shangwe Blog
Michezo Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…

Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC imerejesha kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Kituo cha Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) imetoa mafunzo kwa Wabunge kuhusu Biashara ya Kaboni, Mafanikio, Changamoto na…

Full Shangwe Blog
Michezo Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia…

Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Austria katika mchezo wake wa pili wa hatua ya makundi…

Full Shangwe Blog
Michezo Prediction Afrika Kusini vs Canada …

𝐉𝐔𝐍𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na John Walter -Mbulu Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara imeupokea rasmi Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 katika Kata ya Gehandu, ukitokea Halmashauri ya Mji…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kilele cha Shindano la Vijana Uchumi Challenge kwenye Kituo cha Mikutano…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Maafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Kamati ya bunge ya nishati na madin…

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amesema shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati itakayoongeza…

Full Shangwe Blog
Michezo Norway yaiondosha ivory coast kombe…

Wawakilishi wa Afrika katika Kombe la Dunia 2026, Ivory Coast, wameaga mashindano baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika hatua ya 32 bora.…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi…

Full Shangwe Blog
Siasa Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Na Mwandishi Wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioamini kuwa uhuru wa Tanzania usingekuwa na maana ikiwa mataifa mengine…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

Na Jackline Minja, WMJJWM – Kakonko Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wananchi wa…

Full Shangwe Blog
Uncategorized Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa vijiji vya Mwambao, Welu, Lupalama na Kibebe katika Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wamemweleza Mbunge wao, Jackson…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwasilikiliza watumishi wa Mamlaka ya Rufani alipotembelea banda la PPAA kwenye kwenye Maonesho ya 50…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Uwanja wa AFCON unaojengwa Fumba utakuwa uwanja wa kisasa wenye…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mhandisi Felchesmi Mramba (wa kwanza kulia) akisaini kitabu Cha wageni leo, Julai 13, 2026,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makakazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akiakabidhi hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Misungwi mkoani Mwanza…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amesema kuwa hesabu za awali…

Full Shangwe Blog
Siasa Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

📌Ulega atoa hakikisho la Utekelezaji wa mradi huo Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Makamu wa Rais Mwandamizi wa Kampuni ya Alstom, Philippe Delleur katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye hotel ya Intercontinental jijini…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 27 Juni, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo ya mwaka mmoja ya Kozi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza azma ya kuendelea kushirikiana…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa onyo kwa wamiliki wa vyombo vya habari, waandishi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha…

Full Shangwe Blog
Siasa Prediction Argentina vs Misri FIFA …

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Argentina imeendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipofunga Maadhimisho ya Tano ya Wiki ya Kiswahili Duniani kwenye ukumbi wa Makao Mkuu ya Shirika la Umoja wa…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imeibuka mshindi wa People Category Award katika Tuzo za Business SDG…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wananchi watembelea banda la tmda s…

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma za Next Generation Sequencing (NGS), hatua inayofungua enzi…

Full Shangwe Blog
Michezo Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…

Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Morocco mabao 2-0 katika mchezo…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia…

Full Shangwe Blog
Elimu Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…

Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Nyanda za Juu Suzan Magani kushoto, akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Veta Songea fani ya umeme wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Mkuu wa Idara ya Fedha na Uhasibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Deo Fazah akipokea zawadi alipotembelea banda la TET ndani ya Maonesho…

Full Shangwe Blog
Uncategorized Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Na Happy Lazaro, Arusha . Vijana nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kukaa vijiweni na badala yake kujiunga katika vikundi, kuanzisha miradi yenye tija…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Tarehe 11 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…

Full Shangwe Blog
Madini na Uchimbaji Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…

Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Onesmo Mbise akizungumza mbele ya Waziri wa madini kuhusu changamoto.zinazowakabili Happy Lazaro,Manyara. Manyara .Kampuni ya Franone Mining & Gems Ltd…

Full Shangwe Blog
Elimu Waandishi wa habari wananufaika na …

Waandishi wa Habari wa redio ya vijana Bongo FM wameishukuru Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kuwajengea uwezo na kuwakumbusha masuala…

Full Shangwe Blog
Siasa Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa- (SUKI) *Ndugu Rabia Abdalla Hamid(MCC)* amewasisitiza wananchi wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametangaza kuwa Tanzania itashiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

Na. Mwandishi Wetu, Dar. MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mitaala…

Full Shangwe Blog
Michezo Prediction Ufaransa vs Hispania FIF…

Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuongoza orodha ya wafungaji bora katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufikisha…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Nishati, Bw. Petro Lyatuu akizungumza katika Kongamano la Siku ya Nishati (Energy Day) lililofanyika wakati wa…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB), Frank Nyabundege, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 30, 2026, katika…

Full Shangwe Blog
Biashara Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa…

Full Shangwe Blog
Michezo Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

Happy Lazaro,Arusha . Arusha .MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kukamata watuhumiwa 550 wa makosa mbalimbali…

Full Shangwe Blog
Michezo Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Waswahili husema Chanda chema huvikwa pete msemo ambao umedhihirika siku ya mnyama “Simba Day “ baada ya klabu hiyo kumtunuku tuzo Kamishna wa Uhifadhi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, *Mhe. Godfrey Mnzava*, amezindua rasmi mitambo miwili ya ukarabati wa barabara yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB) (wa pili kushoto), akiwa katika mkutano wa kimkakati jijini London Uingereza na maafisa wakuu wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Serikali imeweka bayana kuwa mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa mchango wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…

Na Jeremia Mwakyoma na Jeremiah Mbwambo Picha na Gladys Lukindo DODOMA – JULAI 10, 2026 Kliniki ya Wateja Maalumu, wa Kimataifa na uchunguzi wa…

Full Shangwe Blog
Siasa Kongamano la nishati : etdco yasisi…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akizungumza na Mwakilishi Maalumu wa Uingereza nchini…

Full Shangwe Blog
Michezo Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu…

Full Shangwe Blog
Habari za Kitaifa Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 21, 2026

Full Shangwe Blog
Uncategorized GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Na Mwandishi Wetu, Dar Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb.) amefurahishwa na Huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA)…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Geneva, Julai 2026 Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa miliki bunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umetembelea na kukagua mradi wa maji wa thamani ya shilingi bilioni 4.3 utakaonufaisha watu 57000 wa Tarafa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yatenga bilioni 1 ukarabat…

Na Jackline Minja, Kigoma Serikali imeendelea kuweka mazingira bora ya kuishi kwa wazee nchini kupitia uboreshaji wa Sera, huduma za afya na ukarabati wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na…

Full Shangwe Blog
Uncategorized Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Gas Tanzania Benoite Araman(kulia) Meneja miradi nishati safi ya kupikia Jennifer Mosha, Skauti Mkuu Tanzania Rashid Mchata(wa pili kushoto) pamoja…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha…

Full Shangwe Blog
Uchumi Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

* Mhandisi Samaje azindua Ukumbi wa Mikutano wa Prof. Abdulkarim Mruma * Watumishi GST watakiwa kuzingatia maadili, ubunifu na utoaji wa huduma bora Dodoma…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanzania holds preparatory talks he…

Mkutano wa 28 wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa leo…

Full Shangwe Blog
Habari na Mawasiliano TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business wa kampuni hiyo Nguvu Kamando (kulia), pamoja na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Maji safi na salama ni hitaji muhimu la wananchi waishio mijini na vijijini. Serikali inalo jukumu la kuhakikisha wananchi wake…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema unapotafakariwa mustakabali wa utoaji huduma za afya nchini, hakuna…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Uwanja wa ndege wa msalato wabadili…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone”…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

NA DENIS MLOWE,IRINGA MKUU.wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwa mara ya kwanza ndani ya Mkoa wa Iringa yanalenga…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor (katikati) na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejeshaji wa hekta milioni 3.3 za…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Na Oscar Assenga, Tanga Operesheni zilizoendeshwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kwa kipindi cha Juni 1 hadi Julai 16, 2026 zimewezesha…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kulia), Mkuu wa Idara ya Biashara NMB, Deogratias Shirima (kushoto) wakifurahia…

Full Shangwe Blog
Michezo Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026* Tunayo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

Mbunge wa Arusha ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais samia: tanzania na misri kuung…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ras arusha asisitiza ushirikiano ba…

Asema umoja, ushirikiano, upendo na uelewa wa pamoja utatimiza adhma ya Serikali na maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Na Mwandishi Maalumu Arusha Katibu…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Arusha 9 Juni, 2026 Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Omary Mchengerwa, ameitaka Bodi mpya ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mt. Meru…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Bunifu MUHAS zaanza kutoa majibu ch…

Mhadhiri Msaidizi wa Shule ya Uuguzi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Hamza Lilenga, akionesha namna ya kutatua tatizo la kupumua…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Trc yatoa rai kwa wasafirishaji wa …

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Kigoma baada ya kuzindua meli 4 za mizigo na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wananchi sale washirikiana na serik…

Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa SACP Shadrack Masija wakati akizungumza na wananchi wa Korongwe Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa. Baadhi ya wananchi walioshiriki katika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Na Mwandishi Wetu Julai 25, 2026, dunia itaadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwa Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo vya Kuzama Maji Duniani, ikiwa…

Full Shangwe Blog
Michezo Hispania yatwaa kombe la dunia 2026

Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Serikali yaimarisha utayari wa kuka…

Na Cletus Sanga, WAF – Arusha Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu – TAMISEMI na CIHEB Tanzania chini ya Mradi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…

Bendi ya muziki ya Tongolanga iliwahi kuimba “kila munu ave na kwao ”ikimaanisha kila mtu awe na kwao, ujumbe kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa ndani ya basi jipya la umeme (ZAN BUS). Pichani…

Full Shangwe Blog
Elimu Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 watakaonufaika na mpango wa Samia Scholarship, ambapo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanzania, Japan affirm cooperation …

Honoured to chair the 9th Meeting of the African Group of World Heritage Committee Members in Dakar, Senegal, bringing together delegates from Senegal, Angola,…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiteta na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, wakati akiwasili katika Ofisi…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kukuza uchumi wa viwanda na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…

Wananchi wa Kata ya Mbuyuni, Wilaya na Mkoa wa Songwe, wametakiwa kujihepusha na matukio ya mauaji katika jamii na kutakiwa kuachana na tabia zinazochochea…

Full Shangwe Blog
Madini na Uchimbaji Tume ya madini yajipanga kuongeza u…

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akizungumza leo Agosti 24, 2026 kwenye ziara ya kikazi mkoani Manyara Mkurugenzi wa kampuni ya Franone Mining &Gem Co…

Full Shangwe Blog
Misaada na Hisani Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya laiomba jamii kusaidia malezi na makuzi ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata mahitaji…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

…………… KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo…

Full Shangwe Blog
Siasa Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, akiwa ameambatana na wajumbe wengine wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, amepokelewa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wakulima wa kipande-nkoavele kuonge…

WAZIRI wa Kilimo na mlezi wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mwinyi.Ahmed Mwinyi alipofanya…

Full Shangwe Blog
Michezo Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…

NA MWANAMICHEZO WETU, NOEL RUKANUGA Simba SC imeendeleza ubabe wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya leo, Jumatano, Juni 17, 2026, kuichapa Mbeya…

Full Shangwe Blog
Elimu ‘Mende’ wa India wanavyompasua kich…

Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kimetajwa kuwa kinara katika mafunzo ya anga ndani na nje ya Tanzania katika…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…

*Serikali kuendelea kuboresha miundombinu wezeshi Mkoani Dodoma. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika…

Full Shangwe Blog
Utamaduni Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro Abdul-Razaq Badru ameuambia mkutano wa 48 wa kamati ya Urithi wa Dunia kuwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe.Dkt Riziki Pembe Juma, alikuwa Mgenirasmi katika Maadhimisho ya miaka 10 ya Tuzo ya Kiswahili ya “Safal…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais Samia Afanya Mazungumzo na Bal…

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo TIB,…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Mradi wa Umeme Chalinze-Dodoma wafi…

Na Mwandishi Wetu, Chalinze Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa…

Full Shangwe Blog
Viwanda na Uzalishaji Maonesho ya nanenane kanda ya kaska…

Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa wazalishaji nchini wanapaswa kuboresha ubora wa bidhaa zao ili ziweze…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Sangu: waliofuja fedha za shule mfi…

Na Mwandishi Maalum, Namtumbo WAZIRI wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera,ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Namtumbo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mahakama yamhukumu miaka 30 kwa kus…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kwa kufanya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais Samia Akutana na Viongozi wa V…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati), akishiriki matembezi yaliyolenga kuhamashisha jamii katika Uhifadhi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili,…

TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa taarifa kuhusiana na ajali iliyotokea mnamo tarehe 09 Julai, 2026 saa 1:45 usiku huko…

Full Shangwe Blog
Ujasiriamali na Ubunifu Bayport Yatoa Kompyuta na Printa za…

Na OSCAR ASSENGA, Tanga SERIKALI imezindua programu ya InnoIP Tanzania, inayolenga kuwasaidia zaidi ya wabunifu 5,000 nchini kulinda kazi zao kisheria, kuzigeuza kuwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Waziri mkuu atoa siku 14 kituo cha …

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 ambao utachagiza uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa kizimba cha ufugaji wa samaki kilichopo katika Kijiji…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Sh. bil. 1.5 kukusanywa kuokoa mais…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandala ameongoza mamia ya wakazi wa eneo hilo kwenye mazoezi…

Full Shangwe Blog
Chakula na Mapishi ‎NMB yaendelea kuimarisha kilimo ku…

DODOMA: Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali…

Full Shangwe Blog
Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka Songea yazalisha tani 90 za taka ki…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Manispaa ya Iringa, Zaina Mlawa, amezionya kampuni zinazofanya shughuli za usafi katika Manispaa za Bejom na Suma JKT,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Standard Chartered Foundation Yatoa…

Dar es Salaam, 27 Juni 2026 – Wafanyakazi wa Standard Chartered Bank Tanzania kwa kushirikiana na Nipe Fagio wameadhimisha miaka 20 ya mpango wa…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima Dib yawataka wananchi kutembelea na…

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya Nanenane kutembelea banda la DIB ili kupata elimu kuhusu ulinzi wa…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Vijana arusha wageuza biashara ya u…

Na Mwandi Maalumu RS Arusha Vijana wanaojishughulisha na shughuli za ufugaji mkoani Arusha wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kunufaika na fursa ya mikopo inayotolewa na…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi SUA yazalisha watalamu kilimo biash…

Na Farida Mangube, Morogoro Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika tafiti, ubunifu na teknolojia za uzalishaji wa mbegu…

Full Shangwe Blog
Siasa Dc mkude awahakikishia usalama wash…

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ANGOLA

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Makamu wa rais dkt. nchimbi atembel…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Nanenane dodoma: mbifacu yanadi fur…

mzalishaji wa miche ya kisasa ya kahawa aina ya Arabika kompacti wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Mussa Mdaka kulia na mkulima wa kahawa Frank…

Full Shangwe Blog
Elimu Veta yapongezwa kwa ubunifu wenye k…

Katika jitihada za kukuza ushirikiano kati ya taasisi za mafunzo na wenye viwanda na waajiri, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano m…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza jambo wakati wa alipofanya Mkutano na Wanahabari, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dk Mwigulu avutiwa matumizi ya bund…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma CHUO Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) kimeendelea kuimarisha na kupanua Shamba la Mafunzo la Chuo kwa lengo la kuwawezesha…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Elimu ya vipimo yawavuta wadau mbal…

Na WMA – Dodoma Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, amesema kuwa Wakala hiyo inaendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Serikali yatangaza neema kwa wakuli…

Na Mwandishi Wetu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imesema inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha kilimo cha umwagiliaji nchini, ikiwemo uchimbaji wa visima…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Matumizi ya mbolea yapanda mara nne…

Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeeleza kuwa matumizi ya mifumo ya kidijitali katika vyama vya ushirika yameleta mapinduzi makubwa…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima kuongeza watarajia uzalish…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kupitia usindikaji kunaweza kupunguza…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Gst yawekeza ujuzi, teknolojia kubo…

Dodoma Wajumbe wa Bodi yaTaasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) pamoja na Menejimenti ya Taasisi, leo Agosti 28, 2026, wamekutana katika…

Full Shangwe Blog
Utalii na Ukarimu Stakeholders call for fast-tracking…

By Staff Writers Kenya is executing what tourism experts are calling the most aggressive infrastructure play in East Africa in the last decade. At…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais samia: afrika iharakishe uteke…

Naibu Waziri wa Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akifuatilia mada zilizokuwa zikijadiliwa katika Mkutano wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduc…

Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Future world institute yaja na taal…

DODOMA Wahitimu wa vyuo vya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi nchini Tanzania wanatarajiwa kuwa na ujuzi unaoendana zaidi na mahitaji ya soko la…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Mfumo wa m+2 waimarisha uhakika wa …

DODOMA: Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema umejizatiti kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa na upatikanaji wa uhakika wa mafuta wakati wote kupitia…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Dkt. Fatuma: NIC Insurance endeleen…

Mbegu za wakulima zinazochangia zaidi ya asilimia 60 ya mbegu zinazotumiwa nchini bado hazina utaratibu rasmi wa kuhakikisha ubora wake, hali inayozuia kutambuliwa rasmi…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais Samia na Museveni Washuhudia M…

Kuna wakati katika uongozi wa nchi ambapo nguvu ya kiongozi haipimwi kwa wingi wa maneno anayoyasema, bali kwa ukubwa wa maono anayoyaacha yakitekelezwa. Hivi…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Naibu waziri chande aridhishwa na h…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Mambo manne ya kuyaona na kujifunza…

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Malecela,…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia asisitiza kasi ya utekel…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuimarisha nafasi ya Tanzania katika kuchochea mageuzi ya kiuchumi barani Afrika baada…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Pinda aipongeza mati technologies k…

ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TARI NA SIKU MAALUM YA USHIRIKA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.…

Full Shangwe Blog
Chakula na Mapishi Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chac…

Mchambuzi Mwandamizi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa wa BoT, Bw. Doto Namkaa akitoa maelezo kwa Dkt. Wilfred Mbowe Mkurugenzi Tawi la Benki Kuu…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais Samia Afanya Mabadiliko, Ateua…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kumpangia kituo Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Full Shangwe Blog
Uchumi Naibu Waziri Londo: FCC ni chachu y…

Tume ya Ushindani (FCC) imetajwa kuwa mdau muhimu katika kuongeza thamani ya mazao ya Watanzania kupitia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yaweka mkazo uendelevu wa …

Dodoma. Shirika la Foundation for Disabilities Hope (FDH) limeipongeza Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kwa juhudi zake za kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuishwa…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Tramepro yahimiza ushirikiano kulin…

Na John Walter -Babati Imeelezwa kuwa maziwa ya mama ni chakula cha kwanza, salama na chenye virutubisho vyote muhimu anavyohitaji mtoto katika miezi sita…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Brela yatoa elimu ya urasimishaji b…

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Victoria group kuandaa vg fun run k…

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof.…

Full Shangwe Blog
Matukio Wanasimba wapiga biryani wakihitimi…

Na Mwandishi Wetu WANASIMBA wamehitimisha hamasa ya Wiki ya Simba 2026 kwa kushiriki kuitandika ya Biryani (Ubwawa) ya nguvu iliyoandaliwa kwa ajili yao ,…

Full Shangwe Blog
Biashara ya Jumla na Rejareja T-CAMS Yaandika Historia Mpya Katik…

Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali kwa ubora wa mifumo…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Tanzania yapaa katika sekta ya mbeg…

Na Scolastica Sambi – MAELEZO Tanzania imeendelea kuthibitisha mafanikio yake katika tasnia ya mbegu baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Qwaray aagiza mikocheni apartments …

NAIBU WAZIRI wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka mkandarasi wa mradi wa Mikocheni…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima Coop bank yajivunia mageuzi, yatoa …

Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Benki ya Ushirika Tanzania (Cooperative Bank Tanzania Plc) imefanya Mkutano Mkuu wa Pili wa Wanahisa jijini Dodoma,…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Rais samia ahutubia kilele cha maad…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la vijana katika kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Rais samia aielekeza tamisemi kusim…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Fao yabadilisha sekta ya uvuvi tanz…

Mkuu wa kanda wa COPRA,Fahmia Selemani akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya nanenane Njiro …………. Na Happy Lazaro, Arusha Mamlaka ya Udhibiti…

Full Shangwe Blog
Michezo Simba sc yalazimishwa sare ya pili …

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police katika mchezo wa Simba Day uliopigwa leo, Agosti 8, 2026,…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Makala awataka wakulima kutumia tek…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Yas yawahimiza wakulima kutumia hud…

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Vyama vya Ushirika (TCDC), Dkt. Benson Ndiege (aliyevaa suti nyeusi), akikabidhi funguo za pikipiki ya…

Full Shangwe Blog
Dini na Imani Makamu wa rais ashiriki misa takati…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Akwilapo atoa wito elimu, amani kup…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akilakiwa na wananchi wa Itilima alipowasili Kijiji cha Simiyu kata ya Migato…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mi…

Meneja wa Biashara wa Mixx – Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. ………….. Mbeya. Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wameendelea kunufaika…

Full Shangwe Blog
Elimu Maonesho ya kilimo na ufugaji kanda…

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo,…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Dk Kijaji akagua ujenzi wa soko Mul…

Na Silivia Amandius. Kagera. Mkoa wa Kagera umejiandaa kuupokea Mwenge wa Uhuru utakaofika mkoani humo Agosti 30, 2026, ukitokea Mkoa wa Geita. Mwenge huo…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Waziri ndejembi “kasi ya utekelezaj…

* Ahimiza wananchi kuunganishiwa huduma ya umeme na kuitumia kuongeza tija *Shule, zahanati na maeneo mengine ya huduma za kijamii kupewa kipaumbele SHINYANGA Waziri…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Benki ya Absa Tanzania ilivyoshirik…

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameshiriki kilele cha Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane,…

Full Shangwe Blog
Ujenzi na Miundombinu Dc simanjiro awasihi wadau kushirik…

Na Munir Shemweta, Bariadi, Simiyu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kushirikiana na…

Full Shangwe Blog
Shughuli za Fedha na Bima Afrika yahimizwa kutumia mitaji ya …

Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania, Manzi Rwegasira (kulia), akizungumza wakati wa mkutano wa Africa50, katika mjadala wenye mada “Pace Setters: African-Designed, African-Led”. Pembeni…

Full Shangwe Blog
Biashara ya Jumla na Rejareja Tanzania, Marekani zajadili biashar…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Waziri wa Fedha, Bajeti na Sekta ya Benki wa Comoro, Mheshimiwa Moussa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko WMA yawafundisha watoto vipimo, Nai…

Mwanafunzi Ibrahim Omary, kutoka Shule ya Msingi Ghana iliyopo jijini Mwanza, akitoa elimu ya vipimo kwa wanafunzi wenzake waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo…

Full Shangwe Blog
Elimu Dkt.nchimbi amtembelea dk.jakaya ki…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli…

Full Shangwe Blog
Sheria na Mahakama Tanzania yang’ara calc: bi. rehema …

Na Farida Mangube Mtanzania Bi. Rehema Katuga kutoka Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria nchini (OCPD) ameibuka mshindi katika uchaguzi wa wajumbe wa Baraza…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Dkt. mwinyi: zanzibar kuimarisha bi…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Maryam Seif…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Naibu waziri maghembe amuaga balozi…

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka…

Full Shangwe Blog
Habari za Kitaifa Taarifa iliyotufikia muda huu kutok…

USIMAMISHWAJI WA MUDA WA UAGIZAJI NA UUZWAJI WA BIDHAA ZA POMBE NCHINI RWANDA

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Moto Wateketeza Madarasa na Mabweni…

Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Agosti 13, 2026 Shule ya Chalinze Modern Islamic ,Mkoani Pwani, inawajengea wanafunzi ujuzi wa vitendo katika fani mbalimbali ikiwemo udaktari,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Nyuklia yageuka silaha ya sayansi k…

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 23 Julai 2026, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Full Shangwe Blog
Ujasiriamali na Ubunifu Uwt kibaha mji waungana na azania b…

Na Victor Masangu, Kibaha Baadhi ya wanawake wa (UWT) Kata ya Pangani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wamempongeza kwa dhati Mwenyekiti wa…

Full Shangwe Blog
Mashirika ya Kimataifa Biteko: tanzania imepiga hatua kubw…

Shirika la Madini la Taifa ( STAMICO) katika muendelezo wa kuhakikisha linaendelea kuwa kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi Tanzania nzima, leo tarehe…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais samia azindua viwanja vya kufu…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki…

Full Shangwe Blog
Michezo Kangwanda Afichua Siri ya Bao la Us…

Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika…

Full Shangwe Blog
Mazingira na Hali ya Hewa Mamilioni Wajitokeza Kushuhudia Maa…

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa tukio la…

Full Shangwe Blog
fishing Serikali yaongeza kasi ya uchumi wa…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Serikali kupitia Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) imesaini mkataba wa ujenzi wa meli tatu za uvuvi wa…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Kapinga: serikali yasogeza huduma z…

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais …

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa ufunguo wa gari la wagonjwa kutoka kwa Mwakilishi wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Vichocheo vya kufikia malengo ya Di…

Na Meleka Kulwa — Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda , ameitaka Kamati za Ushauri wa Stadi (Training…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Kairuki: serikali kuyafanyia kazi m…

Na Meleka Kulwa — Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake la Stand for Her Land, Wakili Tike…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Veta yapongezwa kwa kuendelea kubor…

Mamalaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeahidi kuendeleza mashirkiano na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar katika kutoa elimu na mafunzo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wanafunzi 10 wa Samia Scholarship k…

Na.Sophia Kingimali.Dar es salaam Wanafunzi 34 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi nchini wameondoka kwenda Ireland kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais dkt. samia aongoza kilele cha …

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameshiriki Kilele cha Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2026) lililofanyika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tanga kuwa kitovu cha elimu, ubunif…

Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) inashiriki kwenye maadhimisho ya wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026 katika viwanja vya Shule ya…

Full Shangwe Blog
Teknolojia Ttcl yaweka intaneti ya kisasa aman…

Na Mwandishi Wetu – Zanzibar Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchumi wa kidijitali…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2…

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Sekta ya kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania. Inatoa ajira kwa mamilioni ya Watanzania, inachangia usalama…

Full Shangwe Blog
Michezo 100 Years of Tosa Maganga: Alumni T…

NA DENIS MLOWE IRINGA WANAFUNZI wa zamani (Alumni) wa Shule ya Sekondari Tosa Maganga wameungana kuchangisha Shilingi milioni 250 kwa ajili ya ununuzi wa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Sekta ya madini yavutia uwekezaji w…

*Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa *Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro…

Full Shangwe Blog
Michezo Kagera Sugar vs Simba SC Leo: Mtiha…

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Chatanda ampa kongole mbunge viti m…

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka amewataka vijana kutumia michezo kama fursa ya kujipatia ajira…

Full Shangwe Blog
Matukio Kenyan athletes conquer CRDB Marath…

Mwenyekiti wa mashindano hayo ya Redcross Marathon Arusha 2026,Dora Mushi akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Oryx gas zanzibar yanogesha tamasha…

ORYX Gas Zanzibar imeeleza hatua mbalimbali inazochukua kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na katika Tamasha la Kizimkazi kampuni hiyo imetoa mitungi ya…

Full Shangwe Blog
Michezo Karakana shuleni zisisubiri kufungu…

Na Victor Masangu, Bagamoyo Baraza la michezo la Taifa (BMT) limeipongeza kwa dhati Taasisi ya Shajar inayomiliki shule ya Baobab kwa kuweza mipango madhubutti…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Maonesho ya Wiki ya Elimu Tanga kuz…

Na Oscar Assenga, Tanga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Wiki ya Kitaifa ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko MUHAS Yaanzisha Huduma Maalumu Ya M…

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Prof. Appolinary Kamuhabwa, akizungumza na waandishi wa leo Agosti 17, 2026 jijini Dar…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Profesa pallangyo :tia inawajenga v…

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Profesa William Palangyo, amewakaribisha wananchi kutembelea banda la taasisi hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Full Shangwe Blog
Elimu Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2…

Afisa Usimamizi wa Fedha Mwandamizi, kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bi. Grace Samwel, akitoa elimu ya fedha kwa wanafunzi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dcea yateketeza hekari 3,117.9 za m…

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais Samia Akutana na Rais wa DRC F…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)…

Full Shangwe Blog
Elimu Batilda: Ubunifu wanafunzi MUHAS ku…

Bunifu mbalimbali kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) zimeendelea kuwavutia wanafunzi na wananchi wanaotembelea banda la chuo hicho katika Maadhimisho…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Sh Bil 11 kukamilisha ujenzi kituo …

Na Shaban Juma, WAF – Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inaendelea na mikakati ya kusambaza huduma za matibabu ya…

Full Shangwe Blog
Elimu Vijana wapewa elimu ya fursa za tek…

Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inaendelea kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Dkt. seif: serikali za mitaa ziimar…

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif,…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Sekiboko: serikali iwekeze ubunifu …

Mradi wa SAFARI unaosimamiwa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na Liverpool School of Tropical Medicine umebuni teknolojia ya matumizi ya akili…

Full Shangwe Blog
Elimu Tuzo ya nyerere yazidi kung’ara, sh…

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametangaza kufunguliwa rasmi kwa dirisha la kupokea miswada ya tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere…

Full Shangwe Blog
Siasa Dkt. mwinyi: nina imani na uwezo wa…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali kuongeza nguvu mapambano d…

Na. MWANDISHI WETU, MWANZA Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Madiwani Manispaa waomba michoro ku…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MKUU wa Wilaya ya Iringa, Benjamini Sitta, amewataka madiwani wa Manispaa ya Iringa kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko TBS yapongezwa udhibiti usalama, ub…

📍DODOMA Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesisitiza umuhimu wa kusajili maeneo yote yanayohusika na uuzaji, usambazaji na uhifadhi wa bidhaa za chakula na vipodozi,…

Full Shangwe Blog
Uchumi wa Buluu Kongamano la 5 la kimataifa la uchu…

Serikali imesema inaendelea kuweka mkazo katika usimamizi na uendelezaji wa Sekta ya Uchumi wa Buluu ili iwe endelevu na yenye kuleta manufaa kwa wananchi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Veta kuanzisha vituo 15 vya umahiri…

Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imeonyesha mfano wa namna halmashauri zinavyoweza kutumia mapato ya ndani kuwekeza katika elimu ya Amali (ufundi na ufundi stadi)…

Full Shangwe Blog
Uchumi MAKUNDI MAALUM YANUFAIKA NA ZABUNI …

Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Denis Simba, amesema matumizi ya…

Full Shangwe Blog
Michezo Yanga SC Yoikandamiza Coastal Union…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo uliopigwa…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Dk.Samia kuzindua rasmi Mradi wa JN…

Na Fullshangwe, Rufiji RUFJI, PWANI: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kukamilika na kuzinduliwa kwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) ni…

Full Shangwe Blog
Elimu Vodacom tanzania yakabidhi madarasa…

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Vodacom Tanzania…

Full Shangwe Blog
Biashara ya Jumla na Rejareja Fcc yatoa elimu kwa maafisa biashar…

Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Simanjiro wajipanga kushiriki manya…

Na John Walter -Babati Wasanii maarufu nchini Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue wanatarajiwa kutumbuiza kwenye mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026, baada…

Full Shangwe Blog
Biashara ya Jumla na Rejareja Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa lum…

Mwanza.Wafanyabiashara tisa wa Soko la Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance,…

Full Shangwe Blog
Kilimo, Misitu na Uvuvi Mbegu bora, chachu ya kilimo cha us…

NA DENIS MLOWE ,IRINGA WAKULIMA wameeleza namna matumizi ya mbegu bora yanavyoweza kubadili matokeo ya kilimo, wakisisitiza umuhimu wa kupata mbegu zinazofaa kwa mazingira…

Full Shangwe Blog
Nishati na Umeme Rais Samia: Bwawa la Julius Nyerere…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa…

Full Shangwe Blog
Michezo Simba sc yavuna pointi 3 mbele ya s…

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…

Full Shangwe Blog
Mazoezi na Siha Manyara tanzanite marathon yalenga …

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda (katikati), akimaliza kwa kishindo mbio za kilomita 21, akiiongoza…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Watoto 587,509 chini ya miaka 10 ku…

Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2,…

Full Shangwe Blog
Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na Kidini Mwongozo wa Serikali kurahisisha ma…

NA DENIS MLOWE IRINGA MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali yameendelea kuwa nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, yakishirikiana na…

Full Shangwe Blog
Elimu Nm-aist kutekeleza dira 2050 kupiti…

Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Wanafunzi wa mnma wabuni teknolojia…

Na Oscar Assenga, TANGA KATIBU Tawala wa Mkoa wa Tanga Rashid Mchatta amefungua kikao kazi cha Wakurugenzi na Mameneja wa Huduma kwa Wateja…

Full Shangwe Blog
Michezo Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitand…

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuvuna pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Kunenge atoa wito kwa wazazi kuwape…

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto walio chini ya…

Full Shangwe Blog
Elimu Iaa kuboresha mazingira ya kujifunz…

Na John Walter -Babati Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Daniel Sillo, amezindua programu…

Full Shangwe Blog
Siasa Rais Samia aridhia Dk Nchimbi kujiu…

Kumekuwa na taarifa kuhusu madai ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, huku taarifa hizo zikiendelea…

Full Shangwe Blog
Afya na Huduma za Jamii Tanzania yaunga mkono mabadiliko ya…

Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Omar (Mb), (wa sita mstari wa pili mbele-kushoto) akiwa katika picha ya…

Full Shangwe Blog
Chakula na Mapishi Nmb yaongoza kura za superbrands ku…

Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi zaidi za watumiaji katika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dk.nchimbi atangaza kustaafu siasa,…

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA WAKUU WA MIKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI WENGINE

Full Shangwe Blog
Siasa CCM yampendekeza Ndejembi kumrithi …

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na leo jijini Dar es…

Full Shangwe Blog
Siasa CCM shows Dr Nchimbi exit door, ter…

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel…

Full Shangwe Blog
Siasa Dk Samia aongoza kikao Halmashauri …

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum Cha Halmashauri…

Full Shangwe Blog
Madini na Uchimbaji Tume ya Madini yatoa hati za makosa…

DODOMA, Agosti 26, 2026 Tume ya Madini imetoa muda wa siku 30 kwa wamiliki na wawezeshaji wa miradi ya uchimbaji mdogo yenye Mikataba ya…

Full Shangwe Blog
Utawala wa Umma na Ulinzi Msiba Kibaha: Polisi Wawili Wapotez…

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Agosti 26, 2026 WATU wawili ambao ni askari wa Jeshi la Polisi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yafichua mkakati mpya wa k…

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ras arusha azindua zoezi la utoaji …

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha WAZAZI na walezi katika Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kutumia fursa ya kampeni ya chanjo ya Polio kuwakinga…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mashindano ya ngoma za asili yaingi…

Wananchi wametakiwa kuthamini na kuendeleza utamaduni wao kwa kuwa ni msingi wa kuwaunganisha Watanzania, kuimarisha umoja na kujenga uzalendo kwa nchi yao. Wito huo…

Full Shangwe Blog
Uncategorized CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Maka…

*Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Agosti 28, 2026)…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wadau ya forodha wapatiwa elimu ya …

………. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa imetoa elimu kwa wadau wa Forodha mkoa wa Pwani wakiwemo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Serikali yajipanga kukabiliana na m…

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wakulima kujiandaa mapema na msimu wa mvua za Vuli 2026, huku ikitabiri mvua za wastani hadi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Mwanasheria mkuu wa serikali awasil…

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewasilisha majibu ya Serikali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala, Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Tphpa yadhibiti visumbufu, yaokoa m…

Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha viuatilifu vinavyotumika nchini vinakuwa salama kwa wakulima, walaji na mazingira, ikiwemo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Reli sasa yawa kimbilio kupunguza f…

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila, amefanya ziara ya kutembelea na kukagua bandari kavu ya kilimanjaro iliyopo Kurasini Wilaya Temeke…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais samia aagana rasmi na balozi w…

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na wanafunzi walionufaika na Ufadhili wa Samia Scholarship Extended…

Full Shangwe Blog
Michezo Nmb bunge bonanza kuhamasisha afya …

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Rais Samia na Makamu Wake Ndejembi …

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius John Ndejembi akizungumza na Wananchi wa Chamwino, wakati aliposimama kuwasilimu mara baada ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Wananchi wafurahishwa na elimu ya p…

DAR ES SALAAM. Serikali imeweka mkakati wa kupunguza muda ambao meli za mafuta hutumia bandarini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza ufanisi katika…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Yas staff boost maternal care at Ub…

Afisa Mkuu wa Rasilimali Watu wa Yas Tanzania, Caroline Kavishe (kushoto), akikabidhi vifaa tiba kwa Mkuu wa Kitengo cha Wodi ya Wazazi katika Hospitali…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dkt. mwigulu ashiriki ibada kkkt ki…

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge Bungeni jijini Dodoma. Agosti, 27 2026. (Picha na Ofisi ya…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Katambi awanyooshea kidole wamiliki…

Na. Jeshi la Polisi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobas, amezindua rasmi Kampeni ya Kitaifa ya Msamaha wa Usalimishaji…

Full Shangwe Blog
Uncategorized Wataalamu tiba asili watakiwa kwend…

Na Atley Kuni, WAF-Mbeya Mkuu wa Wilaya Rungwe Mhe. Jafar Haniu, amewaagiza waganga, wauzaji na wazalishaji wa dawa za Tiba Asili nchini kuhakikisha vituo…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dc simanjiro aingia kati mgogoro wa…

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala ameingilia kati mgogoro wa ardhi kwa kuagiza waliovamia eneo la…

Full Shangwe Blog
Siasa Tanzania, serbia kuimarisha diploma…

Tanzania na Serbia zimekubaliana kuanzisha Tume ya Pamoja ya Uchumi kwa lengo la kukuza biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo.…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Ruksa kukopea mali zinazohamishika,…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Mikopo kwa Dhamana za Mali Zinazohamishika wa Mwaka 2026,…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Video: Ndejembi Awasalimu Wananchi …

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Madereva wa Polisi Pwani wapewa maf…

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Madereva wa Jeshi la Polisi mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani na kuacha kutumia nafasi zao…

Full Shangwe Blog
A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.
Elimu Siku 21 zijazo

A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.

Full Shangwe Blog
Kutoka 23 Sep 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 02, 2026 
Magazeti

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 02, 2026 

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 8 zilizopita
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA YA KIKAZI IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA
Mchanganyiko

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA YA KIKAZI IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 9 zilizopita
TANZANIA NA UINGEREZA ZAKUBALI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI
Mchanganyiko

TANZANIA NA UINGEREZA ZAKUBALI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 10 zilizopita
YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Mchanganyiko

YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026

Dar es Salaam, Septemba 1, 2026 – Kampuni ya Mawasiliano Yas Tanzania, imetambulisha rasmi uzi/jezi mpya zitakazovaliwa na washiriki wa mbio za Yas Zanzibar…

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 11 zilizopita
MHE. SALOME: WIZARA YA NISHATI INA WAJIBU WA KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA
Mchanganyiko

MHE. SALOME: WIZARA YA NISHATI INA WAJIBU WA KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 12 zilizopita
MSAJILI WA HAZINA ATETA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA BARRICK
Mchanganyiko

MSAJILI WA HAZINA ATETA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA BARRICK

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 12 zilizopita
WATUMISHI WA ELIMU WATAKIWA KUONGEZA TIJA KAZINI
Mchanganyiko

WATUMISHI WA ELIMU WATAKIWA KUONGEZA TIJA KAZINI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 12 zilizopita
UBUNIFU WA WANAFUNZI IFM WAWAVUTIA WANANCHI MAONESHO MEATF 2026
Mchanganyiko

UBUNIFU WA WANAFUNZI IFM WAWAVUTIA WANANCHI MAONESHO MEATF 2026

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 13 zilizopita
RAIS DKT.  SAMIA AUDHURIA  UAPISHO WA HAKAINDE HICHILEMA, LUSAKA
Mchanganyiko

RAIS DKT. SAMIA AUDHURIA UAPISHO WA HAKAINDE HICHILEMA, LUSAKA

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 13 zilizopita
NGOs ZISITEGEMEE WAFADHILI, ZITUMIE RASILIMALI ZA NDANI  – ELISANTE
Mchanganyiko

NGOs ZISITEGEMEE WAFADHILI, ZITUMIE RASILIMALI ZA NDANI  – ELISANTE

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 13 zilizopita
MOI YAFANYA ZIARA ORCL KUJIFUNZA TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA SARATANI
Mchanganyiko

MOI YAFANYA ZIARA ORCL KUJIFUNZA TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA SARATANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akiwakaribisha wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo…

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 13 zilizopita
HABARI PICHA : WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI 
Mchanganyiko

HABARI PICHA : WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI 

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 17 zilizopita
NGAJILO AIBANA SERIKALI KUHUSU UHAMISHWAJI WA GEREZA KUU LA IRINGA
Mchanganyiko

NGAJILO AIBANA SERIKALI KUHUSU UHAMISHWAJI WA GEREZA KUU LA IRINGA

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 18 zilizopita
MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA MBUYUNI – MOSHI
Mchanganyiko

MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA MBUYUNI – MOSHI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 18 zilizopita
MWINYI AZITAKA NCHI ZA NAM KUUNGANISHA SAUTI, KUWA NA UZITO KATIKA MAAMUZI YA KIMATAIFA
Siasa

MWINYI AZITAKA NCHI ZA NAM KUUNGANISHA SAUTI, KUWA NA UZITO KATIKA MAAMUZI YA KIMATAIFA

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 18 zilizopita
LOIBORSIRET SIMANJIRO KUJENGWA CHUO KIKUU – LOURE
Mchanganyiko

LOIBORSIRET SIMANJIRO KUJENGWA CHUO KIKUU – LOURE

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 20 zilizopita
JKCI YAFANYA UPASUAJI WA NIKAIDOH KWA MTOTO WA MIAKA MIWILI
Mchanganyiko

JKCI YAFANYA UPASUAJI WA NIKAIDOH KWA MTOTO WA MIAKA MIWILI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 20 zilizopita
SERIKALI YAONGEZA FURSA ZA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WANAWAKE
Mchanganyiko

SERIKALI YAONGEZA FURSA ZA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WANAWAKE

Na Jackline Minja, WMJJWMM Dodoma Serikali imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuwapatia wanawake mafunzo ya ufundi stadi kwa lengo la kuw

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 20 zilizopita
MOI YAWEKA MFUMO WA QR CODE KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITALINI
Mchanganyiko

MOI YAWEKA MFUMO WA QR CODE KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITALINI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 22 zilizopita
PROF. SHEMDOE AELEKEZA WAFANYABIASHA 30 SOKO LA NDIZI MABIBO KUREJESHWA SOKONI
Mchanganyiko

PROF. SHEMDOE AELEKEZA WAFANYABIASHA 30 SOKO LA NDIZI MABIBO KUREJESHWA SOKONI

Full Shangwe Blog· fullshangwe· Saa 22 zilizopita
POLITICS Jul 01, 2026 10 10 3

Importance of Peace for National Development

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Maelezo ya Ziada
habarileo.co.tzRead more

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

habarileo.co.tzRead more

Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.

michuzi.co.tzRead more

Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.

habarileo.co.tzRead more

Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.

dailynews.co.tzRead more

He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.

habarileo.co.tzRead more

Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.

habarileo.co.tzRead more

Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.

habarileo.co.tzRead more

Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.

habarileo.co.tzRead more

Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.

habarileo.co.tzRead more

Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.

ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

dailynews.co.tzRead more

The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.

bongo5.comRead more

Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.

mwananchi.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.

thecitizen.co.tzRead more

Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.

globalpublishers.co.tzRead more

wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.

mwananchi.co.tzRead more

Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.

globalpublishers.co.tzRead more

Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.

mzalendo.co.tzRead more

Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.

Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.

Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”

Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.

The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.

Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.

Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.

TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI

Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.

Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.

POLITICS Apr 01, 2026 9 4 2

Chadema's Appeal Against Political Activity Ban After 283 Days

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilip…

Maelezo ya Ziada
thechanzo.comRead more

In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.

thechanzo.comRead more

The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.

mwananchi.co.tzRead more

Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.

mwananchi.co.tzRead more

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.

Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.

Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.

Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.

Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.

Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.

NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
dailynews.co.tzRead more

All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

dailynews.co.tzRead more

William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo

habarileo.co.tzRead more

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.

dailynews.co.tzRead more

Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.

habarileo.co.tzRead more

Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.

habarileo.co.tzRead more

Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

swahilitimes.co.tzRead more

Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.

mwananchi.co.tzRead more

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

mwananchi.co.tzRead more

Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.

thecitizen.co.tzRead more

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.

globalpublishers.co.tzRead more

Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.

globalpublishers.co.tzRead more

According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.

mzalendo.co.tzRead more

Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.

mwananchi.co.tzRead more

Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.

Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.

WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.

William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.

Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.

Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.

William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.

Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.

PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.

President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.

DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.